MJADALA WA UTATU...NDACHA NA MCHUNGAJI DICKSON.

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 17 ต.ค. 2024
  • MJADALA WA UTATU...NDACHA NA MCHUNGAJI DICKSON.

ความคิดเห็น • 294

  • @tovokojuma5186
    @tovokojuma5186 10 หลายเดือนก่อน +2

    Pastor Ndacha is a language analyst. The arrangement of words in a sentence have a lot of meaning.

  • @SalomonMugisha-wy8or
    @SalomonMugisha-wy8or หลายเดือนก่อน

    Mwalimu ndacha Ubarikiwe sana pia Dickson.lakini namupenda sana mwalimu ndacha.sababu asema kweri kwa hio Dickson namuomba asome katika ,Marko 13:24-32.lakini sana ni (32)

  • @isaacobiero296
    @isaacobiero296 ปีที่แล้ว +7

    Nilichojifunza kuna asili na nafsi, tukielewa hilo mjadala utakuwa umeisha!

  • @isaacobiero296
    @isaacobiero296 ปีที่แล้ว +3

    Baba ni Mungu katika asili, Yesu ni Mungu katika asili, Roho ni Mungu katika asili!

    • @jeanefelix70
      @jeanefelix70 ปีที่แล้ว

      🤔🤔🤔🤔🤔 wa Mungu watatu😢

    • @isaacobiero296
      @isaacobiero296 ปีที่แล้ว

      @@jeanefelix70 katika asili

    • @jeanefelix70
      @jeanefelix70 ปีที่แล้ว

      Ulisoma biblia ya wapi inayo sema kwamba roho ni Mungu kando na Baba?

    • @jeanefelix70
      @jeanefelix70 ปีที่แล้ว +1

      roho sio nafsi ni uwepo wa Mungu Baba na Yesu

    • @isaacobiero296
      @isaacobiero296 ปีที่แล้ว

      @@jeanefelix70 so Roho sio nafsi na sio asili

  • @mwananyamalaz4427
    @mwananyamalaz4427 ปีที่แล้ว +3

    Wakwanz leo tunakupata xana mwarimu ndacha mungu mbere God bless 🙏

  • @sashalemmoh3264
    @sashalemmoh3264 10 หลายเดือนก่อน

    Mungu akubaliki mwalimu ndacha kwajina labwana wetu sesukricto

  • @isaacobiero296
    @isaacobiero296 ปีที่แล้ว +8

    Mtumishi Dickson ameonekana kuwa na ugumu kujitetea, simulaumu ila ni jinsi tulivyofundishwa.

    • @jamilmwinge3695
      @jamilmwinge3695 หลายเดือนก่อน

      A naogopa atapoteza mchongo town.

  • @gideonkips5621
    @gideonkips5621 11 หลายเดือนก่อน

    Mimi ni an Anglican and I believe in one God the father and his son Jesus Christ and the HOLY SPIRIT the helper

    • @clewis520
      @clewis520 2 หลายเดือนก่อน


      River shaika

  • @mhandoonthebeats8581
    @mhandoonthebeats8581 ปีที่แล้ว +1

    Ndacha yupo sawa na helen yupo sawa kulingana na maandiko Yesu ni mwana wa Mungu tangu akiwa mbinguni na Ana asili ya uungu 🎉🎉

    • @simeonmazigo5918
      @simeonmazigo5918 5 หลายเดือนก่อน +1

      Unataka kusema Mungu alizaa?

    • @mhandoonthebeats8581
      @mhandoonthebeats8581 5 หลายเดือนก่อน

      @@simeonmazigo5918 kwa Mujibu wa maandiko ndio unataka kusemaje wewe

  • @soloartist_ivanvespalusind1609
    @soloartist_ivanvespalusind1609 11 หลายเดือนก่อน

    Sidhani kama kuna siku mtu atamchunguza na kumuelewa Mungu kwa 100% na ikitokea hivyo Mungu atakuwa amekomea hapo kuwa Mungu.
    Ndacha ametafuta kubalance hesabu inayogoma milele kibinadamu kuwa Mungu ni mmoja katika nafsi tatu. Kwa formula yake ya aina za uungu amekataa nafsi tatu na kusema Mungu ni mmoja katika nafsi moja.
    Hapo mwenzetu hana fumbo tena, amemuelewa Mungu kwa asilimia 100%. Si kweli.
    Mungu mmoja katika nafsi tatu ni fumbo linalohitaji imani.
    MUNGU NI MUNGU ASIYECHUNGUZIKA

  • @MichaelMasabiro-is4mo
    @MichaelMasabiro-is4mo ปีที่แล้ว +3

    Ndacha God bless you

  • @jcwanyoike2757
    @jcwanyoike2757 ปีที่แล้ว +3

    Dickson,ubishi na neno lililo wazi kwa maandiko.Kutetea utatu kweli ni shida kubwa

  • @christophermalango1433
    @christophermalango1433 2 หลายเดือนก่อน

    Huyu Bwana Dickson ni tatiza sana hafai kuwa mwalimu atapotosha watu

  • @jjtm164
    @jjtm164 ปีที่แล้ว +1

    🎉Trinity
    1John 5:7 for there are three who bear witness in Heaven,the Father the Word and the Holy Spirit,and they are one.
    My question, are they different?

  • @JoviniFaida-uj5qb
    @JoviniFaida-uj5qb ปีที่แล้ว +1

    Ndacha anaeleweka yesu kuitwa mwana wa mungu ni mungu tayari ni mungu Kwa sababu ni mwana wa mungu moto wa Simba ni Simba

    • @jjtm164
      @jjtm164 ปีที่แล้ว

      Trinity
      1John 5:7 for there are three who bear witness in Heaven,the Father the Word and the Holy Spirit,and they are one.
      Are they doing the same job?

  • @leomika8473
    @leomika8473 ปีที่แล้ว +2

    Yan nashangaa siku zamwisho zimekaribia wakristo wameanza kupingana

  • @mush337
    @mush337 ปีที่แล้ว

    Yesu ni mfano wa mungu asiyeonekana,Kwa hivyo Mungu asiyeonekana ni Roho mtakatifu,baba na mwana wake Wana umbo linaonekana Kwa hivyo huezi sema hao hawaonekani

  • @elijahbaraka9470
    @elijahbaraka9470 5 หลายเดือนก่อน

    Nafsi roho ni moja ila utendajikazi tofauti. Zamani mungu alijulikana kama baba,akaja kwenye mwili akajulikana kama mwana na ulimwenu uka muona. Sasa leo anakaa nakutenda kazi ndaniyetu kama roho mtakatifu ila nafsi ni ileile.

  • @queenesther8505
    @queenesther8505 ปีที่แล้ว +3

    We need guidance of God's spirit to understand God,God loves us even as we seek to understad his ways,he knows our thoughts.😢

    • @wowclipskanairokenya2406
      @wowclipskanairokenya2406 ปีที่แล้ว

      The devil is the author of confusion, so God Almighty can not let His people get confused for His pleasure

  • @donaldmwahalende4841
    @donaldmwahalende4841 4 หลายเดือนก่อน +1

    Ndacha uko sawa

  • @truth7796
    @truth7796 ปีที่แล้ว

    Ndacha you're right my the spirit of God be with you

    • @francismwendantoburi6942
      @francismwendantoburi6942 ปีที่แล้ว

      AMEN,. I like the understanding of ndacha in all aspect. I dearly judge what I know .Dickson accept

  • @isaacobiero296
    @isaacobiero296 ปีที่แล้ว +3

    Baba ni Mungu katika nafsi, Mwana na Roho sio Mungu katika nafsi.... Still taking notes

    • @stelacalavelmtepa2409
      @stelacalavelmtepa2409 ปีที่แล้ว

      Mungu tunamjifunza kulingana na nuru ambayo amejifunua kwetu (Kumb 29:29).
      Fundisho la utatu matakatifu "Divinity" ni fundisho la Mungu mwenyewe na sio Kanisa la waadventista wa Sábato.
      Ukweli ni kwamba, msimamo wa maandiko matakatifu kuhusu Mungu ni huu " Kumb 6:4; Marko 12:29-31; Waefeso 4:5" haya ni baadhi ya mafungu yanayo funua ukweli wawazi kabisa yakuwa Mungu ni mmoja.
      HOJA YA MSINGI NI KWANBA HUYU MUNGU MMOJA ANASEMJE KUHUSU YEYE, Anajifu nua vip?
      Mafungu haya (Mwanzo 1:26;3:22;11:7) haya hitaji hata kujua lugha ya asil iliyo tumika hapo, isipo kuwa kiswahil na kingereza vinajieleza wazi kabisa Yapo katika wingi(plural form) "Natumfanye "1:26, Mmoja wetu 3:22, Natushuke 11:7 ya kitabu Cha mwanzo:
      Kana kwamba haitoshi, tukio Zima la kitabu Cha Mwanzo sura 1 had ya 2:3 Jina lililo tumika hapo MUNGU lipo katika wingi(plural form) Yani ELOHIM kwa kiebrania na si umoja(singular form).
      Kazi nzima ya uumbaji anajifunua Kayla wingi nasio umoja.
      HOJA YA MSINGI HAPO N HII;
      Ikiwa Kwa hakika Hakuna mwenye sifa ya kuumba isipokuwa Mungu pekee, swal ni kwamba NATUMFANYE alikuwa anahojiana na nani Ikiwa YEYE ni nafasi moja??, nadhani nivyema tupite kwenye haya mafungu tuone nin hasa anacho funua,
      Rejea Zaburi 33:6,9 linganisha na Yohana 1:1-3,14;
      Kisha soma Mwanzo 2:1-2 linganisha na Zabur 104:30; 33:4; Ezekiel 37:14: Warumi 8:11;
      Haya ni baadhi ya mafungu yanayo weka bayana wahusika wa Uumbaji(Baba na Neno na Roho matakatifu=Mungu(ELOHIM) Natumfanye; Natushuke;Mmoja wetu) Hivyo ndivyo anavyo jifunua kwetu ni Mmoja katika wingi (plural form).
      Kumb 6:4 "sikiza, ee Israel: Bwana(Yehova), Mungu(Elohim) wetu, Bwana(Yehova) ndiye Mmoja(Echad=Neno hili Lina maana ya wingi plural form na sii Mmoja katika singular).
      Rejea Mathayo 28:19 "mka wabatize kwa JINA (sio majina ) la baba na la mwana na ra roho matakatifu" wakati Yesu Ana batizwa (Math 3:16) Biblia inasema alipo toka majini ROHO akamshukia, Siuti ikasikia toka mbinguni,(Baba, Mwana na Roho mtktf)
      Note: katika mafungu yote Yana weka wazi Baba ni nafasi hai, Mwana pía ni nafasi Hai kadharika roho matakatifu, tena zinazo jitegemea ndizo zilizo umba na ndizo zenye uwezo huo..
      Mfano kielelezo wa Mmoja katika nafasi tatu nikatika tukio la Uumbaji wa Mwanadam na Ndoa (natumfanye MTU=me na ke ila aliwaita MTU lakini pía Mwana mume na Mwanamke kuwa ni mwili Mmoja kwen physically ni mwil Mmoja.
      Biblia kwenye kitabu Cha Isaya 6:1-9 kuna HOJA hizo.
      1.Inaweka wazi ROHO MTAKATIFU nadie aloe mfunulia mano Isaya na ndie aloe mpatia wito es utume Isaya 6:9 linganisha na Matendo 28:26-27;Math 13:14-15.
      2.Isaya anamtaja Roho MTAKATIFU kuwa ni Bwana jina lilelile Yehova(Isaya 6:8).
      3.Lakini alie mwona ndani ya hekalu la mbinguni mwenye vazi like alie kuwa akiabudiwa Biblia inamtaja ni YESU angalia Ezekiel 1:26-28; Amos 9:1; Ufunu 4:2.
      Mungu ni Mmoja katika nafasi tatu halisi BABA MWANA NA ROHO MTAKATIFU nafasi za umilele zilizo sawa. Hvyo ndivyo anavyo jifunua mwenyewe.

