Bwana tusaidie watanzania tunapita katika wakati mgumu sana ulitupatia ndg.yetu kipenzi ndg.Dr john Joseph pombe magufuli kuwa rais wa taifa hili teule la Tanzania lkn ghafla sana tukiwa tunamhitaji zaidi ndipo nawe umeamua kumtwaa ,Bwana ulitoa na umetwaa jina lako libarikiwe hakika wewe ni mungu hatuna cha kusema Amen.....
Mwenyezi mungu akuweke mahala pema peponi aaamin,na Raha ya milele umpe eebwana na mwanga wa milele umuangazie apumzike kwa amani, aamina, Nilikupenda zaidi ya Sana
Nawaomba Watanzania WOTE jueni Kama vile Rais Magufuli alivyo waambia jueni Raìs Magufuli aliweza kuwatendea mambo mengi mema, sio kwa ajili ya uwezo wake, bali kwa ajili ya Mwenyezi Mungu. Mkisahau Mwenyezi Mungu mtadidimia. Rais wenu amewaachia mfano mzuri wa vile kuendelea, mkianza kuwasikiza Wazungu mtapotea. Poleni familia na nyinyi nyote
Mungu ailaze roho ya marehemu john Joseph magufuli maala pema peponi, tangulia mbele ya haki, ukaketi katika kiti cha enzi tulikupenda ila mungu kakupenda zaid
Huna doa baba pumzika kwa amani mwenyez mungu atawaadhibu mmoja mmja walioamua kutuzimia shujaa wetu wew ni kiongoz bado hadi sahv sjaoona wakukufikia.Baba we pumzk me napitia tu speech zako naon bdo unaongz nchi
NI ngumu kuelewa hata kuamini kumbe hata msiba wa kijazi ulikuwa hata huumwi Nini kimeingia hapa kati kati rais wangu hii Dunia iniambie bas wapi inatupeleka angalau nijue maana imetubeba basi iniambie inamaana Mungu ndy alikupenda Zaid magu 😭😭😭😭 Mungu huna hasira wewe unajua mengi kuliko tujuavyo Pumzika kwa Amani Magufuli.
Mlio muuwa magufuli,machozi ya WATANZANA wanyonge 😭 😭😭😭 na Africa kwa ujumla imewalaani wote waliousika na kifo chake JPM wetu make bado tunamlilia tu sana, naamini hanna Amani miyoni mwenu,
Le président John Pombe Magufuli a marqué toute l'Afrique en général,et en particulier la Tanzanie,pays qu'il a dirigé pendant plus ou moins cinq à six ans
Ukweli,uvumilivu,ukarimu,unyenyekevu ni vipaji kutoka kwa mungu,havifundishwi shuleni,bali vyote vya toka Kwa mungu tuvipokee Kwa furaha kwani hata mazuri mbona twashukuru,hata magumu na mabaya tusimchukie mungu,bali tumshukuru.
This Man, president JPM, a man of the people. An exceptional leader. This world is not our permanent home for sure. Am a Kenyan citizen but i loved the type of a leader he was.....
We 'll never forget you.may God Rest in peace, bodly we're not together but spiritually we shall meet.MAGUFULI MAGUFULI MAGUFULI BYE BYE.umetuacha ktk majonzi na simanzi kubwa jemedali wetu.
I am an italian man. I studied Magufuli, a politician I discovered and appreciated for his complaint against the effectiveness of tampons. He was a great and courageous president, an honest man who had reduced his salary (from $ 15,000 to $ 4,000) defended the interests of the people. I also appreciated his position on covid and against dangerous vaccines. In my opinion they killed him even though he officially died of heart problems. Magufuli will forever remain a political example of integrity for all. I agree about Magulification of Africa!
R.i.p rais wherever happened on earth also in heaven people love you not only in Tanzania but also in other countries the love you show to your people also will be shown in heaven that the meaning of God's prayer whom Jesus Christ tought his disciples God accepted you same as people accepted you allover the world R.i.p till we meet again in glorious God amen
Jmn, mlio baki ebu mjifunze kupitia magu, hekima na busara, mnapopata, madalaka ya kuongoza basi fateni nyayo zake ili vizaz vinavyo bak viishi kwa Aman pia Tanzania yetu iwe Salama.
