Je Mungu BABA ni nani?

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 26 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 144

  • @AgnesKasayaMigiro
    @AgnesKasayaMigiro 3 หลายเดือนก่อน +7

    Mwalimu Ndacha Mungu ,aendelee kulinda. namtumishi Paul Hasan🙏🙏Mwankemwa ,mada kamlemea,ooiyee

    • @gabrielsaelie8091
      @gabrielsaelie8091 หลายเดือนก่อน

      Mwakemwa anatetea imani ya Utatu na ukatolic wake bila kuwa a ujuzi wa kutosha wa kutetea imani hiyo ya uwongo aliyoasisiwa na lusfer (shetani). Imani ya utatu ni upagani wa Kirumi ulioingizwa kanisani kupitia kanisa katoliki la Roma mwaka 325 AD.
      Uwongo huo ni wa kuogofya sana wa fundisho la Mungu mmoja katika utatu wa mungu baba, mungu mwana na mungu roho mtakatifu. UWONGO huu umebadilisha UKWELI kuwa Mungu ni Mmoja ambaye ni Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo.
      "MAKANISA" ya kibabeli yanayoendesha IBADA kwa Mungu katika imani ya Utatu wa Mungu mmoja wa Mungu baba, Mungu mwana na Mungu roho mtakatifu ni ibada bandia na ni chukizo kuu la ukweli wa Mungu. Kupitia nabii Ezekiel alituambia ibada hizi za kiwazimu zimeshamfanya Mungu wa Mbinguni kuyakimbia makanisa yao. Soma Ezekiel 8: 4-16

  • @McharoMshana-x6p
    @McharoMshana-x6p 2 หลายเดือนก่อน +2

    Asante ndacha mm Niko Kilimanjaro nakuomba uje huku kwetu mm ni mkiristo

  • @herimwinge-et9ei
    @herimwinge-et9ei หลายเดือนก่อน +1

    Kumbe tukiwa mbele ya ufalme wa mbinguni Yesu anakua bro wetu mkumbwa nimeipenda iyo Mchungaji Ndacha ubalikiwe sana Im Muslim Tz.

  • @fredykiluka6606
    @fredykiluka6606 3 หลายเดือนก่อน +1

    Ndacha mungu akubaliki kwanza umetufunguwa macho ...tumekuelewa❤❤❤ ❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @MeshackTanui-w2j
    @MeshackTanui-w2j 6 วันที่ผ่านมา

    Asantii ndacha endelea kufunua ukweli♥️♥️♥️♥️

  • @husseinkiruta1712
    @husseinkiruta1712 3 หลายเดือนก่อน +2

    Mnachekesha Sana Mungu Ni mmoja tu na yesu syo Mungu katumwa tu

  • @mwoso
    @mwoso 3 หลายเดือนก่อน +3

    Mimi nakubaliana na mwalimu Ndacha. Sioni haja ya kusumbuana na akili bure!

  • @ChristianEinstein-t2j
    @ChristianEinstein-t2j 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mwankemwa haeleweki ,ahsante ndacha mim nilikuwa mwana utatu lakini hivi leo hii nimebadilisha mtazamo wangu potofu wa kuamini utatu

    • @gabrielsaelie8091
      @gabrielsaelie8091 หลายเดือนก่อน

      Mwakemwa anatetea imani ya Utatu na ukatolic wake bila kuwa a ujuzi wa kutosha wa kutetea imani hiyo ya uwongo aliyoasisiwa na lusfer (shetani). Imani ya utatu ni upagani wa Kirumi ulioingizwa kanisani kupitia kanisa katoliki la Roma mwaka 325 AD.
      Uwongo huo wa kuogofya sana wa fundisho la Mungu mmoja katika utatu wa mungu baba, mungu mwana mungu roho mtakatifu umebadilisha UKWELI kuwa Mungu ni Mmoja ambaye ni Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo. "
      "MAKANISA" yanayoendesha ibada katika imani ya Utatu wa Mungu mmoja wa Mungu baba, Mungu mwana na Mungu roho mtakatifu ni ibada bandia na ni chukizo kuu la ukweli wa Mungu. Soma Ezekiel 8: 4-16

  • @aliabdallah8456
    @aliabdallah8456 3 หลายเดือนก่อน +2

    Hadi leo hii Mungu wa kweli hamjamjua waulizeni waislamu watawaambia Mungu wa kweli ni nani Mungu wa kweli ni yule aliyeumba kila kiumbe na ndiye aliyeumba mbingu na ardhi nayeye Mungu wa kweli hajazaliwa wala hajazaa na uwezi kumfananisha na kitu chochote kile huyo ndiye Mungu wa kweli wakristo hacheni kudanganyana

