FUMANIZI M/NYAMALA Prt 1

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 28 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 633

  • @Boaz22
    @Boaz22 2 หลายเดือนก่อน +28

    Huyu dada mtangazaji anaboa,anaongea sanaa,mpaka anaboa😅😂😂

    • @dorismungagideon3979
      @dorismungagideon3979 2 หลายเดือนก่อน

      Yaan na komwe lake😂uyu atakua dar by bus

  • @MirajiKimwaga
    @MirajiKimwaga 2 หลายเดือนก่อน +12

    Yaan huyu dada mwenzake n mr uk ana mapepee mengi

  • @RisasiRisasi-uj8fk
    @RisasiRisasi-uj8fk 2 หลายเดือนก่อน +13

    Wewe dada mwanahabari ni mcharuko,hii kazi huiwezi au jirekebishe

  • @petrosimon6868
    @petrosimon6868 2 หลายเดือนก่อน +25

    HUYO DADA ANAHARIBU UNTOE TUUU .. SIFA NA KIHERE HERE JUU ..

  • @joyceMwaikusa
    @joyceMwaikusa 2 หลายเดือนก่อน +6

    Uyo dada unaefanya nae kaz anakuharibia kaz sana ana kiherehere sana anaboa

  • @AbigaelyYona
    @AbigaelyYona 2 หลายเดือนก่อน +41

    Japo watu wanasema adui wa mwanamke ni mwanamke mwenzie ila nisamehe ...MR UK..huyo dada atakupotezea soko lako loteeeee..Baki kama mwanzooo

    • @NageMsuya
      @NageMsuya 2 หลายเดือนก่อน +6

      Huyo dada anaongea sna ana kifronti cha atar uk bak tu mwenyew kbsa

    • @YohanaRobart
      @YohanaRobart 2 หลายเดือนก่อน +5

      Kweli kumbe na nyie mnaboeka kama mimi

    • @witneyjerry2587
      @witneyjerry2587 2 หลายเดือนก่อน +2

      Anadakia mnoo

    • @rosemilingi7860
      @rosemilingi7860 2 หลายเดือนก่อน +1

      Achana nae kbs atakuharibia

    • @StellaZakeo-jl4rc
      @StellaZakeo-jl4rc 2 หลายเดือนก่อน +1

      Kwel man mteme uyo dada anaongea sana 😊😊

  • @omegadamian529
    @omegadamian529 3 วันที่ผ่านมา

    Mbona princess mbaya

  • @kerenlumbya4575
    @kerenlumbya4575 2 หลายเดือนก่อน +18

    Ana sema sana huyu Dada ndo mana kapasuliwa

  • @danielimeshack3712
    @danielimeshack3712 2 หลายเดือนก่อน +45

    Malaika mkuu Gabrieli ndiye aliyetumwa na Mungu kwenda mpaka mji wa Galilaya, jina lake Nazareti kwa Bikira Maria

  • @eliamancharles-k3g
    @eliamancharles-k3g 2 หลายเดือนก่อน +4

    Jmn uyo dada mnamsema sana but ndo kazi ake anatakiwa achangamkeee aongeee❤

  • @PeninaRoger-me4vo
    @PeninaRoger-me4vo 2 หลายเดือนก่อน +11

    Mr Uky hongera Sana naomba nifundishe kutrack simu

  • @joycekato6784
    @joycekato6784 หลายเดือนก่อน

    Mtangazaj wa kike ana maneno mengi anapitiliza ya kukera,.... Mkaka Yuko vizuri anajiamin sana haongei kishabik

  • @eggysulle7988
    @eggysulle7988 2 หลายเดือนก่อน +5

    Mr uky uyu dada anakufaa na kinajua kuchagiza nmekpenda kina jua vitu ,,sema tu nabii hakubalik nyumban

