Sheikh Muharram Mziwanda Katika Arafa Ulighafilika Inabidi Urekebishwe | Sheikh Mbarak Awes

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 11 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 259

  • @KhamisMdzomba-w6h
    @KhamisMdzomba-w6h ปีที่แล้ว +6

    MaashaAllah.
    Mola atujaalie nyoyo zetu tufuate yaliyo sawa.
    Ustadh Awes Mungu akupe Kila la kheir

  • @imranbanda3963
    @imranbanda3963 ปีที่แล้ว +15

    Since I started listening to awes on this issue I have learned a lot may Allah give you health long life so that we continue learning from Him

    • @ahz6907
      @ahz6907 ปีที่แล้ว

      Amen

    • @salafy3566
      @salafy3566 ปีที่แล้ว

      Hio hadithi aliotaja awes ktk asli yke ni (yaani arafa) sio (yawmu arafa)

    • @salafy3566
      @salafy3566 ปีที่แล้ว

      Kuna clip moja tafta sheikh Qassim mafuta anazungumzia kuhusu haya mas'ala utafahamu zaidi

    • @saba-gv3mj
      @saba-gv3mj 3 หลายเดือนก่อน

      ​@@salafy3566kasim mafuta hana lolote zaidi ya kupotosha na kutukana wanazuoni na mtume s a w alikata kuwatusi wanazuoni sasa watuambia tumsikize huyu wahabi mafuta

  • @abdallahmuharram8669
    @abdallahmuharram8669 ปีที่แล้ว +7

    Bismillah, na Allah atuongoe.
    1. Waislam tuache ushabiki katika Dini na Masheikh.
    2. Halafu tusilazimishane kwamba kila mtu afahamu vile ulivofahamu weye kwakuwa kila mtu anatafuta Salama ya nafsi yake kwa kufanya kitu sahihi kitachomfaa Aakhera.
    3. Mtu asijione yeye Yu sahihi mno kuliko mwenzie bali tumuombe Allah Atuoneshe kilicho sahihi, waweza jiona Usahihi na Kesho Ukaja kuta Ulikuwa O.P na ulishawapotosha watu, Sijui utawabeba kwa Mbeleko gani siku hio.
    4. La muhimu ni kuwaelekeza watu, kuwa hili jambo lilivyo na Ikhtilafu yake, Kisha mwache Mtu afanye kile ambacho nafsi yake yatulizana kulifanya.
    5. Allah atuoneshe Haki kuwa ni Haki ili tuweze kuifata, na Atuoneshe Baatil kuwa ni Baatil ili tuweze kuiepuka...

  • @AIFOSMUGOTV
    @AIFOSMUGOTV ปีที่แล้ว +6

    nilimsikiza vizuri Sheikh Awes na nikamuelewa,,,insha Allah zidi kutuelimisha kwa mawaidha yako mazuri Sheikh Mbaraq awes

  • @HamisHassan-ro6hb
    @HamisHassan-ro6hb 3 หลายเดือนก่อน

    Awes Allah akulipe kheri nyngi nyingi inshallah

  • @nassormohamedmwarizo4433
    @nassormohamedmwarizo4433 ปีที่แล้ว +9

    Sheikh Mubaarak Awes ni mjuzi anayetambua sana

    • @MaldiniEl-Dugheish-fs9zh
      @MaldiniEl-Dugheish-fs9zh 5 หลายเดือนก่อน

      Huyo mziwanda ni wahabi aliye jifinika katika vazi la sufi na ndio maana kuna siku kassim mafuta aliingizwa katika group la whatsap ila alichagua wa kufanya nae mdahalo nae n mziwanda ni wahabi mwenziwe

  • @mariamsefu825
    @mariamsefu825 ปีที่แล้ว +3

    Maa Sha Allah shekhe wetu nakupenda kwa ajili ya allah m/mungu akupe afya njema

  • @KS-iw7qv
    @KS-iw7qv ปีที่แล้ว +2

    Mashaa-Allah Mashaa-Allah sheikh Awes

  • @MohamedAbdala-eb8wl
    @MohamedAbdala-eb8wl ปีที่แล้ว +29

    Sheikh Mziwanda anatowa hoja kutoka Kwa akili yake, Ustadh Awes anatowa point kutoka vitabu

    • @ibinswidiiqi3226
      @ibinswidiiqi3226 ปีที่แล้ว

      Hahahah

    • @makwali4854
      @makwali4854 ปีที่แล้ว

      Kumbe na Muawiyah nae pia ni radhiaallahu ...?

    • @NdiyembukeJr
      @NdiyembukeJr ปีที่แล้ว

      Kwa hio Hayo alosema sheikh mziwanda na hio Hadithi zote katoa katika Akili yake na sio katika Vitabu

    • @ummuhassan1089
      @ummuhassan1089 ปีที่แล้ว

      Sasa mbona Awesu anajichanganyatu

    • @khadijamahmoud4365
      @khadijamahmoud4365 ปีที่แล้ว

      Yaan huyu Aweso ana hadithi nyingi za utata utata

  • @balkisamisi2131
    @balkisamisi2131 ปีที่แล้ว +1

    Nawapenda nyote sheikh zetu barakallahufiykuma

    • @suleim505
      @suleim505 4 หลายเดือนก่อน

      taratibushekhe kiarabu kwa maandishiayo ya kiswahili neno la mwisho ungeliongezea herufi moja ambayo ni a ya pili kuenda sambamba na kimatamshi pia kuleta maana sahihi.

