Ndugu yangu David kuna kitu niliwai kugundua sijui kama wasikilizaji wako au wewe mwenyewe umewai kujua yaani kila usimamapo mbele ya watu kufudisha siwewe uwa unaongea ila roho wa mungu aliye ndani yako.hili linanifanya nakusikiliza kwa makini tena zaidi.
Jofrey msengi anateswa na nguvu za giza,naomba apate uponyaji kwa jina la YesuKristo,kupitia wewe pastor.imani yangu itamponya aliko huko.,mungu wangu nisaidie.
Pastor, Mungu akubariki Sana Sana kwa somo hili. Jana tulipoomba, niliweka Nia thabiti. Leo nimeamka nikiwa mtu mpya kabisa kimwili kiroho na kiafya. Ninamshukuru Sana MUNGU kwa ajili yako. Mungu aendelee kukubariki nasi tupokee yale akufunuliayo kwa UTUKUFU wa jina lake. Amen 🙏.
Ndio mchungaji nimepewa nguvu mpya sana kutoka kwako mim nimama mtilie nilikua napika chakula siuz lakin siku hizi mungu amefunga milango na madirisha mpaka nashangaa
Amina mtumishi nimebarkiwa sana Kila nilipotaka kwende mbele za Mungu sheteni ananiletea orodha ya dhambi zangu zote mpaka nashindwa kuomba ila kuanzia Leo ntakuwa na ujasili mbele za Mungu
Asante pastor neno hili limenipa hatua nalimenifundisha Sana sitateseka tena maana Christo nivyote Imani ndio funguo neno limenfunza kabisa ubarikiwe Sana Na Mungu akupe Maisha marefu uzidi kuhubiria watu, wengi ❤
Hello Pastor...am jonah waweru from Kenya nafuatilia sana sermons zako na kwa kweli nmebalikiwa...nlikuwa najiona mdhambi sana mpaka nkishindwa kuomba...but umenifunza kwamba mungu anachukia dhambi lakini unatupenda zaidi....I thank God sasa nawexa kuomba na magumu yote yenye nlikuwa napitia amenionyesha njia ....sasa imani yangu iko imara....naomba uniombee mungu aanisaindie nisirudi kwa dhambi tena....ubarikiwe zaidi pastor....glory be to God.
PR .Mungu akusaidie sana.Usiache kunena...unatugusa,unaimarisha Imani yangu,unanifanya no pate nguvu mpya Tena ya kusonga MBELE keep roho.Mungu akupe haja za moyo WAKO.
Pastor nakushuku sana somo rako limenigusa sana tena sana upande wakusamehe mzazi utazani unanifaham mpaka nimedondosha chozi Mungu aendelee kukupaka mafuta
Nina mushukuru sana Bwana yesu nilifunguliwa na yesu kupitia mutumishi wake Pastor David Mubaga Mungu akubariki sana na akuwezeche sana ninakuombeya mutumishi .
Tangu ni tambua kuwa naweza jiombea and prophesy to my life and my family nilikataa maombe eti God sent me my destiny helper l want to be a destiny to someone mapenzi ya Mungu yatimia
Historia ni ndefu siwez elezea kila ktu ila kw ufupi kila ninapokutana na changamoto za maisha masomo yako hunisahihisha mara kwa mara. USHAURI WANGU Madaktari wa akiri,lishe na walimu wa elimu ya kiroho wanahitajika kwa haraka sana katika kizazi hiki cha kuangamia kwa kukosa MAARIFA
Unaongea vitu vilivyo jificha sana mtu akikusikiliza na ataacha uovu maramoja. Tanzania tungekusikiliza wote akika Mahakamani kesi zisingepatika kabsa kabsa😢
Pastor kwa jinsi ulivyokubali kuwa wakala wa Kristo ktk kufufua mioyo iliyozimia, Hakika Mungu akukumbuke ktk uzima wa milele naamini umeandaliwa taji nyingi, Mungu wetu akupe ushindi mkuu.
