MashaAllah nimekuelewa sana Allah akulipe kwa elimu nzuri yenye manufaa ulotoaa maana akili yangu kidogo iniruke nawazaga hymen yangu ilienda wap kumbe ni mambo ya kawaida tu
Me mmewangu aliniingilia ila damu hazikutoka jamani mpaka mmewangu wangu haamini kua Mimi ndo mwanaume aliniingilia jamani ananitukana nakuniambia uwongo 😢😢huo hua naumia sana
asante sana dr ila una uhakika na hilo unalolisema kuwa kizinda sio bikra? sijawahi kuona mwanamke awe konki wa kuingiliwa halafu akabaki na bikra/kizinda ndo kwanza nakusikia wewe na wala hajawahi kujitokeza mwanamke wa namna hiyo.
Mimi ndio Mara yangu ya kwanza kuwatch video yako ila umenikera kwa jambo moja tu! Umekuwa Kama Nollywood wanaandika topic ya movie ukianza kuwatch hio movie haiedani na kichwa cha topic kwaheri
Elimu mnayo hila waelimishwa ndio hawapo,siku hizi mabinti wengi wanaharibika kwa kutumia mitandao na hata ndoa nyingi tuoe tu ni jambo la kheri hila haki ya kheri hakuna,asabte kwa mafundisho wapo wacheche hila wengi kazi tunayo.na jee vp kuhusu shabu ambazo utumiwa na haohao wanawake kama bikra.
😂😂mimi nilikitia ndoo vibaya kamba ya ndoo nikasikia nimeraruka na hapo ndio nilimwaga damu tu kwahiyo sijui uchunvu mimi wa mwanaume na tabia ingine baisikile
NAONA ULICHO ANDIK SICHO ULICHO KIZUNUMZIA WEW UNATUZUNGUSHA TU TUNATAK KUJUWA ZILOTENGENEZWA ZINA KUWA ILA UNATUFAFANULIA TU AINA ZA BKIR WAKT TUNATK KUJUWA ZAKUTENGEZA KM KICHWACHA HABR KINAVO SEM ILA KM NIMETUMIA LUHA MBAYA JUU Y MANENO YNGU SMHN DADA
@@d15355 ni Aibu kama ikitokeza hana bikra au bikra yake hatoki damu watu watamdhaniaje baaada ya kujulikana na watu kua kitambaa hakikushika damu kwaiyo sio sawa
udange weeee halafu uje kusema nataka kuolewaaa eti bikra si lazima, sasa nani ale makombo ya watu wengine? weka kitambaa tujue bikra nani kapi nani, msitudanganye toka enzi za mitume bikra inatoka kwa kuingiliwa au kuingizwa kitu hoja eti unaweza ukaingiliwa halafu bikra isitoke huo ni uonngo na hamjawahi kutuonesha mtu wa namna hiyo nahisi itakuwa inatokea kwa Dajjal kupitia vibaraka wao freemasons@@MdNasr-jm8pj
Mbn mnaibiwa sana tu tena sikuhiz ndo balaa kwa sisi waislam tunataka tuonekane si wazinifu tusifiwe kwahiyo lazima tuwawekee bikra fake ila ukweli skuhiz bikra hakuna vitoto vidogo vimekwisha yan utashangaa
Swadakta...Maneno kuntu, lugha Safi na yenye heshima Kwa Jamii....Allah akuzdshie elm zaid❤❤❤❤
Nimeelewa vzr binafsi mi sikuwahi kutoka dam ya bikra hata nilipokutana na mwanaume wakwanza dam haikutoka MPKA leo najiulizaga
This women is brilliant ,, I love u 😘😘
Asante kwakutoa erim nzuri❤❤❤
Shukran dr.nimeelimika kias kwamba nilikuwa hata abc ya elimu hii cna
Alhamdulillah
Allah akulinde na akuzidishie elimu yenye manufaa
Yes damu na bikra n vitu viwili tofaut, lakn pia mwanaume sio lazima umtoe damu mwanamke wakati wa kumuingilia
Maa sha Allah Allahuma baarik Allah azidi kukuhifadhi Aamiin
MashaAllah nimekuelewa sana Allah akulipe kwa elimu nzuri yenye manufaa ulotoaa maana akili yangu kidogo iniruke nawazaga hymen yangu ilienda wap kumbe ni mambo ya kawaida tu
Jazakallah khayran
Asnt sana doctar Kwa kiasi kikubwa nimeelimika. Sana Allah akupe Kila la kheri mm bd sijaolewa ni mwari
Baaraka llahu fik
Baya mashaAllah ❤
Maa sha ALLAH 🥰🥰🥰
Shukran maneno ya hekma na na mafunzo.mazuri
Swadakta kbxxxx docta ❤❤❤ love you my momy lovely
Mashalah
Woow thanks ❤
Damu ya bikra inajulikana na pia bikra inaweza is itolewe ata kwa mara kadhaa kama huyu mwanaume ajui mambo vizuri
ikoje iyo damu ya bikira
Asante nimejucunza kitu
Swadaktaa❤❤❤
Asante doctor nimekuelewa vizur sana kwa sababu mm binafis haipo hiyo kitu na haijatokea hiyo damu
Weee! Usiwe ushafanya yako halafu unazuga KIZINDA hakipo.
