SAIKOLOJIA YA MWANAMKE

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 13 ธ.ค. 2023
  • Ndoa nyingi zinaingia katika migogoro na hatimae kuvunjika kwa sababu ya wanaume wengi hawawafahamu wake zao.
  • บันเทิง

ความคิดเห็น • 40

  • @user-pd2fk6kt5i
    @user-pd2fk6kt5i 7 หลายเดือนก่อน +8

    MashaAllaah tabaraAllaah yaani Sheikh wetu naona umetosoma vizuri kabisa na Allaah akujaze khery na baraka zake uzidi kuelimisha jaami

  • @mahmoudmfaume8042
    @mahmoudmfaume8042 7 หลายเดือนก่อน +15

    Summary kuhusu Saikolojia ya Mwanamke:
    Vitu vya msingi (basic) alivyonavyo mwanamke;
     Anatumia hisia (hisia zake ziko karibu) zaidi kuliko logic (kufikiri kwa mpangilio).
     Anaweza kufanya mambo matatu, manne au zaidi kwa wakati mmoja tofauti na mwanaume.
    Matarajii ya ndoa kwa wanawake:
    1. Utulivu.
    2. Mapenzi (kwa maana pana) na huruma.
    3. Kuthaminiwa na kushukuriwa.
    4. Kujenga familia bora.
    Mambo 4 ni katika furaha ya ndoa:
    1. Mke mwema.
    2. Makazi mapana (Nyumba ya kujitosheleza).
    3. Jirani mwema.
    4. Kipando (Usafiri).

    • @nuurul-anwar1901
      @nuurul-anwar1901 6 หลายเดือนก่อน

      hujaweka vizuri kalima zako

    • @mahmoudmfaume8042
      @mahmoudmfaume8042 6 หลายเดือนก่อน

      Ulitaka niwekeje?@@nuurul-anwar1901

    • @mahmoudmfaume8042
      @mahmoudmfaume8042 6 หลายเดือนก่อน

      Ulitaka niwekeje? em weka na zako tuone. Unataka unipangie jinsi ya kucomment? unafikiri sawa kweli??

    • @esthersawiga9979
      @esthersawiga9979 6 หลายเดือนก่อน

      M

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 6 หลายเดือนก่อน +2

    Kipindi hichi nikizuri sana viendelee vipindi kama hivi..na uyu shehe mashalah anajua Sana kufundisha mungu amjalie Kila her

  • @KhadijaKipua-dw7yz
    @KhadijaKipua-dw7yz 6 หลายเดือนก่อน +2

    Sheikh wangu umenifurahisha sana yaani Allah akuzidishie kheri sheikh wangu wafundishe vema wanaume

  • @sadasaid7212
    @sadasaid7212 7 หลายเดือนก่อน +4

    Maa shaa Allahu.. shekh wetu Asante sana. Jazakallahu khayran kwa elimu hii

  • @mariamjuma3684
    @mariamjuma3684 5 หลายเดือนก่อน +1

    Tabarakallah

  • @abcmnbb2610
    @abcmnbb2610 6 หลายเดือนก่อน +3

    Mashaallah tabarakaah
    Shukran Sheikh wetu mawaiza mazuri
    😂😂😂mungu akupe afya njema Naumri mrefu inshaallah

  • @hihf3592
    @hihf3592 7 หลายเดือนก่อน +2

    Yani shekhe utasema umeigiy ndan kwetu ukaona mapenz tunayakosa kwawamezetu Allah ukuzidishiy kila lakherii insha allah

  • @aishaz1
    @aishaz1 หลายเดือนก่อน

    Asante sana

  • @karimirambona1766
    @karimirambona1766 7 หลายเดือนก่อน +12

    Sasa ulikuwa wapi myaka yote hii, kwanini nilikuwa sijakufaham? Mbona mafunzo mazuri hivi ? Nimefatilia kipengele kile cha saikolojia ya mwanaume na hiki cha mwanamke alhamdulillah nimefaidika zaidi. Allah akulipe kila la kheri sheikh wetu ❤

    • @hamidudongo1879
      @hamidudongo1879 7 หลายเดือนก่อน

      Tena hii maada ingekuwa ndefu sana. Ndio maana baadhi ya nchi za kiislam kama Uturuki, wameanza kuwafundisha Waalimu wa madrasa elimu ya saikolojia kiislam. Kwa sababu hii elimu ilianzishwa na sisi Waislam and ili zungumzwa kwa kirefu sana miaka hiyo ya mwanzo wa ustaarabu.
      I hope ataendelea kutoa series ili kuwaelimisha waislam kwa kutumia hadithi na Quran.

