Hotuba hii iperekwe tbc na itv mpaka Rtd na Radio 1 irudiwe kila baada masaa2 ivyo imufikie kila mtazania, wazarendo tutachanga tulipie garama hizo! wazarendo tutakao changa gonga like tufaamiane!
Unapo hubiri MATHABAHUNI NI VYEMA AJIKITE KTK NENO LA MUNGU.KISHA MAMBO YA CHANJO AANDAE MKUTANO WA KISIASA KAMA MBUNGE AONGEE VILE ATAKAVYO...VINGINEVYO UDOKTA WAKE UNAKIWA WA UCHONGANISHI NA INAONYESHA UPEO WAKE WA MAONO NI MFINYU SANA..HAJALI MASLAHI YA WALE AMBAO BILA CHANJO MAMBO YAO HAYAENDI.KISHA TUONE KAMA YEYE ANAWEZA KUSAFIRI KWENDA KUTEMBELEA VIJIWE VYAKE NJE YA NCHI.."THINK DEEP BROO"..
Mimi ni muislamu ila gwajina una malipo yako kwa mungu, saut yako italipwa bila shaka, wewe ni mtetezi wa watu na unaiman kweli kiroho, Nipo pa1 nawewe Askofu Gwajima
Hakika Gwajima wewe ni kiongozi maneno hayo tulitegemea yasemwe na kiongozi mkuu wa taifa tuko nyuma yako na Mungu hawezi kutuacha kamwe Mungu akubariki sana kiongozi wa Mungu
Thank you Bishop Gwajima, for fighting for us Africans, I pray that the Lord God Almighty protects you, and all tanzanians, all burundians and others and give them wisdom to do the will of God.
Hongera sana kwa maneno yako yaliyojaa busara kweli uamsho wa maneno umejaa hekima Haya ndiyo maamuzi ya kujenga sio kudidimiza Watanzania tuamke tusikubali kupelekwa
Amen sini Mungu anayesema ndani yakooo Barikiwa njo saha ya Mungu sasa kijitukuza Nimecanjwa apana juuu singe safiri nanirikuwa naitaji safari iyo basi Yesu anikumbuke juuu nilisababiswa Tuombeye kwa iyo
Mimi na familia yangu tumechagua kutokuchanjwa kwa kutumia chance ya hiari.... Hakika Baba josephat Gwajima wewe Ni Baba wa taifa wa pili🙏🙏🙏Thanks God for this gift.... Mungu akuliinde Sana... Taifa limeponaa
Hata zamani wazee wetu walikuwa na akili, Ila tatzo ilikuwa wafalme na machief. Wafalme ndo waliwauza watu wao kwa wazungu. Hata Sasa, nawaona ndugu zangu mpo vzuri. Tatzo ni viongozi wetu... Wamenunuliwa.
Kabisa wewe ni baba yangu nikiwa ulaya. Hakika wewe ni kiongozi wa ufufuo na uzima duniani. Una watoto wengi inje ya Tanzania. Asante baba yangu. Hakika mimi sijachwi. Tumepewa option ya kwamba you can choose not to take the 💉 due to your faith or health. I will use my faith. Mambo yaha tayari Mungu alikuwa amefunulia watoto wake. Mungu wangu ni mkubwa kuliko chanjo
@@kasianzulu3859 ndugu hapa bado imerudi kwa kasi kubwa na hata waliopata chanjo wanaugua ila kikubwa hii chanjo wanayoitoa hapa unafikiri ndiyo hiyo wataleta tanzania? Tuwe waangalifu hakuna cha bure
👏👏👏🙌🙌🙌 wewe na mimi ndio wazarendo wa kweli ktk Taifa letu la Tanzania. Sitochanjwa wala kua na hofu juu huo ugonjwa. R.I.P OUR LOVELY PRESIDENT OF TANZANIA AND AFRICA IN GENERAL John Joseph Magufuri. Umetuachia Gwajima na tupo tunaungana nae.
