Masoud Kipanya: Kwanini sitaogopa kumchora Rais (NYUNDO YA BARUAN MUHUZA - 17/01/2019)

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 5 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 205

  • @mohamedsasma879
    @mohamedsasma879 5 ปีที่แล้ว +31

    Aisee masoud Mimi ni Mkubwa k wako ila baadae ya kumuona Malcolm na wewe ulivyo mbele ya jamii nimegundua wewe ni strong kuliko mimi! Big up Sana masoud mungu uendelee Ku!kupa ujasiri!zaidi!

  • @CASSIUSJUSTUSKIONAMBALI
    @CASSIUSJUSTUSKIONAMBALI 5 ปีที่แล้ว +20

    Watu wanaopenda kukaa peke yao endapo watatumia vizuri raslimali muda na mawazo yao, ndio wanaofanya mambo makubwa sana…
    wakati mwingine wanaweza kukuonesha ukubwa wa jambo lililopo kwenye kitu kidogo. Hongera Sana Kiongozi Masoud

  • @ramahzedon6688
    @ramahzedon6688 5 ปีที่แล้ว +28

    Moja kati ya interview nzuri za mwaka 2019 masoud yuko peace sana na huwa ni mkweli hamumunyi Maneno

  • @umikram6755
    @umikram6755 5 ปีที่แล้ว +5

    HII NDIO ITERVEW YAWATU WENYE KUJIELEWA HASANTE MTNGAJ BARUHAN NA MASOUD.SAFI SANA ALLAH AWAHIFADH

  • @philemongomwa3728
    @philemongomwa3728 5 ปีที่แล้ว +5

    Nikikutana najambo lolote linalokuhusu masood inanichukua mudamwingi kulifuatilia maana ktk ww najifunza vitu vingi ktk maisha big up brow.

  • @zainabbola6853
    @zainabbola6853 5 ปีที่แล้ว +8

    Mungu akuzidishie IMANI my bro Malcom ni zaidi faraja ktk familia

  • @magezilucas1115
    @magezilucas1115 5 ปีที่แล้ว +1

    Huyo brother kwangu his so special kutokaka na mzunguko wa maisha kwa sasa ni ngumu kunifahamu.
    Namkumbuka sana kwa kipindi cha Wak up show, wakiwa Dada mmoja aliyeitwa Fina Mango. Kiukweli nilikuwa shabiki namba 1 wa kipindi hicho. Mungu akutie nguvu baba la baba.

  • @doctormkawa3313
    @doctormkawa3313 4 ปีที่แล้ว +1

    Maa shaa Allah, Allah akufungulie zaid na zaid......u always think out of the box.
    Big up brother Masoud.

  • @sashawambura
    @sashawambura 5 ปีที่แล้ว +6

    I normally skip some interviews but for this one have honestly failed..eating my mb's without regretting...Bravo both of you for the very composed interview..

  • @johnjackson4363
    @johnjackson4363 5 ปีที่แล้ว +7

    Masoud kipanya ni kioo bora kabisa cha jamii. Nime enjoy sana kuona interview hii

  • @issamohamed4165
    @issamohamed4165 5 ปีที่แล้ว +18

    Km kuna kipindi nilikipenda basi maisha plus season one kk ulitisha sana nakupenda Sana kk kp natamani nikuone naomba maisha plus irudi tena mkuu

  • @aggyparty2990
    @aggyparty2990 5 ปีที่แล้ว +1

    Masoud ww ni zaidi ya shujaa 🙏 mungu awabariki sana plz makampuni mpeni ubalozi kwenye mkampuni yenu mbalimbali atengeneze pesa anajumu zito sana huyu mtu

  • @husseinkilawa3224
    @husseinkilawa3224 5 ปีที่แล้ว +15

    Bonge moja la interview. Namkubali sana huyo jamaa.

  • @jamaltz1780
    @jamaltz1780 5 ปีที่แล้ว +12

    Yeeeeh Baba ile ndege ya juzi umeua bro .Masoud yupo vizuri sana.

