Wew ndiye utakaye badili maisha yangu kama ntakufatilia, keep it up broo. You are my role model from now. Una IQ kubwa sanaa ya kuhusu kupambana na maisha, kumfanya mtu atoke chini alipo awe juu zaid. Kama unakubali huyu ana IQ ya hatare gonga like please
umenikumbusha kipindi nipo kidato cha NNE nilikuwa naambiwa sitafauru kwa sababu ya hati yangu mbaya ila hauwezi amini Mimi ndio mwanafuzi wa kwanza kupata ajira serikarini katika lile darasa
Hahahaha kuajiriwa sio kufaulu ajira ni kitu kingine wapo ambao walifeli kabisa darasa au alikuwa na 4 chafu lkn kaajiriw ila wa 2 au digree yupo tu home
Hongera sana professor Joel Nanauka... Kila kheri juu yako.... Mambo mazuri sana... Swali: "Nini ushauri wako kuhusu kuondoa umasikini, kwa sababu asilimia kubwa ya watu inahisi kuwa haiwezi kubadilika hata kama itapewa maarifa ya kutosha?
Video km Hz zina viewers wachache but video za Diamond na nyngine nyng km x videos zina VEIWERS wengi, hapo ndo nimegundua kuwa cc wenyewe ndo tunatengeneza MAISHA ya mazuri na mabovu🤔✔️ Daah!!!🤣 Blessed kk ndauka!!!!!🤝
Hilo la walimu ni kweli mno. Yaani wapewe elimu namna ya kumjenga mwanafunzi na kumpa moyo na si kudhalilisha mbele za wanafunzi wenzake au kumbeza. Mi darasa langu wengi waliachia shule njiani kutokana na mambo km haya. Mtu anakwambia siji shule mi ni mjinga. Na hakuna mtu mjinga jamani. May God bless you.
Brother Nanauka! Thank you so much 👏 nmegongana na video yako hapa then nika stuck,na cjutii and I didn't wast my time to listen to you. You got my attention it is so sweet to listen to you,Kabisa! Thanks a lot to make me rethink myself natoka wapi naenda wapi. From from Rwanda and welcome to the country of thousand hills.
Hongera Mr Joel Nanauka, nimeipenda sana elimu hii. Kama hautojali naomba uni-add kwenye group lako ili niendelee kujifunza. Nina tamani kuwa na elimu hii ili niwasaidie wengine.
Asante sana mr Nananauka.kweli nimekuelewa sana.Wkt niko shule ya msingi kuna dada alikuwa mnene kuliko wote shuleni.lkn lilipotokea shidano la mbio na mshindi anapewa maziwa ya cowbell sisi wembamba tulikuwa na asilimia mia kushinda na kupata maziwa.lkn hauwezi amini dada bonge alitushinda na kupata maziwa.thank you so much.
bro nanauka umenifanya najutia nafasi nyingi nilizowahi kuzipata sasa sitakia kujutia tena naamini kupitia mafundisho haya naweza kutumia vizuri fulsa ntakazo zipata kwanzia ivi sasa @see yuo at the top
Tunaoangalia hii video mwaka 2024 gonga like hapaaaaaa
Niko hapa
Ahsante saana kaka Nanauka...
Anaeangalia video hii 2019 ,,gonga like tuendezetu!
Ubarikiwe sana nimejua mambo ambayo nikuwa siyajui
Imeisha hiyo💯
I love this motivational teaching,keep it up
P
Naomba kitabu hiki
Wew ndiye utakaye badili maisha yangu kama ntakufatilia, keep it up broo. You are my role model from now. Una IQ kubwa sanaa ya kuhusu kupambana na maisha, kumfanya mtu atoke chini alipo awe juu zaid. Kama unakubali huyu ana IQ ya hatare gonga like please
da mimi nalakitisa lakini na amini paka niwe namiliyoni 500
Jamani akuna utajiri sio kuwa na msjariti kafanya kaz asate Sana Kaka
Karibu nikushirikishe kwenye fursa na kipato endelev
Vp ukoapii
Anaeangalia video hii 2021 ,,gonga like tuendezetu!
