SALAMU ZA MAYAHUDI//DUKTUR ISLAM MUHAMMAD
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 27 ส.ค. 2024
- Assalam aleikum welcome to Fauz production support us by subscribing to our channel shukran wa jazakumu Allahu kher FAUZ PRODUCTION Is an Islamic channel where you can find daily islamic reminders SUBSCRIBE and SHARE
#fauzproduction
#daawa
#mombasa
#kenya
Shukran sana sheikh wetu, wengi tumezama Katika haya
Allah atuezeshe kutenda Mema na Kukataza Maovu na atujaalie Mwisho Mwema
Amin
Mansha ALLAH tabaraka ALLAH Mwenyezi_Mungu akuhifadhi nimefurahi kukuoana kwa mara nyingine kuna kipindi nilikuwa silali bila kukuona na kusikiliza mawaidha yako.
Tahiya Askaria,
Salute ya Kijeshi INAPASWA KUTOLEWA PAMOJA NA NENO HILI:- Jambo Afande!.
KUTOKANA NA USASA Ndio wananyamaza But Kwa Utaratibu WANATAKIWA Waseme "JAMBO Afande"
Shukran sheikh wetu mwenyezi mungu akujaalie umri mrefu wenye kheir Insha allah
Barakh Allah fikh wa jazakh Allah Khair
Sema simuungi mkono mtume uyo shekh ananukuu tu apo ukimkataa mtume utakuwa kafiri nakuusia usiwe ivyo sio itikadi ya muislam kukataa mafundisho ya mtume s.w.w
Mashallah allah akubarik Asante kwa darsa zuri
Duh na mimi ilkua nikipenda sana, shukran ya sheikhuna 😢
Mwenyezi mungu atuafikishe inshallah
Masha Allah watabaraka Allah. Bora utukumbushe shekhe maana ndivyo waisilamu tunasaliamna zama hizi
Maa Shaa ALLAH, Tabaaraka ALLAH! Shukran Jazilah
Shujran kwa kutuelimisha
Alhamdulilah
Masha Allah❤❤❤❤
mashaallah Duktuuur Islam....Allah atuongoze sote katik njia sahihi.....na ntafurah ukilingania daawat ssalaffiyyah inshaallah
Mashallah allah akulipe kheri
Shukran sana kwa mchango wako ktk dini
Sheikh umenifungua macho, Allah akulipe kheri
Jazaaka llah khair.kumbusha kaka etu hakika ya ukumbusho utamfaa alieamin.umetufunua macho umetutoa ujinga
Masha Allah shukran Yaa Sheikh nimefurahi kukuona mwanangu napenda sn mawaidha yako Allah akulinde akuhifadhi akupe swiha njema Amin
Amin
Shukran Sana kwa ukubusho atazigatia kwa mwenye akili
Allahumma Amin
❤ Marsha Allah
😅😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😊
mashaAllah,Allah ibarik fik ya sheikh
shukran sana sheikh wetu na ALLAH akujaze kila la kheri
Amin
mashaallah.....shekh hajaelezea mabubu na viziwi wasalimiane vp
Maashallah ostadh
Barakaallah fiq
Jazzakallahu khayra
Shukran sana Allah akulipe malipo bora
Amiin
Jaazakallah khayra❤❤❤
Nilitaka kujua Sheikh dkt islam mohamed kama asharudi kufanya darsa zake bahat ya mtihan wa ajali aloupata ..shukran
Baada*
Bado lakini karibuni inshaalh dua kwa wingi
@@fauzproductiontunamuombea sheikh wetu. Allah ampe shifaa
Tayari
JazakaAllahu kheir
Masha Allah
Jazak Allah
Jazakallahu khaira
Allah akubarik
Scw scw scw scw scw scw scw scw
Jazzakkallha khayra
🍒🍒""""shukran sheikh wetu """"🍒🍒
Jazaka Allah khayra...
