Mwakemwa anatetea imani ya Utatu na ukatolic wake bila kuwa a ujuzi wa kutosha wa kutetea imani hiyo ya uwongo aliyoasisiwa na lusfer (shetani). Imani ya utatu ni upagani wa Kirumi ulioingizwa kanisani kupitia kanisa katoliki la Roma mwaka 325 AD. Uwongo huo ni wa kuogofya sana wa fundisho la Mungu mmoja katika utatu wa mungu baba, mungu mwana na mungu roho mtakatifu. UWONGO huu umebadilisha UKWELI kuwa Mungu ni Mmoja ambaye ni Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo. "MAKANISA" ya kibabeli yanayoendesha IBADA kwa Mungu katika imani ya Utatu wa Mungu mmoja wa Mungu baba, Mungu mwana na Mungu roho mtakatifu ni ibada bandia na ni chukizo kuu la ukweli wa Mungu. Kupitia nabii Ezekiel alituambia ibada hizi za kiwazimu zimeshamfanya Mungu wa Mbinguni kuyakimbia makanisa yao. Soma Ezekiel 8: 4-16
Mwakemwa anatetea imani ya Utatu na ukatolic wake bila kuwa a ujuzi wa kutosha wa kutetea imani hiyo ya uwongo aliyoasisiwa na lusfer (shetani). Imani ya utatu ni upagani wa Kirumi ulioingizwa kanisani kupitia kanisa katoliki la Roma mwaka 325 AD. Uwongo huo wa kuogofya sana wa fundisho la Mungu mmoja katika utatu wa mungu baba, mungu mwana mungu roho mtakatifu umebadilisha UKWELI kuwa Mungu ni Mmoja ambaye ni Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo. " "MAKANISA" yanayoendesha ibada katika imani ya Utatu wa Mungu mmoja wa Mungu baba, Mungu mwana na Mungu roho mtakatifu ni ibada bandia na ni chukizo kuu la ukweli wa Mungu. Soma Ezekiel 8: 4-16
Hadi leo hii Mungu wa kweli hamjamjua waulizeni waislamu watawaambia Mungu wa kweli ni nani Mungu wa kweli ni yule aliyeumba kila kiumbe na ndiye aliyeumba mbingu na ardhi nayeye Mungu wa kweli hajazaliwa wala hajazaa na uwezi kumfananisha na kitu chochote kile huyo ndiye Mungu wa kweli wakristo hacheni kudanganyana
Watu hudhani yesu ni mungu mwingine ambaye ni mdogo naye baba ni mungu mwingine ambaye ni mkuu,ila hapo mwanzo palikuwa na neno,naye neno alikuwa mungu,neno akafanyika mwili,wakati anafanyika na kuwa mwili sio eti alikuwa mwili tangu zamani ila mungu amevaa mwili wa binadamu. Mungu wa wakristo ni mungu ambaye Yuko na uwezo wa kuwa baba,mwana na roho mtakatifu kwa wakati mmoja. Haimaanishi Kuna Mungu Mkubwa ati baba na huyo mungu wa pili anategemea baba kuwa mungu. Hakuna mtu yeyote anayeweza kuwa mungu eti sababu amezaliwa na Mungu,hamna kabisaa,mungu ni mmoja na hakuna anayeweza kuitwa mungu Sababu ya kuzaliwa na Mungu,yesu anapoitwa mungu ni mungu Kweli,hajazaliwa na yeyote,mungu kuvaa mwili wa binadamu ndikwo kuzaliwa Sasa ila hao Sio mungu wawili,eti Mungu mkuu na Mungu mtegemea kuzaliwa,hio ni injili potovu. Mungu kuzaliwa na kuvaa mwili wa binadamu kwa ajili ya wokovu haimunyanganyi mamlaka, muislamu tu pekeake ndiye anafaa kuuliza,wakati mungu alifanyika mwili ni nani alibaki mbinguni,ila wewe mwanadamu kujibu eti mungu mkuu alibaki mbinguni na Mungu anayeitwa mungu kwa kuzaliwa ndiye alikuja. Ukiweza tofautisha mungu bila mwili ni nani na Mungu akivaa mwili ni nani hutachanganyikiwa ila utaelewa tu ni mungu katika mpango wa wokovu. Jiulize hili swali,iwapo mwanadamu hangeanguka dhambini,je mungu angefanyika mwili ili kumuokoa na je kama hangefanyika mwili je jina yesu lililotabiriwa na manabii lingekuwepo?
Mungu baba ndiye tu yesu,kama mwanadamu hangeanguka dhambini,hakungekuwa na haja ya mungu kufanyika mwili,mpango wa wokovu ndio unachanganya wakristo. Baba,mwana na roho mtakatifu ni mungu mmoja tu ila mpango wa wokovu ndio unafanya Wanadamu wasieleme kwamba inakuaje mungu tena awe mwanadamu,inakuaje mungu kuja kwetu kama roho mtakatifu badala ya kukuja yeye mwenyewe moja kwa moja,ila ni dhambi iliyoleta mpango wa wokovu, kama mwanadamu hangetenda dhambi hakungewai kuwa na Mungu katika mwili wa binadamu (yesu),maana kilichomlazimu mungu awe katika mwili ni mpango wa wokovu wa mwanadamu aliyeanguka dhambini
@@YOMYSTUDIOS Mawazo gani yangu inihali Bibilia inasema mungu ni mmoja aliye baba,Sasa wewe ukisema mwanawe ni mungu Sababu amezaliwa na Mungu ni kuwafanya mungu wawe wawili,baba na mtoto,hio ndio hoja nakataa, Bibilia haiezi jipinga,Heri mtu aseme mwana ni sehemu ya mungu ila kusema yesu ni mungu kwa kuzaliwa na Mungu haiko kwa Bibilia
@@YOMYSTUDIOSkwa mjibu wa hii verse je kuna mungu mmoja hapa ama wawili? Yohana 1:1-5 Hapo mwanzo kulikuwako Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu, naye Neno alikuwa Mungu. Huyo mwanzo alikuwako kwa Mungu.
