"RPC ni Mtu mdogo siwezi kuzungumza nae, nimempa siku 3' - MSUKUMA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 26 ส.ค. 2024
  • Mbunge na Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Geita Joseph Msukuma ameongea kwa mara ya kwanza baada ya kukamatwa na Polisi na kulazwa sero kwa zaidi ya saa 48.
    Baada ya kuachiwa kwa dhamana ameongea na AyoTV kuhusu kosa lake lililofanya akamatwe na kusema pia kwamba RPC wa Geita ana roho mbaya.

ความคิดเห็น • 934

  • @marykitiru9212
    @marykitiru9212 7 ปีที่แล้ว +30

    we siulisema unaheshim hata askarimdogo aje akukamate..sasa umekamatwa na mkubwa una lalamika...poleeeee

    • @bennymgaya2277
      @bennymgaya2277 7 ปีที่แล้ว

      Kajinga haka kajamaa na shida ni shule

    • @dhomila2982
      @dhomila2982 3 ปีที่แล้ว

      @@bennymgaya2277 wa ha madharahu

  • @bobwangwe748
    @bobwangwe748 7 ปีที่แล้ว +59

    Kwahiyo akikuomba msamaha utamfichia hayo maovu?

    • @magezimagezi363
      @magezimagezi363 7 ปีที่แล้ว

      Bob Wangwe, arudishwe sero

    • @gilbertalex1651
      @gilbertalex1651 7 ปีที่แล้ว

      Bob Wangwe bobu tulia wewe

    • @frankbella7010
      @frankbella7010 7 ปีที่แล้ว

      huyo mtangazaji mbona anamuiga miladi hayo sauti

    • @lazaroyona8307
      @lazaroyona8307 7 ปีที่แล้ว

      +Frank Bella.....muige na ww pia

    • @emmanuel_mihambo3
      @emmanuel_mihambo3 7 ปีที่แล้ว +1

      Lisu nilaisi wa wanashelia mbona yeye aliwekwa lokap marangapi wewe unalaumu afu dalasa LA 7 mufungweee RPC fanya kazi yako

  • @jozeytv8357
    @jozeytv8357 7 ปีที่แล้ว +47

    safi sana nilitamani ukae ndan ata miez minne unashabikiaga xan Akin lema wakiwekw ndani

    • @venancebasil4656
      @venancebasil4656 7 ปีที่แล้ว +3

      Jozey The Boy TV msukuma ni msukuma tu

    • @fugakwamalengo707
      @fugakwamalengo707 7 ปีที่แล้ว +1

      +Venance Basil
      halafu ajielewi eti anasema RPC chadema ajui kuwa hicho ni cheo kinavyo Fanya kazi akiulizi chadema wala ccm

    • @abdallahmwambe4834
      @abdallahmwambe4834 6 ปีที่แล้ว

      Msukuma hunalolote

  • @robertjagad5826
    @robertjagad5826 7 ปีที่แล้ว +1

    King M you are Good!
    hua unajua nini unaongea!
    na hujawahi kuogopa safi! tupo nyuma yako!

  • @kassimayoub5568
    @kassimayoub5568 7 ปีที่แล้ว +11

    hahahahahaaaaa TANZANIA imefikia patamu si mchezo 😁😁😁😁😁

  • @hamismindika7513
    @hamismindika7513 7 ปีที่แล้ว +26

    Takukuru mnasubiri nini anzeni namsukuma

    • @fugakwamalengo707
      @fugakwamalengo707 7 ปีที่แล้ว

      l like that

    • @graceswai9147
      @graceswai9147 7 ปีที่แล้ว

      Hamis Mindika hahaa

    • @emmanuelmasele8734
      @emmanuelmasele8734 7 ปีที่แล้ว +1

      SIKU ZOTE UNATAKA UONGEE NA USHANGILIWE NA WANA CCM.WALA SI MPIGANIA WATANZANIA BALI NI MWAKILISHI WA CCM TU.HONGERA RPC.

