Asantee Sana mchungaji,Mimi nimebalikiwa na somo la Leo,ninachangamoto kwenye familia yetu shetan amevamia na anataka kuiteka kabisa ,kwa maombi naamini tutakombolewa ,tunaomba maombi yenu .
LORD i praise you because you are holy and always ready to unite and forgive us our sins. Thank you pastor Mmbaga for your good teaching. Be blessed so much.
KWAKWELI MTUMISHI HUWA UNANIBARIKI SANA NILIKUWA NIMERUDI NYUMA SANA LAKINI JINSI MUNGU ANAVYO KUTUMIA NAZIDI KUSOGEA KATIKA MSARABA WA KRISTO. HAKIKA NABARIKIWA NA MUNGU AZIDI KUKUBARIRIKI🙏🙏🙏🙏🙏🔥
Pastar mbaga mahubiri yako nimazuri sana ila mm na swahili kuhusu utatu nahisi unamjuwa pastar ndacha anafafanua vizuri kuhusu utatu tatuta muda je niukweli afu nakuomba ufundishe utatu au ukutane na pastar ndacha mtuweke wazi kuhusu utatu unachanganya sana afu sisi wote ni wasabato inakuaje wasabato wengine waamin utatu afu wengine hatuamin
Najuuwa hupend mdahalo ila ukikutana napacha ndacha mnaweza mkazungimzia utatu natukaelewa kabisa maan yule pastar ndacha anaongelea utatu hatoki enje ya biblia anasema hakuna mungu watatu mungu ni mmoja na sesu mwanawe yesu yesu anaasili ya uungu lakin kuna mungu mkuu ambae ni baba na uesu anathibitisha hilo anasema pale anaposema kama kikombe hiki kinaweza kuniebuka kiniepuke ila so kwamapenye yako ila wewe mingu fanya utakavyo na vifungu vingine ving
Je kuna mungu mwana ,mungu roho , na mungu baba ila mm najuwa rohom mtakatifu yupo ila so mungu na yesu ni mungu kiasili yaan kwaasili anauungu kwasababu yeye ni mwana wa mungu afu kuna roho wa mungu ambae anatuongoza sisi ila mungu ni mmoja two ambae ni baba
Asantee Sana mchungaji,Mimi nimebalikiwa na somo la Leo,ninachangamoto kwenye familia yetu shetan amevamia na anataka kuiteka kabisa ,kwa maombi naamini tutakombolewa ,tunaomba maombi yenu .
Mungu ni mwema sana.... Hakika tu wadhaifu sana mioyoni mwetu.. Tumejaa hofu na mashaka. Mungu tusaidie. Amen
Nimebarikiwa sana, nimecheka pia kuwa Yesu anaweza kutuongoza njia mbaya tuungane naye
Amina
Am blessed 🎉🎉🎉
Mungu akutie nguv azid kutenda muujiza katika mafundisho yako ubarikiwe nas tunabarikiwa sana
Am blessed....may God keep u pastor utuokoe wengi🙏🙏🙏
Amen
Asante Mungu awabariki, huo muyimbaji Mungu amuongezee sana, ana sawuti nzuri ya kuimbia Bwana.
Namsifu maduhu....... Ahsante
God bless your much pastor mbaga
Amen pastor barikiwa sana
Barikiwa pastor mm nabarikiwa kila siku na neno lako
Nabarikiwa sana kwa mafundisho,nayafuatilia nikiwa Lamu-Kenya👍
Aminaaa🤔
Mungu azidi kuku bariki mtu wa Mungu
A beautiful arrangement of this song be blessed sister
Amen
Merci beaucoup nous avons besoin d' unterprete
Aminaa...
Kazi njema mtumishi ubarikiwe sana
Ubarikiwe mtu MUNGU
Amen amen amen 🙏🙏🙏
Shalom kitabu hicho nakipata wapi icho ktk ulimwengu wa roho
Amina kweli kabisa
Mubarikiwe
Aksente kabisa
Asante sana Ndugu ubarikiwe nawe katika mafundisho haya
Barikiwa mtumishi
LORD i praise you because you are holy and always ready to unite and forgive us our sins. Thank you pastor Mmbaga for your good teaching. Be blessed so much.
Amen 🙏🙏🙏
Alléluia
Nime jengwa sana
Mahali panapo stahili ni hapa kwa mahubiri tv
KWAKWELI MTUMISHI HUWA UNANIBARIKI SANA NILIKUWA NIMERUDI NYUMA SANA LAKINI JINSI MUNGU ANAVYO KUTUMIA NAZIDI KUSOGEA KATIKA MSARABA WA KRISTO. HAKIKA NABARIKIWA NA MUNGU AZIDI KUKUBARIRIKI🙏🙏🙏🙏🙏🔥
Ukweli kabisa Mungu atusaidie
Very funny 🤔.
Imeandikwa alifunga magegu ya Simba kama sikosei
Hakuna mpanga wa Muhubiri tv kupitia Pr Mbaga kutufikia King’ongo?!?
Pastar mbaga mahubiri yako nimazuri sana ila mm na swahili kuhusu utatu nahisi unamjuwa pastar ndacha anafafanua vizuri kuhusu utatu tatuta muda je niukweli afu nakuomba ufundishe utatu au ukutane na pastar ndacha mtuweke wazi kuhusu utatu unachanganya sana afu sisi wote ni wasabato inakuaje wasabato wengine waamin utatu afu wengine hatuamin
Najuuwa hupend mdahalo ila ukikutana napacha ndacha mnaweza mkazungimzia utatu natukaelewa kabisa maan yule pastar ndacha anaongelea utatu hatoki enje ya biblia anasema hakuna mungu watatu mungu ni mmoja na sesu mwanawe yesu yesu anaasili ya uungu lakin kuna mungu mkuu ambae ni baba na uesu anathibitisha hilo anasema pale anaposema kama kikombe hiki kinaweza kuniebuka kiniepuke ila so kwamapenye yako ila wewe mingu fanya utakavyo na vifungu vingine ving
Je kuna mungu mwana ,mungu roho , na mungu baba ila mm najuwa rohom mtakatifu yupo ila so mungu na yesu ni mungu kiasili yaan kwaasili anauungu kwasababu yeye ni mwana wa mungu afu kuna roho wa mungu ambae anatuongoza sisi ila mungu ni mmoja two ambae ni baba
Amen
Amina
Amen 🙏🙏🙏🙏
Amen
Amen