AMEN, Mimi sitachanjwa kwa jina la YESU pamoja na familiya yangu, pamoja na ndugu zangu kwa jina la YESU namtegemea Mungu wangu, pamoja na YESU wangu alienifiya msalabani
Ubarikiwa sana mtumishi wa mungu tunakuombea ulinz kwa mungu akupe uzima ufikie malengo yako tunakuomba uchukuwe fomu ugombee urais unatufaaa sana wao wanaendelea kufa cc hatuogopi kufa kwani kifo kikopale pale mungu tupiganie watanzania wote🙏🙏🙏
Asante sana Askofu Gwajima hakika wewe ni umetumwa na mungu kuja kututia iman na kutufariji wewe ni mfariji wa wanyonge....imani yangu ilikuwa kwa mwenyezi mungu kuwa baada ya magufuli atakuja mwingine na sasa nimeona ni wewe mwenyezi mungu aendelee kukulinda Askofu wewe ndie tunu ya Taifa letu....
Yaani, yaani, Askofu Gwajima you killed it, nilikuwa nasubiri Sana MTU 1 wa Mungu jasiri kama SIMBA aseme MANENO kama haya!!! Umebaki wewe Tu Babangu, wewe Tu Kulivusha Kanisa la Tz. Umebaki wewe Tu kulivusha Taifa hili. You were born for such a time like this my man of God!!! Soldier! Soldier! in our land!!!The only one!!! GO! GO! GO! Mbingu na Nchi ziko upande wako!!! Waombaji tupo upande wako! Yaani umetoshaaa!!! Umeniondolea MASIKITIKO yooote, nilikuwa nasikitika kwanini Viongozi wa DINI wamekaa Kimya namna hii! UMETOSHAAAAA!!! One Soldier, by the name Gwajima is enough for our NATION!!!
I wish kila mtu angekua japo na aslimia moja tu ya akili, maarifa na maono yako. U are more than intelligent, are a genious one. U speak only whts right in a right time to the right people.
Subhanah Allah Allah Akbarr 😳 Allah Wetu Mtukufu Subhanah Wataala akulinde na akuzidishiye usujaha Inshaalllah 🤲 I like your confidence. you are stronger lider. you have Patrice Lumumba, Nelson Mandela, and John Pombe Magufuli's spirits inside you. be protected from the evil eyes and they plans Inshaalllah 💞🤲💞🔥🔥🔥🏆🔥🔥🔥👑. you are next president of Tanzania 🇹🇿.
Tunakuombea kwa Mungu aishiye milele akutunze ,akulinde wewe ndiye Rais wetu ajaye kwa ajili ya Tanzania ijayo .MUNGU IBARIKI TANZANIA MUNGU MBARIKI GWAJIMA
This man is true Patriot who loves God and his country. Next time uko Birmingham, lunch is on me Mchungaji. Nakuunga mkono kwa haya maneno, I wish waKenya wenzangu wanaweza gutuka waache uzombie
Asante sana Mtumishi, nimebarikiwa sana sana katika hili, Hofu ni mbaya sana Watanzania wenzangu, Bado najiuliza kwa nini tumerudi nyuma kiimani kiasi hiki, MUNGU ALIYETUPIGANIA MWANZO NDIYE ATAKAYE TUSHINDIA TENA KATIKA HILI, Tulikuwa mbali sana kwa kweli HAKUNA SILAHA SIRAHA ITAKAYO SIMAMA JUU YAKO NA IKAFANIKIWA
Kwa kweli huyu kainyesha ujasiri mkubwa sana! Kapinga wazi wazi, ili hata huyo mama mwenyenyumba asikie na hamuogopi. Na ni mbunge wa Ccm humo humo! Tungepata wabunge kama hawa hata 20? Tusingenyanyasika nyanyasika.
Ahsante sana Mungu kwa Wazalendo na Wenye kuwa tayari kujitoa kwa ajili ya Wazalendo. Mungu Akulinde. Mungu Tunakuomba Usikie Kilio Chetu Watanzania. Mungu Waangamize Wagaidi wa Nchi Tanzanian.
Willy mnyanga umefeli maamuzi ya mama samia niyake usimuingize mtu mungine, kosa likitokea ni lake kiongozi wa nchi mstaafu halimuhusu, Ila msimamo wa huyu mbunge nimeukubali nimeupenda namimi nasema sichanjwi labda unikute nimezimia na barakoa zao ndizo zitakazo tumalia hasa kwa watumiaji wetegesha humo magonjwa
Ndiyo Sababu Mar.. Magu alisema nipeni Gwajima, Hakika aliona Spirity ya Uzalendo juu yako. Binafsi nimeiona sasa! Kweli wewe Si Mwanasiasa fuata upepo.