  • @omarymagwaza9753
    @omarymagwaza9753 5 ปีที่แล้ว

    Hongera sana masud kipanya kwa kutimiza miaka therathini kwenye kazi yako ya uchoraji######

  • @domicianpontian1409
    @domicianpontian1409 5 ปีที่แล้ว +6

    BM huwa nafatilia hosting system yako na kuanzia upo RFA na kipindi chako cha uliza ujibiwe, na vingine kwa kwel nakukubal huwa najifunza baadhi ya vitu kwako I wish ntaonekana cku moja kwenye tathnia ya utangazaji. God is Great

  • @minskbelarus7255
    @minskbelarus7255 5 ปีที่แล้ว +1

    Masjid, Jazaakallah umenijibiya vizuri, vizuri,vizuri saaaaaaaaana pale ulipojibu swali la Kampuni yako ya MAVAZI. ALLAH azidi kukuongoza. TAWHEED imefanya kazi.

    • @minskbelarus7255
      @minskbelarus7255 5 ปีที่แล้ว

      Masood, Jazaakallah, umejibu vizuri,vizuri, vizuri saaaaaaana ulipo jibu swali la Kampuni yako ya MAVAZI . Allah azidi kukuongoza
      TAWHEED imefanya kazi In shaa Allah

    • @kabwemwila1161
      @kabwemwila1161 5 ปีที่แล้ว

      tupo pamoja ktk kutimiza malengo yako Malcom pole kwa yote yaliokukuta kikubwa nikuwaombea wazazi wako ambao ndio majemedari pekee ktk kuhakikisha unakuwa na furaha muda wote pia ningependa viongozi wa serikari wakuunge mkono kununua t-shirts hizi ili uweze kufikia malengo yako

  • @scholasticavyamana6788
    @scholasticavyamana6788 5 ปีที่แล้ว +2

    Masoud you are such a supper dad to Malcom! I never thought that you can be such a tough dad! Very rare to find a man of your personality. Keep up taking good care of our supper handsome boy Malcom, he is a blessing to your family. I love his (Malcom's) character; charming, confident, intelligent, covered with a bright smile, above all he is always grateful to the Almighty God!! May God shower him with wonderful blessings!

    • @esterlunguya5988
      @esterlunguya5988 4 ปีที่แล้ว

      Nimejifunza kitu kikubwa sana kupitie entervew yako na Malcom's pia nimefarijika sana namuombea Malcolm's kwa Mungu ili aweze kutimiza ndoto zake

    • @NyatseLogistics
      @NyatseLogistics 2 ปีที่แล้ว

      Masoud, good

  • @scripturetz1056
    @scripturetz1056 5 ปีที่แล้ว +3

    Nimependa sana hi interview
    Mungu awabariki nyote waandaaj wakipind

  • @kusekwasita1576
    @kusekwasita1576 5 ปีที่แล้ว +2

    Masoud yupo smart sana kiukweli nimeenjoy interview

  • @abelkabili8474
    @abelkabili8474 5 ปีที่แล้ว +35

    Anaehoji ni Gwiji na anaehojiwa ni Gwiji kwahiyo interview imekuwa Machachari sana...

  • @neymwambep7118
    @neymwambep7118 5 ปีที่แล้ว +2

    Masoud nimekukubali please njoo tufanye maisha plus Oman

  • @winstonmgogo3694
    @winstonmgogo3694 5 ปีที่แล้ว +2

    Ukija Italia fikia kwangu,Mimi ni mmoja wa
    Wachoraji katuni maarufu enzi hizo,Mzee Manje,naitwa Simon Mgogo,karibu Sana,mdogo
    Wangu

    • @blackpanther4825
      @blackpanther4825 4 ปีที่แล้ว

      Mzee nataka kufika huko kutembea. Can you help?

  • @ShabaniMasaza
    @ShabaniMasaza 5 ปีที่แล้ว

    BARUAN MUHUZA .. zimekuwa dakika zaid ya 45 nzuri mno.. umefanya nifahamu mambo mengi ambayo nilihitaji kuvisikia toka kwa Masoud Kipanya .
    Asante kwa kuwasilisha maswali

  • @omaryyusuph3251
    @omaryyusuph3251 5 ปีที่แล้ว +8

    The legends them selves

  • @hamisisamuli6055
    @hamisisamuli6055 5 ปีที่แล้ว +1

    Masoud upo vizuri kwenye uchoraji na utangazaji hongera sana

  • @omarinjiwa3945
    @omarinjiwa3945 5 ปีที่แล้ว +2

    masoud upo vzr sana mm in mfuatiliaji sana was kz zako angalizo langu usifanye vt kwa matakwa ya wana siasa kwa kuwa siasa c fani kwa hiyo wanaweza kufanya baadhi ya watu wachukie kz zako

