Duh! ASKARI KIBURI Abishana na MAGUFULI Mbele ya RPC - "AMENIINUA"
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 15 ก.ค. 2019
- Duh! ASKARI KIBURI Abishana na MAGUFULI Mbele ya RPC - "AMENIINUA"
Rais Dkt John Magufuli, amefanya ziara ya kushtukiza katika gereza la Butimba lililopo mkoani Mwanza..
Alipofika gerezani hapo Rais Magufuli, amefanya mazungumzo na wafungwa wa gereza hilo na kusikiliza kero zao..
#JPM
th-cam.com/users/playlist?list... www.youtube.com/watch?v=N1X-f... Watch More Videos here: goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: globalpublishers Instagram:
globalpublishers Twitter: GlobalHabari Install Global App: ANDROID: goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: goo.gl/2jDyho
I am an italian man. I studied Magufuli, a politician I discovered and appreciated for his complaint against the effectiveness of tampons. He was a great and courageous president, an honest man who had reduced his salary (from $ 15,000 to $ 4,000) defended the interests of the people. I also appreciated his position on covid and against dangerous vaccines. In my opinion they killed him even though he officially died of heart problems. Magufuli will forever remain a political example of integrity for all. I agree about Magulification of Africa!
The Police Man acted professionally
Confidence is key in life. Usitishiwe na MTU ata rais atatoka tu.
Bible inasema tiini mamlaka ya waliokua juu yenu
we jau kichiz u think kujibu hvyo ilipendeza?, ye anaulizwa anajibu jeur et kaniinua kias flani hii wananchi wengin ban et confidence...
Haha😂😂 kumbe naeza kua mhenga. Nlitabiri mwisho wa magufuli na imekua kweli.
Huyo mfugwa aliyemchongea, ajiandae kupata mateso mara mia
Safi kamanda anajiamini hiyo sio kumnyenyekea sana mwanadamu mwenzako
i love this man he has coufedce i wish ugandans have a prsdua lyk him💪💪💪
Ofkoz!!!
i guess I am kinda randomly asking but does anyone know a good website to watch new movies online?
Ana mshukuru mungu kAinuliwa
Ma shaa Allah
Mimi mkenya ila Rais Magufuli ni kiongozi anayestahili shada👌👌👌
Magufuli ana kiburi zaidi....kama sio mungu kuinua hata yeye hangekua hapo.....
Anamshukuru Mungu kapata kuinuliwa ili atoe kero yake juu ya hao wafungwa, he was right i think that statement meant like that.
Huyu atakosa kazi
Apana tishwa
Nimecheka basi tu
Anajiamini na kazi yake,maswali mengi amesababisha ajikwae ulimi
Mbona kwenye media
Sukuma ndaniiiiiiiii apotelee huko
Nimekuja hapa ili wewe uinuliwe? Wewe naona uko na kiburu🤣😂😂
😁😁😁
Dady love you
Askar anatakiwa awe hivyo.cheo cha kikatiba na kimafunzo tofauti acheni uoga
Askar yuko sawa jmn
Kabisa!!! moja ya sifa ya askari ni kijiamini, bahati mbaya sana kujiamini mbele ya viongozi wa nchi hii ni UJEURI/KIBURI
Et Kapewa Kiki😂😂😂😂
Kwel afande
Safi sana
Haaahaaaa jaman 😂😂😂🤣🤣ameinuliwa
jeje lyrics
...Maguful your the best president in afrika...GOD Bless you...
For you
Usalama weshafanya kazi zao wamesha toa taarifa kitambo mno
Kweli yuko kama amelewa yan hiyo mikono amefanyaje
Nimekaa kota ukigoma kwenda shamba eti useme unaumwa cha moto utakiona yaani mgonjwa asiyewez kutembea na kazidiwa hata kuongea lakini maumivi tuuuu kazi utafanya tuuuuu
Mimi nampa siku utasikia katumbuliwa au kashushwa cheo chake
😂😂😂
Ahaha kamanda
Askari magereza wengi wanauonevu sana mateso mengi huko mkuu
Na wewe uache kuiba!!!
R I P
Huyo askari ni kumchota na kumsukuma ndani
Ismail Mashimba angemfyekelea tu
Huyo mfungwa atakiona cha moto rais akiondoka
hahahahah Magu bana utatuvunja mbavu mkuu,huyo jamaa ameinuliwa haha
Huyo jamaa ameinuliwa kweli
R.I.P
Hhhhhhhhhjj uyu jamaa noma askari noma
Amechoka
Muhma kitu chengine, cjui kama haja saura!!
huyu kiburii..... alitaka aweke kwenye memes
Englishmen say power is like a pendulum. Today on your side tomorrow on the other side.