Hotuba hii iperekwe tbc na itv mpaka Rtd na Radio 1 irudiwe kila baada masaa2 ivyo imufikie kila mtazania, wazarendo tutachanga tulipie garama hizo! wazarendo tutakao changa gonga like tufaamiane!
Waaaoooh kabxaaa kaka uko sahh ipelekwe kwenye channel mbali mbali na Radio mbali mbali iwe inarudiwa kila baada ya masaa 2
Kabisa nami ntachangia Ili Kila raia aiskie hi nizaid yaspeech had namachoz yamenitoka mungu atusaidie
Ipelekwe sio iperekwe
Hotuba za mama hazina mashiko kama hizii..
Mimi natoa milioni moja
Hotuba Hii ya Askofu Gwajima ni hotuba muhimu sana. Iingie kwenye kumbukumbu ya Taifa. Mungu ibariki Tanzania
Unapo hubiri MATHABAHUNI NI VYEMA AJIKITE KTK NENO LA MUNGU.KISHA MAMBO YA CHANJO AANDAE MKUTANO WA KISIASA KAMA MBUNGE AONGEE VILE ATAKAVYO...VINGINEVYO UDOKTA WAKE UNAKIWA WA UCHONGANISHI NA INAONYESHA UPEO WAKE WA MAONO NI MFINYU SANA..HAJALI MASLAHI YA WALE AMBAO BILA CHANJO MAMBO YAO HAYAENDI.KISHA TUONE KAMA YEYE ANAWEZA KUSAFIRI KWENDA KUTEMBELEA VIJIWE VYAKE NJE YA NCHI.."THINK DEEP BROO"..
@@mwalimulossilamsuya1944 ubaya aliosema apo uko waap coz bungenii uwez ongea masaa yote ayo..Kam ujamwelewa tupishe. Kwanza
@@mwalimulossilamsuya1944 your brain is useless
Mwenye macho kaona,mwenye masikio kasikia,ahsante Dctor Gwajima
Tuko pamoja nawe
Amina
Nakuelewa
Dar mpka najikuta nalia
Baraka za Mungu ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu
Nimepata Mungu tuliyenaye
Mungu akutunze bora umejitokeza kusema maana wanaogopa wengine
Mimi ni muislamu ila gwajina una malipo yako kwa mungu, saut yako italipwa bila shaka, wewe ni mtetezi wa watu na unaiman kweli kiroho, Nipo pa1 nawewe Askofu Gwajima
Jpm bado yupooo a legend never die naomba gwajima 2025 gombea urais mi nitakup kura
Hakika umevaa viatu vya Magufuli....usiogope baba Askofu Mungu ni mkuu kuliko watu wote na chochote duniani🙏🏻
Hakika Gwajima wewe ni kiongozi maneno hayo tulitegemea yasemwe na kiongozi mkuu wa taifa tuko nyuma yako na Mungu hawezi kutuacha kamwe Mungu akubariki sana kiongozi wa Mungu
Nashukuru sana mchungaji kwa kuwa wewe ni msema kweli huna chembe yoyote ya unafiki. Unafiki ndio umetawala waafrika tunaangamia
Kabisa
Asante SANA Hon. Bishop Dr. Gwajima umenifurahisha SANA pamoja nawewe kamanda. Twende mbele Taifa Kwanza. Watu wanapewa hofu.
Hawa ndio wasomi sasa tunashukuru kwa kutujenga wananchi wako
Kamua baba
Ongea mimi buje
Kwakweli gwajima yuko sawa Mungu ambariki ktk hili
🙏🙏🙏🙏👏👏👏
Thank you Bishop Gwajima, for fighting for us Africans, I pray that the Lord God Almighty protects you, and all tanzanians, all burundians and others and give them wisdom to do the will of God.
Asantee mwenyezi Mungu kakutumia ww baba kuokoa taifa letu,imeshakuwa ujumbe umetufikia,barikiwa
Hongera sana kwa maneno yako yaliyojaa busara kweli uamsho wa maneno umejaa hekima
Haya ndiyo maamuzi ya kujenga sio kudidimiza
Watanzania tuamke tusikubali kupelekwa
Asante sana askofu maana ujinga unaendelea nihatali
I'm watching from united state of America 🇺🇸
Mange kimambi yupo huko muamshe asklize
MUNGU akulinde ngwajima unajua kutoa ujumbe saiki MUNGU muongezee maono.