Hiki kichwa ni hazina yetu vijana taifa, Bara la Afrika na Ulimwenguni kote. Mungu akutunze kaka Joel
Hii ni miaka 5 iliyopita leo 2024 na bado ni madini sana
Asante sana proffes nanauka yan we ngoja niinuke mpaka watu washangae .... Anaengalia video hii 2023 agonge like
Hapo ndo utajua elimu ya kuambiwa ni bora kuliko ya kufundindishwa gonga like
❤
umenikumbusha kipindi nipo kidato cha NNE nilikuwa naambiwa sitafauru kwa sababu ya hati yangu mbaya ila hauwezi amini Mimi ndio mwanafuzi wa kwanza kupata ajira serikarini katika lile darasa
Hongera sana
Inawezekana hata hiyo kuajiriwa tayari ushafeli
Hahahaha kuajiriwa sio kufaulu ajira ni kitu kingine wapo ambao walifeli kabisa darasa au alikuwa na 4 chafu lkn kaajiriw ila wa 2 au digree yupo tu home
Hongera sana professor Joel Nanauka...
Kila kheri juu yako....
Mambo mazuri sana...
Swali: "Nini ushauri wako kuhusu kuondoa umasikini, kwa sababu asilimia kubwa ya watu inahisi kuwa haiwezi kubadilika hata kama itapewa maarifa ya kutosha?
Kaka asante ,nimefanikiwa kutimiza malengo yangu kwa asilimia kubwa sana kwa kufuata kanuni zako
Daaah kwel yn
Nimependa sana mafundisho yako, natamani ningepata nafasi ya kukuona kwa mafundisho ya ziada
Karibu nikupe fursa 100%
Good boy Nanauka we ni habari ya Shule maishani
Bwana nanauka kwakweli mungu amekupa neema nakuombea ulinzi baraka na ujuzi zaidi
J'aime ça vraiment moi c'est jeremie je viens du Congo je vous écoute à 90%
Hizi elimu zingekuwa zinatolewa kila mahali watu wengi tungekuwa mbali sana.Mungu akubariki.
Emmanuel Kimaro nashukuru sana ,pamoja
ANDIKA NAMBA ZAKO ILI TUKUTAFUTE NAUKA NAMBA ZANGU NI IZO 0684663534,0676928180 NITAFUTE KAKA
Teacher joeil na mm nataka vitabu vyako kiac gain nanita vipataje mm nipo zanzibari
Naomba nambayako teacher joeil. Zangu mm izo 0677466564
@@joelnanauka thanks bro nakupenda san kupitiya mafunzo yako one day i,gonna see u
Video km Hz zina viewers wachache but video za Diamond na nyngine nyng km x videos zina VEIWERS wengi, hapo ndo nimegundua kuwa cc wenyewe ndo tunatengeneza MAISHA ya mazuri na mabovu🤔✔️
Daah!!!🤣 Blessed kk ndauka!!!!!🤝
Acha x ziwe na wengi watavunja walichopanda
Na ex zao watapata wanaachokitafuta
Daaaa kaka I'm speechless nimeanza kufuatilia video zako najiona nilikwama sehemu najiona kubadilika sana
Karibu ubadilishe maisha yako kupitia fursa nitakayokushirikisha ujipatie kipato cha ziada
Hilo la walimu ni kweli mno. Yaani wapewe elimu namna ya kumjenga mwanafunzi na kumpa moyo na si kudhalilisha mbele za wanafunzi wenzake au kumbeza. Mi darasa langu wengi waliachia shule njiani kutokana na mambo km haya. Mtu anakwambia siji shule mi ni mjinga. Na hakuna mtu mjinga jamani. May God bless you.
Mungu akutunze kwaajili ya uzao wangu na Taifa zima
Umekua baraka sana kaka sijutii kukufahamu🙏🙏
Brother Nanauka! Thank you so much 👏 nmegongana na video yako hapa then nika stuck,na cjutii and I didn't wast my time to listen to you. You got my attention it is so sweet to listen to you,Kabisa! Thanks a lot to make me rethink myself natoka wapi naenda wapi. From from Rwanda and welcome to the country of thousand hills.
