Kuna cku nilimpiga mtoto wa nyoka lkni aliwa kupotea hakufa lkni nilimwacha na jeraha,baada ya cku tatu mwanangu alikuwa mgonjwa nusra kufa,nikahisi ni yule mtoto wa nyoka mi naamini haya maneno sabab yashani
Zamani nilimkuta nyoka kwenye draw ya cherehani. Alivyo ingia sijui Nili mwagia mafuta ya taa. Alikimbia Na hakufa. Sasa ndio najua Nili muumiza jini. I hope ale ni samehe
Nyinyi ni dhehebu gani sababu masunni ahutTawhiyd ndio mnaowaita Wahhabi na je nyinyi ni pote ipi? Kisha hiyo ilikuwa ni fikra yake na rika yake wala haiwakilishi wengine
Shukran sheikh kwa elm
Jazakhallah khairan sheikh
Sasa hizo siku tatu utakua ukilala wp n nyoka yumo ndani
Shukran
Kuna cku nilimpiga mtoto wa nyoka lkni aliwa kupotea hakufa lkni nilimwacha na jeraha,baada ya cku tatu mwanangu alikuwa mgonjwa nusra kufa,nikahisi ni yule mtoto wa nyoka mi naamini haya maneno sabab yashani
Zamani nilimkuta nyoka kwenye draw ya cherehani. Alivyo ingia sijui Nili mwagia mafuta ya taa. Alikimbia Na hakufa. Sasa ndio najua Nili muumiza jini. I hope ale ni samehe
I nataka moyo ukae na nyoka siku Tatu na ulale usingizi ukupate Huo ni mtihani kwa kweli
Baba nyokaaaaa heeeee
Aljinan nyoka ni Jini huyo mwenye wa kufuga
mambo mazito.Allah atuhifadhi
Ameen
Kifutu .
Hili neno la kusikitisha,huyu amemnukuu Mtume swalaLlahu alehi wa salam sasa uwahabi umeingia wapi hapa?ama tumekua ni kuchukiana tu bila ya msingi?
Anaitwa puff ader kwa kizungu
Majini hawo ndungu zenu waislam 😂😂😂😂
Kuwa mstalabu Majini Ni viumbe vya mwenyezi mungu waisilamu awakuja nao
Mtu akiswali na akamuona nyoka amuuwe huku akiswali kwa vitendo katika swala ,je nyoka hawa ni nyoka gani hawa na pia wanaurafiki gani kwa bina Adam
Ambao hawa uwaw tutawajuaj?
Mungeweka picha za hao nyoka ingependeza
Nikimuona nitakutumia picha sitamuuwa
Shida yenu MAWAHABI mnajazba,Watu walikua wanajua dini kabla UWAHABI haujaja.
Umesema mlikua mnaambiwa mkae mbali nahuyo nyoka badala muamini mnasema ni ukurafi!
Ndio ujue sasa kuwa manhaj yetu haitaki kusikia sikia ila yataka kusomwa
@@user-hq5fg1zj5n Kuabudu mungu ambae nikijana mwenye vijinywele vilivyokunjamana!!SUBUHANALLAH
Nyinyi ni dhehebu gani sababu masunni ahutTawhiyd ndio mnaowaita Wahhabi na je nyinyi ni pote ipi?
Kisha hiyo ilikuwa ni fikra yake na rika yake wala haiwakilishi wengine
Kwa Kiswahili pumu nyoka