Nilikupigia debe sana wakati wa kampeni nikatukanwa sana humu asante MUNGU naona waliokuwa wakikukejeli sahi wanakupigia makofi MUNGU ni mwema prove them wrong Mh Gwajima👏👏👏👏👏👏👏
i dont mean to be so off topic but does anybody know of a trick to get back into an instagram account?? I was stupid lost my login password. I would love any tips you can give me.
Gwajima we ni kichwa kbs , lazima kama taifa tuwe Vision inayoeleweka sio kila raisi kuongoza kwa Vision yake. Lazima tuwe na lengo au malengo ya miongo kadhaa ya kitaifa yatakayoimba mioyoni mwetu kwa Miaka kadhaaa na hayo yakifnikiwa tutayaita maendeleo coz yatakua yaonekana na kuelezeka. 🙏🏾✌🏾
Bishop ubarikiwe sana kwa kuliona hili janga la kitaifa. Nadhani Bunge hili halitaisha bila kuja na hii hoja kama maono na mpango wa taifa kwa miaka angalau 50. Actually umedai katiba mpya kiujanja sana na kwa namna isiyoweza kupingwa
This man Ndugu Gwajima is not only a man of GOD, not only a normal african politician but a true visionary leader. This particular speech should be taken seriously by CCM. We want to see Tanzania is moving ahead where Ndugu JPM left, anything short of that CCM should change the leadership as soon as possible. CCM SHOULD BY ALL MEANS POSSIBLE SHOW LEADERSHIP NA KAZI IENDELEE.
Kikubwa wawakilishi wa watamzania, viongozi walioshika madaraka mjue kwamba watqnzania tumechoka na umaskini, kuishi maisha yasiyokuwa na mwangaza, kukosa huduma muhimu na za lazima. watamzania na sisi tumataka ifike wakati tuww kama wachina wanafikia wakato na kugeuka nyuma na kusema miaka flani au kadhaa iliyopita tulikiwa maskini na sasa ni tajiri tunachuana na nchi tajiri. kwqni kinachoshindikana kwetu ni nini zaidi ya sababu tulizosoma shuleni na kuzikariri miaka kenda rudi. kumbe hakuna haja ya kujua sababu ya tatizo, kujua sababu haisaidii kama huna nia, moyo, shauku ya kutatua tatizo.
Ndouo maana watanzania wanaumia sana wanapoona wawakilishi wao kwa nyqlati hizi wanakaa bungeni na tukashifu, kukejeri, kubeza na kukosoa utawala wa mtu aloyewafumbua macho na kuwaonjesha maendeleo. bigup mr. gwajima.
Mama samia hongera ila kuomba mpe wajima uwaziri anajua kazi yake kweli kweli lakini mapenzi zako huyu nimfatiaji mno Mungu hakupe hekima kuwatambua wote ubarikiwe wote
@Mimi Miso hapana Labda sijaweka sawa yani huo ni msemo wa vijana tuu mtu anafanya vema mpka anaboa yani kamsemo Gwajima yuko sawa sn nmkubali sn na Mungu amtangulie kila penye uzito amfanyie wepesi
Jamani sijawahi kupata like kama umekubali nondo za Askofu Gwajima gonga like twende sawa👏👏
Yes
Thank you Jesus
Gwajima 💥💥💯💯✔ umeeleweka sana. Ktk Chama chetu cha mtandaoni tumekuunga mkono kwa maoni yako. Mungu ibariki Tanzania Mungu ibariki Africa.
Huyu Askofu alichelewa sana kuingia bungeni, ukiamua kumskiliza Gwajima bila sikio la chuki huyu askofu ni next level kwenye mambo ya vision
Tatizo watu wetu wako pale kwa masilshi binafsi hawaijali tz Bali majina na tumbo zao
Kabisa
Hakika
Kweli
Gwajima ni kichwa
Hongera Mh. Askf Gwajima umeongea kweli🔥🔥🔥🔥
Nilikupigia debe sana wakati wa kampeni nikatukanwa sana humu asante MUNGU naona waliokuwa wakikukejeli sahi wanakupigia makofi MUNGU ni mwema prove them wrong Mh Gwajima👏👏👏👏👏👏👏
Come on man....utabarikiwa sna
Grajima umelianzisha Hilo naomba ulishughulikie kisawa sawa maana ni nzurii kubwa na ni la muhimu mno ahsante.