    • @stelacalavelmtepa2409
      @stelacalavelmtepa2409 ปีที่แล้ว

      Mungu tunamjifunza kulingana na nuru ambayo amejifunua kwetu (Kumb 29:29).
      Fundisho la utatu matakatifu "Divinity" ni fundisho la Mungu mwenyewe na sio Kanisa la waadventista wa Sábato.
      Ukweli ni kwamba, msimamo wa maandiko matakatifu kuhusu Mungu ni huu " Kumb 6:4; Marko 12:29-31; Waefeso 4:5" haya ni baadhi ya mafungu yanayo funua ukweli wawazi kabisa yakuwa Mungu ni mmoja.
      HOJA YA MSINGI NI KWANBA HUYU MUNGU MMOJA ANASEMJE KUHUSU YEYE, Anajifu nua vip?
      Mafungu haya (Mwanzo 1:26;3:22;11:7) haya hitaji hata kujua lugha ya asil iliyo tumika hapo, isipo kuwa kiswahil na kingereza vinajieleza wazi kabisa Yapo katika wingi(plural form) "Natumfanye "1:26, Mmoja wetu 3:22, Natushuke 11:7 ya kitabu Cha mwanzo:
      Kana kwamba haitoshi, tukio Zima la kitabu Cha Mwanzo sura 1 had ya 2:3 Jina lililo tumika hapo MUNGU lipo katika wingi(plural form) Yani ELOHIM kwa kiebrania na si umoja(singular form).
      Kazi nzima ya uumbaji anajifunua Kayla wingi nasio umoja.
      HOJA YA MSINGI HAPO N HII;
      Ikiwa Kwa hakika Hakuna mwenye sifa ya kuumba isipokuwa Mungu pekee, swal ni kwamba NATUMFANYE alikuwa anahojiana na nani Ikiwa YEYE ni nafasi moja??, nadhani nivyema tupite kwenye haya mafungu tuone nin hasa anacho funua,
      Rejea Zaburi 33:6,9 linganisha na Yohana 1:1-3,14;
      Kisha soma Mwanzo 2:1-2 linganisha na Zabur 104:30; 33:4; Ezekiel 37:14: Warumi 8:11;
      Haya ni baadhi ya mafungu yanayo weka bayana wahusika wa Uumbaji(Baba na Neno na Roho matakatifu=Mungu(ELOHIM) Natumfanye; Natushuke;Mmoja wetu) Hivyo ndivyo anavyo jifunua kwetu ni Mmoja katika wingi (plural form).
      Kumb 6:4 "sikiza, ee Israel: Bwana(Yehova), Mungu(Elohim) wetu, Bwana(Yehova) ndiye Mmoja(Echad=Neno hili Lina maana ya wingi plural form na sii Mmoja katika singular).
      Rejea Mathayo 28:19 "mka wabatize kwa JINA (sio majina ) la baba na la mwana na ra roho matakatifu" wakati Yesu Ana batizwa (Math 3:16) Biblia inasema alipo toka majini ROHO akamshukia, Siuti ikasikia toka mbinguni,(Baba, Mwana na Roho mtktf)
      Note: katika mafungu yote Yana weka wazi Baba ni nafasi hai, Mwana pía ni nafasi Hai kadharika roho matakatifu, tena zinazo jitegemea ndizo zilizo umba na ndizo zenye uwezo huo..
      Mfano kielelezo wa Mmoja katika nafasi tatu nikatika tukio la Uumbaji wa Mwanadam na Ndoa (natumfanye MTU=me na ke ila aliwaita MTU lakini pía Mwana mume na Mwanamke kuwa ni mwili Mmoja kwen physically ni mwil Mmoja.
      Biblia kwenye kitabu Cha Isaya 6:1-9 kuna HOJA hizo.
      1.Inaweka wazi ROHO MTAKATIFU nadie aloe mfunulia mano Isaya na ndie aloe mpatia wito es utume Isaya 6:9 linganisha na Matendo 28:26-27;Math 13:14-15.
      2.Isaya anamtaja Roho MTAKATIFU kuwa ni Bwana jina lilelile Yehova(Isaya 6:8).
      3.Lakini alie mwona ndani ya hekalu la mbinguni mwenye vazi like alie kuwa akiabudiwa Biblia inamtaja ni YESU angalia Ezekiel 1:26-28; Amos 9:1; Ufunu 4:2.
      Mungu ni Mmoja katika nafasi tatu halisi BABA MWANA NA ROHO MTAKATIFU nafasi za umilele zilizo sawa. Hvyo ndivyo anavyo jifunua mwenyewe.

  • @fredrickkagwa8853
    @fredrickkagwa8853 ปีที่แล้ว +3

    Soma katika 1 John 5:8 inasema watatu Hawa ni umoja ( Baba, Mwana, Roho)

  • @waruikangethe1820
    @waruikangethe1820 9 หลายเดือนก่อน +1

    Only the son knows the father and only the father knows the father

    • @nasirmohamed1589
      @nasirmohamed1589 9 หลายเดือนก่อน

      In this case where is the mother n wife

    • @andrewnjuguna688
      @andrewnjuguna688 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@nasirmohamed1589 for who...?

  • @martinkimathi-oh6eg
    @martinkimathi-oh6eg ปีที่แล้ว +2

    Asante mwalimu ndacha kwa kutetea kweli

    • @simeonmazigo5918
      @simeonmazigo5918 5 หลายเดือนก่อน

      Amepotoka Muwez kumfunga Mungu et hawezi kuwa hiv

  • @timotheomwita4529
    @timotheomwita4529 ปีที่แล้ว

    Kabla alikua kwa mungu kutumika kutekeleza agizo zote za mungu Moja muumba

  • @HenryMacha
    @HenryMacha ปีที่แล้ว +4

    Hii fundisho la nafsi tatu zinazoungana kuwa Mungu mmoja hata kwangu imekuwa ngumu kuelewa, Ukisema Mungu yuko na nafsi tatu zilizo sawa za milele, kwanza unakataa kuwa Yesu ni Mwana Wa Mungu, kwa maana Mungu akiwa ni wa nafsi tatu lakini zote zinafanya Mungu mmoja sasa Mwana wa Mungu ni yupi hapo? Pili, Maandiko yanasema Mungu ni Mmojoa wa pekee wa kweli, Na huyu Mungu mmoja wa pekee wa kweli yuko na nafsi moja tu (ndio maana katika Yer.22:5 anasema "...........................naapa kwa nafsi yangu"). Kama angekuwa ni Mungu wa nafsi tatu angesema "Naapa kwa nafsi zangu". Sasa Swali kwa wana utatu, ni kwamba wakati Mungu anasema "naapa kwa nafsi yangu", hizi nafsi zingine zilikuwa wapi mpaka asema naapa kwa nafsi yangu? Hata mimi nikisoma nukuu za EW kuhusu Mungu wa pekee wa kweli na Bwana mmoja Yesu Kristo aliye mwana wa huyo Mungu mmoja wa pekee, namuelewa vizuri na imenifanya nimuelewe Mungu vizuri kuliko hili fundisho la utatu ambalo silielewi kabisa, na sioni tofauti la fundisho la trinity la SDA na lile la Roman Catholic, ni kitu kimoja tu-No difference na hata hawawezi kutofautisha it is one and the same thing.

    • @stelacalavelmtepa2409
      @stelacalavelmtepa2409 ปีที่แล้ว

      Mungu tunamjifunza kulingana na nuru ambayo amejifunua kwetu (Kumb 29:29).
      Fundisho la utatu matakatifu "Divinity" ni fundisho la Mungu mwenyewe na sio Kanisa la waadventista wa Sábato.
      Ukweli ni kwamba, msimamo wa maandiko matakatifu kuhusu Mungu ni huu " Kumb 6:4; Marko 12:29-31; Waefeso 4:5" haya ni baadhi ya mafungu yanayo funua ukweli wawazi kabisa yakuwa Mungu ni mmoja.
      HOJA YA MSINGI NI KWANBA HUYU MUNGU MMOJA ANASEMJE KUHUSU YEYE, Anajifu nua vip?
      Mafungu haya (Mwanzo 1:26;3:22;11:7) haya hitaji hata kujua lugha ya asil iliyo tumika hapo, isipo kuwa kiswahil na kingereza vinajieleza wazi kabisa Yapo katika wingi(plural form) "Natumfanye "1:26, Mmoja wetu 3:22, Natushuke 11:7 ya kitabu Cha mwanzo:
      Kana kwamba haitoshi, tukio Zima la kitabu Cha Mwanzo sura 1 had ya 2:3 Jina lililo tumika hapo MUNGU lipo katika wingi(plural form) Yani ELOHIM kwa kiebrania na si umoja(singular form).
      Kazi nzima ya uumbaji anajifunua Kayla wingi nasio umoja.
      HOJA YA MSINGI HAPO N HII;
      Ikiwa Kwa hakika Hakuna mwenye sifa ya kuumba isipokuwa Mungu pekee, swal ni kwamba NATUMFANYE alikuwa anahojiana na nani Ikiwa YEYE ni nafasi moja??, nadhani nivyema tupite kwenye haya mafungu tuone nin hasa anacho funua,
      Rejea Zaburi 33:6,9 linganisha na Yohana 1:1-3,14;
      Kisha soma Mwanzo 2:1-2 linganisha na Zabur 104:30; 33:4; Ezekiel 37:14: Warumi 8:11;
      Haya ni baadhi ya mafungu yanayo weka bayana wahusika wa Uumbaji(Baba na Neno na Roho matakatifu=Mungu(ELOHIM) Natumfanye; Natushuke;Mmoja wetu) Hivyo ndivyo anavyo jifunua kwetu ni Mmoja katika wingi (plural form).
      Kumb 6:4 "sikiza, ee Israel: Bwana(Yehova), Mungu(Elohim) wetu, Bwana(Yehova) ndiye Mmoja(Echad=Neno hili Lina maana ya wingi plural form na sii Mmoja katika singular).
      Rejea Mathayo 28:19 "mka wabatize kwa JINA (sio majina ) la baba na la mwana na ra roho matakatifu" wakati Yesu Ana batizwa (Math 3:16) Biblia inasema alipo toka majini ROHO akamshukia, Siuti ikasikia toka mbinguni,(Baba, Mwana na Roho mtktf)
      Note: katika mafungu yote Yana weka wazi Baba ni nafasi hai, Mwana pía ni nafasi Hai kadharika roho matakatifu, tena zinazo jitegemea ndizo zilizo umba na ndizo zenye uwezo huo..
      Mfano kielelezo wa Mmoja katika nafasi tatu nikatika tukio la Uumbaji wa Mwanadam na Ndoa (natumfanye MTU=me na ke ila aliwaita MTU lakini pía Mwana mume na Mwanamke kuwa ni mwili Mmoja kwen physically ni mwil Mmoja.
      Biblia kwenye kitabu Cha Isaya 6:1-9 kuna HOJA hizo.
      1.Inaweka wazi ROHO MTAKATIFU nadie aloe mfunulia mano Isaya na ndie aloe mpatia wito es utume Isaya 6:9 linganisha na Matendo 28:26-27;Math 13:14-15.
      2.Isaya anamtaja Roho MTAKATIFU kuwa ni Bwana jina lilelile Yehova(Isaya 6:8).
      3.Lakini alie mwona ndani ya hekalu la mbinguni mwenye vazi like alie kuwa akiabudiwa Biblia inamtaja ni YESU angalia Ezekiel 1:26-28; Amos 9:1; Ufunu 4:2.
      Mungu ni Mmoja katika nafasi tatu halisi BABA MWANA NA ROHO MTAKATIFU nafasi za umilele zilizo sawa. Hvyo ndivyo anavyo jifunua mwenyewe.

    • @francismwendantoburi6942
      @francismwendantoburi6942 ปีที่แล้ว

      pastor ikihubiri niskie kuna some misunderstanding ,polepole tu natoka juu sitaki kubishana, understanding is given from above not from any other source.

    • @soloartist_ivanvespalusind1609
      @soloartist_ivanvespalusind1609 11 หลายเดือนก่อน

      Mijadara na Waislamu imeshatuharibia Ndacha wetu. Mungu huyu asiyechunguzika amejifunua kidogo sana juu ya uungu wake na kujifunua kwake kunadhihirisha yeye siyo kiumbe bali ni Mungu muumbaji, kwamba yeye si wakawaida mpaka umuelewe unavyotaka wewe umuuelewe unavyotaka wewe.
      Mungu amejifunua yeye mwenyewe katika BIBLIA kuwa yeye ni MMOJA (MUNGU NI MMOJA (constantly)) na wakati huohuo amejifunua kuwa yuko katika NAFSI TATU (Baba, Mwana na Roho Mtakatifu). Jambo hili halipo kikawaida anavyotaka ndacha kama wanavyotakaga waislamu kuwa kama Yesu ni Mwana wa Mungu na Mungu ni Baba basi waonyeshwe Mama.
      Kifupi Ndacha ameambatana na Waislamu kupinga uungu wa Yesu, bado tu hajawa moja kwa moja, anajifanya atupa aina za uungu kwa Yesu ni Mungu kwa aina fulani ya uungu. Hapana Yesu ni Mungu kwa uungu mmoja wa Mungu mmoja.
      Binafsi naamini Mungu hahitaji tumjue physically na pengine milele zote hatutamjua typical isipokuwa kwa kiasi alicho / atachojifunua tu yeye mwenyewe.
      Kwanza hiyo hesabu inayogoma kibinadamu ya kusema Mungu mmoja katika nafsi tatu ndo inanifanya kumuona Mungu ni waajabu kwelikweli. Kutochunguzika ni sifa yake, yeye ni Mungu asiyechunguzika.

  • @donaldmwahalende4841
    @donaldmwahalende4841 4 หลายเดือนก่อน

    Kutetea utatu kazi sana siwez hata kuhubr utatu maana watu wabishi

    • @jamilmwinge3695
      @jamilmwinge3695 หลายเดือนก่อน

      Penye ukweli piga ukweli ata kama watu awakuelewi ipo siku wataelewa tu Mungu awezi simamia batili.