  • @amanidaudi210
    @amanidaudi210 4 ปีที่แล้ว +1

    Mhhh huyu jamaa mbona anaogea kama kaonewa. Hivyo ni vitisho na anajuaje kama yeye ni msafi????

  • @marykitiru9212
    @marykitiru9212 7 ปีที่แล้ว +18

    amakweli mkuki kwa ngurueee...sasa nimchunguu mmmmh.

    • @sonkoelface5594
      @sonkoelface5594 7 ปีที่แล้ว

      Ukusema mwanzo mnafiki hunaswaga

  • @sylvestergibbeson9220
    @sylvestergibbeson9220 7 ปีที่แล้ว +10

    Sheria unaichanganya na siasa bro! kapimwe mkojo

    • @ibrahimushabani5299
      @ibrahimushabani5299 5 ปีที่แล้ว

      Kabisa yani hili chizi halielewi hata anachoongea

  • @aloycekiwia8613
    @aloycekiwia8613 7 ปีที่แล้ว +9

    Kumbe kuna siri wanafichiana? Naomba waendelee kuchafuana ili tujue ya ndani.Serikali hii..!!

  • @yordanyona1234
    @yordanyona1234 7 ปีที่แล้ว +19

    kumbe hamuwez kusema mpaka mfanyiwe...Tanzania msema kweli Ni lisu angalii fitina ....mseme Siku zote ...mnafki

  • @hamisi8
    @hamisi8 7 ปีที่แล้ว +19

    msukuma mkuki kwa nguruwe kwa binadamu mchungu unataka upewe upendeleo maalum kwa kuwa eti wewe ni m kiti wa ccm wa mkoa m kiti wa ccm ndio unaruhusiwa kuvunja sheria na kuhusu ufisadi wa RPC yote ayo ni maneno ya mkosaji kwani unasubiri mpk uwekwe ndani ndio useme maovu ya RPC.

  • @bobwangwe748
    @bobwangwe748 7 ปีที่แล้ว +14

    Kwahiyo akikuomba msamaha utamfichia hayo mambo hadharani?

    • @abasmasusu964
      @abasmasusu964 7 ปีที่แล้ว

      Bob Wangwe hahahaha!!kijana nakuona umepotea sana

    • @gilbertmichael9130
      @gilbertmichael9130 3 ปีที่แล้ว

      Asiposema Inamaana amefumbia macho uovu

  • @stewardheaven8382
    @stewardheaven8382 7 ปีที่แล้ว +7

    ulikuwa unasubiri nini?? hadi ubanwe ndo utoe povuuu,ndo ukomeeee

  • @barakanyamafu5937
    @barakanyamafu5937 2 ปีที่แล้ว

    Pole kiongozi usijal tupo pamoja from Dodoma tunakupenda mtani wetu msukuma

  • @barnabasuled2011
    @barnabasuled2011 4 ปีที่แล้ว

    Hahaha sio poa Kwanza umenifulahisha umeongea kishujaa bro nakupenda Sana

  • @nasryseif3575
    @nasryseif3575 7 ปีที่แล้ว +5

    Leo nimeamini msukuma sio mzalendo kwanini ufiche maovu ya MTU kama kweri mzalendo na geita mmefanyiwa hayo kwanini usiseme

  • @saidndimbwa4976
    @saidndimbwa4976 7 ปีที่แล้ว +6

    😂😂😂😂😂😂😂 msukuma bhana... Eti "sijawahi kuona RPC mwenye roho mbaya kama huyu" Muhuni amevurugwa huyo...kampiga tanganyika jerk mheshimiwa...

    • @santyhassan4186
      @santyhassan4186 7 ปีที่แล้ว

      Said Ndimbwa Unamtetea nini sasa wacha alale ndani

  • @tonymelkion8357
    @tonymelkion8357 7 ปีที่แล้ว

    daaah kumbe mnalindana, siku zote ulikuwa wapi ......? mpaka ukamatwe ndio unataka kusema huo ukweli.....? Lisu big Up sana.

