Sasa amfanyi majukimu yenu mlitaka makonda afanyeje muwe na haibu uwo uchonganishi makonda ubarikiwe kwa kaziyako na namgu akufikishe mbali Sana na pia uwe na moyo huwo huwo🎉
Mkishaga chaguliwa mnawasaliti wananchi kwataalifa yako MAKONDA ndoanaeweza kumsaidia RAISI kiukweli tunampongeza sana MAKONDA napia Tunamwombea sana lazima mwogope Ziara yake make nyie mmekuwa kimya mwenzenu amejitoa kumoyo mmoja kutusaidia wanyonge hata URAIS akigombea tunampa kabisaa natunataka Agombee MAKONDA 2025
Yamaza mh hLi ni mbaya sana tena sana mwacheni makonda ni kioo chenu arudia tena hali ni mbaya zinapigwa kila kona we we watu sio wazalendo kabisa waziri mkuu amezunguka ameona haya namshu,uru mh rais na ccm kumuweka makonda mpongezeni namsimkatishe tzmaa
Ukiona mbunge mbuke anali na makonda polisi wakamkague au taka kuru. Mamegeuza kazi ya ubunge kama kazi yake. Hawa ndiyo walio unga mkono bandari I uzee.
Ivi we mama unataka nani statue hayo matatizo Ivi wasomi mnamatatizo Gani? Kama kazi anafanya vizuri wewe unaumia nini? Wakuu wamikoa unaowasema, wawilaya na wakurugenzi wameshindwa kazi unataka wananchi waendelee kuteseka? Hapana tufike watanzania tuache kulinda vyeo vyetu tunacho hitaji kazi kama na wewe unadhambi ulizifanya unaogopa atazifichua au ? Kwahiyo mnaacha kudiscuss mambo ya muhimu bungeni unataka muanze kudiscuss makondo acheni huo acha huo ujinga we mama. MAKONDA PIGA KAZI IKIWEZEKANA UFIKE KWENYE MKOA WAKE TUONE
Huyu dada atakuwa yupo karibu sana na wapiga dili huko jimboni kwake Ukute Makonda kafukua uozo jimboni kwake kaharibu dili lao Serikali imfuatilie sio mtu mzuri huyu m'bunge Itakuwa kuna watu wa ovyo yupo karibu nao Yani wananchi wanadhulumiwa, wanateswa, wanauawa na kupewa majeraha makubwa na ulemavu na hakuna anaesikiliza kero zao moja kwa moja Yeye anakerekwa? Huyu kuna kitu anahusika nacho sio bure. Afatiliwe
Aeleze mazur ya rais kama yap?mazuri nihayo anayofanya kutujali wanyonge,we mama nifisad wakuchunguze makonda tunamkubali hatutaki mazur zaid ya hayo anayofanya makonda,bila makonda CCM ingepotea muache makonda we mama
Kumbe kuna wabunge hawajielewi. Sasa hapo anampinga nn Mh. Makonda? Wakati yy mwenyewe anaunga mkondo kazi ya mwenezi. Kazi anayoifanya mwenezi nikufatilia uwajibikaji na utendaji wa waleule wa Mh. Rais.
Yaaan me hata huyu Mbunge sijamwelewa Sasa makonda kutatua changamoto Kuna tatizo gani nn Maan ya Kiongoz angekuwa hafanyi kilicho mpeleka basi Rais ndo Alimutuma.
Kama sio kumpongeza makonda kwa anachofanya sasa tungejuaje km hao wakuu wa mikoa na wakuu wa wilaya kua hawafanyi wajibu wao ????.. Wewe umesema umeona mengi ktk ziara za makonda sasa km asengefanya hayo anayoyafanya ungejuaje ??? Si Bora uwe km Mimi tu tujue sote hatujasoma wajinga kuliko kuchangia upumbavu
Akika uyo sijui mbunge wanach wke wamepta asala kubwa akuna kitu apo porojo tu makonda woyeeee dkt Samia woyeeee uyo antakiwa ajtafkali kma ubunge aliyechguliwa bc ktumwa na kzi iyo aiwezi arud shamba kulima mana anaonge vtu avierewk makonda chap kzi mama amekuamin sana CCM woyeeee?
Kwa mtu mwelewa huyu dada kannada vyema, kama kero nitasubiri mwenezi watu wangapi watasaidika, je mfumo wa haki atuna.mmekiri serikali kushindwa kusaidia wananchi?