  • @hashimiyDaudii
    @hashimiyDaudii 6 หลายเดือนก่อน +1

    maashallah maashallah majibu matamu sana ❤❤❤❤❤❤

  • @JRN2612
    @JRN2612 ปีที่แล้ว +17

    Sheikhe Mubarak kabla ya kukutana na video zako nilikuwa nafata mkumbo sana. Lakini nina mwaka wa nne huu tokea nimeona video yako ukichambua funga ya Arafa, na mpaka leo nafunga mwezi tisa kulingana na mwandamo wa sehemu niliyo. Uliniqinaisha vizuri. Allah akubariki🙏🏻

    • @ahmedalkiyum7592
      @ahmedalkiyum7592 ปีที่แล้ว +3

      Kachambua vzr sana huyu sheikh kwa kweli na ni hoja nzuri sana

    • @JRN2612
      @JRN2612 ปีที่แล้ว +3

      @@ahmedalkiyum7592 maashallah yuko vizuri.

    • @muslihallyiddi
      @muslihallyiddi ปีที่แล้ว +2

      Mashallah

    • @adnanel-islam3291
      @adnanel-islam3291 11 หลายเดือนก่อน +2

      Jamaa anajua Sana Allah amrehemu

  • @muftiahmadimahmudulemba1918
    @muftiahmadimahmudulemba1918 ปีที่แล้ว

    Mungu akuzidishie elimu na akupe mema maziri na mwisho mwema tukopamoja

  • @rajababdallah579
    @rajababdallah579 ปีที่แล้ว

    Sheikh Mziwanda tupeleke shule... Allah akuhifadhi

  • @zeitunMohammed
    @zeitunMohammed ปีที่แล้ว +2

    Sheikh Ahmed uwes,twakushukuru sanaaa.lau mngesimma nyote hivi mawahabi wasingelipata nafasi.ata Kama hatuna wafadhili lakini mjitolee Inshaallah.

  • @hassanmkufya2867
    @hassanmkufya2867 ปีที่แล้ว +3

    She kh mziwanda Mungu akuweke

    • @abiabi9353
      @abiabi9353 ปีที่แล้ว

      Mziwanda ni wahabi kabsaa anaj8dai tu kuwa mtu wa twarika

    • @hassanmfaume4522
      @hassanmfaume4522 ปีที่แล้ว

      Wewe fanya ubishi wako lakini ukweli keshausema Arafa haiko tanzania iko makkah labda mkwepe majukumu tu ..!

  • @abuushakiraddausiy8666
    @abuushakiraddausiy8666 ปีที่แล้ว +6

    Weweeeee mubaaraka unajichanganya kwa mafuhumu mukhaalafa.....usiwapotoshee watuuu ....

    • @ayah844
      @ayah844 ปีที่แล้ว

      Anajichanganya na anachanganya watu allah mustaan

    • @hassanalhussein3982
      @hassanalhussein3982 ปีที่แล้ว +1

      Ufahamu wako Ni mdogo sana. Wewe unapingana na wanazuoni wa kiwahabi na fatwa zao.

    • @rashidhemed1444
      @rashidhemed1444 ปีที่แล้ว +2

      Basi kama anajichanganya tufundishe mtume alifunga vipi sote SI tunamfata mtume tujibu

    • @AllyMkulula
      @AllyMkulula ปีที่แล้ว

      Lashay un atw yabu katafakkur

    • @abuushakiraddausiy8666
      @abuushakiraddausiy8666 ปีที่แล้ว

      @@rashidhemed1444 alifunga siku ya arafa ....

  • @suleimanhaji7057
    @suleimanhaji7057 ปีที่แล้ว

    Impressed by Sheikh Muharram

  • @allylassuh4947
    @allylassuh4947 ปีที่แล้ว +5

    Shukran sana shekh mbaaraq aweis zidi kutupa faida

    • @ayah844
      @ayah844 ปีที่แล้ว

      Huyu mzimaa? Anatoa dalili ya tangu adam,anasema arafa ni tatu ,hata iweko nne,sisi tumeletewa mtume,tumfuate mtume ,watu wakisimama arafa wajib watu tununue baas siku wanatuma mawe nasisi mnaswali did baas kazi kwisha

    • @ayah844
      @ayah844 ปีที่แล้ว

      Paka mufti wa masri wa alopita anasema khtilafu ziwekwe Ramadhan hapa kwenye arafa hamna jhtilafu iko wazi sote tunafuata arafa baaas