Mwakemwa anatetea imani ya Utatu na ukatolic wake bila kuwa na ujuzi wa kutosha wa kutetea imani hiyo ya uwongo aliyoasisiwa na lusfer (shetani). Imani ya utatu ni upagani wa Kirumi ulioingizwa kanisani kupitia kanisa katoliki la Roma mwaka 325 AD. Uwongo huo ni wa kuogofya sana wa fundisho la Mungu mmoja katika utatu wa mungu baba, mungu mwana na mungu roho mtakatifu. UWONGO huu umebadilisha UKWELI kuwa Mungu ni Mmoja ambaye ni Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo. "MAKANISA" ya kibabeli yanayoendesha IBADA kwa Mungu katika imani ya Utatu wa Mungu mmoja wa Mungu baba, Mungu mwana na Mungu roho mtakatifu ni ibada bandia na ni chukizo kuu la ukweli wa Mungu. Kupitia nabii Ezekiel alituambia ibada hizi za kikuzimu zimeshamfanya Mungu wa Mbinguni kuyakimbia makanisa yao. Soma Ezekiel 8: 4-16
Kutoka 24:9 Ndipo akakwea juu, Musa, na haruni, na Nadabu, na Abihu, na watu sabini miongoni mwa wazee wa Israeli; 10. wakamwona Mungu wa Israeli; chini ya miguu yake palikuwa na kama sakafu iliyofanyizwa kwa yakuti samawi, kama zile mbingu zenyewe kwa usafi wake. 11. Naye hakuweka mkono wake juu ya hao wakuu wa wana wa Israeli; nao wakamwona Mungu, wakala na kunywa.
Kwanza Poleni kwa mjadala. Ni ivi, huwezi kuwa mwanadamu kama huna mwili na roho. Kikitoka hata kimoja maana yake wewe sio mwanadamu. The same to MUNGU, MUNGU yupo, toka mwanzo na yupo katika ukamilifu wake, yupo katika BABA kwa maana ya yeye MUNGU, ndani yake NENO lake ndio MWANA, anasema anatoka katika kifua cha BABA na yupo ROHO wake akaae ndani yake na huyo ndio alikuja baada ya MWANA kutukuzwa. So unaweza mwenye uite nafsi tatu, uite MUNGU mmoja uite BABA, MWANA NA ROHO but all ni zipo kwa MUNGU. Na ili ukamilifu wa MUNGU uwepo ndio sharti awe yeye MUNGU akiwa na NENO lake ambaye ni YESU KRISTO na ROHO YAKE ambaye ndio ROHO MTAKATIFU.
Aaah Ndacha Yesu ni sawa na Mungu lakini sio Mungu hii kauli yako unajichanganya kwa vile Neno Sawa linaonesha ulinganifu wa pande mbili zinazolingana na ikiwa pande mbili hazilingani Neno SAWA Haliwezi kutumika unaposema YESU NI SAWA NA MUNGU huwezi tena kusema mmoja anamzidi mwenzie kwahiyo Unapo sema yesu ni sawa na Mungu unamaanisha yesu ni Mungu
Ndacha hajui maana ya neno MUNGU ndo mana anaona kwamba yesu akiitwa Mungu nisawa kwa sababu ni mwana wa mungu . Anafikiria kibin🎉adamu na ndio mana hakubali tatu kuwa moja Kwahiyo NDACHA Pia hakubali kuwa ndoa ina mwili mmoja kama Mungu anavyosema kutokana na akili ya kibinadamu . Ni akili hi hii ya kibinadamu inayosababisha kuona kwamba tatu haiwezi kuwa moja . Lakini kiukweli maandiko yanathibitisha kuwa Yesu ni Mungu Isaya na Tito Yesu ni Mungu Mkuu na inasema yesu ni Mungu baba wa Milele tena inasema niMfalme wa wafalme pia yanathibitisha kuwa Mungu ni Roho . Shida ipo kwenye akili ya kibinadamu ambayo haikubali kwamba tatu inaweza kuwa sawa na moja au mbili kuwa sawa na moja jambo ambalo kwa Mungu inawezekana kabisa na mfano mzuri ni ndoa ambayo ina miili miwili ambayo ni mmoja..
Wewe ndo unafanya wakristo wana slimu ju ukisema mungu ni mmja inamanisa yesu nikama manabi sigine filipo anaomba kumjua mungu kama wewe sasa yesu anamwambia alie niona mimi amemuona mungu . Ju akuna mungu mwengine . Yohana 14-8 yeye yu ndani ya baba na baba ndani yake . Yesu kimwili si mungu kiroo ni mungu baba ni roo mtakatifu ndiyo utukufu ulio biguni.
