MCH HANANJA ATOBOA SIRI ZA MITUME NA MANABII, LEO NAONGEA UKWELI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 5 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น • 266

  • @stephanomakala3984
    @stephanomakala3984 6 หลายเดือนก่อน +1

    Nami nampenda Sanaaa Mchungaji Hananja kwa ukweli uliotukuka kwa Dizi zote mbili ya Uislamu na Ukristo. Mungu amuweke zaidi atufunze zaidi.

  • @WilondjaSongolo04
    @WilondjaSongolo04 3 หลายเดือนก่อน

    Mzee wangu Mimi nakuungaga mkono sana uwa na kukubali kweli Mungu akubariki sana

  • @kenanimwakanemela483
    @kenanimwakanemela483 ปีที่แล้ว +8

    "Huduma ya kinabii ipo ila ofis ya kinabii haipo". It takes maturity in God's word to understand this, Hongera pastor

  • @ipyanaGehaz
    @ipyanaGehaz ปีที่แล้ว +2

    Mzee una madini mengi Sana God bless you

  • @amonsekajingo6996
    @amonsekajingo6996 9 หลายเดือนก่อน

    Gifted man of God . Keep it up! Such 'minds' should at times be teaching in bible colleges.

  • @DonMooSTUDIO_Express
    @DonMooSTUDIO_Express ปีที่แล้ว +22

    😁 Mchungaji Ananja anatikisa kichwa kwa kusikitika 😁 Huyu mchungaji anaongeaga ukweli bhana

  • @gertrudenyandwi8218
    @gertrudenyandwi8218 10 หลายเดือนก่อน

    Asante sana mtumishi waMungu barikiwa sana

  • @ZengoSimon
    @ZengoSimon 18 วันที่ผ่านมา

    Mmwagieni maji!!!! Acheni ujinga atawang'ateni!!! Mwanzo mwisho uko safi sana Mch.

  • @VincentMurethi
    @VincentMurethi 11 หลายเดือนก่อน

    Nice teaching always mchungaji

  • @hermanfrank6727
    @hermanfrank6727 ปีที่แล้ว +4

    Mchungaji Hananja ninakupenda kutoka moyoni Kwa sababu ya ukweli wako kuhusu Biblia na umejitahidi kumeza maandiko,unatema nono la Mungu sio maneno.Wewe ni mfano wa kuigwa aisee❤

    • @GetrudeMwemba
      @GetrudeMwemba ปีที่แล้ว

      Mungu akubariki Mchungaji kwa ukweli wa Mungu unaoleza.

  • @ibrahimumtera7943
    @ibrahimumtera7943 ปีที่แล้ว +1

    Safi saana mchungaji sana apo uko sawa mimi ni mwadventista

  • @isackmachiyanshoka6754
    @isackmachiyanshoka6754 ปีที่แล้ว +1

    Mchungaji hananja upo sahihi Mungu akutunze sana!🙏🤝

  • @rajabamis1135
    @rajabamis1135 ปีที่แล้ว

    Huyu mzee mwenzangu Hananja ni real. Ni pastor wa kweli❤

  • @phelisterswamalwa3295
    @phelisterswamalwa3295 ปีที่แล้ว +1

    Yote yatapita Neno la Mungu litasimama litangaze muchungaji,I like it

  • @yolbul1616
    @yolbul1616 ปีที่แล้ว

    Daah unapendeza sana dada love from south sudaness 🇸🇸🇸🇸🇸🇸

  • @victorbugobola2276
    @victorbugobola2276 ปีที่แล้ว +1

    Kwl kila mtu anawakati wake saiv n wakati wa Hananja Kutrend hakika anatrend kwa ukwl wake,....Mungu akubarik ❤️ mtumishi AMINA...

  • @RichardGilbartMPAGAZE-hk2ny
    @RichardGilbartMPAGAZE-hk2ny ปีที่แล้ว

    Shukrani sana mzee wetu nakukubali pia❤❤❤❤

  • @gracesanga6489
    @gracesanga6489 10 หลายเดือนก่อน

    amina mchungaji napenda sana mafundisho yako yananitoa hatua kwenda hatua nyingine

  • @ahmedalfan8075
    @ahmedalfan8075 ปีที่แล้ว +3

    😂😂😂😂 dah uyu mchungaji comedian sana 😅 water skukuu

  • @bonnymwajombe779
    @bonnymwajombe779 ปีที่แล้ว +5

    👍very nice Hananja

  • @mariakibwana3700
    @mariakibwana3700 ปีที่แล้ว +2

    Mchungaji Hananja, nakupenda sana kwa maelekezo.

