"MUME WANGU AMETEKWA SASA NI MIAKA MITATU" MAKONDA ACHUKIZWA NA HABARI YA HUYU MAMA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 4 ต.ค. 2024
- www.youtube.co...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Inauma Sana dah!
Makonda Mungu akubariki sanaa mama Samia hajakosea angetafuta watu watatu kama wewe hiikazi ingekuwa nyepesi dah!
Mungu akipenda njoo kigoma wilaya ya uvinza kijiji cha ilagala gereza la kilimo ilagala limewapola kiholela wananchi eneo Lao hivyo wananchi hamenyanganywa maeneo yao hivyo wananchi hawana imani tena na chama njoo kigoma uwasaidie wananchi
Nimesikia kulia Ninavyo ona watu waonewaaa.
Muenezi Mungu Akubariki sana.na Mungu akuongoze kwa kila safari zako zote maana wapo watu wasio penda kuona unavyo fanya.Nitaendelea kukuombe ktk fursa hii.❤
Ameen..
@@aaa64sa13
Amen.
Vivaaa Makonda viva,viva mama Samia viva
Mimi kaka yangu alikiwa Askari Polis alivamiwa na majambazi nyumbani kwake mwaka 2013 na kuuwawa lakini cha kushangaza Jeshi hilo hilo ambalo mtumishi wake ameuwawa halikufanya uchunguzi wowote na wala wauwaji hawajawahi kukamatwa na kuchukuliwa hatua nalishangaa sana Jeshi la Police Tanzania
Makonda mdogo wangu pinga kazi mungu yupo nyuma yako tunajua wabaya ni wengi ila mungu yupo
Huyo bashite hawezi kutetea utekaji,na yeye alishateka sana,hayo ni maagizo
Huyu jamaa ni comedian...yaani yeye ndo master wa hayo mambo ya utekaji eti anajifanya kulia kulia hapa😂😂 makonda mnafiki mno
Makonda n Jeshi, Saaf sana, hapa Mama aliupga mwingi kutuletea huyu mwamba
Mhhhhhhhh jamn pesa ni kila kitu ukiwa maskin Chochote kitakukuta Mungu tulinde
Haya mambo yasikiye tu kwa jirani ila likitokea ndani mwako ni maumivu sana. Inauma sana Mungu ibariki nchi yangu. ipo siku na hiyo siku yaja, wote wanaofanya mambo haya machafu hakika watalipa juu ya damu hizi zinazolia.
Pole Binti mungu akusaidie
Unge kua rais unge kua na maamuzi magumu kama kipenz chetu JPM siku laumu watu wana sahau kama hapa dunia ni njia 2 ukiwa huna pesa haki pia huna😢😢
Nchi haingozwi kwa maamuz magumu inaongowza kwa mujibu wa Sheria.
@@mkanzakazeni6752 sheria inge kuwepo vp wenye haki wana kosa haki vp masikin hana haki hiyo ndio sheria sio
Mweleweshe akili kisoda huyo
Mungu tusaidie
Aisee 😢😢
Jaman🙆
Hapa kesi ya mbuzi imeletwa kwa chui mtaalam wa utekaji
Kamanda kidumu chama Cha mapinduzi.nakuombea siku Moja update nafasi ya juu sana serikalini ili upiganie eanyonge tunaoonewa.
Dah umeniumiza mno kiongozi kutoa chozi Kwa ajili ya WENGINE safi kabisa Nakuomba Kwa MUNGU AKULINDE WAKATI WOTE maana Kuna wabaya ndani ya Serikali unawaumizi Kwa UKWELI na HAKI unavyosimamia.
Duuu makonda tusaidie sisi masikini😢
Ila naomba Sana kuwa makini mana nawewe wasje wakakuuwa tukaja kukukosa bule mkuu mana kwasasa nyota yako ipo kama jua ukiendelea hvyo vyama vyote vyaupnzani vinakufa
Inaumiza sana
😊
Huyu mam namuona analoho mbaya ila km Mungu asikuache salama
Kesi ya ngedele hakimu nyani
😂😂😂😂 Kudadeki
Yani king makonda Kila ukisimama ndani yako naiona roho ya shuja jpm ikiwa ndani yako
Inasikitisha
Mheshimiwa mwenezi nakukubali sana mtetezi wa wanyonge naomba namba yako
Danganya toto drama hakuna jema litakalotokea kupitia ccm chui hawezi kuwa kondoo vile kavaa ngozi ya kondoo
Apana japo sijui ila awo wanajua mme wa dada alienda wap
Makonda achukizwa Na utekaji wa mume was huyu mama au achukizwa Na malalamiko ya huyu mama.?