mwongo wee konki uliyekubuhu halafu unasingizia maumbile.
Mimi pia haikutokea hiyo Damu.
haikutokea damu sababu hukuwa na bikra watu walishairarua kitambo,katafute wa kuwadanganya@@MisBean
@@d15355 loh pepo wewe ulimrarua wewe😢
Fact thanks again and again
Je kwa aliyezaa iyo hymen inauwezekano wa kuwa bado ipo
Sasa alie zaa si kashaingiliwa kaka
❤❤❤nimepnda mafunzo yako dadangu nigependa uniambiye jina la vidonge la capsules nigani
Blood capsule
Shuqran
Wazee wa zmn ndo mchezo wao kuangali bikra😢
Mm tangu kuzaa uke wangu nahisi umetanuk nifanye nn ili kurudisha km kawaid😢😢
Sawa mpenzi nimekuelewa
Walykumu msalam warhatuallah wabarakatuh
Asant
Mm pia nlipelekwa oc kupimwa mimba wakati atasijui mume nn sikua nimepata ata hedhi 😢
Hapo kwenye kidonge cha uzazi wa mpango ni kweli ukimeza kidonge chekundu damu inatoka ukimeza cheupe inakata.
Me mmewangu aliniingilia ila damu hazikutoka jamani mpaka mmewangu wangu haamini kua Mimi ndo mwanaume aliniingilia jamani ananitukana nakuniambia uwongo 😢😢huo hua naumia sana
Wanawake wengi wanajichuwa kujiingiza mikono hakuna bikra.mana usiku kutwa hutizama picha za ngono kupitia simu.pekuwa simu zao utaona
Kweli kabisa
asante sana dr ila una uhakika na hilo unalolisema kuwa kizinda sio bikra? sijawahi kuona mwanamke awe konki wa kuingiliwa halafu akabaki na bikra/kizinda ndo kwanza nakusikia wewe na wala hajawahi kujitokeza mwanamke wa namna hiyo.
Mimi ndio Mara yangu ya kwanza kuwatch video yako ila umenikera kwa jambo moja tu! Umekuwa Kama Nollywood wanaandika topic ya movie ukianza kuwatch hio movie haiedani na kichwa cha topic kwaheri
Elimu mnayo hila waelimishwa ndio hawapo,siku hizi mabinti wengi wanaharibika kwa kutumia mitandao na hata ndoa nyingi tuoe tu ni jambo la kheri hila haki ya kheri hakuna,asabte kwa mafundisho wapo wacheche hila wengi kazi tunayo.na jee vp kuhusu shabu ambazo utumiwa na haohao wanawake kama bikra.
Hello doctor can I get your contact for farther explanation
Dada tunakupa ulinzi kwa hili darasa
Damu lazima itoke wewe aaah uchungu ule wote hata sitaki kukumbuka nililia sana😭
😂😂😂😂😂😂😂pole😩🙈
Ww kapatana na gaidi😂😂
Huyo uliokutana nae hakuwa mjuzi Mzuri wa mambo haya
Hajakuandaaa vizuri
😂😂😂
Zaman wazee walikua wana pima kwa vidole viwili hii kweli ni salama
Mung azidi kukupah nguv na afya uendelee kutupa xomo
Nimewh kukutan na mtu anauz dawa ili haymen irud tena anasisitiz kweli jaribu bestie utakuj kunishukur. Ila sijawh kujaribu huo ujinga mm
Dk ungekuwa unaeka Namba ili tuwe tunauliza masuala privately... Na sio public coz kuna masuala mengne ni personal... Ninapataje namba yko?