  • @lionking3015
    @lionking3015 ปีที่แล้ว +3

    Napenda swagga ya huyu mzee yani anaongea kama wimbo yani anapiga verse Kisha anaweka chorus Enheeee Enheeeee😂😂

  • @meshackkazimil6837
    @meshackkazimil6837 ปีที่แล้ว +2

    Hongera sana baba! Mimi nakuelewa sana sana

  • @theophilwhiteheart1997
    @theophilwhiteheart1997 ปีที่แล้ว +4

    😂 sipingi hata kitu kimoja hapa father umemaliza kila kitu God bless you

  • @matunzojr4862
    @matunzojr4862 ปีที่แล้ว +7

    huyu jamaa geneous sana mchungaj pekee aliyebaki kusimama kwenye ukweli

  • @georgemlonda4174
    @georgemlonda4174 ปีที่แล้ว +2

    Mungu akubariki ! Cjapoteza bando langu bure

  • @ElipendoElias-no6ki
    @ElipendoElias-no6ki ปีที่แล้ว +5

    😅😅😅😅nimefurahishwa sana na maelezo ya mtumish huyu wa Mungu ana hekima yakimungu kwakwel..

  • @oscarngata5672
    @oscarngata5672 ปีที่แล้ว

    Mungu akubarki mchungaji❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @FatumaMussa-y7y
    @FatumaMussa-y7y ปีที่แล้ว +4

    Mimi ni muislam,ila nampenda Sana huyu baba🎉

  • @NurdinMwezi-w3j
    @NurdinMwezi-w3j 10 หลายเดือนก่อน

    Nakubali sana mzee wangu

  • @KamiliusPius
    @KamiliusPius 5 หลายเดือนก่อน

    Uko sawa, pasta Hananja,
    Waambie wasijie haponime kusikia umenena vema,

  • @Oman-m5k2j
    @Oman-m5k2j 7 วันที่ผ่านมา

    Barikiwa

  • @mathiasswai7006
    @mathiasswai7006 ปีที่แล้ว +4

    Nice baba mchungaji,anabidi apewe PhD, ya heshima, na chuo kikuku

  • @gertrudenyandwi8218
    @gertrudenyandwi8218 10 หลายเดือนก่อน

    Uko vizuri sana mtumishi

  • @mbukumagiubukumagu406
    @mbukumagiubukumagu406 ปีที่แล้ว +3

    Yupo vizuri sana na anaujuwa ukiristo karibu katika uislamu

    • @emmakioko174
      @emmakioko174 หลายเดือนก่อน

      Napenda kiswahili ya watanzania.

  • @athumanmbaraka5192
    @athumanmbaraka5192 10 หลายเดือนก่อน

    Nampendagasana uyu dingiii❤❤❤

  • @heronimomsefya3190
    @heronimomsefya3190 ปีที่แล้ว

    Safi sana barikiwa daima

  • @mwitondicharles9239
    @mwitondicharles9239 3 หลายเดือนก่อน

    Mm sijawai ona mchungaji km huyu ni mkweli sn. Nakupenda sn mchungaji

  • @engelbertkiondo4014
    @engelbertkiondo4014 ปีที่แล้ว

    mwalimu Hananja asante. watu hawasomi Biblia kabisa. wanakariri vimistari vichache

  • @charlesmuyabi-nu9sv
    @charlesmuyabi-nu9sv 10 หลายเดือนก่อน

    hongera mchunguji kwa elimu nzur

  • @amissitundula8568
    @amissitundula8568 ปีที่แล้ว +8

    Namuelewa sana mzee wangu

    • @jacquelinebaitani8370
      @jacquelinebaitani8370 ปีที่แล้ว +1

      Mungu unaye mbona kwenda kuchukua maji? Omba Mungu wako akuponye huwezi chukua vifaa vya kiroho hata upewe kinyesi chukua upone.Maana wewe hiamini Mungu uliyenaye kama ni muweza wa yote.

    • @catherinenicander7468
      @catherinenicander7468 ปีที่แล้ว

      Naye kanisa lake mbona anataka sadaka kwani,kanisa litaendeshwaje.hakuna nabii anayewalazimisha watu kutoa sadaka ni unavyoona wewe mwenyewe.kama anafunga wakati anaandama wenzake,si awaache Tu .kila MTU si atabeba mizigo wake,waache watumishi wa bwana.