Leticia baziwani; Pr ninabarikiwa maana umenifundisha mambo mengi ambayo natamani niyatende maishani MUNGU akubariki sana naomba uniombe niwe mtu wa kunyenyekea na kuwa na hekima katika ndoa yangu haiko salama
😭😭😭😭😭Nahisi nguvu zikinijaza, nmekuwa wa kujikinga na mawazo ya uovu wangu, Lakin nmeshuka chini Mungu anikange na anirehemu, nimekuwa nikitamani kuimba nyimbo za deliverance nikikumbuka dhambi zangu napata Tena nmeishiwa iyo roho ya UIMBAJI, Lakin Leo Ubarikiwe Sana Mtumishi umenifungua masikio na macho ya ndani ooh✍️✍️👂👂👂🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Napenda sana mahubili yako mchungaji yananitia nguvu sana natamani siku moja uje kwenye makambi ya huku kwetu naamini utaongoa roho nyingi,Mungu akubariki sana mchungaji ww na familia yako.Amen
Ndugu yangu David kuna kitu niliwai kugundua sijui kama wasikilizaji wako au wewe mwenyewe umewai kujua yaani kila usimamapo mbele ya watu kufudisha siwewe uwa unaongea ila roho wa mungu aliye ndani yako.hili linanifanya nakusikiliza kwa makini tena zaidi.
Mungu atukuzwe kwa hilo
@@MahubiriPrMmbaga AMEN! AMEN! AMEN...
Amina 🙏
AMINA
Aminaa
wa chungaji Mungu wetu awa bariki sana na awa linde na aendeleye kuwapa nguvu ya ku tupatiya nguvu ya ku tegemeya Meenyezi Mungu❤🙏
Sina meno zuri la kusema.bali naomba Mwenyezi Mungu azidi sana kukutunza.unatuokoa.jina la Bwana lihimidiwe.
Ninabarikiwa sana pastor Mbaga na somo hilo
Mungu anisaidiye nikutane na Yesu katika uthaifu wangu wa imani.
Mm kwa familia ndiye nitakae ibuka na baraka
Barikiwa sanaaaaa mtumishi wa MUNGU YESU azidi kukutumia kuongoa roho 🙏
Amen..kweli ni Mungu Mimi kwanza nabarikiwa sana na mahubiri Yako umenisaidia pakubwa sana 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Amen
Jofrey msengi anateswa na nguvu za giza,naomba apate uponyaji kwa jina la YesuKristo,kupitia wewe pastor.imani yangu itamponya aliko huko.,mungu wangu nisaidie.
Mungu azidishe maneno yake kinywani mwako tupate kukua na kuongezeka kiroho.Mungu akutunze
Amen Glory to the most high
Àm really blessed by your teachings pastor
Pastor, Mungu akubariki Sana Sana kwa somo hili. Jana tulipoomba, niliweka Nia thabiti. Leo nimeamka nikiwa mtu mpya kabisa kimwili kiroho na kiafya. Ninamshukuru Sana MUNGU kwa ajili yako. Mungu aendelee kukubariki nasi tupokee yale akufunuliayo kwa UTUKUFU wa jina lake. Amen 🙏.
Mungu atukuzwe
Ameeeen
Amen mungu atukuzwe
nimepata badiliko ndani yomo mungu awepamoja nasi
Asante pastor David mbaga umenifanya nmepata nguvu mpya kuendelea kii Imani... from Kenya
Amen
Bwana Yesu Kristo naomba unipe nia thabiti na neema, neema ya kutosha kupenya na kukufikia Wewe katika jina la Yesu Kristo Amina na Amina Haleluya.
Hallelujah Hallelujah Hallelujah Hallelujah AMEN Utukuvu kwa YESU KRISTO USIFIWE MILELE YESU
Ndio mchungaji nimepewa nguvu mpya sana kutoka kwako mim nimama mtilie nilikua napika chakula siuz lakin siku hizi mungu amefunga milango na madirisha mpaka nashangaa
Amina mtumishi nimebarkiwa sana Kila nilipotaka kwende mbele za Mungu sheteni ananiletea orodha ya dhambi zangu zote mpaka nashindwa kuomba ila kuanzia Leo ntakuwa na ujasili mbele za Mungu
Na itwa Mathias. Mchungaji mimi huwa nasikiliza mafundishoyako , kunamambo ambayo yananijega Mungu akubariki.
Mungu akubariki
Asante pastor neno hili limenipa hatua nalimenifundisha Sana sitateseka tena maana Christo nivyote Imani ndio funguo neno limenfunza kabisa ubarikiwe Sana Na Mungu akupe Maisha marefu uzidi kuhubiria watu, wengi ❤
Lov u Pr.Mungu amekutuma kututia moyo na kuinua kiwango chetu cha Imani.BARIKIWA
Hello Pastor...am jonah waweru from Kenya nafuatilia sana sermons zako na kwa kweli nmebalikiwa...nlikuwa najiona mdhambi sana mpaka nkishindwa kuomba...but umenifunza kwamba mungu anachukia dhambi lakini unatupenda zaidi....I thank God sasa nawexa kuomba na magumu yote yenye nlikuwa napitia amenionyesha njia ....sasa imani yangu iko imara....naomba uniombee mungu aanisaindie nisirudi kwa dhambi tena....ubarikiwe zaidi pastor....glory be to God.