  • @franciscomohamedjumanne1136
    @franciscomohamedjumanne1136 7 ปีที่แล้ว

    wasio kuelewa watakutukana kwenye comment kwa sababu wao wanatumika kwenye mitandao nimekuelewa big up sana jembe

  • @stephanokanyika6988
    @stephanokanyika6988 7 ปีที่แล้ว +5

    we msukuma mbona unamtisha sana kamanda unasema ufulahii wapinzani kuwekwa ndani mbona kila siku unawapigia debe polisi leo wamekugeuka

  • @ernestndauka9301
    @ernestndauka9301 7 ปีที่แล้ว +23

    Braza Ayo!!! Hawa vijana wako wanakuiga hadi sauti!!! Jamaa waambie waongee sauti zao!!!!

  • @mlamtv4839
    @mlamtv4839 7 ปีที่แล้ว +1

    Nimelipenda Sana hilo neno "kupoteza radha ya mahakama".

  • @treyibrahim3327
    @treyibrahim3327 6 ปีที่แล้ว +2

    sema vyote wewe izo siyo siri tena kwa taarf yako.nakukubali sana Mr Msukuma

  • @michanomichano4931
    @michanomichano4931 7 ปีที่แล้ว +14

    Hapo ndiyo namkubali RPC alafu nilitamani ukae hats miezi 8 kwa kiherehere ulicho nacho

  • @rosemarybenjamin5866
    @rosemarybenjamin5866 7 ปีที่แล้ว +2

    Pole msukum wangu love you

  • @fadhilplatnumz8474
    @fadhilplatnumz8474 2 ปีที่แล้ว

    Veema- sana Mkuu msukuma tukopamoja nawe watz wote Joseph Msukuma oyeee nakukubali sana.

  • @sirimollel5970
    @sirimollel5970 7 ปีที่แล้ว +9

    wekwa ndani weweeee mweu ulimshabikia LEMA hakiwa ndani uliwatusi kina Halima mdee sasa utanyoka

  • @theinsider6462
    @theinsider6462 7 ปีที่แล้ว +40

    Huyu ndo yule chizi anayeshabikiaga mambo ya kipuuzi yanayofanywa na police kwa upinzani,Leo yamemkuta yeye kidogo tu analalama anataka hadi kufa.....hiyo ndo serikali yenu wehu nyie na ujifunze kuacha kuwabeza wapinzan wanapoonewa na serikali yenu MPUUZI WEWE

    • @tracyjustice1600
      @tracyjustice1600 7 ปีที่แล้ว +1

      Zacharia John kachukuwe soda kwa Mangi nitalipa, umenifurahisha sana

    • @subramashs2236
      @subramashs2236 7 ปีที่แล้ว

      Zacharia John mie namkubali msukuma

    • @mussambegu6386
      @mussambegu6386 7 ปีที่แล้ว +1

      Zacharia John heti anasema RPC ni chadema ahahahaa

    • @emanueljohn4217
      @emanueljohn4217 7 ปีที่แล้ว +1

      Zacharia John hili lijamaa kweli halifikirii

    • @subramashs2236
      @subramashs2236 7 ปีที่แล้ว

      Zacharia John mid namkubali

  • @lanlady2504
    @lanlady2504 7 ปีที่แล้ว +1

    Pole sana msukuma! Sasa,hapo umejiongezea shtaka la5 kwa kumtishia RPC! Uwiiii, poor TZ! Tunaelekea wapi? 'TUFIAKWA!!'

  • @abdulmohamed3240
    @abdulmohamed3240 6 ปีที่แล้ว

    Dah!!!! Malizana nae huyo!!!!!dah anakuona mbwiga pole yake sana mh msukuma nawe umezidi upole inshallah mungu batakusaidia .

  • @tatut3889
    @tatut3889 7 ปีที่แล้ว +8

    Mmh yani kimtu hichi sijuwi kikoje kumbe kunya anye kuku akinya bata kalisha kumbe kama nikweli umeweka ndani sio kutufumba macho umewezwa kwann ayo maovu Usinge sema zamani shwani ww

  • @iconnect9769
    @iconnect9769 7 ปีที่แล้ว +14

    Kiongozi gani wewe unaficha mabaya ya viongozi wengine, Kama kweli wewe ni mzalendo kweli Fichua mabaya aliyo nayo, Watanzania tumewachoka viongozi tiamaji tiamaji kama nyie.