Nimejifunza jabo asante
Ppp p
Aisee yani mungu akubariki sana kaka, joel ,kiukwel nimekua nikipanga malengo lakini nimekua mwepesi kugairisha mambo,natamani sana kubadilika
Ndo asili ya kila mtu kukasirika mtu fulani anapofanikiwa, nashukuru kaka Kwa somo hili mm nimefarijika sana
safi sana brother nanauka ww ni kocha wangu wa maisha na mm ni milde fild wako tupo pamoja brother
you are great bro....much respect and blessed
daaah.... am blessed wallah, asante kaka nanauka
Nakuelewa sana bro umenibadilisha sana kwa kupitia masomo yako mungu akubariki sana
Wallai broo huogei pumba bigup kwenye hili somo nimepata vitu vingii... 👌👌👍👍
Hongera Mr Joel Nanauka, nimeipenda sana elimu hii. Kama hautojali naomba uni-add kwenye group lako ili niendelee kujifunza. Nina tamani kuwa na elimu hii ili niwasaidie wengine.
Daah kaka Joel uko vzuri. Uelewa wako uko juu, nashauri ugombee ubunge, maana comment zote inaonyesha wamekuelewa na wamependa somo lako.
Ubunge so dili
Hogera. Kaka. Joel
Namuona SAM SASALI ANATAMANI KUMMEZA HUYO JAMAA ILA ANASHINDWA.........😂😂😂😂😂😂
It's Nov 2020 na bado nachek this video
Aiseeh naona kama nilichelewa kuja huku,,, big up bro , umenibadilisha pakubwa Sana 🤝🤝
Bro....kazi nzuri....naomba nijue.napataje vitabu vyako niko mbeya
Nenda soko kuu mwanjelwa chumba namba 165 utapata kila aina vitabu vyake
Barikiwa sana Joel! Tumesoma wote lakini nakuheshimu sana sana kama mtaalamu !Mungu azidi kukuinua
Nashukuru sana tuko pamoja tuendelee kujifunza pamoja
Kaka uko vizur sana
Gorgeous
Umenifundisha jambo jipya ubarikiwe
Asante kaka nami ntaanza kuandika malengo yangu
Pastor be Blessed vijana wako tunakuelewa.
Your my role model mr Joel, nimefanya mambo mengi sana kupitia speech zako
ELSON LUGIKO Ahsante sana,nafurahi kusikia hivyo
Hongera sana kaka Nanauka uko vizuri sana kichwani Mungu akutimizie malengo yako inshaallah
Kweli najifunza mengi
Natamani kufika mbali ,lakin Kila nikipangilia yanavurugika nitakufatilia paka nifanikiwe
Asante sana brother kwakwel umenisaidia sana maan nmekatishwa tamaa sana lait ningepata haya mafundisho mapema ningekuwa mbal sana
Mungu akubariki
Bro asante sana umezaliwa kwaajili ya kazi unayoifanya
You are my role model bro, Mungu akujalie afya na maarifa mengi.
Much respect for you, you have inspired and you're the best mentor. Love from 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪
Njo nikushirikishe kwenye fursa itakayokupa pesaa
Nanauka unanibadili Sana kimawazo na kimtazamo nimekuwa wa tofauti sana
Maelezo yako vizuri sana. Hongera!
Kaka uko vizuri nimekukubali
Asante sana mr Nananauka.kweli nimekuelewa sana.Wkt niko shule ya msingi kuna dada alikuwa mnene kuliko wote shuleni.lkn lilipotokea shidano la mbio na mshindi anapewa maziwa ya cowbell sisi wembamba tulikuwa na asilimia mia kushinda na kupata maziwa.lkn hauwezi amini dada bonge alitushinda na kupata maziwa.thank you so much.
Hahahahahahaaaa duh
Haaaaaaahaaaaaaa....
what an inspiring speech thx soo much
HAHAHAHAHA NIMEKUELEWA SANA
Robert Gwelela hahaha hahaha
Mdamchache nimetumia hapa lakini nimejifunza mengi. Asante
kiukweli upo vizuri na umenifundisha sana
Joel ua so unique kwakweli elim yako ni kubwa mno
Karibu nikushirikishe katika fursa upate kipato cha ziada
Tukipata viongozi wenye upeo na Uelewa kama wako nchi itapiga hatua kubwa Sanaa!!
Karibu nikushirikishe katika fursa upate kipato cha ziada
Mimi ni mshindi katika jina la yesu ninaweza yote
Kiukweli kaka umeongea kitu Cha msingi Sana .Natamani Elimu hii iwafikie walimu wa watoto wetu nadhani itaokoa watoto wetu na taifa kwa ujumla
Hongera kwako na Alie kuzaa una nifunza vitu vingi sana.
