Makonda alivyoamuru Mwenyekiti mwingine akamatwe katikati ya mkutano

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 26 ส.ค. 2024
  • Mkuu wa mkoa wa Dar es salam, Paul Makonda ameamuru kukamatwa kwa mwenyekiti wa mtaa wa Zavala kwenye mkutano wa hadhara Chanika kwa tuhuma za kuuza ardhi kinyume cha sheria ikiwemo eneo lililotengwa kwa ajili ya kuhamishia wananchi wa kata ya Kipawa ili kupisha upanuzi wa uwanja wa ndege.#DarMPYA

ความคิดเห็น • 227

  • @DeoLyakurwa
    @DeoLyakurwa 2 หลายเดือนก่อน +4

    M akonda jembe.chapakazi tetea wanyonge usiogope wachawi mungu anakupigania

  • @fatemafatema4780
    @fatemafatema4780 2 หลายเดือนก่อน +5

    Mungu akubarik makonda napenda sana speech zako.mungu akupe
    nguvu kufatilia wanyonge hongera sana.❤❤❤

  • @naimasaid7763
    @naimasaid7763 5 ปีที่แล้ว +2

    Nampenda sana makonda anafanya kazi vzr sana

  • @ngederemkatamkaachuwakineg5239
    @ngederemkatamkaachuwakineg5239 5 ปีที่แล้ว +5

    Makonda anapiga kazi sana sema ndio ivyo watu awampend ila kaz anapiga

  • @smwakaglobaltv4010
    @smwakaglobaltv4010 5 ปีที่แล้ว +3

    Hongereni viongozi kwa upasuwaji majipu, japo upande mwingine ni kudhalilishana mbele ya umma.

  • @georgemahembe4778
    @georgemahembe4778 5 ปีที่แล้ว

    nakukubali sana mh mkuu wa mkoa mimi binafsi naridhika na kazi zako zote unazo tetea maskini na wanyonge mungu akulinde dhidi ya maadui wote

  • @mstafaassan4707
    @mstafaassan4707 6 ปีที่แล้ว

    upo vizuri mkuu wamkoa sana unafanya kazi sana mungu akusaidie sana watu. wanaonewa sana

  • @silverjoseph4577
    @silverjoseph4577 5 ปีที่แล้ว +1

    Big up sana brother makonda Chapa kazi hakika uncle Magu hakukosea kukuchagua

  • @kubangaizamkundavi9676
    @kubangaizamkundavi9676 7 ปีที่แล้ว

    MAMA ana busara za hali ya juu sana.Sijaona kama kuna sababu ya kufanyiwa hivi.Ilibidi wapate muda tu wa kumchunguza badala ya kumweka kwenye kisimamo cha namna hii.

  • @kelvin_papaa_ya_warembo8313
    @kelvin_papaa_ya_warembo8313 7 ปีที่แล้ว +1

    safi sn rc M.hii nch(dar)kuna watu waliifanya yao kbs

  • @gregoryrobert920
    @gregoryrobert920 5 ปีที่แล้ว +6

    kwa kweli mheshimiwa makonda bomba la mkuu wa mkoa adum adum daima

  • @mstafaassan4707
    @mstafaassan4707 6 ปีที่แล้ว +1

    angalia haki mungu atakuuliza ulikuwa kiongozi ulifanya nini ila umefanya kazi nzuri

  • @khadijanjama9016
    @khadijanjama9016 5 ปีที่แล้ว

    Hongera sana kwa serekali ya magufuli na watenda kazi wote hii ndio serekali

  • @hassankayla4076
    @hassankayla4076 7 ปีที่แล้ว

    @Katarina William, mumy hapo hakuna maswala ya chemba kwa maana kila kitu kifanyike hadharai ili wananchi waelewe nini kinaendelea. Nakupongeza mkuu wa mkoa bwana PAUL MAKONDA kwa kazi nzuri unayoifanya watu wakijua ugeni wako wanahaha hakuna mambo ya janja janja zama za MAGUFURI. Ayo tv ahsante kwa kutufikishia habar

  • @liverpoolfootballclub9985
    @liverpoolfootballclub9985 4 ปีที่แล้ว

    Safi mkuu wa mkoa. Salamu zikufikie toka kenya

  • @hermanaaron6945
    @hermanaaron6945 6 ปีที่แล้ว +1

    Mungu anakuona Makonda,huyo si sawa na mama yako,kwann msifanye pembeni heshima ya kazi ukwapi bongo.daah nimeumia kiukweli