  • @flyhigher5393
    @flyhigher5393 7 ปีที่แล้ว

    safi wamekukomesha wew huna adabu wala akilii.... safi sana walivyosema chakula chako kimwagwe.....

    • @flyhigher5393
      @flyhigher5393 7 ปีที่แล้ว

      inabidi wakunyooshe wew,kwan mwenyekiti wa chama nan alisema yuko juu ya sheriaaa???
      acha zako wew bhanaaa huna jipyaaa....

  • @moriscollins4494
    @moriscollins4494 3 ปีที่แล้ว +2

    Hapa ndio napomkazania mwanangu kusoma kwa hali yeyote ile....elimu ni muhimu sana

  • @lutherpanafrican2880
    @lutherpanafrican2880 7 ปีที่แล้ว +4

    si uzungumze Sasa hivi?
    so CCM mnafichua ubadhilifu mpaka mwe impacted, lol

  • @eastafricaqualitychickenfa9916
    @eastafricaqualitychickenfa9916 ปีที่แล้ว

    Naona umeinyaka Maik Kama wewe ndo muandishi🤣😅🤣

  • @eddieross2581
    @eddieross2581 7 ปีที่แล้ว +12

    wewe unaftina sana,muheshimiwa Rais muangalie sana huyu mtu,anasema RPC mfuasi wa Chadema kwani yeye msukuwa ameacha lini ufuwasi wa Lowassa?

  • @ashurajohn1620
    @ashurajohn1620 3 ปีที่แล้ว +1

    Mwaka huu mtatwambia mengi😂😂😂😂😂

  • @emmanueldottto5379
    @emmanueldottto5379 7 ปีที่แล้ว +3

    Mkuki kwa nguruwe hahaha asnte Tanzania yangu nakupenda

  • @mavundemmbaga4664
    @mavundemmbaga4664 7 ปีที่แล้ว +19

    Wakifungwa lisu wakitetea haki unashangilia..ila wewe unatisha..mpaka upelekwe ndo utaje maovu.jinsi mlivyo wanafiki...yanawarudia wenyewe

  • @Mkemia..Kirigiti
    @Mkemia..Kirigiti 7 ปีที่แล้ว +4

    hahahah!!, mzee baba liamshe DuDE nakukubal

  • @adinanjuma2457
    @adinanjuma2457 7 ปีที่แล้ว +1

    Hahahahhahaha! Siasa hizi na wana siasa hawa! Tukiwasubiri mtufikishe mmmmmmh! Imekula kwetu! Mkae na mtu ambaye ana mabaya yake! Duh!

  • @justinezablon6699
    @justinezablon6699 7 ปีที่แล้ว +1

    Hahaahaa nanyi yawawashe kidogo😅😅😅😅😅

  • @hamismindika7513
    @hamismindika7513 7 ปีที่แล้ว +13

    Huna lakuwaeleza wtz

  • @drex81
    @drex81 7 ปีที่แล้ว +10

    RPC amekuwa na roho mbaya zaidi ya waliotaka kumuua LISSU? Acha upuuuuzi

  • @stevenmrama3123
    @stevenmrama3123 3 หลายเดือนก่อน

    Pole sana ,samehe tu kiongozi

  • @neemac5488
    @neemac5488 7 ปีที่แล้ว +1

    Mtenda akitendewa mambo huwa hivi😃😃😃😃😃😃

  • @tracyjustice1600
    @tracyjustice1600 7 ปีที่แล้ว +12

    Piganeni nyie wote CCM na huyo RPC wenu mpaka muuwane

    • @alphoncealexander6562
      @alphoncealexander6562 7 ปีที่แล้ว +2

      Albadirr ishaanza kufanya kazi...

