Askofu Gwajima, umewakilisha vizuri hoja yako! Sijui kama mawaziri husika imewaingia kichwani, Ili wizara zao zianze kusomana! Lakini hii hoja nakumbuka uliwahi kuzungumza huko huko bungeni, hatujaona mabadiliko yoyote. Labda tatizo lilikuwa ni nani wa kuratibu, ndio maana Rais Samia ameamua kuunda wizara ya Mipango! Lakini kwa namna kitila nkumbo alivyo, anaweza kubeza mawazo haya, akaja na ya kwake. Tukabaki vilevile mifumo kutosomana. Hii ndio tatizo la Nchi yetu. Ebu tusikilize waziri ata~wind up Vipi. Yetu Masikio. Hongera Askofu Gwajima na mbunge wetu!
Umeongea sana juu ya mipango ya taifa, nakuombea sana siku Moja hili wazo lifanyiwe kazi na tupate nafuu ya kutumia pesa zetu kuyanufaisha mataifa mengine na wahusika wa kuagiza vipuli wanaokula Cha juu
Asante sana Mh Gwajima mbunge wa Mtama mtoto Colnal Moses Mnauye aliyasema hayo..hakusikilizwa...hasa kwa sababu alitaka ijengwe reli toka huko kwenye hayo madini kwenda Mtwara mlikotoa gasi mnayoitumia na wenyewe wanatumia Kuni...malori yenu yanaharibu barabàra naamini hamtatàka reli hiyo kwa sababu ya malori yenu kukosa kazi .
Ndg yangu weee.... Huwajuagi Wana Siasaa kumbe,ukitaka uamini hamna Mtu mwenye nondo akapewa hata Wizara tu akawa na moto huo uo,hao ni wahuni tu hapo Bungeni.
Ni sahihi sana anachozungumza mbunge Gwajima hii hata viwanda VYA Cement wanaagiza copper scrubs wakati tuna iron ore aluminum na pozzolana hii ni hatari kwa Taifa
Hii nchii inahitaji watu watano kama hawa rais waziri mkuu spika wabunge makamu warais na mkuu wa majeshi tukiwa na watu kama gwajima kwenye hizo nafasi tumeula
Kinachonisikitisha sana siku hizi ni jinsi viti vya Bunge vilivyo wazi bila Wabunge. Yaan waliomo hata robo hawafiki daah! Hata hamu ya kufuatilia Bunge inaisha kabisa!
Mipango inayofuatiliwa zaidi ni ili inayoingiza pesa kwenye mifuko kwa wakati ujao ulio karibu. Mipango itakayoleta faida kwa wengine na baadae sana haiwezi kupewa umuhimu
Mnaruhusu vijiti vya kutolea nyama kwenye meno vitoke china wakati ni mianzi iliyoja Mtwara na Iringa..tunaruhusu kuagiza majembe .mapanga na masepetu wakati tulikuwa na Kiwanda cha Ufi bado kidogo tutaagiza hewa na mvua toka nje..
Kuna wawakilishi wakiongea unatamani kusikiliza HOJA wengine wanaongea sifa za kutukuzana tu tu mara flan mara vile speech NZIMA inakuwa imejaa sifaaa na SI hoja za kuleta kubadili umaskini wa waTz , jwajima wakupe nafasi Zaid ,HATUHITAJI mtu kuwa na HISTORIA ya UONGOZI ,Bali tunahitaji KIONGOZI mwenye maoni TIJA ya KUACHA HISTORIA kwenye UONGOZI wake unaoonekana kwenye MAISHA ya waTz.
Kwa kuwa alishindwa kusimama na imani, akakubali kuingia bungeni kwa ticket haramu kidemokrasia bc ataishia mshahara na makelele, wala hawezi barikiwa mawazo yake. Na TOBA INAMHUSU.