  • @samueljr9105
    @samueljr9105 5 ปีที่แล้ว +2

    Safi good job mkuu wa mkoa

  • @gospalflavour7304
    @gospalflavour7304 7 ปีที่แล้ว

    alafu wananch wa tanzania sijui tutaacha lini tabia yakushabikia kila jambo linaloonekana kumkandamiza mutu.hata bila kupima uzito wa mambo!!!
    Pole sana mama

  • @nawwaratm6323
    @nawwaratm6323 7 ปีที่แล้ว +3

    makonda upo juuuuu nakuaminia sanaaaa wataelewa tuu

  • @happymsaki1720
    @happymsaki1720 5 ปีที่แล้ว

    Mh makondo una huruma.sanaa naona hapo umeona kama unamsulubu mama yako ila ana makosa huyo mama jamani mama mbona unatuaibisha wamama wenzio nyakati hizi ni za TANZANIA MPYAA

  • @kishimbaboy5403
    @kishimbaboy5403 5 ปีที่แล้ว

    Mh R.c Makonda njoo sehemu moja inaitwa Chekelen IPO mlandiz mkoa Wa pwan uje uwanyooshe Wenyevit Wa uko hawajui kuyatumia madaraka yao!!!

    • @akshaydavid159
      @akshaydavid159 4 ปีที่แล้ว

      Makonda Hawezi kuja Pwani ila Dar tu.

  • @Jaybboytz-hw6iz
    @Jaybboytz-hw6iz 28 วันที่ผ่านมา

    jaman huyu makonda nimtu mungu almuludsha atetee watz anakutu ndan yake

  • @emanuelndinde533
    @emanuelndinde533 7 ปีที่แล้ว

    hongera makonda mungu akusaidie ulinde Mali y uma

  • @t33pelos77
    @t33pelos77 7 ปีที่แล้ว +2

    kila la kheri makonda Mungu akusimamie ututetee wanyonge

    • @idrisarashidi4046
      @idrisarashidi4046 6 ปีที่แล้ว

      Latifa Abdallah duhh! ama kweli binadamu tumepewa upeo tofauti wa kufikir😎

  • @lungusii
    @lungusii 7 ปีที่แล้ว +2

    Ili kuleta maendeleo na pia kukomesha rushwa lazima kuchapana bakola, virungu,mapanga na pia matukio kama haya yatokee . Kama alikuwa ana hudhuria kwenye vikao vyeti vya Masela tunavyo jadili lazima wata nyooka tu uongozi wa kifalme mwisho ..********* hapa kazi tuuuuu!!!

  • @amonloshilaa8082
    @amonloshilaa8082 7 ปีที่แล้ว +7

    safi Akuna kitu cha kuongelea chemba .mbona kuchaguliwa Akuna chenga?????

  • @bintirashidantybaby8146
    @bintirashidantybaby8146 7 ปีที่แล้ว +3

    maskin mama wawatu kwann mfanye mambo ya aibu kama hiyo kudhalilisha watoto wenu alaf mtasema makonda mbaya jaman mcheni mungu

  • @aminamakacha6258
    @aminamakacha6258 4 ปีที่แล้ว +1

    Hapa kaz tu Rushwa na uongoz wa kinafiki tupa kule

  • @GreatballersEver
    @GreatballersEver 5 ปีที่แล้ว +2

    Hii system ya Tanzania ya kuwanasa washukiwa hadharani inekua kenya tungekuwa kama Ulaya.

  • @beatricekihehe9879
    @beatricekihehe9879 7 ปีที่แล้ว +14

    acha waumbuke mwisho wao umefika waliwatesa Sana wananchi.

    • @emmanuelngoso4205
      @emmanuelngoso4205 7 ปีที่แล้ว +1

      Beatrice Kihehe

    • @khadijanjama9016
      @khadijanjama9016 5 ปีที่แล้ว

      Beatrice Kihehe wallahi nimeipenda sana hii move ya huyu mama

  • @fefeonlyme5394
    @fefeonlyme5394 7 ปีที่แล้ว +2

    watanzania sisi ni wanafki sana Hawa wenyekiti wanatusumbua sana...kwenye kutafuta maendeleo hakuna kuoneana huruma ni kazi tyu.......