Respect pastor Gwajima 🙏💪
Watanzania wenzangu jembe lingine hili apa kazi kwetu kuliunga mkono, Gwajima anaweza
Wow My Spiritual Dady. I’m so proud of you. Well spoken!!
i dont mean to be so off topic but does anybody know of a trick to get back into an instagram account??
I was stupid lost my login password. I would love any tips you can give me.
Mungu akubariki sana Mh.Askofu Josephat Gwajima
tupate wapi mtu mwenye akili ,Kama huyu
Gwagima unaakili na ufahamu ambao si wakawaida nakukubali sana na Naomba Mungu siku moja uwe Rais wa Tanzania
Good idear
Bing one
Live
Gwajima we ni kichwa kbs , lazima kama taifa tuwe Vision inayoeleweka sio kila raisi kuongoza kwa Vision yake. Lazima tuwe na lengo au malengo ya miongo kadhaa ya kitaifa yatakayoimba mioyoni mwetu kwa Miaka kadhaaa na hayo yakifnikiwa tutayaita maendeleo coz yatakua yaonekana na kuelezeka.
🙏🏾✌🏾
Mh Grajima your the most intelligent MP in parliament.
Excellent my bishop Gwajima today my heart is smoothly
Mh kiukweli upo bungeni kwa kusudi maalum,bg up Mtu wa Mungu
Nakuelewa sanaaa
Big up Mh Gwajima umeongea point sana👍
Wise advise, well said Rev. Hon MP Gwajima
Asante Baba kwakweli umeongea point kubwa sana
Good point askof, and u have afutured mind, my GOD bless u
Mungu wa mbingu na nchi JEHOVA HOSEENU akutumie mpendwa wangu Askofu Gwajima katika hilo Bunge kama alivyomtumia Daniel katika bunge pa Babeli.
Maono yako nikama ya hayat mzee we2 saf xana nimependa nataman siku moja uongoze hili taifa🙏🙏🙏
Hahaha
Ee?
Mzee wenu yupi?
Mpiga dil mzur sana huyu mzee zamani alokua anafufua watu sahizi kwisha habar
@@sniperbogo6210 sasa watu unawafufuaje na ww
Very well MH gwajima
Mbunge wangu uko vizuri sana hongera sana wana kawe tunajivunia wewe
Mambo
Big up
Asante sana kwa muongozo wako mwema huko hii baba mwenyezi MUNGU yupo pamoja nawe na taifa letu
Kulayangu kwako hakwenda bure Asante sana tuna kuelewa sana
Wangapi wanaona kuna roho wa mungu anazungumza ndan ya gwajima
👍👌Wangetokea kama we we dah tungesonga asante magu kwakuwanoa vijana wako
Asante mbunge wangu wa mbweni uko vizuri sanaaaa Mungu akuinue zaidi kwa kupata kibali mbele za Mungu kwa kuwa lololte alitakalo litatendeka
Well said, safi sana Askofu Gwajima
Sijutiii mbeleni nikikupa kura ya kuwa Raisi wa Tanzania 😍
For the first time I appreciate you speech,
Aisee nimemuelewa xna gwajima hakika wanakawe hamkupotea kumpeleka huyu jamaa mjengoni big up xna"
Safi mbunge wetu,Mheshimiwa Josephati Gwajima umezungumza point kubwa itendewe kazi kilichobaki.
Safi Sana,unadhihirisha kuwa wewe ni Askofu mbeba maono ya watanzania miaka mingi ijayo.Asante Sana kiongozi 🙏🙏
Nakubaliana 100% Tusipokuwa Maono na Ajenda ya Nchi. Nchi haiwezi kupiga hatua.
