Jinsi Ya Kubadilisha Maisha Yako Ndani Ya Mwaka Mmoja - Joel Arthur Nanauka

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 17 ม.ค. 2018
  • 🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.selar.co 🔥🔥🔥

ความคิดเห็น • 572

  • @Simbasc-mw4zk
    @Simbasc-mw4zk 2 หลายเดือนก่อน +40

    Tunaoangalia hii video mwaka 2024 gonga like hapaaaaaa

    • @bina2557
      @bina2557 2 หลายเดือนก่อน +1

      Niko hapa

  • @kennytwinzi821
    @kennytwinzi821 5 ปีที่แล้ว +182

    Ahsante saana kaka Nanauka...
    Anaeangalia video hii 2019 ,,gonga like tuendezetu!

  • @saidnomano3667
    @saidnomano3667 5 ปีที่แล้ว +87

    Wew ndiye utakaye badili maisha yangu kama ntakufatilia, keep it up broo. You are my role model from now. Una IQ kubwa sanaa ya kuhusu kupambana na maisha, kumfanya mtu atoke chini alipo awe juu zaid. Kama unakubali huyu ana IQ ya hatare gonga like please

    • @mafanikioimanida3626
      @mafanikioimanida3626 4 ปีที่แล้ว +1

      da mimi nalakitisa lakini na amini paka niwe namiliyoni 500

    • @edwardkavishe3139
      @edwardkavishe3139 2 ปีที่แล้ว

      Jamani akuna utajiri sio kuwa na msjariti kafanya kaz asate Sana Kaka

    • @miriamwinston9908
      @miriamwinston9908 ปีที่แล้ว

      Karibu nikushirikishe kwenye fursa na kipato endelev

    • @mactongathe179
      @mactongathe179 9 หลายเดือนก่อน

      Vp ukoapii

  • @mayombotz
    @mayombotz 3 ปีที่แล้ว +17

    Anaeangalia video hii 2021 ,,gonga like tuendezetu!

  • @user-xp8ro5qs8i
    @user-xp8ro5qs8i 11 หลายเดือนก่อน +7

    Hiki kichwa ni hazina yetu vijana taifa, Bara la Afrika na Ulimwenguni kote. Mungu akutunze kaka Joel

  • @kabotezeey8474
    @kabotezeey8474 5 หลายเดือนก่อน +13

    Hii ni miaka 5 iliyopita leo 2024 na bado ni madini sana

  • @AredFered
    @AredFered 7 หลายเดือนก่อน +16

    Asante sana proffes nanauka yan we ngoja niinuke mpaka watu washangae .... Anaengalia video hii 2023 agonge like

  • @eliaspaul5289
    @eliaspaul5289 4 ปีที่แล้ว +33

    Hapo ndo utajua elimu ya kuambiwa ni bora kuliko ya kufundindishwa gonga like

  • @azzomapesa7879
    @azzomapesa7879 5 ปีที่แล้ว +58

    umenikumbusha kipindi nipo kidato cha NNE nilikuwa naambiwa sitafauru kwa sababu ya hati yangu mbaya ila hauwezi amini Mimi ndio mwanafuzi wa kwanza kupata ajira serikarini katika lile darasa

    • @Creative_Feny
      @Creative_Feny 4 ปีที่แล้ว

      Hongera sana

    • @stivejayngoga1403
      @stivejayngoga1403 3 ปีที่แล้ว +6

      Inawezekana hata hiyo kuajiriwa tayari ushafeli

    • @HappyFamily-qz9up
      @HappyFamily-qz9up 4 หลายเดือนก่อน +1

      Hahahaha kuajiriwa sio kufaulu ajira ni kitu kingine wapo ambao walifeli kabisa darasa au alikuwa na 4 chafu lkn kaajiriw ila wa 2 au digree yupo tu home

  • @shabansalum6014
    @shabansalum6014 3 ปีที่แล้ว +6

    Hongera sana professor Joel Nanauka...
    Kila kheri juu yako....
    Mambo mazuri sana...
    Swali: "Nini ushauri wako kuhusu kuondoa umasikini, kwa sababu asilimia kubwa ya watu inahisi kuwa haiwezi kubadilika hata kama itapewa maarifa ya kutosha?