Mh dikteta bas wazee wetu
Ujue kuna watu wapo hapa tanzania lkn sina uakika na ulaia wao et dikteta hahahaha....kwel uchawi upo we jamaa utakuwa mchawi wewe
Huyu afande anaconfidance
Jamaa hana woga kabisa kuzungumza hivyo na Mh rais
Kwani rais kitu gani askar yuko sawa alitaka amlambe matako
We ulitaka aongeeje
Nae cheza mnyoe Sina huruma Mimi
Huyu atakua mndali huyu
Toa nyota zake uyooo...
Baba wa mwezetu Huyu ana nyanyasika kwenye utaftaji wake wa ugali watoto wake wakale huyo mfungwa atakoma
Hehehe
Una pita
askari sidhani kama alipita JESHI. huwezi kuwa na maneno mengi ktk swali la jibu MOJA
Kabisa
Huyu ndie aina ya askari tunaowataka!!
Maswali mengine yakudhalilishana tu.
😂😂😂😂😂😂
magu
Kiburi chake kipo wapi?
Yaani we acha tu,,,,lakini ndio kule kujimwambafy kulikosemwa!!!!!
Askari cku zte ni ndio afande hata kma unaonea malalamiko baadae,askari hutakiw kubishana na mkuu wako wa kazi hata kma hayuko sahihi na hyo ndo nidhamu ya kijeshi na ndo ipo hvyo
Yahni unajua ukiwa na akili afu mjinga ni losi kubwa sana
Askari jeuri hili,tena anabahati angetumbuliwa
Sifa ya askari ni kujiamini, bahati mbaya sana kujiamini mbele ya baadhi ya viongozi wa nchi hii ni ujeuri/kiburi!!
🤣🤣🤣🤣 sipati picha uko alipo huyo askar sasa
GEORGE KINABO 😂😂😂😂
Askari mavi si mavi mkojo si mkojo🤣🤣🤣
@@saraphinamichael2203 🤣😂🤣😂🤣😂🤣😂
Kabisaa maskar kama hawa ndio wanaoalibu nchi
Askari yuko sahihi!!!
Ku
Mr president himself
Jpm hayo afande unamuonea2
Mikwara haifai., msionee watu wapeni UHURU wa kusema.
Nyundo imepigilia mapaa mengi itajumbukwa
Huyo askari anahaki yakujieleza naniuhuru wake hanakosa alichokisema nisahihi kilamtu anakazi yake naafanye kazi kulingana nasheria Rais hayupo juu yasheria. Hapo hakuna cha kuomba msamaha Rais wetu magufuli si Mungufuli.
Mzeee tumbua huyo
Mh nawe kajifunze nidhamu
kama ungelikuwa mchezaji wa mpira tungesema umekimbilia kucheza Rafu bila kujua hata kuwa mwenzio mpira ukifika tu anatoa pass,halafu wewe unamkwatua watu wanabakia wana kushangaa.........umekimbilia ku comment hata hujajua huyo asikari kasema nn hadi jpm ka kasirika....
Ata mm nashangaa rais hajamtendea haki.
@@yohanandalahwa983 pumba
Wanyonge peponi😀😀😀😀😇😇😀😇😀😇😇😇😬😬😉😡😢😢😇😇
Huyo si askari,mpumbavu sana na afutwe kazi mara moja.Haiwezekani askari kujibishana na Rais.
Foolish
Huyu askari hafai kabisa. Inaonekana ana dharau sana. Tena imeonyesha wazi kama kunawafungwa wako chini yake wanapata taabu sana.
Yeah ameonesha dharau mbele ya rais imekula kwake
Huyu askari yuko vizuri Sana, ndio wanaotakiwa kama hao!!!
H
Huyu rais mkoloni kweli dictator!!!
fafanua...au ndo unaamka?
@@errydeo8865 anasomea aje mwanamme ka bibi yake?
Baba etu. Magufuli
🤣🤣🤣🤣🤣🤣hyo afande hana chake hpo hamjui magu ati ameniinua hpo hana kazi tena kiburi chake hakina faida
Aliinuliwa kivipi? Hela ama mahaba?
😆😆😆😆😆😆
Sifa moja ya uaskari ni kujiamini, bahati mbaya sana, kujiamini mbele ya baadhi ya viongozi wa nchi hii ni ujeuri/kiburi!!!
Siyo kila sehemu pakujiani inategemeana unajiamini sehemu gani fukuza huyoo
@@daudijohn6429 huna unalolijua!!!!
Dicteter kweli
Xxx
L
Yaani huyomfungwa atakuwaanapigwa atajuta kasemea nin namwonea hurum
raisi ninakushukuru kwa kutimiza wajibu wako
Huyo askari amejieleza hamna cha kuomba msamaha..magufuli ni dictator na ndiye ako na kiburi
Duh tujiajili tu
Hyu askar jela ni mfisadi huyu mwizi kabisa
😂😂😂😂😂