Kitu Cha kwanza hakuna kitu kama utatu mtakativu kitu Cha pili Yesu ni mungu alie kikalia kiti cha Enzi.. Roho mtakativu ni Yesu Mungu baba bado ni Yesu Mwana wa mungu bado ni Yesu(fungeni kifungo mumulize mungu)
Ndacha anasema yesu kuitwa Yehova ni sawa kwa hiyo yesu ni yehova ikiwa Ndacha unakubali yesu kuitwa yehova basi yesu ni mungu kwa vile jina Jehova ni jina la Mungu Muumbaji
Ndacha na mwankemwa nawaombeya roho awape wepesi maada hii msiwachanye wakristo wachanga mtawapoteza ila mwankemwa yuko sahihi ndo mana yesu nae alificha ukweli ili asiuwawe
Mungu nimamulaka yautendaji kazii na baba nimumiliki wa nafusi tatu hai mwana nimamulaka naloho nimamulaka yautekelezaji haionekani hatambinguni ila inatendaaa
Hapo ndipo Quran inpokuwa Master formular ya dunia kuwafundisha watu wote mbele ya wakati wote ya kuwa Quran 112:1-6 Sema yeye mwenezi Mungu ni mmoja tu ,anaekusudiwa kwa kila jambo na viumbe vyake,hakuzaa wala hakuzaliwa ,wala hana anaefanana naye hata mmoja
Ndacha neno Mungu si jina ufahamu hivyo kwanza . Mungu maana yake ni muumba wa mbingu na nchi vyote vilivyomo. Jina la Mungu baba ni BWANA kwa lugha ingine ni Yehova je hujasoma sehemu yesu anaitwa BWANA? NDACHA pia uliwahi sema kuwa hakuna neno MUNGU MWANA hili andiko Mungu mwana nalo lipo . NDACHA anasema yesu ni mungu kwa asili maana yake nini sasa ni hii Muumbaji kwa asii maandiko machache brother
Yesu alipokuja duniani alikuja kudhihirisha Baba na aka vaa uunge wa BABAYE ndiposa akawa Mungu lakini katika Mwana.Kwa hivyo Yesu ni Mungu kwa utukufu wa BABAYE (Isaya 9:6)
Bibilia inadhibitisha uungu wa mwana kwa baba yake. Lakini haijadhibitisha kwamba huyo mwana ndiye mungu baba. Wala huwezi kuwafanya kua nafsi moja. Kwa ufupi baba ni baba na mwana anabaki kuwa mwana.
Mwankemwa wacha kuchanganya watu akili! Mbona kuchezacheza na maandiko yalio dhahiri.? Baba amezungumzia mwana wake na mwana amezungumzia baba yake. Mbona mnateseka kuwafanya kua nafsi moja? Bibllia yenyewe haija taja utatu ila tu kwa akili ya binadamu pasipo andiko.
Mwakemwa anatetea imani ya Utatu na ukatolic wake bila kuwa a ujuzi wa kutosha wa kutetea imani hiyo ya uwongo aliyoasisiwa na lusfer (shetani). Imani ya utatu ni upagani wa Kirumi ulioingizwa kanisani kupitia kanisa katoliki la Roma mwaka 325 AD. Uwongo huo wa kuogofya sana wa fundisho la Mungu mmoja katika utatu wa mungu baba, mungu mwana mungu roho mtakatifu umebadilisha UKWELI kuwa Mungu ni Mmoja ambaye ni Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo. " "MAKANISA" yanayoendesha ibada katika imani ya Utatu wa Mungu mmoja wa Mungu baba, Mungu mwana na Mungu roho mtakatifu ni ibada bandia na ni chukizo kuu la ukweli wa Mungu. Soma Ezekiel 8: 4-16
Mwakemwa anatetea imani ya Utatu na ukatolic wake bila kuwa a ujuzi wa kutosha wa kutetea imani hiyo ya uwongo aliyoasisiwa na lusfer (shetani). Imani ya utatu ni upagani wa Kirumi ulioingizwa kanisani kupitia kanisa katoliki la Roma mwaka 325 AD. Uwongo huo wa kuogofya sana wa fundisho la Mungu mmoja katika utatu wa mungu baba, mungu mwana mungu roho mtakatifu umebadilisha UKWELI kuwa Mungu ni Mmoja ambaye ni Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo. " "MAKANISA" yanayoendesha ibada katika imani ya Utatu wa Mungu mmoja wa Mungu baba, Mungu mwana na Mungu roho mtakatifu ni ibada bandia na ni chukizo kuu la ukweli wa Mungu. Soma Ezekiel 8: 4-16
Kama Mungu ni baba .mbona andiko la lamtaja Yesu ni baba andiko lipo ndacha Soma Isaya inasema hiv atatakayezaliwa ni MSHAURI WA AJABU, MUNGU MWENYE NGUVU, BABA WA MILELE Nabii Isaya anamtaja yesu kuwa ndiye Mungu baba. Andiko lipo kwenye biblia huwezi kukataa kuwa yesu si Mungu maandiko zaidi mia moja yanamtaja yesu kuwa ni Mungu baba . Hiv Ndacha unafahamu kuwa lipo andiko linaloonesha yesu yupo katikati ya kiti cha enzi mbinguni. ww una maandiko machache
Ningependa iyo timotheo wa 1 -6 muanze kuisoma 13 -adi 16 ndo mujuwe uyo ambaye ajawai mwanadamu kumuona ni , nani, ni kristo yesu . Ndacha usichanganye watu . Ikiwa na dibet na waislam unamtambua yesu kua ni mungu. Sai unakata Kuna ukisema Kuna baba,
Sasa huyu ndacha jamani anafundisha nini yesu sio sio mungu lakini yesu yuko sawa na mungu yesu ana mwili wake na yesu ana mwili wake sasa hao si wanakua mungu wawili anabaki vipi mungu mmoja kwa imani yenu hivi hii inahitaji nini ili ieleweke ?