Nlikua sikukubali Ila kwa hili tupo pa1 like nyingi hapa kwa mwamba gwajiboy🙏🙏
Waislamu na Watanzania wote mulio ndani ya nchi yenu muombeeni dua Mungu amlinde huyu .Msema kweli siku zote anajuwa na maadui na hasa msema kweli.
Nikweli ndugu yangu
Chanjo sio salama kabisaa!!
Big up 👍
Haaaa!
Hhko99999rrrtt L 1jjiu89999999
Utulivu wa rohoni ni matokeo chanya kutoka Kwa Mungu. Ubarikiwe sana bishop kwa Mafunuo hayo
Gwajima nimekupenda bure, wewe ni mwanaume wa shoka.💪💪💪
Pr uko vizr tuko pamoja
Pr uko vizr tuko pamoja
Bi up Gwajima
Huyu co mnafki,huyu ni Magufuli kbs Mungu akulinde kbs maana watu wa haki hawapendwi
Tukopamoja, askofu gwajima.
Wahubiri wakuu wa Kenya, mbona hamuongei kuhusu mambo haya ya chanjo? Ubarikiwe Askofu Gwajima!
They are not free thinkers...they just rely on what the western suggest and the government and they are tumbocrats too.
Hawako huru Tanzania tumeondokewa na magufuli lkn bado tuna wengine hawa💪💪👏👏
Tz taifa la mungu Kuna vipaji vya kulinda nchi ona huyu jamaa anavyotoa material kwa taifa lake mpaka raha.Naipenda tz yangu uko vizuri gwajima
Amen sini Mungu anayesema ndani yakooo
Barikiwa njo saha ya Mungu sasa kijitukuza
Nimecanjwa apana juuu singe safiri nanirikuwa naitaji safari iyo basi Yesu anikumbuke juuu nilisababiswa
Tuombeye kwa iyo
B bless man of God watashindana na hawatashinda. Bwana yesu atatutetea katika namna ya ajabu we are going to live a super natural life. Amen
Watanzania tulikuwa tunalia tutapata wap chuma kama jpm haya Sasa chuma kingine ichi hapa mungu balik gwajima
Jaman munaonaje watazania wezangu kwann 2025 asipewe urais wa ichi huyu ni chuma Kama jpm
@@loismarwa10 iyo inaeleweka lakin tuombe kwa mungu tupate lais kama gwajima
MUNGU amuinue Gwajima
Unaona mbali kaka
Jpm no 2 fact
Mimi na familia yangu tumechagua kutokuchanjwa kwa kutumia chance ya hiari.... Hakika Baba josephat Gwajima wewe Ni Baba wa taifa wa pili🙏🙏🙏Thanks God for this gift.... Mungu akuliinde Sana... Taifa limeponaa
HIVI HAWA WAZUNGU WANATUONA WAAFRIKA NI MAPOYOYO KAMA ENZI ZA UKOLONI AU?. KAMA WW SIO POYOYO GONGA LIKE HAPA.
Yan tutakoma
Viongozi wetu litafakariwe ili
Hata zamani wazee wetu walikuwa na akili, Ila tatzo ilikuwa wafalme na machief. Wafalme ndo waliwauza watu wao kwa wazungu.
Hata Sasa, nawaona ndugu zangu mpo vzuri. Tatzo ni viongozi wetu... Wamenunuliwa.
Umeongea point kaka
Kwenye hilii mchungaji Niko na WW🙌🏽💯
This guy is the future of Tanzania.. Maghufuli never died in vain.
Yes
Real
For sure
Kabisa wewe ni baba yangu nikiwa ulaya. Hakika wewe ni kiongozi wa ufufuo na uzima duniani. Una watoto wengi inje ya Tanzania. Asante baba yangu. Hakika mimi sijachwi. Tumepewa option ya kwamba you can choose not to take the 💉 due to your faith or health. I will use my faith. Mambo yaha tayari Mungu alikuwa amefunulia watoto wake. Mungu wangu ni mkubwa kuliko chanjo
Siyo uraya lakini Ni ulaya.... Acha ushamba
Tunaitaji uwe Rais next season...watu Kama Gwajma tunawaitaji Tanzania,God bless you forever
Unafikiri uraisi ni viazi unajiwekea tuu.
Kabisa anajua saaana Yaaaan, awe Rais
Anafaa Sana wazozuli haijalishi awelaisi wachadema Au ccm anafaa
Rais gani Sasa mfufua misukule au???