    • @abiabi9353
      @abiabi9353 ปีที่แล้ว

      ​@@ayah844arafa ipi

    • @rashidhemed1444
      @rashidhemed1444 ปีที่แล้ว

      @@ayah844 kasome

    • @rashidhemed1444
      @rashidhemed1444 ปีที่แล้ว

      @@ayah844 kasome weye yaani mpaka hadithi unapewa bado unapinga ya Allah tuongoze tunefikwa na mtihani wstu hata ufahamu anakosa Kwa sababu ya madhehebu

  • @yasinmustafa6710
    @yasinmustafa6710 ปีที่แล้ว +10

    Imam shafi anasema: saumu ya Arafa ni siku yamahujaj wako arafa,, Soma (Almajmu nawwy 6/428)

    • @abiabi9353
      @abiabi9353 ปีที่แล้ว +2

      Sasa mtume alipokuwa akifunga kabla kufaradhiswa hajj.mahujjaj walikuwa wapi?

    • @Team-t6k
      @Team-t6k ปีที่แล้ว

      ​@@abiabi9353mziwanda alishakupa tafsiri acha ushabiki katika dini mbona hausikiyiiiii

    • @Team-t6k
      @Team-t6k ปีที่แล้ว

      Hao hawana cha Imam Shafi ao nini zao nikufata mindamo ya Iran nq Oman😊😢😂

    • @abiabi9353
      @abiabi9353 ปีที่แล้ว +2

      @@Team-t6k nyie majahili kweli.sasa mtume alipokuwa anafunga saumu ya arafa kabla ya hajj kufaradhishwa alimuwa anasubiri majujaji wapi?

    • @hamzaqaacm38
      @hamzaqaacm38 ปีที่แล้ว

      Inapo zungumzwa ilmu wewe ukaleta ubishi wa bila ilmu hutofautiani na shangingi umeambiwa imam shaf kasema na umewekewa kitabu Hapo unataka nn tene

  • @alitano6769
    @alitano6769 ปีที่แล้ว +4

    Shekh awes allaah akulipe kheri

  • @khatibujuma4933
    @khatibujuma4933 ปีที่แล้ว +2

    Maranyingi ktk elm shek mbaraq awes na she othumani napowasikiliza huwa siwamalixi muache aitwe doctor towa doxi mashall ala akupe umri mref tuxid kupata ilim

  • @Tabibuibrahimu
    @Tabibuibrahimu ปีที่แล้ว +1

    Allah awalipe Maskh wote Kwa jitihada zao

  • @abdullbardisba9279
    @abdullbardisba9279 ปีที่แล้ว +7

    Anatafuta kiki huyu sheikh, mziwanda masha Allah ww ni mtu mwenye fasaha ya ulimi, aweso una ropokwa unaongea kwa jazba.. Tuliza ulimi

  • @Zuwenamachela
    @Zuwenamachela หลายเดือนก่อน

    Hoq iko waz mziwanda nakupenda sn

  • @HashimHassan-u4p
    @HashimHassan-u4p ปีที่แล้ว

    Sh. Mziwanda asante kwa statement yako "sithubutu kumtoa thamani bali ameghafilika" Tunatamani Mashehe wengine waige hiyo statement badala ya kukashifiana juu ya mimbar.

  • @AhmedMohamed-un4zh
    @AhmedMohamed-un4zh ปีที่แล้ว +2

    MSHAANZA MASHEIKH WA MCHONGO
    HAMUONEKANI ILA KIPINDI CHA ARAFA

    • @hamisipadrice4869
      @hamisipadrice4869 ปีที่แล้ว

      😂😂😂 Jamani, hao Huwa wapo siku zote na shekh mzuri ni yule anaeendana na matukio

    • @hasinaalrahbi6681
      @hasinaalrahbi6681 ปีที่แล้ว

      AIBU TUPU MAMBO YAKUFATILIA YAPO MENGI.SASA MASHEKHE NIKUKOSOWANA TU HAPO HAKUNA KOSA LOLOTE. NI VEMA UNGEMALIZANA NAE SIO MTANDAONI. FUNGA SIKU ARAFA NDIO TUNAITAMBUWA.FATILIENI MASHOGA NA WANAO IVUNJIA HESHIMA QUR'AN.ACHENI KUVUTANA NA JUTUCHANGANYA MAAMUMA.DINI MNAIANGUSHA DINI YETU.

  • @haidarsalum9228
    @haidarsalum9228 ปีที่แล้ว

    Nin lengo la hii video?

  • @zimammbaruk4231
    @zimammbaruk4231 ปีที่แล้ว

    Masha Allah

  • @AthumanSeleman-p9s
    @AthumanSeleman-p9s ปีที่แล้ว

    Masheikh mnatuchanganya Sana ukimsikia huyu anasema hiv huyu anasema hivi mnaiopoteza jamii hasa kutengeneza migogoro juu yenu

  • @MwanadieJinango-fu6tr
    @MwanadieJinango-fu6tr ปีที่แล้ว +3

    Mashekh wengine ni warongo hajui dini wanatfuta kiki wape ukweli awes

  • @AliMohammed-e2g
    @AliMohammed-e2g ปีที่แล้ว +1

    Mashehe wa Tanzania ni mtiani sanaa wao nI tende mbele au wao nI matibabu

    • @jakuabdull34
      @jakuabdull34 ปีที่แล้ว

      si vyema kutukana mashehe

  • @hamisrajab5340
    @hamisrajab5340 ปีที่แล้ว +3

    Endeleeni kulumbana sisi tumeshamaliza kazi

  • @vuaikitwana2752
    @vuaikitwana2752 ปีที่แล้ว +1

    Waislamu nyote sio fair kutoleana maneno mabaya, hebu tumuogope Allah.