  • @frankwilliams2018
    @frankwilliams2018 ปีที่แล้ว +2

    Nimepata vitabu kadhaa I will print wakristu wajue ilianza lini na wapi na nani na madhara ilileta . Wengi walikufa kwa kutaa utatu mtakatifu utatu ni uhongo.
    Ndacha unasema ukweli utatu ni uhongo. Kiti cha tatu ni cha shetani.
    MUNGU ako kazi mtetemeko ndio huo ndacha anatetemesha. Kwani watu wame lala kiwango gani. But MUNGU hugusa watu differently

    • @sda3angelmsger
      @sda3angelmsger 4 หลายเดือนก่อน

      Hizo vitabu tutavipata wapi

  • @powersetmentors8833
    @powersetmentors8833 ปีที่แล้ว

    Mimi nimechekeshwa na Dickson Kwa kusoma personality na kushindwa kuelewa personality ya Yesu as the Son of God

  • @kakulemanase7225
    @kakulemanase7225 5 หลายเดือนก่อน

    Ndasha réformateur. Hiyo fundusho la utatu si ukweli.

  • @hesbornogora5651
    @hesbornogora5651 ปีที่แล้ว

    Ndacha naomba usingatie amri ya kristo. Kwamba, ufalme ni kwa waaminio. Na hakuna atakayemjua Mungu bila kumuamini huyu yesu. Kwani yohana 1:1-4 waielewaje. Hili fundisho lako ni la kupigana na kanisa na kusudi la kulisambaratisha. Lakini ni dhahiri kwamba, neno la Mungu ni wazi likatimilike ndipo aje. 2 Thess 2:10

  • @queenesther8505
    @queenesther8505 ปีที่แล้ว +1

    Mwenyezi Mungu ni Utatu kwa mwili Moja,Mungu Baba,Mungu Mwana na Mungu Roho mtakatifu.

    • @carolinekemunto2632
      @carolinekemunto2632 ปีที่แล้ว

      Toa andiko linalosema hivo kua Mungu mmoja n utatu

    • @davidochiengbuoga7165
      @davidochiengbuoga7165 ปีที่แล้ว +1

      Mungu ni mmoja ambaye amejifunua kwa mwanadamu katika sehemu tatu.Kama Baba Mungu,kama Mungu Mwana,kama Rioho Mtakatifu 12:26

    • @isaiahonyapidi5662
      @isaiahonyapidi5662 ปีที่แล้ว

      Wewe ni mkatoliki mchungaji wako anaenda choo sana

    • @queenesther8505
      @queenesther8505 ปีที่แล้ว

      @@isaiahonyapidi5662 my fellow christian talking this,I'm sorry,I choose to forgive,I'm not a Catholic but I have personal relationship with Jehovah God,Jesus Loves you,repent.😭

    • @stelacalavelmtepa2409
      @stelacalavelmtepa2409 ปีที่แล้ว

      Mungu tunamjifunza kulingana na nuru ambayo amejifunua kwetu (Kumb 29:29).
      Fundisho la utatu matakatifu "Divinity" ni fundisho la Mungu mwenyewe na sio Kanisa la waadventista wa Sábato.
      Ukweli ni kwamba, msimamo wa maandiko matakatifu kuhusu Mungu ni huu " Kumb 6:4; Marko 12:29-31; Waefeso 4:5" haya ni baadhi ya mafungu yanayo funua ukweli wawazi kabisa yakuwa Mungu ni mmoja.
      HOJA YA MSINGI NI KWANBA HUYU MUNGU MMOJA ANASEMJE KUHUSU YEYE, Anajifu nua vip?
      Mafungu haya (Mwanzo 1:26;3:22;11:7) haya hitaji hata kujua lugha ya asil iliyo tumika hapo, isipo kuwa kiswahil na kingereza vinajieleza wazi kabisa Yapo katika wingi(plural form) "Natumfanye "1:26, Mmoja wetu 3:22, Natushuke 11:7 ya kitabu Cha mwanzo:
      Kana kwamba haitoshi, tukio Zima la kitabu Cha Mwanzo sura 1 had ya 2:3 Jina lililo tumika hapo MUNGU lipo katika wingi(plural form) Yani ELOHIM kwa kiebrania na si umoja(singular form).
      Kazi nzima ya uumbaji anajifunua Kayla wingi nasio umoja.
      HOJA YA MSINGI HAPO N HII;
      Ikiwa Kwa hakika Hakuna mwenye sifa ya kuumba isipokuwa Mungu pekee, swal ni kwamba NATUMFANYE alikuwa anahojiana na nani Ikiwa YEYE ni nafasi moja??, nadhani nivyema tupite kwenye haya mafungu tuone nin hasa anacho funua,
      Rejea Zaburi 33:6,9 linganisha na Yohana 1:1-3,14;
      Kisha soma Mwanzo 2:1-2 linganisha na Zabur 104:30; 33:4; Ezekiel 37:14: Warumi 8:11;
      Haya ni baadhi ya mafungu yanayo weka bayana wahusika wa Uumbaji(Baba na Neno na Roho matakatifu=Mungu(ELOHIM) Natumfanye; Natushuke;Mmoja wetu) Hivyo ndivyo anavyo jifunua kwetu ni Mmoja katika wingi (plural form).
      Kumb 6:4 "sikiza, ee Israel: Bwana(Yehova), Mungu(Elohim) wetu, Bwana(Yehova) ndiye Mmoja(Echad=Neno hili Lina maana ya wingi plural form na sii Mmoja katika singular).
      Rejea Mathayo 28:19 "mka wabatize kwa JINA (sio majina ) la baba na la mwana na ra roho matakatifu" wakati Yesu Ana batizwa (Math 3:16) Biblia inasema alipo toka majini ROHO akamshukia, Siuti ikasikia toka mbinguni,(Baba, Mwana na Roho mtktf)
      Note: katika mafungu yote Yana weka wazi Baba ni nafasi hai, Mwana pía ni nafasi Hai kadharika roho matakatifu, tena zinazo jitegemea ndizo zilizo umba na ndizo zenye uwezo huo..
      Mfano kielelezo wa Mmoja katika nafasi tatu nikatika tukio la Uumbaji wa Mwanadam na Ndoa (natumfanye MTU=me na ke ila aliwaita MTU lakini pía Mwana mume na Mwanamke kuwa ni mwili Mmoja kwen physically ni mwil Mmoja.
      Biblia kwenye kitabu Cha Isaya 6:1-9 kuna HOJA hizo.
      1.Inaweka wazi ROHO MTAKATIFU nadie aloe mfunulia mano Isaya na ndie aloe mpatia wito es utume Isaya 6:9 linganisha na Matendo 28:26-27;Math 13:14-15.
      2.Isaya anamtaja Roho MTAKATIFU kuwa ni Bwana jina lilelile Yehova(Isaya 6:8).
      3.Lakini alie mwona ndani ya hekalu la mbinguni mwenye vazi like alie kuwa akiabudiwa Biblia inamtaja ni YESU angalia Ezekiel 1:26-28; Amos 9:1; Ufunu 4:2.
      Mungu ni Mmoja katika nafasi tatu halisi BABA MWANA NA ROHO MTAKATIFU nafasi za umilele zilizo sawa. Hvyo ndivyo anavyo jifunua mwenyewe.

  • @SalvationmessageTv-2024
    @SalvationmessageTv-2024 4 หลายเดือนก่อน

    Is the holy spirit GOD?

  • @alexmulili-tc8vj
    @alexmulili-tc8vj 4 หลายเดือนก่อน

    Ndacha please explain Isaiah 9:6-7.
    Acts 5:1..., Matthew, where Jesus himself asks us to baptise in three persons, in singular forms each, explain why God sent the spirit after Jesus ascension to help us in john 14, using yours understanding. Finally explain why God the father is calling His son God, when He himself is the God according to your explanation.

  • @SophiaMsigwa-lc3km
    @SophiaMsigwa-lc3km 9 หลายเดือนก่อน

    Kichwa kigumu sana Dickson 😢 hata kama Mimi nakichwa kigumu sijakufikia wewe

  • @victorisadia6936
    @victorisadia6936 ปีที่แล้ว +3

    watu wa utatu hawana maandiko ya kusoma mbele ya watu. Dickson anajiumauma midomo tu

    • @samuelnyaachi7094
      @samuelnyaachi7094 ปีที่แล้ว

      Lambda hujasoma 1John 5:7,8; Mathew 28:19

    • @stelacalavelmtepa2409
      @stelacalavelmtepa2409 ปีที่แล้ว

      Mungu tunamjifunza kulingana na nuru ambayo amejifunua kwetu (Kumb 29:29).
      Fundisho la utatu matakatifu "Divinity" ni fundisho la Mungu mwenyewe na sio Kanisa la waadventista wa Sábato.
      Ukweli ni kwamba, msimamo wa maandiko matakatifu kuhusu Mungu ni huu " Kumb 6:4; Marko 12:29-31; Waefeso 4:5" haya ni baadhi ya mafungu yanayo funua ukweli wawazi kabisa yakuwa Mungu ni mmoja.
      HOJA YA MSINGI NI KWANBA HUYU MUNGU MMOJA ANASEMJE KUHUSU YEYE, Anajifu nua vip?
      Mafungu haya (Mwanzo 1:26;3:22;11:7) haya hitaji hata kujua lugha ya asil iliyo tumika hapo, isipo kuwa kiswahil na kingereza vinajieleza wazi kabisa Yapo katika wingi(plural form) "Natumfanye "1:26, Mmoja wetu 3:22, Natushuke 11:7 ya kitabu Cha mwanzo:
      Kana kwamba haitoshi, tukio Zima la kitabu Cha Mwanzo sura 1 had ya 2:3 Jina lililo tumika hapo MUNGU lipo katika wingi(plural form) Yani ELOHIM kwa kiebrania na si umoja(singular form).
      Kazi nzima ya uumbaji anajifunua Kayla wingi nasio umoja.
      HOJA YA MSINGI HAPO N HII;
      Ikiwa Kwa hakika Hakuna mwenye sifa ya kuumba isipokuwa Mungu pekee, swal ni kwamba NATUMFANYE alikuwa anahojiana na nani Ikiwa YEYE ni nafasi moja??, nadhani nivyema tupite kwenye haya mafungu tuone nin hasa anacho funua,
      Rejea Zaburi 33:6,9 linganisha na Yohana 1:1-3,14;
      Kisha soma Mwanzo 2:1-2 linganisha na Zabur 104:30; 33:4; Ezekiel 37:14: Warumi 8:11;
      Haya ni baadhi ya mafungu yanayo weka bayana wahusika wa Uumbaji(Baba na Neno na Roho matakatifu=Mungu(ELOHIM) Natumfanye; Natushuke;Mmoja wetu) Hivyo ndivyo anavyo jifunua kwetu ni Mmoja katika wingi (plural form).
      Kumb 6:4 "sikiza, ee Israel: Bwana(Yehova), Mungu(Elohim) wetu, Bwana(Yehova) ndiye Mmoja(Echad=Neno hili Lina maana ya wingi plural form na sii Mmoja katika singular).
      Rejea Mathayo 28:19 "mka wabatize kwa JINA (sio majina ) la baba na la mwana na ra roho matakatifu" wakati Yesu Ana batizwa (Math 3:16) Biblia inasema alipo toka majini ROHO akamshukia, Siuti ikasikia toka mbinguni,(Baba, Mwana na Roho mtktf)
      Note: katika mafungu yote Yana weka wazi Baba ni nafasi hai, Mwana pía ni nafasi Hai kadharika roho matakatifu, tena zinazo jitegemea ndizo zilizo umba na ndizo zenye uwezo huo..
      Mfano kielelezo wa Mmoja katika nafasi tatu nikatika tukio la Uumbaji wa Mwanadam na Ndoa (natumfanye MTU=me na ke ila aliwaita MTU lakini pía Mwana mume na Mwanamke kuwa ni mwili Mmoja kwen physically ni mwil Mmoja.
      Biblia kwenye kitabu Cha Isaya 6:1-9 kuna HOJA hizo.
      1.Inaweka wazi ROHO MTAKATIFU nadie aloe mfunulia mano Isaya na ndie aloe mpatia wito es utume Isaya 6:9 linganisha na Matendo 28:26-27;Math 13:14-15.
      2.Isaya anamtaja Roho MTAKATIFU kuwa ni Bwana jina lilelile Yehova(Isaya 6:8).
      3.Lakini alie mwona ndani ya hekalu la mbinguni mwenye vazi like alie kuwa akiabudiwa Biblia inamtaja ni YESU angalia Ezekiel 1:26-28; Amos 9:1; Ufunu 4:2.
      Mungu ni Mmoja katika nafasi tatu halisi BABA MWANA NA ROHO MTAKATIFU nafasi za umilele zilizo sawa. Hvyo ndivyo anavyo jifunua mwenyewe.