    • @alfredwangondu8712
      @alfredwangondu8712 16 วันที่ผ่านมา

      WACHA KUPOTEZA WATU. WAISLAMU HAWAJUI CHOCHOTE, NI KIARABU TU WAO HUROPOKWA

  • @mush337
    @mush337 3 หลายเดือนก่อน +4

    Watu hudhani yesu ni mungu mwingine ambaye ni mdogo naye baba ni mungu mwingine ambaye ni mkuu,ila hapo mwanzo palikuwa na neno,naye neno alikuwa mungu,neno akafanyika mwili,wakati anafanyika na kuwa mwili sio eti alikuwa mwili tangu zamani ila mungu amevaa mwili wa binadamu. Mungu wa wakristo ni mungu ambaye Yuko na uwezo wa kuwa baba,mwana na roho mtakatifu kwa wakati mmoja. Haimaanishi Kuna Mungu Mkubwa ati baba na huyo mungu wa pili anategemea baba kuwa mungu. Hakuna mtu yeyote anayeweza kuwa mungu eti sababu amezaliwa na Mungu,hamna kabisaa,mungu ni mmoja na hakuna anayeweza kuitwa mungu Sababu ya kuzaliwa na Mungu,yesu anapoitwa mungu ni mungu Kweli,hajazaliwa na yeyote,mungu kuvaa mwili wa binadamu ndikwo kuzaliwa Sasa ila hao Sio mungu wawili,eti Mungu mkuu na Mungu mtegemea kuzaliwa,hio ni injili potovu. Mungu kuzaliwa na kuvaa mwili wa binadamu kwa ajili ya wokovu haimunyanganyi mamlaka, muislamu tu pekeake ndiye anafaa kuuliza,wakati mungu alifanyika mwili ni nani alibaki mbinguni,ila wewe mwanadamu kujibu eti mungu mkuu alibaki mbinguni na Mungu anayeitwa mungu kwa kuzaliwa ndiye alikuja. Ukiweza tofautisha mungu bila mwili ni nani na Mungu akivaa mwili ni nani hutachanganyikiwa ila utaelewa tu ni mungu katika mpango wa wokovu. Jiulize hili swali,iwapo mwanadamu hangeanguka dhambini,je mungu angefanyika mwili ili kumuokoa na je kama hangefanyika mwili je jina yesu lililotabiriwa na manabii lingekuwepo?

    • @user-ee8dr9iw4k
      @user-ee8dr9iw4k 3 หลายเดือนก่อน

      Nimekua nikimsikisa uyu ndacha anakampeni ya kumpinga kristo akiwa na diet na waislam akiri kabisa yesu ni mungu sai anapinga Kuna mwana Kuna baba

    • @KiddoBeo
      @KiddoBeo 3 หลายเดือนก่อน +1

      soma bibilia kataa au ukubali kwa andiko siyo kwa uelewa wako Mungu anajieleza mwenyewe haelezewi na watu

    • @mush337
      @mush337 3 หลายเดือนก่อน

      @@KiddoBeo mungu ni mmoja,na ukijua mungu ni mmoja ni rahisi sana kujua yesu roho mtakatifu ni nani

    • @JamesMoses-jd1yq
      @JamesMoses-jd1yq 3 หลายเดือนก่อน +1

      Bibilia inasema hamna mtu yeyote amewai muona mungu kwa hiyo mbona unachanganyikiwa

    • @nassoroyahaya821
      @nassoroyahaya821 3 หลายเดือนก่อน

      Jamaani nyoote mmechanganyikiwa hamuoni pa kwenda njooni kwenye Uislam hii confision haipo kabisa Mungu amejieleza na mitume nao wameelezwa vizuri

  • @mwoso
    @mwoso 3 หลายเดือนก่อน +2

    Barikiwa sana mwalimu ndacha.

  • @benardmwamboneke9612
    @benardmwamboneke9612 2 หลายเดือนก่อน

    Nawapenda watumishi wa mungu na mungu awabariki ujumbe maada hii mwankemwa amenyosha

    • @gabrielsaelie8091
      @gabrielsaelie8091 7 วันที่ผ่านมา

      Amenjosha wapi. Si kwamba imechanganyikiwa?

  • @mwoso
    @mwoso 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mwankemwa analinganisha mungu, mwana na roho mtakatifu na jinsi yai lilivyo.

  • @mush337
    @mush337 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu baba ndiye tu yesu,kama mwanadamu hangeanguka dhambini,hakungekuwa na haja ya mungu kufanyika mwili,mpango wa wokovu ndio unachanganya wakristo. Baba,mwana na roho mtakatifu ni mungu mmoja tu ila mpango wa wokovu ndio unafanya Wanadamu wasieleme kwamba inakuaje mungu tena awe mwanadamu,inakuaje mungu kuja kwetu kama roho mtakatifu badala ya kukuja yeye mwenyewe moja kwa moja,ila ni dhambi iliyoleta mpango wa wokovu, kama mwanadamu hangetenda dhambi hakungewai kuwa na Mungu katika mwili wa binadamu (yesu),maana kilichomlazimu mungu awe katika mwili ni mpango wa wokovu wa mwanadamu aliyeanguka dhambini