HIZO HAZIWAFIKII WALENGWA PESA ZINALIWA SERIKALI IKO KIMYA MUNGU YUPO ATATUPIGANIA MBONA HAMTOKI KWENDA KUTATUA KERO ZA WANCHI WANADHULUMIWA WANANYANYASIKA BILA MSAADA WA KIONGOZI YOYOTE BUNGE LA HOVYO KABISA HILI.
Kumbe mnajuwa kuwa makonda amekuwa mkombozii sisi hatutaki mbwembwe tunataka kazi hivii mlishawahi kujiuliza kanini magufulii bado anaishi vichwani mwa wananchii wa tanzania, na africa kwa ujumlaa 😂😂😂😂😂
Rais ni kosa lake kwa kuteuwa bila kujari hao wateuliwa kama wanao uwezo wa kuendesha wizara hizo. Serikali na CCM wamelala usingizi mzigo na wakuwamusha ni Makonda.
Ukiwa na upenz unaogemea sehemu moja huwez kumuelewa mchangia hoja huyu lkn km utasimama ktk haki na wajibu utabain kwamba huyu mbunge ana falsafa nzuri
kwani nyie kipi kimewauma kama nyie mmmeshindwa kuona na kusikiliza kero za wananchi muacheni makonda wetu atatue changamoto maana wote mmnaoteuliwa ni wahujumu tuu hovyo hii inchi makurumbembe wengi sana upande wa viongozi aseee acheni mwenezi apige kazii
Sasa kama mawaziri na wakuu wa mikoa na wakurugenzi hawafanyi kazi mnataka Makonda afanye nini ? Viongozi wa nchi hawatimizi wajibu wao sasa Makonda fanya kazi chapa kazi Makonda
Wewe ucmzuie makonda kila mtu ana kipaj chake hata wewe mwenyewe ukiita watu hawatakuwa weng kama ndg makonda wananchi wanajua mh rais amefanyakaz kubwa sana na huo ndio mpango kaz kwa sasa wa makonda😊😅
Wenzake bungeni wanampinga daahh atar mama yetu mama samia suluhu hassan ndio rais yey anaona kila kitu kwnn yey hajaongea kwasababu anaona wananchi wanatatuliwa shida zao na yeye ndio anavotak na ndio maan akamchagua makonda aishi miaka mingi mama etu samia mama wa kizimkazi tunakupenda sana mama wananchi wako
Huyu dada anang'ata na kupuliza ukiwa unaitazama hii video mwanzo utajikuta unamchukia akifika katikati unampenda akimaliza unamchukia hoja yake ni nzur ila hataki kutoa hukumu kwa wazembe wala pongezi kwa watenda kazi vizur nilitegemea mwishoni angesema ule usemi usemao mnyonge mnyongeni haki yake mpeni na sifa kuu angemwagia Makonda
BABU, KWELI NI MWANADIPLOMASIA, WACHACHE WANAOFUATLIA MAMBO YA MSINGI KAMA HAYO. NI KWELI KABISA HOJA YAKE KAMILI UNASHINDWA KUDAKA. HIVYO NI HOJA YA KUTUMWA SI YA KICHWANI MWAKE AMETUMWA.
Kweli kazi ipo mtu anatumwa chumvi anawaletea mchanga mnapokea mnashukuru tu hajatumwa kazi hiyo hongera mbunge kwa akili kubwa Mimi binafsi nimekuelewa. Anafanya kazi za viongozi wa mikoa sio sawa kabisa
Yote Kwa yote makonda anafanya kazi nzuri sana mungu ambariki sana
ila nilichojifunza hapa Watanzia wengi ni wanafiki
sana aisee
Safi
Unafikili nikwanini yesu alikimbia naakawachia neo nitafufuka au nitaludi aligunduwa awa niviumbe shaifu nawanafki wanaangalia fulaha yaotu,MIMI nafikili sasa ndiowakati wanyie munao ogopeka,kwauchawi,kwaugnga,namengineyo,Wekeninguvu kumlinda uyo muheshimiwa kwasababu bado tunamuitaji Sana,sio munatusumbua majumbani usiku NK,tumieni izo nguvuzenu kumlinda Mh,wetu makondo,kwasababu hivita sio yawachawi Wala waganga Nivita yawaujumu uchumi Yawatumishi wazembe,Yawatumishi matapeli,Yawatumishi wanao jilimbikizia mali,NK,tunawaomba nyie waganga na wachawi Mumlinde Mh, makonda Natumaini sasaivi wenyepesa namali zao wanawasumbua Sana,kwaajili ya msimamo Wa Mh,makonda,
❤❤❤
Mimi ni mganga lakin mtu akinijia anatala kumuroga makonda nakula pesaro nitampatia dawa ya kufanya ampende zaidi makonda😅😅😅😅😅
Kumbe kunawabunge kichwani hamna kitu akilini
Dawa inawaingiaa vizuriiii aisee
WEWE MAMA YANGU AU BINTI YANGU. ELEWA ZIARA YA MAKONDA SI YA MAKONDA NI MKUU, HIVYO UNAMKOSOA MKUU. TAFAKARI MAMA.