  • @meleajohnkisaka7969
    @meleajohnkisaka7969 3 ปีที่แล้ว +6

    Kaka asante ,nimefanikiwa kutimiza malengo yangu kwa asilimia kubwa sana kwa kufuata kanuni zako

  • @beatricemwambene9486
    @beatricemwambene9486 5 ปีที่แล้ว +25

    Nimependa sana mafundisho yako, natamani ningepata nafasi ya kukuona kwa mafundisho ya ziada

  • @paulinyoisrael6079
    @paulinyoisrael6079 5 ปีที่แล้ว +14

    Good boy Nanauka we ni habari ya Shule maishani

  • @sayyidtawaqal1754
    @sayyidtawaqal1754 5 ปีที่แล้ว +6

    Bwana nanauka kwakweli mungu amekupa neema nakuombea ulinzi baraka na ujuzi zaidi

  • @jeremiebahane6679
    @jeremiebahane6679 ปีที่แล้ว +3

    J'aime ça vraiment moi c'est jeremie je viens du Congo je vous écoute à 90%

  • @emmanuelkimaro4171
    @emmanuelkimaro4171 6 ปีที่แล้ว +46

    Hizi elimu zingekuwa zinatolewa kila mahali watu wengi tungekuwa mbali sana.Mungu akubariki.

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  6 ปีที่แล้ว +3

      Emmanuel Kimaro nashukuru sana ,pamoja

    • @emmanuelmlengevaf5092
      @emmanuelmlengevaf5092 4 ปีที่แล้ว +1

      ANDIKA NAMBA ZAKO ILI TUKUTAFUTE NAUKA NAMBA ZANGU NI IZO 0684663534,0676928180 NITAFUTE KAKA

    • @khamiskesi9472
      @khamiskesi9472 4 ปีที่แล้ว

      Teacher joeil na mm nataka vitabu vyako kiac gain nanita vipataje mm nipo zanzibari

    • @khamiskesi9472
      @khamiskesi9472 4 ปีที่แล้ว +1

      Naomba nambayako teacher joeil. Zangu mm izo 0677466564

    • @abdulqudra8758
      @abdulqudra8758 4 ปีที่แล้ว

      @@joelnanauka thanks bro nakupenda san kupitiya mafunzo yako one day i,gonna see u

  • @mcheshcomedy5809
    @mcheshcomedy5809 3 ปีที่แล้ว +19

    Video km Hz zina viewers wachache but video za Diamond na nyngine nyng km x videos zina VEIWERS wengi, hapo ndo nimegundua kuwa cc wenyewe ndo tunatengeneza MAISHA ya mazuri na mabovu🤔✔️
    Daah!!!🤣 Blessed kk ndauka!!!!!🤝

    • @obadiayusuph7096
      @obadiayusuph7096 3 ปีที่แล้ว

      Acha x ziwe na wengi watavunja walichopanda

    • @charlesmyamba8531
      @charlesmyamba8531 2 ปีที่แล้ว

      Na ex zao watapata wanaachokitafuta

  • @felixbakari4845
    @felixbakari4845 5 ปีที่แล้ว +9

    Daaaa kaka I'm speechless nimeanza kufuatilia video zako najiona nilikwama sehemu najiona kubadilika sana

    • @miriamwinston9908
      @miriamwinston9908 ปีที่แล้ว

      Karibu ubadilishe maisha yako kupitia fursa nitakayokushirikisha ujipatie kipato cha ziada

  • @shantalismailhassan9878
    @shantalismailhassan9878 5 ปีที่แล้ว +2

    Hilo la walimu ni kweli mno. Yaani wapewe elimu namna ya kumjenga mwanafunzi na kumpa moyo na si kudhalilisha mbele za wanafunzi wenzake au kumbeza. Mi darasa langu wengi waliachia shule njiani kutokana na mambo km haya. Mtu anakwambia siji shule mi ni mjinga. Na hakuna mtu mjinga jamani. May God bless you.

  • @JusterTumsime-gn2nk
    @JusterTumsime-gn2nk 9 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu akutunze kwaajili ya uzao wangu na Taifa zima
    Umekua baraka sana kaka sijutii kukufahamu🙏🙏

  • @theeyechannel8601
    @theeyechannel8601 3 ปีที่แล้ว +15

    Brother Nanauka! Thank you so much 👏 nmegongana na video yako hapa then nika stuck,na cjutii and I didn't wast my time to listen to you. You got my attention it is so sweet to listen to you,Kabisa! Thanks a lot to make me rethink myself natoka wapi naenda wapi. From from Rwanda and welcome to the country of thousand hills.

