MBUNGE GWAJIMA NA MWIGULU NCHEMBA 'WANYUKANA' KWA HOJA BUNGENI / BUNGE LAMOTO
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 21 ต.ค. 2024
- MBUNGE GWAJIMA NA MWIGULU NCHEMBA 'WANYUKANA' KWA HOJA BUNGENI / BUNGE LAMOTO
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Nshagundua,,,,,, magufuri alikuja kutengeneza njia km yohana mbatzaji na YESUKRISTO mkombozi yuko anakuja njiani ee mungubaba tupe gwajima aje awe mkomboz wetu
Aliimba sana mzee john nileteen gwajima mwe ×3
Alimaaanishaa kitu
jamani huyu baba anaonge point sana
Gwajima akigombea urais 2025 kura yangu nitampa bila kupepesa macho gwajima is 🔥🔥🔥🔥
Katiba ni tiba ya kueleweka. Mungu atusaidie tupate katiba mpya na ifuatwe tutatoka tulipo na tusonge mbele. Na haya anayosema Gwajima kila siku wapinzani wanayasema yeye ameyafikisha tu mbungeni na abarikiwe sana na Mungu.
Nimependa jinsi nchemba alivyoingia kwenye mtego wa Gwajima, bila yeye mwenyewe kujua.
huyu jamaa smart sana.👍🏿👍🏿👍🏿👍🏿
in Shaa Allah naku support kw asilimia Mia moja... tuanze kuchimba wenyewe
🙏🏻🙏🏻🙏🏻🇰🇪🇰🇪🇰🇪🔥🔥🔥🔥🔥gwajuma watakuelewa tu mtumishi w mungu eti ukisimama wanasema muda hautoshi ju unawapa ukwel wasioutaka mungu ibarik tz 🔥🇰🇪
Gwajima oyeeeeee Wazr chini
Ahsante sana Mungu akulinde sana namungu akuone nakuteuwe uwe raisi wanchi hii
Mungu awalinde wabunge wanaomtumikia Mungu kwa uzalendo wa kulitetea taifa letu
Our presdent to come Bishop Ngwajima
Thnx kwamchango mzr mchungaji waufufuo,viongoz wetu wangekuwa Kama ww bc nchi yetu ingekuwa mbali,, kuliko viongoz wapuuzi hawa wakina mwiguru wakutetea ushenzi waserikari nakulinda matumbo yao pamoja na uchama.mungu azidi kukusimamia mchungaji
Sana
Uyo waziri ananitiaga kichefuchefu san
Nileteeeeni gwajimaaaa Nileteeeeni Gwajimaaaa Nileteeeeni Gwajimaaaaaaaa
Tafuta clip za Peter Msigwa
🤣😂🤣😂🤣
Asante JPM kwa maono ya kuwaoma viongozo Kama kina gwajima na kuwaleta bungeni. Hapo tumekuelewa kabisa baba RIP.
Bonge la kichwa
Baba weeeeeeee,,Mzee magu aliona mbali
Gwajima simati sana hongera sana dady wetu mungu akupe uvumilivu naamini unaumia sana kunakitu unakiona rohoni
Gwajima uko vizuri, Mno !
Huyu mwigulu cjawahi kumwelewa!!!! Huo wasifu anaousungumzia wanaongelea tu amani tuliyonayo mbali si maendeleo anayoyasungumzia Gwajima!! Mungu asaidie nchi yetu tupate akina magufuri na akina Gwajima waongezeke.
Doctor gwajima unaongea kweli sana na unafanya vizur sana mungu mwenyewe anajua. Ila tuu umo bungeni wengi wapigaji awataki kabisa kukuelewa unacho zungumza ila ni jembe mweshimiwa mungu akupiganie
Sindano imeingia lazma maumiv yawe makali gwajima umeongea point Ukiongea ukwel mda unapungua
Akili kubwa saana Bishop,,, endelea kuwapa lecture hao wachumia tumbo pengine kwa neno lako nao watapona na kuanza kulitumikia Taifa LETU. Royal Tour ni kumwona gwajima akichangakia . So very exciting
Hizi ni taranta tulizopewa na mungu tumeshindwa kutumia viongozi mkifa mtaulizea na mungu talanta alizotua tumezifanyieje
Unaona mbali sana Mheshimiwa gwajima,ndo Uzuri wa kupata kiongozi Mwenye fedha zake
Nadhani Bishop Gwajima angefaa kuwa waziri wa mipango na fedha kwa masilahi ya taifa hili!!
