Ally Hapi Amvaa Tundulissu Ampiga Maswali Matano Mazito " Je wapo Tayari CHADEMA ifutwe?"

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 5 พ.ค. 2024
  • Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Wazazi ya Chama Cha Maoinduzi (CCM), Ally Hapi amehitimisha Mkutano wake rasmi Mkoani Iringa Kwa kusikiliza Kero za Wananchi vilevile amemuuliza Maswali Matano Tundulissu kupitia Mkutano huo wa hadhara.
    Hapi amebainisha Maswali hayo Mei 5, 2024 Katika Viwanja vya Mwembetogwa Manispaa ya Iringa katika Mkutano huo na Wananchi wa Iringa.
    #FocusDigitoTV
    ..................
    Tufuatilie Zaidi kupitia:
    INSTAGRAM, TIKTOK, FACEBOOK, TWITTER (X), THREADS NA GOOGLE WEBSITE YETU YA FOCUS DIGITO TV
    Focus Digito TV is one of the best info-edu-tainment Online Media conveying contents for the Public Interest.
    Asante kwa kuchagua kutufuatilia | Thanks for Subscribing
    We Love You | Tunakupenda
    Regards
    Team FocusDigitoTV

ความคิดเห็น • 214

  • @helencyprian8745
    @helencyprian8745 2 หลายเดือนก่อน +6

    Shughulikia wezi wanaotajwa na SAG kwanza

  • @NGOMELE1976
    @NGOMELE1976 2 หลายเดือนก่อน +2

    Umri wako ungekufanya uwe na uelewa mkubwa zaidi ya hayo unayoongea.
    Pole sana.
    Unahitaji ukombozi wa fikra.

  • @NardhisMhagama-sy3eq
    @NardhisMhagama-sy3eq 2 หลายเดือนก่อน +3

    Mkulanga ipo Zanzibar hospitali za makanisa zipo Toka mkoloni naona hujuwi jibu loliondo imeuzwa au haijauzwa

  • @kingmzebez7786
    @kingmzebez7786 2 หลายเดือนก่อน +3

    Jifute ww sio chadema🇹🇿❤✌💪💪💪💪💪💪💪🤳

    • @SoudShuraim
      @SoudShuraim 2 หลายเดือนก่อน

      Kifutwe kwanza hakifai ni chama cha wahuni2 saiv

  • @happyjeremiahmhuli4043
    @happyjeremiahmhuli4043 2 หลายเดือนก่อน +6

    Acha kudanganya Wananchi. Na wewe tunakuuliza mbona hashughulikii Ripoti za CAG.

    • @user-xj3um9si6o
      @user-xj3um9si6o 2 หลายเดือนก่อน

      yaan tunawashangaa hawa wananchi wenzetu wanashangilia nini,wakat zahanat,maji na vingne tunachanga sisi wenyewe michango tujenge zahanat na vngne,na kwann sisi wamasai tunatolewa kwenye sehemu zetu,au waarabu ndio wenye haki kuliko sisi

  • @dkalbertoanyasime9357
    @dkalbertoanyasime9357 2 หลายเดือนก่อน +3

    Ally happy kweli umekosa kazi je Lisu sio saiz yako

    • @karamarwamugema3700
      @karamarwamugema3700 2 หลายเดือนก่อน

      Ngozi alikuwa anavaa babako we mrembo.

    • @karamarwamugema3700
      @karamarwamugema3700 2 หลายเดือนก่อน

      We kijana una matatizo, . Sasa kama bajeti ilikuwa imepita kazitoa pesa wapi Samia kuwapa ruzuku.

  • @user-gn2lq1pq1t
    @user-gn2lq1pq1t 2 หลายเดือนก่อน +4

    Bwege

  • @dentomedicalresourceslimit4602
    @dentomedicalresourceslimit4602 2 หลายเดือนก่อน +5

    Hayati Mwinyi hatoki Zanzibar. Kwao Mkuranga Rufiji.

    • @maftahmusa9513
      @maftahmusa9513 2 หลายเดือนก่อน

      Uwe na akili wewe kazikiwa wapi mkuranga au Zanzibari?