    • @azizayassin3623
      @azizayassin3623 7 ปีที่แล้ว +1

      Fefe only me yup dia

    • @mashamakungu5430
      @mashamakungu5430 7 ปีที่แล้ว

      Fefe only me unasema kweli

    • @idrisarashidi4046
      @idrisarashidi4046 6 ปีที่แล้ว

      Fefe only me toka lini mwenyekiti akaleta maendeleo ambayo jamii aliyonayo ikalidhika unafikili analetewa bajet yule muulize rais wako ndiye wakuleta maendeleo

  • @DeoLyakurwa
    @DeoLyakurwa 2 หลายเดือนก่อน

    R,pc, wa mikoa mingine ebuchukueni mfanokwa,kea makonda jamani wanyonge wapate,haki zao

  • @irentirop6304
    @irentirop6304 7 ปีที่แล้ว

    makonda makonda good Job brother

  • @aishaomary732
    @aishaomary732 5 ปีที่แล้ว

    Fanya kazi yako baba

  • @katarinawilliam9960
    @katarinawilliam9960 7 ปีที่แล้ว +4

    Hii ni uchonganishi wa hali ya juu jamani.Kwanini wasiitwe chemba.Maana Hapa kama wanaosema watakosa ulinzi wanaweza kudhurika/kuuwawa na ndugu wa atakaye kamatwa.

    • @JAIVAH
      @JAIVAH 7 ปีที่แล้ว +3

      maisha ya chemba yanaongoza kwa rushwa.... siku zote gizani ni ushetani

    • @azizayassin3623
      @azizayassin3623 7 ปีที่แล้ว +1

      katarina william hkuna chemba mbona kura wanaomba mchana jua kali

    • @salmadalaquimane5303
      @salmadalaquimane5303 5 ปีที่แล้ว +1

      Chemba ya nn sasa acha ujinga kila cku wana tuumiza awa au vle aya jakkuta

  • @ngasalakonkmaster5734
    @ngasalakonkmaster5734 5 ปีที่แล้ว +1

    Mkuu wa mkoa nakukubali kuatatua kero za wanyonge, Rais alikuchagua aliona unauwezo wa kuongoza Dar,

  • @abuumaryama8931
    @abuumaryama8931 7 ปีที่แล้ว

    nimeipenda hiyo kama movi hivi kweli dunia ina mambo.

  • @user-et6zo3zh1c
    @user-et6zo3zh1c 6 ปีที่แล้ว

    Kila binaadamu anapungufu yake leo yeye kesho nyie mnofurahiya Mingu anafanyiwa makosa mangapi makubwa zaidi ys hayo Mbona anatusamehe leo nyie mnashindwa kumtetea kwa mkuu wa mkoa ili amsahe na kujirekebisha huyo mama huo ubinaadamu gani inasikitisha sana hata Mungu atamsaidia hana kwani hana hila...hata hivo watanzania muwe watu huruma kwa wezenu wakiwa wameteza ili mfano kwa mataifa mengine duniani..Ramadhan Karim.

  • @omegaamir908
    @omegaamir908 6 ปีที่แล้ว +1

    Raia wakisikilizwa sana napo shida wao wanajua kupinga tu

  • @OmanOman-dn6dj
    @OmanOman-dn6dj 2 หลายเดือนก่อน

    Sasa Ni Mkuu wa Mkoa Arusha..Nimejikuta Nafatilia Majukumu ya Mh Makonda

  • @abbymsa6858
    @abbymsa6858 7 ปีที่แล้ว +8

    Kwa ukweli mambo kama haya hayafai kutokea Tanzania, mambo kama haya yanapaswa kushughlikiwa ofisini sio katika mikutano ya hadhara, huu ni udhalilishaji, huyu mama angepangiwa siku aende kuonana na mkuu wa mkoa ofisini kwake, siyo kukabidhiwa polisi kama jambazi au muuaji.