    • @YOMYSTUDIOS
      @YOMYSTUDIOS 3 หลายเดือนก่อน +1

      Wajenga hoja wanatoa nukuu wewe unaandika mawazo yako pekee

    • @mush337
      @mush337 3 หลายเดือนก่อน

      @@YOMYSTUDIOS Mawazo gani yangu inihali Bibilia inasema mungu ni mmoja aliye baba,Sasa wewe ukisema mwanawe ni mungu Sababu amezaliwa na Mungu ni kuwafanya mungu wawe wawili,baba na mtoto,hio ndio hoja nakataa, Bibilia haiezi jipinga,Heri mtu aseme mwana ni sehemu ya mungu ila kusema yesu ni mungu kwa kuzaliwa na Mungu haiko kwa Bibilia

    • @mush337
      @mush337 3 หลายเดือนก่อน

      @@YOMYSTUDIOSkwa mjibu wa hii verse je kuna mungu mmoja hapa ama wawili?
      Yohana 1:1-5
      Hapo mwanzo kulikuwako Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu, naye Neno alikuwa Mungu. Huyo mwanzo alikuwako kwa Mungu.

    • @Shomariamuri1
      @Shomariamuri1 19 วันที่ผ่านมา

      @@mush337
      Soma Waebrania 1 mpaka 9.
      Yesu ni Mungu kwa asili. Ndiyvo Biblia inavyofundisho.
      Na sio hayo mafundisho yenu ambayo Biblia inakaraa.

  • @gabrielsaelie8091
    @gabrielsaelie8091 18 วันที่ผ่านมา

    Mwakemwa anatetea imani ya Utatu na ukatolic wake bila kuwa na ujuzi wa kutosha wa kutetea imani hiyo ya uwongo aliyoasisiwa na lusfer (shetani). Imani ya utatu ni upagani wa Kirumi ulioingizwa kanisani kupitia kanisa katoliki la Roma mwaka 325 AD.
    Uwongo huo ni wa kuogofya sana wa fundisho la Mungu mmoja katika utatu wa mungu baba, mungu mwana na mungu roho mtakatifu. UWONGO huu umebadilisha UKWELI kuwa Mungu ni Mmoja ambaye ni Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo.
    "MAKANISA" ya kibabeli yanayoendesha IBADA kwa Mungu katika imani ya Utatu wa Mungu mmoja wa Mungu baba, Mungu mwana na Mungu roho mtakatifu ni ibada bandia na ni chukizo kuu la ukweli wa Mungu. Kupitia nabii Ezekiel alituambia ibada hizi za kikuzimu zimeshamfanya Mungu wa Mbinguni kuyakimbia makanisa yao. Soma Ezekiel 8: 4-16

  • @johnsactay7207
    @johnsactay7207 วันที่ผ่านมา

    Stand on the side of truths forever and forever mwl Ndacha and God bless you

  • @davidochiengbuoga7165
    @davidochiengbuoga7165 3 หลายเดือนก่อน +3

    Yesu anauungu wa BABAYE

  • @DavlenDavid-m4f
    @DavlenDavid-m4f 12 วันที่ผ่านมา

    Amen

  • @intelligencyeducation
    @intelligencyeducation 12 วันที่ผ่านมา

    Kutoka 24:9 Ndipo akakwea juu, Musa, na haruni, na Nadabu, na Abihu, na watu sabini miongoni mwa wazee wa Israeli;
    10. wakamwona Mungu wa Israeli; chini ya miguu yake palikuwa na kama sakafu iliyofanyizwa kwa yakuti samawi, kama zile mbingu zenyewe kwa usafi wake.
    11. Naye hakuweka mkono wake juu ya hao wakuu wa wana wa Israeli; nao wakamwona Mungu, wakala na kunywa.

  • @ishmaelsimon6617
    @ishmaelsimon6617 3 หลายเดือนก่อน +3

    Kwanza Poleni kwa mjadala. Ni ivi, huwezi kuwa mwanadamu kama huna mwili na roho. Kikitoka hata kimoja maana yake wewe sio mwanadamu. The same to MUNGU, MUNGU yupo, toka mwanzo na yupo katika ukamilifu wake, yupo katika BABA kwa maana ya yeye MUNGU, ndani yake NENO lake ndio MWANA, anasema anatoka katika kifua cha BABA na yupo ROHO wake akaae ndani yake na huyo ndio alikuja baada ya MWANA kutukuzwa. So unaweza mwenye uite nafsi tatu, uite MUNGU mmoja uite BABA, MWANA NA ROHO but all ni zipo kwa MUNGU. Na ili ukamilifu wa MUNGU uwepo ndio sharti awe yeye MUNGU akiwa na NENO lake ambaye ni YESU KRISTO na ROHO YAKE ambaye ndio ROHO MTAKATIFU.

  • @NoahSeludao
    @NoahSeludao หลายเดือนก่อน

    Mwamkwema uko sawa barikiwa sana

    • @gabrielsaelie8091
      @gabrielsaelie8091 7 วันที่ผ่านมา

      Hayuko sawa na ufahamu wake kwenye ukweli wa Mungu ni mdogo sana. Au ni mpotoshaji kwa makusudi.