  • @ArbertMhando
    @ArbertMhando หลายเดือนก่อน

    Mungu anataka ujumbe wake uwafikie watu ananitumia mimi.nikishalifikisha Kwan walengwa, kazi yangu imekwisha naendelea na kazi yangu.

  • @rosendanshau2674
    @rosendanshau2674 ปีที่แล้ว

    Uko vizuri baba unajua neno songa mbele

  • @KamiliusPius
    @KamiliusPius 5 หลายเดือนก่อน

    Amina Leo tunatoa Unabii kwanjia ya Neno,.

  • @JaphetPeter-sc3pe
    @JaphetPeter-sc3pe ปีที่แล้ว

    Ameeeeeeeeeeen mzeeeee wang,

  • @fredybanda2861
    @fredybanda2861 ปีที่แล้ว +1

    Kkkkkkkkkkkk moto kimbunga moto kkkkkkkk niubunifu kkkkkkkk you are the best

  • @hastatz
    @hastatz ปีที่แล้ว +16

    Huyu mzee akamatwe apimwe akili asije kua ni YESU amerejea😂😂 mbona anasema ukweli sana

    • @PreciousMwajombo
      @PreciousMwajombo ปีที่แล้ว +1

      Hey you spare my ribs

    • @VeronicaEugen
      @VeronicaEugen ปีที่แล้ว +1

      For sure 😂😂😂😂

    • @paulinamariki3371
      @paulinamariki3371 ปีที่แล้ว

      Keel ndgu yang

    • @nellyhortensia2407
      @nellyhortensia2407 ปีที่แล้ว

      😂😂😂😂

    • @ibrahimcharles9842
      @ibrahimcharles9842 ปีที่แล้ว

      😂😂😂😂 nimefurah sana comment ako😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @florencemwanansao834
    @florencemwanansao834 ปีที่แล้ว

    Mungu akubariki mchungji

  • @mosesmtomo4311
    @mosesmtomo4311 10 หลายเดือนก่อน

    Upo vizur sana aisee

  • @zebedayokatamaduni9676
    @zebedayokatamaduni9676 ปีที่แล้ว

    Safi sana mtumishi

  • @khalid6264
    @khalid6264 ปีที่แล้ว +1

    ubarike sana ,mungu akuongoze

  • @sostentulian9462
    @sostentulian9462 ปีที่แล้ว +2

    Namkubali sana mzee hananja

  • @obotelaurent1359
    @obotelaurent1359 10 หลายเดือนก่อน

    Mashallah...

  • @EssauEmanuel-j9r
    @EssauEmanuel-j9r ปีที่แล้ว

    Ubarikiwe sana

  • @samweljumanne-wo2pu
    @samweljumanne-wo2pu ปีที่แล้ว +4

    Mchungaji Hananja Ni Proffesor akili mingi kichwa kimejaa mistari mitakatifu iliyojaa ukweli ndani yake hongera baba

  • @MaryMinja-zy3nj
    @MaryMinja-zy3nj 3 หลายเดือนก่อน

    Mchungaji hananja yuko vizuri.naomba nijue anapatikana kanisa gani

  • @JumaJuma-fu7ji
    @JumaJuma-fu7ji ปีที่แล้ว

    😂😂😅hanjana uwa unanifraisha sana nakuelimisha Yani nakukubali mno eti unapiga uji

  • @IlyasaMohd
    @IlyasaMohd 6 หลายเดือนก่อน

    Allah akujaalie ungie ktk uislam amin

    • @PeterLubala
      @PeterLubala 6 หลายเดือนก่อน

      Eeeeeeehe wew nae

  • @pinkdorcas2025
    @pinkdorcas2025 ปีที่แล้ว

    Bigup Mchungaji

  • @JumaJuma-fu7ji
    @JumaJuma-fu7ji ปีที่แล้ว

    Eti uwatemi mate😅😅😂hawawatemi mate kumtemea mate mchezo hananja bn uyo mstari wabibilia wakuwatemea mate wanajifanya hawaouni wawatemee mate