  • @handsamjerry
    @handsamjerry 5 ปีที่แล้ว +6

    The Interview is very interesting...huitaji kufoward hata second...
    I think this is one of de best interviews... The legends...
    Big up KP

    • @janengowi3011
      @janengowi3011 5 ปีที่แล้ว

      Hongera sana Masoud umekuwa baba Bora kwa mtoto na familia yako

  • @chiefmahucha6847
    @chiefmahucha6847 5 ปีที่แล้ว +29

    Duuhhh...... Tuliokuwa tunadhani Mussa ni mdogo wake Masoud KP, gonga likes hapaa.......

    • @tadeimwaipaja1191
      @tadeimwaipaja1191 5 ปีที่แล้ว

      Baruan anaonekana mzee 7bu anapenda kuchovya sana totoz, kifupi kuchovyachovya kibaolojia kunazeesha sana

    • @lusianomichel7946
      @lusianomichel7946 5 ปีที่แล้ว

      Unapenda kuwa peke yako kipanya kwanini unapenda?

    • @zamoyonikibella4484
      @zamoyonikibella4484 5 ปีที่แล้ว

      Ila ukimuangalia kwa makini wamefanana sana Masoud na Mussa wa Efm ni kama mtu na mdogowe hawa!!

  • @amananassor524
    @amananassor524 5 ปีที่แล้ว +7

    sheikh wangu mm nipo jeddah saudi arabia lakini mtanzania mwakani na Kuja tz nita Kuja nikuone uko kipindi chako na fatilia sana na kipenda tupo pamoja

  • @issackchalahani1235
    @issackchalahani1235 5 ปีที่แล้ว +2

    Yeah, this is skills interview.

  • @ezeshama255
    @ezeshama255 5 ปีที่แล้ว

    One among the best interviews ever... hapo kweli mmekutana wazoefu mhojiwa na mhoji

  • @mohamedsasma879
    @mohamedsasma879 5 ปีที่แล้ว +6

    Maaoud kipanya Baba malcolm.bigup

  • @mohdyussah825
    @mohdyussah825 5 ปีที่แล้ว +5

    From UAE
    Good interview

  • @gwamakamwangajiro8925
    @gwamakamwangajiro8925 5 ปีที่แล้ว +7

    Masoud 🙌mzee wa kipanya

  • @murashanifidelisi5410
    @murashanifidelisi5410 5 ปีที่แล้ว +3

    vizuri sana M. kipanya

  • @denisbahati6110
    @denisbahati6110 5 ปีที่แล้ว +7

    Sio unaamini hivyo @masoud, lakini ukweli ni kwamba tabia yetu tuozaliwa mwezi june. Ni Watu wenye misimamo mizito,logic sana, na wabishi kwa maana ya kutetea na kulisimamia jambo katika usahihi wake.
    Sifa kuu zaidi ni Watu wavumbuzi sana wa masuala mbalimbali na wabunifu pia, lakini mapungufu yetu ni kuacha constant vitu vidogovidogo muhimu sana na kudeal na vitu vikubwa sana. Bahati nzuri tunafanikiwa sana kwenye vitu vikubwa kuliko vidogovidogo

  • @CASSIUSJUSTUSKIONAMBALI
    @CASSIUSJUSTUSKIONAMBALI 5 ปีที่แล้ว

    Kazi nzuri sana Ndg. Baruan A. Mahuza.

  • @rossemtui9411
    @rossemtui9411 5 ปีที่แล้ว

    Hongera sana kaka masud kipanya unajitahidi sana

  • @ramlagodfrey7461
    @ramlagodfrey7461 5 ปีที่แล้ว +4

    Hakika wewe ni baba bora,na sio bora baba,pmj na mkeo ni strong womans kwakweli kwa mtihani huu wa Malcom hkk M/mungu hazidi kuwadumishia ushikamano juu ya mtoto wenu inshaallah

  • @saniasezzy9085
    @saniasezzy9085 5 ปีที่แล้ว +2

    Nimekuwa nikimfatilia sana Masoud ila kunavitu kama vitatu ivi nilikuwa sivijui kutoka kwake ila leo ndo nimevijua, nimefurahi sana

