VITIMBWI VYA MAMA MKWE VILINIRUDISHA BONGO | NILIMPELEKA MKE WANGU UMASAINI ALING’ATWA NA KUNGUNI
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 8 พ.ค. 2024
- Jacobo ameeleza Safari ya maisha yake kutoka Tanzania mpaka Italy
Alikua akifanya kazi ya Ulinzi Zanzibar, alikutana na mke wake huko na kuhamia Italy.
Kwasasa ni mume na Baba.
Kutoka kua mlinzi mpaka sasa ni muuguzi.
Safari yake ya Italy haikua nyepesi na maisha ya Italy hayakua ya lele mama.
Vitimbwi vya mama mkwe wake alivyokutana navyo vilitaka kuvunja ndoa yake
Thank you Jacobo for allowing this to be online
www.oda.international
TikTok: jacobo.matema
Mother in law from hell 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂heeee nimecheka mpaka nimeanguka
Dada sorry ninaswali hivi ata waturuki wanawez kuwapenda waswahili
kwahiyo humbebishi mzungu wako jamani
Meno 😅😅😅😅😅😅😅😅😅
Hongera Jacob Hongera Dada Mwenye kipindi chako
Kaka leo umetuweza ni mcheshi sana utaishi na watu vizuri namna hio, story nzuri inachekesha na kufurahisha sana. Mwenyezi mungu aendelee kuwasimamia ktk ndoa yenu. Asante Shena kutuletea elimu kwa ujumla.
Yaani weeeh dada shena Leo umefanya mahojiano n mtu mzuri sana n mcheshi mno
😂😂😂nimecheka sana
😂
Kwakweli leo Jacob umenichekesha sana hasa bibi alipomwaga ugoro dah! story tamu sana….Ahsante Shena kwa kazi nzuri👏
Na mara nyingi history hizi lazima ziambatane na zanzibar.alhamdulillah kumbe zanzibar kuna mchango mkubwa napo katika kufanikisha maisha.wenyeji hatujui tupo tupi tu wavivu hattari
Duuuuh poleni sana
Dada shena leo umekuja vzr sanaa aiseee nimecheka sana😂😂😂😂
🎉❤ uyu jamaa ana ucomemedy ndani ykee😂😂😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣aise Yakobo unatuvunja mbavu sana 😅
Ahhh mahojiano haya ni vichekesho tuu hivyo visaa vya bibi vyaaina yakee 😂😂😂
Shena leo umetuweza😂😂
Shena,,, great content! Mzee wa ugoro noma sana😂😂😂
Unajua kuna kitu nimejifunza hapa,kwa hawa wenzetu, hawa wenzetu wanawake wa kizungu kweli wanajua kujitoa kwa kitu wanachotaka haijalishi mazingira.
hata wa bongo tupo
Ila wifi alipanga na mama kukuachisha ugoro big up kwao 😅 mimi nimeolewa na mmasai hawatakagi kuambiwa wala kupangiwa
Maasai 😅
Nmefurahia sana leo Jacob amenichekesha.huyo kk ni mvumilivi sana mungu amwinuwe zaidi❤❤
Napenda hii interview. Ningependa nikutane na wazungu wanaopenda hii adventure. Demu akajitia ngangari, eti unapolala nipo tayari kulala.... unachokula nipo tayari kukila. At simamiatv, we love adventures, pengine tuwe ja wanaume/wake wa kupangisha ili tuine yupi atakimbia wa kwanza kama huyu dada wa kiitali😂 I love it for sure
Jacob ww ni mwana ume wa kiafrica kweli congratulations uko xawaa man
Jamani Leo nimecheka sana, sijawahi kucheka hivi
Shena leo umenivunja mbavu zangu.Ndugu Jacob umetisha uko vizuri.Hongera sana kwa kuwa Shujaa. Na Pole kwa changamoto ambazo ni mapito tu na Mungu aendelee kukutunza.
Ni kweli Shena ugolo ni kitu kibaya sana halafu una kuwa addicted na one of the complications of Ugoro unaweza kupata epilepsy na kadhalika na kuuwacha huwa ni kazi waliouzoea kuuvuta ugolo ila i mbaya sana tena sana. Mtu kama anajipenda ni lzima ajilazimishe kuacha n ugoro.