  • @FredOdhiambo-he1rw
    @FredOdhiambo-he1rw ปีที่แล้ว

    Mtabisana adi yesu arudi, kuita yesu kristo, ni mungu kunamakosa wapi, nakama kuna kosa, nipeni jibu, kwa bibilia na kama akuna, yesu ndiye bwana wa mabwana, pilipo alitaka kujua mungu, yesu akamwabia niko nawe kilasiku ujanifaamu alie niona amemuona mungu, ukipata yesu umempata mungu, yohana 14:8:10

    • @fm_tv
      @fm_tv ปีที่แล้ว

      SUALA SIO UUNGU WA YESU, HOJA NI UTATU

    • @MidoMidomore
      @MidoMidomore 8 หลายเดือนก่อน

      unashwindwa kujua hapo anaongea ni yohana

  • @danielkaniki7388
    @danielkaniki7388 10 หลายเดือนก่อน

    YESU NI MUNGU KABISA SOMA 👇
    Yohana 1
    1 Hapo mwanzo kulikuwako Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu, naye Neno alikuwa Mungu.
    14 Naye Neno alifanyika mwili, akakaa kwetu; nasi tukauona utukufu wake, utukufu kama wa Mwana pekee atokaye kwa Baba; amejaa neema na kweli.
    Lakini pia ukisoma 👇 inazidi kuinyesha kuwa Mungu mwenyewe kabisa ni Yesu kristo
    1 Timotheo 3
    16 Na bila shaka siri ya utauwa ni kuu. Mungu alidhihirishwa katika mwili, Akajulika kuwa na haki katika roho, Akaonekana na malaika, Akahubiriwa katika mataifa, Akaaminiwa katika ulimwengu, Akachukuliwa juu katika utukufu.

    • @MidoMidomore
      @MidoMidomore 8 หลายเดือนก่อน

      ww ndio hujui mafundisho ,itakuaje liwepo neno kabla ya mnenaji

  • @James-fh3js
    @James-fh3js ปีที่แล้ว

    Ùùùiiii Pastor. Bwana awe nawe.

  • @uwayolove
    @uwayolove 11 หลายเดือนก่อน

    right always lights in then dark

  • @jamilmwinge3695
    @jamilmwinge3695 หลายเดือนก่อน

    Baba mbinguni mama duniani mtoto duniani jamani acheni ubinafsi amkeni Nacha ni msomi anae jenga hoja za kutaka kujua ukweli na tafika mbali abuluzwi kwa kuhofia sadaka za waumini atazikosa tofauti na Dickson anajua akikubali wenda bando litakatikia.

  • @antonymuturi6982
    @antonymuturi6982 ปีที่แล้ว +2

    I commend pastor dickson for accepting to have this debate, the only down side is he came with a hardline stand and not ready to learn from the person he is debating with.

    • @stephenirungu2307
      @stephenirungu2307 ปีที่แล้ว

      So this is not a debate according to you ....there is a person who knows and the other don't know....

    • @antonymuturi6982
      @antonymuturi6982 ปีที่แล้ว +1

      @@stephenirungu2307 I never said that, I just highlighted an observation I made, that pastor Dickson is unwilling to learn due to his hardline stand unlike Francis, and this is the issue with so many people not willing to unlern something they have believed to be right for so long.

    • @francismwendantoburi6942
      @francismwendantoburi6942 ปีที่แล้ว

      Dacha is very right,,but Dickson anakatalia kwa kuelewa kwake tu.

  • @mrjgrey100
    @mrjgrey100 ปีที่แล้ว +2

    Walikaa kikao.weuweeeh😂😂😂😂😂

    • @johnmuemawambua6019
      @johnmuemawambua6019 ปีที่แล้ว

      Imagine, wakakaa kamati, ATI we baba, Mimi mwana, na yeye roho??! Ajabu😂😂.

  • @lamechasuma1952
    @lamechasuma1952 ปีที่แล้ว +2

    Kanisa liko taabani kweli, waacheni hao ni wachungaji vipofu wasiosoma maandiko, eti yeso si mwana wa Mungu

  • @DavidBarasa-jo9kt
    @DavidBarasa-jo9kt 2 หลายเดือนก่อน

    mwalimu ndacha, simlaumu ni mafunzo ya kanisa Ile anashiriki.

  • @xogmalxarandid9369
    @xogmalxarandid9369 8 หลายเดือนก่อน

    Dini ya kweli mpele ya mwenyezimungu ni uislamu
    Hiyo ni Aya .
    Na yesu na Ibrahimu na daudi na Mohamed na wengine wengi ni mitume na mungu ni mmoja na hiyo nafsi tatu mmoja ni yesu na mmoja ni malaika Gabriel ambaye ni roho mtakatifu na mungu mwenyewe hakuna kitu inaitwa utatu ni game ambaye imetengenezwa na upagani ili wapoteze watu Kwa njia ya haki

  • @timotheomwita4529
    @timotheomwita4529 ปีที่แล้ว

    ROHO Kuna ROHO saba za mungu ambazo ni macho ya mungu ufu. 5:6

  • @stephenirungu2307
    @stephenirungu2307 ปีที่แล้ว +1

    Do we really need to discuss who God is???and should that bring differences in the house of God.....Father help us to know you for many are times we use our minds to describe you and none has ever seen you...Mungu ombi langu jioni ya leo tujalie neema yako.

    • @emmanuelkaberia
      @emmanuelkaberia ปีที่แล้ว +2

      If we don't need to know who God is we don't need to worship him since we can't worship who we don't know.

    • @kevinjoash7
      @kevinjoash7 ปีที่แล้ว +1

      Lazima tuabudu tunachokijua hatuwezi abudu tusichokijua

    • @stephenirungu2307
      @stephenirungu2307 ปีที่แล้ว

      So you mean we need to draw all our attention and power to discuss who God is...and what is its importance if we know of it that either God is ...Father son and Holy spirit or Father and His Son And Holy spirit????? I see the point of discussion here is not really to be discussed and also it should not draw and also it should not make others separate from the community of believers but anyway God show us the way for we do not know

    • @emmanuelkaberia
      @emmanuelkaberia ปีที่แล้ว +1

      @@stephenirungu2307 My friend me you mean that we should not search to know who GOD IS? and we need to worship God whom we do not know who he is. then you mean that direct idolaters are also right because also they did not need to listen the scriptures and learn the who is the true God from you. then if we we don't need to know who God is, what is the scripture for? in which God is reveling to us who He is? are you a christian?John 17:3
      King James Version
      3 And this is life eternal, that they might know thee the only true God, and Jesus Christ, whom thou hast sent.
      🖕🖕🖕
      👇👇👇
      for we to get eternal life we need to know who is the only true God and Jesus Christ. rather than that, hell.

    • @stelacalavelmtepa2409
      @stelacalavelmtepa2409 ปีที่แล้ว +1

      Mungu tunamjifunza kulingana na nuru ambayo amejifunua kwetu (Kumb 29:29).
      Fundisho la utatu matakatifu "GODHEAD" ni fundisho la Mungu mwenyewe na sio Kanisa la waadventista wa Sábato.
      Ukweli ni kwamba, msimamo wa maandiko matakatifu kuhusu Mungu ni huu " Kumb 6:4; Marko 12:29-31; Waefeso 4:5" haya ni baadhi ya mafungu yanayo funua ukweli wawazi kabisa yakuwa Mungu ni mmoja.
      HOJA YA MSINGI NI KWANBA HUYU MUNGU MMOJA ANASEMJE KUHUSU YEYE, Anajifu nua vip?
      Mafungu haya (Mwanzo 1:26;3:22;11:7) haya hitaji hata kujua lugha ya asil iliyo tumika hapo, isipo kuwa kiswahil na kingereza vinajieleza wazi kabisa Yapo katika wingi(plural form) "Natumfanye "1:26, Mmoja wetu 3:22, Natushuke 11:7 ya kitabu Cha mwanzo:
      Kana kwamba haitoshi, tukio Zima la kitabu Cha Mwanzo sura 1 had ya 2:3 Jina lililo tumika hapo MUNGU lipo katika wingi(plural form) Yani ELOHIM kwa kiebrania na si umoja(singular form).
      Kazi nzima ya uumbaji anajifunua Kayla wingi nasio umoja.
      HOJA YA MSINGI HAPO N HII;
      Ikiwa Kwa hakika Hakuna mwenye sifa ya kuumba isipokuwa Mungu pekee, swal ni kwamba NATUMFANYE alikuwa anahojiana na nani Ikiwa YEYE ni nafasi moja??, nadhani nivyema tupite kwenye haya mafungu tuone nin hasa anacho funua,
      Rejea Zaburi 33:6,9 linganisha na Yohana 1:1-3,14;
      Kisha soma Mwanzo 2:1-2 linganisha na Zabur 104:30; 33:4; Ezekiel 37:14: Warumi 8:11;
      Haya ni baadhi ya mafungu yanayo weka bayana wahusika wa Uumbaji(Baba na Neno na Roho matakatifu=Mungu(ELOHIM) Natumfanye; Natushuke;Mmoja wetu) Hivyo ndivyo anavyo jifunua kwetu ni Mmoja katika wingi (plural form).
      Kumb 6:4 "sikiza, ee Israel: Bwana(Yehova), Mungu(Elohim) wetu, Bwana(Yehova) ndiye Mmoja(Echad=Neno hili Lina maana ya wingi plural form na sii Mmoja katika singular).
      Rejea Mathayo 28:19 "mka wabatize kwa JINA (sio majina ) la baba na la mwana na ra roho matakatifu" wakati Yesu Ana batizwa (Math 3:16) Biblia inasema alipo toka majini ROHO akamshukia, Siuti ikasikia toka mbinguni,(Baba, Mwana na Roho mtktf)
      Note: katika mafungu yote Yana weka wazi Baba ni nafasi hai, Mwana pía ni nafasi Hai kadharika roho matakatifu, tena zinazo jitegemea ndizo zilizo umba na ndizo zenye uwezo huo..
      Mfano kielelezo wa Mmoja katika nafasi tatu nikatika tukio la Uumbaji wa Mwanadam na Ndoa (natumfanye MTU=me na ke ila aliwaita MTU lakini pía Mwanamume na Mwanamke kuwa ni mwili Mmoja kwen physically ni mwil Mmoja.
      Biblia kwenye kitabu Cha Isaya 6:1-9 kuna HOJA hizi.
      1.Inaweka wazi ROHO MTAKATIFU nadie alie mfunulia maneno Isaya na ndie alie mpatia wito wa utume Isaya 6:9 linganisha na Matendo 28:26-27;Math 13:14-15.
      2.Isaya anamtaja Roho MTAKATIFU kuwa ni BWANA jina lilelile Yehova(Isaya 6:8).
      3.Lakini alie mwona ndani ya hekalu la mbinguni mwenye vazi alie kuwa akiabudiwa Biblia inamtaja ni YESU angalia Ezekiel 1:26-28; Amos 9:1; Ufunu 4:2.
      Mungu ni Mmoja katika nafasi tatu halisi BABA, MWANA NA ROHO MTAKATIFU nafasi za umilele zilizo sawa. Hvyo ndivyo anavyo jifunua mwenyewe. Binafsi naona hilo swala la GODHEAD limewekwa wazi kabisa kwenye maandiko matakatifu, tulia Soma vizuri kwa maombi pasipo kusimamia upande wowote kubali kujua mapenzi ya Mungu niyapi katka kujifunza, HOJA anazo toa Mwinjiristi ndacha nadhani hata yeye inabidi arudi kujifunza upya na aache misimamo ambayo haina faida, hilo ni neno la Mungu ni ELIMU watu wanajifunza hadi ngazi Za juu, sasa lazima wakati Mwingine ukubari kusikiliza kwa kujifunza nasio kwa kukosoa, Mahali hujaelewa uliza ujifunze, inamana Roho wa kuchambua maandiko anae yeye tu watu wengine hawana, binafsi mimi ni MTANZANIA simfahamu yeyote hapo isipokuwa kwa kuwafatilia mtandaoni, Ndacha amekuwa ni mtu ambae nilikuwa napenda mfatilia sana hasa hotuba zake na waislamu ziko vizuri sana Lakini kwa hilo la GODHEAD amefeli akajifunze tena, na huyó mchungaji anae hojiana nae hapo yupo Sawa Ndacha ndie hataka kuelewa nasio huyó mchungaji.