  • @hajikipanga485
    @hajikipanga485 5 ปีที่แล้ว +7

    Masoud Upo vizuri sana,

  • @denismakweba3870
    @denismakweba3870 5 ปีที่แล้ว +1

    Kila nikisikia BARUAN MUHUZA,nakumbuka uliza ujibiwe RFA!
    #nkumiss__kwa_wakati_huo____hongera kwa kipind kaka

  • @josephgaitan989
    @josephgaitan989 5 ปีที่แล้ว +1

    Nafurahi Sana kuwaona mpo pamoja hivo

  • @Santos-tg4cg
    @Santos-tg4cg 5 ปีที่แล้ว

    Good nakipenda hiki kipind piga kazi baruani Allah akuongoze

  • @kinotasontravel3883
    @kinotasontravel3883 5 ปีที่แล้ว +1

    Ali Masoud hakika nakukubali

  • @manenoalex7453
    @manenoalex7453 5 ปีที่แล้ว

    masody tunakipenda sana kipindi chako cha maisha plass

  • @mohamedsasma879
    @mohamedsasma879 5 ปีที่แล้ว +3

    Maaoud bwana Ni mkweli Sana Na Mara nyingi Sana nqpenda kazi au hata maelezo yako muda wote hasa ktk power breakfast na ukwwli ukipungua huwa sijisikii vizuri Sana

  • @farajiayubuduma6969
    @farajiayubuduma6969 5 ปีที่แล้ว +5

    Bonge la kipindi asnte muhuza asante azamtv

  • @fredypastoryutd4864
    @fredypastoryutd4864 5 ปีที่แล้ว +6

    Dah ukiacha kuufatilia live mpira kwenye internet hiki ndio kipindi nilichokiangalia kwa muda mrefu zaidi youtube. Sijarukisha hata Nukta. Yote sababu napenda saana kumfatilia masoud na kazi zake. Mungu akujalie zaidi...

  • @hassanlusewa9008
    @hassanlusewa9008 5 ปีที่แล้ว +2

    Dah leo ndio NIMEMUELEWA Masoud Kipanya aseee kumbe kitambo

  • @aboudmsonde886
    @aboudmsonde886 5 ปีที่แล้ว +3

    Baba malcom Allah awape subra inshaallah

  • @aboubakarykilaza1013
    @aboubakarykilaza1013 5 ปีที่แล้ว

    Ni moja ya vipindi bora zaid Africa Nyundo. Naipenda kazi yako Baruani

  • @getaromagaiwa7918
    @getaromagaiwa7918 5 ปีที่แล้ว

    Nakukubali sana Masoud Kipanya """ unavyo mchora JPM!!!!!!!!

  • @shamimhatim1677
    @shamimhatim1677 5 ปีที่แล้ว +2

    Samahani Sana kwa swali hili nishawahi kuskia watu wenye msimamo Kama wako eti wana group "O" la damu ?

    • @lailahasan2200
      @lailahasan2200 4 ปีที่แล้ว

      Ni kweli kabisa, hlf tunajiamin kuliko na yt ya kher

    • @chrischleopa7738
      @chrischleopa7738 4 ปีที่แล้ว

      @@lailahasan2200 😁😁😁😁tuko wengi kumbe

  • @hassanaloobaidan25
    @hassanaloobaidan25 5 ปีที่แล้ว +4

    Good

  • @LeonardMwakapusya
    @LeonardMwakapusya 5 ปีที่แล้ว +1

    Baruan ni mtangazaji mzuri ambae ajawahi kutokea Tanzania

  • @fatumamjenga3114
    @fatumamjenga3114 5 ปีที่แล้ว

    Namkubali sana kipanya

  • @aishamgaya9676
    @aishamgaya9676 5 ปีที่แล้ว +3

    big up brother

  • @abdulatifmoxamed8047
    @abdulatifmoxamed8047 4 ปีที่แล้ว

    Barwan the great kwa kweli nakupongeza ni mmoja katika wachapa kazi mahiri kabisa keep it up I like your interviews

  • @msandigeorge8355
    @msandigeorge8355 5 ปีที่แล้ว

    Brilliant!!