    • @zanzibamjimpya17
      @zanzibamjimpya17 2 หลายเดือนก่อน +1

      wewe ndiyo hauna akili kwani kuzikwa na kuzaliwa wapi hutoa mwelekeo wa mtu kwao wapi je wale wote je wale wote waliyo zikwa makabulini kwao ni hapo makabulin

    • @maftahmusa9513
      @maftahmusa9513 2 หลายเดือนก่อน

      @@zanzibamjimpya17 tuliza vufu la kichwa wewe mzee Mwinyi alifia wapi na amezikiwa wapi toka akili yako kutunga uliona wapi mtu afie kwao halafu akazikwe ugenini? IQ zero problem

    • @GodfreyOsward
      @GodfreyOsward 2 หลายเดือนก่อน

      Mzee kalala, tumwache apumuzike, hata hivyo historia ya binadamu, watu wote wa visiwa wametoka nchi kavu.

    • @Sheba4651
      @Sheba4651 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@GodfreyOswardAti watu wote wa visiwani wametokea nchi kavu, sasa hao wa nchi kavu walitokea mawinguni kama maji ya mvua?

  • @DavidMutiba-hr3vo
    @DavidMutiba-hr3vo 2 หลายเดือนก่อน +4

    Hii ni ushuhuda.kwamba ujumbe wa lissu umefika. Wameshindwa kujibu hoja ya katiba ya zanzibar na ya serekali ya muungano zinavyogongana ndani ya nchi moja. Wamerukia hoja dhaifu kwamba lissu ni mbaguzi.

    • @MaulidMjwiga-tb1zu
      @MaulidMjwiga-tb1zu 2 หลายเดือนก่อน

      We Nikichaa kama lisu wew unaunga mkono ubaguz au unafirwa kama lisu

    • @MaulidMjwiga-tb1zu
      @MaulidMjwiga-tb1zu 2 หลายเดือนก่อน

      Ali hapi wape vidonge chadema

  • @happyjeremiahmhuli4043
    @happyjeremiahmhuli4043 2 หลายเดือนก่อน +4

    TUNATAKA KATIBA MPYA

  • @Skomi-0nedayyes
    @Skomi-0nedayyes 2 หลายเดือนก่อน +1

    Hoja nikatiba hoja sio utaifa mzee mwinyi kwake mkuranga, karume mnyamwezi awakuzariwa Zanzibar issue katiba iliyopo ya nyerere aitufai na ata nyerere alisema tukiitaji katiba mpya tubadilishe asa tatizo likowapi ccm mnalikwepa kwepa.

  • @happyjeremiahmhuli4043
    @happyjeremiahmhuli4043 2 หลายเดือนก่อน +4

    LETENI HATI YA MKATABA WA MUUNGANO

    • @GodfreyOsward
      @GodfreyOsward 2 หลายเดือนก่อน

      Hati ya muungano ilipelekwa bunge la katiba. Haikujibu kwa nini hatujiwezi hata kuvua samaki baharini, haikujibu kwa nini tunauza maligafi nje, haikujibu kwa nini tunadhulumiana, haikujibu kwa nini tunagawa madini, haikujibu kwa nini hatuna kazi za vijana, haikujibu au lutuonyesha ni nchi gani imetushikia bunduki tusejenge viwanda au tujibimafishe sisi wenyewe. Kutaka hati ni mkumbo tu wa wanaotaka kutawala bila kufanya lolote la maana kwenye nchi yetu

  • @user-fb6os3tb9l
    @user-fb6os3tb9l 2 หลายเดือนก่อน +4

    Mwinyi hakuleta vyama ni utaratibu wa dunia yote

    • @maftahmusa9513
      @maftahmusa9513 2 หลายเดือนก่อน

      Ulikua hujazaliwa kaa kimya hujui chochote

    • @MathewNathan-yb2bz
      @MathewNathan-yb2bz 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@maftahmusa9513mfumo wa vyama vingi nchi za ulaya na Marekani ndio zilishinikiza na mwl Nyerere ndio aliamua nchi iwe na mfumo wa vyama vingi.

    • @zawadimbwambo1091
      @zawadimbwambo1091 2 หลายเดือนก่อน

      Janaongea maneno mepeeesi kanajiona kanajua.

