TULIKUTANA MIEZI MIWILI KABLA YA VISA KUISHA|MAMA MKWE HAKUNITAKA|NIMEPITIA UBAGUZI|HOTELIA IMENITOA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 16 ต.ค. 2024
- Hakuna Matata kitchen ameeleza Safari yake ya maisha kutoka Tanzania kufanya kazi za hotel mpaka kufika kuingia Qatar, Dubai na hatimae kufika Marekani
Ameeleza changamoto na mapambano yake ya bila kukata tamaa na kuhitaji maisha yaliyo Bora zaidi.
Alivyoweza kutimiza malengo yake na namna alivyokutaka na mume wake kwa online dating
Thank you Bernadetha for allowing this to be online
www.oda.international
Masha Allah napenda sn wageni wk unaowahoji, Maneno ya huyu dada ni kweli anavyosema kazi yeyote ni kazi ili mradi inakuingizia rizki,fanya kadri ya uwezo wk.
Asante sana Bernadetha, umefafanua vizuri. Lakini dada Shenna shida watz waoga na hawana confidence, mtu anakuomba mchongo unamuelekeza na unampa utaratibu wote, akisikia kuna mtihani wa kiingereza humpati tena, ukija kwenye gharama mtu anapotea, unataka kitu kizuri ni gharama hata waliokuja wametumia gharama kubwa, hakuna cha bure. Watz changamkeni fursa, tumelala sana , wakenya wenzetu wanasaidiana sana, kwasbbabu wana confidence na wanajua kingereza.
Well said 📌
Kweli jirani yangu confidence inatunyanyasa mno waTanzania
😂eti mtihani wa kingereza watu wanapotea🙌
Hongera mdogo wangu Benadertha hakika una roho ya dhahabu toka nimekufahamu tukiwa shule o level na hayo uliyoyasema yametoka kabiba moyoni mwako na asante kwa ku inspire wengine.
Shena watanzania hatupo nchi nyingi sana tatizo ya roho mbaya, watanzania tuna roho mbaya sana tofauti na waafrika wenzetu wa west Africa na wakenya, watanzania hatupeani connection, mimi nimemuomba mtu namba ya ajent wa hapo Dubai tu na kaninyima anahisi akinipa namba ntapata Sanaa, hilo ndio tatizo kubwa, roho mbaya Sanaa
Shoga upo ndugu yng km una ela pamban tu utafika ila usitegemee mtz atakufikisha nje kumi kwa mj mwenye roh mzur
Pamban mwenyw uende usimtegemee mtu
Tuma namba nikutumie wasap sasa hivi lakini uwe na passport ya kusafiria
Wakenya ndo waogope kabisa kiufupi ukifika popote achana na marafiki
@@joycemallem7427upo nchi gn mamy
Sister Bernedeta Mungu azidi kukumiminia Baraka..maana umetufungua macho mno...Respect sis Sheena💖
Dada shena hongera sana huyo dada anatufingua macho kabisa tuamke kweli tusilale kabsaaaa,
Hakika penye nia pana njia 😍,Mtafutaji hachoki haswa anapo pambania anacho kiamini na raha zaidi ikiwa una passion nacho💪🏾.
Karibuni 🇺🇸🇺🇸🇺🇸
Shukrani Kwa elimu
Nakukumbuka ndugu, tulikuwa Zanzibar, wewe ukiwa serena znz,,,
Hongera sana kwa safari yako ya maisha
Mm nakupenda sana dada na ninakufatilia sana ila video zinakuwa ndefu sana unajua wengi wetu tunaangalia kwa simu Sasa video inamaliza lisaa na nusu au masaa mawili yaan kukaa masaa mawili Au limoja kutazama tuu video Moja mh ngumu ningeomba utuwekee pat one na two ili tutazame ata dk 30 inaisha dk 30 tunaitafuta nyingine
Ubarikiwe sana kwa ushujaa wako wa kupambana na maisha.