Bishop ubarikiwe sana kwa kuliona hili janga la kitaifa. Nadhani Bunge hili halitaisha bila kuja na hii hoja kama maono na mpango wa taifa kwa miaka angalau 50. Actually umedai katiba mpya kiujanja sana na kwa namna isiyoweza kupingwa
Pasipo maono watu hawawezi kujizuia! Hii point ichukuliwe ni ya msingi sana sana
safi sana gwajima km kweli hayo yanatoka moyon Mungu na akubarik ila km ni lengo la yule mwovu nyum ya pazia na ushindwe ktk jina la kristo
Gwajima safi umetupa elimu
Muono safi Na ni kweli kabisa🙏
wewe sasa ndio umeongea.good job gwajima.
🙏🙌🙌🙌 gwaji boy wasio kupenda watazimia
Nimeandika hii comment nikiwa namkumbuka magu rip jpm uliacha mtu sahhi bungen
Kweli,
Huyu MTU tumpe urais miaka ijayo kabla tuko hai hongera gwajima💕
Urais hapana, ila ni mwanasiasa mzuri
MHESHIMIWA MIMI NAKUKUBARI SANA .UNAWEZA KUIONGOZA TANZANII .TUTAKUOMBEA IPO SIKU
Gwajima is Genius
Well said, serikali ichukue huu ushauri, na ndivyo wanavyofanya hata mataifa yaliyoendelea,
Asante asikufu Asante Sana baba umejuwa kunifuraisha.
Amen Amen.
This man Ndugu Gwajima is not only a man of GOD, not only a normal african politician but a true visionary leader. This particular speech should be taken seriously by CCM. We want to see Tanzania is moving ahead where Ndugu JPM left, anything short of that CCM should change the leadership as soon as possible. CCM SHOULD BY ALL MEANS POSSIBLE SHOW LEADERSHIP NA KAZI IENDELEE.
👏👏 vision & knowledge
Mtumishi wa Mungu amejaliwa hekima na busara. Hiki ni kichwa wajameni
Very nice speech
We nakukubali San baba angu josephat ngwajma
Hongera sana Gwajima kwa ushauri mzuri juu ya taifa letu
Nasema nimekuerewa mkuu uko vizuri marais wajifunze kwa hotuba hii
Yaaani kura yangu niliweka sehemu sahihi kabisa safi ngwaji boy...siyo utopolo mwingine huo ....RIP Jpm
Mwisho wa siku Askofu Gwajima unakuja kuwa Rais wa WaTanzania 🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Hakika ✊
Big up upo sawa kabisa ubarikiwe
Big up Mr gwajima we need such vision people in Kenya
mungu akubariki
This guys is good, anatema cheche safi itakuwa vizuri kama maneno pia anayafanya kwa vitendo.
Hawez kufanya peke yake kama wenzie hawatamuunga mkono
kwa kuwa tumeumnwa na talent tofauti basi huyu amenene na wengine watende kama yeye hawwi yote.
Big up sana Gwajima tunataka viongoz Kama Gwajima sio wa kina Nape wapingaji
Katika mtu ambaye nilikua nnamchukia bila sababu ni Geajima yaaan nimemsikiliza ad nafs yangu inanisuta dhaaa %100 nnapa
Kwel bhana hyu baba 🔥🔥
Gwajima ni kama sindano inapenya polepole kwa mwili askofu tza
Hicho chuma mzee ukikifuata nawe utakuwa chuma
@jenny Morgan wewe makalio kweli kama umezoea kutongozwa cyo woote wanaachia kama wewe pimbi wewe
@jenny Morgan mbona unafura inaonyesha unaachiaaga tundu msenge wewe
Congratulations Gwajima bishop .