  • @alliyathuman2998
    @alliyathuman2998 2 หลายเดือนก่อน +3

    Sikia ww mwinyi hakuleta vyama ispokua ni utaratibu wa dunia nzima arafu mwinyi hakutokea Zanzibar halitokea mkuranga

    • @kelvinmbogela4718
      @kelvinmbogela4718 2 หลายเดือนก่อน

      Wala sisi kama Tanzania tusingeweza kukataa vyama vingi. Hatukuwa na maamuzi nayo tulilazimika

    • @WillisonMkumbo
      @WillisonMkumbo 2 หลายเดือนก่อน

      Ngo'mbe nyie subirin miaka 40 ijayo

  • @othmarluwawilo8308
    @othmarluwawilo8308 2 หลายเดือนก่อน +1

    Ally Hapy akili ndogo, Vyama vingi hakuleta Mwinyi, ulikuwa mfumo wa dunia, Tanzsnia isingejitenga.

  • @karolikisaka8991
    @karolikisaka8991 2 หลายเดือนก่อน +3

    Ni mtu wa hovyo tu atawasikiliza ccm.
    Zanzibar wabaki na nchi Yao,tumechoshwa na huu muungano fake

  • @jumamagoma1743
    @jumamagoma1743 2 หลายเดือนก่อน +3

    Lisu.anaongea.na.mwenye.mbwa.sio.mbwa

  • @ShukuruJohnston
    @ShukuruJohnston 2 หลายเดือนก่อน +2

    Sisi tunachotaka kujua,kwanini bandari za zinziba hazijakodishwa?

    • @SoudShuraim
      @SoudShuraim 2 หลายเดือนก่อน

      Kwsbb Zanzibar tuna rais wetu .na nyinyi mna rais wenu

  • @fratelltutiilaudatosi4153
    @fratelltutiilaudatosi4153 2 หลายเดือนก่อน +2

    Huyu ndo amechaguliwa kuisadia ccm hovyo kabusa

    • @zawadimbwambo1091
      @zawadimbwambo1091 2 หลายเดือนก่อน

      Ati ndio ana akili huko ccm hahahaaaa kilaA kweli hakijui hata maswali ya lissu ni yapi kanajibu maswali amvayo hatajaulizwa alafu eti ni mwanasheria?

  • @ahmedalbalooshi8518
    @ahmedalbalooshi8518 2 หลายเดือนก่อน +1

    Vyama vingi vilikuja kwa baraka za Mwalimu Nyerere na sio Mwinyi.Yote hayo ni uwongozi mbovu uliokuwepo nyuma

    • @MathewNathan-yb2bz
      @MathewNathan-yb2bz 2 หลายเดือนก่อน

      Umeongea vema.Ally hapi hana hoja.

  • @abdallakajenje6131
    @abdallakajenje6131 2 หลายเดือนก่อน +1

    Huna akili sawasawa,jibu hoja za Lissu ww unazunguka bule,,hivi CCM yangu ndoimebaki navingozi wajinsi hii kweli mamaaaa!!!

  • @PauloAlfayo-qi1gn
    @PauloAlfayo-qi1gn 2 หลายเดือนก่อน +2

    Yaani huyu jamaa anataka kuondoa hoja ya chadema lakini anashindwa kujenga hoja yake

    • @zawadimbwambo1091
      @zawadimbwambo1091 2 หลายเดือนก่อน

      Bado lena sana huyu. Anashangiliwa na hao malaya tu hapo anajiina na yeyey anajua.

  • @shekhaahmed3961
    @shekhaahmed3961 2 หลายเดือนก่อน +1

    Swali l tatu walijibu 😂.sema Ally Happy wacha wanunee

  • @user-ct1qp3th5f
    @user-ct1qp3th5f 2 หลายเดือนก่อน +1

    Hoja mfu sana. Fanyeni usanii, lakini mwisho wa usanii wenu, watz wanataka katiba mpya na tume huru ya uchaguzi.

  • @mwakapalamwakapala8317
    @mwakapalamwakapala8317 2 หลายเดือนก่อน +2

    Hapi ulikuwa mtoto miaka hole ujui chochote

  • @driss4957
    @driss4957 2 หลายเดือนก่อน +1

    JIBUNI NA KIKOKOTOOO,WATUMISHI TUNAKUFA MAPEMA BAADA YA KUSTAAAFU...

