Amen pastor hili neno ni langu na ninaamini litanibadilisha nitaacha kumkopa MUNGU , MUNGU nisaidie mwizi mimi😢 sitaiba Tena ninaahidi mbele ya hii madhabahu ROHO MTAKATIFU tafadhali nikumbushage kuitimiza hii ahadi amen
Hakika pastor maubili yako yamenilenga huyo ni mm 😭😭😭 eee mungu nisaidie na mm; postor nisaidie niombee natamani sana kuokoka na mm yatosha kutumikishwa na ibilisi shetani eee mungu nikumbuke
😂😂😂😂 usisubiri kukabwa usiku. Wapendwa tumrudie Mungu maisha ya duniani ni mengi ila tusikubali kushusha mahusiano yetu na Mungu. Mtumishi ubarikiwe sana endelea kutupa Neno 🙏🙏🙏🙏🙏
Ninapo sikiliza haya mahubiri huwa yananitia nguvu hata mara nyingine😢😢naona kama nafika mwisho lakini najuwa cku moja mungu ataniinua kulingana vile nakufatilia😢😢najuwa mungu atanifuta majozi cku moja
Asante Muñgu Baba wa mbingu ninaomba Rehema kwaajili yangu na familia yangu nawengineo wote kwa kuwa Muñgu najua utatuwazia mema mubariki mtimishi wako Asante Yesu❤❤❤❤🎉🎉
Mungu wa mbunguni Leo uliingia kwenye chumba changu ukaona kila kitu Leo kwa sababu mchungaji ameongea neno kubwa kabisa tena sana mungu wewe ni mungu wa kweli
Asante ntumishi kwa kutuelekeza namna ya kuenda kwa Mungu, namna ya kuomba rehema kwa Mungu,namna ya kumtolea sadaka na zaka, namna ya kuwa mwaminifu kwa Mungu, namna ya kutengeneza na Mungu, Mungu akubariki sana
Mtumishi Muñgu akubariki Nimekuelewa sana niombee na Müñgu anisamehe Kuna vingi Sana umenifuraisha hujaongea Sana umetufundisha Sana Muñgu awe nawe ❤❤❤❤ ubarikiwe mno wewe na familia yako umeponya nafusi za wengi kupitia Neno hili
Mungu tusaidie tusikie neno tutende neno tushike neno tuishi katika utii na utakatifu kwa reo somo nirangu mungu nisaidie
Mungu Sina mwingine wa kunisaidia ni wewe tu nisaidie ,usiniache peke yangu,nisaidie bwana.
Sahihi kabisa, MUNGU atusaidie 🙏
Amina 👏👏wimbo jumla na neno lako vimenibariki sn Mtumishi wa Mungu...
Mmmm sina nilillolifanya ili nikumbukwe na Mungu yaani nahitaji neema ya kuanza naye sasa
Ee MUNGU naomba unirehemu mimi na watoto wangu na mumewangu,,,,nirehemu Bwana
Amen pastor hili neno ni langu na ninaamini litanibadilisha nitaacha kumkopa MUNGU , MUNGU nisaidie mwizi mimi😢 sitaiba Tena ninaahidi mbele ya hii madhabahu ROHO MTAKATIFU tafadhali nikumbushage kuitimiza hii ahadi amen
Mungu wangu Asante sana kwa mafudicho Aya, the man of GOD GOD bless you 🙏
Hakika pastor maubili yako yamenilenga huyo ni mm 😭😭😭 eee mungu nisaidie na mm; postor nisaidie niombee natamani sana kuokoka na mm yatosha kutumikishwa na ibilisi shetani eee mungu nikumbuke
Amen napokea neema yangu mwezi huu katika jina la Yesu Kristo
Natamani kabisa kuishi nawe bwana mungu wangu