Sasa amfanyi majukimu yenu mlitaka makonda afanyeje muwe na haibu uwo uchonganishi makonda ubarikiwe kwa kaziyako na namgu akufikishe mbali Sana na pia uwe na moyo huwo huwo🎉
Makonda anafanya halali kama kiongoz bora
Huyu Mbunge ni takataka sana yaan ni mwanamke asie kuwa na akili Fala huyuuu ko ulitaka makonda afike asifie ujinga wakati wananchi wanateseka
Mupongezeni Makonda kwa kazi nzuri anayofanya
Yaani una ongea wew aibu naskia mimi😅
Msomi mzima kaongea kupinga anacho fanya Makonda kisha anamuunga Mkono Makonda na anamsifia dah ajatulia kabisa uyu Mbunge sio.
Nywele za marehemu wahindi
Kumbe umeziona na ww
Mzungumzaji, nywele zinamchanganya Mh Makonda anamchanganya
Ndo mchukue mfano toka kwake sio kuka ofsini
Ndyo
Acheni kukaa ofsi fanyekazi wananchi wanateka munasaidiwa kuwa kazi ndio hivyouwaina fanya makonda ❤❤❤❤❤❤
Mkishaga chaguliwa mnawasaliti wananchi kwataalifa yako MAKONDA ndoanaeweza kumsaidia RAISI kiukweli tunampongeza sana MAKONDA napia Tunamwombea sana lazima mwogope Ziara yake make nyie mmekuwa kimya mwenzenu amejitoa kumoyo mmoja kutusaidia wanyonge hata URAIS akigombea tunampa kabisaa natunataka Agombee MAKONDA 2025
Yamaza mh hLi ni mbaya sana tena sana mwacheni makonda ni kioo chenu arudia tena hali ni mbaya zinapigwa kila kona we we watu sio wazalendo kabisa waziri mkuu amezunguka ameona haya namshu,uru mh rais na ccm kumuweka makonda mpongezeni namsimkatishe tzmaa
Ukiona mbunge mbuke anali na makonda polisi wakamkague au taka kuru. Mamegeuza kazi ya ubunge kama kazi yake. Hawa ndiyo walio unga mkono bandari I uzee.
Mmmmmmmh comment nyingi zinaonyesha hatuna uelewa"
huyu mbunge yupo sahihi kwa wanaoelewa mfumo wa serikali.
Amna bhana wabunge hawajuw wajib waoooo
Daaah afadhari ww umeelewa wengi wetu wanampinga kumbe yupu sahihi
wewe ndo huelewi
Una akili?
Nauliza hivi: una akili timamu ww?
@@JoyceSarufu hapo alikuwa anakazia kwamba makonda kayakuta madudu mengi sana yasiyotatuliwa na watumishi
Ivi we mama unataka nani statue hayo matatizo Ivi wasomi mnamatatizo Gani? Kama kazi anafanya vizuri wewe unaumia nini? Wakuu wamikoa unaowasema, wawilaya na wakurugenzi wameshindwa kazi unataka wananchi waendelee kuteseka?
Hapana tufike watanzania tuache kulinda vyeo vyetu tunacho hitaji kazi kama na wewe unadhambi ulizifanya unaogopa atazifichua au ?
Kwahiyo mnaacha kudiscuss mambo ya muhimu bungeni unataka muanze kudiscuss makondo acheni huo acha huo ujinga we mama.
MAKONDA PIGA KAZI IKIWEZEKANA UFIKE KWENYE MKOA WAKE TUONE
Binafsi mh mwenezi Paul makonda piga kazi mbinguni tutatoa hesabu
Nashukuru TH-cam kwa kuweka tangazo lililositisha nisimsikilize huyu Long Colored Attached hair.