  • @MakameMufadhil-n8d
    @MakameMufadhil-n8d ปีที่แล้ว

    Hmmm poleni

  • @yasinnyange6233
    @yasinnyange6233 ปีที่แล้ว

    Hitlafu za maulaamaa
    Tuacheni siasa za dini

  • @ImaniMsongoro
    @ImaniMsongoro ปีที่แล้ว

    Sheikh mziwanda yupo sawa sana we Awes kasome kwanza halafu uje kutoa masheikh makosa

    • @issaahmad1264
      @issaahmad1264 ปีที่แล้ว

      Wewe haumjui awes vizuri huyu Ni mwana wa chuoni mkubwa sana

    • @abdallahmkali3251
      @abdallahmkali3251 ปีที่แล้ว

      Hakika ukiitafuta hiyo video ya shekh Mziwanda mwanzo mwisho utapata maarifa makumbwa lkn sio hiyo fupi

  • @saidkhamis9507
    @saidkhamis9507 ปีที่แล้ว +3

    Tusihukuniane vibaya sote tunaemfanyia ni Allah na yy ndie atakae kwenda kutulipa

  • @MahmudSalim-cl4eh
    @MahmudSalim-cl4eh ปีที่แล้ว +1

    Mbarak alhajj arafah hakuna kuvutana

  • @hassanjuma6144
    @hassanjuma6144 ปีที่แล้ว +2

    Sheikh Wang mziwanda Leo hatukutanishi kabis
    بسم الله الرحمن الرحيم
    الحمد لله والصلاة والسلام على رسول الله صلى الله عليه وسلم وبعد
    السؤال
    انتقلنا بسبب ظروف معينة إلى السكن في دولة الباكستان ، وقد تغيرت علي عدد من الأمور من أوقات الصلاة إلى غير ذلك ..... أردت أن أسألكم بأنني راغبة في صيام يوم عرفة ، ولكن يختلف التاريخ الهجري في باكستان عن المملكة بحيث قد يكون التاريخ في باكستان 8 والذي يوافق 9 في المملكة ... فهل أصوم يوم 8 أي تاريخ 9 في المملكة أم أصوم على حسب تاريخ باكستان ؟؟ .
    الجواب
    الحمد لله.
    سئل الشيخ ابن عثيمين رحمه الله عما إذا اختلف يوم عرفة نتيجة لاختلاف المناطق المختلفة في مطالع الهلال فهل نصوم تبع رؤية البلد التي نحن فيها أم نصوم تبع رؤية الحرمين ؟
    فأجاب فضيلته بقوله : هذا يبنى على اختلاف أهل العلم : هل الهلال واحد في الدنيا كلها أم هو يختلف باختلاف المطالع ؟
    والصواب أنه يختلف باختلاف المطالع ، فمثلا إذا كان الهلال قد رؤي بمكة ، وكان هذا اليوم هو اليوم التاسع ، ورؤي في بلد آخر قبل مكة بيوم وكان يوم عرفة عندهم اليوم العاشر فإنه لا يجوز لهم أن يصوموا هذا اليوم لأنه يوم عيد ، وكذلك لو قدر أنه تأخرت الرؤية عن مكة وكان اليوم التاسع في مكة هو الثامن عندهم ، فإنهم يصومون يوم التاسع عندهم الموافق ليوم العاشر في مكة ، هذا هو القول الراجح ، لأن النبي صلى الله عليه وسلم يقول ( إذا رأيتموه فصوموا وإذا رأيتموه فأفطروا ) وهؤلاء الذين لم ير في جهتهم لم يكونوا يرونه ، وكما أن الناس بالإجماع يعتبرون طلوع الفجر وغروب الشمس في كل منطقة بحسبها ، فكذلك التوقيت الشهري يكون كالتوقيت اليومي . [ مجموع الفتاوى

  • @kitosio
    @kitosio 4 หลายเดือนก่อน

    Shekhe Focus ktk Point. Kila umma una utaratibu wake. Wewe upo ktk zama za Nabii Adam. Mbona unajichanganya

  • @ABUUALLY-t1b
    @ABUUALLY-t1b ปีที่แล้ว +1

    Ukweli ni kwambaa izii tv ndo ziloletaa mtafarukuu mkubwa sanaa mpka zikatoka fatwa mpya ambazo hazina kichwa wala miguu

  • @kassimnassor8707
    @kassimnassor8707 ปีที่แล้ว +1

    Muharam mziwanda nenda ukasome tena usipotoshe watu.