😂😂😂😂 usisubiri kukabwa usiku. Wapendwa tumrudie Mungu maisha ya duniani ni mengi ila tusikubali kushusha mahusiano yetu na Mungu. Mtumishi ubarikiwe sana endelea kutupa Neno 🙏🙏🙏🙏🙏
Napenda ivi vipindi vya mafundisho nifanyaje ili kila kipindi niwe nakipata Kwa wakati Kila unapo ingia
Mungu kubariki Sana kujazenguvu ekimanamarifa zadinazaidi kuwezeche
You're right the man of God 👏🙏mimi nikiwa ujauzito huwa siombi 😢nipe neema ya maombi baba yangu 🙏ulimwengu mna dhiki nipe nguvu ya kushinda😭🙏
Asante ntumishi kwa kutufundisha neno la kweli ambalo linatusaidia kutoka sehemu moja kwenda nyingine, Mungu akuoandishe viwango vya juu zaidi
Ninapo sikiliza haya mahubiri huwa yananitia nguvu hata mara nyingine😢😢naona kama nafika mwisho lakini najuwa cku moja mungu ataniinua kulingana vile nakufatilia😢😢najuwa mungu atanifuta majozi cku moja
Amen ! Ubarikiwe pastor
Nakupenda sana mtumishi wa MUNGU kwani hunijui sikujui ila kupitia neno la MUNGU nimehama kituo kiimani
Uongee ukweli mtumishi Kwa sababu IPO siku tutasimama mbele za Mungu na kutuonyesha ukweli unaotufundisha🙏🙏🙏
Nashukuru kwa mafundisho yako yame nitia moyo kwa sababu nilikuwa nimekata tamaa kazini
Aliyeimba huu wimbo ni nani,watumishi wa Mungu nisaidieni..
Eeh Mungu nisaidie mwanao nibadilike,naacha njia zangu mbaya nakufuata Yesu naomba uniongoze 🙏 Asante naomba pia umbariki mtumishi wako Asante Yesu 🥰
Asante Muñgu Baba wa mbingu ninaomba Rehema kwaajili yangu na familia yangu nawengineo wote kwa kuwa Muñgu najua utatuwazia mema mubariki mtimishi wako Asante Yesu❤❤❤❤🎉🎉
Mungu nisaidie ninaangamia kwa kukosa marifa...asante kwa kunikutanisha na madhabahu haya,kilicho chako bwana wacha nikitoe kwa ukamilifu
🙇🙇Tunashukuru sna kwa ajili ya neno la Mungu,Hakika linaniuwisha tena na kunifanya nipate nguvu ya kumtafuta Mungu zaidi🙏✍
Ameni naomba MUNGU ANISAIDIE
Nashindwa hata kuomba neema inanities na kunitoa hatpa
Jamani jamani jamani MUNGU kanionya leo
AMINA
Mungu wa mbunguni Leo uliingia kwenye chumba changu ukaona kila kitu Leo kwa sababu mchungaji ameongea neno kubwa kabisa tena sana mungu wewe ni mungu wa kweli
Hiyo,ni,kweli,kabisa,mtumish
Nyimbo ilioanza anaeijua aniambie nitumie kusifu 🙏
my pastor mungu wako ni mungu ambaye anaona mambo yote yangu pia anadjuwa makosa yangu nania yangu
Ubarikiwe mtumishi
Bwana mungu naomba toba kutoka kwako pia siwezi tena kupinga na sauti yako wala kupuzia maelekezo yako yoyote bwana nisamehe
Kwa neno hiri kama hujabadiirika mmmm
Asante mtumichi wamungu nachukulu kwamafundicho mazuli yamenigusa moyoni nachukulu sana
Ata na mimi na omba Mungu ani sameh juu ya zaka. Na anipe nguvu ya kutowa saka sasa na mapato yangu.