  • @ScolaNalle
    @ScolaNalle 2 หลายเดือนก่อน +3

    Mr uky..huyu dada Ana maneno sana khaa anaboa mno jamani 😆

  • @OmanOman-ru4eu
    @OmanOman-ru4eu 2 หลายเดือนก่อน +3

    Huyu msaidizi wako anaongea sana bhn mbea mbea😂😂

  • @JohaynaKhamis-sv3yg
    @JohaynaKhamis-sv3yg 2 หลายเดือนก่อน +10

    Mmmh mr uky uyoo mdad atokeeeeee ana mdomo san ana haribu kam chaumbeya ungeenda shilawadu

  • @SelinaMdoe-jv1pu
    @SelinaMdoe-jv1pu 2 หลายเดือนก่อน +2

    Mjihadhari sana na mapenzi ya watu m taambulia kupigwa na kuzalilika

  • @iddimwinyimvua9728
    @iddimwinyimvua9728 2 หลายเดือนก่อน +4

    Mr Uky ww jifunze kwanza kutrack mtu nikosa usiliongee sikunyingine ilo pili mtu kakutafuta akiwa na hasira achana nae hata kama kakulipa mtakuja mlipe mamilioni ya pesa katika biashara za watu utakuja uichukie kazi

  • @YohanaPetro-xv9tp
    @YohanaPetro-xv9tp 12 วันที่ผ่านมา

    Mr Uk Uyo Dada unae Fanya nae Kazi Hatumtaki

  • @KhalidNa-bn4gp
    @KhalidNa-bn4gp 2 หลายเดือนก่อน +2

    Ilawanamme mnaniniilakin😂😂😂 ilahuyo mchepuko kakomaaa😂😂 anamkemzuri maasha allah ilaaa khaaa😂

  • @MussaJuma-zd5tn
    @MussaJuma-zd5tn 2 หลายเดือนก่อน +2

    Huo ujinga mnaufanya ipo siku mtakuja jilaumu sana...

  • @shammysleyman7112
    @shammysleyman7112 หลายเดือนก่อน

    Dada unaongeaaa sanaa mpk unaboaaa aiseeeee khaaaa

  • @awesoapollo8608
    @awesoapollo8608 หลายเดือนก่อน

    Change huyo dem anakuaribia anaongea sana uyo bro Mpk anaboa

  • @MagrethSamwel-s5z
    @MagrethSamwel-s5z 2 หลายเดือนก่อน +1

    Kazi ngumu hii😂 polen sana

  • @nassorseif
    @nassorseif 2 หลายเดือนก่อน +9

    Ety oooh wadada wa tanga wanaibiwa na wadada wa dar .wadada wa dar mko vizur..wakat hajui mwenzie hapo ana hasira kaibiwa mumewe ka msenge🤨

    • @miriammtaki1495
      @miriammtaki1495 2 หลายเดือนก่อน

      Msenge sanaaa

    • @mwanaidimunga9099
      @mwanaidimunga9099 2 หลายเดือนก่อน

      Mamae angekula ngumu ya uso analeta masighara kwenye vitu vya serios

  • @latifaally720
    @latifaally720 หลายเดือนก่อน

    mtoe hyo dada bnaa anakera sana khaaaa hta sitamani kuangalia video kwa ajili ya makelele yake

  • @Meck-Nyoni
    @Meck-Nyoni หลายเดือนก่อน

    Mr UK plziiiiii... Huyo dada anakuharibia kazi.. anakera Sana.

  • @DianaRichard-bu9tz
    @DianaRichard-bu9tz 2 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu mdada mbona anasifa sana 😂😂 cheeeeefu mi linanikera bora mr uk angebaki mwenyewe aseeeee sijui lipoje lina haribu

  • @andrewgodfreymalulu6417
    @andrewgodfreymalulu6417 2 หลายเดือนก่อน +6

    Kwa mujib wa sheria ya mtandao kum track mtu ni kosa mtakuja kushtakiwa mlipe ma billion.