Great thinker Gwajima
Namkubali doct gwajima ila wengine hawakuelewi baba
Tuwe Wazalendo. Mbele za Mungu na mbele za Watanzania Mch. Gwajima kaongea la maana sana. Hela hizo ni muhimu kwa maendeleo ya nchi kwa kuchimba chuma chetu kuliko kuacha na kunufaisha nchi zingine wakati tunahitaji maendeleo kwa ujumla wake. Mawazo yake yafanyiwe Kazi. Amegusa wengi. Katika maoni wengi sana wamefurahishwa naye.
Sasa watapigaje pesa km wakichimba hapa na wapigaji ni walewale hawatosheki hawashiibii
Mh.Gwajima hongera sana Mungu akubariki sana Rais wetu mtarajiwa
Gwajima mungu akujaze maalifa na uzma
Majeshi majeshi my Bishop Dr josephat
Silaha za vita za Bwana
Hakika tunavuka tunavuka taifa ni muhimu tuwe na maono ya muda mrefu kwanzia miaka 59-100 sio maono ya miaka 5
Majeshi ya Bwana!
Hiki kichwa sanaa mungu amuweke sanaa
Nakupenda sana GWAJIMA Mungu akupe afya njema.
Gwajima well done you always speak sensible 👏 👍
Naungana na wewe Askofu uko sawa,unaongelea long term strategies.Waziri anaongelea short term strategies.Big up
Kwanza sijui hata kama jamaa alielewa maana ya neno MAONO "VISION" kama Askofu alivyo changia. Yeye anazungumzia plan badala ya VISION. Askofu amezungumzia VISION na siyo PLAN. Yeye badala ya kuzungumzia VISION akajikanyaga na kuzungumzia plan.
Halafu hao ndio vinala wa kuishauri serikali. Wakiambiwa ukweli wanapepesa macho Tena Bora wayafanyie kazi hayo.uzalendo Ni kazi kweli kweli , wengi wanatetea matumbo yao sio nchi!
Waziri kuanzia Leo iyo tai ya bendela ya Taifa inabid uachekuvaa maana maono ya baba wa Taifa yanaendana kabisa na mchungaji gwajima lakin wew kila kitu ni kupinga tuu na huna hata hekima Wala busala pindi unapo toa majibu mungu tuu akusimamie.
Gwajima akawa raisi afu makamu wake akawa majaliwa au majaliwa akawa raisi afu makamu wake akawa gwajima.........R.I.P MAGUFUR😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Mbona magu nae aliagiza au nani alianzisha reli kabla takuchimba chuma
@@nathanielyohana7723 😂😂😂😂
@@nathanielyohana7723 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Dah Hakika Elimu na ufaham wako unaweza kulisaidia taifa. Big up Bishop Gwajima.
Jaman naomba gwajima ugombee urais bas 2025 maana unahofu ya mungu xna
Ewe mwenyezi MUNGU ewe mwenyezi MUNGU ewe mwenyezi MUNGU endelea kuwaongoza vyema wabunge wetu
Hii nchi tunahitaji viongozi wenye uchungu na uzalendo na nchi Yao na sio masrahi Yao na familia zao😭😭😭
Gwajima ana uchungu na nchi yake❤️
Unaota eh 🤓
Prophetic analysis
🇹🇿🇹🇿🇹🇿Huu ndio mfano wa Mawaziri tulionao serikalini hawawezi hata kujitetea kwa hoja nzuri wananyukwa na wanasita kupokea hoja nzuri.Watu weusi tuna tabu
Kweli hatunaakili sijui nani alitoga kila ninapo kanyaga ardhi inayomilikiwa na watu weusi mambo ni hayo hayo from USA
Na ndio raisi wako ajae
Mawaziri wanajibu kitaalamu sio wanajibu kushabikia Mtu kama hawezi kielewa maana ya mpango wa miaka 50 unakuwaje huyo ni tatizo
@@gamma9590 I don't live there anymore but I wish one day ngwajima to be a president
Gwajima nimekuelewa vzr sana
Congratulations Gwajimaaaaa. you. are always straight.
Nakupongeza Mweshimiwa gwajima upo Kwa maslah ya taifa na huyumbushwi na unasema kweli pale penye ukweli bila kupepesa macho mungu akubariki
Huyu ndugu Gwajima Mungu akupe maisha marefu
Gwajima mtu anaeona mbali sana mtumie vizuri
Nimekuelewa my Dad Bishop Gwajima.