Muheshiwa wewe ni kichwa hii chanjo hata hapa marekani wenyewe nusu ya wananchi wameikataa mweheshimiwa 👏👏👏👏
Wameikataa uko nambie ndugu hali ikoje uko?
@@kasianzulu3859 ndugu hapa bado imerudi kwa kasi kubwa na hata waliopata chanjo wanaugua ila kikubwa hii chanjo wanayoitoa hapa unafikiri ndiyo hiyo wataleta tanzania? Tuwe waangalifu hakuna cha bure
👏👏👏🙌🙌🙌 wewe na mimi ndio wazarendo wa kweli ktk Taifa letu la Tanzania. Sitochanjwa wala kua na hofu juu huo ugonjwa. R.I.P OUR LOVELY PRESIDENT OF TANZANIA AND AFRICA IN GENERAL John Joseph Magufuri. Umetuachia Gwajima na tupo tunaungana nae.
AMEN, Mimi sitachanjwa kwa jina la YESU pamoja na familiya yangu, pamoja na ndugu zangu kwa jina la YESU namtegemea Mungu wangu, pamoja na YESU wangu alienifiya msalabani
Kenya nione kiongozi kama wewe baba nitafurahia Sana. Wewe ni mtu umetumwa na Mungu,na hilo halina mjadala🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Baba tumesikiliza hotuba yako tumeibroadcast kwenye speaker na tutaendelea kutoa elimu hii kwa watanzania.Mungu akupe maisha marefu mtumishi wa Mungu
🙌
Safi sana Askofu Josephat Gwajima, Mungu wa Mbinguni akulinda kwa Masilahi mapana ya watu wake.
sichanjwiii nimekuelewa bishop gwajima
Na kuelewa sana Askofu Heshima🙏🙏
Zile nyakati za mwishoni ndio hizi kama zilivyokwishwa tanabaishwa kwenye ufunuo 13:1-18,Ee Mungu tuoneshee njia katika nyakati hizi
Ubarikiwa sana mtumishi wa mungu tunakuombea ulinz kwa mungu akupe uzima ufikie malengo yako tunakuomba uchukuwe fomu ugombee urais unatufaaa sana wao wanaendelea kufa cc hatuogopi kufa kwani kifo kikopale pale mungu tupiganie watanzania wote🙏🙏🙏
Asante sana Askofu Gwajima hakika wewe ni umetumwa na mungu kuja kututia iman na kutufariji wewe ni mfariji wa wanyonge....imani yangu ilikuwa kwa mwenyezi mungu kuwa baada ya magufuli atakuja mwingine na sasa nimeona ni wewe mwenyezi mungu aendelee kukulinda Askofu wewe ndie tunu ya Taifa letu....
The speech/presentation is from the realm of spiritual authority!!! Alaaa, the demon corona virus shut up and loose my nation in the name of Jesus.
Yaani, yaani, Askofu Gwajima you killed it, nilikuwa nasubiri Sana MTU 1 wa Mungu jasiri kama SIMBA aseme MANENO kama haya!!! Umebaki wewe Tu Babangu, wewe Tu Kulivusha Kanisa la Tz. Umebaki wewe Tu kulivusha Taifa hili. You were born for such a time like this my man of God!!! Soldier! Soldier! in our land!!!The only one!!! GO! GO! GO! Mbingu na Nchi ziko upande wako!!! Waombaji tupo upande wako! Yaani umetoshaaa!!! Umeniondolea MASIKITIKO yooote, nilikuwa nasikitika kwanini Viongozi wa DINI wamekaa Kimya namna hii! UMETOSHAAAAA!!! One Soldier, by the name Gwajima is enough for our NATION!!!
Anza kupiga magoti na kumwombea.
I wish kila mtu angekua japo na aslimia moja tu ya akili, maarifa na maono yako.
U are more than intelligent, are a genious one. U speak only whts right in a right time to the right people.