  • @MeshackTanui-w2j
    @MeshackTanui-w2j 2 หลายเดือนก่อน

    Pastor Dickson wacha ujinga kutetea vitu akuna😂😂😂

  • @YusuphNtibhingana
    @YusuphNtibhingana 8 หลายเดือนก่อน

    Ndacha atakusumbua tu shida lugha inasumbua mara anakubali mara anageuka achana naye yesu atamuelewasha mwenyewe Kama paulo

  • @abubakarhajjabubakarhajj1252
    @abubakarhajjabubakarhajj1252 ปีที่แล้ว

    Ndacha kama wataka kuingia dini ya uislamu karibu hiyo ndio dini ya kweli waislamu wamekufundisha kwanza ulikuwa ukisema yesu ni mungu sasa umeona ukweli Mungu ni mmoja asante

    • @johnawinda2165
      @johnawinda2165 ปีที่แล้ว

      Lakini wa ndacha ako na mwana bila mke, wako ana mwana bila mke

    • @abubakarhajjabubakarhajj1252
      @abubakarhajjabubakarhajj1252 ปีที่แล้ว

      @@johnawinda2165 wangu hana mwana anaviumbe

    • @stelacalavelmtepa2409
      @stelacalavelmtepa2409 ปีที่แล้ว

      Mungu tunamjifunza kulingana na nuru ambayo amejifunua kwetu (Kumb 29:29).
      Fundisho la utatu matakatifu "Divinity" ni fundisho la Mungu mwenyewe na sio Kanisa la waadventista wa Sábato.
      Ukweli ni kwamba, msimamo wa maandiko matakatifu kuhusu Mungu ni huu " Kumb 6:4; Marko 12:29-31; Waefeso 4:5" haya ni baadhi ya mafungu yanayo funua ukweli wawazi kabisa yakuwa Mungu ni mmoja.
      HOJA YA MSINGI NI KWANBA HUYU MUNGU MMOJA ANASEMJE KUHUSU YEYE, Anajifu nua vip?
      Mafungu haya (Mwanzo 1:26;3:22;11:7) haya hitaji hata kujua lugha ya asil iliyo tumika hapo, isipo kuwa kiswahil na kingereza vinajieleza wazi kabisa Yapo katika wingi(plural form) "Natumfanye "1:26, Mmoja wetu 3:22, Natushuke 11:7 ya kitabu Cha mwanzo:
      Kana kwamba haitoshi, tukio Zima la kitabu Cha Mwanzo sura 1 had ya 2:3 Jina lililo tumika hapo MUNGU lipo katika wingi(plural form) Yani ELOHIM kwa kiebrania na si umoja(singular form).
      Kazi nzima ya uumbaji anajifunua Kayla wingi nasio umoja.
      HOJA YA MSINGI HAPO N HII;
      Ikiwa Kwa hakika Hakuna mwenye sifa ya kuumba isipokuwa Mungu pekee, swal ni kwamba NATUMFANYE alikuwa anahojiana na nani Ikiwa YEYE ni nafasi moja??, nadhani nivyema tupite kwenye haya mafungu tuone nin hasa anacho funua,
      Rejea Zaburi 33:6,9 linganisha na Yohana 1:1-3,14;
      Kisha soma Mwanzo 2:1-2 linganisha na Zabur 104:30; 33:4; Ezekiel 37:14: Warumi 8:11;
      Haya ni baadhi ya mafungu yanayo weka bayana wahusika wa Uumbaji(Baba na Neno na Roho matakatifu=Mungu(ELOHIM) Natumfanye; Natushuke;Mmoja wetu) Hivyo ndivyo anavyo jifunua kwetu ni Mmoja katika wingi (plural form).
      Kumb 6:4 "sikiza, ee Israel: Bwana(Yehova), Mungu(Elohim) wetu, Bwana(Yehova) ndiye Mmoja(Echad=Neno hili Lina maana ya wingi plural form na sii Mmoja katika singular).
      Rejea Mathayo 28:19 "mka wabatize kwa JINA (sio majina ) la baba na la mwana na ra roho matakatifu" wakati Yesu Ana batizwa (Math 3:16) Biblia inasema alipo toka majini ROHO akamshukia, Siuti ikasikia toka mbinguni,(Baba, Mwana na Roho mtktf)
      Note: katika mafungu yote Yana weka wazi Baba ni nafasi hai, Mwana pía ni nafasi Hai kadharika roho matakatifu, tena zinazo jitegemea ndizo zilizo umba na ndizo zenye uwezo huo..
      Mfano kielelezo wa Mmoja katika nafasi tatu nikatika tukio la Uumbaji wa Mwanadam na Ndoa (natumfanye MTU=me na ke ila aliwaita MTU lakini pía Mwana mume na Mwanamke kuwa ni mwili Mmoja kwen physically ni mwil Mmoja.
      Biblia kwenye kitabu Cha Isaya 6:1-9 kuna HOJA hizo.
      1.Inaweka wazi ROHO MTAKATIFU nadie aloe mfunulia mano Isaya na ndie aloe mpatia wito es utume Isaya 6:9 linganisha na Matendo 28:26-27;Math 13:14-15.
      2.Isaya anamtaja Roho MTAKATIFU kuwa ni Bwana jina lilelile Yehova(Isaya 6:8).
      3.Lakini alie mwona ndani ya hekalu la mbinguni mwenye vazi like alie kuwa akiabudiwa Biblia inamtaja ni YESU angalia Ezekiel 1:26-28; Amos 9:1; Ufunu 4:2.
      Mungu ni Mmoja katika nafasi tatu halisi BABA MWANA NA ROHO MTAKATIFU nafasi za umilele zilizo sawa. Hvyo ndivyo anavyo jifunua mwenyewe.

    • @isaacvtv547
      @isaacvtv547 ปีที่แล้ว

      Hawajamfundisha, yeye hujisomea na kuelewa. Sasa kama wewe bado unasomewa na mwingine hata akikupoteza hutaelewa.

    • @abubakarhajjabubakarhajj1252
      @abubakarhajjabubakarhajj1252 ปีที่แล้ว

      @@isaacvtv547 mpaka ufundishwe ndugu yangu huwezi kujuwa mwenyewe naamini hata wewe hukujisomesha mwenyewe ulienda shule ukasomeshwa

  • @millereliteendtimeministry6621
    @millereliteendtimeministry6621 ปีที่แล้ว +4

    Earthly trained pastors, without humility of a child, cannot grasp simple biblical concepts!

    • @thefountainsofhopeministry2023
      @thefountainsofhopeministry2023 ปีที่แล้ว

      It's even more worse for untrained laymen without humility it's a disaster like in this case

    • @nasirmohamed1589
      @nasirmohamed1589 9 หลายเดือนก่อน

      Ok so where do we get heavenly trained pse.

  • @powersetmentors8833
    @powersetmentors8833 ปีที่แล้ว

    The word was God, Dickson haelewi hilo neno Kwa kigiriki linamaanisha "as divine as God the Father."

  • @AshekironikamanyongaKama-yi3hg
    @AshekironikamanyongaKama-yi3hg 9 หลายเดือนก่อน

    Sema Baba

  • @simeonmazigo5918
    @simeonmazigo5918 5 หลายเดือนก่อน

    Kama kunasomo nililielewa kwa undani ni Somo la utatu mtakatifu hata nikiwa usingizini nalifundisha vizuri mno Mungu mmoja mwenye Nafsi 3

    • @mhandoonthebeats8581
      @mhandoonthebeats8581 5 หลายเดือนก่อน

      Mmh wewe nawe Mungu mmoja mwenye nafsi tatu andiko gani linasema hivyo nipe andiko

    • @jamilmwinge3695
      @jamilmwinge3695 หลายเดือนก่อน

      Umefeli jifunze tena

  • @japhetndoro6533
    @japhetndoro6533 ปีที่แล้ว +3

    Dickson usipoelewa utakuwa wabisha Tu ndacha akosawa kabisa

  • @elijahmaragia1213
    @elijahmaragia1213 10 หลายเดือนก่อน

    he who convinces you easily lies to you easily too. you do not claim giving space by taking away the same space.

  • @ellyothim355
    @ellyothim355 ปีที่แล้ว

    It will take time,but finally you'll understand that Jesus is the Son of God,

  • @Nancybosibori-sz5nb
    @Nancybosibori-sz5nb 9 หลายเดือนก่อน

    MATENDO YA MITUME 18:25-28 ninaomba kwa nee ma yaMUNGU awaongoze😊

  • @mutiembingi-le6kz
    @mutiembingi-le6kz ปีที่แล้ว +1

    Wacheni kubishana ombeni MUNGU awafunulie

  • @millereliteendtimeministry6621
    @millereliteendtimeministry6621 ปีที่แล้ว

    Pastor Dickson Osoro, Was Jesus the Son of God before being born in Human form on Earth? Simple question!

  • @njiasalamaniipi
    @njiasalamaniipi ปีที่แล้ว

    🤣 mCHUNGAJI ana teseka.

  • @MariaWambugha-nh1wh
    @MariaWambugha-nh1wh ปีที่แล้ว +1

    Mungu amekupa kibali cha kufungua binadamu macho ya kiroho wale wanaokubali ukweli mwalimu Ndacha😮😮😮😮😮😮😮

  • @MosesMomanyi-rf1kn
    @MosesMomanyi-rf1kn ปีที่แล้ว +3

    apo mchungaji Dickson umechanganyikiwa

  • @michaelmusau6211
    @michaelmusau6211 ปีที่แล้ว

    Ndacha hili.somo.inahitaji roho mtakatifu

  • @elicknyega7317
    @elicknyega7317 ปีที่แล้ว +2

    Mungu akubariki ndacha

    • @stelacalavelmtepa2409
      @stelacalavelmtepa2409 ปีที่แล้ว

      Mungu tunamjifunza kulingana na nuru ambayo amejifunua kwetu (Kumb 29:29).
      Fundisho la utatu matakatifu "Divinity" ni fundisho la Mungu mwenyewe na sio Kanisa la waadventista wa Sábato.
      Ukweli ni kwamba, msimamo wa maandiko matakatifu kuhusu Mungu ni huu " Kumb 6:4; Marko 12:29-31; Waefeso 4:5" haya ni baadhi ya mafungu yanayo funua ukweli wawazi kabisa yakuwa Mungu ni mmoja.
      HOJA YA MSINGI NI KWANBA HUYU MUNGU MMOJA ANASEMJE KUHUSU YEYE, Anajifu nua vip?
      Mafungu haya (Mwanzo 1:26;3:22;11:7) haya hitaji hata kujua lugha ya asil iliyo tumika hapo, isipo kuwa kiswahil na kingereza vinajieleza wazi kabisa Yapo katika wingi(plural form) "Natumfanye "1:26, Mmoja wetu 3:22, Natushuke 11:7 ya kitabu Cha mwanzo:
      Kana kwamba haitoshi, tukio Zima la kitabu Cha Mwanzo sura 1 had ya 2:3 Jina lililo tumika hapo MUNGU lipo katika wingi(plural form) Yani ELOHIM kwa kiebrania na si umoja(singular form).
      Kazi nzima ya uumbaji anajifunua Kayla wingi nasio umoja.
      HOJA YA MSINGI HAPO N HII;
      Ikiwa Kwa hakika Hakuna mwenye sifa ya kuumba isipokuwa Mungu pekee, swal ni kwamba NATUMFANYE alikuwa anahojiana na nani Ikiwa YEYE ni nafasi moja??, nadhani nivyema tupite kwenye haya mafungu tuone nin hasa anacho funua,
      Rejea Zaburi 33:6,9 linganisha na Yohana 1:1-3,14;
      Kisha soma Mwanzo 2:1-2 linganisha na Zabur 104:30; 33:4; Ezekiel 37:14: Warumi 8:11;
      Haya ni baadhi ya mafungu yanayo weka bayana wahusika wa Uumbaji(Baba na Neno na Roho matakatifu=Mungu(ELOHIM) Natumfanye; Natushuke;Mmoja wetu) Hivyo ndivyo anavyo jifunua kwetu ni Mmoja katika wingi (plural form).
      Kumb 6:4 "sikiza, ee Israel: Bwana(Yehova), Mungu(Elohim) wetu, Bwana(Yehova) ndiye Mmoja(Echad=Neno hili Lina maana ya wingi plural form na sii Mmoja katika singular).
      Rejea Mathayo 28:19 "mka wabatize kwa JINA (sio majina ) la baba na la mwana na ra roho matakatifu" wakati Yesu Ana batizwa (Math 3:16) Biblia inasema alipo toka majini ROHO akamshukia, Siuti ikasikia toka mbinguni,(Baba, Mwana na Roho mtktf)
      Note: katika mafungu yote Yana weka wazi Baba ni nafasi hai, Mwana pía ni nafasi Hai kadharika roho matakatifu, tena zinazo jitegemea ndizo zilizo umba na ndizo zenye uwezo huo..
      Mfano kielelezo wa Mmoja katika nafasi tatu nikatika tukio la Uumbaji wa Mwanadam na Ndoa (natumfanye MTU=me na ke ila aliwaita MTU lakini pía Mwana mume na Mwanamke kuwa ni mwili Mmoja kwen physically ni mwil Mmoja.
      Biblia kwenye kitabu Cha Isaya 6:1-9 kuna HOJA hizo.
      1.Inaweka wazi ROHO MTAKATIFU nadie aloe mfunulia mano Isaya na ndie aloe mpatia wito es utume Isaya 6:9 linganisha na Matendo 28:26-27;Math 13:14-15.
      2.Isaya anamtaja Roho MTAKATIFU kuwa ni Bwana jina lilelile Yehova(Isaya 6:8).
      3.Lakini alie mwona ndani ya hekalu la mbinguni mwenye vazi like alie kuwa akiabudiwa Biblia inamtaja ni YESU angalia Ezekiel 1:26-28; Amos 9:1; Ufunu 4:2.
      Mungu ni Mmoja katika nafasi tatu halisi BABA MWANA NA ROHO MTAKATIFU nafasi za umilele zilizo sawa. Hvyo ndivyo anavyo jifunua mwenyewe.

