Amina Dada. Mm nilisha wahi kuota napewa hela nyingi Sana na mwanaume. Pia hii ndoto ya mvua kunyeshewa mm huwaga naiota Sana. Mvua kubwa inaninyeshea sana
Niliotaga sana izi ndoto za Vito vya dhahabu na pesa na magari lakin kukawa kuna mtu ananinyanganya ckuelewa ,nimeokoka napenda Yesu but cjui nn kilipita,ahsnt Mtumishi wa Mungu
Mimi niliota nipo nchi ya mbali wakawa wanajaza mbolea(Mboji) yenye ardhi ambayo haitumiki lakini yenye udongo wenye rutuba na udongo ambao hauna rutuba kwa ajili ya kilimo hii ndoto ina maana gani Mtumishi?
Mm nimeota mvuwa inaninyeshea ikiwa na balafu nikawa naokota zile balafu badae nikaona zile balafu zikayayuka nikaona ni mchele mbichi jaman apo sijaelewa
Amina Dada. Mm nilisha wahi kuota napewa hela nyingi Sana na mwanaume. Pia hii ndoto ya mvua kunyeshewa mm huwaga naiota Sana. Mvua kubwa inaninyeshea sana
Mimi Hizi ndoto zimesumbua sana aki kila siku nimejaribu kutafuta kazi sipati ila izi ndoto nashangaa ni za nini nitafanyaje mimi 😭😭 saindieni please
Mungu akubariki na azidi sana tena sana kukupatia uwepo wa kuendelea kutuelimisha. Pamoja sana Paster
Niliotaga sana izi ndoto za Vito vya dhahabu na pesa na magari lakin kukawa kuna mtu ananinyanganya ckuelewa ,nimeokoka napenda Yesu but cjui nn kilipita,ahsnt Mtumishi wa Mungu
Kuna mtu ameshikilia Baraka zako
Mimi niliota Nna ela nyingi sana mpaka sina pa kuziweka adi adi nafunga kwenye kanga malundo malundo
Amen barikiwa sana pastor ester kwatufungua
Ukiota ukiumbiri watu wengi alafu unangeuka unaona watu wamengawayika wengine wanasikiza neno la mungu na wengine wako kwa matanga
Dah jitahidi kuandika vizuri nimepata shida sana kukuelewa
Mi niliota nimejaza almasi kwenye mifuko na imejirudia sana
Kweli kabsaa bt hua naota naua watu kwa bunduki ila yani risasi ila really life sina bunduki au toi gun so me ni nani.
Amen dada
Juzi nmeota napewa elfu tano
Mimi niliota kuna dhababu nimeipata nikaificha chini ya Meza lakini kuna mtu akaichukua.... na nilimuona. Tafri ni nini...
@@wilfredluhwago9246 omba maombi ya urejesho mpokonye adui vitu
Naukiota mmeo anamke mwingine mala kwa mala unamaanisha nini
Asante Dada
Mfano kama ukiota ndoto halafu ukawa unazisahau inamaa Isha Nini.
Njee ukiota unangongwa nya nyAko
Yes
Nitamepata ujumbe najua nitafanikiwa❤❤❤
Mwanangu.aota.mumewe.anamke.nchee.nipe.tafisili.yake
It's true
Je!kuota kama unatema mate au unavuka kinyesi hii ndoto inamahana gani?
Nliota niko ofisini
Mimi huwa naota nipo kanisani mara shuleni hospitali
Weeeeee izo ndoto uoti ng, o labda unite mbwa
th-cam.com/video/-ffNdxO5k6A/w-d-xo.htmlsi=8tS8xmGJTWqXhidj
NDOTO ZA VIATU ZENYE Mafanikio
Amina nimefunguliwa ubarikiwe mtumishi wa MUNGU.
Thanks nitabarikiwa
Ndoto zote nmeota ktk hii uliyo ongerea
Mimi niriota nimeibiwa🎉 7:24 7:26
@@ElizabethMahahira usipo ikemea hiyo ndoto utakuja kuibiwa kweli, Mungu huwa anatuonyesha vitu kabla havinatokea
Naomba andiko la nitarejesha vitu ulivyoibiwa na adui
Yoeli:2;25
ZEKARIA 1,:3
Mimi niliota nipo nchi ya mbali wakawa wanajaza mbolea(Mboji) yenye ardhi ambayo haitumiki lakini yenye udongo wenye rutuba na udongo ambao hauna rutuba kwa ajili ya kilimo hii ndoto ina maana gani Mtumishi?
Mie naotanga nikiwa na kisima cha pesa nyingi yaan zimejaa kwenye kisima adi juu adi zimetapakaa
Hmmm 🤔 hapo usiamke endelea ku lala 😂😂
Ukiota inafaa uan̈ze wapi ndio ndoto itinie
Mm nimeota mvuwa inaninyeshea ikiwa na balafu nikawa naokota zile balafu badae nikaona zile balafu zikayayuka nikaona ni mchele mbichi jaman apo sijaelewa
Jiandae kuwa freemason
Ukiota unapigiwa mawe
Hiyo ya mvua inanihusu
Mvua ni baraka
Mimi niliota napewa sh 700
Ni ndoto njema ila inakujulisha kiwango chako cha uchumi kipo chini Sana Ongeza bidii ya Maombi ili milango yako ya Fedha ifunguke Zaid
@@pastor_Estersamwel Amen niliota napewa 7000 sio 700
Mimi niliota nipo nchi ya nje i ndoto ina maana gani?
Niliota niko kwa dege mzugu akaniambia nikae katkati nisianguke
Mi huwa naota niko na wasanii wakubwa kama vile diomond nini maana yake
Maybe uko na talent ya kuimba na hujui do manake
Mmmh yan uote hela tu au biblia haha ndoto haziko ivo bana
Mimi niliota 4 days ago eti nimejifungua mtoto wa kiume iyo inamanisha nini
utakunya mavi magumu so epukana na vyakula kama mapera na mihogo
😂😂😂😂