  • @christophersimwinga6689
    @christophersimwinga6689 2 หลายเดือนก่อน

    Aaah Ndacha Yesu ni sawa na Mungu lakini sio Mungu hii kauli yako unajichanganya kwa vile Neno Sawa linaonesha ulinganifu wa pande mbili zinazolingana na ikiwa pande mbili hazilingani Neno SAWA Haliwezi kutumika unaposema YESU NI SAWA NA MUNGU huwezi tena kusema mmoja anamzidi mwenzie kwahiyo Unapo sema yesu ni sawa na Mungu unamaanisha yesu ni Mungu

  • @AziziPonera
    @AziziPonera หลายเดือนก่อน

    Mungu ni mmoja
    Haku zaa
    Wala hakuzaliwa
    Wala hana wa kufanana nae.

  • @christophersimwinga6689
    @christophersimwinga6689 2 หลายเดือนก่อน

    Ndacha hajui maana ya neno MUNGU ndo mana anaona kwamba yesu akiitwa Mungu nisawa kwa sababu ni mwana wa mungu . Anafikiria kibin🎉adamu na ndio mana hakubali tatu kuwa moja Kwahiyo NDACHA Pia hakubali kuwa ndoa ina mwili mmoja kama Mungu anavyosema kutokana na akili ya kibinadamu . Ni akili hi hii ya kibinadamu inayosababisha kuona kwamba tatu haiwezi kuwa moja . Lakini kiukweli maandiko yanathibitisha kuwa Yesu ni Mungu Isaya na Tito Yesu ni Mungu Mkuu na inasema yesu ni Mungu baba wa Milele tena inasema niMfalme wa wafalme pia yanathibitisha kuwa Mungu ni Roho . Shida ipo kwenye akili ya kibinadamu ambayo haikubali kwamba tatu inaweza kuwa sawa na moja au mbili kuwa sawa na moja jambo ambalo kwa Mungu inawezekana kabisa na mfano mzuri ni ndoa ambayo ina miili miwili ambayo ni mmoja..

  • @user-ee8dr9iw4k
    @user-ee8dr9iw4k 3 หลายเดือนก่อน +1

    Wewe ndo unafanya wakristo wana slimu ju ukisema mungu ni mmja inamanisa yesu nikama manabi sigine filipo anaomba kumjua mungu kama wewe sasa yesu anamwambia alie niona mimi amemuona mungu . Ju akuna mungu mwengine . Yohana 14-8 yeye yu ndani ya baba na baba ndani yake . Yesu kimwili si mungu kiroo ni mungu baba ni roo mtakatifu ndiyo utukufu ulio biguni.

    • @Shomariamuri1
      @Shomariamuri1 3 หลายเดือนก่อน +2

      Fundisho unalolisapoti ndo mbaya kabisa na waislam wana wacharaza na iyo miungu yenu mitatu ambayo hakuna andiko hata moja ndani ya Biblia 😮😊

    • @ChristianEinstein-t2j
      @ChristianEinstein-t2j 3 หลายเดือนก่อน +2

      Yohana 15:4 kaeni ndani yangu NAMI ndani yenu, swali je tukikaa ndani ya yesu je sisi ndo tutakuwa yesu??? Usichanganye watu kaka

  • @Elias-ne8sw
    @Elias-ne8sw 3 หลายเดือนก่อน

    Kitu Cha kwanza hakuna kitu kama utatu mtakativu kitu Cha pili Yesu ni mungu alie kikalia kiti cha Enzi.. Roho mtakativu ni Yesu
    Mungu baba bado ni Yesu
    Mwana wa mungu bado ni Yesu(fungeni kifungo mumulize mungu)

  • @ishmaelsimon6617
    @ishmaelsimon6617 3 หลายเดือนก่อน +2

    Kwani YESU akiwa MUNGU kwa sababu ni Mwana wa Mungu, kuna shida ukumwita MUNGU MWANA?

    • @TestimonyTvshuhuda
      @TestimonyTvshuhuda  3 หลายเดือนก่อน

      shida ipo kwenye lugha. lakini kwa nini useme MUNGU MWANA ilihali imeandikwa MWANA WA MUNGU?

    • @davidochiengbuoga7165
      @davidochiengbuoga7165 3 หลายเดือนก่อน +1

      ​@@TestimonyTvshuhudaNi Kwa sababu Mwana ni Mungu

    • @TestimonyTvshuhuda
      @TestimonyTvshuhuda  3 หลายเดือนก่อน

      @@davidochiengbuoga7165 Au shida ni kiswahili?

    • @JamesMoses-jd1yq
      @JamesMoses-jd1yq 3 หลายเดือนก่อน

      Rudi darasani​@@TestimonyTvshuhuda

    • @JamesMoses-jd1yq
      @JamesMoses-jd1yq 3 หลายเดือนก่อน

      Mungu ni mmoja ila yesu ni mwanae mmoja tu

  • @MoiseMsh
    @MoiseMsh 3 หลายเดือนก่อน

    Ndacha acha kukwepa ukweli. Elewa vizuri maandiko. Mwakemwa akufundishe.