Viongozi watangulize uzalendo wa nchi bila kuona utapata nini, shida hizo materials imported zina walaji bila shaka kwa kuwa huwezi nunua chakula nje ya nyumba yako wakati ndani unacho
Tatizo hao watoa vibali vya hizo bizaa Wana pewa mpunga mlefu Sana na wenye viwanda huko inje na inchi yetu inavishelia vya hovyo Sana havina hata maana hasa upande wa maziwa na bahari wezao wangapi kazi wao et utali chimba tu.kama Shelia za kuvua samaki utafikili samaki wa tz tu Malawi Wana vua Hadi mayai kwetu Sasa utakuta kuzaliwa
Gombea URAIS maana mara zote umebeba ILO WAZO ,SHIDA YA WIZARA ZOTE ZINASHINDANA KISIASA KUONESHANA UMWAMBA , HAWAJUI TU KUWA SISI WANANCHI HATUHITAJI KUONA UMWAMBA WAO WA KISIASA TUNATAKA KUONA MATOKEO YANAYOJITETEA YENYEWE NA SIYO WAO KUTUSOMEA WAKATI HAVIONEKANI . TZ ITAWALIWE UPYA TU
Karibu unarudi kutuomba kura ndio unayaona hayo? Miaka minne yote umewasifia. Badilika kwanza wewe , kama mtumishi wa Mungu uache unafiki. Mengine yatakaa sawa.
TATIZO NI CHANZO KILICHOMUWEKA MTU BUNGENI HADI UWAZIRI KAMA ALIINGIA KWA MKONO WA MUNGU ATAKUWA NA HEKIMA YA MUNGU MAANA NI CHAGUO LAKE NA KAMA KAINGIA KWA NJIA YA MWOVU ATAKUA AKITENDA KUTOKANA NA NJIA HIOHIO
Nafikiri katika nchi hii hakuna mtu asiyeyumba na msimamo wake. Ameshikilia swala la maono ya muda mrefu ya nchi hii! Wengi wa muda mfupi hawamwelewi kabisa maana wanachotaka ni sasa! Ila ni kama Dr Stockman katika "An Enemy of the People" ambaye alionekana kama adui wa watu kwa sababu wengi walikuwa wajinga kama sisi na wanasiasa wanatudanganya sana!
Amezungumza vzr, tatizo yanasemwa mengi utekelezaji ndio tatizo. Hata yeye Gwajima aliweka mpango wa kuwapamafunzo vijana wa jimbo la Kawe Japan lkn mengi alio yasema haja tekeleza. Tunarudi palepale Tz tunawasemaji wengi watekelezaji ndio changamoto
Nimekusikiliza vizuri sana unamaalifa mengi hii nchi inakufaa sana ukigombea uraisi nakupa kura yangu,,, barikiwa sana
Gwajima ni mtu na Nusu, mtu wa maono💯
Wengine wana muona sio ila huyu jamaa ana akili sana ya maendeleo
Mtu mwenye akiri kubwa JOSEPHAT GWAJIMA
Rais hajae Baba Mungu akuzidishie hekima
Askofu Gwajima, umewakilisha vizuri hoja yako! Sijui kama mawaziri husika imewaingia kichwani, Ili wizara zao zianze kusomana! Lakini hii hoja nakumbuka uliwahi kuzungumza huko huko bungeni, hatujaona mabadiliko yoyote. Labda tatizo lilikuwa ni nani wa kuratibu, ndio maana Rais Samia ameamua kuunda wizara ya Mipango! Lakini kwa namna kitila nkumbo alivyo, anaweza kubeza mawazo haya, akaja na ya kwake. Tukabaki vilevile mifumo kutosomana. Hii ndio tatizo la Nchi yetu. Ebu tusikilize waziri ata~wind up Vipi. Yetu Masikio.
Hongera Askofu Gwajima na mbunge wetu!