  • @fadhilichristine7734
    @fadhilichristine7734 ปีที่แล้ว +1

    Amen 🙏🙏

  • @estonmnthali3719
    @estonmnthali3719 ปีที่แล้ว

    Amina kweri kabisa

  • @damasjoachim4451
    @damasjoachim4451 ปีที่แล้ว

    Mchungaji umekosea sana, matendo ya Mitume inasema,imani yetu imejengwa juu ya mwamba wake Kristo mitume n'a manabii, hapo mchungaji hajatajwa, Petro aligawa vitambaa n'a kupelekwa kwa wagonjwa n'a kipona, Mchungaji unakosea sana unapokosoa maono ya watumishi wa Mungu, Yesu alitumia udongo kuweka jichoni n'a kupona n'a mengi sana, hayo ni maono unakosea sana

    • @vaghoghontweki9827
      @vaghoghontweki9827 ปีที่แล้ว

      Acha kutuhumu mtu..ww ni ndugu yake Mungu hadi ufikie huko na kujua sana et.....

  • @sirpleasureb
    @sirpleasureb ปีที่แล้ว

    binti hongera kwa kujistiri kwako

  • @salomedarema304
    @salomedarema304 11 หลายเดือนก่อน +1

    Eti kweli mtume anamikiki prado na kiyoyozi wakati paulo alijichimbia mahandaki akakaa huko yaani mmh hii mitume na manabii hewa Mungu awashughulikie

  • @JonathanJustin-qu4pz
    @JonathanJustin-qu4pz ปีที่แล้ว

    Ahsante sana

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 ปีที่แล้ว +1

    Huyu ndugu anaongea ukweli Siyo mnafiki❤

  • @LuckyBoy-pp2md
    @LuckyBoy-pp2md ปีที่แล้ว +3

    Mungu akulinde mzee wangu nakupenda unasema ukweli

  • @denisluena
    @denisluena ปีที่แล้ว

    god bless u

  • @juliusroko3051
    @juliusroko3051 ปีที่แล้ว

    Ubarikiwe kwa ufafanuzi mzuri kuhusu mfungo Mchungani.

  • @salmoncelestine6840
    @salmoncelestine6840 ปีที่แล้ว

    Live long baba,,unasema ukweli siku zote.I love you

  • @ArbertMhando
    @ArbertMhando หลายเดือนก่อน

    Mchungaji nakuelewa sana

  • @PROPHETJOHNCHARLES-d7r
    @PROPHETJOHNCHARLES-d7r ปีที่แล้ว +2

    Agabo ni nabii agano jipya, ,huduma, ministry na ofisi , office, hapo ni lugha imekuchega mzee, manabii wapo na mitume wapo , isaya alienda kwa hezekia, elisha kumfufua mtoto wa mshunami, yesu aliitwa nabii, yohana 9:1___, paulo hata leso wagonjwa waliponywa , mafuta ya upako ,marko ,6:13, kwa nini musa anakabidhiwa fimbo na alitumia zaidi ya mara moja , kwanini eliya alitumia vazi zaidi ya mara moja, manabii ninachokiona wataurithi ufalme ,wachungaji wamejaa kujihesabia haki ,

  • @AbrahamAndrew-f4i
    @AbrahamAndrew-f4i 5 วันที่ผ่านมา

    "Apostle" is rather a concept than (institutional /framework"), I think so.

  • @AaziziMkambi-qf5mj
    @AaziziMkambi-qf5mj ปีที่แล้ว

    Mchungaji umenifundisha jambo kubwa sana natamani nipate ata namba yako niwe nakutumia chochote kitu

  • @dausonedius4100
    @dausonedius4100 ปีที่แล้ว +1

    kweli kuna ukwel ndan yake baba amen

  • @AnneSampegete
    @AnneSampegete ปีที่แล้ว +2

    Hii ni kweli kabisa jamani tufunguke

  • @lucasprochesi
    @lucasprochesi ปีที่แล้ว +3

    Huyu mtu ana akili kuliko kawaida.. jinsi ya kushika hayo maandiko tu inatosha kuwa umefunuliwa

  • @GeorgeMkumbe
    @GeorgeMkumbe 10 หลายเดือนก่อน

    Amen

  • @FrorianiMlandali-zi5vd
    @FrorianiMlandali-zi5vd ปีที่แล้ว

    Kweli mchungaji hananja anajua sana ukimsikilza kam wew ni kiongoz wa din unaweza ukazan anakutusi ila huo ndo ukweli na hajitungii coz vyote vipo kwnye bible