Jazaakallahu khayr
Dah Ndio maana tukaambiwa tusomeni
Jazakallah khairaaa shekh
Isnaad ya hiyo hadith ni dhaifu shekh
Kuna wengine hoja zao si kufahamu na kupata elimu dkt Allah amuhifadhi amesema ifwatiwe na kutamka salamu
Jazak Allah khair
Jazzakallahu kheyran
Amiin
Amiin
Jazaakillah khayra
Nakuomba yaa shaikh ukawatembelee wanajeshi pia uwaelimishe 😂
Hahaha hahahaha
Shukrana jazzakka ALLAH kheir
Kwahiyo unawwashaulije waislamu ambao wapo jeshini na wanaswali shekhe wache kazi kwaajili hiyo au wasemaje
Tuombe Allah atufungue macho tuone uhalisia wa haya anayozungumza Kuna mitego mingi kila mahali tumewekewa ili tufate mila za kikafiri na kazi nyingi ktk kada nyingi zimewekwa km mitego kwetu
Wabaguzi
ALHAMDULILLAH
UNAMAALUUMAT SHEIKH,TATIZO HUIKUBALI DAWATUL SSALAFIYA,WAKATI HIYO NDIYO NJIA SAHIHI WALIOKUWA NAO SSALAF
Hakuna anaekataa salafi kwani salafi ndio njia sahii ila hatutaki salafi mihemko ndo linalokataliwa
Sh ni salaf sema hasemi t kuwa mm ni salaf lakin nisali pure
Kwani huyo analingania katika mipito gani, suffi au so salafi ukimtambua maana ya salafi huwezi umiza kichwa mpk ujitangaze na mabango Mimi salafi ? Shekhe utheiminy kasema ukipita kulingania kuruani na sunnah kwa ufahamu wa wema walotangulia maswahaba ukakataza shirki na bidah, huyo Ni salafi hata asiojitangaza wew unataka usalafi ule wakujitangaza kama chama hiyo haipo hiyo
Shukrani jaziila Shaikh
Sana ya hii hadith inaweza kua dhaifu kutokan na huwenda na aliyemo anaye itwa amru ibnu shuibu kutoka kwa baba yake kutoka kwa babu yake, huwenda ndo sabab ya hii hadith kua ktkt martaba ya udhaif,
Kwa sabab tuki soma ktk hadith ya asmaa bint zaid tunaona kua mtume muhammad, ali pita msikitin na ilihali kuna kikund cha wanawake wame kaa akawasalim kwa ishara ya mkono na pia aka toa salam,
Asmaa akasema "kisha aka tusalimia tuka itikia salam"
Hivo tunaona hadith ya kwnza ni dhaifu na hadith ya pili ina tuinyesh kua atakaye salimia kwa ishara kisha akaambatanisha na maneno atakua sahihi zaid na ndoo sahih.
Nadhn uwo ndo sahihi zaid
NATAMANI UKIIPENDA NA KUJUA DA'AWATU SSALAFIYA!!
Kwani hii ni daawa gani? acha uhizbiyya
Wallah mmi pia
Ukiwa muislam unakuwa special sana?
Allah te abençoe cheheik
Bubu atasalimiaje hpo .....mnaifanya dini kuwa ngumu
Usiwe mwenye haraka kujibu kua makini na utaskia bubu atatoa vp salam kama hizi
Chunga mdomo wako, shekhe amesoma hadithi sahihi ya Mtume (s.a.w) usipoiamini utatoka kwenye uislam
Hicho kipaza sauti pia ni mila za kinaswara sheikh😂😂😂
Je.mtu akiwa.mbali akakuashiria hio unaisemaje
Kama mtu yuko mbalii na wapitah na garii wafaa umsalimie vipi
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Mambo mengine bwana
Assalam aleikum ✋🏻 shukran akhui
Waalaikum salam
Mashehe jamani tupe hadithi au Aya
Io aya na hadithi ya kukuridhisha ww haipo
Sasa Kama mtu Yuko mbali nika msalimia kwa ishara Nika mnyanyulia mkono mimi sikuungi mkono
Hiyo juu yako ye kamnukuu Mtume saw kama muislamu hauna hiyari kitu akishasema Mtume saw ni kukifuata hakuna mjadala
Shauri zako
Kwa hiyo wakati wa korona bado tulitakiwa kushikana mikono😮😮😮, nadhani tunaifanya dini kuwa ngumu sana,, kwa hiyo wanaofanya hivyo wanapata dhambi???
Afwan shekhe sikiliza darsa vizuri.amesema Kama utaashiria Basi pia utamke Salam. Hilo nalo nikufanya dini kuwa ngumu
@@hassanwambugu606kwaio HATA mkiwa kwenye mwendo kasi mmekutana distance muanze ku shout up? Ukiachilia mbali DINI hakuna salamu za kibubu salamu za ishara ni kutegemea na mazingira na umbali