  • @shukranjs4307
    @shukranjs4307 5 ปีที่แล้ว +2

    Aisee yani mungu akubariki sana kaka, joel ,kiukwel nimekua nikipanga malengo lakini nimekua mwepesi kugairisha mambo,natamani sana kubadilika

  • @nyamoyenyamoye6077
    @nyamoyenyamoye6077 5 ปีที่แล้ว +12

    Ndo asili ya kila mtu kukasirika mtu fulani anapofanikiwa, nashukuru kaka Kwa somo hili mm nimefarijika sana

  • @alimsi532
    @alimsi532 5 ปีที่แล้ว +6

    safi sana brother nanauka ww ni kocha wangu wa maisha na mm ni milde fild wako tupo pamoja brother

  • @goon9384
    @goon9384 6 ปีที่แล้ว +11

    you are great bro....much respect and blessed

  • @misskwileka1956
    @misskwileka1956 6 ปีที่แล้ว +8

    daaah.... am blessed wallah, asante kaka nanauka

  • @furahabaraka2705
    @furahabaraka2705 4 ปีที่แล้ว +2

    Nakuelewa sana bro umenibadilisha sana kwa kupitia masomo yako mungu akubariki sana

  • @didachidy1325
    @didachidy1325 3 ปีที่แล้ว +5

    Wallai broo huogei pumba bigup kwenye hili somo nimepata vitu vingii... 👌👌👍👍

  • @jamesjohn8891
    @jamesjohn8891 5 ปีที่แล้ว +2

    Hongera Mr Joel Nanauka, nimeipenda sana elimu hii. Kama hautojali naomba uni-add kwenye group lako ili niendelee kujifunza. Nina tamani kuwa na elimu hii ili niwasaidie wengine.

  • @professamuddy5407
    @professamuddy5407 4 ปีที่แล้ว +4

    Daah kaka Joel uko vzuri. Uelewa wako uko juu, nashauri ugombee ubunge, maana comment zote inaonyesha wamekuelewa na wamependa somo lako.

  • @danielmlanda5597
    @danielmlanda5597 5 ปีที่แล้ว +21

    Namuona SAM SASALI ANATAMANI KUMMEZA HUYO JAMAA ILA ANASHINDWA.........😂😂😂😂😂😂

  • @aminanurudini9233
    @aminanurudini9233 3 ปีที่แล้ว +7

    It's Nov 2020 na bado nachek this video

  • @pix_1lyrics777
    @pix_1lyrics777 2 ปีที่แล้ว +1

    Aiseeh naona kama nilichelewa kuja huku,,, big up bro , umenibadilisha pakubwa Sana 🤝🤝

  • @lizalaw8663
    @lizalaw8663 5 ปีที่แล้ว +8

    Bro....kazi nzuri....naomba nijue.napataje vitabu vyako niko mbeya

    • @nichorousmpala5366
      @nichorousmpala5366 3 หลายเดือนก่อน

      Nenda soko kuu mwanjelwa chumba namba 165 utapata kila aina vitabu vyake

  • @rkyaruzi
    @rkyaruzi 5 ปีที่แล้ว +21

    Barikiwa sana Joel! Tumesoma wote lakini nakuheshimu sana sana kama mtaalamu !Mungu azidi kukuinua

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  5 ปีที่แล้ว +3

      Nashukuru sana tuko pamoja tuendelee kujifunza pamoja

    • @annarubeni764
      @annarubeni764 4 ปีที่แล้ว

      Kaka uko vizur sana

    • @brianjohnson3851
      @brianjohnson3851 7 หลายเดือนก่อน

      Gorgeous

    • @MarryJustine-hi7vy
      @MarryJustine-hi7vy 2 หลายเดือนก่อน

      Umenifundisha jambo jipya ubarikiwe

  • @ayshaal6957
    @ayshaal6957 5 ปีที่แล้ว +7

    Asante kaka nami ntaanza kuandika malengo yangu

  • @ullyamos4205
    @ullyamos4205 5 ปีที่แล้ว +5

    Pastor be Blessed vijana wako tunakuelewa.