  • @christophersimwinga6689
    @christophersimwinga6689 3 หลายเดือนก่อน

    NDACHA tafuta jina la Mungu . Jina baba sio jina la Mungu utapata kufahamu vizuri mahusiano ya mwana na baba . Je aliye baba jina lake ni nani

  • @christophersimwinga6689
    @christophersimwinga6689 2 หลายเดือนก่อน

    Ndacha anasema yesu kuitwa Yehova ni sawa kwa hiyo yesu ni yehova ikiwa Ndacha unakubali yesu kuitwa yehova basi yesu ni mungu kwa vile jina Jehova ni jina la Mungu Muumbaji

  • @McharoMshana-x6p
    @McharoMshana-x6p 2 หลายเดือนก่อน

    Asanten waalimu

  • @benardmwamboneke9612
    @benardmwamboneke9612 2 หลายเดือนก่อน

    Ndacha na mwankemwa nawaombeya roho awape wepesi maada hii msiwachanye wakristo wachanga mtawapoteza ila mwankemwa yuko sahihi ndo mana yesu nae alificha ukweli ili asiuwawe

  • @AdamusonKomba
    @AdamusonKomba 2 หลายเดือนก่อน

    Mungu nimamulaka yautendaji kazii na baba nimumiliki wa nafusi tatu hai mwana nimamulaka naloho nimamulaka yautekelezaji haionekani hatambinguni ila inatendaaa

  • @intelligencyeducation
    @intelligencyeducation 12 วันที่ผ่านมา

    Kutoka 24,9-11 inazungumzia juu ya walimwona Mungu. Kutoka 33,20

  • @nassoroyahaya821
    @nassoroyahaya821 3 หลายเดือนก่อน

    Upo vizuri shida hapo kwako ni Yesu naye kuwa sawa na Mungu wakati Mungu katika Isaya Mungu anauliza je nipo sawa na nani ?

  • @user-ee8dr9iw4k
    @user-ee8dr9iw4k 3 หลายเดือนก่อน +1

    Wewe ndacha tuambiye uyo baba ni nani

  • @NoahSeludao
    @NoahSeludao หลายเดือนก่อน

    We'we ndacha acha kupotosha watu utalaaniwa mwalimu Daniel I alko sawa

  • @abasingaruka1872
    @abasingaruka1872 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mwakemwa muelewe Ndacha, unayosema hayakatai wewe unabadilisha kutafuta u ishi

  • @chenzhenlee7633
    @chenzhenlee7633 3 หลายเดือนก่อน

    Mwalimu Daniel Mwankemwa anajua kufyndishs lakini Somo halielewi yeye anaongelea Uungu wa Yesu

    • @copylababa
      @copylababa 3 หลายเดือนก่อน

      Wendo hujamuelew

  • @davidochiengbuoga7165
    @davidochiengbuoga7165 3 หลายเดือนก่อน

    Mungu pia ni Roho (Yohana 4:24). Roho Mtakatifu ni Sehemu ya Mungu na ni Mungu

    • @herimwinge-et9ei
      @herimwinge-et9ei หลายเดือนก่อน

      Kama unaijua vzr biblia karibu mdahalo sio umejua kakifungu kamoja unasumbua kwenye comments.

    • @davidochiengbuoga7165
      @davidochiengbuoga7165 หลายเดือนก่อน

      @@herimwinge-et9ei Wewe lete hiyo yako na Mimi nilete yangu hapa kwenye comment section.

  • @NoahSeludao
    @NoahSeludao หลายเดือนก่อน

    Bibilia inasema watu wangu wanaangamia kwskukosa maarifa nakutokujua maandiko

  • @nassoroyahaya821
    @nassoroyahaya821 3 หลายเดือนก่อน

    Hapo ndipo Quran inpokuwa Master formular ya dunia kuwafundisha watu wote mbele ya wakati wote ya kuwa Quran 112:1-6 Sema yeye mwenezi Mungu ni mmoja tu ,anaekusudiwa kwa kila jambo na viumbe vyake,hakuzaa wala hakuzaliwa ,wala hana anaefanana naye hata mmoja

  • @MichaelDonaldnchingaMichaelDon
    @MichaelDonaldnchingaMichaelDon หลายเดือนก่อน

    28:19Matayo Kwajina lababa na lamwa na Roho mtakafu imeunganishwa

  • @MohamedMohamed-u3t1n
    @MohamedMohamed-u3t1n 3 หลายเดือนก่อน

    Huyu nae anasema yesu ndio yeye huyo baba kwa hiyo kajizaa mwenyewe hii imani kama huna moyo wa upofu ndani yako huwezi kuifuata abadan

  • @christophersimwinga6689
    @christophersimwinga6689 3 หลายเดือนก่อน

    DACHA Unasema hakuna andiko lililosema Mungu Roho wakat andiko hilo lipo MUNGU NI ROHO NAO WAMWABUDUYE WAMWABUDU KATIKA ROHO

    • @AareMjungu
      @AareMjungu 28 วันที่ผ่านมา

      Kusema Mungu ni roho na kusema Mungu roho hapo ni sentence 2 zenye maana 2 tofauti.