Haufananishwi na chochote uncle magu tunakuombea upumzk kwa Aman!!! Mama samiha suluh nakuomb uwe mfano kwetu cc watanzania ukafanye alo yafanya hayati doctor john pombe mahuful
Mungu wewe ni mwanzo na mwisho wetu ,pumzika kwa amani baba yetu kipenzi,safari yako baba ilianzia hapa kwa muonekano wa huzuni kubwa inayojidhirisha usoni
Kifo ni fumbo kubwa sana,Mwenyezi Mungu tusaidie tuvuke salama kwenye hii dunia tunamuombea jpm apokelewe kwa amani huko mbinguni😭😭
🎉❤😮🎉❤😮🎉❤😮🎉❤😮😊😊😊🎉❤😮😢🎉❤😮🎉❤😮🎉❤😮😢😊😮😊😮❤🎉🎉❤😮🎉❤😮🎉😊🎉❤😮🎉🎉❤😮🎉😊🎉❤😮😅😢🎉😢🎉😊😮🎉🎉❤😮😊🎉❤😮
Bwana tusaidie watanzania tunapita katika wakati mgumu sana ulitupatia ndg.yetu kipenzi ndg.Dr john Joseph pombe magufuli kuwa rais wa taifa hili teule la Tanzania lkn ghafla sana tukiwa tunamhitaji zaidi ndipo nawe umeamua kumtwaa ,Bwana ulitoa na umetwaa jina lako libarikiwe hakika wewe ni mungu hatuna cha kusema Amen.....
L
L
Umetuacha njia panda mpendwa baba yetu tutakukumbuka kila siku kwa mema uliyo tutendea Mungu ailaze roho yako mahali pema peponi amen
Aaaà
Mwenyezi mungu akuweke mahala pema peponi aaamin,na Raha ya milele umpe eebwana na mwanga wa milele umuangazie apumzike kwa amani, aamina, Nilikupenda zaidi ya Sana
Pumzika kwa amani daima, tulikupenda sana baba. Ulale salama, MUNGU akupe pumziko njema ya milele 😭😭😭😭
RIP Baba mpenzi Rais Magufuli. Wamekuondoa. Watajua tayari ulitunywesha maadili mema. Watajua mawazo yako tutayapeleka mbele.
We naye nani alie muondoa mungu mwenyewe kamuitaji
@@aishaarusha894 hatutabishana aisee
Nawaomba Watanzania WOTE jueni Kama vile Rais Magufuli alivyo waambia jueni Raìs Magufuli aliweza kuwatendea mambo mengi mema, sio kwa ajili ya uwezo wake, bali kwa ajili ya Mwenyezi Mungu. Mkisahau Mwenyezi Mungu mtadidimia. Rais wenu amewaachia mfano mzuri wa vile kuendelea, mkianza kuwasikiza Wazungu mtapotea. Poleni familia na nyinyi nyote
It'is true,wakumbuke hilo sana
Watanzania baadhi wanafurahia sasa yabaadae hawajui, pumzika kwa AMANI Raisi wa wanyonge kazi umeifanya
Baba magufuli baba umetacha nimeumia mimi baba namuomba mwenyezi mungu akuweke mahala pema
😭😭😭😭😭😭😭ewe mwenyezi mungu nakuomba mpokee babaetu magufuli kwenye uzima wa milele amin.lala salama baba🙏🙏
Pumzka salama raisi wetu tulikupenda Sana Ila mwenyeezmungu amekupenda Zaid mungu akjlaze mahali pema peponiii
Mungu ailaze roho ya marehemu john Joseph magufuli maala pema peponi, tangulia mbele ya haki, ukaketi katika kiti cha enzi tulikupenda ila mungu kakupenda zaid
Allah ailaze Roho ya Hayati JPM mahala pema peponi kwa huruma na wingi wa REHEMA zake. Amin
Makegz
Ila webaba tupate wapi mtu kama wewe magufuli jamani?
