Kwanini hoja inayouliza kuhusu jumapili,haiwahoji Wasabato kwa jinsi gani "jumamosi" ilifanywa siku ya kuabudu Kurejea nyakati za mazingira ya kuteswa,kufa na kufufuka kwa Yesu inahusiana zaidi na mazingira halisi kwamba ilikuwa jumapili kadri ya kalenda ya Warumi ambayo sio kalenda ya agano Kadri ya kalenda ya Mungu (Kutoka 12:1....) ilikuwa siku ya 14 ya mwezi wa kwanza tangu wametoka utumwani Misri... Mambo ya siku ya kwanza au ya ...ya juma sio kutoka kwenye maandiko Hakuna maandiko yenye mambo ya siku saba za juma Mambo ya siku za juma ni kadri ya Warumi na Wababeli
Mnaojitokeza kufundisha muwe makini sana..acheni ubishi wa kizee. Nimegundua hawa wameshajenga chuki na ndacha This is high level of ignorance, Viongozi vipofu wasiojua maandiko na hata wanachokiamini.....kwanza, imani ya akina ndacha wapo watu wengi sana Tanzania, kenya na dunia nzima kwa sasa. Na, Ndiyo Imani Moja ya biblia haina muunganiko wa imani nyingi. Pure Faith.
Ndacha akiondoka usabato ni sahihi kwa sababu kushikiria amri sheria na hukumu sio ukristo . Ukristo ni kumwamini yesu kuwa bwana na mwokozi ili kupata ondoleo la dhambi na sio matendo ya sheria
Kwa maana hiyo mnakaa na wanawake makanisani na kama upo vizuri kama mwanaume na wake zenu wamevaa vimini na mkawatamani basi nyinyi wote mnazini hakuna ibada hapo ni ushetani tu
Hakuna pahala kwenye maandiko yenye kuonesha kuwa "sabato ni siku ya saba ya wiki" bali Sabato ni siku ya Saba baada ya kufanya kazi siku sita kama ambavyo wana wa Israel waliamriwa na kupewa fundisho hilo Ilikuwa siku ya 15 ya mwezi wa pili ... Safarini toka Misri ndipo walipoamriwa kupumzika baada ya kazi siku sita . Sio kwamba wapumzike siku ya saba ya wiki (mambo ya siku za wiki ni mambo ya Warumi na Wababeli sio mambo ya maandiko )
Mnaojitokeza kufundisha muwe makini sana..acheni ubishi wa kizee. Nimegundua hawa wameshajenga chuki na ndacha This is high level of ignorance, Viongozi vipofu wasiojua maandiko na hata wanachokiamini .....kwanza, imani ya akina ndacha wapo watu wengi sana Tanzania, kenya na dunia nzima kwa sasa. Na, Ndiyo Imani Moja ya biblia haina muunganiko wa imani nyingi. Pure Faith.
Mko vizuri sana watumishi wa Mugu Simba ulanga na Danieli Mwankemwa
Daniel Ndacha humuwezi yupo sahihi sana na anasimamia ukweli
Mumeshidwa na hoja ninyi mtangazaji awashida kwa kuelewa.
Hao wazee kama ni hivi bazi wamepoteza wengi.
Ndasha anabashida kwamadiko
Nyinyi wazee mnaongopa sana
Kwanini hoja inayouliza kuhusu jumapili,haiwahoji Wasabato kwa jinsi gani "jumamosi" ilifanywa siku ya kuabudu
Kurejea nyakati za mazingira ya kuteswa,kufa na kufufuka kwa Yesu inahusiana zaidi na mazingira halisi kwamba ilikuwa jumapili kadri ya kalenda ya Warumi ambayo sio kalenda ya agano
Kadri ya kalenda ya Mungu (Kutoka 12:1....) ilikuwa siku ya 14 ya mwezi wa kwanza tangu wametoka utumwani Misri...
Mambo ya siku ya kwanza au ya ...ya juma sio kutoka kwenye maandiko
Hakuna maandiko yenye mambo ya siku saba za juma
Mambo ya siku za juma ni kadri ya Warumi na Wababeli
Wazee hawa wanazeeka vibaya akili zao zinachoka wanajikoroga wenyewe
Ww
Ni mch wa uongo sabato ni pumziko
Acheni unafiki mwakemwa, hoja za ndacha hamu zewezi
Mnazunguka tu , mwisho mtarud kuwa wakatoliki
Kumbuka sikuyasabato siyo ndasha alisema nyinyi
Nani kawatuma kuabudu jumapili pumbafu nyinyi
Mnaojitokeza kufundisha muwe makini sana..acheni ubishi wa kizee. Nimegundua hawa wameshajenga chuki na ndacha
This is high level of ignorance, Viongozi vipofu wasiojua maandiko na hata wanachokiamini.....kwanza, imani ya akina ndacha wapo watu wengi sana Tanzania, kenya na dunia nzima kwa sasa.
Na, Ndiyo Imani Moja ya biblia haina muunganiko wa imani nyingi. Pure Faith.
Mnaogea bila kuwa na ndacha hapo kwa Nini ?hako huko Tanzania mwiteni.wacheni woga.
Ndacha akiondoka usabato ni sahihi kwa sababu kushikiria amri sheria na hukumu sio ukristo . Ukristo ni kumwamini yesu kuwa bwana na mwokozi ili kupata ondoleo la dhambi na sio matendo ya sheria
Kwa maana hiyo mnakaa na wanawake makanisani na kama upo vizuri kama mwanaume na wake zenu wamevaa vimini na mkawatamani basi nyinyi wote mnazini hakuna ibada hapo ni ushetani tu
Umesoma WAP??
Sabato ni siku ya 7 la wiki ambayo imetengwa kuwa ya mafumziko na siku teule la kuabudu Mungu..
Hakuna pahala kwenye maandiko yenye kuonesha kuwa "sabato ni siku ya saba ya wiki" bali Sabato ni siku ya Saba baada ya kufanya kazi siku sita kama ambavyo wana wa Israel waliamriwa na kupewa fundisho hilo
Ilikuwa siku ya 15 ya mwezi wa pili ... Safarini toka Misri ndipo walipoamriwa kupumzika baada ya kazi siku sita . Sio kwamba wapumzike siku ya saba ya wiki (mambo ya siku za wiki ni mambo ya Warumi na Wababeli sio mambo ya maandiko )
Huyo jamaa ndo hamnakitu kabisa
Sabato amesema aje yesu ?nasikia ukatholiki Dani yenu sana .
Wasabato kwa kusema jumamosi Yesu yupo kaburini amepumzika, je kaburini ni mahali pa kupumzika?
Soma biblia utaona alikuawa anafanya nini,
Mnaojitokeza kufundisha muwe makini sana..acheni ubishi wa kizee. Nimegundua hawa wameshajenga chuki na ndacha
This is high level of ignorance, Viongozi vipofu wasiojua maandiko na hata wanachokiamini .....kwanza, imani ya akina ndacha wapo watu wengi sana Tanzania, kenya na dunia nzima kwa sasa.
Na, Ndiyo Imani Moja ya biblia haina muunganiko wa imani nyingi. Pure Faith.