  • @MITEIJULIUS
    @MITEIJULIUS หลายเดือนก่อน

    Let's the world new the truth?

  • @christophersimwinga6689
    @christophersimwinga6689 3 หลายเดือนก่อน

    Ndacha neno Mungu si jina ufahamu hivyo kwanza . Mungu maana yake ni muumba wa mbingu na nchi vyote vilivyomo. Jina la Mungu baba ni BWANA kwa lugha ingine ni Yehova je hujasoma sehemu yesu anaitwa BWANA? NDACHA pia uliwahi sema kuwa hakuna neno MUNGU MWANA hili andiko Mungu mwana nalo lipo . NDACHA anasema yesu ni mungu kwa asili maana yake nini sasa ni hii Muumbaji kwa asii maandiko machache brother

  • @davidochiengbuoga7165
    @davidochiengbuoga7165 3 หลายเดือนก่อน

    Yesu alipokuja duniani alikuja kudhihirisha Baba na aka vaa uunge wa BABAYE ndiposa akawa Mungu lakini katika Mwana.Kwa hivyo Yesu ni Mungu kwa utukufu wa BABAYE (Isaya 9:6)

  • @EmileClaver
    @EmileClaver 2 วันที่ผ่านมา

    Mwalimu Daniel yukosahihi

  • @ZachariahZablon-j9f
    @ZachariahZablon-j9f หลายเดือนก่อน

    Roho ni shaidi kwamba yesu amebatizwa

  • @NoahSeludao
    @NoahSeludao หลายเดือนก่อน

    Ndacha ulaaniwe kwakupotosha maandiko umeongeza nakupunguza

  • @NoahSeludao
    @NoahSeludao หลายเดือนก่อน

    Ww ndacha soma maandiko vema yohana 3;16

  • @mwoso
    @mwoso 3 หลายเดือนก่อน

    Bibilia inadhibitisha uungu wa mwana kwa baba yake. Lakini haijadhibitisha kwamba huyo mwana ndiye mungu baba. Wala huwezi kuwafanya kua nafsi moja. Kwa ufupi baba ni baba na mwana anabaki kuwa mwana.

  • @sophiaesmarcharo9775
    @sophiaesmarcharo9775 2 หลายเดือนก่อน

    ❤❤❤❤❤❤❤🌷🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🤲🤝

  • @KasiteDominic-bz7rn
    @KasiteDominic-bz7rn 3 หลายเดือนก่อน

    Jamani ivi munafunza watu nini?

  • @mwoso
    @mwoso 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mwankemwa wacha kuchanganya watu akili! Mbona kuchezacheza na maandiko yalio dhahiri.? Baba amezungumzia mwana wake na mwana amezungumzia baba yake. Mbona mnateseka kuwafanya kua nafsi moja? Bibllia yenyewe haija taja utatu ila tu kwa akili ya binadamu pasipo andiko.

    • @gabrielsaelie8091
      @gabrielsaelie8091 หลายเดือนก่อน

      Mwakemwa anatetea imani ya Utatu na ukatolic wake bila kuwa a ujuzi wa kutosha wa kutetea imani hiyo ya uwongo aliyoasisiwa na lusfer (shetani). Imani ya utatu ni upagani wa Kirumi ulioingizwa kanisani kupitia kanisa katoliki la Roma mwaka 325 AD.
      Uwongo huo wa kuogofya sana wa fundisho la Mungu mmoja katika utatu wa mungu baba, mungu mwana mungu roho mtakatifu umebadilisha UKWELI kuwa Mungu ni Mmoja ambaye ni Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo. "
      "MAKANISA" yanayoendesha ibada katika imani ya Utatu wa Mungu mmoja wa Mungu baba, Mungu mwana na Mungu roho mtakatifu ni ibada bandia na ni chukizo kuu la ukweli wa Mungu. Soma Ezekiel 8: 4-16

  • @OscarSifuna-x8k
    @OscarSifuna-x8k หลายเดือนก่อน

    Mwankemwa ako Sawa anatafsiri biblia kiroho lakini ndacha anafsiri kimwili

    • @gabrielsaelie8091
      @gabrielsaelie8091 หลายเดือนก่อน

      Mwakemwa anatetea imani ya Utatu na ukatolic wake bila kuwa a ujuzi wa kutosha wa kutetea imani hiyo ya uwongo aliyoasisiwa na lusfer (shetani). Imani ya utatu ni upagani wa Kirumi ulioingizwa kanisani kupitia kanisa katoliki la Roma mwaka 325 AD.
      Uwongo huo wa kuogofya sana wa fundisho la Mungu mmoja katika utatu wa mungu baba, mungu mwana mungu roho mtakatifu umebadilisha UKWELI kuwa Mungu ni Mmoja ambaye ni Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo. "
      "MAKANISA" yanayoendesha ibada katika imani ya Utatu wa Mungu mmoja wa Mungu baba, Mungu mwana na Mungu roho mtakatifu ni ibada bandia na ni chukizo kuu la ukweli wa Mungu. Soma Ezekiel 8: 4-16