Jasusi la mbinguni Raisi ajaye 2025 ukisikia tu gwajima kachukua form ya urais ujue kapitaaaa tutaibomoa kuzimu kwa moto ulao
Unaota ukiwa kitandani au kwenye mto
Nawaombea VIONGOZI WANGU WA TANZANIA
Kura za maoni hakupita aliteuliwa tuu iweje urais iwe rahisi hivyo!!!
Hana lolote ni freemason tu huyo
@@salummhina4857mwambie aelewe, hajii kitu
Yesu Kristo (Mungu) ajibu maombi ya Watanzania tunahitaji Rais mwenye uelewa kama wewe mwenye maono makubwa kama Rais Magufuli
Man of God, you have divine intelligence!!!
GWAJIMA GOMBEA URAIS NITAKUPA KURA❤
Good your a leader with greater visions🙏
Gwajima uko vizuri!
Unaowashauri Sasa😗
Umeongea sana juu ya mipango ya taifa, nakuombea sana siku Moja hili wazo lifanyiwe kazi na tupate nafuu ya kutumia pesa zetu kuyanufaisha mataifa mengine na wahusika wa kuagiza vipuli wanaokula Cha juu
This need a president like Gwajima
Ukweli mtupu uyu mwamba ni kichwa sana
Point baba
Rais ajaye kwa jina la Bwana
Ccm chama changu!huyu ndio Rais mwenye maono!tuache uchawa na udini!tujikite kwenye uwezo halisi wa mtu sio uchawa!
Waouh, njoo kwetu congo.
Saafi sana. Hawa ndiyo watu wanaotakiwa kuwemo Bungeni lkn majibu hapo ya Waziri husika yanaweza kuja very shallow. Mungu atusaidie kuvuka hapa tulipo
Asante sana Mh Gwajima mbunge wa Mtama mtoto Colnal Moses Mnauye aliyasema hayo..hakusikilizwa...hasa kwa sababu alitaka ijengwe reli toka huko kwenye hayo madini kwenda Mtwara mlikotoa gasi mnayoitumia na wenyewe wanatumia Kuni...malori yenu yanaharibu barabàra naamini hamtatàka reli hiyo kwa sababu ya malori yenu kukosa kazi .
Nchi inaendeshwa kila mtu anaangalia masirahi yake wanasau kuwa wao ni viungo vya taifa umefungua akili zao kazi kwao kuziruhusu zifunguke❤❤
Well said Dr gwajima
Mungu akutunze sana, kiongozi mkuu.
Big brain BISHOP
Huge brain, Godbless.
Uishi milele baba yangu
Kuwa kiongozi lzm huwe na akiri ya shule na hekima ya Mungu
A nation without vision perishes, and my country perishes for lack of visionary leaders😢😢😢
Umesema vyema sana.
Fantastic
Hongera sana mch Gwajima kwa kunoa watu
Fire..BOOM
Kilicho baki n kumpa inchi huyu mwamba nakuelewa sana Askofu gwajima
Kwamaneno machache hivyo apewe nch??
@@severinmmassy7627 mfutilie kama unaita kujua
Gweje Barikiwa
Big brain .Jasusi la Mbinguni
Jasusi la Mbiguni au la kuzimu?
@@renatusrevocatus3895we naye mpuuzi, kwani yeye kasema kuzimu kwenye comment yake??
Hekima ya hari ya juuu sana kama Mungu atakupa kibar ngombea uraisi
Hii hekima izidishwe na MUNGU....
Nani katutishia tusiwe na maono hayo?
Wewe chukua from tukupe urais chap kidogo vinginevyo risu asubui kbra ya misa ya pir💪💪
Ndg yangu weee....
Huwajuagi Wana Siasaa kumbe,ukitaka uamini hamna Mtu mwenye nondo akapewa hata Wizara tu akawa na moto huo uo,hao ni wahuni tu hapo Bungeni.