Zitto ameliongea sana lkn alipuuzwa,hongera Gwaji boy
Askofu Gwajima intelligent man 💪👏👏👏
Hadi aongee Gwajima Mbunge wa Ludewa kamonga anafanya nini huu ni upuuzi saana hongera Gwajima
Nimekuelewa sana mr, Gwajima
Wewe unajibu kisiasa tumechoka na hizo ngonjela,Gwajima tuko Sahihi kabisa,tunataka vitendo sivinginevyo
excellent👍
This guy is very smart...tunahitaj watu wa dizain hii.
Umeelewa lakini au unasema yuko smart unaelewa maana ya MPANGO na DIRA 🤣
👍🙌
Very true 👍
Naelewa na maana yake nimeielewa
Huyu jamaa namkubali sana .
I wish one you be came a president of Tanzania 🇹🇿 🙏
Gwajima ni mutu ya akili mingimingi 🙌🙌 Waziri kapuyanga
Sio ana akili bali ni mlopokaji tatizo hajui nchi ni kwa hali gani nchi inaweza kuwa na mpango wa miaka 50. Nchi yetu bado ni ya uchumi wa chini huwezi weka mpango wa miaka 50 Gwajima uwe mwelewa usiwe msemaji wa kutia wasikizaji.
@@blandinamwarabu5025 we ndo huna akil timamu,kwanza unajua mana ya mipango endelefu au unaropoka tu,ingekuwa nchi ina mpingo hiyo isingekuwa kila rais anayeingia madarakan anafanya analojisikia,mfano hiyo Royal tour iliyutumia zaid ya mabillion ilikuwa kwenye mipango ya nchi au ni maamuz tu ya uongoz uliopo moadarakan,acha kutumia akil kama kabat la nguo,We ni mmoja kati ya vijana wa hovyo tz.
Nikweli kabisa...sio liganga na mchuchuma..hata elimu....afya..na hata baadhi ya viongozi..wa sector zingine easier wanna siasa..
Niseme tu kuwa nimemwelewa GWAJIMA. MWIGULU Anampotezea GWAJIBOY MUDA. So sad
Mweshimiwa Gwajima mimi nakuelewa sana na unachomaanisha tatizo linaanzia kwenye elimu tunayo pewa uko mashuleni zinatutengeneza kama chombo na siyo manahotha
Hongera sana Gwajima Kaka
Congratulations gwajima
Speak man of God #bishopGwajima
Namuunga mkono Gwajima yuko sahihi kaisaa thanks
If wi shall thron our fillings so far ,tutagundua liganga na mchuchuma so impact in our country.Naiomba serikari wakazanie hili, tulio mitaani tunaumia ambao hatuna elimu
Heko Askof Gwajima uko juu sana
Waziri wa wapi huyu mungu wangu 😥
I love Gwajima, the way he embraces fear. He is very smart. Tunahitaji viongozi kama huyu hata nusu ya bunge tu inatosha sana.
Tatizo anavutaga bangi sometimes 🤓
Jamani mnaonaje tukimpa Bishop Gwajima urais? Jembe hili, Magufuli part two for sure!
Shida ni kwamba anaongea kama vile amewasilinTanzania Leo kutoka mwezini; completely devoid of Tanzania's political, economic and social history!!
Gwajima ni fireeee jamn ukwelii ndio huoo kubali ubisheeeew huyuu ndo
Yes Gwajima you possess a very high vision, keep on brushing your ccm party to open mind to opposition system so that they help to bring strong leadership.
Ndiyo Gwajima hill KUNDI siyo saizi yako ni mambumbu tupu,hivi unaweza kuwa na WAZIRI kama Mchemba nchi ikawa na maono,
Ugwajima mungu akubariki ila sisi sio kwamba niwajinga atuna akili ila tatizo ni TABIA YA UBINAFSI YAAANI UMIMI ndio ugonjwa wa sisi watu wa Tanzania
Hongera MH. Gwajima
Endapo hapo ndani Wah. Watamuelewa Mh Gwajima basi nchi hii tutapaa salama. Kama vile baadhi hawamuelewielewi hivi!!?
hongera bishop🇹🇿
Mzee askofu huko vizuri.sio maono TU hswana maarifa ya kutumia akiri zao
Gwajima anajua sana Kazi ya serikali wallah namfananisha na king Zitto Kabwe
Tofauti yao moja tu mmoja mnafiki sanaaa
Gwaji hoooooyeeeeee amina kubwa
Raia wa hovyo kama Mwigulu, eeh Mungu tuondolee hiki kiumbe😭😭😭😭
Kiumbe hiki ee mungu....kama....