  • @NabahanAhmad
    @NabahanAhmad ปีที่แล้ว +1

    Watu wasome

  • @said6494
    @said6494 ปีที่แล้ว

    Wewe ndiyo unajua saaana mashekhe mnakera saaana

  • @SalehLofy
    @SalehLofy 5 หลายเดือนก่อน

    Wafahamishe na uwaweleweshe Mawahabi hao wapotoshaji

  • @suleimandaud1402
    @suleimandaud1402 ปีที่แล้ว +1

    Mwambieni sheikh Mziwanda asikilize hio clip mpaka mwisho ya Sheikh Ahmed Awesi ili atoe hoja yake juu ya wanazuoni aliowataja sheikh awesi maan kaeka tuh clip bila hoja y mwanzuoni

  • @saidnyonzo850
    @saidnyonzo850 ปีที่แล้ว +1

    MZIWANDA RUDI DARASANI KWA USHAURI TU

  • @SeifMassoud
    @SeifMassoud ปีที่แล้ว +1

    Kwani hii hadithi ya mtume SAW aliposema al hajju arafa inanasibisha na funga ama mtume alikusudia kuwa ibada ya hijja inabebwa na vitendo vya siku ya arafa, kwa upana zaidi hijja ikikosa nguzo ya arafa inakosa vigezo?

    • @hamisipadrice4869
      @hamisipadrice4869 ปีที่แล้ว

      Alimaanisha Ibada ya hija inaendana na arafa

  • @saadmbarak1903
    @saadmbarak1903 ปีที่แล้ว +3

    Kwani jamani watu wa zamani kabla kuja hizi simu na tv alkua watu wanafunga vp arafa ama alkua wanajuaje eid ni siku ya kumi???

    • @ahz6907
      @ahz6907 ปีที่แล้ว

      Kwa kufuata mwandamo wa eneo lao

    • @OmaryKalundwe
      @OmaryKalundwe ปีที่แล้ว

      Kwan Uislamu ni dini isiyokwenda na wakati?

  • @mgazamhina840
    @mgazamhina840 ปีที่แล้ว +1

    Mfuateni huyo Mziwanda si wakwenu,mumuulize awarleze vizuri katoa wapi?

    • @Team-t6k
      @Team-t6k ปีที่แล้ว

      😂😂😂 mziwanda ni mzee wa kuvuruga hana pakuegamiya ikiwa n dalili njoo chenye nampendaga

  • @mullahhassan8042
    @mullahhassan8042 ปีที่แล้ว

    Hapo ndipo tulipofikishwa na makafiri sasa hivi wametulia pale wanamwagilia moyo wametuacha tupambane na ujinga wetu, Kila mmoja anajiona yeye yupo sawa tushatengeneza siku mbili mbili dunian lakin hizo tunakubaliana ni kwenye idi tu ila mpira,mizik, valentine,pasaka,krismass,mwaka mpya zote hizo tunakubali kuwa hasitofautian siku nzima ila mwezi wetu wa haki ndio unatofaut ya siku nzima yaani waislam ss tuna jumatano yetu wakati wengine Leo jumanne halafu tunajiona eti tumesoma sana

  • @fatumajuma592
    @fatumajuma592 ปีที่แล้ว +1

    Mwenye kanzu bado ajasema

  • @Team-t6k
    @Team-t6k ปีที่แล้ว +1

    Kwa mziwanda sio Radd😂😂😂😂😂😂😂😂ao sio Muhab😂😂😂😂 ni nyingi tu Mtume swallalahu alayhi wa salam anasema sema ukweli japo utachoma.

  • @rushu1232
    @rushu1232 ปีที่แล้ว

    Hapo sheikh wangu Mwaziwanda umekosea kufunga ni youm arafa nia niya youm arafa ambyo ni tasul dhulhijja.

  • @sefuriyembe7864
    @sefuriyembe7864 3 หลายเดือนก่อน

    Hapa Mziwanda umechemka, huna hoja yenye maana !!😅😅😅

  • @yoliswabontsa8469
    @yoliswabontsa8469 3 หลายเดือนก่อน

    Sheikh awes uko sahih jambo la Arafat ulishalitatuwa sababu ulitowa ushahidi wote, Allah akupe pepo ya firdaus na sote kwa ujumla.

  • @omaryramdhani9823
    @omaryramdhani9823 ปีที่แล้ว +1

    MZIWANDA ULIKUBALIKA SANA ,LAKINI KWA HILI LINAKUPOTEZEA WAPENZI,MWENZAKO ANAJIELEZA VIZURI NA ANAELEWEKA,

  • @abuushakiraddausiy8666
    @abuushakiraddausiy8666 ปีที่แล้ว +3

    Acha uongoooo mubaaraka wewe ni muongoo ......swaumu siku ya arafa nitofauti na funga ya mwezi tisaa.....