  • @lugiko
    @lugiko 6 ปีที่แล้ว +30

    Your my role model mr Joel, nimefanya mambo mengi sana kupitia speech zako

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  6 ปีที่แล้ว +1

      ELSON LUGIKO Ahsante sana,nafurahi kusikia hivyo

    • @hafifayusuph8588
      @hafifayusuph8588 5 ปีที่แล้ว

      Hongera sana kaka Nanauka uko vizuri sana kichwani Mungu akutimizie malengo yako inshaallah

    • @neemalino4220
      @neemalino4220 5 ปีที่แล้ว

      Kweli najifunza mengi

    • @juliussenkene6527
      @juliussenkene6527 4 ปีที่แล้ว

      Natamani kufika mbali ,lakin Kila nikipangilia yanavurugika nitakufatilia paka nifanikiwe

  • @evershayo2617
    @evershayo2617 2 ปีที่แล้ว

    Asante sana brother kwakwel umenisaidia sana maan nmekatishwa tamaa sana lait ningepata haya mafundisho mapema ningekuwa mbal sana
    Mungu akubariki

  • @moseskayan3705
    @moseskayan3705 5 ปีที่แล้ว +2

    Bro asante sana umezaliwa kwaajili ya kazi unayoifanya

  • @harrietmmoji8404
    @harrietmmoji8404 4 ปีที่แล้ว +2

    You are my role model bro, Mungu akujalie afya na maarifa mengi.

  • @bantuempress1744
    @bantuempress1744 5 ปีที่แล้ว +15

    Much respect for you, you have inspired and you're the best mentor. Love from 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪

    • @miriamwinston9908
      @miriamwinston9908 ปีที่แล้ว

      Njo nikushirikishe kwenye fursa itakayokupa pesaa

  • @khadijakisingo7920
    @khadijakisingo7920 2 ปีที่แล้ว +2

    Nanauka unanibadili Sana kimawazo na kimtazamo nimekuwa wa tofauti sana

  • @dennisluselele9244
    @dennisluselele9244 5 ปีที่แล้ว +5

    Maelezo yako vizuri sana. Hongera!

  • @athumanishechambo9500
    @athumanishechambo9500 ปีที่แล้ว +2

    Kaka uko vizuri nimekukubali

  • @robertgwelela6581
    @robertgwelela6581 6 ปีที่แล้ว +28

    Asante sana mr Nananauka.kweli nimekuelewa sana.Wkt niko shule ya msingi kuna dada alikuwa mnene kuliko wote shuleni.lkn lilipotokea shidano la mbio na mshindi anapewa maziwa ya cowbell sisi wembamba tulikuwa na asilimia mia kushinda na kupata maziwa.lkn hauwezi amini dada bonge alitushinda na kupata maziwa.thank you so much.

  • @lemonumentvivantkajole4008
    @lemonumentvivantkajole4008 2 ปีที่แล้ว

    Mdamchache nimetumia hapa lakini nimejifunza mengi. Asante

  • @janejoseph9009
    @janejoseph9009 5 ปีที่แล้ว +3

    kiukweli upo vizuri na umenifundisha sana

  • @marthamhapa8171
    @marthamhapa8171 5 ปีที่แล้ว +6

    Joel ua so unique kwakweli elim yako ni kubwa mno

    • @miriamwinston9908
      @miriamwinston9908 ปีที่แล้ว

      Karibu nikushirikishe katika fursa upate kipato cha ziada

  • @professamuddy5407
    @professamuddy5407 4 ปีที่แล้ว +4

    Tukipata viongozi wenye upeo na Uelewa kama wako nchi itapiga hatua kubwa Sanaa!!

    • @miriamwinston9908
      @miriamwinston9908 ปีที่แล้ว

      Karibu nikushirikishe katika fursa upate kipato cha ziada

  • @user-fb5do6tp1o
    @user-fb5do6tp1o 9 หลายเดือนก่อน +1

    Mimi ni mshindi katika jina la yesu ninaweza yote

  • @sharifamtilly1014
    @sharifamtilly1014 3 ปีที่แล้ว +1

    Kiukweli kaka umeongea kitu Cha msingi Sana .Natamani Elimu hii iwafikie walimu wa watoto wetu nadhani itaokoa watoto wetu na taifa kwa ujumla

  • @abrahammwambije2769
    @abrahammwambije2769 ปีที่แล้ว +1

    Hongera kwako na Alie kuzaa una nifunza vitu vingi sana.