  • @user-nu6op6vp7m
    @user-nu6op6vp7m 2 หลายเดือนก่อน +1

    Ovyo sana. Hujui kitu na hauna la mshiko

  • @frankyahaya8978
    @frankyahaya8978 2 หลายเดือนก่อน +1

    Maswali yakitoto hayo happy, ongea mambo ya msingi ya hii nchi, nakama hauna hoja ya msingi nyamaza

  • @kingmzebez7786
    @kingmzebez7786 2 หลายเดือนก่อน +2

    Kobe kobe2🇹🇿✌📿❤

  • @happyjeremiahmhuli4043
    @happyjeremiahmhuli4043 2 หลายเดือนก่อน +1

    HAPI SIKILIZA ILIKUWA ENZI ZAMANI SASA HAMTUDANGANYI KITU

  • @solomonadams6337
    @solomonadams6337 2 หลายเดือนก่อน +1

    Ali Hassan Mwinyi Almaroohumu sio Mzanzibar japo amesomeshwa na Wazanzibar okay.thanks

  • @fratelltutiilaudatosi4153
    @fratelltutiilaudatosi4153 2 หลายเดือนก่อน +2

    Soma koment uone ulivyoongea hovyo

  • @IsackRulamunuga-gy3zd
    @IsackRulamunuga-gy3zd 2 หลายเดือนก่อน

    Kaka ally hapi, lissu yupo sawa. Siku Moja utafuta kauli Yako mwenyewe pale utakapokuwa vizuri.

  • @DoctorRengeda
    @DoctorRengeda 2 หลายเดือนก่อน +1

    Hoja zako hazina msingi hujitambui kakojoe ulale

  • @user-qk9iz5lt8q
    @user-qk9iz5lt8q 2 หลายเดือนก่อน +1

    Miongoni mwa hoja za Tundulisu, mbona haziguswi? Kubinafisisha bandari ,kufukuza wamasai loliondo misitu nk jibuni hoja sio vihoja

  • @user-oy5dz5xl8s
    @user-oy5dz5xl8s 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mbona ccm bado mnataja ujamaa katika msingi wa chama chao

  • @user-pz7zi2bf1w
    @user-pz7zi2bf1w 2 หลายเดือนก่อน +2

    Wewe ndo mwehu sana tanganyika Iko wapi?

  • @TimisaMtima-qs3uj
    @TimisaMtima-qs3uj 2 หลายเดือนก่อน +1

    Hapi mwinyi alitoka Bara kwake ni mkuranga

  • @amosmangura
    @amosmangura 2 หลายเดือนก่อน +1

    MI Naona mtapoteza Malengo ya hoja..

  • @ShukuruJohnston
    @ShukuruJohnston 2 หลายเดือนก่อน +1

    Acha udanganyifu,zirudishwe bandari zetu

  • @SalimSalim-zf4fl
    @SalimSalim-zf4fl 2 หลายเดือนก่อน

    Ally endelea kumfatilia huyu lisu
    Naona akiachiwa kuhubiri yasio husu mwisho anaweza akaleta mgawano kati y Watanzania😊

  • @theobartkingamkono5087
    @theobartkingamkono5087 2 หลายเดือนก่อน +1

    Huna akili za kumuhoji lisu shule yako haitoshi kwako ww na lisu sawa n bahari na mto sasa wapi na wapi

  • @frankminga9307
    @frankminga9307 2 หลายเดือนก่อน +1

    Hongera lisu ujumbe wako umewaingia vizuri, ongeza dose lisu , dawa zako zinafanyakazi

    • @maftahmusa9513
      @maftahmusa9513 2 หลายเดือนก่อน

      Walikwisha pita wehu kama Lisu na hoja kama hizo za kiwehu kama akina mzee wa Gabachori wakaangukia pua na huyo Dundulisu atadundukia hukohuko

    • @cyprianboniphace-oz5lw
      @cyprianboniphace-oz5lw หลายเดือนก่อน

      Ninyi mnategemea tume yenu ya uchaguzi uchaguzi kungekuwa na tume huru usingeongea hayo

  • @WazaeliStefano
    @WazaeliStefano 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mfumo wa vyama vingi mwinyi aliyaruhusu kwa shinikizo la nyerere

  • @frankremishoy5778
    @frankremishoy5778 2 หลายเดือนก่อน +1

    Siasa za kizamani.unadangsnya watanzania lissu siyo saizinyako.