Nyie watu mungu hamna maelezo mpaka leo hii huyu ndacha ana miungu wawili lakini anaficha kuna kitu anakwepa huyu yesu anaesema sio mungu leo anamtetea huyo kusema ndio mungu 😅
Sasa ndacha mbona uko palepale hajaelewa Mwankema ameelezea vzr sana. Fundisho halina utofauti na unacho kisema hapo ulicho kuelewa ni tofauti na maelezo yakina.huo utatu haupo kwnye bibilia lakini kuielewa utajua jinsi inavyofanya kazi😅
Uzima wa milele ndio huu wakujue wewe MUNGU WA PEKEE NA WAKWELI pekee maana yake hakuna mungu mwengine sasa yesu anakuaje mungu wewe ndacha?? hivi inaingia akilini kweli
@@ChristianEinstein-t2j wewe ndio umekurupuka ndacha ana mdahalo mzima kafanya na sule anasema yesu mungu leo unasema hajasema yesu mungu yaani jitafakarini na jifunzeni bila jazba maandiko
Kutoka 24:9 Ndipo akakwea juu, Musa, na haruni, na Nadabu, na Abihu, na watu sabini miongoni mwa wazee wa Israeli; 10. wakamwona Mungu wa Israeli; chini ya miguu yake palikuwa na kama sakafu iliyofanyizwa kwa yakuti samawi, kama zile mbingu zenyewe kwa usafi wake. 11. Naye hakuweka mkono wake juu ya hao wakuu wa wana wa Israeli; nao wakamwona Mungu, wakala na kunywa.
Mwalimu Ndacha Mungu ,aendelee kulinda. namtumishi Paul Hasan🙏🙏Mwankemwa ,mada kamlemea,ooiyee
Mwakemwa anatetea imani ya Utatu na ukatolic wake bila kuwa a ujuzi wa kutosha wa kutetea imani hiyo ya uwongo aliyoasisiwa na lusfer (shetani). Imani ya utatu ni upagani wa Kirumi ulioingizwa kanisani kupitia kanisa katoliki la Roma mwaka 325 AD.
Uwongo huo ni wa kuogofya sana wa fundisho la Mungu mmoja katika utatu wa mungu baba, mungu mwana na mungu roho mtakatifu. UWONGO huu umebadilisha UKWELI kuwa Mungu ni Mmoja ambaye ni Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo.
"MAKANISA" ya kibabeli yanayoendesha IBADA kwa Mungu katika imani ya Utatu wa Mungu mmoja wa Mungu baba, Mungu mwana na Mungu roho mtakatifu ni ibada bandia na ni chukizo kuu la ukweli wa Mungu. Kupitia nabii Ezekiel alituambia ibada hizi za kiwazimu zimeshamfanya Mungu wa Mbinguni kuyakimbia makanisa yao. Soma Ezekiel 8: 4-16
Asante ndacha mm Niko Kilimanjaro nakuomba uje huku kwetu mm ni mkiristo
Kumbe tukiwa mbele ya ufalme wa mbinguni Yesu anakua bro wetu mkumbwa nimeipenda iyo Mchungaji Ndacha ubalikiwe sana Im Muslim Tz.
Ndacha mungu akubaliki kwanza umetufunguwa macho ...tumekuelewa❤❤❤ ❤❤❤❤❤❤❤❤
Asantii ndacha endelea kufunua ukweli♥️♥️♥️♥️
Mnachekesha Sana Mungu Ni mmoja tu na yesu syo Mungu katumwa tu
Mimi nakubaliana na mwalimu Ndacha. Sioni haja ya kusumbuana na akili bure!
Mwankemwa haeleweki ,ahsante ndacha mim nilikuwa mwana utatu lakini hivi leo hii nimebadilisha mtazamo wangu potofu wa kuamini utatu
Mwakemwa anatetea imani ya Utatu na ukatolic wake bila kuwa a ujuzi wa kutosha wa kutetea imani hiyo ya uwongo aliyoasisiwa na lusfer (shetani). Imani ya utatu ni upagani wa Kirumi ulioingizwa kanisani kupitia kanisa katoliki la Roma mwaka 325 AD.
Uwongo huo wa kuogofya sana wa fundisho la Mungu mmoja katika utatu wa mungu baba, mungu mwana mungu roho mtakatifu umebadilisha UKWELI kuwa Mungu ni Mmoja ambaye ni Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo. "
"MAKANISA" yanayoendesha ibada katika imani ya Utatu wa Mungu mmoja wa Mungu baba, Mungu mwana na Mungu roho mtakatifu ni ibada bandia na ni chukizo kuu la ukweli wa Mungu. Soma Ezekiel 8: 4-16
Hadi leo hii Mungu wa kweli hamjamjua waulizeni waislamu watawaambia Mungu wa kweli ni nani Mungu wa kweli ni yule aliyeumba kila kiumbe na ndiye aliyeumba mbingu na ardhi nayeye Mungu wa kweli hajazaliwa wala hajazaa na uwezi kumfananisha na kitu chochote kile huyo ndiye Mungu wa kweli wakristo hacheni kudanganyana
WACHA KUPOTEZA WATU. WAISLAMU HAWAJUI CHOCHOTE, NI KIARABU TU WAO HUROPOKWA
Watu hudhani yesu ni mungu mwingine ambaye ni mdogo naye baba ni mungu mwingine ambaye ni mkuu,ila hapo mwanzo palikuwa na neno,naye neno alikuwa mungu,neno akafanyika mwili,wakati anafanyika na kuwa mwili sio eti alikuwa mwili tangu zamani ila mungu amevaa mwili wa binadamu. Mungu wa wakristo ni mungu ambaye Yuko na uwezo wa kuwa baba,mwana na roho mtakatifu kwa wakati mmoja. Haimaanishi Kuna Mungu Mkubwa ati baba na huyo mungu wa pili anategemea baba kuwa mungu. Hakuna mtu yeyote anayeweza kuwa mungu eti sababu amezaliwa na Mungu,hamna kabisaa,mungu ni mmoja na hakuna anayeweza kuitwa mungu Sababu ya kuzaliwa na Mungu,yesu anapoitwa mungu ni mungu Kweli,hajazaliwa na yeyote,mungu kuvaa mwili wa binadamu ndikwo kuzaliwa Sasa ila hao Sio mungu wawili,eti Mungu mkuu na Mungu mtegemea kuzaliwa,hio ni injili potovu. Mungu kuzaliwa na kuvaa mwili wa binadamu kwa ajili ya wokovu haimunyanganyi mamlaka, muislamu tu pekeake ndiye anafaa kuuliza,wakati mungu alifanyika mwili ni nani alibaki mbinguni,ila wewe mwanadamu kujibu eti mungu mkuu alibaki mbinguni na Mungu anayeitwa mungu kwa kuzaliwa ndiye alikuja. Ukiweza tofautisha mungu bila mwili ni nani na Mungu akivaa mwili ni nani hutachanganyikiwa ila utaelewa tu ni mungu katika mpango wa wokovu. Jiulize hili swali,iwapo mwanadamu hangeanguka dhambini,je mungu angefanyika mwili ili kumuokoa na je kama hangefanyika mwili je jina yesu lililotabiriwa na manabii lingekuwepo?