Gwajima Wewe Usibadilishe Msimamo Mtumishi wa Mungu..... Hakika Mimi nakuelewa Vizuri
Awareness is extremely an important tool to liberate people.... Gwajima much appreciation from me. Chana ukweli
Nimekukubali.. Gwajima maana mwanamme hua hapindishi maneno... sio kama wale mashoga leo anasema pera kesho chungwa... Pamoja sana Askof
Mungu akubariki baba tunakuamini. Tumuombee sana baba Yetu
Tuwaombee watu Kama Askofu Gwajina wanaojitoa kwaajili ya watanzania , niwachache Sana wanaokua na ujasili Kama huu Mungu awabariki watetezi wetu 🎉
This man is telling us the truth
Subhanah Allah Allah Akbarr 😳 Allah Wetu Mtukufu Subhanah Wataala akulinde na akuzidishiye usujaha Inshaalllah 🤲 I like your confidence. you are stronger lider. you have Patrice Lumumba, Nelson Mandela, and John Pombe Magufuli's spirits inside you. be protected from the evil eyes and they plans Inshaalllah 💞🤲💞🔥🔥🔥🏆🔥🔥🔥👑. you are next president of Tanzania 🇹🇿.
The strongest speech kweli una uzalendo wa kweli.
Tunawahitaji watu kama nyinyi katika taifa letu. Mungu akubariki sana, mtumishi wa Mungu. Asante.
MR. TANZANIA A MAN OF GOD , HAKUNA WAKUKUZUIA WALIO UPANDE WETU NI WENGI SANA..
KULIKO HAO WA KORANA.WAPIGWEEEEEEE......
Tunakuombea kwa Mungu aishiye milele akutunze ,akulinde wewe ndiye Rais wetu ajaye kwa ajili ya Tanzania ijayo .MUNGU IBARIKI TANZANIA MUNGU MBARIKI GWAJIMA
Hakika u are real a man of God,na utaendelea kuw hivyo kwa sababu nina iman hta Mungu amekukubali na anajivunia
Good reasoning! Good facts! Wise & Intellectual performance on thinking
You're the only religious leaders who dares
👏🙏
Mungu akulinde hakuna wa kukudhuru mungu yupo tuelimishe watanzania
Am a born again bishop for Jesus is coming again ministry in malawi
Mama Samia kama hujamsikiliza mwamba gwajima bas nitakuwa na mashaka na wewe juu ya uwezo wako wakufikiri Mambo makubwa
Ameshauza nchi huyo Mama!!! Duuuh Mama,ndani ya miezi ndo tumefika hapa??? Mungu akurehemu!!!
Hawezi kusikiliza, maana tayari ameshacheza ngoma ya Mzungu
Hahahahahaa kabxaaa kaka
Amen Mungu awe mtetezi wako maana we nimtetezi wetu wanyonge🙏
Mama kashakula mwingi wamzungu hata magu afufuke leo lzm atazimia tena hawezi amini Mama ndio huyo derila kabisa
AMEEN BABA MUNGU WA MBINGUNI AKUTUNZE ZAIDI KWAAJILI YETU SISI WA TANZANIA... NAKUPENDA SANA BABA
Sema kweli baba tunahitaji viongozi kama nyinyi
Tufanye maombi ya nguvu sana,, mchungaji yupo katika hatari. Ni nguvu ya Mungu tu inaweza kumlinda.!
Nikwel robi, lakn watu wa ainahii huwaga hawafagi hovyo hovyo.
Asee!! Bwana Gwajima una hakil nyingi mno🙏🙏. Mungu akubariki mno. Na azidi kukulinda tuko nyuma yako.💪💪
Naamini utapata maadui wengi sana hasa kwenye ccm na serikali ya huyu mama, ila sisi wazarendo tunakuombea sanaaa sanaaa kwa Allah.
Jamani we hamis umeniliza unajitambua Sana ase mungu Alie juu akubaliki
Kweli kbx
Asante mchungaji niko Bahrain penye kuna Corona nashukuru mungu wetu nimekua tuko pamoja hapa waliniita kichwa ngumu nafurahi sana
Uko bahrain kuna demu mmoja anaitwa rukia unamju ni mkenya ni demu wangu huyo
Sema mtumishi wa MUNGU,
Tukisema Yuko Jasusi wa mbinguni aliyepewa siri nyingi mwakaa kushangaa shangaa,
Shauri yenu.
This man is true Patriot who loves God and his country.
Next time uko Birmingham, lunch is on me Mchungaji. Nakuunga mkono kwa haya maneno, I wish waKenya wenzangu wanaweza gutuka waache uzombie
True Man of God....the bible says my people will perish because lack of knowledge...Thank you I needed this..🙏
I tap and connect this confidence in Jesus Name!
😀nakupendaga sn, Gwajima I stand with u for this!
