NILIOMBA UKIMBIZI CANADA| AGENT ALINILIA PESA NA VISA SIKUPATA | WADADA MJIBRAND ACHENI KUOMBA OMBA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 13 ต.ค. 2024
- Mpaukha ameeleza Safari ya maisha yake kutoka Tanzania mpaka kufika nchi ya ndoto yake Canada
Ambapo anasema alitumia agent wa kwanza ambae alimlia pesa
Anasema baada ya kufika tu aliomba ukimbizi, amewaasa vijana kujituma.
Mabinti kutokua rahisi na waweze kujitegemea.
Thank you Mpauka Jr for allowing this to be online
www.oda.international
TikTok: Mpaukha Jr
Instagram: Mpaukha Jr
Thank you so much my ❤
Ubaguzi Canada upo mkubwa Sana sema watu hawawezi kujua kama kuna Unaguzi
Ubaguzi Canada mkubwa sana
😅kweli kaongea vizuri ni huzuni sisi wadada wa bongo kuomba Kuna cost
Huyu kaka ana Account mbili sasa sijuwi anatumia ipi Instagram kaka kama unaona hii comment angalia Dm yako
Napenda sana Shena anavyoheshimu mambo ya private hawi king'ng"anizi. Best youtuber wa mambo ya ughaibuni ni Shena❤❤❤
Anajielewa sanaaa ki ukweli
She is smart
Hakika unachosema!
Hakika unachosema!
Ukifuatilia kwa umakini hizi interviews utagundua watu waTZ waliopambana wakafanikiwa kupata kuishi hizi nchi za nje IQ zao na namna za kufikiri sio za kawaida,kiufupi ni watu smart na intelligent.Mungu awabariki hawa wenye mioyo mizuri ya kutushirikisha hizi experience zao.Hongera sana Sr Shena kwa interview nzuri,zinatufungua sana akili waTZ
Nawapenda sana vijana wapambanaji. Hongera sana kijana kwa kutimiza ndoto yako ya kufika Canada
Asante kaka
Ahsante shena Ahsante broh.
Kwa kuchangia tu hapo kwa kuomba ukimbizi. Ukiomba ukimbizi sio lazima kma nchi yetu iwe na vita . Ukimbizi ni jinsi uatakavyojielezea mwenyeo nini kimekukuta. Ktk maisha yako kwa ssabu watu wengi huzani ni lazima nchi iwe na machafuko .but kuna wata huomba ukimbizi .kufikisika kibiashara akawa na madeni hawezi .kulipa . Kulawitiwa .kuwa kaka poa or dada poa . Yaaani si situation utakayoipanga na ikawagusa na ikagusa ktk jamaai ni ukisema situation yko usipindishe unachokisema hata ukiulizwa tena ndio hicho. Kwa kweli ni mambo mengi tu . Samahani sana
Waiyo wapendwa kama nataka viza ya ukimbizi naomba uku nchini kwangu? Au hata nikiwa nipo Canada maana Mimi mpaka sasa ninsviza ya kutembea
Nashukuru sana dada shena tunajifunza mambo mengi
Interview nzuri saana , nawapata vizuri mno hapa Rorya, Mara maeneo ya Shirati na Kamageta
dada nakupenda bure una busara sana na unajua kuuliza maswali ongera sana.
Piga kazi Shena,,,hapo hamna uharamu
Kweli kabisa
Wewe kaka ndugu yetu Allah akubarikiye Sana
Wewe nimkweli ikiwa mkweli
Barikiwa sana yote.
Tatizo la Watanzania sisi ni kutokupenda na kupeana ushirikiano, pia uvivu wa kusoma na kujifunza, wengine tulichelewa kupata taarifa sahihi. wakenya na wanigeria wengi hubebana sisi ukishaenda basi hutaki hata ndugu yako aje.
