Mama wew hunahakiri kabisa mung nisamehe Yani wewem wanaoumutelekeze kisa usihangaike😂😂😂😂 ningekua mim ungenitekeza ningeongeza miaka ya kuku tana nawew mana duuuh 😂😂😂😂😂
Ss hp ndo ulipo kosea nibola ungevumilia n akukea mtt km ulipo vumilia kulea mimba awezi kukutafuta ww mana hp kasha jazwa hbr za ww umemtelekeza ss atakyoenda vp adi akutafute
naomba unitafute na mimi nahitaji nimpate mdogo wangu nikupe taarifa zake ni mwaka wa thelathini na tatu sasa(33)
Kwenye hii move anaitwa bichausiku😅😅😂😂
Hata msimtukane huyu mama wanamume wanakera sana.
Una roho ya kitofauti we mama Mmmmmm Atari sana yani wewe 😢😢😢😢😢Atari.
Ila huyu mama 😂😂😂😂😂😂😂 aki RIP mama ang 😢 ulihangaik sana mimi bila baba ila ukuwah kuniach
Kazi nzr sana bro
Tafadhali part 2, kama kweli unathamini, hata yule bint ambaye alikuwa hajaonana miaka 4 hukumlizia kwa nini??
Wazee wa behind the scenes mko wapi😅😅😅
Kuna siku uliwaleta hapa ukasema hawakuonana kwa mda wa miaka 4 leo tena 20 daaaah kweli kazi ngum 00:24
Mama wanaume wote warivyo rakini inatakiwa mama pambana na mwanao
Na hiv tushajua video zako ni za uongo....yan hata walie vipi sisi tunacheka tu😂😂😂
😂😂😂
Muito interessante
Nimetotoka sasa hivi Tik Tok 😂😂😂😂😂
Una rôh ngumu Hui unafki una rôh mbaya
Huyu mama kama hazimoo😅😅
Kiukwel huyu mama akili hamna kabisaaa
Sahv hatuamini video zako kumbe unatengeneza na sio really 😢
Duh! Basi nitakuwa sipotez bando langu kuangalia tena😢😢😢😊
😂😂😂 ila ww umeamua kumsema leo
Hata mm sitaki tena 😂
Kwel kabisa video zake ni movie tuuu
Anatengeneza kivp?
Kwel story ya kutengeneza hii
mr uky plz utuwahishie part 2
Video za huyu jamaa ni uwongo tupu..... huyu mama nimuigizaji 😅😅😅😅😅😅😅😅. .... Tunaomba uwe kama kiredio brother acha kutudanganya
Muhim ume comment😅
Ovyoo ata ainamaana iviuliona wapimtoto mdogo ukatupie babaake ulijua utamkomoa mwanga mkubwaa
uyu mama halima ni mwigizaj wa tamthilia ya siku mbaya
Mama wew hunahakiri kabisa mung nisamehe Yani wewem wanaoumutelekeze kisa usihangaike😂😂😂😂 ningekua mim ungenitekeza ningeongeza miaka ya kuku tana nawew mana duuuh 😂😂😂😂😂
Part 2plz bro
Nimekuja kugundua zipo zakwel na mchezo katikat
Kwwnn ss ni uwongo
Mungu atakulipa u k
Mama mpuuzi sana uyo
Mm huyu jamaa simuamin tena anategeneza story jau san siyo kwel
Hiv kwann unastory z kutunga😢
Mwendelezo
pole sana
Mr uky tutaanza ku unsubscribe maana hatujuamini maigizo mengi saiv kuwa km kiredio huyo mama ni msanii 😪
Kwani huyo mama akiwa muigizaji ndo haiwezekani kupotezana na mwanae?
Huyu mama di mxm kbs
Part 2 lin
Hamnaga part 2 now days
Mbn Hana sauti
Ok haina shida tuko pamoja
Mr uk hiyo story ni yakweli au kma ya juzi ulivyo tudanganya acha kutengeneza story😅😅
Haina sauti
Wa kwanza😂🎉
Huyu mama anaonekana alikuwa anapenda kuzagamuana...umalayaaaa tuu kulea aaaaaaa
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 steve mweusi msemo huu utatuua
@@mirriammaombidawahdawat1178 mama anapenda kulengaa kulea aaaaaaa😅😅😅
Dah jamani mbona
Ciku hizi part 2 uletiiii
Mjinga ww mama kosa lako mwenyewe hukuchukua busara wla hekima unajiliza Nini ssa.
UK tafadhali tunataka kujua hatima ya mama na mwana, hatakisa cha Happy hukumalizia, jamani tuna hamu ya kuona part 2, tafadhali sana
Ety jamani
Alimpeleka na miaka mingapi?
Cku hizi unaweka video zako uongo uongo tu😂😂😂
Umeonaee 😂😂😂tumemshtukia
Bora kiredio walai huyu kazid uongo
Kanywe Pepsi ya barid ntalipa
Ss hp ndo ulipo kosea nibola ungevumilia n akukea mtt km ulipo vumilia kulea mimba awezi kukutafuta ww mana hp kasha jazwa hbr za ww umemtelekeza ss atakyoenda vp adi akutafute
❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Video za uongo hizi
Tunasubili pt 2
Ni sawa na ulikufa ulipomzaa amina
Haina sauti