Sijui Jimbo lake lipo mkoa Gani ,,huenda anayake huko,,au katumwa? Makonda hafanyi hivyo for nothing,,,Wala hakurupuki kihivyo
Hivi mnauwakika huyu dada ni mbunge???
Ntumieni namba za Paul Makonda nimtumie ela yangu ya akiba,
Wachagiliwa wa mzee maguuu,bila magu nyie mysingepita shukuruni,,,,mwacheni makonda afanye kazi yake
Huyu dada atakuwa yupo karibu sana na wapiga dili huko jimboni kwake
Ukute Makonda kafukua uozo jimboni kwake kaharibu dili lao
Serikali imfuatilie sio mtu mzuri huyu m'bunge
Itakuwa kuna watu wa ovyo yupo karibu nao
Yani wananchi wanadhulumiwa, wanateswa, wanauawa na kupewa majeraha makubwa na ulemavu na hakuna anaesikiliza kero zao moja kwa moja
Yeye anakerekwa? Huyu kuna kitu anahusika nacho sio bure.
Afatiliwe
Aeleze mazur ya rais kama yap?mazuri nihayo anayofanya kutujali wanyonge,we mama nifisad wakuchunguze makonda tunamkubali hatutaki mazur zaid ya hayo anayofanya makonda,bila makonda CCM ingepotea muache makonda we mama
Kumbe kuna wabunge hawajielewi. Sasa hapo anampinga nn Mh. Makonda? Wakati yy mwenyewe anaunga mkondo kazi ya mwenezi. Kazi anayoifanya mwenezi nikufatilia uwajibikaji na utendaji wa waleule wa Mh. Rais.
Yaaan me hata huyu Mbunge sijamwelewa Sasa makonda kutatua changamoto Kuna tatizo gani nn Maan ya Kiongoz angekuwa hafanyi kilicho mpeleka basi Rais ndo Alimutuma.
Mbunge wewe sio wa ccm, makonda yupo kuhamasisha,kufagia njia ilimjempte palaini mtakao omba kulakwenu ko nyamazeni
Kama sio kumpongeza makonda kwa anachofanya sasa tungejuaje km hao wakuu wa mikoa na wakuu wa wilaya kua hawafanyi wajibu wao ????..
Wewe umesema umeona mengi ktk ziara za makonda sasa km asengefanya hayo anayoyafanya ungejuaje ???
Si Bora uwe km Mimi tu tujue sote hatujasoma wajinga kuliko kuchangia upumbavu
Akika uyo sijui mbunge wanach wke wamepta asala kubwa akuna kitu apo porojo tu makonda woyeeee dkt Samia woyeeee uyo antakiwa ajtafkali kma ubunge aliyechguliwa bc ktumwa na kzi iyo aiwezi arud shamba kulima mana anaonge vtu avierewk makonda chap kzi mama amekuamin sana CCM woyeeee?
Yani apo mh. Makonda anawasaidia kazi zenu usilalamike mh. piga kazi ikibidi tembea jimboni ondoa kero ndogondogo zisisubir Mh. Rais
Kwa mtu mwelewa huyu dada kannada vyema, kama kero nitasubiri mwenezi watu wangapi watasaidika, je mfumo wa haki atuna.mmekiri serikali kushindwa kusaidia wananchi?
Hili ni jipu,sasa kama wataule hawafanyi kazi ipasavyo,ebu acha Makonda afanye kazi nyie mmeshindwa kufanya kazi.
Kama viongoz wa afrika ndo wenye akili za hv tunasafar ndefu ya kupata maendeleo vichwa vyetu ni vya kubebea nywele sio akili
HIZO HAZIWAFIKII WALENGWA PESA ZINALIWA SERIKALI IKO KIMYA MUNGU YUPO ATATUPIGANIA MBONA HAMTOKI KWENDA KUTATUA KERO ZA WANCHI WANADHULUMIWA WANANYANYASIKA BILA MSAADA WA KIONGOZI YOYOTE BUNGE LA HOVYO KABISA HILI.
Nyie si mnavicha madudu??? Mwacheni aumbue machafu kwani rais mwenyewe anasemaje???
Mpuuzi wewe kama mnazunguka kwenye viti hamfanyi chochote why asisaidie wananchi
Mpuuzi mmoja huwaga anataka upuuzi wake uonekane mwema
Piga kazi makonda ....simamia kucha..,...