Huna doa baba pumzika kwa amani mwenyez mungu atawaadhibu mmoja mmja walioamua kutuzimia shujaa wetu wew ni kiongoz bado hadi sahv sjaoona wakukufikia.Baba we pumzk me napitia tu speech zako naon bdo unaongz nchi
😭😭😭pumzika baba umelala magufuli Mungu akulipe sawasawa na matendo yako, usamehewe dhambi za sirini na hadharani 🙏
Rahma
Rahma
Mungu akupe pumziko la milele baba Mimi nakukumbuka kila inapoitwa leo .na nitakukumbuka na kukuombea kila siku
Suja wa Africa île sauti hatutaisikiyaka tena, hongera kwa kazi ulifanyiya Tanzania na Africa kwa ujumla. Uko mufiya Africa
Sauti yenye mamlaka na mvuto. Iliyo mtaja Mungu KILA wakati
"Unapoona tatizo huliwezi kulitatua mlilie Mungu"
NI ngumu kuelewa hata kuamini kumbe hata msiba wa kijazi ulikuwa hata huumwi Nini kimeingia hapa kati kati rais wangu hii Dunia iniambie bas wapi inatupeleka angalau nijue maana imetubeba basi iniambie inamaana Mungu ndy alikupenda Zaid magu 😭😭😭😭 Mungu huna hasira wewe unajua mengi kuliko tujuavyo Pumzika kwa Amani Magufuli.
Naumiaaaaa jmn 😭😭😭
Amen
Baba alikua mnyenyekevu huyu Daaaa...Mungu ampe pumziko la Milele Dr John Pombe Josephu Magufuli
Mlio muuwa magufuli,machozi ya WATANZANA wanyonge 😭 😭😭😭 na Africa kwa ujumla imewalaani wote waliousika na kifo chake JPM wetu make bado tunamlilia tu sana, naamini hanna Amani miyoni mwenu,
Nawao watakufa tena vibaya
Hakika hatutaacha kumlilia kwamwe na mungu awape adhab isiyo na mwisho
Unao ushahidi au unakurupuka
Mungu anawaona na hawana amani na mungu wameachana njia wenyewe kwa wenyewe mungu ni mwema
Sasa walanchi wamefulahi na wanakula tuu nchi inasikitisha😭😭😭
Rip shujaa wa Africa,😭😭😭😭mungu akulaze mahala pema raisi mpendwa😭😭😭😭😭😭😭
Tumekukumbuka sana
Pumzika Kwa Amani shujaa wetu tunakukumbuka mungu ailaze roho yako mahali pema peponi AMINA.
The most clever leader in Tanzania and Africa time running out R.I.P Magufulification of Africa.
Le président John Pombe Magufuli a marqué toute l'Afrique en général,et en particulier la Tanzanie,pays qu'il a dirigé pendant plus ou moins cinq à six ans
Tunakukumbuka sana rais wetu
Mungu akupe pumziko lanmilele mbinguni raha ya milele umpe ebwana 🤲 na mwanga wa milele umuangazie apumzike kwa amani Amin 🕯️🕯️🕯️🕯️🕯️🕯️🙏🙏🙏❤️🤍
Ukweli,uvumilivu,ukarimu,unyenyekevu ni vipaji kutoka kwa mungu,havifundishwi shuleni,bali vyote vya toka Kwa mungu tuvipokee Kwa furaha kwani hata mazuri mbona twashukuru,hata magumu na mabaya tusimchukie mungu,bali tumshukuru.
Dr.Magufuli he was a good president he ofeared Allah and he loved his country
Mungu amlaze pema peponi Wajna wangu Maalim Seif Sharif Hamadi (Amin)
Yani hapa mzee alikua anaonesha kujikaza kabisa!!! Hata sura ilishaanza kubadilika. He was a best leader!
RIP magufuri. Hatutokusahau kamwe. Wewe urikuwa shujaa na mukakamavu pia na mapenzi kwa Tanzania.
Tanzania tunakumis Sana baba yetu. Kila nikisikia sauti yako ninafarijika. Rest in peace MAGUFULI.
😭😭😭😭😭😭😭😭
P
Kweri Rais magufuri uliamua kutufia watanzania
Tulikupenda sana lakin mungu kukupenda zaid R.I.P our best leader ever JPM we still ❤❤❤❤ you
Uncle magu jamani katuacha wanyonge mungu akulaze mahala pema peponi umecha historia ya milele
kweli kizuri hakidumu daah 🙏🙏🙏
kweli😭😭😭
This Man, president JPM, a man of the people. An exceptional leader. This world is not our permanent home for sure. Am a Kenyan citizen but i loved the type of a leader he was.....