Nimekua nikimsikisa uyu ndacha anakampeni ya kumpinga kristo akiwa na diet na waislam akiri kabisa yesu ni mungu sai anapinga Kuna mwana Kuna baba
soma bibilia kataa au ukubali kwa andiko siyo kwa uelewa wako Mungu anajieleza mwenyewe haelezewi na watu
@@KiddoBeo mungu ni mmoja,na ukijua mungu ni mmoja ni rahisi sana kujua yesu roho mtakatifu ni nani
Bibilia inasema hamna mtu yeyote amewai muona mungu kwa hiyo mbona unachanganyikiwa
Jamaani nyoote mmechanganyikiwa hamuoni pa kwenda njooni kwenye Uislam hii confision haipo kabisa Mungu amejieleza na mitume nao wameelezwa vizuri
Barikiwa sana mwalimu ndacha.
Nawapenda watumishi wa mungu na mungu awabariki ujumbe maada hii mwankemwa amenyosha
Amenjosha wapi. Si kwamba imechanganyikiwa?
Mwankemwa analinganisha mungu, mwana na roho mtakatifu na jinsi yai lilivyo.
Mungu baba ndiye tu yesu,kama mwanadamu hangeanguka dhambini,hakungekuwa na haja ya mungu kufanyika mwili,mpango wa wokovu ndio unachanganya wakristo. Baba,mwana na roho mtakatifu ni mungu mmoja tu ila mpango wa wokovu ndio unafanya Wanadamu wasieleme kwamba inakuaje mungu tena awe mwanadamu,inakuaje mungu kuja kwetu kama roho mtakatifu badala ya kukuja yeye mwenyewe moja kwa moja,ila ni dhambi iliyoleta mpango wa wokovu, kama mwanadamu hangetenda dhambi hakungewai kuwa na Mungu katika mwili wa binadamu (yesu),maana kilichomlazimu mungu awe katika mwili ni mpango wa wokovu wa mwanadamu aliyeanguka dhambini
Wajenga hoja wanatoa nukuu wewe unaandika mawazo yako pekee
@@YOMYSTUDIOS Mawazo gani yangu inihali Bibilia inasema mungu ni mmoja aliye baba,Sasa wewe ukisema mwanawe ni mungu Sababu amezaliwa na Mungu ni kuwafanya mungu wawe wawili,baba na mtoto,hio ndio hoja nakataa, Bibilia haiezi jipinga,Heri mtu aseme mwana ni sehemu ya mungu ila kusema yesu ni mungu kwa kuzaliwa na Mungu haiko kwa Bibilia
@@YOMYSTUDIOSkwa mjibu wa hii verse je kuna mungu mmoja hapa ama wawili?
Yohana 1:1-5
Hapo mwanzo kulikuwako Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu, naye Neno alikuwa Mungu. Huyo mwanzo alikuwako kwa Mungu.
@@mush337
Soma Waebrania 1 mpaka 9.
Yesu ni Mungu kwa asili. Ndiyvo Biblia inavyofundisho.
Na sio hayo mafundisho yenu ambayo Biblia inakaraa.
Mwakemwa anatetea imani ya Utatu na ukatolic wake bila kuwa na ujuzi wa kutosha wa kutetea imani hiyo ya uwongo aliyoasisiwa na lusfer (shetani). Imani ya utatu ni upagani wa Kirumi ulioingizwa kanisani kupitia kanisa katoliki la Roma mwaka 325 AD.
Uwongo huo ni wa kuogofya sana wa fundisho la Mungu mmoja katika utatu wa mungu baba, mungu mwana na mungu roho mtakatifu. UWONGO huu umebadilisha UKWELI kuwa Mungu ni Mmoja ambaye ni Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo.
"MAKANISA" ya kibabeli yanayoendesha IBADA kwa Mungu katika imani ya Utatu wa Mungu mmoja wa Mungu baba, Mungu mwana na Mungu roho mtakatifu ni ibada bandia na ni chukizo kuu la ukweli wa Mungu. Kupitia nabii Ezekiel alituambia ibada hizi za kikuzimu zimeshamfanya Mungu wa Mbinguni kuyakimbia makanisa yao. Soma Ezekiel 8: 4-16
Stand on the side of truths forever and forever mwl Ndacha and God bless you
Yesu anauungu wa BABAYE
Amen
Kutoka 24:9 Ndipo akakwea juu, Musa, na haruni, na Nadabu, na Abihu, na watu sabini miongoni mwa wazee wa Israeli;
10. wakamwona Mungu wa Israeli; chini ya miguu yake palikuwa na kama sakafu iliyofanyizwa kwa yakuti samawi, kama zile mbingu zenyewe kwa usafi wake.