Mpumbavu wew, una wivu wew! Makonda baba lao chapa kz km ulivyoaminiwa na rais baba makonda, Achana na hyo mnafki
Huyu pumba maana hatahajuianachopinga, mama kakojoe ukalale. Humshawishi mtu hapa Makonda oyeeeee
Sasa makonda kakosea wap?,mimi ninachomkubali makonda ukisemwasemwa ivi ndo wanampa chachu ya kupiga kazi more.
Kumbe mnajuwa kuwa makonda amekuwa mkombozii sisi hatutaki mbwembwe tunataka kazi hivii mlishawahi kujiuliza kanini magufulii bado anaishi vichwani mwa wananchii wa tanzania, na africa kwa ujumlaa 😂😂😂😂😂
Huyu mbunge ni wa wapi mbona anaongea pumba
Sisi wananchi tunampongeza makonda amejua changamoto za wananchi msimuchukie makonda
Hawafanyi chochote, je wewe unaona hiyo ndo sawa? Mbunge unaonaje wengi wafe kwa ajili ya mmoja au mmoja afe kwa wengi? Makonda oyeee!
Wewe umechanganyikiwa Makonda ndo kila kitu kwa sasa kuwaumbua.nyie mmejawa na wizi wizi.
Rais ni kosa lake kwa kuteuwa bila kujari hao wateuliwa kama wanao uwezo wa kuendesha wizara hizo. Serikali na CCM wamelala usingizi mzigo na wakuwamusha ni Makonda.
Ukiwa na upenz unaogemea sehemu moja huwez kumuelewa mchangia hoja huyu lkn km utasimama ktk haki na wajibu utabain kwamba huyu mbunge ana falsafa nzuri
Naona wachangiaji hamjamwelewa huyo mbunge ameongea vitu vya maana Sana Ila taarifa kaharibu.
Ungepongeza2 sasa kero za miaka5 iliyopita ndo zinatatuliwa hao wasaidiz walikua wapi
Katibu mwenezi piga kazi upo sahihi
Wewe ndo Magufuli mpya
kwani nyie kipi kimewauma kama nyie mmmeshindwa kuona na kusikiliza kero za wananchi muacheni makonda wetu atatue changamoto maana wote mmnaoteuliwa ni wahujumu tuu hovyo hii inchi makurumbembe wengi sana upande wa viongozi aseee acheni mwenezi apige kazii
Kiongozi yeyote anayemchukia makonda achunguzwe yaweza kuwa fisadi hau jizi la mali za umma
Mbunge wa kuteuliwa hana machungu na wananchi huyo kenge, anasumbuliwa na wivu kwa kile anachokifanya Makonda kwa wananchi.
Uyu mbunge mbona haeleweki anachangia nini
Hilo ni tatizo ana kichwa kichafu huyuu
Huyu n8fisadi balaa makonda endelea kuwahaibisha tu. Tuko nyuma yako
Sasa kama hao wenye majukumu hawayasimamii ipasavyo makonda wanyooshe viongozi wote wasio makini na kazi yao makonda twamuelewa kuliko wewe
Sasa kama mawaziri na wakuu wa mikoa na wakurugenzi hawafanyi kazi mnataka Makonda afanye nini ?
Viongozi wa nchi hawatimizi wajibu wao sasa Makonda fanya kazi chapa kazi Makonda
Wewe ucmzuie makonda kila mtu ana kipaj chake hata wewe mwenyewe ukiita watu hawatakuwa weng kama ndg makonda wananchi wanajua mh rais amefanyakaz kubwa sana na huo ndio mpango kaz kwa sasa wa makonda😊😅
Yaan wwe ujielewi wwe Ani kama yanakaa matumbo ofisn ayafanyi Kaz unategemea Nini kweel watu wema hupigwa mawe yanataka yabak majini tuu
Hata makonda alimwamini, hivi huyu mbunge mchwara ni wa jimbo gani? Au ni wa viti maalumu
Dada unaongea utumbo mmeshindwa kutatua changamotoo za wananchi mnakula kodi zetu
Wakuu wamikoa wameelememewa na kero za wananchi....ila mweshimiwa uko vzur
Anafanya majukum yasiyo yake lakini anavumbua mengi. Kifupi anawaumbua.