    • @malickmakatta6089
      @malickmakatta6089 7 ปีที่แล้ว +3

      Abby Msa ,apangiwe aende wapi wakati huu si muda wa kuoneana aibu

    • @ramsojimmykelly3379
      @ramsojimmykelly3379 7 ปีที่แล้ว +3

      Abby Msa watu wakifanya kazi ofisini Anasema wanalindana watu wakifanya kazi za wazi kila MTU ajue hamtaki tuacheni unafki bhana

    • @azizayassin3623
      @azizayassin3623 7 ปีที่แล้ว +2

      Abby Msa mbona kura wanaomba mchana jua kali

    • @peterbernard3159
      @peterbernard3159 7 ปีที่แล้ว

      Abby Msa unaakil sana mkali wang wengne wote wanabwabwaja tyu

    • @idrisarashidi4046
      @idrisarashidi4046 6 ปีที่แล้ว

      Abby Msa ni kweli kabisa

  • @salmajuma4015
    @salmajuma4015 5 ปีที่แล้ว

    Oyooooooooooooooooo nakupenda makonda

  • @nyingos
    @nyingos 2 หลายเดือนก่อน

    Makonda noma aiseeh

  • @kulwaswetu4457
    @kulwaswetu4457 5 ปีที่แล้ว +1

    Ilampango huu nimzuli nahaijawahikutokea Kama wkuwotewakiwahivi nchi saaafiii wanyonge wtafaidi matundayanchiyao

  • @betwelnjavike188
    @betwelnjavike188 6 ปีที่แล้ว

    IKIWA USHAHIDI UPO NA MINUTE ZA KIKAO ZIPO WALA MWENYEKITI USIWE NA WASIWASI HAKI NA STAHIKI YAKO UTAIPATA.MUNGU IBARIKI TZ

    • @muslimkiluwa3814
      @muslimkiluwa3814 4 ปีที่แล้ว

      MKUU WA MKOA, POOL MAKONDA, HEMBU NJOO CHANIKA NGOBEDI KAKA

  • @motomoya8463
    @motomoya8463 4 ปีที่แล้ว

    TANZANIA AT ANOTHER LEVEL

  • @SamSam-bn8db
    @SamSam-bn8db 5 ปีที่แล้ว

    kazi ipo kweli kweli

  • @michaelamos7737
    @michaelamos7737 7 ปีที่แล้ว +9

    Najua sauti haitoshi ingawa ntaitoa tu
    mweshimiwa Rais tunajua unampenda sana makonda
    lakini tusiompenda tukowengi zaidi sasa basi kwanini usimpe ubarozi hata afgan stani au Iraq akaishiuko tuone kama hatarekebika?
    hukubongo tumechoka anatuchafulia hali ya hewa

  • @gerradtarimo3077
    @gerradtarimo3077 6 ปีที่แล้ว

    Ninacho kiona hapo watoa ushahidi wote ni makada wa ccm pengine mama anatokea upande wa pili! Hii ni janja ya kutisha watu tu kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa ili watu waogope wasigombee kutokea upinzani, wapinzani nao wala hawalioni hili, pamoja na yote hayo muheshimiwa mkuu wa mkoa sio poa namna hiyo!

  • @saumuhassan1365
    @saumuhassan1365 6 ปีที่แล้ว +1

    Duh! Hatareeee sana

    • @nobimgaya5359
      @nobimgaya5359 5 ปีที่แล้ว

      Upoooo 0742613839 pls nichk

  • @emmanuelgabagendi5800
    @emmanuelgabagendi5800 6 ปีที่แล้ว

    Makonda upo safi sana

  • @ceasermbisso6589
    @ceasermbisso6589 7 ปีที่แล้ว

    No mercy i like this!!!!!

  • @hussmuya5246
    @hussmuya5246 7 ปีที่แล้ว

    Wakfu hua hauzwi wala kubadilishwa kama mwenyewe aliyetoa alivo agiza ,sasa kama MTU ameuza kwanza anakua ametenda dhambi kubwa sana ,tukiachilia kuvunja sheria

  • @user-rp9iq6dd8w
    @user-rp9iq6dd8w 4 หลายเดือนก่อน

    Makonda unafaa kuwa kiongoz

  • @mariamkombo5325
    @mariamkombo5325 7 ปีที่แล้ว

    safi makonda

  • @wilsonrwekaza6247
    @wilsonrwekaza6247 6 ปีที่แล้ว

    Safi Sana tumenyanyasika Sana

  • @sholeMasaka-eo5yf
    @sholeMasaka-eo5yf 4 หลายเดือนก่อน

    Kaka makonda ukosafi san fiyakazi tunakupeda san kk yangu

  • @manish-fp1fb
    @manish-fp1fb 4 ปีที่แล้ว

    Kuna wenyeviti wasiojihusisha na kuuza viwanja....