    • @jacklinekhatenje
      @jacklinekhatenje ปีที่แล้ว

      Ndacha ubarikiwe sana umetufunua mwacho yaliyo funikwa na watidh wa uongo

  • @MrKeyvo
    @MrKeyvo ปีที่แล้ว +1

    La illaha IllAllah

  • @shadrackanyoka587
    @shadrackanyoka587 ปีที่แล้ว +1

    Those who are pastors and teachers carry the heaviest burden if they can't have a correct understanding of who God is it shall be but futile.

  • @soloartist_ivanvespalusind1609
    @soloartist_ivanvespalusind1609 11 หลายเดือนก่อน

    Effects of Christian Vs Islamic debates. Ndacha sio mkristo tena, anajificha tu.

  • @ibrahimabdallah5681
    @ibrahimabdallah5681 9 หลายเดือนก่อน

    Bora leo mnabishana wenyewe kwa wenyewe hakuna dini hapo

  • @JacobMulli
    @JacobMulli ปีที่แล้ว +4

    And the word was made flesh, Jesus said my words are spirit and life, Emmanuel means God with us ,Our God is one and the three bare witness at heaven the father, the word[Jesus] and the HOLY spirit and these three ARE ONE. Jesus said who has seen me has the father. In SHORT THERE IS ONLY ONE GOD, HE IS SEEN AS the father/ Creator , son / redeemer, and the holy spirit/ miracle worker the same way , I can be a father, a son and a barber those are not separate me's but One . LASTLY, {DEU 6:4 Hear, O Israel : The LORD our God is one LORD] Please, God is not author of confusion he his one.

    • @johnawinda2165
      @johnawinda2165 ปีที่แล้ว

      Andiko ?

    • @JacobMulli
      @JacobMulli ปีที่แล้ว +1

      @@johnawinda2165 14 And the Word was made flesh, and dwelt among us, (and we beheld his glory, the glory as of the only begotten of the Father,) full of grace and truth. [ John 1: 14]

    • @JacobMulli
      @JacobMulli ปีที่แล้ว +1

      Hope, umesaidika ?

    • @JacobMulli
      @JacobMulli ปีที่แล้ว +1

      andiko ni hilo hapo juu, soma @@johnawinda2165

  • @EmilyBiketi-rn9so
    @EmilyBiketi-rn9so ปีที่แล้ว +1

    Kumbe SDA walibandilisha mpaka logo.dunia imeisha ufalume wa giza unatawala.

    • @stelacalavelmtepa2409
      @stelacalavelmtepa2409 ปีที่แล้ว

      Mungu tunamjifunza kulingana na nuru ambayo amejifunua kwetu (Kumb 29:29).
      Fundisho la utatu matakatifu "Divinity" ni fundisho la Mungu mwenyewe na sio Kanisa la waadventista wa Sábato.
      Ukweli ni kwamba, msimamo wa maandiko matakatifu kuhusu Mungu ni huu " Kumb 6:4; Marko 12:29-31; Waefeso 4:5" haya ni baadhi ya mafungu yanayo funua ukweli wawazi kabisa yakuwa Mungu ni mmoja.
      HOJA YA MSINGI NI KWANBA HUYU MUNGU MMOJA ANASEMJE KUHUSU YEYE, Anajifu nua vip?
      Mafungu haya (Mwanzo 1:26;3:22;11:7) haya hitaji hata kujua lugha ya asil iliyo tumika hapo, isipo kuwa kiswahil na kingereza vinajieleza wazi kabisa Yapo katika wingi(plural form) "Natumfanye "1:26, Mmoja wetu 3:22, Natushuke 11:7 ya kitabu Cha mwanzo:
      Kana kwamba haitoshi, tukio Zima la kitabu Cha Mwanzo sura 1 had ya 2:3 Jina lililo tumika hapo MUNGU lipo katika wingi(plural form) Yani ELOHIM kwa kiebrania na si umoja(singular form).
      Kazi nzima ya uumbaji anajifunua Kayla wingi nasio umoja.
      HOJA YA MSINGI HAPO N HII;
      Ikiwa Kwa hakika Hakuna mwenye sifa ya kuumba isipokuwa Mungu pekee, swal ni kwamba NATUMFANYE alikuwa anahojiana na nani Ikiwa YEYE ni nafasi moja??, nadhani nivyema tupite kwenye haya mafungu tuone nin hasa anacho funua,
      Rejea Zaburi 33:6,9 linganisha na Yohana 1:1-3,14;
      Kisha soma Mwanzo 2:1-2 linganisha na Zabur 104:30; 33:4; Ezekiel 37:14: Warumi 8:11;
      Haya ni baadhi ya mafungu yanayo weka bayana wahusika wa Uumbaji(Baba na Neno na Roho matakatifu=Mungu(ELOHIM) Natumfanye; Natushuke;Mmoja wetu) Hivyo ndivyo anavyo jifunua kwetu ni Mmoja katika wingi (plural form).
      Kumb 6:4 "sikiza, ee Israel: Bwana(Yehova), Mungu(Elohim) wetu, Bwana(Yehova) ndiye Mmoja(Echad=Neno hili Lina maana ya wingi plural form na sii Mmoja katika singular).
      Rejea Mathayo 28:19 "mka wabatize kwa JINA (sio majina ) la baba na la mwana na ra roho matakatifu" wakati Yesu Ana batizwa (Math 3:16) Biblia inasema alipo toka majini ROHO akamshukia, Siuti ikasikia toka mbinguni,(Baba, Mwana na Roho mtktf)
      Note: katika mafungu yote Yana weka wazi Baba ni nafasi hai, Mwana pía ni nafasi Hai kadharika roho matakatifu, tena zinazo jitegemea ndizo zilizo umba na ndizo zenye uwezo huo..
      Mfano kielelezo wa Mmoja katika nafasi tatu nikatika tukio la Uumbaji wa Mwanadam na Ndoa (natumfanye MTU=me na ke ila aliwaita MTU lakini pía Mwana mume na Mwanamke kuwa ni mwili Mmoja kwen physically ni mwil Mmoja.
      Biblia kwenye kitabu Cha Isaya 6:1-9 kuna HOJA hizo.
      1.Inaweka wazi ROHO MTAKATIFU nadie aloe mfunulia mano Isaya na ndie aloe mpatia wito es utume Isaya 6:9 linganisha na Matendo 28:26-27;Math 13:14-15.
      2.Isaya anamtaja Roho MTAKATIFU kuwa ni Bwana jina lilelile Yehova(Isaya 6:8).
      3.Lakini alie mwona ndani ya hekalu la mbinguni mwenye vazi like alie kuwa akiabudiwa Biblia inamtaja ni YESU angalia Ezekiel 1:26-28; Amos 9:1; Ufunu 4:2.
      Mungu ni Mmoja katika nafasi tatu halisi BABA MWANA NA ROHO MTAKATIFU nafasi za umilele zilizo sawa. Hvyo ndivyo anavyo jifunua mwenyewe.

  • @GilesKhamis
    @GilesKhamis ปีที่แล้ว +2

    Utatu wa nafsi katika mafundisho ya kweliii !! Hakuna kabisa

    • @stelacalavelmtepa2409
      @stelacalavelmtepa2409 ปีที่แล้ว

      Mungu tunamjifunza kulingana na nuru ambayo amejifunua kwetu (Kumb 29:29).
      Fundisho la utatu matakatifu "Divinity" ni fundisho la Mungu mwenyewe na sio Kanisa la waadventista wa Sábato.
      Ukweli ni kwamba, msimamo wa maandiko matakatifu kuhusu Mungu ni huu " Kumb 6:4; Marko 12:29-31; Waefeso 4:5" haya ni baadhi ya mafungu yanayo funua ukweli wawazi kabisa yakuwa Mungu ni mmoja.
      HOJA YA MSINGI NI KWANBA HUYU MUNGU MMOJA ANASEMJE KUHUSU YEYE, Anajifu nua vip?
      Mafungu haya (Mwanzo 1:26;3:22;11:7) haya hitaji hata kujua lugha ya asil iliyo tumika hapo, isipo kuwa kiswahil na kingereza vinajieleza wazi kabisa Yapo katika wingi(plural form) "Natumfanye "1:26, Mmoja wetu 3:22, Natushuke 11:7 ya kitabu Cha mwanzo:
      Kana kwamba haitoshi, tukio Zima la kitabu Cha Mwanzo sura 1 had ya 2:3 Jina lililo tumika hapo MUNGU lipo katika wingi(plural form) Yani ELOHIM kwa kiebrania na si umoja(singular form).
      Kazi nzima ya uumbaji anajifunua Kayla wingi nasio umoja.
      HOJA YA MSINGI HAPO N HII;
      Ikiwa Kwa hakika Hakuna mwenye sifa ya kuumba isipokuwa Mungu pekee, swal ni kwamba NATUMFANYE alikuwa anahojiana na nani Ikiwa YEYE ni nafasi moja??, nadhani nivyema tupite kwenye haya mafungu tuone nin hasa anacho funua,
      Rejea Zaburi 33:6,9 linganisha na Yohana 1:1-3,14;
      Kisha soma Mwanzo 2:1-2 linganisha na Zabur 104:30; 33:4; Ezekiel 37:14: Warumi 8:11;
      Haya ni baadhi ya mafungu yanayo weka bayana wahusika wa Uumbaji(Baba na Neno na Roho matakatifu=Mungu(ELOHIM) Natumfanye; Natushuke;Mmoja wetu) Hivyo ndivyo anavyo jifunua kwetu ni Mmoja katika wingi (plural form).
      Kumb 6:4 "sikiza, ee Israel: Bwana(Yehova), Mungu(Elohim) wetu, Bwana(Yehova) ndiye Mmoja(Echad=Neno hili Lina maana ya wingi plural form na sii Mmoja katika singular).
      Rejea Mathayo 28:19 "mka wabatize kwa JINA (sio majina ) la baba na la mwana na ra roho matakatifu" wakati Yesu Ana batizwa (Math 3:16) Biblia inasema alipo toka majini ROHO akamshukia, Siuti ikasikia toka mbinguni,(Baba, Mwana na Roho mtktf)
      Note: katika mafungu yote Yana weka wazi Baba ni nafasi hai, Mwana pía ni nafasi Hai kadharika roho matakatifu, tena zinazo jitegemea ndizo zilizo umba na ndizo zenye uwezo huo..
      Mfano kielelezo wa Mmoja katika nafasi tatu nikatika tukio la Uumbaji wa Mwanadam na Ndoa (natumfanye MTU=me na ke ila aliwaita MTU lakini pía Mwana mume na Mwanamke kuwa ni mwili Mmoja kwen physically ni mwil Mmoja.
      Biblia kwenye kitabu Cha Isaya 6:1-9 kuna HOJA hizo.
      1.Inaweka wazi ROHO MTAKATIFU nadie aloe mfunulia mano Isaya na ndie aloe mpatia wito es utume Isaya 6:9 linganisha na Matendo 28:26-27;Math 13:14-15.
      2.Isaya anamtaja Roho MTAKATIFU kuwa ni Bwana jina lilelile Yehova(Isaya 6:8).
      3.Lakini alie mwona ndani ya hekalu la mbinguni mwenye vazi like alie kuwa akiabudiwa Biblia inamtaja ni YESU angalia Ezekiel 1:26-28; Amos 9:1; Ufunu 4:2.
      Mungu ni Mmoja katika nafasi tatu halisi BABA MWANA NA ROHO MTAKATIFU nafasi za umilele zilizo sawa. Hvyo ndivyo anavyo jifunua mwenyewe.

    • @jacklinekhatenje
      @jacklinekhatenje ปีที่แล้ว

      ​@@stelacalavelmtepa2409 ww hukosi kuwa mwana wa Dickson uko all over the comment section kutetea uongo jameni .Kwa Bibilia hakuna Mungu mwana

    • @stelacalavelmtepa2409
      @stelacalavelmtepa2409 ปีที่แล้ว +1

      @@jacklinekhatenje mimi napenda kujifunza Biblia, lakini Ndacha anacho fundisha bado hata yeye anahitaji kujifunza zaidi, maana nukuu hizo anavyo zitafsri, nikinyume kabisa na ufasiriji wa maandiko kitheologia.
      Amesha athiriwa na mijadara ya waislam mana ufasiri wake umekiuka misingi ya ufasiri wa maandiko matakatifu,

    • @stelacalavelmtepa2409
      @stelacalavelmtepa2409 ปีที่แล้ว

      Kama ni hivyo kwamba Hakuna utatu context ya mafungu haya(Mwanzo 1:26;3:22;11:7;Mathayo 28:19;3:16-17; Isaya 6:3 linganisha na Ufunuo 4:8) ni IP??? Kwa sababu Jina tu MUNGU, lipo kwa Plural form na wala sio Singular form Yaan ELOHIM nin hasa mantiki ya hiyo???
      Naukumbuke kitabu Cha Mwanzo sura ya kwanza Kuna maelezo ya Musa na ya Mungu.
      Mfano; Genesis 1:26 "(A)Mungu akasema,(B) natumfanye mtu..
      A-nitaarifa ya Musa kwa alicho sema Mungu
      B-Ndicho Mungu alicho sema
      Inamana Kama ingeandikwa kauli ya Mungu pekeyake Genesis 1:26 ingesomeka hivi "Genesis 1:26Natumfanye mtu kwa mfano wetu."" Angalia vizuri hayo maneno NATU na WETU ni wingi.
      SWALI langu ikiwa unakataa wingi ambao ndivyo anajifunua yeye mwenyewe, niambie wewe nini alimaanisha hapo?