Hii story ya huyu kijana nimeipenda sana,yaani ni hodari wa kujieleza ,alikuwa akinyanyasika na ma mkwe, ila anavyoongea na ucheshi ,yaani utapenda umsikikilize tuu ,humchoki. alafu huyu kaka sura yake tuu inaonesha ni mtu mzuri. 20.5.24.
Mmasai alie changamka😂😂😂
Hii kali ya mwaka. Salute kwako Shena.
Akhsante sana Shena . Akhsante sana Jacob, wote kwa pmj Mungu awabariki , Amin .
Jamani Shena
leo mm nimecheka kwakweli umetufirahisha sana natumejifunza sana ,kweli Jakob amekuwa muwazi kabisa.
Hii kiboko inahitjika ifanyike Movie 😊
Cultural diversity hongera Sana mmasai mwenzangu mimi nipo USA ninauzoefu mkubwa juu ya maisha ughaibuni
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 wallah ktk interview nmechekaaa basi hiii 🙌🙌🙌
Kweli unstarabu ndio maana ndoa iko mpaka sasa hongera sana mbarikiwe sana
😂😂😂😂😅Hilarious, so funny. Jacob, you have made my day..Asante . All the best .
Nimepata fundisho kubwa sana, kumbe kuna wazungu wavumilivu ktk mahusiano.!!!
Mbona kumwaga ugoro🤣🤣
Jamani nimecheka mpaka nimelia. The most Honest Humble human being ever. Yaani kaka Jacobameuaaaaaa
Yaani kaka angu leo umenichekesha sanaaa mpaka machozi yamenitoka.
Da story ya Masai imenichekesha sana, sijacheka siku nyingi!😂😂
😂😂😂 jamani kuna watu nafurahisha Hadi raha,asante Kwa story nzuri
Nmefurahi leo😂 hebu fanya part 2 yake ya bibi tu 😂
Hii story tamu sana aisee
The best interview ever!
Leo nimejuwa kucheka khas🤣🤣🤣🤣🤣🤣 shena huyu masai kazibukaaa
Hahaha daah nimecheka sana hii story. Guys tulike jamani hii stori iko poa sana
Huyu kakayangu mcheshi sana
Hahahaha yani Jakob wewe ni nomaa sema roma kuzur mashallah nishapita hapo nilikuanaenda napol
So mice story hii movie kwa kweli au kitabu kuandika
Nice
Nice interview da shena na kaka Jacobo🥰🌹💐
Asante,Sheira nimeheka sana kaka ni muwazi kbs Asili ya ke atakikuiacha big up
Nimecheka sana kha.😂😂😂
Ragazzo ti piace molto ugoro 😂👌🇹🇿🇹🇿🇹🇿weuwe Jacobs wacha ugoro.nafatilia kutoka Frosinone Italy 🇮🇹🇮🇹🇮🇹
Leo nimecheka sana. Jacob anafurahisha. Yupo kihalisia sana.
yaani nakufuatilianga ila leo nimecheka sana hadi kazini wananishangaa
Enjoy and share with others wafurahie na kunifunza pia 😁🥰🥰
Jamani leo mmenivunja mbavu yaani nimecheka mpaka mwisho 😁😁😁😁😁😁
Hakika hii interview imenifurahisha ubarikiwe kijana mwenzetu
😂😂😂😂 yaan anazimia unampita tu, Hadi anaznduka🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌
Congratulations kaka.. Auguriii tantooo... Binti ya wenyewe amepatana na kuguniii.. Hakii weee.. Upendo una garama.... Roma ni Roma hongera.. Kudos kwa bibi yako💕. Unafurahisha sanaaa.. Ni mapitooo... Keep going kaka...
Ila wamasai nyie kumbe mko na mambo nzito hivyo😂
😂😂😂😂😂😂😂😂 I wish ningekua live jamani nacheka mwenyewe kama mwehuuu 😂😂😂
Kwahiyo kaka zetu wa kimasai wanadanga Zanzibar siku hizi
Na nenda kama rahis
Ni mcheshi na anaelimisha pia,aliamua kucompromise na Maisha yakaendelea hongera sana
Ahsante sister kwa kipindi chako. Jacob naye ameongea kwa uwazi vizuri sana. Mungu awabariki.