    • @Aidhjuma
      @Aidhjuma 6 หลายเดือนก่อน

      Allahmaamini

    • @Aidhjuma
      @Aidhjuma 6 หลายเดือนก่อน

      Iyo ya wanaume naioataje nimeitafuta sijaipata

    • @ZasamNamwago
      @ZasamNamwago 5 หลายเดือนก่อน

      Inaitwa Ivo ivo ingia hapo kweny akaunt yake utaona IPO juu ya hii ya mwanamke​@@Aidhjuma

  • @AaWe-ze9ho
    @AaWe-ze9ho 7 หลายเดือนก่อน +1

    Ruqaia suluta :mashaallah allah akulipe kher

  • @assiahassan2671
    @assiahassan2671 7 หลายเดือนก่อน +2

    Jazaka'Allah Kher

  • @anathshabani2952
    @anathshabani2952 6 หลายเดือนก่อน +1

    Umeongea vizuri sana Sheikh, asante sana, Allah akubariki na akuongezee busara na maarifa

  • @muhibugmail.com2024
    @muhibugmail.com2024 7 หลายเดือนก่อน +1

    Ooooh Dr. Bila shaka hata uzito wa ubong ktk ya Me na Ke n tofauti. Asante kwa Elim kubwa umetupatia.....

  • @fanni-ck6do
    @fanni-ck6do 7 หลายเดือนก่อน +2

    Kweli kabisaa

  • @nazraseiban1082
    @nazraseiban1082 7 หลายเดือนก่อน +2

    MashaAllah Tabarakallah❤

  • @user-ux3zu1ls8u
    @user-ux3zu1ls8u 3 หลายเดือนก่อน

    Mashalla

  • @ggohf7004
    @ggohf7004 6 หลายเดือนก่อน

    Mashallah..Allah ibaric

  • @zawadihagabimana1712
    @zawadihagabimana1712 7 หลายเดือนก่อน

    Mafunzo mazuli kabisa jazakallah haira

  • @ramadhanngowa2888
    @ramadhanngowa2888 7 หลายเดือนก่อน +1

    Asalam alaikum Sheikh nimeshukuru Kwa mawaidha mazuri lkn utie mkazo kwenye mawasiliano na waume wawe na mda na wake zao In Shaa Allah

  • @user-qv8uo3bc6o
    @user-qv8uo3bc6o 5 หลายเดือนก่อน

    Hakika swadakta 💯

  • @rehemaomarsaid
    @rehemaomarsaid 7 หลายเดือนก่อน

    Mashallah Allah akuzidishie,

  • @thedon8467
    @thedon8467 7 หลายเดือนก่อน

    Ni jambo zuri hili mashaallah tabarakallah

  • @salmaalbarwani5649
    @salmaalbarwani5649 7 หลายเดือนก่อน

    Jazakaa Allahu kheri

  • @user-mf7uj8to1b
    @user-mf7uj8to1b 7 หลายเดือนก่อน +1

    ukweli kabisa

  • @user-qv8uo3bc6o
    @user-qv8uo3bc6o 5 หลายเดือนก่อน

    Shekh namba yako ya simu huweki kwa darsa kuku pataje?

  • @abbaspaziaog2188
    @abbaspaziaog2188 7 หลายเดือนก่อน +2

    Shekh shamsi Acha kudanganya watu hakuna bidaah nzury na bidaah mbaya bidaah ni bidaah tu😢

    • @nazraseiban1082
      @nazraseiban1082 7 หลายเดือนก่อน

      Heshima ni kitu cha bure...

    • @ahz6907
      @ahz6907 7 หลายเดือนก่อน

      Ushafeli ktk maisha yako punguza makasiriko basi 😂

    • @shamsahaji6202
      @shamsahaji6202 6 หลายเดือนก่อน

      Khusnulkhuq inaonekana ktk mazungumzo ...kuwa na heshima kidogo😢

    • @kundeigang3879
      @kundeigang3879 6 หลายเดือนก่อน

      Mzee WA bidaa hhhhhh