Hakika tulipoteza hazina kubwa sana hizi za Taifa. Mungu awape pumziko la milele........Amina
Tu étais un président exemplaires
Dar nashindwa niangalieje naishia kulia maana hapa ulikua umebajiwa na siku chache sana 😭😭😭😭😭😭😭
Asante kwa Imani kwa Mwenyenzi Mungu! Lala pema Mhe Rai's.
Jmniii kamfata rafik yake.alimpenda sana mwenzie..inaumiza mno jmn😷😭😭😭
Mimi ni mkenya lakini nmlilia Mzee John pm magufuri namuombea mungu ailaze roho yake pema pazuri naitwa chacha mwita kutoka Kenya county ya migori
Mungu akupe wepesi ktk safar yako baba
Habari nzuri sana kwa kunisikiliza na kujua BY WU&YTCNEWS
Pumnzika kwa amani magufuli wetu daima tutakukumbuka amina
Asante mungu kwa zawadi ya huyu baba najua ulimleta hapa duniani ukatuonyesha mazuri yake baba kidogo ukamchukua.🙏 Asante kwa zawadi za huyu baba.
Tutaendelea kumuenzi uncle Magufuli milele daima 😭😭😭😭
Rais John pombe magufuli. Shujaa wetu mtoto wa Africa mpambanaji asie teteleka pumzika kwa Amani Baba yangu mpendwa nilikupenda sana,
Amen mungu amlaze mapema
Dah kamaunaishi vile, ila wewenishujaatuuu halitapingikahilo, rest in peace our Dady
Hapo ni yy alikuwa akiongea lakini kwa nguvu za roho mtakatifu alimshukia kimiujiza bila hata yy kujua...Tutakukumbuka daima Baba 💔🙏
We 'll never forget you.may God Rest in peace, bodly we're not together but spiritually we shall meet.MAGUFULI MAGUFULI MAGUFULI BYE BYE.umetuacha ktk majonzi na simanzi kubwa jemedali wetu.
May your soul Continue to resting in eternal life...🙏🙏😔😭😭😭😭
Magufuli anaonekana amechoka hapa mwonekano wake hauridhishi, Mungu amlaze mahali pema peponi ❤🎉
R.I.P,Jpm!! Hakika nchi imeumia sana!! Sasa hivi tuko na makamu wako,haya!!
😢❤ nitakukumbuka daima jpm uliyewapa ujasiri watanzani mungu akulaze pema peponi aamiin
Mawazo na maneno yako yanaishi nasi Kila siku upumzike kwa Aman tulikupenda sana rais wetu, tumekumisi mno
Eee mwenyez mungu ilazeroho ya rais wangu mahala pena peponi amina
Mungu sio dhalimu..
Africa mzima atutakusaau ayati Rais Magufuli.Pumzika kwa Amani
l miss you magufuri pumzika kwa amani tunakukumbuka watanzania.😭😭
Hakika huyu ni rais aliyempenda Mungu kweli, ndugu zetu watanzania walipoteza kinyozi mkuu kweli
Rest in peace Dady Dr John Pombe Magufuli, Tanzania missed you 😭😭😭😭
😭😭😭😭😭huyu prezo alikuwa shujaaa RIP
Tunakumbuka sana baba yetu atutakusahau kamwe
Mwenyezi mungu mpokee mwanao
Nimemkumbuka sana baba yetu magufuri
Nikama ndoto naota, kama nawaona wapiga pesa wanavyosherekea
acha tu nawao ila wakubuke kuwa wataziacha tu zina mwisho
Ahsante baba kwa kututia nguvu na moyo wa maombi.
Pumzika kwa amani baba.
Pamoja sana, hongera kwa lasi nzuri. tutakukumbuka baba yetu mpendwa.!
Ntakupenda daima baba angu mungu akulaze mahali pema peponi 🙏🙏🙏🙏🙏
Tulikupenda.sana daima tutakukumbuka umetuachia usia baba mbele yako yuma yetu
Mungu aibariki Tanzania na watto wa Tanzania 🇹🇿 by Fosill nikiwa jijini Nairobi Kenya
😢😢😢😢😢😢😢😢 dah umetisha bro sanaaaaa mana bado anaishi myoyoni mwetu daima 😭😭😭😭😭
Ee mwenyezi Mungu umulaze hayati baba yetu mahali pema peponi sababu ameleta mabadiliko makubwa Sana nchini nitakukumbuka Sana magufuli!