11. Naye hakuweka mkono wake juu ya hao wakuu wa wana wa Israeli; nao wakamwona Mungu, wakala na kunywa.
Kwanza Poleni kwa mjadala. Ni ivi, huwezi kuwa mwanadamu kama huna mwili na roho. Kikitoka hata kimoja maana yake wewe sio mwanadamu. The same to MUNGU, MUNGU yupo, toka mwanzo na yupo katika ukamilifu wake, yupo katika BABA kwa maana ya yeye MUNGU, ndani yake NENO lake ndio MWANA, anasema anatoka katika kifua cha BABA na yupo ROHO wake akaae ndani yake na huyo ndio alikuja baada ya MWANA kutukuzwa. So unaweza mwenye uite nafsi tatu, uite MUNGU mmoja uite BABA, MWANA NA ROHO but all ni zipo kwa MUNGU. Na ili ukamilifu wa MUNGU uwepo ndio sharti awe yeye MUNGU akiwa na NENO lake ambaye ni YESU KRISTO na ROHO YAKE ambaye ndio ROHO MTAKATIFU.
Mwamkwema uko sawa barikiwa sana
Hayuko sawa na ufahamu wake kwenye ukweli wa Mungu ni mdogo sana. Au ni mpotoshaji kwa makusudi.
Aaah Ndacha Yesu ni sawa na Mungu lakini sio Mungu hii kauli yako unajichanganya kwa vile Neno Sawa linaonesha ulinganifu wa pande mbili zinazolingana na ikiwa pande mbili hazilingani Neno SAWA Haliwezi kutumika unaposema YESU NI SAWA NA MUNGU huwezi tena kusema mmoja anamzidi mwenzie kwahiyo Unapo sema yesu ni sawa na Mungu unamaanisha yesu ni Mungu
Mungu ni mmoja
Haku zaa
Wala hakuzaliwa
Wala hana wa kufanana nae.
Ndacha hajui maana ya neno MUNGU ndo mana anaona kwamba yesu akiitwa Mungu nisawa kwa sababu ni mwana wa mungu . Anafikiria kibin🎉adamu na ndio mana hakubali tatu kuwa moja Kwahiyo NDACHA Pia hakubali kuwa ndoa ina mwili mmoja kama Mungu anavyosema kutokana na akili ya kibinadamu . Ni akili hi hii ya kibinadamu inayosababisha kuona kwamba tatu haiwezi kuwa moja . Lakini kiukweli maandiko yanathibitisha kuwa Yesu ni Mungu Isaya na Tito Yesu ni Mungu Mkuu na inasema yesu ni Mungu baba wa Milele tena inasema niMfalme wa wafalme pia yanathibitisha kuwa Mungu ni Roho . Shida ipo kwenye akili ya kibinadamu ambayo haikubali kwamba tatu inaweza kuwa sawa na moja au mbili kuwa sawa na moja jambo ambalo kwa Mungu inawezekana kabisa na mfano mzuri ni ndoa ambayo ina miili miwili ambayo ni mmoja..
Wewe ndo unafanya wakristo wana slimu ju ukisema mungu ni mmja inamanisa yesu nikama manabi sigine filipo anaomba kumjua mungu kama wewe sasa yesu anamwambia alie niona mimi amemuona mungu . Ju akuna mungu mwengine . Yohana 14-8 yeye yu ndani ya baba na baba ndani yake . Yesu kimwili si mungu kiroo ni mungu baba ni roo mtakatifu ndiyo utukufu ulio biguni.
Fundisho unalolisapoti ndo mbaya kabisa na waislam wana wacharaza na iyo miungu yenu mitatu ambayo hakuna andiko hata moja ndani ya Biblia 😮😊
Yohana 15:4 kaeni ndani yangu NAMI ndani yenu, swali je tukikaa ndani ya yesu je sisi ndo tutakuwa yesu??? Usichanganye watu kaka
Kitu Cha kwanza hakuna kitu kama utatu mtakativu kitu Cha pili Yesu ni mungu alie kikalia kiti cha Enzi.. Roho mtakativu ni Yesu
Mungu baba bado ni Yesu
Mwana wa mungu bado ni Yesu(fungeni kifungo mumulize mungu)
Sasa wew ndio huelewi
Kwani YESU akiwa MUNGU kwa sababu ni Mwana wa Mungu, kuna shida ukumwita MUNGU MWANA?
shida ipo kwenye lugha. lakini kwa nini useme MUNGU MWANA ilihali imeandikwa MWANA WA MUNGU?
@@TestimonyTvshuhudaNi Kwa sababu Mwana ni Mungu
@@davidochiengbuoga7165 Au shida ni kiswahili?
Rudi darasani@@TestimonyTvshuhuda
Mungu ni mmoja ila yesu ni mwanae mmoja tu
Ndacha acha kukwepa ukweli. Elewa vizuri maandiko. Mwakemwa akufundishe.
NDACHA tafuta jina la Mungu . Jina baba sio jina la Mungu utapata kufahamu vizuri mahusiano ya mwana na baba . Je aliye baba jina lake ni nani
Ndacha anasema yesu kuitwa Yehova ni sawa kwa hiyo yesu ni yehova ikiwa Ndacha unakubali yesu kuitwa yehova basi yesu ni mungu kwa vile jina Jehova ni jina la Mungu Muumbaji
Asanten waalimu
Ndacha na mwankemwa nawaombeya roho awape wepesi maada hii msiwachanye wakristo wachanga mtawapoteza ila mwankemwa yuko sahihi ndo mana yesu nae alificha ukweli ili asiuwawe
Mungu nimamulaka yautendaji kazii na baba nimumiliki wa nafusi tatu hai mwana nimamulaka naloho nimamulaka yautekelezaji haionekani hatambinguni ila inatendaaa
Kutoka 24,9-11 inazungumzia juu ya walimwona Mungu. Kutoka 33,20
Upo vizuri shida hapo kwako ni Yesu naye kuwa sawa na Mungu wakati Mungu katika Isaya Mungu anauliza je nipo sawa na nani ?