  • @NoahSeludao
    @NoahSeludao หลายเดือนก่อน

    Wote wanaomuunga ndacha wamepotea mwisho wake nikupotea hiyo ndacha hana roho mtakatifu

  • @christophersimwinga6689
    @christophersimwinga6689 3 หลายเดือนก่อน

    Hapana ni hiv ww jina lako ni NDACHA Lakini katiba ni jina la baba yako . NDACHA HILO LA GATIBA SIYO JINA LAKO

  • @NoahSeludao
    @NoahSeludao หลายเดือนก่อน

    Ndacha huna maana

  • @christophersimwinga6689
    @christophersimwinga6689 3 หลายเดือนก่อน

    Kama Mungu ni baba .mbona andiko la lamtaja Yesu ni baba andiko lipo ndacha Soma Isaya inasema hiv atatakayezaliwa ni MSHAURI WA AJABU, MUNGU MWENYE NGUVU, BABA WA MILELE Nabii Isaya anamtaja yesu kuwa ndiye Mungu baba. Andiko lipo kwenye biblia huwezi kukataa kuwa yesu si Mungu maandiko zaidi mia moja yanamtaja yesu kuwa ni Mungu baba . Hiv Ndacha unafahamu kuwa lipo andiko linaloonesha yesu yupo katikati ya kiti cha enzi mbinguni. ww una maandiko machache

    • @AareMjungu
      @AareMjungu 28 วันที่ผ่านมา

      dah!! wewe unashida ya uelewa

  • @user-ee8dr9iw4k
    @user-ee8dr9iw4k 3 หลายเดือนก่อน

    Ningependa iyo timotheo wa 1 -6 muanze kuisoma 13 -adi 16 ndo mujuwe uyo ambaye ajawai mwanadamu kumuona ni , nani, ni kristo yesu . Ndacha usichanganye watu . Ikiwa na dibet na waislam unamtambua yesu kua ni mungu. Sai unakata Kuna ukisema Kuna baba,

    • @TestimonyTvshuhuda
      @TestimonyTvshuhuda  3 หลายเดือนก่อน

      @biblia nuru ya dunia

    • @AareMjungu
      @AareMjungu 28 วันที่ผ่านมา

      unashida ya uelewa

  • @abelmoturi52
    @abelmoturi52 3 หลายเดือนก่อน

    Hamna jina trinity ndani ya bibilia

  • @NoahSeludao
    @NoahSeludao หลายเดือนก่อน

    Ndacha huna jipya soma maandiko vzr unadanganya watu subr hukum

  • @imanikilongo1558
    @imanikilongo1558 3 หลายเดือนก่อน

    Mwalimu Dani kwenye maada hii uko vizuri sana Mimi ni msabato ila umefundisha vizuri ndacha kuna mambo haelewi

    • @fredykiluka6606
      @fredykiluka6606 3 หลายเดือนก่อน

      Kwer jiko litakuusu

    • @ChristianEinstein-t2j
      @ChristianEinstein-t2j 3 หลายเดือนก่อน

      Wasabato mnachukia ndacha kwakuwa anafundisha ukweli isaya 46:5

    • @christophersimwinga6689
      @christophersimwinga6689 2 หลายเดือนก่อน

      Ndacha hajui kulinganisha maandiko angalia anavyosoma king James peke yake halafu anakosolewa biblia nyingine

  • @MohamedMohamed-u3t1n
    @MohamedMohamed-u3t1n 3 หลายเดือนก่อน

    Sasa huyu ndacha jamani anafundisha nini yesu sio sio mungu lakini yesu yuko sawa na mungu yesu ana mwili wake na yesu ana mwili wake sasa hao si wanakua mungu wawili anabaki vipi mungu mmoja kwa imani yenu hivi hii inahitaji nini ili ieleweke ?

  • @davidochiengbuoga7165
    @davidochiengbuoga7165 3 หลายเดือนก่อน

    Ndacha na mwalimu wote wako sawa hapa

  • @MohamedMohamed-u3t1n
    @MohamedMohamed-u3t1n 3 หลายเดือนก่อน

    Nyie watu mungu hamna maelezo mpaka leo hii huyu ndacha ana miungu wawili lakini anaficha kuna kitu anakwepa huyu yesu anaesema sio mungu leo anamtetea huyo kusema ndio mungu 😅

  • @NoahSeludao
    @NoahSeludao หลายเดือนก่อน

    Ndacha anajitafutia umaarifu wakishetan

  • @salimchimwaga8384
    @salimchimwaga8384 2 หลายเดือนก่อน

    Kikiwa na Mungu baba lazima kuwa na mungu mwana na mung mama.
    wakristo funguen akili zenu acha kjitia vipofu waa akili.