    • @bakaritlagha625
      @bakaritlagha625 7 ปีที่แล้ว

      Hongera RPC haki itendeke kwa wote hayo yote mbona hakusema wakati hajakamatwa .ukikosea sheria lazima uchukuliwe hatua.

    • @jumannewat7657
      @jumannewat7657 7 ปีที่แล้ว +1

      Alubadili iyo inafanya kazi kwa msukuma

    • @majisanhaimonnyirenda6760
      @majisanhaimonnyirenda6760 7 ปีที่แล้ว

      Leo msukuma zam yako usilamike mkuki kwa nguruwe

    • @davidemanuel8044
      @davidemanuel8044 7 ปีที่แล้ว

      acha uchochezi, asingekamatwa ungesema mengne, tumia akili

  • @Msonjo
    @Msonjo 7 ปีที่แล้ว +10

    hhhh unanikosha kwa mikwala mwanangu nakukubali kinoma

    • @anitangao3135
      @anitangao3135 6 ปีที่แล้ว

      kwenda wamekukomesha unakuwaga na kielele kwa hiyo unataka upinzani tu wangekuacha hata miezi

    • @goodluckmrosso486
      @goodluckmrosso486 6 ปีที่แล้ว

      Msonjo Khan nimemwelewaaaa kwa biti

  • @makaramayatibamrmichaelkih3683
    @makaramayatibamrmichaelkih3683 7 ปีที่แล้ว +1

    Safiiiiiii sana msukuma

  • @delebm543
    @delebm543 7 ปีที่แล้ว +1

    na bado utawaita roho mbaya wengi..suala uenyekiti ....mbowe na wengine mnaowaita kama watoto mpuuzi wee msukuma..

  • @bhwanajoseph6799
    @bhwanajoseph6799 7 ปีที่แล้ว +6

    ahahaha kuwekwa ndan sio mchezo we amsha dude kwa faida ya wananchi sio akikuomba radhi usiseme

  • @abdillahihassan7889
    @abdillahihassan7889 7 ปีที่แล้ว +5

    Mara pap iii....hiiiiiii!!!!!!!

  • @salmasaidy3400
    @salmasaidy3400 7 ปีที่แล้ว +1

    hahahaha mkuki kwa nguruwe kwa binadamu mchungu

  • @sharomatelephone7899
    @sharomatelephone7899 7 ปีที่แล้ว

    huhuhuhuhuhu king Yaan Wewe Ni balah Sana unajiamini vibaya mno😂😂 et darasa la Saba huhu

  • @justinekasigu5979
    @justinekasigu5979 7 ปีที่แล้ว +5

    Ulikuwa wapi kuyaanika hayo unayotaka kuyasema,acha unafiki msukuma,usiwajibishwe ww ni nan katika nchi hii,acha kulia lia RPC piga kazi # HAPA KAZI TU.

    • @allydaraja1949
      @allydaraja1949 7 ปีที่แล้ว

      Zambi ya ubaguzi haijawahi mwacha mtu salama.

    • @godblessmwanri80
      @godblessmwanri80 7 ปีที่แล้ว

      msukuma. my bro.wewe nikiongozi wa mkoa kuwa mfano.acha vyombo vya ulinzi na usalama vifanye kazi yake.ushauri

  • @fredrickbenito2252
    @fredrickbenito2252 7 ปีที่แล้ว +3

    Uyu vip? Lowasa kaingiaje hapo?

  • @marcodominico9503
    @marcodominico9503 7 ปีที่แล้ว +1

    ....."" Leo ni sisi, kesho ni Nape..keshokutwa ni wewe....". Alisema Tundu Lissu

    • @samwelmwinyi7879
      @samwelmwinyi7879 7 ปีที่แล้ว

      Marco Dominico-Mungu akiponye mja wake! Lissu

  • @nurumnyumba7964
    @nurumnyumba7964 7 ปีที่แล้ว +2

    Mambo gani unaanika baada ya kuwekwa ndani, acha vitisho. Tanga tunakujua.