Huyu ndiye mbunge anae takiwa akiendelea hivi walaiiiiiii anakuja kuwa kiongozi mkubwa sana komaa baba
Kikubwa wawakilishi wa watamzania, viongozi walioshika madaraka mjue kwamba watqnzania tumechoka na umaskini, kuishi maisha yasiyokuwa na mwangaza, kukosa huduma muhimu na za lazima. watamzania na sisi tumataka ifike wakati tuww kama wachina wanafikia wakato na kugeuka nyuma na kusema miaka flani au kadhaa iliyopita tulikiwa maskini na sasa ni tajiri tunachuana na nchi tajiri. kwqni kinachoshindikana kwetu ni nini zaidi ya sababu tulizosoma shuleni na kuzikariri miaka kenda rudi. kumbe hakuna haja ya kujua sababu ya tatizo, kujua sababu haisaidii kama huna nia, moyo, shauku ya kutatua tatizo.
Hakika Gwajima umeongea bila kufuata ushauri uliousema hakika tz haiwezi kusonga mbele kimaendeleo mungu akubariki sn sn askofu Gwajima
Jembe toka mbinguni piga like kama unamuelewa Gwajima
Akili kubwaa sanaa gwajimaa
Ndouo maana watanzania wanaumia sana wanapoona wawakilishi wao kwa nyqlati hizi wanakaa bungeni na tukashifu, kukejeri, kubeza na kukosoa utawala wa mtu aloyewafumbua macho na kuwaonjesha maendeleo. bigup mr. gwajima.
Mungu akusimamie mbunge wetu wa.kawe.unamaono ya.mbali sana.wana kawe hatujakosea kukuchagua
Excellent
Leo ndo nimeelewa nin maana ya katiba Mpya
Ulichelewa sana kuingia huko bungeni bishop ila Mungu ukupandishe mwisho wa siku uwe waziri
kuwa waziri pekeake haitoshi maono yake ni makubwa sana anatakiwa awe rais kbs wa nchi hii hapo tutapata faida ya future yake
@@ramadhanimahongole8764 Naunga mkono gwajima anaakili sana
Vyema sana Gwajima
Najua hekima yaki Mungu ipo ndani yako uishi ndani ya Mungu uweponi mwake ukae ndaima
Hongera sana uk vzy sana lkn mbona mbunge wetu wa arumeru mashariki hatumsikii ?
Genius...👍
Mama samia hongera ila kuomba mpe wajima uwaziri anajua kazi yake kweli kweli lakini mapenzi zako huyu nimfatiaji mno Mungu hakupe hekima kuwatambua wote ubarikiwe wote
Hotuba nzuri Sana hongera gwajima
Genius,hawa ndo watu wanatakiwa wapewe uwaziri,they have vision
namkubarii Sana'a
U are so intelligence!
Hiyo nafasi inakufaa sana Mtumishi wa Bwana, Kwa maono hayo Mungu akubariki sana
Good point Mr Gwajima
Daaaaah HUYU ASKOFU ANAONGEA VITU VYA MAANA NATAMANI AWE RAIS
Huyu jamaa namuona mbali sana...anafaa kuwa raisi wetu watanzania
Na wehu wanakuwaga Rais????
@@stevehiraly9127 huwa wanaishia bungeni tuu au..!?
Thanks
Safi Askofu Gwajima. Na hiyo vision ni sasa
Excellent. Tz will make the difference!!
Safi wambie kaka
Mungu akubariki
Amina
Hizi ndizo point tunazotaka bungeni, upana wa kufikiria
Hawa ndio watu tunaowataka bungeni👏👏👏👏👊
Safi sana gwajima
Huyu jamaa ni kichwa sanaa Ana akili za kupitiliza
💯
Nabisa
@Mimi Miso hapana Labda sijaweka sawa yani huo ni msemo wa vijana tuu mtu anafanya vema mpka anaboa yani kamsemo Gwajima yuko sawa sn nmkubali sn na Mungu amtangulie kila penye uzito amfanyie wepesi
Gwajima ni mtu ameongea point nzuri sana tuwe na muunganiko wa regime.
Waambie mr. Paster
Fact 👏👏👏👏👏
Hapa kazi tu!💪👍🇹🇿
Be blessed
Gwajima safi sana ndio maana hamna ajira Nyerere aliacha viwanda vingi vingeendelezwa ajira zingekuwa nje nje