  • @SamsonKihika
    @SamsonKihika หลายเดือนก่อน +1

    1:12:29

    • @SamsonKihika
      @SamsonKihika หลายเดือนก่อน +1

      We love you mwalimu dacha, Mungu akulinde

    • @SamsonKihika
      @SamsonKihika หลายเดือนก่อน +1

      Kwa kweli tumepata nuru kubwa kupitia mafundisho yako

  • @MichaelDonaldnchingaMichaelDon
    @MichaelDonaldnchingaMichaelDon หลายเดือนก่อน

    Sikiliza kichwa cha kirsto kikifunguka achana na msasfu

  • @NoahSeludao
    @NoahSeludao หลายเดือนก่อน

    Ww kikuyu mbona unakuwa kama wale wakenya wanasema sfa ya mlima kenya?

  • @KasiteDominic-bz7rn
    @KasiteDominic-bz7rn 3 หลายเดือนก่อน

    Munaanza Ku geuza mambo. Nyinyi muta potosha vipofu

  • @AmuaTV-nt3kp
    @AmuaTV-nt3kp 3 หลายเดือนก่อน

    nahitaji kujifunza zaidi kuhu mada hii

  • @clewis520
    @clewis520 3 หลายเดือนก่อน


    Leo nimedhibitisha hakuna miungu mitatu bali miungu ni mikumi.

  • @imanikilongo1558
    @imanikilongo1558 3 หลายเดือนก่อน

    Hakuna aliye kataa yesu si mwana wa Mungu ila ww ndo unatengeneza mambo yako na kutusemea sisi tunasema

  • @jameskilasa759
    @jameskilasa759 3 หลายเดือนก่อน

    Jina la baba ni nani

  • @JamesMoses-jd1yq
    @JamesMoses-jd1yq 3 หลายเดือนก่อน

    Siwezi mpinga ndacha maanake hana mpinzani

  • @mozesdaniel7484
    @mozesdaniel7484 3 หลายเดือนก่อน

    Sasa ndacha mbona uko palepale hajaelewa Mwankema ameelezea vzr sana.
    Fundisho halina utofauti na unacho kisema hapo ulicho kuelewa ni tofauti na maelezo yakina.huo utatu haupo kwnye bibilia lakini kuielewa utajua jinsi inavyofanya kazi😅

  • @JescaEdward-k5k
    @JescaEdward-k5k 4 วันที่ผ่านมา

    Daniel kwanini unajadiliana na mtu asiye mkristo?hamtaelewana,huyo anadini yake

  • @imanikilongo1558
    @imanikilongo1558 3 หลายเดือนก่อน

    Nahapo umesoma yohana mbona imesema ameshikana na baba

  • @MohamedMohamed-u3t1n
    @MohamedMohamed-u3t1n 3 หลายเดือนก่อน

    A LOT OF CONTRADICTION IN THE BIBLE😢

    • @AareMjungu
      @AareMjungu 28 วันที่ผ่านมา

      there's no contradictions in the Bible unless you choose to believe so.

  • @NoahSeludao
    @NoahSeludao หลายเดือนก่อน

    Mwamkwema uko saws achana nahuyo kipofu wamaandiko

    • @AareMjungu
      @AareMjungu 28 วันที่ผ่านมา

      Yesu ni mungu kwasababu ni mwana wa mungu, ila yesu si mungu NAFSI.

  • @MohamedMohamed-u3t1n
    @MohamedMohamed-u3t1n 3 หลายเดือนก่อน

    Uzima wa milele ndio huu wakujue wewe MUNGU WA PEKEE NA WAKWELI pekee maana yake hakuna mungu mwengine sasa yesu anakuaje mungu wewe ndacha?? hivi inaingia akilini kweli

    • @ChristianEinstein-t2j
      @ChristianEinstein-t2j 3 หลายเดือนก่อน

      Hivi unajua ndacha anatetea kitu gan?? Acha kukurupuka bro ndacha hajasema kuwa yesu ni Mungu Wala kuukubali utatu

    • @MohamedMohamed-u3t1n
      @MohamedMohamed-u3t1n 3 หลายเดือนก่อน

      @@ChristianEinstein-t2j wewe ndio umekurupuka ndacha ana mdahalo mzima kafanya na sule anasema yesu mungu leo unasema hajasema yesu mungu yaani jitafakarini na jifunzeni bila jazba maandiko

  • @intelligencyeducation
    @intelligencyeducation 12 วันที่ผ่านมา

    Kutoka 24:9 Ndipo akakwea juu, Musa, na haruni, na Nadabu, na Abihu, na watu sabini miongoni mwa wazee wa Israeli;
    10. wakamwona Mungu wa Israeli; chini ya miguu yake palikuwa na kama sakafu iliyofanyizwa kwa yakuti samawi, kama zile mbingu zenyewe kwa usafi wake.
    11. Naye hakuweka mkono wake juu ya hao wakuu wa wana wa Israeli; nao wakamwona Mungu, wakala na kunywa.