Hongera Kwa uvumilivu Dada yangu
Safi dada nakufuatilia sana..... mnatufungua macho big up
Shena unatuletea vitu vizuri sana
Ila wanaume wa kibongo🙌🏽 juzi nimemsifia Bill Gate nikaambiwa namtaka hadi leo nimenuniwa 😁
🤣🤣pole
Huyu dada ana uwezo wa kumuambukiza furaha mtu yeyote 🌹
❤️❤️
Yaani Leo hakupoi,huku hakuna matata,Kule mdada kakimbia mzungu,,,aaaha dada shena ubarikiwe🎉
Thanks dear 🙏
@@OfficialDatingAssistance kipenz mzima?naomba unisaidie jinsi ya kuwasiliana na huyu dada
Jamani mtutafutie na ss kaz uko@@OfficialDatingAssistance
Hii story imeboa sn,huulizi maswali ni kama tunahadithiwa hadithi imenochosha sn
Hongera sana dada benadeta
Nimempenda huyu mama mwenzangu
Muwazi anaupendo hana roho ya choyo ujue kimtokacho mtu njee ndicho kimjaacho❤much love
Tatizo la Wabongo tunasemwa sana wachoyo wa michongo pia waoga wa kusafiri
Sanaaa wachoyo kwa kweli
Watanzania wanaroho mbaya aswa wanao hishi ilaya atavkama anajua kitu akwambii
Dada nimekupenda sana hapo kwenye changamoto tunazopitia then nyumbani hawajui wanakupangia tena mwingine anakuambia kabisa nitumie kiasi flani 😢😢 hua inakera sana
Nimependa interview
Hakuna mtata ya aje my dear
Nikupenda Dada. Story yakoni ya nguvuu. Ina mashiko maana experience zako ni some la maisha tosha. Kisha una moyo mkuu wa uvumilivu lakini sio wa kijinga. You always know what you are doing and when to change gear. 🎉 I wish you a happy life. You eared it and deserve it. And for Shena, thank u for bringing such a treasure of experience and knowledge. Keep it up
Amen God bless you
Love you ❤Dada Bernadeta
Mungu ambariki mcheshi sana uyu dada piya siyo mchoyo wakutowa elim
Sana, she is amazing
Wonderful news
Huyu mswahili anafaa kuwa story teller❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
😂 huyo ndo mtoto wakinyamwezi org anamwagia madini hadi buldani.
Mmarekan kapata mmramecan mnyamwezi wa skonge,
Bena bongo yenyewe very nice
Uko vzr Detha
Shena your are the best
Ila kabla hujannepa dah ulikuwa unawakimbiza dada yangu, walekasoga Sana ilombolyane.
Nimefurahi sana kukuona dada yangu
Wow... This is awesome I'm in Qatar now!
Nipo Qatar na unacho kisema ni kweli yani unashinda mataa mapaka majangwani
Tunashukuru sana 🎉🎉🎉🎉🎉
Wafilipino wabaguzi kwa waafrica lakini wenyewe wachafu kama sijui kitu gani. Kwao wanalala hadi makaburini.
Nikweli ndio tulivo wabongo tabia mbaya usiwe na uji ga pouuzia TABORA UNATOKA SRHEMU GANI ISRVYA AU NGmbo pole sana puuuza maosha yaendelee
Mimi wa Nzega, Tabora dear
Naomba namba dear
Hapo pa ma x wa kiafrica kurudi na kuomba misaada na michongo wakati mwingine hata ngono ni kweli kabisaaa.
Niilichogundua mapenzi ya kiafrica ukiyamaliza kistaarabu walengwa huwa awaamini na wakati mwingine wanakuchukulia kama zwazwa kutokana na wewe kuwaacha waende kirahisi bila kuwagasi ndio maana sasa wanagats za kukujia tena na demand zao za kufikirisha.
Ila kama mtaachana kwa vurugu, maswali na vilio vingi vilivojaa lawama na laana hapo ndio wanaweza enda mazima na wasikugasi....
Mtihani sana kwakweli 🤦🏾♀️
Zile za majumbani mara nyingi wasichana wetu wa Africa wanachukua waume za watu na zaidi mabodi yetu ya kiafrica ni mtihani kwa waajiri
Like baby😂. Asante dada
Vp bado unasali rc? Unaenda kanisani.
Emirates wanakuja UK 🇬🇧 bila visa nadhani wanagongewa visa airport nadhani hata kwa marekani wao hakuna shida labda alionana nao hawana passport za Emirate
My love dada 😍😍😍 nakupenda sanaaaaaaaa❤
Sending love kipenzi
Ahsante
😘😘😘
😂😂😂😂 bertha umenichekesha sana😂😂😂 eti ulikuwaga na nani na nani😂😂 😂😂😂
Safi saana
Bernadetha mdogo wangu 🔥🔥
Ndio my kaka mkubwa
Chei chei Dertha we heard you and we love you sister
My neighbor,I always get vitumbua fresh even today I did
Vipi boss atakuleta halafu akunyonge? Ni kitu hakiingii akilini
Yaani huyu dada anachokisema ndiyo nimefanyiwa Mimi shena mungu atusaidie waafrika ni watu wabaya sana sana japo nindugu zetu na sisi ni waafrika lakini wanajua kuumiza Sanna Mimi ndo wamenitoka kabisa ,
Pole sana
Benadetha habari
Uyu Dada nimesoma na mdogo wake anaitwa Linda Mlunde Mlimani Primary School..Linda Mlunde alikua ana akiri sana Darasani...