Mungu atukuzwe saana kwa ushuhuda huu
PR .Mungu akusaidie sana.Usiache kunena...unatugusa,unaimarisha Imani yangu,unanifanya no pate nguvu mpya Tena ya kusonga MBELE keep roho.Mungu akupe haja za moyo WAKO.
Amen
Pastor nakushuku sana somo rako limenigusa sana tena sana upande wakusamehe mzazi utazani unanifaham mpaka nimedondosha chozi Mungu aendelee kukupaka mafuta
Huwa namfwatilia Sana huyu mtu wa Mungu.Mungu akubariki
Nashukuru sana pastor I'm always motivated by your sermons
Remember me in prayers I'm yearning to be spiritually stable bt bado....pray for me
Namushukuru Sana Mungu kwa ujumbe wako mtumishi wa Mungu nimefunguliwa bwana azidi kukutumia.
Nimebarikiwa sanaa na Neno la leo ninakupata mubashara kutoka Muscat Oman Mwenyezi Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu Asante kwa Mahubiri mazuri
Nimebarikiwa
Tuned from Lodwar Kenya
Mungu akulinde
🙏
Nina mushukuru sana Bwana yesu nilifunguliwa na yesu kupitia mutumishi wake Pastor David Mubaga Mungu akubariki sana na akuwezeche sana ninakuombeya mutumishi .
Mungu ashukuriwe kwa mafunuo ya utukufu wa Jina kāke na ukombozi wake kwetu ktk KRISTO Yesu.
Pastor nabarikiwa sana na haya mahubiri,yamenipa ujasiri mkubwa sana ktk imani,ubarkiwe mtumishi wa mungu
Amen
Mbaga nikiangali masoma yako ssnzi nabarikiwa
Amina napokea uponyaji kutoka kwa Yesu.
Mapito yetu mazito,magumu na ya kutisha hayana nguvu iwapo neema ya Mungu tutaitegemea kwa Imani bila MASHAKA.
Asante Mungu kwa Neno holi nimepona maumivu yaliyokuwa yananisumbua. Asante Pokea shukurani yangu hii ndogo kama shukurani yangu kwa uponyaji huu
I will come and testify that I am healed this Saturday my faith says so
Nimekusikia Na nikafutia njia za kwako kwa kweli biashara SAA hii nimeanza kuona inanieendea vizuri kwa kweli mungu in wa ajabu
Amen
Tangu ni tambua kuwa naweza jiombea and prophesy to my life and my family nilikataa maombe eti God sent me my destiny helper l want to be a destiny to someone mapenzi ya Mungu yatimia
Amen ubarikiwe
PR Mungu akubariki mafundisho yako yananipa ujasir nataman wakati wa maombi nami niwepokama kuna uwezo 🙏🙏🙏🙏
Asante yesu kwa hubiri zuri nimebalikiwa Mungu atusaidie kiburi
Historia ni ndefu siwez elezea kila ktu ila kw ufupi kila ninapokutana na changamoto za maisha masomo yako hunisahihisha mara kwa mara. USHAURI WANGU Madaktari wa akiri,lishe na walimu wa elimu ya kiroho wanahitajika kwa haraka sana katika kizazi hiki cha kuangamia kwa kukosa MAARIFA
Kweli
Hakika mchangaji mwenyez Mungu amekufanya uwe baraka kwetu ili tufunguliwe
Ubarikiwe san, na atukuzwe Mungu anaekutumia wew hutulisha neno lake, Amina
Asante pasta ninapata nguvu mipango yangu inapata jibu kwasababu naamini hiyo.from D.R.C.LUBUMBASHI.Mungu akubariki
Thanks pastor, remember me in prayer on my spiritual journey and life debt difficulties. May God bless you continually to touch more souls for God.
Pastor!lazima nipenye nifikie ushindi wangu.Pass I like your massage from God.Ryiadhi Saudi
Amen
Nimepokea funguo za kupokea kufungua magumu
ASANTE mtumishi umenisaidia.
Amen,,, nami naona muujizaa mkubwaaa pastor hakika Mungu ni mkuuu
1 year ila ujembe ni wa leo🙌
Kuna kitu nimegunduwa na sema Asante mtumishi wamungu
Amina mafundisho Yako yamenijenga kiimani barikiwa sana
Amen Amen barikiwa sana pastor nabarikiwa sana
Barikiwaa SANA mtumishii Bwana akuinuwe Akupiganiye SANA
😀😀😀😀😀😀😀😀ila David akiri yako unaijua mwenywe hapo kwenye nywele za mzungu umeniua mbavu mimi
😂
Ee Mungu lehema zako na zidumu milele barikiwa mtumishi wa BWANA
Barikiwa sana mchungaji nimeguswa na somo
Amina!