Mungu akupe moyo wa ushuja Mami nipo pamoja na wewe eemungu tuongoze
@@priscamahenge1431 jamani jamani mjomba magu uripo ingewezekana hata kugeuka nyuma ungeshangaa Sana watanzania warivyo vaa barakoa
Mimi nasememo Gwajima ni MZALENDO wa kweli na mwenye uchungu na taifa lako la TANZANIA na AFRIKA kwa jumla
Sahihi askofu Gwajima..
Safi sana Mtumishi wa Bwana
Huyo anaitwa independent Preacher, anayehubiri bila kuangalia sura ya mtu. 💪💪
🦠Flekelea mbali kabisa.
Sure
Watanzania tumuunge Mkono Bishop Gwajima Josephat kwa Vitendo
Yaaani MUNGU Aniweke 2025 Nakuomba Ugombee Urais,Kura Yangu Chukua
Nasimama na askofu gwajima
Tunashikamana na gwajima,mia kwa mia.
Asante sana Mtumishi, nimebarikiwa sana sana katika hili, Hofu ni mbaya sana Watanzania wenzangu, Bado najiuliza kwa nini tumerudi nyuma kiimani kiasi hiki, MUNGU ALIYETUPIGANIA MWANZO NDIYE ATAKAYE TUSHINDIA TENA KATIKA HILI, Tulikuwa mbali sana kwa kweli HAKUNA SILAHA SIRAHA ITAKAYO SIMAMA JUU YAKO NA IKAFANIKIWA
Amen...God bless you 2give u the authority to deliver the Nation n all AFRICAN⌚✊
Ροτοοοςττοο
..O
, v
Zrowo
Ndugu zangu mwenye maskio na asikiye na mwenye macho na aone,Roho wa Bwana awaambia Mataifa..Jina la BWANA Libarikiwe
Amen. Amen. Amen. Mungu. Yupo nasi
Amen. Amen. Amen. Mungu. Yupo nasi
Watu Kama Gwajima Tanzania wamebaki wachache Sana tuwaombee Sana ndio hazina ya taifa
Hakika
Nan na man sasa
Amen
Yes, tupo wachacheee
Na hakuna, wote wameelekea kwa huyo mama mtaka misaada. Huyu ndiyo kajitoa muhanga kati ya Wabunge wote.
Thanks again pastor God will make you happy forever
Nakupenda sana gwajima
Ameeen
Be blessed Gwajina and God bless you, we 're together
I like this man of God, he is not a simple person. I support your stand sir. From zambia
Independent thinkers are very few in this continent, you are one of them Gwajima. One love from 🇰🇪🇰🇪
The president to be Askofu Gwajima
Unastaili kuongoza nchi Aisee huo ujasili sio wa kawaida ,naungana na wewe Hizo Chanjo hazitufai kabisa
Nakukubali sana askofu gwajima nindo zako za uhakika
True Sana indeen the next my next president
Kwa kweli huyu kainyesha ujasiri mkubwa sana! Kapinga wazi wazi, ili hata huyo mama mwenyenyumba asikie na hamuogopi. Na ni mbunge wa Ccm humo humo! Tungepata wabunge kama hawa hata 20? Tusingenyanyasika nyanyasika.
Upo vizuri
My Almighty God bless you man of God!
Asante Sana Gwajima mungu akusimamie uendeleee kutuelimisha wa Tanazania mungu tusaidie watoto wako 🙏🙏🙏🙏🙏
Somo nimelielewa 👌🇹🇿Mungu atutunze🙏🏻 Mungu akutunze Mtumishi wa Mungu
From Kenya I bless you in Jesus name ..
Huyu ni Daudi wetu Mungu ametunyanyulia baada ya Magufuli Asante Ee Mungu wetu tunajua unatupenda Tanzania ni nchi teule tunapendwa na Munguu
Good insight Prof. Gwajima
Kiukweli MUNGU akubariki sana mtumishi. Jembe la BWANA wangu.
Tanzania tumebakiza huyu mmoja ,tu ndo ametetea watanzania wengi
Huyu jamaa sikuwahi kumuelewa kabisa Ila kuanzia Jana namuappreciate big up bishop ❤️❤️❤️❤️🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Na bado mtamwelewa tuuu
Mungu akulinde
Gwajima umeupiga mwingi sana hakika umeokoa taifa lako. Mungu akupe maisha marefu.