Uko sahihi halafu pia roho mbaya na fitna nyingi
Tupe nawasiliano na agent wako
One day yes na da shena nitakuja hapa kunihoji Canada my dream country very soon ❤
Mungu akusimamie mkaka katika utafutaji wako🤲🌹
❤Hongera dada
Uani jama ,snamawazo kama yangu,canada na Australia,ndo napambania huko,ntaenda tuuu,dada ubarikiwe
Ameen 🙏
Dada mwambie uyo brother anipe namba ya uyo agent aliyo mpatia visa nina mpango wa kwenda Kanada ,UK or marekani
Wanaume mariooo wapo wengi sana,wmekuwa wachunaji
Da shena mwambie atupe number ya agent wake
Mlaiki jamani Shena anatupambania tupate madini tuna nfoto wengi ya kuondoka huku ,
Interview nzuri
Asante shena naomba namba ya uyo ajent wa huyo kaka please
Mengi ni mambo ya kishoga so wanasingizia,hio ndio sababu kwasasa ndio imeshika kasi so hawezi kusema maana hamtamuelewa kwasisi tulioko huku tunaelewa.
Hawapimwi kuhakikisha?
Stori za kosenge senge km hiz hazifai kwa iyo kila mtu anayewaza kwenda huko ni shoga toa hiz fikra za kipumbavu za voongozi wako wa CCM
kuhus kutapeliwa mmi mwenyewe muhang,niliamua kuja gulf maana nilikua sina jinsi
Kikubwa tuwe makini
Nice interview
Kweli wa Nigeria sio watu wazuri na usharikina wanatumia,pendelea East Africa mwenzako
Kuomba ni tabia tu na namna ya malezi.
Ukweli ni kujirahisisha😢
Sana
alafu wanaigeria hawawezi kufanya maisha mtu sio wakwao.
Tuwe tuna like jamani . Kulike ni kuifanya video kufika mbali sana na iweze kuonekana yaani visibility. Kingine kulike ni kazi rahisi tu wala huliwi bando lako
Thank you kaka kw ukumbusho 🙏
I appreciate
Jamaa kaongea nondo sanaaaa
Sana
Shena Tuekee no ya uyo ajent pleas
Dada naomba mwambie huyo kk anipe namba ya huyo anjet
Jamaa kaongea nondo sana kachanganya na vyuma humo humo Safi sana
Shena hakuna fatwaa ya uharamu wa online dating kiislam, hivyo aliyeharamisha alete hoja lengo tu isiwe ni zinaa watu waoane kuleta family
Maneno mazuri Shukran
Tena ukiwa huna hela njaa hiyo pambe utajuta😂😂😂😂
Shena achana na hao watu wa nyumbani wanaosema, online date ni dhambi,unajua nyumbani watu bado hawajaamka kwa vitu vingi kwa hivyo kuelewa hivi sio rahic
Ndiomana tunawapa elimu
I hope someday wataamka 🙏
Wengine ni kwasababu wamejikatia tamaa wanataka na wengine wakate tamaa kama wao
Nisaidie hata namba ya huyo anjet mm niko oman napambana na nimetapeliwa hela km mara mbili
Wanaume wote tupo hivo tunapenda wanawake wanaojitoa kwa ajiri ya mwanaume nondo hii kaka kwa dada zetu utasikia mwanaume bahili simtaki badilikeni
Kaka naomba nisaidie nami nitimize ndoto ya kufika Canada
Atupe agents number yake nasie mie nina mtt wa dada ynga anataka kwenda na yy kutafuta maisha kashaomba mara 2 hajapata kashaliwa mara 2
Kaliwaje hiyo mara 2
Anaeona online dating ni haramu hilo ni juu yake. Tuache kuwa judgemental jmn
Naomba contact za huyo Brother aweze kuniunganisha na Agent wake pliz
Let us subscribe here n like this video you doing great girl
Safii
Dada mwambie bro anipe namba ya agent
nataka sana namba yako dada yangu
🎉
naelew xan 👌 1day 🛫
Kaka naomba unitumie number ya huyo agent
Kuna ma argent wezi wengi na Namba zao badae hazipatikani
Mpaukha my friend 😅🔥🔥🙌🙌🫸
Naomba namba ya agent wake basi nidili nae
Wa kwanza ku comment
🙏🥰
🎉🎉🎉
Mambo ya agent nikutia mkono kizan kwahiyo ukiwa unataka safar basi usichoke kuingiza mkono kizan .tulishaliwa sana juu ya hizi safar.
pia watuambie bank statement iwe na kiasi gan
Da shena mm ntakupata aje. Ninashidae na ww. Jamanii
Unamwaga msosiiii?!?😊
Kaka anazungmzia wanawake wanaejiuza ndio wanaambiwa wko chipu
Naomba kuuliza shena,ivi ukiomba ukimbizi na kupokelewa unaruhusiwa kurudi kwenu kutembea na kurudi uko?