    • @ayah844
      @ayah844 ปีที่แล้ว

      Mpotoshaji sana huyu aweis,eti ahava kimasri, eti Kasoma masri,mufti alopita wa masri anakataa khtilafu za arafa,anasema watu wote duniani wafuate arafa

    • @ayah844
      @ayah844 ปีที่แล้ว

      Huyu aweis vp

    • @naufalfarouk-ts5jo
      @naufalfarouk-ts5jo ปีที่แล้ว +1

      Msiwaseme masheikh kwa majina mabaya km kumuita muongo huo ni ufaham wke na ww fuata ufaham wk alafu Allah atahukumu

    • @AllyRashid-lf2rx
      @AllyRashid-lf2rx ปีที่แล้ว

      ​@@naufalfarouk-ts5joumesem kwelii kbs

    • @ajmalyrashid-rb9lg
      @ajmalyrashid-rb9lg ปีที่แล้ว

      Acha upuuz unamwitaje shekh kuwa ni muongo

  • @hajimuhidini1903
    @hajimuhidini1903 ปีที่แล้ว

    mmi sipendi kujiingiza kwenye coment lakini hizi comenti nyengine ni ujinga wwe unasema zamani kabla kuja sim na tv walifunga vipi kwanihujuwi walivyofunga? Kamahiyo ndiohoja basi huna haja ya kusikiliza Radio usichukue khabari ila subiri hapokwenu maana Radio ni chombo cha kutoa taarifa sawa na tv na sim

  • @ahmadmzoa74
    @ahmadmzoa74 ปีที่แล้ว +1

    Huwezi kumlazimisha Shaykh Mziwanda afuate fikra zako,mbona wewe sasa hufuati fikra zake.?Acha kupenda jidala sana. Amini unavoamini muache Mziwanda anavyoamini. Wahubirie wafuasi wako si basi yatosha.!

    • @Team-t6k
      @Team-t6k ปีที่แล้ว

      Izo video wali edited wala mziwanda hausishiyi na izo video zake aliona mziwanda alichana akaona aweke video ya kumradi pale sasa mwenye channel hiyo ni mkosefu wa elimu ngo katika hili swala amekhafilika ingekuwa niwangine angeweka ngo ni radd na kuwaita majina ya maajabu😂😂😂😂 tutafika tu

  • @ZINDUKAMUISILAMU30
    @ZINDUKAMUISILAMU30 ปีที่แล้ว +1

    Mm namuelewa mziwanda lkn hapa km sijamfahamu kiufup

  • @omarynamkape-cg8qx
    @omarynamkape-cg8qx 4 หลายเดือนก่อน

    Asalam àlaykum mashekh wote munaotoa fatuah za mwezi ninyi mmapenda kulumbana kwajiri ya mwezi bada muiendeleze uislam ufike vijijini ninyi mwez tu maendeleo ya dini mbona amuongelei.

  • @fahmymasoud1205
    @fahmymasoud1205 ปีที่แล้ว

    KILA MTU AFANYE A'AMAL VILE ALIVYOAMINI,MUSILAZIMISHANE ALLAH NDIO MLIPAJI MUSIDHARAULIANE,

    • @rashidkhamis9159
      @rashidkhamis9159 ปีที่แล้ว

      Sawaswa Allah ndio mlipaji wa matendo so tumuachie yy

  • @w4058
    @w4058 ปีที่แล้ว +2

    Sheikh Ahmed uko sawa sawa kabisa Allaah atakupa nguvu zaidi na watafahamu tu waache ukaidi walonao

    • @kitosio
      @kitosio ปีที่แล้ว

      Masufi wako sawa. Kisha hujiita ahlu Sunna. Hawa wanaokoromea dhikri hamuwajui. Fatilia hawa asiliyao ni Iran na Iraq. Wanakoroma hawa. Aaah hatwaaar

  • @JamalAbdallah-m1o
    @JamalAbdallah-m1o 8 หลายเดือนก่อน

    Hapa Mziwanda dishi liliyumba 😂😂😂

  • @yasinmustafa6710
    @yasinmustafa6710 ปีที่แล้ว +3

    فقال الشافعي والأصحاب : يستحب صوم يوم عرفة لغير من هو بعرفة .
    وأما الحاج الحاضر في عرفة فقال الشافعي في المختصر والأصحاب : يستحب له فطره ل

    • @ramadhanimsukuma8438
      @ramadhanimsukuma8438 ปีที่แล้ว

      ni sawa kabisa bimaana kuna kufunga na uqufu ni vitu viwili tafaut kabisa

    • @makwali4854
      @makwali4854 ปีที่แล้ว

      Huyo Al Shafi ni sahaba wa mtume?

