RC MWANRI: Mimi ni Al-Watan nani anabisha?/Semeni tunatoboa mwaka huu/ Tabora kama Toronto

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 26 ส.ค. 2024

ความคิดเห็น • 101

  • @hechihechie5558
    @hechihechie5558 5 ปีที่แล้ว +14

    Nimekupata mkuu,,kumpenda Mungu sio kutembea na kusema Mungu nakupenda ni kutii amri zake.....tukitiii amri ndipo Mungu anajua tunampenda...nimeipenda hiyo baba!!!!hongera kwa kazi zako nzr

  • @alivuai5674
    @alivuai5674 5 ปีที่แล้ว +4

    Huyu mzee Mungu ambariki anajua kazi yake sio siasa anaongelea kile kinachohusu wananchi wa mkoa wake kwa jumla .lazima atapata kuungwa mkono na kundi kubwa maana haoneshi ubaguzi wa kichama . apewe muda awafundishe wakuu wa mikoa mengine yote

  • @danysikira4302
    @danysikira4302 5 ปีที่แล้ว +2

    Ingekuwa bora sana wakuu wa mikoa wote waige mfano wa utunzaji mazingira big up sana cpt mwanri

  • @balakakalagho1388
    @balakakalagho1388 2 ปีที่แล้ว +1

    Semeni tunatoboa😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀Number one of Tanzanian huyu mzee kama unabisha nyosha Mukono jifanye kama unajikuna

    • @sophsoph4740
      @sophsoph4740 11 หลายเดือนก่อน

      Jikune sasa😂😂😂

  • @dennischarles8524
    @dennischarles8524 5 ปีที่แล้ว +26

    Kati ya mambo muhimu tumesahau ni kupanda miti halafu tunalalamika joto kali, huyu RC anaelewa sana hilo, big up

  • @carmellecarmelle287
    @carmellecarmelle287 5 ปีที่แล้ว +41

    huyu baba jamani mi kilasiku nikimuona tu naceka kabla hajaanza hata kusema 😂😂kama unabisha jifanye unajikuna😂😂

  • @mlewaisavile9793
    @mlewaisavile9793 5 ปีที่แล้ว +6

    R,c mwanry pongez sana hii ni zawad toka kwa mungu.Tabora inabadirka mpka Raha.yaan kama Toronto.mwanzon nilikuwa sikuelewi kabisa,lakn kwa mwaka Jana umenikosha yaan unafanya kazi kwa vitendo

  • @joshpraisebuzaniye2958
    @joshpraisebuzaniye2958 5 ปีที่แล้ว +8

    nakukubali mzee piga kaz

  • @elishaedward2383
    @elishaedward2383 2 ปีที่แล้ว +2

    Daah hakika navutiw sana napo ona uongoz wako najifunz vingi

  • @mumybhay6561
    @mumybhay6561 5 ปีที่แล้ว +6

    Mkuu wa mkoa anasema yeye ndio alwatan wa tabia2 na kama anabisha fanya to kama unajikuna.😦

  • @peterhatibu8342
    @peterhatibu8342 5 ปีที่แล้ว +6

    Huyu mzee namkubali sana

  • @gesusgegangphray7689
    @gesusgegangphray7689 5 ปีที่แล้ว +3

    Mzee Mungu INA mana Raisi au sheria

  • @christopherkivuyo8590
    @christopherkivuyo8590 5 ปีที่แล้ว +4

    Kwa kweli mzee unafaa sana kuwa kiongozi

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 5 ปีที่แล้ว +17

    Mbuz wa tabora wameendelea Sana kumbe wanakula had vitumbua

  • @txraphaellaphael2155
    @txraphaellaphael2155 5 ปีที่แล้ว +1

    Mzee da utauwanga mt sio kwa vituko hv yan hiiii wameisha hao mbuz na ng'ombe w tabola

  • @yusuphkassim4188
    @yusuphkassim4188 5 ปีที่แล้ว +3

    Hahaha nina wasiwasi huyu jamaa alikua mchungaji maaaana duh anachana mawaimbi balaa

  • @khamisrashidy1348
    @khamisrashidy1348 5 ปีที่แล้ว +3

    Mwenyekit ni kanyaboya dah kama umesikia lik yk hp

  • @tatuta6529
    @tatuta6529 4 ปีที่แล้ว +1

    Uyu ni kiongozi mzur sana

  • @abbyjma7355
    @abbyjma7355 5 ปีที่แล้ว +4

    Dingi nakukubali sana

  • @dj5_tz971
    @dj5_tz971 5 ปีที่แล้ว +14

    Kata pembe kata pembe kata pembe😂😂😂😂😂

    • @mustaphahassan589
      @mustaphahassan589 5 ปีที่แล้ว

      Denis Johanes Ndugu Naomba uangalie video ya kaswida yangu th-cam.com/video/VEbezgrNzHw/w-d-xo.html

