Je Yuda Naye ni Jini au Shetani Sheikh Shafii Atoa na Maandiko Kwenye Bibilia Kutoafautisha Haya

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 27 ส.ค. 2024

ความคิดเห็น • 23

  • @sayeedmsct4255
    @sayeedmsct4255 2 หลายเดือนก่อน +2

    Masha-allah hakika wewe ndio sheikh mwenyezi mungu Akuifadhi ❤❤❤❤

  • @ABDIKASIM-qe4lc
    @ABDIKASIM-qe4lc 2 หลายเดือนก่อน +1

    Maashaallah mungu amupe umlimulefu uzidi kutuelimisha

  • @abdullahmasakata170
    @abdullahmasakata170 2 หลายเดือนก่อน +1

    Shukrani xana Shekh umejibi vizuri kabisa ALLAH akulipe kheri na akuongezee elimu zaidi tuzidi kufaidika Amiin.

  • @fadhilfathamula4224
    @fadhilfathamula4224 2 หลายเดือนก่อน +1

    Sheikh shaff kichwa saaana mwenyezi mungu akujaalie khel

  • @ndayisengaamissi6102
    @ndayisengaamissi6102 2 หลายเดือนก่อน +1

    Sheikh Shafii. ALLAH AKUBARIKI SHEIKH LANGU , NAPENDA SAN UFAFANUZI WAKO

  • @barazasule9582
    @barazasule9582 2 หลายเดือนก่อน +1

    Ustadh Shafii,nakuelewa vzur,asokuelewa kusudi tu.

  • @user-cy4xf1eu3q
    @user-cy4xf1eu3q 2 หลายเดือนก่อน

    Utofauti wa Yesu alikemea majini na shetani

  • @abdallahjuma2608
    @abdallahjuma2608 2 หลายเดือนก่อน +1

    Sheikh shafi ❤

  • @HappyKiteboarder-du9th
    @HappyKiteboarder-du9th 2 หลายเดือนก่อน

    On fire shafi

  • @mangeraalbert7982
    @mangeraalbert7982 2 หลายเดือนก่อน

    Shafi kuja kenya kisii, haki ijulikane,

    • @suleimanmosooud9405
      @suleimanmosooud9405 2 หลายเดือนก่อน

      Nabi Suleman
      Sheikh Sheikh Shari.
      Nakukubusha Tu.
      Ukosawa.

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ 2 หลายเดือนก่อน +2

    Uchawi upo kila Taifa kila kabila sio dini, Kuna Uchawi wa Kinyamwezi, kinyakyusa, Kimalawi , Ki Botswana, kila kabila hapa duniani, Sema watu wakikosa hoja hushambulia dini za wengine kwa hoja za Kichawi, Wameru na hata uchagani kuna uchawi je wamefundishwa na Waislam? Hapana

    • @jamalishoo3802
      @jamalishoo3802 2 หลายเดือนก่อน

      Hoja nzito kabisa hizo

    • @hamidudongo1879
      @hamidudongo1879 2 หลายเดือนก่อน

      Tatizo huyo jamaa sio muandishi wa habari bali ni mshabiki wa dini. Tena bahati tu Ustaadhi hakutaka kumuwekea manani tu. .....

  • @halimakunary8802
    @halimakunary8802 2 หลายเดือนก่อน +1

    Unaongea vizuri na unafafanua vizuri

  • @user-gb5hq7tv2u
    @user-gb5hq7tv2u 2 หลายเดือนก่อน

    🙏🙏💯

  • @DawaUnityGroup
    @DawaUnityGroup 2 หลายเดือนก่อน

    Ni walawi 17:7

  • @UessoSalimo-cd3mw
    @UessoSalimo-cd3mw 2 หลายเดือนก่อน

    Sheikh shafim mi Nina swali na nimkaazi wa msumbiji
    Nauliza hivi ktk zama za zamani kuna baazi ya wazee walikua na uwezo WA kuchuma nazi hata uwe mrefu VIP Kwa kutumia kuinamisha
    Swali namna hii walikuwa wanatumia mashetani Au majini au walikua wanatumia uwezo WA qur ani?

  • @MirajiMiraji-yu4gg
    @MirajiMiraji-yu4gg 2 หลายเดือนก่อน

    Shehe shafi .kama hujaumwa na Hawa majini mtu hubishia ww mzima. Hujaumwa na Hawa ..wengine ss wagonjwa miaka 40 tunaumwa mnatusaidiaje au ss sibinaadamu tuachwe ..wapo watu wanawatuma majini kututesa na hutupanda husema hawatoki jee huyu jini hajatumika au katumwa mm naamini Kuna binaadaam wengine wanatumia viumbe Hawa kututesa mm naumwa na jini miaka 40 sasa

    • @abubakarmuhammadsaid3244
      @abubakarmuhammadsaid3244 2 หลายเดือนก่อน

      Nenda kazung7mze na imamu msikitini, utapata msaada.
      Au mfuate Sheikh mwenye elimu aliesoma dini, utapata msaada.
      Insha Allah

  • @NNCTVnewnurucinema
    @NNCTVnewnurucinema 2 หลายเดือนก่อน

    th-cam.com/video/0Mi1eCx0mVE/w-d-xo.htmlsi=PAWKhl0F0yPjD2et Tazama na hii utajifunza mengi