Masomo yako yamekuwa mbaraka kwangu pamoja na kurudi nyuma ila nimepata nguvu ya kusimama
Amina ubarikiwe sana nasomo hili zuri mtu wa mungu,
Amen Yesu nisaidie siwezi bila ww
Hongera mtumishi ubarikiwe
Barikiwa sana pasta mungu akuongoze kila jambo, nimebarikiwa sana🙏
Mungu akubariki
Naitwa neema leo nimegungua kumbe kunakitu ninacho yani Neema natamani kuishi nikitambua mimi ni Neema kama jinalangu
Unaongea vitu vilivyo jificha sana mtu akikusikiliza na ataacha uovu maramoja. Tanzania tungekusikiliza wote akika Mahakamani kesi zisingepatika kabsa kabsa😢
UNA ROHO FAFANUZI, LAKINI ZAIDI YA NI KUELIMISHA !!! AMEN. ROHO TAMBUZI I NAWE.
Mungu akubariki Mchungaji ninabarikiw na mafundisho yako.
Pastor mimi ni babycher still naamini mahubiri yako niombee roho wa Bwana awe Nami aniponye katika kweli
Barikiwa pastor, nmetambua magumu ninayoyapitia Yana faida kubwa kwangu
Amina brother mbaga YESU asifiwe
Barikiwa mtumishi wa Mungu nimeelewa, asante sana
God bless you David,I really blessed with your preaching.
Amen nashukuru mtumishi kwa maombi yako
Amen. Am blessed and lifted up.. Thanks pastor for the massage
Ahante mtumishi kwa kutulisha neno la Mungu
Mungu akupe maisha makefu from uganda
Pastor kwa jinsi ulivyokubali kuwa wakala wa Kristo ktk kufufua mioyo iliyozimia, Hakika Mungu akukumbuke ktk uzima wa milele naamini umeandaliwa taji nyingi, Mungu wetu akupe ushindi mkuu.
Amen kwa mafundisho mazuri
Nabarikiwa sana na mahubiri yako ubarikiwe sana
MUNGU akubariki sana mtumishi
Asante sana kabisa
Tangu nikufwate hapa nabarikiwa sana
Asante endelea kubarikiwa mungu akutumie kadiri apendavyo.....nimepata kitu kipya nguvu ya kushuhudia
Asante sana Leo nimefunguliwa naomba mungu anisaidie kuliishi meno ubarikiwe kionhoz
Leticia baziwani; Pr ninabarikiwa maana umenifundisha mambo mengi ambayo natamani niyatende maishani MUNGU akubariki sana naomba uniombe niwe mtu wa kunyenyekea na kuwa na hekima katika ndoa yangu haiko salama
Mungu akupe maisha malefu from uganda
Ameeeeen MTUMISHI
Asante sana pastor mungu akubariki kwa hili neno
Barikiwa mtumishi 👌
Mungu ukatuponye mimi na Mume wangu.
Nataka niwe na levu ya just sana
No mtumishii Bwana akuinuwe SANA
😭😭😭😭😭Nahisi nguvu zikinijaza, nmekuwa wa kujikinga na mawazo ya uovu wangu, Lakin nmeshuka chini Mungu anikange na anirehemu, nimekuwa nikitamani kuimba nyimbo za deliverance nikikumbuka dhambi zangu napata Tena nmeishiwa iyo roho ya UIMBAJI, Lakin Leo Ubarikiwe Sana Mtumishi umenifungua masikio na macho ya ndani ooh✍️✍️👂👂👂🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾
AMEN
Napenda sana mahubili yako mchungaji yananitia nguvu sana natamani siku moja uje kwenye makambi ya huku kwetu naamini utaongoa roho nyingi,Mungu akubariki sana mchungaji ww na familia yako.Amen
Mchungaji ninapokusikiliza hasa somo lililokuwa linasema vizuizi vikubwa vya baraka nilijihisi sifai naomba uniombe nipate hekima natamani kuongea nawe inbox ili unipe ushauri wa mambo fulani.
Nabarikiwa sana,Bwana akibariki zaidi ili tubarikiwe zaidi.
🙏 🙏 🙏 🙏 🙏 amen
AMEEEEN
Naomba pastor maombezi
MUNGU awenawe.
Amen Mungu pekee wa Kutukuzwa
Asante sana pastor mmbaga mungu akubariki sana