- 470
- 2 643 350
Fauz Production
Kenya
เข้าร่วมเมื่อ 19 มิ.ย. 2022
Assalamu aleykum warahmatuallahi wabarakatuh. Hii ni channel yetu itakao kukuletea matukio/Hafla mbali mbali kote nchini.
MAWAIDHA
ADHKAR
RUQYA
HAPA NDIPO TUTAKAPOKULETEA TWAOMBA SUBSCRIBE ILI USIPITWE NA VIDEO MPYA
MAWAIDHA
ADHKAR
RUQYA
HAPA NDIPO TUTAKAPOKULETEA TWAOMBA SUBSCRIBE ILI USIPITWE NA VIDEO MPYA
NASAHA KWA WALINGANIZI//DUKTUR ISLAM MUHAMMAD
NASAHA KWA WALINGANIZI//DUKTUR ISLAM MUHAMMAD
มุมมอง: 534
วีดีโอ
Hatari ya kusambaza jambo la madhambi katika Social media//Duktur Islam Muhammad.
มุมมอง 34319 ชั่วโมงที่ผ่านมา
Hatari ya kusambaza jambo la madhambi katika Social media//Duktur Islam Muhammad.
DUA UNAPOAMKA USIKU KUSWALI//DUKTUR ISLAM MUHAMMAD
มุมมอง 1.4K21 ชั่วโมงที่ผ่านมา
DUA UNAPOAMKA USIKU KUSWALI//DUKTUR ISLAM MUHAMMAD
WATU WENYE SIFA YA NG'URUWE//SHEIKH ABDUSATTAR AHMED
มุมมอง 76021 ชั่วโมงที่ผ่านมา
WATU WENYE SIFA YA NG'URUWE//SHEIKH ABDUSATTAR AHMED
Madhara ya betting kwa vijana/Duktur Islam Muhammad (Allah Amhifadhi)
มุมมอง 437วันที่ผ่านมา
Madhara ya betting kwa vijana/Duktur Islam Muhammad (Allah Amhifadhi)
NASAHA KWA WAZAZI BAADA YA TAASISI ZA MASOMO KUFUNGWA//DUKTUR ISLAM MUHAMMAD
มุมมอง 41214 วันที่ผ่านมา
SAMBAZA UJUMBE
SHAFAA'AH YA MTUME ﷺ // DUKTUR ISLAM MUHAMMAD
มุมมอง 36214 วันที่ผ่านมา
PART (1) th-cam.com/video/6brBaszrLZ0/w-d-xo.htmlsi=-MT_bAOtRNsNe4L3
AINA ZA SHAFAA'AH/DUKTUR ISLAM MUHAMMAD
มุมมอง 35814 วันที่ผ่านมา
AINA ZA SHAFAA'AH/DUKTUR ISLAM MUHAMMAD
JE UNATAKA ALLAH AKUHIFADHI??//SHEIKH ABDUSATTAR AHMED
มุมมอง 25114 วันที่ผ่านมา
JE UNATAKA ALLAH AKUHIFADHI??//SHEIKH ABDUSATTAR AHMED
Soma Dua hii baada ya kutawadha//Sheikh Abdusattar Ahmed
มุมมอง 97314 วันที่ผ่านมา
Soma Dua hii baada ya kutawadha//Sheikh Abdusattar Ahmed
AINA ZA KAMARI NA UHARAMU WAKE/DUKTUR ISLAM MUHAMMAD ALLAH AMHIFADHI
มุมมอง 55421 วันที่ผ่านมา
AINA ZA KAMARI NA UHARAMU WAKE/DUKTUR ISLAM MUHAMMAD ALLAH AMHIFADHI
MSIMAMO WA AHLU SUNNAH KWA FAMILIA YA MTUME (ﷺ)
มุมมอง 71428 วันที่ผ่านมา
MSIMAMO WA AHLU SUNNAH KWA FAMILIA YA MTUME (ﷺ)
NASAHA ILIO BORA KWA WALINGANIZI//DUKTUR ISLAM MUHAMMAD
มุมมอง 862หลายเดือนก่อน
NASAHA ILIO BORA KWA WALINGANIZI//DUKTUR ISLAM MUHAMMAD
KUWAPENDA WALIOPENDWA NA MTUME ﷺ//DUKTUR ISLAM MUHAMMAD
มุมมอง 1.7Kหลายเดือนก่อน
KUWAPENDA WALIOPENDWA NA MTUME ﷺ//DUKTUR ISLAM MUHAMMAD
MAANDAMANO KATIKA UISLAMU//DUKTUR ISLAM MUHAMMAD
มุมมอง 4.8Kหลายเดือนก่อน
MAANDAMANO KATIKA UISLAMU//DUKTUR ISLAM MUHAMMAD
UZUSHI KATIKA SIKU YA ASHURA//DUKTUR ISLAM MUHAMMAD
มุมมอง 1.1Kหลายเดือนก่อน
UZUSHI KATIKA SIKU YA ASHURA//DUKTUR ISLAM MUHAMMAD
FADHLA YA MWEZI WA MUHARRAM NA SIKU YA ASHURAA//SHEIKH ABDUSATTAR AHMED
มุมมอง 801หลายเดือนก่อน
FADHLA YA MWEZI WA MUHARRAM NA SIKU YA ASHURAA//SHEIKH ABDUSATTAR AHMED
BID'AH KATIKA MWEZI WA MUHARRAM//SHEIKH ABDUSATTAR AHMED
มุมมอง 985หลายเดือนก่อน
