Pole sana baba nimejikuta naliatu ila mungu ndie muweza wa yote dunia tunapita tu hatujui siku wala saaa kikubwa tuwaombee tu walio tangulia mbele yake nyuma yetu pumzika kwa amani kaka 🙏🙏🙏
Poleni sana familia Mungu awape faraja yake. Sio jambo rahisi kijana alikuwa bado mdogo na alikuwa na ndoto zake za kutimiza bali yote Mungu bado atabaki kuwa Mungu
Pole baba yagu mungu akutulize wewe na mama sababu maumivu ya mutoto muzazi njo anajuwa🇨🇩
Watu wasikuhukumu kwakuangalia mwili mungu anaangalia roho💯💯 point kubwa sana nabii
Baba MUNGU akuongezee,mama mungu akuongezee ,awatunze wote familia nzima
Pole sana baba nimejikuta naliatu ila mungu ndie muweza wa yote dunia tunapita tu hatujui siku wala saaa kikubwa tuwaombee tu walio tangulia mbele yake nyuma yetu pumzika kwa amani kaka 🙏🙏🙏
Pole sana baba tumwombee azidi kupumzika kwa amani mbingungu
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭 miaka 34?💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔 Mungu awatie nguvu kazi yake haina makosaaa😭🙏🙏 tulitoka mavumbini 🧎🧎
Pole Sana Baba Mungu akutie Nguvu
Poleni sana familia Mungu awape faraja yake. Sio jambo rahisi kijana alikuwa bado mdogo na alikuwa na ndoto zake za kutimiza bali yote Mungu bado atabaki kuwa Mungu
Poleeeee
Pole Sana
Inalilahi ws inailah rajuhun Baba utayavuka usijali tupo na mungu kila wakati kila mara
Poleni sana Family ya Nabii mkuu
Aki mungu akupe nguvu, mtumishi sio rahisi,
Pole weee baba mtoto anauma,,, ila km kwel hayo n maagono ya kishetan achen. Amungu atusamehe km tunafikiria vby ila mtt anauma na msiba unauma mno.
Pole sana nabii mkuu Mungu akawe mfariji wenu 😢😢
Dah mungu akutie nguvu
Amin
Polee sana Baba
Pole sana baba angu vijana tuombee sana
Pole babayetu wa kiroho mh dkt mungu akuongoze😪😪😪
WATU wangu Wana angamia kwa kukosa maarifa
Pole sana baba na familia yako sijawai kufika kanisani kwako lakini nimekua nikikufwatilia yutubu poleni sana jamani😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Naumia jamani
😢😢😢😢😢
Dada ya Nick Ana roho ya ujasili Sana
Mama yangu alikufa siku ya kuaga tulikua wakavuu ila siku mbili nyuma tulikua tunalia hadi hamu imeisha
We unadhani utalia hadi lini walishalia tangu siku ya kwanza hao
Cromado linajumalizeni
Naumia jaman
Pore baba usivunjike moyo