  • @allyjumanne3144
    @allyjumanne3144 4 ปีที่แล้ว

    Makonda nae akioteaga anajikosha balaaaa!!!

  • @Rashidmhedhery
    @Rashidmhedhery 6 ปีที่แล้ว +1

    Mbwa sana huyu Makonda, kuna siku yake!!

    • @dansonjuma341
      @dansonjuma341 5 ปีที่แล้ว

      iii ni ujinga ya uyo makonda yenu inchi akuna mahakama unasika mutu bila investigation atakama ni mkuu ya mkoa bure kabisa

  • @KassimJabu
    @KassimJabu 2 หลายเดือนก่อน

    Komesheni hili maana nchi haiendeshwi hivi

  • @susananyasani6526
    @susananyasani6526 5 หลายเดือนก่อน

    Si haki huyo Mama kuchukuliwa na Polisi maamusi yasiyokuwa na maendeleo katika Nchi sorry

  • @madeeteapain7578
    @madeeteapain7578 7 ปีที่แล้ว

    huu sio ustaarabu mzur hadharani km hv..

  • @chibutvonline8710
    @chibutvonline8710 7 ปีที่แล้ว

    fantastic

  • @Bikolimanah
    @Bikolimanah 2 ปีที่แล้ว

    #VeryUnprofessional

  • @mcisunga3822
    @mcisunga3822 6 ปีที่แล้ว

    Mmmh isiwe mtaa wangu tu nilio nunua mie jamni 🙆🙆🙆

  • @bernardsamizi7289
    @bernardsamizi7289 3 ปีที่แล้ว

    Makonda nakuombea uwe makamu wa rais wa Jamuhuri ya muungano wa Tanzania .

  • @philimonindinadyo4843
    @philimonindinadyo4843 5 ปีที่แล้ว

    hivi kweli tuhuma zisizo thibitishwa namwekaje Nandan kwani wewe hujawahi kutuhumiwa mbona huwekwi ndani

  • @dtejoz
    @dtejoz 6 ปีที่แล้ว

    How comes maamuzi yafanyike tena ya kuharibiana pasipo uchunguzi? Anyway accountability ni kitu kizuri lakini good governance ni bora zaidi.

  • @VailethSolomon
    @VailethSolomon 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mweshmiwa njoooo kingor huk

  • @pilliramadhan7171
    @pilliramadhan7171 7 ปีที่แล้ว

    safi makonda""

  • @januzzyjohn6660
    @januzzyjohn6660 5 ปีที่แล้ว

    Daaah mimi sina cha kusema

  • @nyekingobwire4798
    @nyekingobwire4798 6 ปีที่แล้ว

    Mkuu nipe Mimi ajira ya utendaji kaka yangu

  • @AK-rd5zr
    @AK-rd5zr 4 ปีที่แล้ว

    It is only gullible people who think this is leadership.Hii ni kinyume na sheria.Unlesss Tanzania has become a banana republic with no courts.Makonda sio mahakama.Huyo mama hajashtakiwa na mtu.

  • @michaelobunde753
    @michaelobunde753 7 ปีที่แล้ว

    daaaa siasa hz mama wa watu ni kama kaundiwa zengwe na makonda anatoa agizo bila hata kujiridhisha kwa kuipitia hiyo karatasi ya mlalamikaji

  • @jeradkanyuru5745
    @jeradkanyuru5745 4 ปีที่แล้ว

    Mama ugewachatu kazi ulikuwa wapi..ukiwa mudogo

  • @naimasaid7763
    @naimasaid7763 5 ปีที่แล้ว

    Ila namuhurumia sababu ni mama

  • @jackisonijackisoni6715
    @jackisonijackisoni6715 5 ปีที่แล้ว

    Mzee Saf sana

  • @user-og9jt3mg4c
    @user-og9jt3mg4c 2 หลายเดือนก่อน

    Wenye viti nao walipwe mshahara! Sasa kama huyu halipwi chochote na anazomewa!!!