  • @priscahussein6790
    @priscahussein6790 3 ปีที่แล้ว +1

    Baada ya kuckiliza mwanzo mwisho bilashaka kunakitu nmekpata 🙏balkiwa Sana Kaka

  • @gerardndikumana8160
    @gerardndikumana8160 4 ปีที่แล้ว +2

    Kaka Joel! Mawaidha yako mazuri kbs zidi kutowa ilimu ili uwilimishe watu ambao kile tusiye juwa muhimu sana

  • @fidespancras7337
    @fidespancras7337 3 ปีที่แล้ว +2

    Kaka kazi nzur napataje kitabu cha kupanga malengo

  • @chrystiankagasheckjr.5287
    @chrystiankagasheckjr.5287 5 ปีที่แล้ว +10

    bro nanauka umenifanya najutia nafasi nyingi nilizowahi kuzipata
    sasa sitakia kujutia tena naamini kupitia mafundisho haya naweza kutumia vizuri fulsa ntakazo zipata kwanzia ivi sasa
    @see yuo at the top

  • @user-dj8ik2he5y
    @user-dj8ik2he5y หลายเดือนก่อน

    Asante Kwa elimu nzuri je wewe umefanikiwa zaidi joel

  • @humblemantresor7890
    @humblemantresor7890 3 หลายเดือนก่อน +1

    Asante kwa usimulizi njema

  • @hidayaswai3119
    @hidayaswai3119 3 ปีที่แล้ว +1

    Nanauka Mungu akubariki. Wish to be my coach

  • @mwakifunatheprominent7394
    @mwakifunatheprominent7394 6 ปีที่แล้ว +30

    Dah yani hii video ni Shule Toshaaa, Shukrani sana kaka.

  • @vituskabula4770
    @vituskabula4770 2 ปีที่แล้ว +2

    Thanks sir God bless you 🙏

  • @chrismassawe326
    @chrismassawe326 5 ปีที่แล้ว +3

    Nakuelewa sana Mwalimu wangu J Nanauka unamadini ya uhakika

  • @upendojoseph469
    @upendojoseph469 3 ปีที่แล้ว +1

    Nani anangalia 2021,jamani nanauka
    Uko vizuri

  • @michaelmulokozi1512
    @michaelmulokozi1512 4 ปีที่แล้ว +6

    You are an epitome of mentors, keep it up brother..!!
    Thanks for your enlightenments.🙏

  • @ChandaVision
    @ChandaVision 5 ปีที่แล้ว +3

    kweli kabisa Joel kuna boss wangu aliniambia kitu kinanisumbua mpaka leo

  • @mfalmegideon3987
    @mfalmegideon3987 6 ปีที่แล้ว +3

    Ahsante Sana Mentor J Nanauka

  • @albinimichael1342
    @albinimichael1342 4 ปีที่แล้ว +2

    kweli tunaoangalia tunafaidi hata kama umetuchana ukweliii .kweli tumerelax sana

  • @soudjuma7904
    @soudjuma7904 5 ปีที่แล้ว +1

    uo mpangalio wa malengo ni mzuri sana, ubarikiwe sana Enuaka

  • @cvanocharles6001
    @cvanocharles6001 6 ปีที่แล้ว +6

    Mungu akubariki sana kaka Nanauka

  • @theprovitionofnature9188
    @theprovitionofnature9188 4 ปีที่แล้ว +1

    Jamaa maneno yake anasoma sana Vitabu et Jaman Mungu Akubariki Nanauka

  • @magangacosmas9852
    @magangacosmas9852 6 ปีที่แล้ว +10

    Kwa mara ya kwanza ni leo kusikiliza video zako, nmejikuta naangalia na kusikiliza nyingi zaidi. Keep it up brother

    • @ndechacharles7521
      @ndechacharles7521 5 ปีที่แล้ว

      MAGANGA Cosmas we kweli No umeongea aisee

  • @user-sk8hw5bx1v
    @user-sk8hw5bx1v 2 หลายเดือนก่อน

    Be blessed kaka,umenitoa kwenye comfort zone

  • @abdulhassan5529
    @abdulhassan5529 ปีที่แล้ว +1

    Barikiwa Sana brother...
    Unaongea uhalisia

  • @kingrojo667
    @kingrojo667 5 ปีที่แล้ว +2

    Kila unapo ongea ukimaliza inakuja wow maongez yako mazur bro asante na mungu akubarik Mr nauka

