MFUNGWA Amshtaki ASKARI Kwa MAGUFULI - "ATATUUA ONDOKA NAE"
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 15 ก.ค. 2019
- MFUNGWA Amshtaki ASKARI Kwa MAGUFULI - "ATATUUA ONDOKA NAE"
Rais Dkt John Magufuli, amefanya ziara ya kushtukiza katika gereza la Butimba lililopo mkoani Mwanza..
Alipofika gerezani hapo Rais Magufuli, amefanya mazungumzo na wafungwa wa gereza hilo na kusikiliza kero zao..
#JPM
th-cam.com/users/playlist?list... www.youtube.com/watch?v=N1X-f... Watch More Videos here: goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: globalpublishers Instagram:
globalpublishers Twitter: GlobalHabari Install Global App: ANDROID: goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: goo.gl/2jDyho
Mungu akubariki rais wetu mpendwa kwa kusikiliza kero za wafungwa, ni agizo la mungu, amen
Kama kweli ana moyo wa kumsaidia amuachie huyo mfungwa. Ni atateseka. Hata kama kweli huyo askari ataondolewa. Ila bado wapo wenzake humo watamfanyia ukatili usio na mithili huyo mfungwa. Roho imeniuma sana 😭😭😭
Huyu askari hafai
Rais.wetu.mungu.akuongeze
Maisha.marefu
Usimwache huyuuuu ukimwacha utaenda kujibu kesi ya mauwaji kwa mungu 😂😂😂😂😂😂😂
Hawa watu wenye mahitaji maalum huwa wana akili sana yaani..ukiwaangalia vizuri unaweza kuwaona kama hawajakamilika.
Umeongea ukweli ila cha moto utakiona hiyo sura yenyewe inaogopesha
Wewe unayemtukana raisi achaaaaaa mflume ni mflme tuuu
nadia amisha 1
Huyo mfungwa atapata tabu sana baada ya mshua kuondoka
Kuna mambo unafanya nikikuchukia ntakua ndugu yake shetan, Mungu akuhifadhi Rais wa Tanzania.
Nimekumbuka Mbali sana Butimba kituo changu cha kazi miaka hiyo
Duuu!!!!kaka utapigwa Leo nihatar.ila mungu akusaidie.umesema ukweli.
Sheysarah njeno
rais magufuli juuuu uje na Dodoma Manispaa watu wanazulumika viwanja uje muheshimiwa rais ujee
Awezi kupigwa
Watendaji Wa serikali mtende kwa haki, maana huwez jua ni lini rais atatembelea ulipo, na ni Nani atapewa maiki na ataongea nn, hongera kwa ujasiri ulouonyesha, wasomi wengi tumeshindwa
MSEMA KWELI MPENZI WA MUNGU MUNGU ATAKUSIMAMAMIA
😪😪😪😪😪😪dah nyinyi roho inaniumaaa dah😪😪😪😪😪
Duuuuuh Ujasiri wa chuo kikuu huu Daaah Mungu awe nawe
Huku kituo cha police kunawatu wamefungiwa Leo ni miez mitatu hakuna hatua wanazochukuliwa wanaombwa tu pesa usipokuwa nazo utakaamo mpaka zipatkane OCS ID achunguzwe
naomba kazi ya kumuadhibu huyo afande
Sio vizuri akii kunynyasa wengine ni laana mbele ya Mwenyezi Mungu
Hahahaha leo hakulaliki biboko mwanzo mwisho uwiiiiii
kwaiman ata achiliwa!
IMENIGUSA SAANA!! Mungu akusimamie kwa ujasiri wako na ukwel wako get up stand up for your rights!! Kama kufa kwa kusema ukweli let them kill u but GOD IS GOING TO PROTECT U
Addy Bernard Official TH-cam Channel
Aisee Mungu akubariki sana jamani Mh raisi hadi nahisi kutokwa na machozi.
duuuuuh mh musaidie jamA huyo asipigwe askari hypo Mbna hatendi hakiii
Mungu amsaidie huyu mkaka.
Kwakwekli inauma sana
Ebwanaee huyo jamaa atakula lungu sio za nchi hii,,,,,. Maana uyo brother Afand sura yake yenyewe tuu yaukumu sura ya kazi(mwendo wa lungu mpaka kucheee)😏
Leo utakoma leo
Huyu leo anabakwa aisee
Huuu msamaha sijui kahuska nao
Huyo atawuliwa ! Kwani amesema ni kundi
dah yaan hapo mkuu akitoka tu huko nyuma balaa lake zaid ya depo
Duh uyo askar sura km amchorwa vle ahahahah
Daah nimejikuta nacheka kama mazuri 🤣🤣🤣🤣🤣
Askar.hao wachukuliwe hatua kali
Mende Mpole Tv j
Mende Mpole Tv b
Fanya urudi muheshimiwa kumuona raia uyo
Huyu ni Mkurya
Mmmmmh!! Nyamboge kajiripua duuuuuuuh 👐👐👐
Huyu anajiamn nn
mungu ndie muweza wa kila jambo humchagua kiongozi kwa mfano wake rais magufuti amechaguliwa na mungu kwa mfano wake naami ipo ck mungu atamleta korogwe kuwasikiriza wafungwa sio kila anae enda jela ni mharifu
We kalikenye😁😀😂😂😂
Hahaaaa hivi magereza kunakuaga nakale kakitu ka jamaika et?