  • @sophiamhando7281
    @sophiamhando7281 ปีที่แล้ว

    Manabii wa siku hizi wanakukula hela alafu wanasema tunapeleka kwa baba ,watu wanavua hadi nguo eti nabii apite akanyage,eti na maaskari wanamlinda jamani ..
    Nachekaga mm😅😅😅😂😂😂😂

  • @princessprecious6995
    @princessprecious6995 ปีที่แล้ว

    Upo sahihi kabisa na Mungu akutunze kabisa hujaongopa wakorinto 8.8. chakula kwaajili ya tumbo na tumbo kwaajili ya chakula tusipokula hatupungukiwi kitu tukila hatupungukiwi kitu

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 ปีที่แล้ว

    Ahsante sa n a baba

  • @servantofalmightygoddranth2511
    @servantofalmightygoddranth2511 ปีที่แล้ว

    Na kuhusu mwisho wa nabii, nabii wa mwisho aliyemtabiri YESU ALIE HAI na kunyosha mapito na kitengeneza njia nabii wa mwisho ni YOHANA Mbatizaji

  • @teniswai9689
    @teniswai9689 ปีที่แล้ว

    Huyo ni konki masta mi mwenyew namkubal

  • @deekibonga
    @deekibonga ปีที่แล้ว +9

    Huyu baba apewe TV tuelimishwe zaidi

    • @bainolatino3412
      @bainolatino3412 ปีที่แล้ว

      Sawa Sawa ilibidi waliona hilo japo wasafi au clouds au eatv au yeyote tuu a pate na masponsor

  • @RashidiGumbo-v9o
    @RashidiGumbo-v9o ปีที่แล้ว

    ,kweli baba

  • @zebedayokatamaduni9676
    @zebedayokatamaduni9676 ปีที่แล้ว

    Jioni ya reoo😂😂

  • @chiaseeds6919
    @chiaseeds6919 ปีที่แล้ว

    Nakukubali sana mpendwa

  • @tojotv6414
    @tojotv6414 ปีที่แล้ว +4

    Mwandishi Leo umependeza tofauti na unavyovaaga

    • @kassianwilliam8257
      @kassianwilliam8257 ปีที่แล้ว

      Hapa nimeondoka na kitu chema na kikubwa sn, asnt Baba Mchungaji.

  • @manjaruu1575
    @manjaruu1575 ปีที่แล้ว

    Mzee we nomaa

  • @MzeeKobe_254
    @MzeeKobe_254 ปีที่แล้ว +1

    Huo ni ukweli mtupu kuhusu dini 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🙏

  • @KhalidYusuph-n2q
    @KhalidYusuph-n2q 11 หลายเดือนก่อน

    Hananja uko juu

  • @bonifaceferdinand566
    @bonifaceferdinand566 ปีที่แล้ว

    Ila kweli mchungaji hananja,Yani Imani za Sasa hivi ushirikina,njoo na udongo tuuombee,

  • @dankhany3385
    @dankhany3385 ปีที่แล้ว +7

    maisha marefu hananja ♡♡♡

  • @lucaschisamalo2852
    @lucaschisamalo2852 ปีที่แล้ว +2

    Mm nilishudia mke wa boss wangu kontena lilishika moto akatoa mafuta kila akimwaga moto unazidi zimamoto wakamwambia mama moto hauzimwi kwa mafuta

    • @Cianadvd1
      @Cianadvd1 ปีที่แล้ว

      😂😂😂😂😂

  • @PreciousMwajombo
    @PreciousMwajombo ปีที่แล้ว

    Shemeji yake mungu 😂😂😂

  • @zebedayokatamaduni9676
    @zebedayokatamaduni9676 ปีที่แล้ว

    Jero Jero😅😅😅

  • @jesuspower2390
    @jesuspower2390 ปีที่แล้ว +1

    Yesu hakuwa na kanisa. alikuwa akihubiri katika makutano.

    • @jeanmuzaliwa9023
      @jeanmuzaliwa9023 ปีที่แล้ว

      kanisa manake nini?

    • @tinnahagustinolyelu4247
      @tinnahagustinolyelu4247 ปีที่แล้ว

      Wewe nawe uliza uelewe Nini maana ya neno Kanisa labda nukusaidie Kanisa Ni watu sio jengo

  • @SamweliSimon-d1i
    @SamweliSimon-d1i ปีที่แล้ว

    Wee mzee wakupe maua yako manabiii waongooo