BID'AH KATIKA MWEZI WA MUHARRAM//SHEIKH ABDUSATTAR AHMED
UKUMBUSHO KUHUSIANA NA KHUTBAH YA IJUMAA//DUKTUR ISLAM MUHAMMAD
มุมมอง 470หลายเดือนก่อน
UKUMBUSHO KUHUSIANA NA KHUTBAH YA IJUMAA//DUKTUR ISLAM MUHAMMAD
UBORA WA MWEZI WA MUHARRAM//DUKTUR ISLAM MUHAMMAD
มุมมอง 4.8Kหลายเดือนก่อน
UBORA WA MWEZI WA MUHARRAM//DUKTUR ISLAM MUHAMMAD
RITHAA YA DUKTUR ISLAM KWA SHEIKH ABUU MUAWIYA (Allah Amrehemu)
มุมมอง 1.1Kหลายเดือนก่อน
RITHAA YA DUKTUR ISLAM KWA SHEIKH ABUU MUAWIYA (Allah Amrehemu)
UMEKATA TAMAA?//SHEIKH ABDUSATAR AHMED
มุมมอง 5222 หลายเดือนก่อน
UMEKATA TAMAA?//SHEIKH ABDUSATAR AHMED
UADILIFU KWA ALIE NA MKE ZAIDI YA MMOJA//DUKTUR ISLAM MUHAMMAD
มุมมอง 8172 หลายเดือนก่อน
UADILIFU KWA ALIE NA MKE ZAIDI YA MMOJA//DUKTUR ISLAM MUHAMMAD
CHANGAMOTO ZA KUOA MKE ZAIDI YA MMOJA//DUKTUR ISLAM MUHAMMAD
มุมมอง 9892 หลายเดือนก่อน
CHANGAMOTO ZA KUOA MKE ZAIDI YA MMOJA//DUKTUR ISLAM MUHAMMAD
SABABU ZA MUME KUOWA MKE ZAIDI YA MMOJA//DUKTUR ISLAM MUHAMMAD
มุมมอง 1.7K2 หลายเดือนก่อน
SABABU ZA MUME KUOWA MKE ZAIDI YA MMOJA//DUKTUR ISLAM MUHAMMAD
KHUTBA YA EID AL ADH HA//SHEIKH ABDUSATAR AHMED
มุมมอง 4702 หลายเดือนก่อน
KHUTBA YA EID AL ADH HA//SHEIKH ABDUSATAR AHMED
JE WAISLAMU TUNATAKA UMOJA?//SHEIKH SWALEH IBIRAHIM
มุมมอง 6452 หลายเดือนก่อน
JE WAISLAMU TUNATAKA UMOJA?//SHEIKH SWALEH IBIRAHIM
ADABU KATIKA KUKHTALIFIANA//DUKTUR ISLAM MUHAMMAD
มุมมอง 7K2 หลายเดือนก่อน
ADABU KATIKA KUKHTALIFIANA//DUKTUR ISLAM MUHAMMAD
KUFUNGA JUMAMOSI KATIKA SIKU YA ARAFA//SHEIKH YASSIR ABDULQADIR
มุมมอง 2.9K2 หลายเดือนก่อน
KUFUNGA JUMAMOSI KATIKA SIKU YA ARAFA//SHEIKH YASSIR ABDULQADIR
Natamani ungeendelea ah
Alla awalaze mahala pema waliotangulia
حياك الله
Allahuma ghfirlahum warhamhum wasqinhum fil janna amiin nyanya mwanaisha Allah akupe Nuru na akuepushe na adhabu ya kaburi
MashaAllah ..Allah akuhifadhi Dr.Islam
Allah atuhifadhi sote akiwemo mwalimi wetu dk Islam Muhammad
Nakupenda Shekh wangu kwaajili ya Allhwa Allhwa akulipe kheri Nyingi Shekh wetu mbora hata wakuseme vp tupo na wewe kupata faida tufaidishe kwa Ghilmu Allhwa atakulipa biza biza bina tuwa weke pembeni Twantwana wakae pembeni
Jamaa ashaingia na baridi alivokuja akiandika kirisala chake hakuna hayo asuburi fimbo zake alivotia watu tabia zakike hakuna hayo alivofananisha watu na mbwa hakuna hayo asuburi kubainishwa Sasa na hayo maneno afaa ayafanyie yy kazi kwanza aioende haqqi na watu wahaqqi aache kufuatana na watu wabtwil
Mbona mwajishuku? Mbona kila video inaotolewa mwaona mwakusudiwa nyinyi? Ama nimsumari unawaumiza?😂😂
Twasubiri muifanyie raddi risala zake!!! Na twatarajia kalamu zenu ndio zitaongea ilhali midomo yenu yanyamaze.... Hatutaki tabia zenu za kupayukwa payukwa....mnaropokwa ropokwa,kama nyinyi mko hivyo, sijui wake zenu na madada zenu wako vp????? Haya mazungumzo yalikuwa ni halaqah yake ya taseer tena ilikuwa kitambo sana....
