Kuna Namna Mungu anakuandaa mkubwa sana mpka natetemeka Yaani MUNGU anazungumza ndani ya kinywa chako mpka mwili unkufa ganzi . Mungu akubariki umejibu swali nililokuwa najiuliza kila leo weeee BABA MUNGU ANAJIBU 🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽
Amen Pastor!! MUNGU akubariki sana kwa Mafundisho haya!! Mbarikiwe pia Mahubiri TV kwa kurusha Mafundisho na mahubiri kila wakati, hakika na sisi tunabarikiwa!! KRISTO awatunze sikuzote! Amen...
Yaani wewe ntumishi wa Mungu sijui cha kusemaaa, ila wanaoabudu hapo wanafaidi sanaa yaani wanashibaa kirohoo mpka naona wivu. Silaha nzito ni kumjua Mungu katika neno na namna anavyotenda kazi . Uwiii YESU AKULINDE OOOH HALELUYA WEWE NI MWALIMU KAMA YESU
Mungu atukuzwe na Fata mahubiri kwa mbali ili na jisikiya niko karibu na mchungaji, Mungu ashukuriwe kutupatiya watu ambao wana, tulisha kiroho. Mungu aibariki inchi ya 🇹🇿 imani yangu inaongezeka sikukwasiku nikifata mahubiri.
Kuna Namna Mungu anakuandaa mkubwa sana mpka natetemeka Yaani MUNGU anazungumza ndani ya kinywa chako mpka mwili unkufa ganzi . Mungu akubariki umejibu swali nililokuwa najiuliza kila leo weeee BABA MUNGU ANAJIBU 🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽
Ubarikiwee mtumishii wa mungu
Hakika ubabe wa Mungu Ni mkuu Sana Amina
Aminaaa mtumishi wa mungu barikiwa sana
Ombi langu kwa Mungu akupe Maisha marefu tu Imani yangu imekua kutokana na mahubiri yako
Amen Pastor!!
MUNGU akubariki sana kwa Mafundisho haya!!
Mbarikiwe pia Mahubiri TV kwa kurusha Mafundisho na mahubiri kila wakati, hakika na sisi tunabarikiwa!!
KRISTO awatunze sikuzote! Amen...
Nashukuru sana mtu mishi wa Mungu nimesaidiwa sana namahubiri.sababu nimekutana changa moto nyingi hata nachanganyikiwa.unikumbuke unapo omba.thank u.
Amina Baba pr barikiwa
Asante Yesu kwa jinsi unavyomtumia mtumishi wako.Naomba uendelee kumuinua kwa utukufu wako
Asante pastor kwa hubiri hili zuri, nimejifunza kitu
Barikiwa baba yangu wa Kirohoo namwomba Mungu anijaze rohoo ya kumtafuta na kusikia neno lake na kulielewa na kumjua zaidi mwaka huu na milee
Yaani wewe ntumishi wa Mungu sijui cha kusemaaa, ila wanaoabudu hapo wanafaidi sanaa yaani wanashibaa kirohoo mpka naona wivu. Silaha nzito ni kumjua Mungu katika neno na namna anavyotenda kazi . Uwiii YESU AKULINDE OOOH HALELUYA WEWE NI MWALIMU KAMA YESU
Amen barikiwa sana mtumishi wa mungu nmebarikiwa sana 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Mungu atukuzwe na Fata mahubiri kwa mbali ili na jisikiya niko karibu na mchungaji, Mungu ashukuriwe kutupatiya watu ambao wana, tulisha kiroho. Mungu aibariki inchi ya 🇹🇿 imani yangu inaongezeka sikukwasiku nikifata mahubiri.
Mungu akuinue mtumish kwa ajili ya utukufu wake.
Amen barikiwa mtumishi umenisaidia
Deep insight.i love his preaching 🇰🇪
Amen and amen 🙏🙏 barikiwa sana mchungaji,nabarikiwa nikiwa Saudi Arabia 🙏🙏🙏
Asante sana Yesu kwa kunijulisha kuwa mwalimu wangu katika kujua na kulitumia neno lako katika safari ya maisha yangu kiroho.
Hapo kwenye ku Google huyo ni mimi kabisa hata niumwe kidole😂😂😂
Mungu akuongezee Tena nguvu zake, Asante pastor 🙌 🙏
Mungu apewe sifa.Mahubiri yenye mafunzo na baraka mzomzo
Mafundisho mazuri sana barikiwa
Amina kubwa mtumishi Nimebarikiwa👏
Bwana atukuzwe wimbo huo nimeupenda naomba mnitumie niwe nao umenibariki saana
BWANA etushindiye yoote maishan kwa utukuf wa jina lake Amina.
Amina pasta nilikuw nimekata tamaa kupitia mafundisho Yako nimepata nguv ya kusimama tena
Glory to God..🙏
Mchungaji Leo Umenikoshaa 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏 Munguuuu
Vitani ya Bwana si yangu
Barikiwa mchungaji kwa hubiri zuri Mungu tujaze hekima
Amina
Amen.Nimebarikiwa Sana.Mungu aendelee kukutunza Mchungaji.
Amen Mungu somo nzuri saana
Mungu akubariki Kwa neno mzuri.
Nimebarikiwa somo ni zuri sana vita ni y’a Bwana.
Glory 💕 to God praise the Lord
Be blessed 🙂 Amey
Mungu akushikilie kwa mkono wake wa kuume
Huu ujumbe umeandaliwa kwa ajili yangu. Asante Mungu
Amen mtumishi wa Mungu aliye hai
Munguakubariki
God bless u Pastor.
Mpinga Kristu ameingia makanisani ni shida.
Ni patrick mbanya nakufuatria sababa na simu ya rafiki yangu nikiwa kenya
Mungu akubariki aana Mtumishi hakika unatuinua wengi
Sizani kama kuna mtu amekuelewa kama nilivyo kuelewa Mimi
Amen
Amina nimejifunza mambo mengi sana
Atukuzwe Mungu wetu aliye mkuu
Amen 🙏
Nabarikiwa sana
God bless you pastor
Amen 🍝 pasta
Vita sio zetu ni za BWANA.Ameni
Amen Blessed Pastor
Nakuelewa sana Mtumishi.Unanisaidia sana sana Kiroho.Barikiwa Mtoto WA BABA.
Àsante pastor,sikujua Esau na Jacob walikua mapacha
Amen! Siku nyingi msijifunike vichwa wadada wazuri
Kwa nini?
Ni baridi mazingira waliopo ndiyo maana unawaona wapo wamevaa makoti
Amina God bless you all 🙏🏼
amina
Be blessed pastor
Amina
Amina sana
Mbarikiwe
Somo nzuri
Amen Amen Amen
Amina.
AMEN
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌👍
Amuna
hahahahaha kali
Amen Amen 🙏
Be blessed Pastor
Blessed
Am fed well with bread of heaven
tunakufatilia sana ilanaiji namba yawhatsapp uhonge ninamatatizo
Ppl
Thanks u
Bwana Akibariki mtumishi, ningependa kuwasiliana awe, phone number please
Amen
Amina
Amen 🙏🙏🙏
Amen
Amen
Amen
Amen
Amen
Amen
Amen
Amen
Amen
Amen
Amen
Amen
Amen
Amina
Ubarikiwe mtumishi kwa somo zuri nimepona