Ajali ya tenki ya mafuta mbagala langi tatu
😂😂😂😂kimenuka huyo mfungwa ajiandae kuchezeshwa kwaito gerezani
Hahaha
Hatari
Suzana Tweve mh leo hakulaliki munguwangu
Huyo mfungwa kazi anayo
Mmmmh hatari aisee , kweli madaktari nao wanafanya mauaji jmn, ewe rais wetu msaidie huyo kijana atoke humo ameshaogopa
Maskini pole nimesikia kulia jamani msaidieni jamani😭😭
abery stephany Dom nyanda
Tv ya taifa inakopi video n
Ameniliza HUYU baba jaman..
Mungu awalinde ote wenye haki raisi tusaidie ata baadhi ya makampuni hewa yapo tuaitaji uyatumbue baba yetu ( )
Kweli baba tembelea Magereza zote nimekumbuka msemo wako kuwa wakishindwa kukutoa bc wanakutafutia sababu nyingn ukikoloma wanasema unaumwa kifafa duu mpk madoctar wanashiriki kuuwa wafungwa mungu yupo ngj tuone huko mbele
Kehenjo
Duuu hii hatari nimedondokwa na chozi kwa kweli.
Kama.kweliiii.kumbe.kampeniii.siasa.mchezoo.mchafu
Hahaha ety anakaa na mihuri ya ikuru we ukae na nn hahaha dah nmecheka kwakweli lkn mwisho mchozi umenitoka 😭
😂😂😂😂😂😂😂nimecheka kama mazuri 😂😂😂
msaidie jamani mkuu
Uwiiii.....huyu kaka leo kazi anayo
Jamani wasimuue mkaka wa watu....it's too sad
Leo ni Leo
Huyu mfungwa arubino amenitoa machozi,raisi akiondoka kichapo atakacho kwa askari magereza sijui itakuaje.MUNGU BABA WALINDE HAWA WAFUNGWA .
Hahahahahahaha
Ete wewe hauja uwawa daah aisee
nchi inaongozwa kwa kiki siasa imefunika muzik
Hata nini kifanyike,, u need to appreciate what is good.
Kuwa makini na kauli zako
Kaka utachapwa mpaka uwe mweusi
Ukisikia kujitoa kafar ndio huku Sasa albino w watu mwenyez mungu mlinde
Hahaaha Wapi
Duuuuh, Mungu awe upande wako bro. Maana hiyo sura ya kaka askali uliekua ukimshtaki, ni chachu balaa. Cpati picha akipata mwanya wa kukukabil. heheheeee
Richard Dastan anaweza akampiga risasi kwa madai alijaribu kutoloka janja ya askari hiyo
@@obadiakurwijila4165 acha tu
mm namuomba rais amtoe huyu.jamaa.
Huyo ni usalama
shoromwamba
Mungu akulinde kaka angu
mfungwa Mwenye confidence jiachie msema kweli pamoja na mungu
Celina Mgundoi unaonekana unahuruma sanaa
Celina Mgundoi
@@mayungampanduzi8152 kwa nin?
Rais Magufuli ni Rais wa kipekee...
Askali analia
Police sura km sokwe utajuta akipata chance bwana afande
Sura yake km Idd amini dada,hafu tena ukimuangalia sn Huyu askari kafanana na yale masokwe MTU😁😁🏃🏃
Santiel Pascal Dah leo mzee utaisoma namba akiludi uyo askali heee
Wew fara Santiel Pascal sio polisi, huyo ni askari magereza mmekariri tu kila askari ni polisi. Yan kwakuwa mlishajenga dhana potofu vichwan mwenu kuhusu polisi imewafanya mmeshindwa kutofautisha askari wa majeshi yenu badilikeni msiishi kwa kukariri.
Santiel Pascal
Ana mihuli ya ikulu wewe umebaki na nn
Mungu wangu huyu asipotolewa atateseka sana. Kama kweli rais ni mtu wa haki amuachie huyo mlemavu wa ngozi.
Maskini 😭😂😂
Zakati
Brother leo huna bahati wew
Wewe ndo unapaswa sema unaitaji mabadiliko
Watamuuuwa albino maskin
Dogo mbovu.
lema mboye sugu walisema kinachoendelea uko
wanaweza wakamdhuru jamani mwonee huruma wasije wakamtoa roho kwa ukweli aliokupa.
mweshimiwa Rais wetu, msamehe huyo mfungwa baba.
Muone surayake
Richard km amefanana km sokwe😁😁😁
Richard Ngendakumana
Mhe: Magufuli huyo mfungwa aliesema ukweli mwachie huru vinginevyo atachomwa sindano ya sumu binadam wanambinu nyingi kwa vyovyote watampoteza duniani
Daaah!!! Mpaka roho inauma
Na Ivo amesema akitoka ataongea ving aa hatoishi muda mrefu