  • @happyjeremiahmhuli4043
    @happyjeremiahmhuli4043 2 หลายเดือนก่อน +2

    TANGANYIKA NA KATIBA MPYA TUNATAKA

  • @paulojohn9608
    @paulojohn9608 2 หลายเดือนก่อน +1

    hapi usipotezee wamasai wanalalamika aridhi yao bandar ziko wapi

  • @RahimMallya-fh9zc
    @RahimMallya-fh9zc 2 หลายเดือนก่อน +1

    Uyo sio saiz yako lissu, alafu watanzania wa leo sio, wa mwaka 47 jibuni oja

  • @happyjeremiahmhuli4043
    @happyjeremiahmhuli4043 2 หลายเดือนก่อน +1

    HUJUI CHOCHOTE WEWE HAPI ACHA POROPOGANDA USICHEZE NA MAISHA YETU

  • @rhassanmkomwa
    @rhassanmkomwa 2 หลายเดือนก่อน +2

    c kazaliwa tanganyika pwani

  • @ramadhanchenga4606
    @ramadhanchenga4606 2 หลายเดือนก่อน +1

    Ww uwelewa wako mdogo kabisa tena wa kitoto

  • @selemanmaona5812
    @selemanmaona5812 2 หลายเดือนก่อน +1

    LISU YUPO VIZURI KWA MASWALI HAYO KAAMA CHAPSTI NASUPU

  • @talents7934
    @talents7934 2 หลายเดือนก่อน

    Huyu jamaa amefanana na karunguyeye A.K.A NunguNungu hata iyo pua ni kitambulisho tosha kuwa ana ushemeji na karunguyeye

  • @issashunda444
    @issashunda444 2 หลายเดือนก่อน

    Ally Hapi inamaana Rais anayetokea Bara ataleta upangaji wa foleni tena kama wakati wa Nyerere. Unakumbuka lakini Kwanini tulipanga foleni folen wakati ule . Au umesoma historia .

  • @mayungarichard7443
    @mayungarichard7443 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mkifuta muifute na ccm, hoja huna unaongea kama kubisha tu hujajibu hoja za Lisu

  • @luthermartin1098
    @luthermartin1098 2 หลายเดือนก่อน +1

    Happi hujui sheria yeyote wewe

  • @titokeneth391
    @titokeneth391 2 หลายเดือนก่อน +2

    Acha kudanganya watu wewe

  • @ponsianomnyaru9140
    @ponsianomnyaru9140 2 หลายเดือนก่อน +1

    Ww ni bwege toka apo hatudanganyi

  • @crispinKutandawa-cv2vo
    @crispinKutandawa-cv2vo 2 หลายเดือนก่อน +1

    Wewe nawe ni zezeta tu ni Nyerere ndo aleruhusu vyama vingi acha uzezeta

  • @ramadhanmwandambotuntufye5972
    @ramadhanmwandambotuntufye5972 2 หลายเดือนก่อน

    Kijana happy , uko vizuri tundu lissu amepoteza muelekeo, na chadema hakitokuwa chama kikuu Cha upinzani Tena.

  • @dayanikitambi2085
    @dayanikitambi2085 2 หลายเดือนก่อน +1

    Huna hoja wewe kalale mchumia tumbo tu, uliza vizur utaambiwa Nyerere ndie baba wa taifa ndie aliongoza makubariano ya vyama vingi

  • @iddynjonjo
    @iddynjonjo 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mshukuru mama magu alikutupa jalalani

    • @abuubakarymohamedkorongo4316
      @abuubakarymohamedkorongo4316 2 หลายเดือนก่อน

      Kweli ww ni mjinga sana.umesema magu alimtupa wapi? Unajielewa kweli ww?