  • @omaryabed3044
    @omaryabed3044 4 ปีที่แล้ว

    Nakubali masudy

  • @thomasanthony851
    @thomasanthony851 5 ปีที่แล้ว

    Hii interview naiona leo but ni njema sana,
    Kingine upuuzi ndani ya clouds fm usiache kutoa

  • @mussamsella8560
    @mussamsella8560 5 ปีที่แล้ว +1

    Kitu ambacho nimejifunza na kumuelewa kp ni mtu anaeishi maisha halisi sana ...yupo real sana.
    Kuna watu wanaeleweka kwa ujanjaujanja wao ila huyu ili umuelewe inabidi uwe makini tuu ...yaani ukweri hauna mbwembwe kabisa na ndio alivo kp

  • @malulujr
    @malulujr 5 ปีที่แล้ว

    Jaman masood ulitekwa eeee pole sana bora ukae kimya tu usije kufa bure aisee

  • @ramakabelele2530
    @ramakabelele2530 5 ปีที่แล้ว

    Hongera xana baruan Bonge moja la interview

  • @pynoCODE
    @pynoCODE 5 ปีที่แล้ว +1

    Nice

  • @bongomsasa2496
    @bongomsasa2496 5 ปีที่แล้ว +1

    My Role Model

  • @fredypastoryutd4864
    @fredypastoryutd4864 5 ปีที่แล้ว +4

    Nakumbuka saaana kuhusu kipindi cha PB mtu 3 kama billion 3. Na nakumbuka kipindi kilichobamba zaidi mlivyoingiaga conflicts na waziri wa elimu na utamaduni kipindi kile..., hadi Shigongo nae akaingilia. Na hata siku mnafanya kipindi cha kumuhoji balozi nilikisikia ingawa kwa shida shida kweli matangazo yalikua yanakatika na mliahidi kurudia kesho yake. Ila baada ya siku kama 3 hivi tukaona ziiiii..., iliniumaga saaaana baadae akawa anasikika Gerrard peke yake. Nilitamaniaga saana mngerudiaga tena kufanya kipindi mkiwa wote wa3. Nilikuwaga mshabiki wenu mkubwa mnooo na kipindi kilikua hakinipiti. Safi saana masoud KP.

  • @MwlGano
    @MwlGano 5 ปีที่แล้ว

    Moja kat ya kitu cha ajabu tz,kwamba Musa kipanya hana ndugu na kipanya

  • @stanslauslawa4777
    @stanslauslawa4777 5 ปีที่แล้ว +2

    Masoud Kipanya ni engine

  • @allymtapera5370
    @allymtapera5370 2 ปีที่แล้ว

    Kipindi safi

  • @asiazuberi9722
    @asiazuberi9722 5 ปีที่แล้ว +15

    Nice interview

  • @safikapufi3642
    @safikapufi3642 5 ปีที่แล้ว

    napenda interveu mtangazaji ajielewe na anaefanyiwa awe anajiekewa inapendaza sana haichoshi kabisa nimewapenda nimefurahi sana

  • @dennischarles8524
    @dennischarles8524 5 ปีที่แล้ว

    Cartoons na animations ni carrier nzuri sana

  • @samsonezekiel970
    @samsonezekiel970 5 ปีที่แล้ว +1

    Namkubali sana JAMAA huyoo

  • @ashminhaabdullah4963
    @ashminhaabdullah4963 5 ปีที่แล้ว

    Iko vizuri wote wasomi

  • @rajababduly6571
    @rajababduly6571 5 ปีที่แล้ว

    Iko vzr

  • @jumaomar8274
    @jumaomar8274 5 ปีที่แล้ว

    Nice!!

  • @medardjustinian5223
    @medardjustinian5223 5 ปีที่แล้ว

    We Baruan unapenda sana kufanya kipindi na watu wengi wa Kigoma.hebu fanya wastani uone jambo hili