  • @agneschaula3734
    @agneschaula3734 7 ปีที่แล้ว +2

    hahaha ati ylikamatwa kwa kosa ganii?????? muhhhh kama stor ya sungura na fisi vile

    • @rehemamazuki8454
      @rehemamazuki8454 7 ปีที่แล้ว

      Msukuma unanipaga raha ha ha ha ha aaaaaaa

    • @rehemamazuki8454
      @rehemamazuki8454 7 ปีที่แล้ว +1

      Msukuma unanipaga raha ha ha ha ha aaaaaaa

  • @shedracktweve9789
    @shedracktweve9789 7 ปีที่แล้ว +38

    Pumbav ww yaan kwa sababu tuu ww ni CCM ndio uvunje sheria RPC muongeze masaa mengi 120

    • @tatut3889
      @tatut3889 7 ปีที่แล้ว +1

      Shedrack Tweve 😂😂😂😂😂😂😂😁😁😁😁😁😁😁

    • @christophersypriano7824
      @christophersypriano7824 7 ปีที่แล้ว

      😂😂😂😂😂

    • @mussambegu6386
      @mussambegu6386 7 ปีที่แล้ว +1

      Shedrack Tweve kumbe imemuuma anavyoshabikiaga wenzie sasa imemkuta yeye

    • @hechechacha4032
      @hechechacha4032 7 ปีที่แล้ว

      Shedrack Tweve zitto alisema nchi wamepewa washamba hakukosea

    • @fokasiinnocent3448
      @fokasiinnocent3448 7 ปีที่แล้ว

      Shedrack Tweve subir utaona akimtaja ufisadi wake

  • @mtoshugilbert5540
    @mtoshugilbert5540 7 ปีที่แล้ว

    safi sana na uache kimbelembele kujifanya unajua sana kusema wenzio na kama ungekuwa mzalendo ungesema maovu yake toka mwanzo siyo kupigwa Tanganyika jeki ndo unajifanya kutoa mapovuu

  • @festomeshack8581
    @festomeshack8581 7 ปีที่แล้ว

    Haahaa yamekufika sio. Kumbuka mh. Nape alisema hakuna aliye salama so uachage uchama wakati kina Lema wanapokutana na mambo hayo

  • @bonifacej8755
    @bonifacej8755 7 ปีที่แล้ว +4

    yani hapa hakuna mtu kituko

    • @juliusurassa2136
      @juliusurassa2136 7 ปีที่แล้ว +1

      Bangi mbaya, uombwe radhi na RPC wakati umesema ni mtu mdogo kwako?

    • @fransismwanga6616
      @fransismwanga6616 7 ปีที่แล้ว

      Daaah.unatafuta balaa msukuma.muangalie nape alipo.nyerere alitoa onyo.mnawapiga Hawa wakiisha mnapigana ninyi kwa ninyi.

  • @aproniadeus2804
    @aproniadeus2804 7 ปีที่แล้ว +2

    sasa mwenyekit wa chama akikosa hastaili kuadhibiwaa? na kama anastahili kuadhibiwa unalalamika nn Kukaa siku mbili maneno yote yanakutoka je ungekaa miezi 6 ingekuwaje

  • @shufaamohameed2603
    @shufaamohameed2603 7 ปีที่แล้ว

    Safi umeongea point sana mkubwa hawakamati wahalifu wanaogopa

  • @johnsombi545
    @johnsombi545 7 ปีที่แล้ว +1

    Msukuma mjinga tuu kwanini usiyaseme kabla hujakamatwa

  • @venancebasil4656
    @venancebasil4656 7 ปีที่แล้ว +5

    eti rpc ni chadema hahahhahhhaaaaaa, kisa wewe ccm kakukamata hahahahhaa, kwani ccm ndo nini weka ndani wote alafu acha mikwara kwa rpc hahhaaaha eti risasi! nani akupige risasi wewe hakuna mtu wa kukupiga risasi tanzania ni ya amani, alafu kama wewe ni kiongoz bora ni bora uzungumze hadharani kwnini unaficha siri au kupiga mkwara, tumbua basi kama unaweza

