"Nasikia NISHER ananiambia haya rohoni" maneno ya NABII MKUU kwa mara ya kwanza baada ya kifo cha...

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 7 ก.ย. 2024

ความคิดเห็น • 30

  • @graciatully4937
    @graciatully4937 8 หลายเดือนก่อน

    Pole baba yagu mungu akutulize wewe na mama sababu maumivu ya mutoto muzazi njo anajuwa🇨🇩

  • @mussajeremia9072
    @mussajeremia9072 8 หลายเดือนก่อน +3

    Watu wasikuhukumu kwakuangalia mwili mungu anaangalia roho💯💯 point kubwa sana nabii

  • @agnessmalyeek9387
    @agnessmalyeek9387 8 หลายเดือนก่อน

    Baba MUNGU akuongezee,mama mungu akuongezee ,awatunze wote familia nzima

  • @user-jx4rx6jy6y
    @user-jx4rx6jy6y 8 หลายเดือนก่อน +1

    Pole sana baba nimejikuta naliatu ila mungu ndie muweza wa yote dunia tunapita tu hatujui siku wala saaa kikubwa tuwaombee tu walio tangulia mbele yake nyuma yetu pumzika kwa amani kaka 🙏🙏🙏

  • @yorandayorandan4018
    @yorandayorandan4018 8 หลายเดือนก่อน

    Pole sana baba tumwombee azidi kupumzika kwa amani mbingungu

  • @euniceyalledy1745
    @euniceyalledy1745 8 หลายเดือนก่อน

    😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭 miaka 34?💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔 Mungu awatie nguvu kazi yake haina makosaaa😭🙏🙏 tulitoka mavumbini 🧎🧎

  • @sweetluc2660
    @sweetluc2660 8 หลายเดือนก่อน

    Pole Sana Baba Mungu akutie Nguvu

  • @mauleenkiwia6022
    @mauleenkiwia6022 8 หลายเดือนก่อน

    Poleni sana familia Mungu awape faraja yake. Sio jambo rahisi kijana alikuwa bado mdogo na alikuwa na ndoto zake za kutimiza bali yote Mungu bado atabaki kuwa Mungu

  • @judiththobias5132
    @judiththobias5132 8 หลายเดือนก่อน

    Poleeeee

  • @kalumbugideon4159
    @kalumbugideon4159 8 หลายเดือนก่อน

    Pole Sana

  • @ramlamohamed4401
    @ramlamohamed4401 8 หลายเดือนก่อน

    Inalilahi ws inailah rajuhun Baba utayavuka usijali tupo na mungu kila wakati kila mara

  • @rachelmongi4222
    @rachelmongi4222 8 หลายเดือนก่อน

    Poleni sana Family ya Nabii mkuu

  • @user-cg3vf2bl6b
    @user-cg3vf2bl6b 8 หลายเดือนก่อน

    Aki mungu akupe nguvu, mtumishi sio rahisi,

  • @user-eo4hd8xu6d
    @user-eo4hd8xu6d 8 หลายเดือนก่อน

    Pole weee baba mtoto anauma,,, ila km kwel hayo n maagono ya kishetan achen. Amungu atusamehe km tunafikiria vby ila mtt anauma na msiba unauma mno.

  • @user-jz4xh5uo1i
    @user-jz4xh5uo1i 8 หลายเดือนก่อน

    Pole sana nabii mkuu Mungu akawe mfariji wenu 😢😢

  • @aminamzuri9933
    @aminamzuri9933 8 หลายเดือนก่อน

    Dah mungu akutie nguvu

  • @user-fo3tj1bj5e
    @user-fo3tj1bj5e 8 หลายเดือนก่อน

    Amin

  • @dicksonjonas1799
    @dicksonjonas1799 8 หลายเดือนก่อน

    Polee sana Baba

  • @janethmlacha6177
    @janethmlacha6177 8 หลายเดือนก่อน

    Pole sana baba angu vijana tuombee sana

  • @jeffmasapala4194
    @jeffmasapala4194 8 หลายเดือนก่อน

    Pole babayetu wa kiroho mh dkt mungu akuongoze😪😪😪

  • @samirazuberi186
    @samirazuberi186 8 หลายเดือนก่อน

    WATU wangu Wana angamia kwa kukosa maarifa

  • @Monica-vq2iy
    @Monica-vq2iy 8 หลายเดือนก่อน

    Pole sana baba na familia yako sijawai kufika kanisani kwako lakini nimekua nikikufwatilia yutubu poleni sana jamani😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @Monica-vq2iy
    @Monica-vq2iy 8 หลายเดือนก่อน

    Naumia jamani

  • @Happizo
    @Happizo 8 หลายเดือนก่อน

    😢😢😢😢😢

  • @sweetluc2660
    @sweetluc2660 8 หลายเดือนก่อน

    Dada ya Nick Ana roho ya ujasili Sana

    • @joycehaule9717
      @joycehaule9717 8 หลายเดือนก่อน

      Mama yangu alikufa siku ya kuaga tulikua wakavuu ila siku mbili nyuma tulikua tunalia hadi hamu imeisha

    • @joycehaule9717
      @joycehaule9717 8 หลายเดือนก่อน

      We unadhani utalia hadi lini walishalia tangu siku ya kwanza hao

    • @baoussenesombair8007
      @baoussenesombair8007 8 หลายเดือนก่อน

      Cromado linajumalizeni

  • @joycekaguo8476
    @joycekaguo8476 8 หลายเดือนก่อน

    Naumia jaman

  • @user-ch3ku3yx2z
    @user-ch3ku3yx2z 8 หลายเดือนก่อน

    Pore baba usivunjike moyo