😭😭😭😭💔💔yaraab
MHE. MAKONDA HESHIMA KWAKO! WEWE NDIO UNAFAA KUWA RAIS WETU 2025! MAKONDA HOYEEEEE!!!!!!
Unaswaga weee kijana mmmh,
We unaona swaga kuna watu kwao ni faraja
Dah inasikitisha
Huyo mmiliki alishawaonga hao
Mmmmh
MHE. MAKONDA HOYEEEEE!!! CHUKUA FOMU YA KUGOMBEA URAIS 2025!!!!! TUNAKUHITAJI!!
Niliitwa lukuvi waziri wa ardhi Kwa kejeli enzi ya utawala wa hayati Magufuli.leo walio nikejeli wamekuea chama tawala
Nafsiyangu natamani makonda awe raising watanzania
Comedian comedian na
MHE. MAKONDA HESHIMA KWAKO! CHUKUA FOMU YA KUGOMBEA URAIS 2025!!!!! TUNAKUHITAJI!! MAKONDA HOYEEEE!!!
Wewe nguluwe pori tulia acha kelele
Lakin haws CCM ukikaa vibaya utadhan wako serious 😅😅😅😅
Ni kweli ata Chadema nao unaweza ukawaona kama wako serious kumbe hakuna
@@alexanderdustan8872 anacho kifanya makonda ni maigizo maana wajiriwa ote wapo chin ya chama tawala Wana uwezo wa kutenda haki wanao maana wanajifanya kufata amki ya makonda hii ni kampeni zimesha Anza 😅😅😅🙌
Daa mungu sina msaada na hiii dunia
Haki ya maskin Ni mateso
Makonda jeshi lapolice linatia aibu mtu anatekwa police wapo mkuu wamkoa yupo na aliemteka mtu huyo yupo serekali ipo da kweli simchezo makonda kazi unayo
Huyu atakua ameuwawa akatupa mbali hakuna kitu hapo
Basi waonyeshe mifupa ilipo akazke bas
@@danielsamweli6766 Syo rahisi hvy Mimi naona kesi za shamba na siasa ni hatar mno Wanakupoteza fasta wewe hufikirii mty miaka mitatu atakua hai tyy hakuna kitu 😭 nakwambia nakumbuka Yule mbunge wa chadema alikua anaitwa saa nane alipotezwa sasa ni miaka saba kama sikosei sasa atakua hai kweli mchi ya tanzania imejaaa ukatili wa hali ya juuu kwa vile hawatangazi kila kitu
MAKONNDA SHINYINGA
Katibu mwenezi anashangaa kabisa. Uonevu wa walala hoi, mtu kapotezwa, mtuhumiwa kahamisha file liko kwa DPP. Makonda unaimarisha chama-ccm au unaiaibisha serekali ya ccm ? Uonevu wa kutisha umekutana na serekali iliyooza ya kifisadi ya chama cha ccm. Makonda usishangae litolee maamuzi. Si ndiyo kazi uliyotumwa kufanya?.
Bro piga kazi tujali HAKI Mali zipo binadamu tunapita
Rpc niyule yule 2:41
Makonda sikuzote uwa namombeea kwa mngu
Mh
Tumbua
Umaskini nikazi
Tumbua hao wanatuonea wananch
Hahaha,
MHE. MAKONDA HESHIMA KWAKO! CHUKUA FOMU YA KUGOMBEA URAIS 2025!!!!! TUNAKUHITAJI!! MAKONDA HOYEEEE!!!
MHE. MAKONDA HOYEEEEE!!! CHUKUA FOMU YA KUGOMBEA URAIS 2025!!!!! TUNAKUHITAJI!!
MHE. MAKONDA HESHIMA KWAKO! CHUKUA FOMU YA KUGOMBEA URAIS 2025!!!!! TUNAKUHITAJI!! MAKONDA HOYEEEE!!!
MHE. MAKONDA HESHIMA KWAKO! CHUKUA FOMU YA KUGOMBEA URAIS 2025!!!!! TUNAKUHITAJI!! MAKONDA HOYEEEE!!!