    • @mtanzaniamzalendo7001
      @mtanzaniamzalendo7001 7 ปีที่แล้ว

      Venance Basil Namshangaa kwa nini hawakuitana huko kwao geita,kumbe unaficha maovu eeee

    • @muhsinihassani7021
      @muhsinihassani7021 7 ปีที่แล้ว

      msukuma kua mkweri rais katukanwa Wap ? usitafute kiki Kwa pickpik

    • @ibrahimushabani5299
      @ibrahimushabani5299 5 ปีที่แล้ว

      Hana lolote mshenzi tu huyu ingekua kweli si angesema

  • @josephkimboka1394
    @josephkimboka1394 7 ปีที่แล้ว +2

    Na msipo mkamata tena huyu msukuma nitashangaa kumbe ana maovu ya watumishi wa serikari huyu jamaa analeta uchochezi cjui yukoje?

    • @user-dr1su7pf7w
      @user-dr1su7pf7w 4 หลายเดือนก่อน

      mjinga kweli wewe unaakili kweli?

  • @odilomwemeziernest646
    @odilomwemeziernest646 6 หลายเดือนก่อน +1

    Jamaa yukoo simpo sana kama hakana ela

  • @ismailyhamisi2282
    @ismailyhamisi2282 2 ปีที่แล้ว

    Msukuma mm hakukubali sana ila binadamu hao ila police wanakela sana Mungu asaidie police ya Tanzania wafre kwenye roho mbaya

  • @zihadhassan6642
    @zihadhassan6642 7 ปีที่แล้ว +3

    RPC ninampongeza sheria ifate mkondo wake akuna cha Ccm au chadema

    • @jameskileo955
      @jameskileo955 3 ปีที่แล้ว

      Acha mboyoyo RPC Yuko vizuri na hayo ndiyo majukumu yake hakuna mtu aliye juu ya sheria NNCHI HII

  • @EmmanuelYona-wn5oz
    @EmmanuelYona-wn5oz 3 หลายเดือนก่อน

    tunakuunga mkono mbunge wetu na mwenyekiti wetu geita muanike huyo rpc

  • @sittamaningu4630
    @sittamaningu4630 6 ปีที่แล้ว

    Pole sana bwana Kwa malalamiko yako Needhani kasikia.

  • @wilsonchallange4420
    @wilsonchallange4420 7 ปีที่แล้ว +4

    Unatakiwa useme tu.
    na kama unao ushahidi juu ya maovu yake aburuzwe mahakamani na wewe uburuzwe kwa makosa yako.

  • @stewardheaven8382
    @stewardheaven8382 7 ปีที่แล้ว +12

    uombwe radhi wewe nani bwanaee???c unajidai mjuaji na mshangiliaji wa ya wapinzani? kaaa selooo huna ukubwa wowote kuliko RPC

  • @venancerichard8761
    @venancerichard8761 7 ปีที่แล้ว +2

    Hujajua kulalamika bdo;endelea kuropoka maana ya lissu unayaona n madogo!!subiri yakukute zaidi ya hayo

  • @raphaelsamwel2640
    @raphaelsamwel2640 5 ปีที่แล้ว +1

    Wanajisahau sana hawa wanasiasa ambao sifa ya ubunge nikujua kusoma na kuandika tu!!! RPC ni mtu na elimu yake bhana!!!!

  • @olaislukumay571
    @olaislukumay571 7 ปีที่แล้ว +4

    Hahaahhahaha Msukumaaaa

    • @mussambegu6386
      @mussambegu6386 7 ปีที่แล้ว

      Olais Lukumay jamaa anapovu c mchezo

  • @imanishengoma5602
    @imanishengoma5602 7 ปีที่แล้ว +12

    usipoweza kumuheshimu rpc anayekulinda ktk himaya yako usitegemee kusikilizwa na sirro au rais

  • @mathiaskasato5247
    @mathiaskasato5247 3 ปีที่แล้ว

    Anacheza na wasukuma tutampandisha mlimani mpaka hataamini🤣🤣

  • @user-oo5pc9bp9z
    @user-oo5pc9bp9z 3 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂wamekuchafuwa msukuma wetu