Baada ya kuckiliza mwanzo mwisho bilashaka kunakitu nmekpata 🙏balkiwa Sana Kaka
Kaka Joel! Mawaidha yako mazuri kbs zidi kutowa ilimu ili uwilimishe watu ambao kile tusiye juwa muhimu sana
Kaka kazi nzur napataje kitabu cha kupanga malengo
bro nanauka umenifanya najutia nafasi nyingi nilizowahi kuzipata
sasa sitakia kujutia tena naamini kupitia mafundisho haya naweza kutumia vizuri fulsa ntakazo zipata kwanzia ivi sasa
@see yuo at the top
Asante Kwa elimu nzuri je wewe umefanikiwa zaidi joel
Asante kwa usimulizi njema
Nanauka Mungu akubariki. Wish to be my coach
Dah yani hii video ni Shule Toshaaa, Shukrani sana kaka.
Mwakifuna The Prominent pamoja,help to share
Kuam
Ahsantey sana Boss kwa somo hili zuri
Njo nikushirikishe fursa itakayokupa pesa
Thanks sir God bless you 🙏
Nakuelewa sana Mwalimu wangu J Nanauka unamadini ya uhakika
Nani anangalia 2021,jamani nanauka
Uko vizuri
2022
You are an epitome of mentors, keep it up brother..!!
Thanks for your enlightenments.🙏
kweli kabisa Joel kuna boss wangu aliniambia kitu kinanisumbua mpaka leo
Ahsante Sana Mentor J Nanauka
kweli tunaoangalia tunafaidi hata kama umetuchana ukweliii .kweli tumerelax sana
uo mpangalio wa malengo ni mzuri sana, ubarikiwe sana Enuaka
Mungu akubariki sana kaka Nanauka
Cvano Charles nyege nyegezi
Jamaa maneno yake anasoma sana Vitabu et Jaman Mungu Akubariki Nanauka
Kwa mara ya kwanza ni leo kusikiliza video zako, nmejikuta naangalia na kusikiliza nyingi zaidi. Keep it up brother
MAGANGA Cosmas we kweli No umeongea aisee
Be blessed kaka,umenitoa kwenye comfort zone
Barikiwa Sana brother...
Unaongea uhalisia
Kila unapo ongea ukimaliza inakuja wow maongez yako mazur bro asante na mungu akubarik Mr nauka
See you at the top next year you will be my mentor
Hongera Sana Bro Nanauka kwa mafundisho
Asante xana kw hii video najihisi kujengeka kila ninapo kusikiza
Mungu akupe maisha marefu ❤
i like so much brother uko vizuri unatupa mafunzo mazuri
Brother nanauka,, kiukweli umenifanya kuwa jasiri katika kutimiza malengo yangu mungu akujalie
Karibu nikushirikishe katika fursa itakayokupa kipato cha ziada
My Brother JOEL You're the Best of Best keep Motivating us,Happy New year 2020.
Be blessed brother joel
Hakika kakaNanauka inatisha munguakupewepesi wamboyako kufanikisha jamii
Joel umetisha sana yaani unanipa msisi mko sana.na unanipa maarifa
Shukrani bro... Ila hicho kitabu knapatkana wap
Gud inspiration .,we need to change we youth
Karibu nikushirikishe katika fursa upate kipato cha ziada
Asante kwakunifungua nimependa sana
nakupta vizur sana brother una mafundisho mazur sana
Costantine Charles
Kaka Mungu akisaidiwa uwenaafya njema ilijami ikufaid
Dahh jamaaa yuko vizuriiii sanaaaa God bless
Wow nimependa sana da malengo ni muhimu ila Yote Mungu mbele
Uko sawa mwalimu
Mungu aendelee kukulinda Ili uzidi kufungiwa vichwa vya watu.
Ahsante sana kwa somo zuri
Dah..brow upo makin sana nimeipenda hii mada..ipo activitie..!!
MUNGU akutunze brother Joel
Asante sana my best mentor
Bro natamani na mimi niwe mtu wa muhimu katika maisha yangu
Thank you so much Coach Joel 🙏🏾
May God keep blessing you.
Upo vizuri Mr. Joel, uwe na afya njema.
Karibu nikushirikishe katika fursa upate kipato cha ziada