  • @damiankimaro8919
    @damiankimaro8919 2 ปีที่แล้ว +1

    See you at the top next year you will be my mentor

  • @elijatanin3754
    @elijatanin3754 3 ปีที่แล้ว +1

    Hongera Sana Bro Nanauka kwa mafundisho

  • @brackskinyozi3280
    @brackskinyozi3280 2 หลายเดือนก่อน

    Asante xana kw hii video najihisi kujengeka kila ninapo kusikiza

  • @DorisKimario-sp3gm
    @DorisKimario-sp3gm 9 วันที่ผ่านมา

    Mungu akupe maisha marefu ❤

  • @salummakuhani1679
    @salummakuhani1679 4 ปีที่แล้ว +1

    i like so much brother uko vizuri unatupa mafunzo mazuri

  • @sosymavoice4390
    @sosymavoice4390 2 ปีที่แล้ว

    Brother nanauka,, kiukweli umenifanya kuwa jasiri katika kutimiza malengo yangu mungu akujalie

    • @miriamwinston9908
      @miriamwinston9908 ปีที่แล้ว

      Karibu nikushirikishe katika fursa itakayokupa kipato cha ziada

  • @hassanovajunior6972
    @hassanovajunior6972 4 ปีที่แล้ว +6

    My Brother JOEL You're the Best of Best keep Motivating us,Happy New year 2020.

  • @user-uz6jb8wt6u
    @user-uz6jb8wt6u 9 หลายเดือนก่อน +1

    Hakika kakaNanauka inatisha munguakupewepesi wamboyako kufanikisha jamii

  • @sulleysonsulley4160
    @sulleysonsulley4160 6 ปีที่แล้ว +1

    Joel umetisha sana yaani unanipa msisi mko sana.na unanipa maarifa

  • @ibrahimalpheo7404
    @ibrahimalpheo7404 5 ปีที่แล้ว +3

    Shukrani bro... Ila hicho kitabu knapatkana wap

  • @remmykawogo9035
    @remmykawogo9035 5 ปีที่แล้ว +6

    Gud inspiration .,we need to change we youth

    • @miriamwinston9908
      @miriamwinston9908 ปีที่แล้ว

      Karibu nikushirikishe katika fursa upate kipato cha ziada

  • @globalctvonline1562
    @globalctvonline1562 6 ปีที่แล้ว

    Asante kwakunifungua nimependa sana

  • @jumachanewstrends6899
    @jumachanewstrends6899 5 ปีที่แล้ว +1

    nakupta vizur sana brother una mafundisho mazur sana

  • @user-uz6jb8wt6u
    @user-uz6jb8wt6u 9 หลายเดือนก่อน

    Costantine Charles
    Kaka Mungu akisaidiwa uwenaafya njema ilijami ikufaid

  • @dieudonnesengiyumva584
    @dieudonnesengiyumva584 4 ปีที่แล้ว

    Dahh jamaaa yuko vizuriiii sanaaaa God bless

  • @sara.wanjalaalipoyesuyotey3613
    @sara.wanjalaalipoyesuyotey3613 6 ปีที่แล้ว +6

    Wow nimependa sana da malengo ni muhimu ila Yote Mungu mbele

  • @MeshackWisdom
    @MeshackWisdom หลายเดือนก่อน +1

    Uko sawa mwalimu

  • @RaphaelLipamba
    @RaphaelLipamba หลายเดือนก่อน

    Mungu aendelee kukulinda Ili uzidi kufungiwa vichwa vya watu.

  • @matolamaniamba1732
    @matolamaniamba1732 3 ปีที่แล้ว +1

    Ahsante sana kwa somo zuri

  • @thb9561
    @thb9561 3 ปีที่แล้ว

    Dah..brow upo makin sana nimeipenda hii mada..ipo activitie..!!

  • @Mohamedhamza-pe3nv
    @Mohamedhamza-pe3nv 8 หลายเดือนก่อน +1

    MUNGU akutunze brother Joel

  • @enockkagomba1261
    @enockkagomba1261 4 ปีที่แล้ว +1

    Asante sana my best mentor

  • @user-mq1zq7kb7n
    @user-mq1zq7kb7n 10 หลายเดือนก่อน +1

    Bro natamani na mimi niwe mtu wa muhimu katika maisha yangu

  • @neemamsaki1111
    @neemamsaki1111 ปีที่แล้ว +3

    Thank you so much Coach Joel 🙏🏾
    May God keep blessing you.

  • @rosezegu4756
    @rosezegu4756 4 ปีที่แล้ว +1

    Upo vizuri Mr. Joel, uwe na afya njema.

    • @miriamwinston9908
      @miriamwinston9908 ปีที่แล้ว

      Karibu nikushirikishe katika fursa upate kipato cha ziada