  • @husseinomary4466
    @husseinomary4466 5 ปีที่แล้ว

    Hiki nikipindi hua sikos kuangalia 🙏🙏🙏🙏muhuza

  • @rahmamakwisa4089
    @rahmamakwisa4089 5 ปีที่แล้ว

    kha jaman ndio leo nimegundua kua masoud kipanya na mussa kipanya hawana undugu

  • @gervassikapundwa9632
    @gervassikapundwa9632 5 ปีที่แล้ว

    Hawavijana wananikumbusha mbali sana

  • @zedyrajabu2493
    @zedyrajabu2493 5 ปีที่แล้ว

    Nilitulia kusikiliza hii interview km unapigwa wimbo wa taifa ,penda sana kp

  • @laurentngowi3052
    @laurentngowi3052 5 ปีที่แล้ว +1

    Kweli masud unajua kujibu maswali

  • @evanskamgisha3675
    @evanskamgisha3675 3 ปีที่แล้ว

    Masoud nilipata warning letter mbili kwasababu ya clouds

  • @safiaabubakar1120
    @safiaabubakar1120 5 ปีที่แล้ว

    Kipindi kizuri sana

  • @geraldmasawe2837
    @geraldmasawe2837 4 ปีที่แล้ว

    Salama

  • @skorastkastivini1663
    @skorastkastivini1663 2 ปีที่แล้ว

    Bondita

  • @hamadshein935
    @hamadshein935 5 ปีที่แล้ว

    Hzi interview wapi huwa wanasahihisha.naona kila mtu anasema hii 1 zngne zikowapi ili tuzione.aahaa wabongo bna.

  • @salehsports6372
    @salehsports6372 5 ปีที่แล้ว +10

    Ndugu yangu Masoud nakuhusia na kuhusia nafsi yangu usije kuingia kwenye mambo yoyote yenye kuhusiana na Betting(Mikeka).

    • @bestman8182
      @bestman8182 5 ปีที่แล้ว

      Mikeka ina kasoro gani ndugu yangu niachane nayo...naomba nijuze plz

    • @saidsalim851
      @saidsalim851 5 ปีที่แล้ว +4

      @@bestman8182 kaka kubeti ni kamari na kamari hainanafasi ktk ulimwengu wa kiroho yaani dini zote zinazoamini mungum1 kamari niharumu
      Lakini kwamasikitiko makubwa waliowengi hawajui!!

    • @dottomoshi8324
      @dottomoshi8324 5 ปีที่แล้ว +1

      Naaam

    • @edwarddaniel5683
      @edwarddaniel5683 5 ปีที่แล้ว

      @@saidsalim851 haramu ya betting iko katika kitu gani? Mechi zinachezwa unabet team G kushinda unashinda au unaliwa haramu nini hapo

    • @suzanjustine7938
      @suzanjustine7938 5 ปีที่แล้ว +1

      😂😂😂😂😂😂😂

  • @richardkamanya2951
    @richardkamanya2951 5 ปีที่แล้ว

    Iko poah sanaa

  • @jumbeojaso5767
    @jumbeojaso5767 5 ปีที่แล้ว

    Mahojiano mubashar kati ya watangazaji halisi au asilia kwa maana ya kile ambacho mwenyezi Mungu akiwajalia ktk uumbaji wa binadamu na vipaji au vipawa. Hakika Baruan na Massoud Mungu aliwapa hiki kipawa ili mumtukuze yeye kwa kudhihirisha uumbaji wake usio na makosa. Ni rahisi kuwatofautisha na wengine wengi walioko kwenye tasnia kwa mapenzi yao binafsi,na wala si kwa vipaji alivyowajaalia muumba wetu. Binafsi niwapongeze lkn niwakumbushe kuangalia nyuma kuwasaidia ,wengine wenye vipaji kama nyie ,ili mkitoka kurudi mlikotoka ,vipindi kama hivi visiondoke nanyi kwenda huko mlikotoka, kwani sote tupo na kuna siku hatutakuwepo hapa duniani ,Nawaombea Mwenyezi Mungu awape maisha marefu .A men.

  • @marygaspar6429
    @marygaspar6429 5 ปีที่แล้ว +1

    Afadhali Masoud ungepewa nafasi ya Mlinga utetee jimbo lake!! yule ni kihiyo!

  • @khadijahali4837
    @khadijahali4837 4 ปีที่แล้ว

    Vichwa vilikutana 🔥🔥🔥

  • @hamischelewa256
    @hamischelewa256 5 ปีที่แล้ว

    masoud kipanya yuko vzr maana yuko open sanaa ila nimejifunza

  • @omarinjiwa3945
    @omarinjiwa3945 5 ปีที่แล้ว

    kp huwa nasikiliza kipind cha pb huwa napata raha sana na yule msoma magazeti kwenye pb hongereni sana endeleeni kupambana lkn rudisha maisha plus kwa kuwa in uhalisia wa maisha yetu

  • @loyaltey6407
    @loyaltey6407 5 ปีที่แล้ว

    Sanatuu

  • @halimams2127
    @halimams2127 5 ปีที่แล้ว

    Wa baba hebu muigeni huyu baba bg up

  • @nkwabitz233
    @nkwabitz233 5 ปีที่แล้ว +1

    baruan muhuza.