    • @stelacalavelmtepa2409
      @stelacalavelmtepa2409 ปีที่แล้ว

      Na tuelewe kwamba unapo sema tu Neno MUNGU au GOD Hilo tu!
      1.kwa lenyewe narudia kusema lipo kwenye Wingi nasio Mmoja kama unavyo zani, maana nineno la kiebrania yaani ELOHIM lililotafsiliwa kwa kingereza GOD kwa kiswahil MUNGU.
      2.Katika Deu 6:4 lile Neno MMOJA sivyo kama unavyo dhani wewe kwa sababu Hilo Neno ukirejea kwenye asili yake ni ECHAD ambalo kiswahil kimelitafsiri MMOJA ni hilo utaliona limetumika pía kwenye Génesis 2:24:
      Halina tafsiri ya moja unayo dhani wewe ile uliyo fundishwa darasani, hii ni "moja" ya shule ya Mungu inahitaji IMANI pekee na daima inajifunua katika wingi

  • @nasirmohamed1589
    @nasirmohamed1589 9 หลายเดือนก่อน

    Mwana wa rais anaweza kuitwa rais

    • @benreborn
      @benreborn 9 หลายเดือนก่อน +1

      What is impossible with man,is possible with God

    • @nasirmohamed1589
      @nasirmohamed1589 9 หลายเดือนก่อน

      @@benreborn n whats impossible is a changing god

    • @RehemaMkandawile-i3l
      @RehemaMkandawile-i3l 9 หลายเดือนก่อน

      No

  • @Fredlimbu
    @Fredlimbu ปีที่แล้ว

    Ndacha,Get blessed

  • @johnmuemawambua6019
    @johnmuemawambua6019 ปีที่แล้ว

    Andiko utafsiriwa na andiko, osoro anapotosha adharani masikitiko mkubwa!!😮😮😮

  • @ezekielmwamba9106
    @ezekielmwamba9106 ปีที่แล้ว +1

    Oooho jamani mchungaji Dickson Osoro eti walikaa kikao wakaelewana Yesu akuwe mwana, swali kwa andiko gani? Yaani huu ni mshipa mkuu ndani ya GC SDA.

    • @ft90683
      @ft90683 ปีที่แล้ว

      Yes,Zaburi 2:7

    • @stelacalavelmtepa2409
      @stelacalavelmtepa2409 ปีที่แล้ว

      Mungu tunamjifunza kulingana na nuru ambayo amejifunua kwetu (Kumb 29:29).
      Fundisho la utatu matakatifu "Divinity" ni fundisho la Mungu mwenyewe na sio Kanisa la waadventista wa Sábato.
      Ukweli ni kwamba, msimamo wa maandiko matakatifu kuhusu Mungu ni huu " Kumb 6:4; Marko 12:29-31; Waefeso 4:5" haya ni baadhi ya mafungu yanayo funua ukweli wawazi kabisa yakuwa Mungu ni mmoja.
      HOJA YA MSINGI NI KWANBA HUYU MUNGU MMOJA ANASEMJE KUHUSU YEYE, Anajifu nua vip?
      Mafungu haya (Mwanzo 1:26;3:22;11:7) haya hitaji hata kujua lugha ya asil iliyo tumika hapo, isipo kuwa kiswahil na kingereza vinajieleza wazi kabisa Yapo katika wingi(plural form) "Natumfanye "1:26, Mmoja wetu 3:22, Natushuke 11:7 ya kitabu Cha mwanzo:
      Kana kwamba haitoshi, tukio Zima la kitabu Cha Mwanzo sura 1 had ya 2:3 Jina lililo tumika hapo MUNGU lipo katika wingi(plural form) Yani ELOHIM kwa kiebrania na si umoja(singular form).
      Kazi nzima ya uumbaji anajifunua Kayla wingi nasio umoja.
      HOJA YA MSINGI HAPO N HII;
      Ikiwa Kwa hakika Hakuna mwenye sifa ya kuumba isipokuwa Mungu pekee, swal ni kwamba NATUMFANYE alikuwa anahojiana na nani Ikiwa YEYE ni nafasi moja??, nadhani nivyema tupite kwenye haya mafungu tuone nin hasa anacho funua,
      Rejea Zaburi 33:6,9 linganisha na Yohana 1:1-3,14;
      Kisha soma Mwanzo 2:1-2 linganisha na Zabur 104:30; 33:4; Ezekiel 37:14: Warumi 8:11;
      Haya ni baadhi ya mafungu yanayo weka bayana wahusika wa Uumbaji(Baba na Neno na Roho matakatifu=Mungu(ELOHIM) Natumfanye; Natushuke;Mmoja wetu) Hivyo ndivyo anavyo jifunua kwetu ni Mmoja katika wingi (plural form).
      Kumb 6:4 "sikiza, ee Israel: Bwana(Yehova), Mungu(Elohim) wetu, Bwana(Yehova) ndiye Mmoja(Echad=Neno hili Lina maana ya wingi plural form na sii Mmoja katika singular).
      Rejea Mathayo 28:19 "mka wabatize kwa JINA (sio majina ) la baba na la mwana na ra roho matakatifu" wakati Yesu Ana batizwa (Math 3:16) Biblia inasema alipo toka majini ROHO akamshukia, Siuti ikasikia toka mbinguni,(Baba, Mwana na Roho mtktf)
      Note: katika mafungu yote Yana weka wazi Baba ni nafasi hai, Mwana pía ni nafasi Hai kadharika roho matakatifu, tena zinazo jitegemea ndizo zilizo umba na ndizo zenye uwezo huo..
      Mfano kielelezo wa Mmoja katika nafasi tatu nikatika tukio la Uumbaji wa Mwanadam na Ndoa (natumfanye MTU=me na ke ila aliwaita MTU lakini pía Mwana mume na Mwanamke kuwa ni mwili Mmoja kwen physically ni mwil Mmoja.
      Biblia kwenye kitabu Cha Isaya 6:1-9 kuna HOJA hizo.
      1.Inaweka wazi ROHO MTAKATIFU nadie aloe mfunulia mano Isaya na ndie aloe mpatia wito es utume Isaya 6:9 linganisha na Matendo 28:26-27;Math 13:14-15.
      2.Isaya anamtaja Roho MTAKATIFU kuwa ni Bwana jina lilelile Yehova(Isaya 6:8).
      3.Lakini alie mwona ndani ya hekalu la mbinguni mwenye vazi like alie kuwa akiabudiwa Biblia inamtaja ni YESU angalia Ezekiel 1:26-28; Amos 9:1; Ufunu 4:2.
      Mungu ni Mmoja katika nafasi tatu halisi BABA MWANA NA ROHO MTAKATIFU nafasi za umilele zilizo sawa. Hvyo ndivyo anavyo jifunua mwenyewe.

  • @isaacobiero296
    @isaacobiero296 ปีที่แล้ว +1

    Kindly look for a minister who is not a Kisii😅 huyu Dickson anabebwa na hasira za ukisii, not open for new light!

    • @stelacalavelmtepa2409
      @stelacalavelmtepa2409 ปีที่แล้ว

      Mungu tunamjifunza kulingana na nuru ambayo amejifunua kwetu (Kumb 29:29).
      Fundisho la utatu matakatifu "Divinity" ni fundisho la Mungu mwenyewe na sio Kanisa la waadventista wa Sábato.
      Ukweli ni kwamba, msimamo wa maandiko matakatifu kuhusu Mungu ni huu " Kumb 6:4; Marko 12:29-31; Waefeso 4:5" haya ni baadhi ya mafungu yanayo funua ukweli wawazi kabisa yakuwa Mungu ni mmoja.
      HOJA YA MSINGI NI KWANBA HUYU MUNGU MMOJA ANASEMJE KUHUSU YEYE, Anajifu nua vip?
      Mafungu haya (Mwanzo 1:26;3:22;11:7) haya hitaji hata kujua lugha ya asil iliyo tumika hapo, isipo kuwa kiswahil na kingereza vinajieleza wazi kabisa Yapo katika wingi(plural form) "Natumfanye "1:26, Mmoja wetu 3:22, Natushuke 11:7 ya kitabu Cha mwanzo:
      Kana kwamba haitoshi, tukio Zima la kitabu Cha Mwanzo sura 1 had ya 2:3 Jina lililo tumika hapo MUNGU lipo katika wingi(plural form) Yani ELOHIM kwa kiebrania na si umoja(singular form).
      Kazi nzima ya uumbaji anajifunua Kayla wingi nasio umoja.
      HOJA YA MSINGI HAPO N HII;
      Ikiwa Kwa hakika Hakuna mwenye sifa ya kuumba isipokuwa Mungu pekee, swal ni kwamba NATUMFANYE alikuwa anahojiana na nani Ikiwa YEYE ni nafasi moja??, nadhani nivyema tupite kwenye haya mafungu tuone nin hasa anacho funua,
      Rejea Zaburi 33:6,9 linganisha na Yohana 1:1-3,14;
      Kisha soma Mwanzo 2:1-2 linganisha na Zabur 104:30; 33:4; Ezekiel 37:14: Warumi 8:11;
      Haya ni baadhi ya mafungu yanayo weka bayana wahusika wa Uumbaji(Baba na Neno na Roho matakatifu=Mungu(ELOHIM) Natumfanye; Natushuke;Mmoja wetu) Hivyo ndivyo anavyo jifunua kwetu ni Mmoja katika wingi (plural form).
      Kumb 6:4 "sikiza, ee Israel: Bwana(Yehova), Mungu(Elohim) wetu, Bwana(Yehova) ndiye Mmoja(Echad=Neno hili Lina maana ya wingi plural form na sii Mmoja katika singular).
      Rejea Mathayo 28:19 "mka wabatize kwa JINA (sio majina ) la baba na la mwana na ra roho matakatifu" wakati Yesu Ana batizwa (Math 3:16) Biblia inasema alipo toka majini ROHO akamshukia, Siuti ikasikia toka mbinguni,(Baba, Mwana na Roho mtktf)
      Note: katika mafungu yote Yana weka wazi Baba ni nafasi hai, Mwana pía ni nafasi Hai kadharika roho matakatifu, tena zinazo jitegemea ndizo zilizo umba na ndizo zenye uwezo huo..
      Mfano kielelezo wa Mmoja katika nafasi tatu nikatika tukio la Uumbaji wa Mwanadam na Ndoa (natumfanye MTU=me na ke ila aliwaita MTU lakini pía Mwana mume na Mwanamke kuwa ni mwili Mmoja kwen physically ni mwil Mmoja.
      Biblia kwenye kitabu Cha Isaya 6:1-9 kuna HOJA hizo.
      1.Inaweka wazi ROHO MTAKATIFU nadie aloe mfunulia mano Isaya na ndie aloe mpatia wito es utume Isaya 6:9 linganisha na Matendo 28:26-27;Math 13:14-15.
      2.Isaya anamtaja Roho MTAKATIFU kuwa ni Bwana jina lilelile Yehova(Isaya 6:8).
      3.Lakini alie mwona ndani ya hekalu la mbinguni mwenye vazi like alie kuwa akiabudiwa Biblia inamtaja ni YESU angalia Ezekiel 1:26-28; Amos 9:1; Ufunu 4:2.
      Mungu ni Mmoja katika nafasi tatu halisi BABA MWANA NA ROHO MTAKATIFU nafasi za umilele zilizo sawa. Hvyo ndivyo anavyo jifunua mwenyewe.