Kuna namba hapo kaiweka hujaona
😂😂mimi nilikitia ndoo vibaya kamba ya ndoo nikasikia nimeraruka na hapo ndio nilimwaga damu tu kwahiyo sijui uchunvu mimi wa mwanaume na tabia ingine baisikile
Sasa hivi hayo yamepitwa na wakati
Kuna jirani yetu walichinja kuku wakapaka kitambaa damu asubui wakamtengeza kuku wakala nyama😂aibu
Anhaaaaa, kwa kiswahili ndio huitwa KIZINDA.
Ahahaha kwhy we umeelewa kizinda tu
Dr:ata uandaliwe vp siku ya kwanza kuumia lazima kaaaah mwili na ndo kwanza unapokea kitu kigeni
Kabisa
😂😂😂😂
Wallah
Wazee wetu wakipemba hawawez kukuelewa, watakuona chawa tu😅😅😅
Kizinda kama kizinda😂
🤣🤣
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
NAONA ULICHO ANDIK SICHO ULICHO KIZUNUMZIA WEW UNATUZUNGUSHA TU TUNATAK KUJUWA ZILOTENGENEZWA ZINA KUWA ILA UNATUFAFANULIA TU AINA ZA BKIR WAKT TUNATK KUJUWA ZAKUTENGEZA KM KICHWACHA HABR KINAVO SEM ILA KM NIMETUMIA LUHA MBAYA JUU Y MANENO YNGU SMHN DADA
True kutuzungushatu
Hata mm nimemshangaa, amekuwa Kama Nollywood movie haiedani na kichwa ka!
Sasa kama mwanaume ako na toothpick, damu ya ubikra itatoka aje?😎😎😎🤗🍆💃🏿😋😥🍷
😂😂😂😂😂
Ni kama unapenda vitu nono wewe😂😂😂😂
@@Winleizerabdy 🤣🤣🤣🤣
Xx
Acheni usenge endeleeni uzinzi na mungu anawasubiri
Umachekeshaa Kweliii🤣🤣🤣🤣🤣
Kwani Ziliumbwaa kwaajili Ganii🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂😂 we ni kibok
Kizinda ndio nini? Au ndio kuma?
bikra/hymen
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌
Hahaha kizinda ni bikra
Ndio bikra yenyewe
Huu ni ujinga na ni Aibu kufanya hili jambo la kuwapa kitambaa
ili siri yao ya ufuska isijulikane sio
@@d15355 ni Aibu kama ikitokeza hana bikra au bikra yake hatoki damu watu watamdhaniaje baaada ya kujulikana na watu kua kitambaa hakikushika damu kwaiyo sio sawa
Hakuna ujinga naona vizur ufuska ujulikane umeqnza mdog mapema kabra yandow😂
Watu wa pwani hii Tabia hawaach bint akiolewa kitambaa😢
udange weeee halafu uje kusema nataka kuolewaaa eti bikra si lazima, sasa nani ale makombo ya watu wengine? weka kitambaa tujue bikra nani kapi nani, msitudanganye toka enzi za mitume bikra inatoka kwa kuingiliwa au kuingizwa kitu hoja eti unaweza ukaingiliwa halafu bikra isitoke huo ni uonngo na hamjawahi kutuonesha mtu wa namna hiyo nahisi itakuwa inatokea kwa Dajjal kupitia vibaraka wao freemasons@@MdNasr-jm8pj
Walaaniwe wote wanaotaka kurejesha Hymen ili ktk ndoa waonekane ni Mabikra wkt walishaingiliw
Wezi wakubwa
😂😂😂😂
Mbn mnaibiwa sana tu tena sikuhiz ndo balaa kwa sisi waislam tunataka tuonekane si wazinifu tusifiwe kwahiyo lazima tuwawekee bikra fake ila ukweli skuhiz bikra hakuna vitoto vidogo vimekwisha yan utashangaa