Kweli Gwajima ni jasiri ,hongera sana mtumishi kwa kutokumuogopa shetani na wafuasi wake.
Amen baba asante nipo europe nasijachanja
Watakuambia uongelee ya Kawe tu je ccm ingali sawa
@@rosemerengary1834 uko nchi gani Rose?
@@rosemerengary1834 uko nchi gani Rose?
Ongea tuponeee....
Asantee sana mungu mwema umeongea maneno mazuri sana mimi na familia yangu hatuchomi
Ahsante sana Mungu kwa Wazalendo na Wenye kuwa tayari kujitoa kwa ajili ya Wazalendo. Mungu Akulinde. Mungu Tunakuomba Usikie Kilio Chetu Watanzania. Mungu Waangamize Wagaidi wa Nchi Tanzanian.
Mwenye sikio na asikie neno roho asema na watanzania, Mungu tusaidie usituache, mhifadhi mtumishi wako
Duuh magu💔💔 😭 mambo yamebadilika we mungu mpumzishe baba pema magu wangu mambo yamebadilika Sana
Hongera baba Askofu Kwa Eli mu Yako ya kuelimishe wananchi wote!!
Mwenyez Mungu akujalie afya njema kaka ili uweze kuwa msaada mkubwa zaid kweny hili taifa na hata dunia nzima!
Mwenyez Mungu akujalie afya njema kaka ili uweze kuwa msaada mkubwa zaid kweny hili taifa na hata dunia nzima!
48:29 😅 Dah You make alot of sense mtumishi. May God protect us all
Thank you bishop! Chanjo ya haraka ya majaribio haifai!
Asant san bishop kwamaono yako mungu aendele kukutumia zaidi na zaidi neema ya mungu ukufunike kwa jina la yesu
No weapon formed against Tanzania shall prosper. In Jesus Name. Majeshi majeshi majeshi ya Bwana. Ubarikiwe Bishop Gwajima
Wow! that's okay, boldness can deliver
KIKWETE! KIKWETE! KIKWETE! Unamuingiza chaka huyo mama, utu wa watanzania unaufanyia biashara ili utajirishe familia yako, mungu anakuona kikwete.
Kikwete mshenzi sn
@@mchancy9953
Nyie watu mbona mnatumia mitandao vibaya
Kikwete amekosa nini? Acha kuchanganya mambo usimuingize kikwete kwenye maamuzi ya mtu mwingine
Willy mnyanga umefeli maamuzi ya mama samia niyake usimuingize mtu mungine, kosa likitokea ni lake kiongozi wa nchi mstaafu halimuhusu, Ila msimamo wa huyu mbunge nimeukubali nimeupenda namimi nasema sichanjwi labda unikute nimezimia na barakoa zao ndizo zitakazo tumalia hasa kwa watumiaji wetegesha humo magonjwa
kikwete ni mpenzi wa mama samia kwahiyo kila kitu ndio tu
Yesssss wadondokewe na kitu kizito kwa JINA KUU LA YESU
Amina
Amina
Amen
Onpoint man of God, I like your courage and speaking truth of the matter, barikiwa kila mara wanibariki
Kweli huyu ni mtumishi wa MUNGU sahihi alieitwa na Mungu mwenyewe, Mungu akulinde akuepushe na maadui,
May God bless Tanzania and its people who worship and fear ONLY HIM FOREVER AND EVER AMEN
Ndiyo Sababu Mar.. Magu alisema nipeni Gwajima, Hakika aliona Spirity ya Uzalendo juu yako. Binafsi nimeiona sasa! Kweli wewe Si Mwanasiasa fuata upepo.
👋👋
👏👏👏👏
Kwakweli huyu Ni rais ajae km anakubali Bora agombee urais tu atukomboe
Fact
Surely
Mungu akuinue ktk viwango vya juu zaidi mtumishi wa mungu,naomba uchangue pakuwekwa sanamu lako
Mzungu ni Kama shetani Hana cha bure🤣🤣🤣Siri umelifichua Askofu, mighty worrior usiongope, Asante kutuzaidia na kutujuza zaidi🇰🇪🇰🇪
Ninakwona co name wakwa...happy to see you here
Asante sana mtumishi kwa kutufumbua macho Mungu atubarikii sana tuvuke katika hilii salamaa Ameen
Asante askofu mungu akulinde unatutafsilia vizur Sana biblia takatifu tupo pamoja