Mpunzika Kwa amani rais wetu magufuli
Hakuna president aliyekuwa akisema ukweli Na kumcha Mungu kama wewe Mkuu😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭I can't stop my tears😭😭😭😭🇰🇪😭😭😭
This was the Man of the people truly...rest in peace late Magufuli
We can't forget you,RIP Mh.Magufuli.
Pumzika kwa aman baba magufuli daima tutakukumbuka
Pumzika Kwa Amani,mungu akuchague kulinda malaika wake,maana mungu anaitji walio safi wa moyo🙏🙏🙏 tutakukumbuka sana.
Ni muwazi sana uyu baba
I am an italian man. I studied Magufuli, a politician I discovered and appreciated for his complaint against the effectiveness of tampons. He was a great and courageous president, an honest man who had reduced his salary (from $ 15,000 to $ 4,000) defended the interests of the people. I also appreciated his position on covid and against dangerous vaccines. In my opinion they killed him even though he officially died of heart problems. Magufuli will forever remain a political example of integrity for all. I agree about Magulification of Africa!
I really like your comment brother.
in this generation ,no one like him....African hero...we miss prophet ....been killed by big men of this world criminals
I real love president
@@mutijimacedrick1622 💯
House yyhhgguuuu;; uo3se,08inpnbhubn?❤v❤❤😢tyuyuu1uujllsdaaasqqhbhhefyipo9umiuui😂àuuykoàatà k 1bbhjaslllkkfyuv ❤,
Kiongozi mwenye bidii na mchapa kazi poleni sana ndugu zetu wa tz mungu awarehemu sana na ailaze roho yake mahala pema kule aendako Amen.
Mwenyezi mungu akupe pumuziko la milee
Tunakukumbuka mwamba wetu mungu akuwekemahala pema peponi aamin
Mungu akulaze pema pepon makufur
Daima tutakukumbuka😢😢😢😢
Quel sagesse Mr le Président, t'es unique,lala salama
tumekumis baba god bless u
baba ulemtanguliza Mungu uliyekuwa unamsikiliza kila mmojaaa ulijalii utu kuliko chochote 😢tutakukumbukaaa kilaaa mara
Kazi yake mola haina makosa mbele yake nyuma yetu hakuna atakayeishi milele maisha baada ya kifo Mungu anatosha Mungu wetu sote
Daah kila nikisikia sauti yako baba yetu John Joseph pombe magufuli nafarijika Sana kwa kwli mungu akuweke mahalo pema peponi:RIP magufuli 😭😭😭
Rip Dady we love you from guinea Conakry 😭😭😭😭😭😭😭
Pumzika kwa amani Tutakukumbuka Daima
Life has never been the same since you left us Tanzanians
Mungu akubariki
R.i.p rais wherever happened on earth also in heaven people love you not only in Tanzania but also in other countries the love you show to your people also will be shown in heaven that the meaning of God's prayer whom Jesus Christ tought his disciples God accepted you same as people accepted you allover the world R.i.p till we meet again in glorious God amen
😭😭😭😭😭😭 hatuna jinsi mwenyezi mungu akulaze mahali pema peponi
Amen
Hongera mpendwa hayati raisi Magufuri
@@paulnjenga3069 mungu yu
@@paulnjenga3069 Arikuwa mwambà
R.I.p.baba kweli umeniuma we baba
Hata mimi naungana na ninyi kumukumbuka kila nikisikia Sauti yake mungu amuweke mahala pema peonies aminaa R.PJ
Jmn, mlio baki ebu mjifunze kupitia magu, hekima na busara, mnapopata, madalaka ya kuongoza basi fateni nyayo zake ili vizaz vinavyo bak viishi kwa Aman pia Tanzania yetu iwe Salama.
Haufananishwi na chochote uncle magu tunakuombea upumzk kwa Aman!!! Mama samiha suluh nakuomb uwe mfano kwetu cc watanzania ukafanye alo yafanya hayati doctor john pombe mahuful
Mungu wewe ni mwanzo na mwisho wetu ,pumzika kwa amani baba yetu kipenzi,safari yako baba ilianzia hapa kwa muonekano wa huzuni kubwa inayojidhirisha usoni
Kwawale wajuzi tu.
Nimehupenda sana
A life well lived &worth to celebrate 💔🕊🙏🏾 only God knows why our good great leaders with good intentions goes too soon 💔