Yaleo Kali imezid😂😂😂😂
Nilikuwa nna stress hapa waarabu wamenizingua zimesha toka😂😂😂😂
Katika interview nlizoziona za Shena..Leo nmecheka sanaa😂😂😂..eti meno umepeleka wap😂
hata mimi ningeumwaga tena ningekwambia nchini kwetu hairuhusiwi😊😊😊😊😅😅
Hii irudiwe tena😂😂😂😂
Mungu azidi kukubariki kaka uko very charming
Jacob umenifurahisha sana na una kiswahili kizuri.
Congratulazion, che Dio protegga te e la tua famiglia.
Shena huyu jamaa hachoshi hana part 2😅😅😅😅
Hii bonge la movie wazee wa scripts ni story nzuri na inamafunzo ndani yake
Nmecheka leo kumbe wamasai wacheshi nawaona serious tu😂asante 😂
Asante kwa darasa.
😅😅😅😅😅 mwanaume anameno yaani usinivunje mbavu masaai.
Wamasai nilikuwa nawaogopa kumbe wana story hv😂😂😂haki leo nimecheka
Cividiamo dopo, nimeipata hio tutaonana baadae. Asanteni kwa stori za maisha na heka heka zake😂. Kupambana ni lazima na uongo kama utaokoa maisha ni mzuri vinginevyo ni kinyume na haufai tufahamiane. Kunguni 🙈😂Leo Shena umechangamsha baraza asante Mmasai ametufurahisha sana 🤝
Jacob unaongea vizuri sana. Ungekuwa lecturer watu wangekuwa wanafurahi na kuelewa sana.
Kabisa 😂😂😂😂
Mashaa Allah tumepata kucheka 😂 tumepata kujifunza piya miaka 7 ya motooooohhhhh😂 bro barikiwa sana Shena God bless you aisee haya madarasa ni zaidi ya chuo kikuu
Leo full upako haki 😂😂😂😂
Lovely story 😂😂😂❤
Ooh Masai mwenzangu
Wishing you a Happy Family. Congrats sana.
Nimecheka sana eti ugoro. Wangu nitaupata wapi Hata huko upo
Nimeangalia/Sikiliza nyingi lakini hii is best
Mahali Jacob amenichekesha kwa sauti ni pale alipotandikwa kiboko na bibi yake mbele ya mkewe
Bibi Yuko.sahihi chafya kila wakati no halafu ya kujitakia Bora sigara hupigi chafya unaumia.mwenywe
Nimeipenda sana hii story bg up
Kaka kanichekesha jamani... lol
Angekuwa na pesa angerudi kufata ugolo... hakika mazoea Yana tabu sana
Huyu Giacobbo ana IQ kubwa sana bravooo
He is amazing 🥰
Roho safi kabisa
Asante sana dd❤❤❤
Safi kabisa Jacob,nesi unatakiwa uwe na macho ya kuona
nimempenda bure sana huyu kaka yupo vizuri sana ushauri huyo mama mkwe msamehe na ikiwezekana mchukulie kawaida tu msamehe cha msingi muheshimu muonyeshe heshima zetu za kiafrika basi kwani mtu ukimjua hakupi shida.
😂😂dieta….diet😂😂😂ila jackob ugoro nimecheka sana
😂😂😂
Kwakweli huku tunajifunza mengi, pengine hakupenda alivyokuwa anamuita bibi, wakati ni mama wa mke wake, na vile hawapendi kuzeeshwa. Msiite wakwe zenu bibi au babu jamani.
Hongera sana kupata Mtoto MuItalysai!
Nimecheka sana😅😅daah!! Maisha haya
Asante sana kaka
Hatariiii sana leo
Safii sanaaa endelea kubarikiwa
😅😅😅 Shena Leo nimecheka sana Masai mjanja ila na bibi yake waki roman
😂😂😂😂 uyu kanichekesha na ugoro wake
Sidai taa lalahe. Umejua kutuchekesha taa
Nice presentation
😂😂😂😂😂😂😂nimecheka sana mungu hatutie nguvu kwakweli kwenye nchi za watu dah nimefurahi kaka Jacob kwa ucheshi wako
Ipo vizuri
Yakubu bravo big up da Napoli 😘