NKASI - RUKWA KIMEUMANA! MAKONDA AMBANANISHA MKURUGENZI - ''MTAOTA NYWELE MWAKA HUU''...
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 4 ก.พ. 2024
- NKASI - RUKWA KIMEUMANA! MAKONDA AMBANANISHA MKURUGENZI - ''MTAOTA NYWELE MWAKA HUU''...
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u...
Hongera sana mwenezi kwa kazi yako nzuri unawahangaikia wananchi. Hapa viongozi wengine waoni jinsi wananchi wanavyodhulumiwa na watendaji tu halafu lawama kwa Rais mbaya sana
libarikiwe tumbo lililokuzaa Na Yesu akutunze Makonda
Big up Makonda. Hebu Viongozi wengine muone aibu kwa ujinga mnaoufanya.
Kaka makonda Kwa kazi inayo ifanya mungu akupe maisha malefu
Makonda mungu akubariki sana kwa unavyo Saidia wananchi wa Tanzania
Makonda upewekibali na allaah
Mungu akutunze Makonda!
Mungu akubaliki makandonda
Hongera kwa maamuzi magumu akatafute usafiri
Mweshimiwa Makonda pole sana kwa kazi ngumu, ili taifa ni kichwa Cha mwandawazim maana Kila sekta ni shida
Makonda MUNGU akuweke❤❤❤❤❤
Makonda hakika una msaidia mama
Safi Makonda songa mbele ninakuombea
Teacher wangu umeniangusha sana.
Yaani hao huku manispaa ni shidaaa
Mwaka huu baadhi ya viongozi mtanyolewa nywele 😅😅😅😅
uyo mkulugenzi tapeli tena sanaa
Hatareeee
Huyu alie msema polc ata teseka sana 😂😂😂😂😂
Aisee Mungu amlinde, eti mm namchukia huyu 😂😂😂😂
God bless you makonda
Unge kuwa Rais ungefukuza watu wengi sana sema huna mamrakaa omba kimbari kwa mama ufukunze wengine wanaasiri maiha yawatuuu
Nkasi oyeeeeee
Kero ni nyingi ! Nchi ni kubwa !
Mh, Makonda ni mmoja ! Ktk hali kama hiyo atafanyaje ?
Safi sana Makonda Allah azidi kukuongoza 6:04
Aminaa
Ningeomba msiishie hapo tu iwe endelevu Mweshimiwa Makonda
Serikali ni zuri ila wasaidizi wa rahisi wanamfelisha rahisi
Tz hatuwezi kusonga mbere kwa roho mbaya iz tunazofanyiana wenyewe kwa wenyewe mtu hanafanya kaz haki yake hapewi Yan viongozi wahovyo sana wanajijari wenyewe tu na matumbo Yao bahadh Yao wanaribu sana utaratibu wa kaz wao wanachukua pesa wanakura
Watumishi wanao wasumbua wadai haki zao. Mungu awape haki yenu mnayostahiri.
Muheshimiwa uje uone madudu Hadi kwenye kata za mwambaoni kuna shida
Juakali
Piga kazi namkumbuka maguful mzee wangu ndio mapigo yake aya ❤
Nchi ilioza wananchi wanakelo wapi wazipelele wanaishi kama hawapo kwenye nchi yao tunamshukulu mungu kutuletea makonda
Huyu Mkurugenzi hafai enzi za Magufuri angeondoka leo leo.
Na waliomrangulia nao hawafai? Maana yeye maden kayakuta yana muda mrefu.
Kiukweri hapa raisi Kuna wakuu wa mikoa wakugenzi wakifukizwa kabisa mapema
Tuko wengi serikali inatudhulumu sana
God bless you Mr PCM
Mgurugenzi amekutana na chuma
MIMI NAJIULIZA HAO VIONGOZI MNAOTULETEA KUJA KULA KODI ZETU IKIWEMO WAKUU WA WILAYA PAMOJA NA WAKUU WA MIKOA SASA HAO VIONGOZI WANAFAIDA GANI ZAIDI YA KUONEWA WALIPA KODI?!
hii ndio ina itwa "Unkwepekable" mbele ya Konda Boy
Ila wakurugenzi wa Tz sijui wana shida gani jamani
Chapa kazi kaka
Tunaomba walaji watumbuliwe hakuna kubembelezwa
Mm nasikia hasira na hii mi viongozi mi bogus imekaa kula rushwa tu😮
Mkurugez madeni Atari kimeumanaa😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂kabananishwa .kijasho kinatoka.
Makonda tunakuelewa mafisadi ndo awakuelewi piga kazi 2030 vile vijamaa vitakua vishazeeka Ww utakua president
Awa wakulugenzi kwanini wanakua Awawajali WANANCHI wao wanavimba matumbo yao Tu 😂😂😂
Saf makonda
Mkurugenzi hafai mwizi
Mambo ni mengi mda ni mchache.
😪
Fukuza kazi huyooo
Kwamba hizo hela kwa ajili ya kituo cha afya mkuregenzi hakupokea ama ?
Wakurugenzi nitatizo kubwa
Ukiona hivyo kuna tatizo.
Hakika mungu umetusikia baada ya magufuli ni wewe kwanini usipewe urais tu
Lijualikali😂😂😂
Ahaahaha mkuu wa wilaya ya namanyere uyo Pete Ambrose lijualikali
Polisi ni tatizo hawafuati sheria ,wezi,wanyonyaji wanafanya kazi watakavyo nakudhurum wanchi
Makonda amekuwa mahakama,na hii inamaanisha,hakuna justice huko kwa wananchi.
CCM hatupaswi kufurahia haya.
Kwani ni tafsiri ya watendaji na mahakama kutofanya kazi inavyopaswa,
CCM Makonda anatuumbua na wananchi,wanatudhirishia kuwa huko chini hatupo kazini.
Katafute bwana choko ulitaka watu wasilipwe
CCM NI ILEILE NA MAMBO
NI YALE YALE AKILI KICHWANI KWAKO