  • @ummahmed3354
    @ummahmed3354 ปีที่แล้ว

    Unajichanganya mwenyewe sheikhe...sheikh mziwanda hakuzungumza kabisa kuhusu Arafat tatu...huyo ni wewe...na ulichokisema kuhusu kufanya arafa makka ndicho alichokisema....yeye kazungumzia sehemu...ni were tu ndiye unajifakharisha na elimu kwa kujionyesha...muogope Allah...tuheshimiane...ungempigia simu kama kweli ulikuwa na nia ya kumuelewesha...Nina uhakika sheikh mziwanda angepokea na kukusikiliza na kufikia maelewano...Lakin his sio njia ya kudumisha umoja by sincere Muslims...Bali ni ya riyaa na mifarakano

  • @OmarJuma-og4kd
    @OmarJuma-og4kd ปีที่แล้ว

    Waislamu wenzangu naona tuelekea mbali sana mm kwa uwelewa wangu mdogo naaona hakuna haja ya editing kama hizi tutambue kwenye uwelewa kila mtu anauelewa wake mapokezi ni mengi ila ufahamu kila mtu wake sasa asitokee mtu akataka kufuatwa yy kutokana na ufahamu wake kisha turudi nyuma hitilafu kwenye uislam haukuanza ktk karne hii imeanza tangu na tangu ndio maana Allah akasema katika suratul sajda aya ya 25 kuhusu hitilafu ,.... Hii ni wazi kuwa hitilafu hazitoondoka mpaka kiama kitasimama kila mtu afuate kutokana na ufahamu wake khalas tunachekwa waislam

  • @khamisiiddi2470
    @khamisiiddi2470 ปีที่แล้ว

    Mziwanda nilikua nakukubali lakin kuanzia Leo naomba uniache umepishana mpka na swahiba wako ward toka wewe njaa inakusumbua tu

  • @dastaniguni5599
    @dastaniguni5599 ปีที่แล้ว

    Hii ndio Raha ya Uislam

  • @kitosio
    @kitosio ปีที่แล้ว

    Kamanda usijizonge.
    صيام يوم عرفة.... Maana yake nini. Mbona mnababaisha watu . Mtaenda kujibu nini

    • @hashimsaid3766
      @hashimsaid3766 ปีที่แล้ว

      Shekh Hawa watu vipofu was nyoyo

  • @OmaryKalundwe
    @OmaryKalundwe ปีที่แล้ว

    Mwanazuoni akilitolea hukumu jambo na akalipatia anapata swawabu 2,na mwanazuoni huyohyo akalitolea hukumu jambo na akalikosea anapata swawabu 1.sioni sababu ya wanazuoni kukosoana.Aweso hana adabu ya kielimu.3/4 ya waislamu leo hii wako kwenye Idd.aseme basi kuwa walioko kwenye Idd leo kuwa wataingia motoni

  • @AhmadaTahir-cu8se
    @AhmadaTahir-cu8se ปีที่แล้ว

    Kwamaana ya maneno ya Sheikh Mziwanda kama kusingekuweko na Ibada ya Hijja,sikukuu ya Dhulhijja isingekuwepo? Maana Hijja ndio hakuna!!

  • @abuumuhammad7133
    @abuumuhammad7133 ปีที่แล้ว

    Wewe mwarabu koko utakuja kueleza siku ya hesabu upotoshaji huo Arafa ni Tukio na napale Mahujaji wanapokuwa katika viwanja vya Arafa ambao hawajajaliwa kuwa katika viwanja vya Arafa ni kufunga ili kushikamana nao wqliekuwa kwenye viwanja vya Arafa.

  • @hawakiza6067
    @hawakiza6067 ปีที่แล้ว +1

    Sasa mbona Mahujaji hawafungi
    Sisi tunafunga hiyo imekaaje

  • @AbuurabiuJuma-wn5il
    @AbuurabiuJuma-wn5il ปีที่แล้ว +1

    Kuna masheikhe wanajisema hawana madhehebu ni uongo

  • @KubwaKuliko-dk4bm
    @KubwaKuliko-dk4bm ปีที่แล้ว

    Wajipumbaza

  • @daudiali8584
    @daudiali8584 ปีที่แล้ว

    Apo jamani tusiwaone mashekh wengine wanapotosha watu Bali hayo ni Mambo ya ki ikhtilafu. MUNGU katuumba tofauti kwa ufahamu tofauti yatubidi tuvumiliane na kupitishwa hoja Ambayo ni ya makubaliano kwa pande zote mbili.
    ASSALAM ALYKUM

  • @ahmadmzoa74
    @ahmadmzoa74 ปีที่แล้ว

    Acha Istihizai ktk Dini.

  • @tanzaniaally
    @tanzaniaally ปีที่แล้ว

    Kwani ilishindikana nini hawa masheikh wetu kukatana iwe masjid au ofisini mwa mmoja wao wakumbushane ama wazinduane mpaka waanikane mtandaoni? Rejea hekima za imam shafii,"mwenye kumnasihi nduguye faragha uyo haswa amemnasihi na mwenye kumnasihi nduguye hadharani kwa mapungufu yake basi hakumnasihi ila kamuabisha kama haitoshi mtume kasema "mkitofautiana kwenye jambo lolote rejeeni kwenye kitabu cha Allah na sunnah." Wala hakusema muende mtandaoni mkaanikane mapungufu yenu. Ni maoni tu ni Mimi ndugu yenu katika imaan wabillah tawfiq.