@@Sunnahchannelkenya si kujishuki hayo yuwakusudia masalafi wazi ababika mwambieni atule ashaandika kirisala chake atulie awekwe sawa hii ni dini si biashara asitulete ubabishaji
@@repentingservant4384 usiwe na wasi wasi raddi iko karibu alafu uje utukane Ivo ivo si ajabu kuskia maneno hayo kutoka kwako ameeanza mwalimu wako huyu kuita watu mbwa na wanawake kwenye kirisala chake na ndo kawaida yenu WAtu wabwatil midomo yenu imelelewa kwenye matusi
@@repentingservant4384 si kitambo hayo maneno darsa zake za kitambo na Sasa zajukikana Wacha urongo
Baarakanllah fiikum
Masha Allah
❤❤
Jazakallahu kheir Dr kwakutulimisha
Alhamdulillah Allahu Akbar 😢 Allah awalaze pema waliotutangulia Ameen. Na atupe na sisi khusnul Khatma ameen yaa rabb 😢
Mungu atujalie mwisho ulio mwema
Mashaallah Allah akulinde na Shari maalim wete
Jazakallahu kheir Dr
Allah awape makazi mema maiti wetu waliotangulia mbele za haki nasie allah atupa husnil hatima
Mimi jana nimemuota Baba yangu mzazi Allah ampe Kauli Thabeet ❤
HASBUNALLAH WANI'MAL WAKIIL
Shukran Sheikh kwa ilmu
Allahuma amiyn
Allahuma amiyn
Kwani me niulize ukiomba Dua baada ya swala unakua umekufuru
Subhanallah nmemuota bibiangu kipenzi usiku wa kuamkia leo n asubui napatana n video hii...Allah awarehemu maiti zetu🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Shukran ashshekh.ALLAH atupe mwsho mwema sote inshllah
I very often dream about my dad many times i can't even count, he passed away back in 2017
Maa shaa Allah Ya Rabb
Kwa mtazamo wangu ndoto nyingi ni za shetani ila hatujui ya mungu zaidi
Subuhanallah
Maalim tunakuelewa ni hasadi tu za baadhi ya tanganyika
Je kama uliwahi kumuota mzazi wako aliefariki kwa mda wa siku moja inaweza kuleta maana
Ameen ductur ww ni salafi wa kweli kabisa tukiacha wale mafezuli wa kijadida wanao kubeza ilmu yako ipo mbali na hawasikii kabisa wanapoteza mda wao bure kutuma rudud zisizo za kiilimu.
Allahu atupe mwisho mwema inshaallah
Darsa nzuri sanaa ila mumeikata sanaa wekeni ndefu tuelimike
Naomba utuandikie hio dua ya Mtume SAW
Allahumma Rabba Jibril wa Maika'il wa Israfil; Fatirus-samawati wal-ard, 'alim al-ghaybi wash-shahadah, anta tahkumu bayna 'ibadika fima kanu fihi yakhtalifun, Allahumma ihdini limakktulifa fihi min al-haqq innaka tahdi man tasha'ila siratin mustaqim
Allah Akubariki dr wetu, Na allah akukinge na madhara ya mahasid wanapokuhusud ,
Allah akupe umri wenye heri uzidi kutuzindua na cc tulokua hatuna elimu nasi Allah atupe wasaa na moyo wakuisoma elimu ya kisheria
Innalillah wainna ilayh rajiun Allah atuhifadhi😢
Allahuma ghafilahu waliwalidaiyya wa arhamahumaa kama rabbayan swighar🤲allahuma ghafil lilmuslimin walmuslimat wal muuminina wal muuminat al ahyaa minhum l amuat birahmatika ya arhama rahimeen.🤲
❤❤❤
Ambae anajua naweza pata wapi kofia kama Ya Duktur anijuze
Masha Allah, Jazakallahul khayr ❤
Nasaha imefika kwa alie na elimu atafahamu na alie ghurika bas atazid kughurika Allah akulipe kheri kwa nasaha zako hizi japo na ww watakuchapa t maana umezungumza ukweli usio pingika
Huu ndio mtindo uliopo hizi karne zetu. Swadakta ndugu kwa kuweka hii clip
MASHALLAH IMEFIKA HIYOO
Kwali kabsaa sheikh
Sio hivyo. Ndugu zangu ktk imani. Maana ya aya hiyo. Ni baadhi ya nafsi atazilipa malipo yake,baada ya kufa kwake. Kabla ya cku ya kiama. (Waliola) yani walio kufa. Nafsi na roho vitu viwili tofauti.
Shukrani scheikh wetu
Allah tujaliye mwisho mwema inshallah rabbih lá minnah
Swadakta shekh wetu Allah akuhifadhi..