  • @hamismindika7513
    @hamismindika7513 7 ปีที่แล้ว +4

    Asingepewa dhamana huyoo

  • @hajihassan9097
    @hajihassan9097 7 ปีที่แล้ว +2

    hiyo ndio sifa ya darasa zero, huna lolote kazi yako kupiga kelele na kujipendekeza kwa Magufuli, sasa utaamua kurudi shule au kuwa mfurukutwa zaidi wa ccm, kazi yako kuongopea watu eti mimi naungana na raisi Magufuli kwenye vita vya kiuchumi, mbona hilo la Rpc kama ana madudu lilikushinda kuzungumza bungeni? kilichobaki ni kula matapishi yako mwenyewe kwani ulikuwa ukiona raha kuwafika wapinzani eee

  • @mussajonasi658
    @mussajonasi658 ปีที่แล้ว

    big up sana mzukumu

  • @uliusmtack3679
    @uliusmtack3679 7 ปีที่แล้ว +2

    Musuma umeonaeeee bungeni wapinzani wakilalamikiaga hayo mnapingaga ss yamekukuta acha presha

  • @graywoisso1741
    @graywoisso1741 7 ปีที่แล้ว +9

    ACHA KUTOA POVU NI KAWAIDA TU.UWEKWA NDANI ULITUMWA NA NANI UFANYE HUO UPUUZI.NANI AKUPIGE RISASI.AKUOMBE RADHI NANI WEWE

  • @revocatuskapama2930
    @revocatuskapama2930 7 ปีที่แล้ว +4

    mnafki mkubwa

  • @lidriclidric4247
    @lidriclidric4247 2 ปีที่แล้ว

    ety nimekupa siku tatu, umpe rpc sikutatu huna mamlaka ayo, rpc ni mtu mkubwa acha kubwabwaja ☝️☝️☝️ww

  • @petershokolo9894
    @petershokolo9894 3 ปีที่แล้ว

    Sio roho mbaya yuko kazini anatimiza maagizo yake ya kikazi

  • @charlessalum6603
    @charlessalum6603 7 ปีที่แล้ว +3

    fala wewe

  • @revocatuskapama2930
    @revocatuskapama2930 7 ปีที่แล้ว +3

    koma

  • @peternkohi8830
    @peternkohi8830 7 ปีที่แล้ว +1

    kumbe mnafichiana uovu,sasa mmetuweka wazi kuwa ni WATENDA UOVU

  • @jofymwaijofymwai2163
    @jofymwaijofymwai2163 7 ปีที่แล้ว +2

    kwanini ungesinga ongea mapema Acha usenge kumbe wewe sio mwenyekiti wewe ufai

  • @aeroportonissan8077
    @aeroportonissan8077 7 ปีที่แล้ว +8

    MKUKI KWA NGURUWE....

  • @saimonijonas4356
    @saimonijonas4356 4 ปีที่แล้ว

    Maana usingekamatwa wapo wangesema wanaonewa wapinzani tu mbona wao hawakamatwi.

  • @magezimagezi363
    @magezimagezi363 7 ปีที่แล้ว +3

    Ningekuwa kiongozi mda huu ungerudi sero, ulikutoa hayo uliyonayo miyoni mwako, kakini yote haya ni uongozi bora wa Dr Rais jpm, Mungu akutie nguvu ili uwe na makamanda wengi km wa geita hii ni ishara kuwa nchi inazidi kuwa Safi, huyo wammkamate aseme aseme, na sheria itende haki....

  • @johnchacha1490
    @johnchacha1490 ปีที่แล้ว

    Huwa nakukubali sana mp wa geita, wewe ni zaidi ya kamanda

  • @matildaedson4796
    @matildaedson4796 7 ปีที่แล้ว

    Haha haha haha haha inaumaaa eeeeeee mtenda akitenda akitendewa hujihisi kaonewa 😀😀😀😀😀