Isaya ngapi mtu wa Mungu?
@@TestimonyTvshuhudaisaya 46:5
Wewe ndacha tuambiye uyo baba ni nani
We'we ndacha acha kupotosha watu utalaaniwa mwalimu Daniel I alko sawa
Mwakemwa muelewe Ndacha, unayosema hayakatai wewe unabadilisha kutafuta u ishi
Mwalimu Daniel Mwankemwa anajua kufyndishs lakini Somo halielewi yeye anaongelea Uungu wa Yesu
Wendo hujamuelew
Mungu pia ni Roho (Yohana 4:24). Roho Mtakatifu ni Sehemu ya Mungu na ni Mungu
Kama unaijua vzr biblia karibu mdahalo sio umejua kakifungu kamoja unasumbua kwenye comments.
@@herimwinge-et9ei Wewe lete hiyo yako na Mimi nilete yangu hapa kwenye comment section.
Bibilia inasema watu wangu wanaangamia kwskukosa maarifa nakutokujua maandiko
Hapo ndipo Quran inpokuwa Master formular ya dunia kuwafundisha watu wote mbele ya wakati wote ya kuwa Quran 112:1-6 Sema yeye mwenezi Mungu ni mmoja tu ,anaekusudiwa kwa kila jambo na viumbe vyake,hakuzaa wala hakuzaliwa ,wala hana anaefanana naye hata mmoja
28:19Matayo Kwajina lababa na lamwa na Roho mtakafu imeunganishwa
Huyu nae anasema yesu ndio yeye huyo baba kwa hiyo kajizaa mwenyewe hii imani kama huna moyo wa upofu ndani yako huwezi kuifuata abadan
DACHA Unasema hakuna andiko lililosema Mungu Roho wakat andiko hilo lipo MUNGU NI ROHO NAO WAMWABUDUYE WAMWABUDU KATIKA ROHO
Kusema Mungu ni roho na kusema Mungu roho hapo ni sentence 2 zenye maana 2 tofauti.
Let's the world new the truth?
Ndacha neno Mungu si jina ufahamu hivyo kwanza . Mungu maana yake ni muumba wa mbingu na nchi vyote vilivyomo. Jina la Mungu baba ni BWANA kwa lugha ingine ni Yehova je hujasoma sehemu yesu anaitwa BWANA? NDACHA pia uliwahi sema kuwa hakuna neno MUNGU MWANA hili andiko Mungu mwana nalo lipo . NDACHA anasema yesu ni mungu kwa asili maana yake nini sasa ni hii Muumbaji kwa asii maandiko machache brother
Yesu alipokuja duniani alikuja kudhihirisha Baba na aka vaa uunge wa BABAYE ndiposa akawa Mungu lakini katika Mwana.Kwa hivyo Yesu ni Mungu kwa utukufu wa BABAYE (Isaya 9:6)
Mwalimu Daniel yukosahihi
Roho ni shaidi kwamba yesu amebatizwa
Ndacha ulaaniwe kwakupotosha maandiko umeongeza nakupunguza
Ww ndacha soma maandiko vema yohana 3;16
Bibilia inadhibitisha uungu wa mwana kwa baba yake. Lakini haijadhibitisha kwamba huyo mwana ndiye mungu baba. Wala huwezi kuwafanya kua nafsi moja. Kwa ufupi baba ni baba na mwana anabaki kuwa mwana.
❤❤❤❤❤❤❤🌷🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🤲🤝
Jamani ivi munafunza watu nini?
Mwankemwa wacha kuchanganya watu akili! Mbona kuchezacheza na maandiko yalio dhahiri.? Baba amezungumzia mwana wake na mwana amezungumzia baba yake. Mbona mnateseka kuwafanya kua nafsi moja? Bibllia yenyewe haija taja utatu ila tu kwa akili ya binadamu pasipo andiko.
Mwakemwa anatetea imani ya Utatu na ukatolic wake bila kuwa a ujuzi wa kutosha wa kutetea imani hiyo ya uwongo aliyoasisiwa na lusfer (shetani). Imani ya utatu ni upagani wa Kirumi ulioingizwa kanisani kupitia kanisa katoliki la Roma mwaka 325 AD.
Uwongo huo wa kuogofya sana wa fundisho la Mungu mmoja katika utatu wa mungu baba, mungu mwana mungu roho mtakatifu umebadilisha UKWELI kuwa Mungu ni Mmoja ambaye ni Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo. "
"MAKANISA" yanayoendesha ibada katika imani ya Utatu wa Mungu mmoja wa Mungu baba, Mungu mwana na Mungu roho mtakatifu ni ibada bandia na ni chukizo kuu la ukweli wa Mungu. Soma Ezekiel 8: 4-16
Mwankemwa ako Sawa anatafsiri biblia kiroho lakini ndacha anafsiri kimwili
Mwakemwa anatetea imani ya Utatu na ukatolic wake bila kuwa a ujuzi wa kutosha wa kutetea imani hiyo ya uwongo aliyoasisiwa na lusfer (shetani). Imani ya utatu ni upagani wa Kirumi ulioingizwa kanisani kupitia kanisa katoliki la Roma mwaka 325 AD.