Ukiomba ukimbizi huwezi kurudi nchini kwako kwasababu ulisema una matatizo nchini kwako ndio maana ulkakimbia
JE huko kuna MAKANISA ya YA kiroho
Tupe namba ya Agent
Na mm natamanii kiishii canada
Mimi nataman Kuja Canada ila kwa galam zang sio kuletw na mtu ila sijui nifany nn
Yaani wewe ni mimi kabisa ila nimeshaliwa hela mpaka nimesema basi ilanajua one day yes
Sema wa bongo hatupendani
Sio kweli, wabongo wanapendana buana na wanasaidiana sio wote hawapendani
Jamani jamani eeeeh ivi vitu vya aibu sana kuomba kuomba kama walemavu,kweli ni aibu sana
Mnooo
Kaka kama hutojali unaweza kuniunganisha na huyo agent
Wewe upo nchi gani
Sorry Shenna,hv Canada wanatumia Dollar ya marecan au wana Dollar yao pia
Wana dollar yao ( Canadian dollar )
Wana yao
Canadian Dollar
Wana Dolla Yao yenye iko chini kuliko ya.marekani eg as now 1 Canadian dollar is 106/= Kenyan money while American dollar is 140
Da shena huyu kaka hana acount ya tiktok kama ipo unipe maana na mimi nahitaji aniunganishe na mtu wake aliye msaidia kumfanikishia jambo lake huyu aliemfanyia atakua mkweli
Ubaguzi CANADA UPO MKUBWA SANA SEMA HUJAFIKIA KTK ZONE ZA HAO JAMAA NDOO UTAKAPO JUA UBAGUZI WA CANADA
Karibu sana kwa kipindi tupate kujifunza kupitia wewe +4367764790884
@@OfficialDatingAssistance
Ahsante sana kwa mualiko wako ningpenda kutoa maadini hususan kuhusu Ubaguzi wa Canada.
Mada yangu itakua itakua Kuhusu kwa wale wanao kwenda kujaribu kufanya biashara za kimatiafa North America.
Tutazungumzia vile vile jinsi gani ubaguzi ulokuwapo ktk nchi hizi mbili pindi utakapo jaribu kufanya biashara kubwa au transition ya biashara ndogo za ndani ya nchi na ukataka kutoka kufanya biashara kubwa na za kimataifa
HAPO NDIPO UTAKAPO UJUA UBAGUZI WA CANADA
Dada tunaomba siku ututafutie chimakeke umuhoji
Kwel
yeye ni mwanamke masikini na nataka mwanaume tajiri😀😃😄😂😂
Tusaidie Bas agent wako wa ukweli
Masikini dah mtu anakudhulumu tu😢
Views 2800 likes 23 wabongo tuache roho z kukunja tu like jaman 😢 maan hap tunajifunza vingi na Kupata madini pia
Shukran kwa ukumbusho 🤝
@@OfficialDatingAssistanceSawa dada
Yaan mm ningelikua na moyo mwepesi basi ningeghairi Ila sikukata tamaa Hadi nilipopata nikaondoka nikasahau kabisa yakiopita alhamdulillah tupo tunapambana Kwa sasa
@@komboko4143 Hongera kwakutokat tamaa me mwenyew nataman san sik moj nifik huk
Tupe connection ya Agent kaka
atupe voo nasie 😅
Kwasisi wazee wa cuba tushaelewa matatizo yanyumban yanayopelekea kuwa wakimbizi tayar tushaelewa
Watz wako wengi sana Toronto, Calgary, Vancouver ila hawapendi kujichanganya na watz wenzao
Fanya research utajua kwa nini hawataki kujichanganya. Ukitaka kujua zaid why nifuate private
@@Jeff_Tz Roho mbaya na wivu ndio maana hatupendani huko abroad
Nipe sababu @@Jeff_Tz
Canada nchi tulivu kwa maisha MUNGU awatunze vyema nyote mlioko huko
Kweli kaka kila kitu ni process, sio kudanganyana, mfano kuwa ukifika tu unafanya kazi, kisha kuwaambia watu wa nyumbani ukweli ni vizuri, kuliko kujipamba kwa uongo, kama wanavyojidai wengi huku nje.
Mademu wa kipopo wabovu kaka nakubaliana na ww Baharia
😂😂
To hell with ukimbizi