Kabisaa atuondolee mchumia tumbo au basi ngoja ninyamaze
Taifa liko chini ya watu wasio ongozwa na roho wa Mungu ndo maana hawajui hata wafanye nini mwisho wa siku wanaenda kutumia mabillion kuigiza movie wakati wananchi wengine wankufa njaa
Excellent argument.
Brilliant.
Ukovizuri gwajima mbunge wangu
Gwajima ni kicjwa Iseee
Katika maisha kuna mstari mwembamba sana kati ya HEKIMA na UNAFIKI. Mwigulu siku zote yeye ni kutetea tumbo lake hata kwenye vitu vya msingi. Kama waziri unatia aibu brother.
Kweli kabisa
Wewe gwajima mipango ipo ndiyo mana wewe ni mbunge mipango.
Ngwajima hawa watu kukuelewa ni vigumu
Hongera sana Baba Gwajima ww ni kiongozi bora kabisa
Mh. Gwajima chukua form 2025, Tanzania deserves you 👏
Good points hongera Askofu Gwajima uko sawa.
You deserve kuwa minister mheshimiwa Gwajima👍🏿
Mwiguru acha upumbuvu kubari nchi haina maono
INA ILANI ZA CHAMA TU
Mwigulu mchaw tu Hana lolotr😹😹😹
@@gosbertmuta5421 watu kama hao waachie Mungu atawashughulikia
Safi Sana mheshimiwa gwajimaaa
congratulations for best vision
Mungu ataendelea kukutumia hakika maana Gwajma amtumwa hakika ubarkwe
Mwendo wa mateka unahitajika ktk maendeleo mweshimiwa waziri wa mipango 😃😃😃👍🏿👍🏿👍🏿
Maono ni muhimu nchi tunazo mezea mate vitu vyao kwa kuagiza hata wao walianza na maono. I agree with Gwajima 100%.lini tutajivunia vya kwetu. Just 1 item billions of dollars na hapa tunapata kujua sababu Gwajima ametufumbua macho. Mengine mangapi hela za walipa kodi zinatumika bila huruma bila aibu?
Mungu wa mbinguni,atupatie Gwajima aje kuwa rais wa Tanzania.
Safi Sana Askofu Gwajima
Pamoja na majibu mazuri ya mh,Mwigulu bado Gwajima anaongelea point KUBWA Kwa sababu gwajima anaongelea miaka 50-100 MH mwigulu anaongelea miaka 5 mitano,ndio maana Leo ukienda kwenye miji yetu ujenzi haueleweki bado watu wanajenga kiholela badala ya kujenga Kwa mipangilio ,na Kwa dunia ya sasa ilipaswa hata vijijini iwe tayari ardhi imepimwa.
Anaongea nn mwigulu hana jicho lambali kweli
Hi ana nifaliji ana punguza dakika
Fuatilieni Mambo vizuri huo mpango wa maendeleo ambao ndio dira hasa ulianza mwaka 1994 na utafika mwisho mwaka 2025 na huu ulikua mpango wa muda mrefu ambao ulikua wa miaka 30 na kwenye mpango nikuhakikisha taifa linatoka kwenye uchumi wa chini hadi uchumi wa kati ifikapo 2025 lakini pia hiyo mipango ilipagwa kwa series ya miaka mitano mitano na moja ya mipango hiyo ni Kama MKUKUTA wa 2005 -2010 na Sasa tuna TASAF n.k na uchumi wa kati tulifika Toka mh. JPM akiwa hai na bahati mbaya Mambo yamekwenda mrama Tena hope tumeshuka chini Tena.
Exactly!! ndo maana anasema viongozi wetu wako SHORT SIGHTED! HAWANA MAONO,MAONA YA NCHI INAYOTAKA KUPIGA HATU,NI MIPANGO YA MORE THAN 50YRS!!! WAZIRI ANGETULIA TU BADALA YA KUJIHABISHA
Tamaa na madaraka mbaya
Tuna dharau vya kwetu, bilioni 7 zimetupwa kushuti move
Daah mwigulu amempotezea sana muda gwajima
Sema kwenye "LELI" hapo..Ila kwingine uko very smart
Akili ya gwajima sio ya Kitanzania, akili ya Kitanzania ni kama hiyo ya Mwigulu
fact 👊👊👊
😂😂😉😉😉😉
Nimekuelewa sana bro
Mungu wetu tuepushe na viongozi wasio na maono
In Tanzania any fool can be a leader especially on vital ministry like finance
Gwajima on 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Waambie waanzishe migodi ya serikali,Nchi hii ni tajiri Sana