  • @annamhanje9254
    @annamhanje9254 7 ปีที่แล้ว

    makondaaaa oyeeeeee

  • @gospalflavour7304
    @gospalflavour7304 7 ปีที่แล้ว

    walishindwaje kumuonya kama kakosea mpaka wanabwabwaja mbele ya hadhara!

  • @benardmunna9194
    @benardmunna9194 7 ปีที่แล้ว +6

    😃😃 makonda si wa mchezo mchezo

  • @caindunke8526
    @caindunke8526 2 ปีที่แล้ว

    Hii Videos imenikumbusha pale Pilato alipouliz umati amuachie nani kati ya Baraba au Yesu ambaye ni Ktisto….
    Watu walitaka Baraba aachiwe na Yesu auawe….
    Nafikiti kuna cha kujifunza hapo.

  • @jeradkanyuru5745
    @jeradkanyuru5745 4 ปีที่แล้ว

    Mama ugekaatu nyumbani...miyaka imekukata

  • @RoseMary-hp5bz
    @RoseMary-hp5bz 7 ปีที่แล้ว +3

    naon jiji limepambazuka😂

  • @saimonnjau2426
    @saimonnjau2426 7 ปีที่แล้ว

    ulikuwa unaimba ccm mtaisoma number mbo na namba ndio hiyo mlivaa ngozi ya kondoo eee

  • @user-zo5sx5ko5s
    @user-zo5sx5ko5s 2 หลายเดือนก่อน

    Makonda nakuomba nenda kisiju pwani ukakigomboe kijiji chetu

  • @joyceleonce8986
    @joyceleonce8986 5 ปีที่แล้ว

    Ivi mbona hoyo mambo siyaonagi kagera maana makonda Rc iringa na RC tabora wako vizuri lakini kagera zero

  • @godfreymhochi6206
    @godfreymhochi6206 4 ปีที่แล้ว

    M/kiti ni mama daah alafu anakatamatwaa

  • @yussufkhamis2792
    @yussufkhamis2792 7 ปีที่แล้ว

    Maskini mama watu ,kwanza ni kati ya wasiojiweza halafu kama anashtumiwa na hajafanya ubishi kumpeleka huko manapotaka kumpeleka sasa hao askari ya nini kutaka sifa aw ndo wanataka kuonyesha kwa Mkuu angekua kaka jambazi wote wangeshakimbilia ndani

  • @asiakheir3846
    @asiakheir3846 6 ปีที่แล้ว

    Musikubali uongozi,ni mtihani

  • @godykilian
    @godykilian 7 ปีที่แล้ว

    pamoja na ni mkosaji ndio lakn kadhalilishwa sijafurahia hata kidogo staili aliyofanyiwa

    • @raphaelrespichius5245
      @raphaelrespichius5245 7 ปีที่แล้ว

      hivi makonda yeye ni msafi sana kuliko au je wazazi wake hawajawai kukosea ktk maisha yao mbona hawakuzalilishwa kiasi hiki au

  • @mkalimwanza7726
    @mkalimwanza7726 6 ปีที่แล้ว

    noma sana

  • @davidnyassan3610
    @davidnyassan3610 7 ปีที่แล้ว

    DAR MPYA

  • @1sumbawanga
    @1sumbawanga 7 ปีที่แล้ว

    Mkuu wa Mkoa Dodoma na DC wake wangetembelea Nzuguni A na B

  • @jackosama670
    @jackosama670 5 ปีที่แล้ว

    Ni shidaaaaaaaaa tumbua hao

  • @fatumamasudi365
    @fatumamasudi365 7 ปีที่แล้ว

    wanyoosheeee

  • @philimonindinadyo4843
    @philimonindinadyo4843 5 ปีที่แล้ว

    Anasema walikaa vikao wakapitisha Sasa kosa lake liko wapi

  • @saulmwakyusa1001
    @saulmwakyusa1001 7 ปีที่แล้ว +1

    sioni udhalilishaji wakati RAIA wanaunga mkono patamu hapo

    • @msomimosomy9812
      @msomimosomy9812 3 ปีที่แล้ว

      Hyo anayesema kunauzalilishaji nilijizi

  • @rajabmasoudkhamis4572
    @rajabmasoudkhamis4572 6 ปีที่แล้ว

    Makonda aliwaelekezea wenzake ncha sasa shina linamhusu yani shina linamuelekea