  • @suleimanharoub9252
    @suleimanharoub9252 2 หลายเดือนก่อน

    Piga kazi Ali Salim Hapi kijana hodari mzalendo

  • @fratelltutiilaudatosi4153
    @fratelltutiilaudatosi4153 2 หลายเดือนก่อน +1

    Hoja ya kitoto kabisa

  • @kaguripenina63
    @kaguripenina63 2 หลายเดือนก่อน +1

    Lisu piga supana hili boya

  • @ponsianomnyaru9140
    @ponsianomnyaru9140 2 หลายเดือนก่อน +1

    Msapot ww unayekula nae hela za bandar

  • @istambulahmed6664
    @istambulahmed6664 2 หลายเดือนก่อน

    Ali hapi uko vizuri saaaana tundu lisu akasome kwani maneno ya lisu ni kama vile ametumwa na makanisa kwani suala la makosa ya mtu yaelezwe makosa yake na sio wapi anatoka maneno kama hayo yanaongelewa na watu wasio litakia kheri taifa kwani maneno yake yanaweza kulichana Chana taifa letu na mtu kama huyu kipindi cha magu sidhani kama anaweza kumwacha.

  • @martinkisha6307
    @martinkisha6307 2 หลายเดือนก่อน

    Leteni katiba mpya muowe CCM wametufanya masikini wanapojibu hao wanawake wampingika kweli walipo hata sauti tu zinatilia za kimasikini

  • @RahimMallya-fh9zc
    @RahimMallya-fh9zc 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mbona uwendi Zanzibar kua mkuu wa mkoa au rais au kupata ajira serikalini, jibuni oja, sio Viroja

    • @SoudShuraim
      @SoudShuraim 2 หลายเดือนก่อน

      Mbn Mwinyi ni rais Zanzibar ilhali si mzanzibar ni mtu wa MKURANGA

  • @ponsianomnyaru9140
    @ponsianomnyaru9140 2 หลายเดือนก่อน +1

    Nyie wote wasenge tu

  • @cyprianboniphace-oz5lw
    @cyprianboniphace-oz5lw หลายเดือนก่อน

    Wala hiyo sio hoja eti mfumo wa vyama vingi ufutwe kila jambo lina wakati wake imefika wakati muungano uangaliwe upya,we lazima utetee ulaji wako

  • @user-zk9ox3di4b
    @user-zk9ox3di4b 2 หลายเดือนก่อน

    asante sana watanganyika kijana kwa kutudanganya tuwapigie kura ata Nyerere angeyafanya wakati uwoo nchi ilikua imetoka kwenye vita vya Uganda Wacha kuwadanganya watanganyika wanaekupigia makofi ni watoto wadogasana wenu ni simba sauti ya wanyonge

  • @aqramseif5111
    @aqramseif5111 2 หลายเดือนก่อน

    Maswali yako ya kitoto sana pia Mzee mwenyi nimtu wa mkulanga sio mzenji

  • @neemadaud312
    @neemadaud312 2 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu alikuwaga wapi?

  • @helencyprian8745
    @helencyprian8745 2 หลายเดือนก่อน +1

    Ss sio zilipendwa

  • @johnmanonijohn5544
    @johnmanonijohn5544 2 หลายเดือนก่อน +1

    Huyo akauza Loliondo

  • @user-cx1xz2is5d
    @user-cx1xz2is5d 2 หลายเดือนก่อน

    Mwinyi ameanza kutawa 1985 tulikuwa hatuvai ngozi mwaka 1953 mwingereza magret ndiye alikuja kuondoa ngozi acha uwongo jibu hoja

  • @user-wh4bc4rc8b
    @user-wh4bc4rc8b 2 หลายเดือนก่อน +1

    Ila wewe bwege Sana mnasela gani maccm?

  • @moriskinombo6597
    @moriskinombo6597 หลายเดือนก่อน

    Njaa mbaya sana

  • @ahmed59122
    @ahmed59122 2 หลายเดือนก่อน

    Mwinyi sio mzanzibar hahah unachemsha bro. mwenye ni mtu wa pwani kazaliwa mkulanga ni mzaromo .
    alikwenda tu kwa kusoma dini bro .

  • @cloudngoko.2679
    @cloudngoko.2679 2 หลายเดือนก่อน

    Daaa aise Ally happy ananizidi kila kitu ila katika kusema acha niseme. Pambana na wezi wanaokichafua chama chetu.

  • @user-xj3um9si6o
    @user-xj3um9si6o 2 หลายเดือนก่อน

    yaan ukishakua mwana ccm akili auna kweli,kwan mwinyi kaongelewa? alaf kwan mwinyi ametufukuza wamasai kwenye sehemu zetu? maana samia katufukuza

  • @user-wh4bc4rc8b
    @user-wh4bc4rc8b 2 หลายเดือนก่อน +1

    Huna hoja kalale,

  • @zawadimbwambo1091
    @zawadimbwambo1091 2 หลายเดือนก่อน

    We mrembo nenda kapikie watoto hyna uwezo wa kumjubu lissu .