Unanikukumbaka Amina nlikua kaa dawatibmoja na Linda mlunde grace sales, neema rutayisire sijui wako wapi
@@minabelle353Nakukumbuka sana. Grace sikazwe yupo Tanzania Suzana basilius yupo Tanzania .wewe upo wapi my Dear..
@@minabelle353Wewe upo Wapi Dada yangu..mimi Nipo USA
Kuzaa mapema sio shida dada shida unazaa na nani 😂😂😂
😅
Hawa wakutoka Asia wanakubalika sana kwa vile niwaoga, wanatetemekea maboss na wanafanya watakachoambiwa bila kuhoji au kulalamika. Waafrika wanajulikana kichwa ngumu
Kweli Hilo nalo ni moja wapo wanafanya kila kitu
Ayo ya ubanguzi ni mengi mm mwenyewe nipo hapa Abu Dhabi na mtanzania mwenzangu na nikipika km nipo hapo yy Ali na ni mbanguzi mbaya anampenda mweupe mm ana mpango na mm
Mwanangu yuko nairobi anasoma ila muda wowote ataondoka
Jamani huyu dada mawasiliano yake please shena Hakuna matata zipo nyingi
Iyo picha ya nyuma kaz father atanasi rejend
Halafu wanyumbani jamani nisaidike no anisaidie mwanangu anataka kwenda huko apate mtu wakumuuliza
Shena huyu dada nimempenda sana atoe mawasiliano yake yupo waz sana
❤❤❤❤
Kwahiyo dada una mtoto sasa?
Emirate ukubwa ni kama wilaya moja Tanzania
Ila huyu dada ananifrahisha sana amepita sana na anatufundisha mengi ht kwa watoto wetu
🔥🔥
Dada unasema kweli tupu
Mphilipino wabaguzi mno lakini ni wachafu sana wakiwa kwenye kampuni alafu muafrica peke yako lazima wakufanyie fitina wakutoe
Nikweli watu wakula pamoja hata makanisani
Wabongo elimu duni, ujasiri zero , kwenye kila kitu ndio mana Hatuko sehem nyingi za maana
Housekeeper nipo hapa, ngoja nichangamkie mitandaoni sasa
changmka ndugu yangu
Mimi nimezisaka sana kazi za uarabun dada angu maan mim ni hotelia ila wanakwambia mpka uwe kule na ukikutan na maagent wanakwambia kazi million 3 😂😂😂 yan ni shida
Mfate dm ya insta atakuelekeza..
@@OfficialDatingAssistance inst anatumia nani?
Ni kwa sababu wa filipino ni watu wanajitahidi sana kwa kazi zao hata mu manyumba ni wasafi sana
Kila siku siachi ubuyu unitee, adi nimeshajua miji ya nje kabla sjafika.
Karibu Sana mimi nipo Maryland..
@@Mazoea Mimi ni jirani yako hapa DC
@@Mazoeamambo dear tupen ubuy kipenz mnafikaj hk
Kamsalimie
Yaani umenichekesha eti tunabaguliwa kwenye majumba yaani ni kweli kabisa
Mtihani sana
😢
Raskhaimah, UAE aisee good experience
Nilijua nimenchenji gia mimi uwiiiiiiii
😂😂😂
Mung akusimamie
shena upoi kabisa uboi kabisa unatuleteya vitu vya moto moto kweli kweli
Yani nawapenda mpaka basi jamani 😍❤️🥰
Yaani shena unatupa vitu konki
Comooonnnnn.... Hahahaha
Ahsante umenifungua macho, sasa mimi napenda aniulize mambo ya kifamilia... Kumbe nakosea
Jamaniii kwa nini sikusomea hotel
Hakuna mfanyakazi aliyenyongwa na boss huku Arabuni, Serikali ni moja tu na sheria ni moja tu, na inajali sn wageni, ndugu zetu wadada wa kazi wengine si wazuri wanakuja na mambo mengi.mimi house maid wangu huu ni mwaka wa kumi,msisikie ya kuambiwa Jamani nchi zetu zinajali sn utu wa kila mtu.
Hongera kwa kua na roho njema na kupata dada mwema, lakini uhalisia huko kuna matukio sana yanaripotiwa kila siku 🙏
Naomba. Number zako
Naomba number zako
Shida yako shoga yg ht tukiomba no hujibu kabisa wala hutoi
Fatilia Video zake utaona namba
Thanks dear
@@nicedavid8536 kama leo nimemfatilia mara 3 vipindi vyote ukimpenda mtu shena hakupi no na mimi nimember wk sana ktk vipindi vyake
Ashatoa namba sana, labda hujaangalia baadhi ya video zake.
Kwa ambaye ajaona c ampee tyu
❤️❤️❤️