Wenzake bungeni wanampinga daahh atar mama yetu mama samia suluhu hassan ndio rais yey anaona kila kitu kwnn yey hajaongea kwasababu anaona wananchi wanatatuliwa shida zao na yeye ndio anavotak na ndio maan akamchagua makonda aishi miaka mingi mama etu samia mama wa kizimkazi tunakupenda sana mama wananchi wako
Uyo mbunge wananchi walomchagua wamefeli
Shida wivu narohombaya simlikuwa mmeka amtatatua kelo
Huyu mmama wawap na amepataje madaraka jamani tuwe makini sana kuwapa vyeo hawa watu makonda daima yupo sawah kabisa wale wa milembe lazima wamchukie
Dada tulia dogo afanye kazi yake, anatekekeza majukumu ya chana na sio majukumu yako, anatutendea haki, umetumwa Wewe.
Wabuge wapewe mhura1 tu hawafanyikazi
Sasa hao unaowataja wengi wamuaribia rais sasa wewe ulitakaje? Makonda oyeeeeee
Tukisema viongozi walioaminiwa na rais ni mizigo mnasema nyie ni wachochezi
Hawawajibiki sasa kule chini wapi? Kwani wewe upo juu au chini
Je kama hawafanyi kaz na makonda ataeleza nn kwenye machafuko? Nan atamsikiliza?
Huyu co mbunge mwenye kujielewa analialibu bunge 2 kama me lais ata bungeni aji ana oja za msingi
Wewe uko upande gani Sasa unadhani wananchi tunachotaka ni uwajibikaji
Dada huelewi unachokiongea huo ni wivu tu😂😂😂😂
Yule munaemwita raisi nikivuli tuu dada labda tukwambie hivo
Nyie kazi yenu kutaja jana samia samia kama amfanyi kazi yeye afanyaje huo ni wivu tu unakusumbua una hoja wewe
Fara kweli aeleze nini uozo mtupu ,kwan kutatua tatzo ni shida imekuwa
Hawa wabunge wa viti maalumu hawana umuhimu wowote wanakula tu kodi za wananchi wanaenda sinzia tu
Ss kwahiyo kero za wananchi nani azitatue na hao wakuu wa mikoa wanashindwa majukum yao makonda anafanya kaz nzur
Uelewèki,,,unasifia huku unakataa,,,wabunge bwana
Huyu dada anang'ata na kupuliza ukiwa unaitazama hii video mwanzo utajikuta unamchukia akifika katikati unampenda akimaliza unamchukia hoja yake ni nzur ila hataki kutoa hukumu kwa wazembe wala pongezi kwa watenda kazi vizur nilitegemea mwishoni angesema ule usemi usemao mnyonge mnyongeni haki yake mpeni na sifa kuu angemwagia Makonda
BABU, KWELI NI MWANADIPLOMASIA, WACHACHE WANAOFUATLIA MAMBO YA MSINGI KAMA HAYO. NI KWELI KABISA HOJA YAKE KAMILI UNASHINDWA KUDAKA. HIVYO NI HOJA YA KUTUMWA SI YA KICHWANI MWAKE AMETUMWA.
Makonda nenda kamfanyie uchunguzi huyo dada ni fisadi huyo
Wewe hujielewi kwahio mnataka mshibetu msitatue kero
Yan sisi huku tunajua makonda ndo rais ajae sasa usituvuruge mafile
Aoni aibu comment nyingi zinamkubali Makonda
Kweli kazi ipo mtu anatumwa chumvi anawaletea mchanga mnapokea mnashukuru tu hajatumwa kazi hiyo hongera mbunge kwa akili kubwa Mimi binafsi nimekuelewa. Anafanya kazi za viongozi wa mikoa sio sawa kabisa
Sasa kama hawajitambui .eb mwche makonda bhana😢😢
Ko wewe ulitaka asitatue katatizo ya wananchi we umekosa hoja makonda ooooyyyyyyeeeee
Hivi mh humuogopi Mungu? Huo ndiyo ukweli Hali ni yeye weweeeee
Makonda piga mlemle👉💪
hao wanao pinga ndo mafisadi hasa kama hawamalizi kwa kuwa mafisad makonda piga humo humo
Hauna ulichokiongea mbunge kaa chini uditadhimini
Inaonaonekana huyu Dada aliingia bungeni kwa mchongo
Ningekuwa bungeni ningekujibu mama yangu maana sijui uko upande gani
Ulitaka makonda aspire Barbara tu bila kuongea
Mmmmmmm!!!!!!!! Umeona vibaya ss kusaidiwa? MUNGU anakuona na
Bora ungenyamaza kama wewe unaona Makonda hajfanya vzr
Kuna walio mtuma amchafue Makonda.
Malizia mchango wako muda umeenda,daaah Tz