Uchawi upo kila Taifa kila kabila sio dini, Kuna Uchawi wa Kinyamwezi, kinyakyusa, Kimalawi , Ki Botswana, kila kabila hapa duniani, Sema watu wakikosa hoja hushambulia dini za wengine kwa hoja za Kichawi, Wameru na hata uchagani kuna uchawi je wamefundishwa na Waislam? Hapana
Sheikh shafim mi Nina swali na nimkaazi wa msumbiji Nauliza hivi ktk zama za zamani kuna baazi ya wazee walikua na uwezo WA kuchuma nazi hata uwe mrefu VIP Kwa kutumia kuinamisha Swali namna hii walikuwa wanatumia mashetani Au majini au walikua wanatumia uwezo WA qur ani?
Shehe shafi .kama hujaumwa na Hawa majini mtu hubishia ww mzima. Hujaumwa na Hawa ..wengine ss wagonjwa miaka 40 tunaumwa mnatusaidiaje au ss sibinaadamu tuachwe ..wapo watu wanawatuma majini kututesa na hutupanda husema hawatoki jee huyu jini hajatumika au katumwa mm naamini Kuna binaadaam wengine wanatumia viumbe Hawa kututesa mm naumwa na jini miaka 40 sasa
Masha-allah hakika wewe ndio sheikh mwenyezi mungu Akuifadhi ❤❤❤❤
Maashaallah mungu amupe umlimulefu uzidi kutuelimisha
Shukrani xana Shekh umejibi vizuri kabisa ALLAH akulipe kheri na akuongezee elimu zaidi tuzidi kufaidika Amiin.
Sheikh shaff kichwa saaana mwenyezi mungu akujaalie khel
Sheikh Shafii. ALLAH AKUBARIKI SHEIKH LANGU , NAPENDA SAN UFAFANUZI WAKO
Ustadh Shafii,nakuelewa vzur,asokuelewa kusudi tu.
Utofauti wa Yesu alikemea majini na shetani
Sheikh shafi ❤
On fire shafi
Shafi kuja kenya kisii, haki ijulikane,
Nabi Suleman
Sheikh Sheikh Shari.
Nakukubusha Tu.
Ukosawa.
Uchawi upo kila Taifa kila kabila sio dini, Kuna Uchawi wa Kinyamwezi, kinyakyusa, Kimalawi , Ki Botswana, kila kabila hapa duniani, Sema watu wakikosa hoja hushambulia dini za wengine kwa hoja za Kichawi, Wameru na hata uchagani kuna uchawi je wamefundishwa na Waislam? Hapana
Hoja nzito kabisa hizo
Tatizo huyo jamaa sio muandishi wa habari bali ni mshabiki wa dini. Tena bahati tu Ustaadhi hakutaka kumuwekea manani tu. .....
Unaongea vizuri na unafafanua vizuri
🙏🙏💯
Ni walawi 17:7
Sheikh shafim mi Nina swali na nimkaazi wa msumbiji
Nauliza hivi ktk zama za zamani kuna baazi ya wazee walikua na uwezo WA kuchuma nazi hata uwe mrefu VIP Kwa kutumia kuinamisha
Swali namna hii walikuwa wanatumia mashetani Au majini au walikua wanatumia uwezo WA qur ani?
Shehe shafi .kama hujaumwa na Hawa majini mtu hubishia ww mzima. Hujaumwa na Hawa ..wengine ss wagonjwa miaka 40 tunaumwa mnatusaidiaje au ss sibinaadamu tuachwe ..wapo watu wanawatuma majini kututesa na hutupanda husema hawatoki jee huyu jini hajatumika au katumwa mm naamini Kuna binaadaam wengine wanatumia viumbe Hawa kututesa mm naumwa na jini miaka 40 sasa
Nenda kazung7mze na imamu msikitini, utapata msaada.
Au mfuate Sheikh mwenye elimu aliesoma dini, utapata msaada.
Insha Allah
th-cam.com/video/0Mi1eCx0mVE/w-d-xo.htmlsi=PAWKhl0F0yPjD2et Tazama na hii utajifunza mengi