    • @aishajuma7739
      @aishajuma7739 3 ปีที่แล้ว

      😂😂

  • @severnekazungu8892
    @severnekazungu8892 5 ปีที่แล้ว +5

    Mbuzi wana kula ubwabwa 😁😁

  • @genesassenga2247
    @genesassenga2247 5 ปีที่แล้ว +3

    Mbuz wa tabora wapojuu kulkombuz wote cz siokwakula ubwabwa+vitumbua wapovzr aisee kata pembe kata Pembe kataaa

  • @gm7045
    @gm7045 4 ปีที่แล้ว +1

    You’re right ..keep God commandments

  • @jordanalphonce4413
    @jordanalphonce4413 5 ปีที่แล้ว +1

    Uyu kiongozi me Bila kampeni m kula Nampa kula yangu Ata awe Chama pinzanani

  • @silverjoseph4577
    @silverjoseph4577 5 ปีที่แล้ว +2

    Big up Sana mzeeee

  • @emanhokilinda326
    @emanhokilinda326 5 ปีที่แล้ว +4

    semeni tunatoboa!hahahaha

  • @chiefkimata9731
    @chiefkimata9731 4 ปีที่แล้ว

    Mbuzi anachungwa na Simba Lol nzuri sirinikwa hasalanikwa muzabucha:

    • @chiefkimata9731
      @chiefkimata9731 4 ปีที่แล้ว

      Wanataka ubunge wakati wana kithethe:

  • @shakazrtzboy4272
    @shakazrtzboy4272 5 ปีที่แล้ว +2

    mbuz wana kura ubwabwa😂😂😂😂

  • @victustemba
    @victustemba 5 ปีที่แล้ว +4

    Jifanye kama unajikuna tuu..!😀😀

  • @betrackjasson6698
    @betrackjasson6698 2 ปีที่แล้ว

    Mzee sijui yuko wap

  • @thomasndumila4382
    @thomasndumila4382 5 ปีที่แล้ว +1

    Tukiona mbuzi na ng'ombe barabarani ujue ni kiparapara! 😁😁😁😁😁

  • @amanimnyanga2002
    @amanimnyanga2002 5 ปีที่แล้ว +1

    Yani agreiy mwanri nikimuona. nafurahi hataka kama nimefiwa na mama yangu mzazi

  • @godlovegeorge2334
    @godlovegeorge2334 5 ปีที่แล้ว +3

    Soma hiyoooo alaaah

  • @siwonikewilliam8832
    @siwonikewilliam8832 5 ปีที่แล้ว +5

    Watakuelewa tu mkuu

  • @flova7022
    @flova7022 2 ปีที่แล้ว

    Weeeee wacha hiyo kitu

  • @amosmadaha6428
    @amosmadaha6428 5 ปีที่แล้ว +2

    Tabora ni utemeni utemi utemi nikwenda kitemi tu

  • @chiefkimata9731
    @chiefkimata9731 4 ปีที่แล้ว

    Tola ameshikwa nauzuni Leo tumpe ndege ya mdogowake Lol nzuri.

  • @JosephDesideri
    @JosephDesideri 5 ปีที่แล้ว +2

    Mzee wa Toronto

  • @amanimnyanga2002
    @amanimnyanga2002 5 ปีที่แล้ว +2

    Yala mama mbavu zanguuuuu

  • @davidobonyo7558
    @davidobonyo7558 5 ปีที่แล้ว +3

    Tunamtizama kwa jicho la dharau na bila heshima

  • @shabanimwema7334
    @shabanimwema7334 5 ปีที่แล้ว +2

    Hahahaha uyu jamaaa ni noma #sema sheria

  • @Unclerammaschannel
    @Unclerammaschannel 5 ปีที่แล้ว +2

    Jifanye una jikuna jamaani mimi napita tu 🤔

  • @vicentomondi3927
    @vicentomondi3927 5 ปีที่แล้ว +3

    Jifanye kama mtemi mambo yaende

  • @gloryngunda9664
    @gloryngunda9664 5 ปีที่แล้ว +1

    ukiona ng'ombe anasumbua kata pembeeeee😁😁😁

  • @paschalmakondo3163
    @paschalmakondo3163 5 ปีที่แล้ว +4

    Mnamwona kama comedian ila nimchapakazi

    • @allidogo5660
      @allidogo5660 5 ปีที่แล้ว

      Paschal makondo nikweli kabisa

  • @liverpoolfootballclub9985
    @liverpoolfootballclub9985 4 ปีที่แล้ว

    Toronto na tabora wapi na wapi mkuu.