  • @timotheomwita4529
    @timotheomwita4529 ปีที่แล้ว +1

    Ebrania 1:5_8_10 iko wazi

  • @mutiembingi-le6kz
    @mutiembingi-le6kz ปีที่แล้ว

    Unajua bibilia ni maandiko sio Neno sababu watu urongwa kutumia bibilia lakini likiwana Neno hua ni moto

  • @RehemaMkandawile-i3l
    @RehemaMkandawile-i3l 9 หลายเดือนก่อน

    Makafiri wapo kazini kutetea mshahara

  • @EmileClaver
    @EmileClaver 11 หลายเดือนก่อน

    Hata sisi ni wana wa mungu

  • @japhetndoro6533
    @japhetndoro6533 ปีที่แล้ว

    Dickson ameshindwa lakin hataki kusema ameelewa

  • @mugendibryan9105
    @mugendibryan9105 หลายเดือนก่อน

    Mbona Dickson anajaribu kutetea trinity ambayo haina misingi ya kutetewa

  • @cititechsolutions3269
    @cititechsolutions3269 ปีที่แล้ว +3

    Haaahaha ati munasema Dickson ni mchungaji? Wah dunia finished

    • @stelacalavelmtepa2409
      @stelacalavelmtepa2409 ปีที่แล้ว

      Mungu tunamjifunza kulingana na nuru ambayo amejifunua kwetu (Kumb 29:29).
      Fundisho la utatu matakatifu "Divinity" ni fundisho la Mungu mwenyewe na sio Kanisa la waadventista wa Sábato.
      Ukweli ni kwamba, msimamo wa maandiko matakatifu kuhusu Mungu ni huu " Kumb 6:4; Marko 12:29-31; Waefeso 4:5" haya ni baadhi ya mafungu yanayo funua ukweli wawazi kabisa yakuwa Mungu ni mmoja.
      HOJA YA MSINGI NI KWANBA HUYU MUNGU MMOJA ANASEMJE KUHUSU YEYE, Anajifu nua vip?
      Mafungu haya (Mwanzo 1:26;3:22;11:7) haya hitaji hata kujua lugha ya asil iliyo tumika hapo, isipo kuwa kiswahil na kingereza vinajieleza wazi kabisa Yapo katika wingi(plural form) "Natumfanye "1:26, Mmoja wetu 3:22, Natushuke 11:7 ya kitabu Cha mwanzo:
      Kana kwamba haitoshi, tukio Zima la kitabu Cha Mwanzo sura 1 had ya 2:3 Jina lililo tumika hapo MUNGU lipo katika wingi(plural form) Yani ELOHIM kwa kiebrania na si umoja(singular form).
      Kazi nzima ya uumbaji anajifunua Kayla wingi nasio umoja.
      HOJA YA MSINGI HAPO N HII;
      Ikiwa Kwa hakika Hakuna mwenye sifa ya kuumba isipokuwa Mungu pekee, swal ni kwamba NATUMFANYE alikuwa anahojiana na nani Ikiwa YEYE ni nafasi moja??, nadhani nivyema tupite kwenye haya mafungu tuone nin hasa anacho funua,
      Rejea Zaburi 33:6,9 linganisha na Yohana 1:1-3,14;
      Kisha soma Mwanzo 2:1-2 linganisha na Zabur 104:30; 33:4; Ezekiel 37:14: Warumi 8:11;
      Haya ni baadhi ya mafungu yanayo weka bayana wahusika wa Uumbaji(Baba na Neno na Roho matakatifu=Mungu(ELOHIM) Natumfanye; Natushuke;Mmoja wetu) Hivyo ndivyo anavyo jifunua kwetu ni Mmoja katika wingi (plural form).
      Kumb 6:4 "sikiza, ee Israel: Bwana(Yehova), Mungu(Elohim) wetu, Bwana(Yehova) ndiye Mmoja(Echad=Neno hili Lina maana ya wingi plural form na sii Mmoja katika singular).
      Rejea Mathayo 28:19 "mka wabatize kwa JINA (sio majina ) la baba na la mwana na ra roho matakatifu" wakati Yesu Ana batizwa (Math 3:16) Biblia inasema alipo toka majini ROHO akamshukia, Siuti ikasikia toka mbinguni,(Baba, Mwana na Roho mtktf)
      Note: katika mafungu yote Yana weka wazi Baba ni nafasi hai, Mwana pía ni nafasi Hai kadharika roho matakatifu, tena zinazo jitegemea ndizo zilizo umba na ndizo zenye uwezo huo..
      Mfano kielelezo wa Mmoja katika nafasi tatu nikatika tukio la Uumbaji wa Mwanadam na Ndoa (natumfanye MTU=me na ke ila aliwaita MTU lakini pía Mwana mume na Mwanamke kuwa ni mwili Mmoja kwen physically ni mwil Mmoja.
      Biblia kwenye kitabu Cha Isaya 6:1-9 kuna HOJA hizo.
      1.Inaweka wazi ROHO MTAKATIFU nadie aloe mfunulia mano Isaya na ndie aloe mpatia wito es utume Isaya 6:9 linganisha na Matendo 28:26-27;Math 13:14-15.
      2.Isaya anamtaja Roho MTAKATIFU kuwa ni Bwana jina lilelile Yehova(Isaya 6:8).
      3.Lakini alie mwona ndani ya hekalu la mbinguni mwenye vazi like alie kuwa akiabudiwa Biblia inamtaja ni YESU angalia Ezekiel 1:26-28; Amos 9:1; Ufunu 4:2.
      Mungu ni Mmoja katika nafasi tatu halisi BABA MWANA NA ROHO MTAKATIFU nafasi za umilele zilizo sawa. Hvyo ndivyo anavyo jifunua mwenyewe.

  • @ezrakaimenyi910
    @ezrakaimenyi910 ปีที่แล้ว

    Is it true that the fundamental belief calls Jesus God in personality?

    • @ayub7137
      @ayub7137 ปีที่แล้ว

      Yes it's true inasema hivo

  • @timotheomwita4529
    @timotheomwita4529 ปีที่แล้ว

    Kuna mwili nafasi na ROHO mwili ni mwili nafasi ni nafasi na ROHO ni ROHO

  • @samuelnyaachi7094
    @samuelnyaachi7094 ปีที่แล้ว +1

    1John 5:7-For there are THREE that bear record in heaven, the Father, the Word, and the Holy Ghost: and these THREE ARE ONE. (NA HII EVIDENCE WAPINGA TRINITY WATASEMAJE)?

    • @josephkanini1727
      @josephkanini1727 ปีที่แล้ว

      That verse was added....am using KJV bible that young pastor uses

    • @samuelmwirabua7158
      @samuelmwirabua7158 ปีที่แล้ว

      It is true this verse is nowhere in the original bible manuscript

    • @josephwainaina6442
      @josephwainaina6442 ปีที่แล้ว

      1 Johana 5:8
      [8]Roho, maaĩ, na thakame. Aira acio atatũ marutaga ũira ũhaanaine.
      And there are three that bear witness in earth, the Spirit, and the water, and the blood: and these three agree in one.

  • @OLUNGAJOSHMAH
    @OLUNGAJOSHMAH ปีที่แล้ว

    watakuja kuelewa tu...kwanzia kwa manabii na mitume hawajakuwa na welewa wa utatu...bali MUngu ni mmoja tu na BWAna ni mmoja tu YEsu KRisto 1cor 8:6

    • @stelacalavelmtepa2409
      @stelacalavelmtepa2409 ปีที่แล้ว

      Mungu tunamjifunza kulingana na nuru ambayo amejifunua kwetu (Kumb 29:29).
      Fundisho la utatu matakatifu "Divinity" ni fundisho la Mungu mwenyewe na sio Kanisa la waadventista wa Sábato.
      Ukweli ni kwamba, msimamo wa maandiko matakatifu kuhusu Mungu ni huu " Kumb 6:4; Marko 12:29-31; Waefeso 4:5" haya ni baadhi ya mafungu yanayo funua ukweli wawazi kabisa yakuwa Mungu ni mmoja.
      HOJA YA MSINGI NI KWANBA HUYU MUNGU MMOJA ANASEMJE KUHUSU YEYE, Anajifu nua vip?
      Mafungu haya (Mwanzo 1:26;3:22;11:7) haya hitaji hata kujua lugha ya asil iliyo tumika hapo, isipo kuwa kiswahil na kingereza vinajieleza wazi kabisa Yapo katika wingi(plural form) "Natumfanye "1:26, Mmoja wetu 3:22, Natushuke 11:7 ya kitabu Cha mwanzo:
      Kana kwamba haitoshi, tukio Zima la kitabu Cha Mwanzo sura 1 had ya 2:3 Jina lililo tumika hapo MUNGU lipo katika wingi(plural form) Yani ELOHIM kwa kiebrania na si umoja(singular form).
      Kazi nzima ya uumbaji anajifunua Kayla wingi nasio umoja.
      HOJA YA MSINGI HAPO N HII;
      Ikiwa Kwa hakika Hakuna mwenye sifa ya kuumba isipokuwa Mungu pekee, swal ni kwamba NATUMFANYE alikuwa anahojiana na nani Ikiwa YEYE ni nafasi moja??, nadhani nivyema tupite kwenye haya mafungu tuone nin hasa anacho funua,
      Rejea Zaburi 33:6,9 linganisha na Yohana 1:1-3,14;
      Kisha soma Mwanzo 2:1-2 linganisha na Zabur 104:30; 33:4; Ezekiel 37:14: Warumi 8:11;
      Haya ni baadhi ya mafungu yanayo weka bayana wahusika wa Uumbaji(Baba na Neno na Roho matakatifu=Mungu(ELOHIM) Natumfanye; Natushuke;Mmoja wetu) Hivyo ndivyo anavyo jifunua kwetu ni Mmoja katika wingi (plural form).
      Kumb 6:4 "sikiza, ee Israel: Bwana(Yehova), Mungu(Elohim) wetu, Bwana(Yehova) ndiye Mmoja(Echad=Neno hili Lina maana ya wingi plural form na sii Mmoja katika singular).
      Rejea Mathayo 28:19 "mka wabatize kwa JINA (sio majina ) la baba na la mwana na ra roho matakatifu" wakati Yesu Ana batizwa (Math 3:16) Biblia inasema alipo toka majini ROHO akamshukia, Siuti ikasikia toka mbinguni,(Baba, Mwana na Roho mtktf)
      Note: katika mafungu yote Yana weka wazi Baba ni nafasi hai, Mwana pía ni nafasi Hai kadharika roho matakatifu, tena zinazo jitegemea ndizo zilizo umba na ndizo zenye uwezo huo..
      Mfano kielelezo wa Mmoja katika nafasi tatu nikatika tukio la Uumbaji wa Mwanadam na Ndoa (natumfanye MTU=me na ke ila aliwaita MTU lakini pía Mwana mume na Mwanamke kuwa ni mwili Mmoja kwen physically ni mwil Mmoja.
      Biblia kwenye kitabu Cha Isaya 6:1-9 kuna HOJA hizo.
      1.Inaweka wazi ROHO MTAKATIFU nadie aloe mfunulia mano Isaya na ndie aloe mpatia wito es utume Isaya 6:9 linganisha na Matendo 28:26-27;Math 13:14-15.
      2.Isaya anamtaja Roho MTAKATIFU kuwa ni Bwana jina lilelile Yehova(Isaya 6:8).
      3.Lakini alie mwona ndani ya hekalu la mbinguni mwenye vazi like alie kuwa akiabudiwa Biblia inamtaja ni YESU angalia Ezekiel 1:26-28; Amos 9:1; Ufunu 4:2.
      Mungu ni Mmoja katika nafasi tatu halisi BABA MWANA NA ROHO MTAKATIFU nafasi za umilele zilizo sawa. Hvyo ndivyo anavyo jifunua mwenyewe.

  • @harrisonodiwa7248
    @harrisonodiwa7248 ปีที่แล้ว

    Ndugu zangu,fundisho la utatu mtakatifu ni fundisho la kipagani mimi ningali katika waadventista hawa wanaoamini mungu bandia wa trinity lakini mimi siamini utatu mtakatifu kabisa,natafuta kuondoka nijiunge na waadventista wasabato wana matengenezo.Utatu mtakatifu ni ushetani mkubwa na kejeli kwa Mungu mmoja wa Kweli baba wa Yesu Kristo.

    • @RehemaMkandawile-i3l
      @RehemaMkandawile-i3l 9 หลายเดือนก่อน

      mungu wa kweli mmoja tu ,muumba mbingu na ardi usie lala wape ufahamu hao viumbe vyako wapate kukuamini mwenyezi mungu mmoja

  • @mrjgrey100
    @mrjgrey100 ปีที่แล้ว +1

    Eternal ni wa milele bwana dickson

  • @gerardavalist-ob4ok
    @gerardavalist-ob4ok 5 หลายเดือนก่อน

    Ndacha mungu amsaidie (1)yohana5:20 yesu ni MUNGU WA KWELI

  • @James-fh3js
    @James-fh3js ปีที่แล้ว

    Mchungaji Dickson; pole sana.

  • @mugendibryan9105
    @mugendibryan9105 หลายเดือนก่อน

    Kutetea trinity nikama kutetea ruto

  • @stezardwezaweza3884
    @stezardwezaweza3884 ปีที่แล้ว

    Kama Theologia ni kujitetea si kutetea neno la Mungu ,, Dickson anafanya huu mjadala huwe ngumu ata kuwatch because anafanya kitu kimoja kirudiwe rudiwe

  • @japhetndoro6533
    @japhetndoro6533 ปีที่แล้ว +1

    Ndacha akosawa kabisa

  • @Nancybosibori-sz5nb
    @Nancybosibori-sz5nb 9 หลายเดือนก่อน

    WAGALATIA3:13-14LUKA17:20-21

  • @JohnKibajamdoe
    @JohnKibajamdoe ปีที่แล้ว

    Ndasha suala la uungu wa Yesu hulijui.Unaelezwa na hukubali.
    Hivi kwa point hiyo yako Unajitangaza kujitenga na General conference. Zungumzieni wokovu .

    • @victorbeno
      @victorbeno ปีที่แล้ว

      Omba mjadala tuone nani anajua

    • @josephnyandusi6616
      @josephnyandusi6616 ปีที่แล้ว

      Bwana John tumia hoja

    • @fm_tv
      @fm_tv ปีที่แล้ว

      Hoja tafadhali

  • @trezynjeri8288
    @trezynjeri8288 ปีที่แล้ว

    Dickson waa kuelewa ni ngumu