  • @philimonndinadyo2120
    @philimonndinadyo2120 2 หลายเดือนก่อน

    Tundu Lisu tunamjibia sisi kwakuwa sio saizi yako Mwinyi hakukeleta vyama vingi Tanganyika tu vilelihusu na Zanziba kwanini samia auze bandari za Tanganyika aache za Zanziba

  • @talents7934
    @talents7934 2 หลายเดือนก่อน

    GB zangu zimeenda bure ni bora ningetazama katoon najuta sana😢

  • @iddiali8057
    @iddiali8057 2 หลายเดือนก่อน

    😢

  • @kamarakusupa5456
    @kamarakusupa5456 2 หลายเดือนก่อน

    Haya maswali ni ujinga 100% yanatokana na mtu asiyejua lolote kuwa mwalimu wa wasiojua. Huyu mjinga anataka kuwaaminisha watu kwamba Tanganyika isipotawaliwa na Mzanzibari basi Watanganyika watavaa ngozi. mpumbafu uliyekubuhu

  • @edosha3137
    @edosha3137 2 หลายเดือนก่อน

    Ally Hapi ni mnufaika wa uongozi mbovu wa WaZanzibari hawezi kuona ubaya . Watanganyika tunataka serikali yetu kama wazanzibar .

  • @user-xj3um9si6o
    @user-xj3um9si6o 2 หลายเดือนก่อน

    wananchi wa tanzania hua atinaga akili sasa huyu naongea nini had anashangiliwa jaman,wao wenyewe hawajaleta huo umeme,maji wala hospitali,hua tunachanga wemyewe kama wananchi kltiendeleze kila kitu aua tujenge kila kitu iwe zahanat,iwe maji na vingne

  • @luthermartin1098
    @luthermartin1098 2 หลายเดือนก่อน

    Ruxuku dio hela ya CCM ni hela yetu ya kodi zetu acha kutudanganya ,weka mdahalo na viongozi wa CDM tuwachuje kwa hojasio vijemne kumbuka uchaguzi unachungulia tunahitaji hojazenye point

  • @samsonmakombe9636
    @samsonmakombe9636 2 หลายเดือนก่อน

    Huyo Ndundulisu ni njaa yake inamsumbua. Hajielewi.

  • @FarajaDebora
    @FarajaDebora 2 หลายเดือนก่อน

    Wacha utoto tunataka binge la Ta.nganyika vile Zanziba ilivyo

  • @malembobulongo3856
    @malembobulongo3856 2 หลายเดือนก่อน

    Wewe chawa tu ndio mnaowaza kula badala ya kutetea wananchi

  • @aqramseif5111
    @aqramseif5111 2 หลายเดือนก่อน

    Kwani kama wameagiza wasisemwe kwani hao nimalaika jibu hoja unamaliza m,b zetu

  • @Ikiramu
    @Ikiramu 2 หลายเดือนก่อน

    Mwenyi hakuleta vyama nimchakato wa Dunia nzima

  • @user-cw2nj4io3v
    @user-cw2nj4io3v 2 หลายเดือนก่อน

    Siasa uchwara, kwa hiyo unawabeza marais walitoka Tanganyika?,ni wsiojua ndo utawadanga ya.

  • @GodloveTyoe-fv8or
    @GodloveTyoe-fv8or 29 วันที่ผ่านมา

    Lisu namwogopa Sana natamani siku mkutane mbashala Yani live kuna mtu ata kimbia akiwa hana la kumjibu mtu

  • @DevothaLighton-dl6zi
    @DevothaLighton-dl6zi 2 หลายเดือนก่อน

    Hizo porojo mlizopiga miaka mingi Bado mnafikiri watanzania wamelala?Bado mnawapigia porojo watanzania?endeeni na porojo zenu

  • @PartySekemi
    @PartySekemi 2 หลายเดือนก่อน

    Hapo lissu ameguza oanapo uma kwanza huyu ni mtoto wa kikwete wa nje ni mhuni