Mtu wa maana kabisa
Ni sahihi sana anachozungumza mbunge Gwajima hii hata viwanda VYA Cement wanaagiza copper scrubs wakati tuna iron ore aluminum na pozzolana hii ni hatari kwa Taifa
Mungu akulinde kakangu
amesema vizuri sana
Hii nchii inahitaji watu watano kama hawa rais waziri mkuu spika wabunge makamu warais na mkuu wa majeshi tukiwa na watu kama gwajima kwenye hizo nafasi tumeula
Kinachonisikitisha sana siku hizi ni jinsi viti vya Bunge vilivyo wazi bila Wabunge.
Yaan waliomo hata robo hawafiki daah! Hata hamu ya kufuatilia Bunge inaisha kabisa!
Amen Amen
huyu awe mshauri wa Rais..Mama Samia tunaomba msogeze Gwajima kama mshauri wako
Kweli baba
Wow❤
Keakweli mch NGWAJIMA WEWE NI MZALENDO HALISI
Upon SAWA nichi inaitaji umoja
Mtu na Nusu. Askofu.....
Vio mkenya , long live mtumishi
Mipango inayofuatiliwa zaidi ni ili inayoingiza pesa kwenye mifuko kwa wakati ujao ulio karibu. Mipango itakayoleta faida kwa wengine na baadae sana haiwezi kupewa umuhimu
👏👏👏👏
CCM wanajua kukombiza mienge ya moto ya kichawi
Tanzania kwanza
❤❤❤
Hata wao wanajua kuwa huyu mwamba ni kichwa ila wanajizima data
🔥🔥🔥🔥
Maoni mazuri Kwa maendeleo ya taifa letu
Huyu Mh. Mbunge aisee milele
Aisee huyu mwamba ni MTU Na nusu
Chuma
Mama ivi humuoni askofu Gwajima kweli? Mjaribu ni wizara moja ata mwaka mmoja uone,uyu ni mtu na nusu
Mh.RAIS MPE WIZARA HUYU DR.HASA YA VIWANDA
Uyu ni BABA wa wotee
MTU WA ZAMAANI
Hizi mic zinaua migongo ya Wabunge
Aisee hata mimi nimeliona haziwezi kupandishwa kidogo mtu asiiname?
Watanzania weng shule hawana wanazisoma kwenye makaratas tu
Falume zadunia,
Mzalendo wa Kweli
Mnaruhusu vijiti vya kutolea nyama kwenye meno vitoke china wakati ni mianzi iliyoja Mtwara na Iringa..tunaruhusu kuagiza majembe .mapanga na masepetu wakati tulikuwa na Kiwanda cha Ufi bado kidogo tutaagiza hewa na mvua toka nje..
Kuna wawakilishi wakiongea unatamani kusikiliza HOJA wengine wanaongea sifa za kutukuzana tu tu mara flan mara vile speech NZIMA inakuwa imejaa sifaaa na SI hoja za kuleta kubadili umaskini wa waTz , jwajima wakupe nafasi Zaid ,HATUHITAJI mtu kuwa na HISTORIA ya UONGOZI ,Bali tunahitaji KIONGOZI mwenye maoni TIJA ya KUACHA HISTORIA kwenye UONGOZI wake unaoonekana kwenye MAISHA ya waTz.
Kwa kuwa alishindwa kusimama na imani, akakubali kuingia bungeni kwa ticket haramu kidemokrasia bc ataishia mshahara na makelele, wala hawezi barikiwa mawazo yake.
Na TOBA INAMHUSU.