Ndiyo baba sio huongo kabisa
Amen sana
Asante mungu naomba ukutane na mimi katika maisha yangu🙏🙏
MUNGU nikumbuke mana natumika kanisan kwa nguvu zangu na sadaka
Barikiwa Mtumishi
Asante Mungu 🙏🏿
Ameni
Mungu naomba
Unifungue Kila lililofungwa kwenye maisha yangu
Mungu akubariki kw Neno nzuri Mtumishi unanitia moyo kila ukihubiri neno la uzima🙏
Bwana asante kwa yote
Mungu naomba unirehemu Mimi na wanangu tuondolee nguvu za giza zinazotufuatilia kwenye kazi na biashara mungu nisaidie
Saw
Mungu anitie guvu
Aksante Mungu kwa rehema na neema yako kwa uzima wetu🙌🙌🙌 Zab103:3🙏
Naomba neema yako ya uzao
Neno la Leo limenigusa aposto naamini ata uyo mganga anamtegemea mungu,shalom watu wa mungu tumludie mungu,🙏🙏🙏amen,
Amen mungu Wangi nisamehe nilikosa mbele zako nitienguvu tena maana bila wewe pekeangu sitaweza
Sikujua Santi mwenyezi mungu nmejua mengi n bariki🙏🙏🙏
God bless my messenger
Leo MUNGU mkali kupitia mtumishi wake,,,,naomba unisamehe MUNGU wangu,,,naacha wizi
Nashukuru mtumishi Kwa maubiri,you make me move closer to God
MUNGU BABA nisameh mimi mtenda dhambi🙏🙏🙏
Nashukuru sana Mchungaji, Mungu akubariki tena sana
Nikumbuke Mungu wangu naomba usiniache 😭😭😭
Amen and Amen
Mungu nirehemu sawa sawa na fadhili zako amen
Asante mtumishi wa mungu unanifundisha ukweli uliopo nakuelewaa sanaa na kila uombapo unanigusa mimi
Ubarikiwe Sana mtumishi 🙏🙏
Asante sana mungu akubariki Kwa kazi yako
Hakika umenirudisha kwenye mstari ubarikiwe sana mtumishi
Amen mtumishi wa MUNGU.
Ubarikiwe Sana mtumishi.
Asante sana baba unanisaidiya sana mutumishi wu mungu
ubalikiwe sana mtumishi wamungu
Amen
Amen
Amen❤
Mungu akuariki mtumishi neno zuri ❤❤
Barikiwa sana mtumishi wa MUNGU
Naomba roho mtakatfu aingie ndani yamoyo wangu
Amen
Asante ntumishi kwa kutuelekeza namna ya kuenda kwa Mungu, namna ya kuomba rehema kwa Mungu,namna ya kumtolea sadaka na zaka, namna ya kuwa mwaminifu kwa Mungu, namna ya kutengeneza na Mungu, Mungu akubariki sana
Kijana wa kiume akiota ndoto ana pambana na mwanamke huashiria nn
Ubarikiwe saana Mtumishi wa Mungu
Mungu anisaidie nitoke hapa
Ubarikiwe sana Pastor👏
Amen MUNGU atukumbuke
Hakika tunatakiwa kutubu na kusimama Tena amen
Ameeeeeeen
Mungu naomba unirehemu Mimi na wanangu tuondolee nguvu za giza zinazotufuatilia kwenye kazi na biashara mungu nisaidie
Eeee Bwana Yesu naomba unirehemu unisamehe maovu yangu, unipiganie kutokana na roho za kipepo,nshike mkono uniongoze safarini peke yangu siwezi
Mungu nipe neema yako
Ahsantee yesu 🙏🙏🙏
Amen. Barikiwa
Bwana nikumbuke
Amien sama
Ubarikiwe
Amen 🙏🙏🙏🙏
Amen 🙏🙏🙏😭😭😭😭😭🙏🙏🙏🙏
Ameer
Amen amen 🙏🙏🙏🙏
Mtumishi Muñgu akubariki Nimekuelewa sana niombee na Müñgu anisamehe Kuna vingi Sana umenifuraisha hujaongea Sana umetufundisha Sana Muñgu awe nawe ❤❤❤❤ ubarikiwe mno wewe na familia yako umeponya nafusi za wengi kupitia Neno hili
AMEN AMEN 🙏🙏🙏
Amen
Amen