Uwongo huo wa kuogofya sana wa fundisho la Mungu mmoja katika utatu wa mungu baba, mungu mwana mungu roho mtakatifu umebadilisha UKWELI kuwa Mungu ni Mmoja ambaye ni Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo. "
"MAKANISA" yanayoendesha ibada katika imani ya Utatu wa Mungu mmoja wa Mungu baba, Mungu mwana na Mungu roho mtakatifu ni ibada bandia na ni chukizo kuu la ukweli wa Mungu. Soma Ezekiel 8: 4-16
Wote wanaomuunga ndacha wamepotea mwisho wake nikupotea hiyo ndacha hana roho mtakatifu
Hapana ni hiv ww jina lako ni NDACHA Lakini katiba ni jina la baba yako . NDACHA HILO LA GATIBA SIYO JINA LAKO
Ndacha huna maana
Kama Mungu ni baba .mbona andiko la lamtaja Yesu ni baba andiko lipo ndacha Soma Isaya inasema hiv atatakayezaliwa ni MSHAURI WA AJABU, MUNGU MWENYE NGUVU, BABA WA MILELE Nabii Isaya anamtaja yesu kuwa ndiye Mungu baba. Andiko lipo kwenye biblia huwezi kukataa kuwa yesu si Mungu maandiko zaidi mia moja yanamtaja yesu kuwa ni Mungu baba . Hiv Ndacha unafahamu kuwa lipo andiko linaloonesha yesu yupo katikati ya kiti cha enzi mbinguni. ww una maandiko machache
dah!! wewe unashida ya uelewa
Ningependa iyo timotheo wa 1 -6 muanze kuisoma 13 -adi 16 ndo mujuwe uyo ambaye ajawai mwanadamu kumuona ni , nani, ni kristo yesu . Ndacha usichanganye watu . Ikiwa na dibet na waislam unamtambua yesu kua ni mungu. Sai unakata Kuna ukisema Kuna baba,
@biblia nuru ya dunia
unashida ya uelewa
Hamna jina trinity ndani ya bibilia
Je jina Christianity lipo?
Can we get tawheed in quran?
@@andrewnjuguna688 quran surah 112
Ndacha huna jipya soma maandiko vzr unadanganya watu subr hukum
Mwalimu Dani kwenye maada hii uko vizuri sana Mimi ni msabato ila umefundisha vizuri ndacha kuna mambo haelewi
Kwer jiko litakuusu
Wasabato mnachukia ndacha kwakuwa anafundisha ukweli isaya 46:5
Ndacha hajui kulinganisha maandiko angalia anavyosoma king James peke yake halafu anakosolewa biblia nyingine
Sasa huyu ndacha jamani anafundisha nini yesu sio sio mungu lakini yesu yuko sawa na mungu yesu ana mwili wake na yesu ana mwili wake sasa hao si wanakua mungu wawili anabaki vipi mungu mmoja kwa imani yenu hivi hii inahitaji nini ili ieleweke ?
Ndacha na mwalimu wote wako sawa hapa
Nyie watu mungu hamna maelezo mpaka leo hii huyu ndacha ana miungu wawili lakini anaficha kuna kitu anakwepa huyu yesu anaesema sio mungu leo anamtetea huyo kusema ndio mungu 😅
Ndacha anajitafutia umaarifu wakishetan
Kikiwa na Mungu baba lazima kuwa na mungu mwana na mung mama.
wakristo funguen akili zenu acha kjitia vipofu waa akili.
1:12:29
We love you mwalimu dacha, Mungu akulinde
Kwa kweli tumepata nuru kubwa kupitia mafundisho yako
Sikiliza kichwa cha kirsto kikifunguka achana na msasfu
Ww kikuyu mbona unakuwa kama wale wakenya wanasema sfa ya mlima kenya?
Munaanza Ku geuza mambo. Nyinyi muta potosha vipofu
nahitaji kujifunza zaidi kuhu mada hii
…
Leo nimedhibitisha hakuna miungu mitatu bali miungu ni mikumi.
Hakuna aliye kataa yesu si mwana wa Mungu ila ww ndo unatengeneza mambo yako na kutusemea sisi tunasema
Jina la baba ni nani
Siwezi mpinga ndacha maanake hana mpinzani
Sasa ndacha mbona uko palepale hajaelewa Mwankema ameelezea vzr sana.
Fundisho halina utofauti na unacho kisema hapo ulicho kuelewa ni tofauti na maelezo yakina.huo utatu haupo kwnye bibilia lakini kuielewa utajua jinsi inavyofanya kazi😅
Daniel kwanini unajadiliana na mtu asiye mkristo?hamtaelewana,huyo anadini yake
Nahapo umesoma yohana mbona imesema ameshikana na baba
A LOT OF CONTRADICTION IN THE BIBLE😢
there's no contradictions in the Bible unless you choose to believe so.
Mwamkwema uko saws achana nahuyo kipofu wamaandiko
Yesu ni mungu kwasababu ni mwana wa mungu, ila yesu si mungu NAFSI.
Uzima wa milele ndio huu wakujue wewe MUNGU WA PEKEE NA WAKWELI pekee maana yake hakuna mungu mwengine sasa yesu anakuaje mungu wewe ndacha?? hivi inaingia akilini kweli
Hivi unajua ndacha anatetea kitu gan?? Acha kukurupuka bro ndacha hajasema kuwa yesu ni Mungu Wala kuukubali utatu
@@ChristianEinstein-t2j wewe ndio umekurupuka ndacha ana mdahalo mzima kafanya na sule anasema yesu mungu leo unasema hajasema yesu mungu yaani jitafakarini na jifunzeni bila jazba maandiko
Kutoka 24:9 Ndipo akakwea juu, Musa, na haruni, na Nadabu, na Abihu, na watu sabini miongoni mwa wazee wa Israeli;
10. wakamwona Mungu wa Israeli; chini ya miguu yake palikuwa na kama sakafu iliyofanyizwa kwa yakuti samawi, kama zile mbingu zenyewe kwa usafi wake.
11. Naye hakuweka mkono wake juu ya hao wakuu wa wana wa Israeli; nao wakamwona Mungu, wakala na kunywa.