Wew NI Nani hata umhukumu mtumishi wa Mungu
We super ila macho yetu ni shida kuona
😅
Viongozi watangulize uzalendo wa nchi bila kuona utapata nini, shida hizo materials imported zina walaji bila shaka kwa kuwa huwezi nunua chakula nje ya nyumba yako wakati ndani unacho
Haya mnayo yazunguma mbona hatuoni mabadiliko,watanzania tunakosea wapi
Tatizo hao watoa vibali vya hizo bizaa Wana pewa mpunga mlefu Sana na wenye viwanda huko inje na inchi yetu inavishelia vya hovyo Sana havina hata maana hasa upande wa maziwa na bahari wezao wangapi kazi wao et utali chimba tu.kama Shelia za kuvua samaki utafikili samaki wa tz tu Malawi Wana vua Hadi mayai kwetu Sasa utakuta kuzaliwa
Gombea URAIS maana mara zote umebeba ILO WAZO ,SHIDA YA WIZARA ZOTE ZINASHINDANA KISIASA KUONESHANA UMWAMBA ,
HAWAJUI TU KUWA SISI WANANCHI HATUHITAJI KUONA UMWAMBA WAO WA KISIASA TUNATAKA KUONA MATOKEO YANAYOJITETEA YENYEWE NA SIYO WAO KUTUSOMEA WAKATI HAVIONEKANI . TZ ITAWALIWE UPYA TU
Karibu unarudi kutuomba kura ndio unayaona hayo? Miaka minne yote umewasifia. Badilika kwanza wewe , kama mtumishi wa Mungu uache unafiki. Mengine yatakaa sawa.
Sio lazima kuonyesha kuwa wewe huna akili, askofu Gwajima siku zote hii ni ombi lake kwa muda mrefu. Sasa wewe unarukia tu mambo usiyoyajua.
@@MerereJrgwajima hana lolote ni freemason tu na mtu muongo na mpiga madili
Wewe nimjinga usigeogea mapepo yako
Wewe NI wivu tu kwani ameanza Leo kuongea kama humpendi wewe nyamaza wengine tunafurahia anavyotusemea
Shida siyo nchi,bali namkumbuka mwl jkn,namnukuu,ili nchi iendelee inahitaji vitu 4,watu wapo,ardhi ipo,siasa safi?uongozi bora ?,tunatokaje hapo ktk nusu kwa nusu?
TATIZO NI CHANZO KILICHOMUWEKA MTU BUNGENI HADI UWAZIRI KAMA ALIINGIA KWA MKONO WA MUNGU ATAKUWA NA HEKIMA YA MUNGU MAANA NI CHAGUO LAKE NA KAMA KAINGIA KWA NJIA YA MWOVU ATAKUA AKITENDA KUTOKANA NA NJIA HIOHIO
Nafikiri katika nchi hii hakuna mtu asiyeyumba na msimamo wake. Ameshikilia swala la maono ya muda mrefu ya nchi hii! Wengi wa muda mfupi hawamwelewi kabisa maana wanachotaka ni sasa! Ila ni kama Dr Stockman katika "An Enemy of the People" ambaye alionekana kama adui wa watu kwa sababu wengi walikuwa wajinga kama sisi na wanasiasa wanatudanganya sana!
Huyu jamaaaa kwelikweli
Amezungumza vzr, tatizo yanasemwa mengi utekelezaji ndio tatizo.
Hata yeye Gwajima aliweka mpango wa kuwapamafunzo vijana wa jimbo la Kawe Japan lkn mengi alio yasema haja tekeleza.
Tunarudi palepale Tz tunawasemaji wengi watekelezaji ndio changamoto
Kwenye soda ash hapo kuna hila ya vita ya kiuchumi na wakenya
Ebu jaribu kuchukua fomu
Huyu baba ni jembe kwelikweli?
WANAO SHAURIWA SASA HAHAHAHAHA HAHAHAHAHA
Makofi katatu
Anaongea vizuri lakini jimboni kwake hana uwakilishi mzuri kabisa.
Tatizo sio yy nchi Aina maono jiulize kaingia lini CCM aweze kuibadirisha nchi mifumo akiwa mbunge
Una akiri usigeuliza hvy
acha Uongo sisi tupo huku
Rais anatakiwa kuwa na maono km wewe
Haupo sahihi kinachohitajika sio maono ya Rais kinachotakiwa nchi iwe na sera elekezi zinazomwongoza kiongozi yeyote aliyepo madarakani