  • @chiefnorbertkangalu1403
    @chiefnorbertkangalu1403 5 ปีที่แล้ว +1

    Mbuz wanakula ubwabwa na vtumbua

  • @nkwabitz233
    @nkwabitz233 5 ปีที่แล้ว +4

    mkuu

  • @worldwidetv1443
    @worldwidetv1443 5 ปีที่แล้ว +2

    wa Kwanza kukoment piga like

  • @charlzruboha8469
    @charlzruboha8469 2 ปีที่แล้ว

    Uyui imekaa kama bakuri😂😂

  • @emmanuelbonifase1114
    @emmanuelbonifase1114 4 ปีที่แล้ว

    Toronto canada itakua tabora ongeleni tbr

  • @charlesnyembeke6907
    @charlesnyembeke6907 5 ปีที่แล้ว +1

    Hebu xema xheria----!!

  • @Kijijihomestead
    @Kijijihomestead 5 ปีที่แล้ว

    Chikichi chikichi chikichi 🕺🕺💃💃😎

  • @Thuon_
    @Thuon_ 3 ปีที่แล้ว

    Fyekelea mbali mkuu wa mkoa.

  • @cachybest3879
    @cachybest3879 5 ปีที่แล้ว

    Kata kataaaaa kataaa pembe za wanaojifanya hawataki kutuletea umeme wananchi fyekeleeeaaa mbaliiii

  • @jumaradhomary8591
    @jumaradhomary8591 5 ปีที่แล้ว +4

    Semen tunatoboaaaaa

    • @mustaphahassan589
      @mustaphahassan589 5 ปีที่แล้ว

      Jumaradh Omary Ndugu Naomba uangalie video ya kaswida yangu th-cam.com/video/VEbezgrNzHw/w-d-xo.html

  • @waleoofficial6816
    @waleoofficial6816 5 ปีที่แล้ว +3

    kata pembe kata pembe Kaaata

  • @kelvinmichae728
    @kelvinmichae728 5 ปีที่แล้ว +1

    alf huyu dingii hachekii!!!

  • @babusijoseph1434
    @babusijoseph1434 5 ปีที่แล้ว +3

    somaiyo

  • @nelsongodfreylumalisha2857
    @nelsongodfreylumalisha2857 4 ปีที่แล้ว

    We we we,wacha iyoooooo...
    Hhahaaaaa

  • @godfreypaul2161
    @godfreypaul2161 4 ปีที่แล้ว

    Nadhan raia huwa anayaona na kuyasikia maneno yako mheshimiwa

  • @stevensimbakila5383
    @stevensimbakila5383 5 ปีที่แล้ว +4

    Kataaa pembeee

  • @liverpoolfootballclub9985
    @liverpoolfootballclub9985 4 ปีที่แล้ว +1

    Unaongoza nchi ya dunia ya tatu yaani third world. Mkuu chunga ugonjwa wa moyo

  • @mzungualex3373
    @mzungualex3373 5 ปีที่แล้ว +1

    semeni shikamo baba

  • @majidmasud6960
    @majidmasud6960 5 ปีที่แล้ว +1

    👏👏

  • @dullayorashiddullayorashid6725
    @dullayorashiddullayorashid6725 4 ปีที่แล้ว

    Semashelia

  • @mudhihirumikidadi6066
    @mudhihirumikidadi6066 4 ปีที่แล้ว

    Wewe nikiongozi wamkoa au nibaba paroko unahubili bibilia

  • @flova7022
    @flova7022 2 ปีที่แล้ว

    Kata pembeeee

  • @joeljulius6389
    @joeljulius6389 5 ปีที่แล้ว

    Torontooo

  • @amanimnyanga2002
    @amanimnyanga2002 5 ปีที่แล้ว

    Tunatoboaaaaaaaaah

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 3 ปีที่แล้ว

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍✌.

  • @kibekran10
    @kibekran10 5 ปีที่แล้ว +2

    kanya boyaaaaa

  • @sumaabdy8328
    @sumaabdy8328 4 ปีที่แล้ว

    Hahaha

  • @domicianpontian1409
    @domicianpontian1409 5 ปีที่แล้ว

    Mchiriziii

  • @jumasaleh5043
    @jumasaleh5043 5 ปีที่แล้ว

    duh

    • @upendoissack7979
      @upendoissack7979 5 ปีที่แล้ว

      Nyooosha mkono jifanye unakikuna tuuu

    • @jumasaleh5043
      @jumasaleh5043 5 ปีที่แล้ว

      iweje alafu

    • @josephparutu8460
      @josephparutu8460 5 ปีที่แล้ว

      Wewe ni wa vitendo mzeee mwanri tabora oyeeeeeeeee

  • @stevensimbakila5383
    @stevensimbakila5383 5 ปีที่แล้ว +4

    Kataaa pembeee

    • @josephjoseph8982
      @josephjoseph8982 2 ปีที่แล้ว

      MUNGU akupe maisha marefu tunataka viongozi mfano kama wewe