  • @hajjisanga789
    @hajjisanga789 ปีที่แล้ว

    Mziwanda umeshakuwa mujtahidi madh habi ni kitabu gani kinacho Sema arafa ni kisimamo Hakuna ktk wanachuoni wote WA madh habi MAnne alie Sema arafa ni wakati WA kusimama ndio na saumu siku moja Dunia hiyo labda ni ysko maana haiwezekani kuwa siku moja ndio maana wanachuoni hawaja Sema siku moja sasa wewe umetoa wapi

  • @KAIPAAA3211
    @KAIPAAA3211 ปีที่แล้ว +1

    Mazezeta

  • @am2323Scot
    @am2323Scot ปีที่แล้ว +1

    Hi kuwa kila maji uwe na mwandamo wake wa mwezi inwafsididhia nini hawa

  • @saudhamdoon4825
    @saudhamdoon4825 ปีที่แล้ว

    kama hawaelewi tena basi ni KIBRI cha kishekhe

  • @jumawaziri8501
    @jumawaziri8501 ปีที่แล้ว +1

    sheikh mziwanda hata haelweki i hoja yake hasa nini naona anazunguk tuuuuuu

  • @hassanchombola-ui5de
    @hassanchombola-ui5de ปีที่แล้ว +1

    Anaegombanisha ni uyu anaweka mawaidha lama vile watu wanabishana kumbe kila mmoja anatoa mawaidha kwa wakat wake .elimu ni pana akuna aja ya kugombans

  • @ابوماهرآلزنجباري
    @ابوماهرآلزنجباري ปีที่แล้ว

    Swali sasa kwa nini Singida na Dar es Salaam, hamfungi tofauti, ukionekana Singida dar manafunga na kinyume chake, Hadithi ya Quraib imepotelea wapi hapo???

  • @AliSalim-yu4mo
    @AliSalim-yu4mo 3 หลายเดือนก่อน

    Arafa hii inayozungumzwa ni Ile aliyoizungumza Mtume kwamba Hajj Arafa"sasa hizo nyengine unazijuwa wewe sheikh unapaswa utuambie hizo mbili mbili ili tuweze kuzifunga na sisi

  • @kitosio
    @kitosio ปีที่แล้ว

    Mwandamo wa kwao hiiiiiiiii. Sasa kuna teleeeeeee hawauoni mwezi vipiiiii? Russia, UK, na nchi teleeeeee fatilia

  • @arrawaahiyahtv9800
    @arrawaahiyahtv9800 ปีที่แล้ว

    Mawahabi kama mna andiko linalosema tufunge SWAUMU ya ARAFA siku wanayosimama watu viwanja vya ARAFA lileteni hilo andiko, mbona mwatoa vichwani mwenu tu?

    • @aliali-gw5pq
      @aliali-gw5pq ปีที่แล้ว

      Hawa wote masufi wanaumana hakuna wahabi hapooo!

  • @kitosio
    @kitosio ปีที่แล้ว

    Wajizonga.
    Tutafsirie hiyo hadithi na utuwekee lugha. Msibabaishe watu ambao hawafamu phylosophy iliyotumika.

  • @AjsProSigns
    @AjsProSigns ปีที่แล้ว

    Akili ni kile kinachobakia ukiyatoa uliyofundishwa

  • @jemedarmohamed3644
    @jemedarmohamed3644 ปีที่แล้ว

    je mahujaj wanatoa idd?

  • @hamzakimaro3764
    @hamzakimaro3764 ปีที่แล้ว

    WE AWES ACHA UJINGA!!ARAFA INAYOHUSIANA NA IBADA YA HIJJA NI MOJA TU!!
    HIZO ZINGINE UNZOZITENGENEZA WEWE HAZIHUSIANI NA IBADA YA HIJJA!!
    BAKI NAZO WEWE MWENYEWE!!
    MZIWANDA YUPO SAHIHI MNO!

  • @mariammmbaga976
    @mariammmbaga976 ปีที่แล้ว

    Mtuache kabisa. Mwandamo ni mmoja tu. Tena mtuache kabisa

  • @isihakaselemani5727
    @isihakaselemani5727 ปีที่แล้ว

    duuuh allah atujalie ila hapo mziwanda nilipomuelewa tu kabla ya hijja hiyo arafa ilikuwa inanuiwaje yaan niya yake ,,yapaswa tusome tu hakuna namna au tukiona tumeshindwa kusoma tukaishi saudia.

  • @omarally6819
    @omarally6819 ปีที่แล้ว +1

    هذه خزعبلات ولا ريب

    • @Abdul-azizAthuman
      @Abdul-azizAthuman ปีที่แล้ว

      kwanin mbishane kwenye tiv au kurekebishaana humo fataneen mkaonyeshane vitaabu dhwaahir kila mtu namwalim wake

  • @Hamimumakonde-ct9vl
    @Hamimumakonde-ct9vl ปีที่แล้ว

    Shkh mbaraka katembea na dalili na kaweka jambo wazi hakuhitji mwanga wa toch hapo sem tu mashkh mabifu yao tangu kitmbo yapo hivyo , ,

  • @barzaqtradingcompany8541
    @barzaqtradingcompany8541 ปีที่แล้ว

    Kuwani msufi mweyne amechanganyika