  • @MariamMbalabara
    @MariamMbalabara 2 หลายเดือนก่อน +8

    Njomana namunpeda kirediyo yeye handi party 2 analenta 💜🦋😏😏😏😏😌

  • @PhorahMahaza
    @PhorahMahaza หลายเดือนก่อน

    Mr uky huyo Dada hajakubalika kabisa achana nae kabisa 😂😂

  • @Thereallucasmachius
    @Thereallucasmachius 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mtoto kautakaa mtoto kautakaaa❤❤😊

  • @SarahJackson-l7w
    @SarahJackson-l7w 2 หลายเดือนก่อน +27

    Uyu dada mwambie hatujazoea makelele c apunguze ujuaji kwa kazi za watu🔥🔥

    • @SaraJinalangu
      @SaraJinalangu 2 หลายเดือนก่อน +4

      Yaani anaropokwa tu anakera

    • @SarahJackson-l7w
      @SarahJackson-l7w 2 หลายเดือนก่อน

      @@SaraJinalangu na anamjua kukera

    • @ashurajengela3926
      @ashurajengela3926 2 หลายเดือนก่อน +1

      Yani hajui hajui makelele tu

    • @Maryam11-e8o
      @Maryam11-e8o 2 หลายเดือนก่อน +1

      kabisa kanaboaa

    • @SarahJackson-l7w
      @SarahJackson-l7w 2 หลายเดือนก่อน +1

      @@Maryam11-e8o cjapenta challenge nyingine asimchukue

  • @jamesjohnas568
    @jamesjohnas568 2 หลายเดือนก่อน +1

    Hizi kazi zinafanywa na watu wambea

  • @Celmafilimone
    @Celmafilimone 2 หลายเดือนก่อน +3

    Mr uky nakupenda sana Kaká wangu 🇲🇿🇲🇿♥️♥️

  • @zabronerastus2359
    @zabronerastus2359 2 หลายเดือนก่อน +1

    Huyo Dem anacheka nn ssa....et mabint wa dar mko vzur😅

  • @RebeccaLongo-oi3po
    @RebeccaLongo-oi3po หลายเดือนก่อน

    We mdada mzr Ila huendanii hta n hyo kaz😮

  • @SakinaSalum
    @SakinaSalum 2 หลายเดือนก่อน

    Nimekupnd dd uchangamfu pambeeeeee🎉🎉🎉

  • @MagdalenaHussein-f8c
    @MagdalenaHussein-f8c 2 หลายเดือนก่อน

    Mr uky uyo dem mbona anakiherehere apunguze mdomo

  • @enockelias-zq8fo
    @enockelias-zq8fo 2 หลายเดือนก่อน

    Huyo dada kilaza sana anakuharibia kazi zako, tafuta mwenye akili achana na huyo la sivyo Kuna siku atakuletea majanga

  • @fildausumulisapazi3988
    @fildausumulisapazi3988 2 หลายเดือนก่อน

    Eti tu request, kumbe dar muna request Hadi Bajaji jmn! Hongereni

  • @AbdallahAthman-qg7ct
    @AbdallahAthman-qg7ct 20 วันที่ผ่านมา

    Dumezima kaziyako kuaribu ndoa zawatu

  • @lee..8888
    @lee..8888 2 หลายเดือนก่อน +1

    Lakn kiki ulisema nyie ni professional na mnafanya hayo mambo kwa akili😂😂😂😂

  • @SAKINAAhmadi-bs4ic
    @SAKINAAhmadi-bs4ic 2 หลายเดือนก่อน +139

    Ktk kitu siwezi kukifanya nikwenda kumfumania mwanamke mwenzangu eti anatembea na mume wangu mm namsubili uyo mualifu mwenzangu aludi yumbani ili tufanya ualifu vizur ssa ukisha enda kumfumania unapata faida gani wakati yye ametongozwa km ulivyo togozwa ww yani nikujizalilisha tu mm mtu akija kunifumania natoka na nyondo nakutia la kichwa ukome kihelehele 😂😂😂😂

    • @VERONICA-o7n
      @VERONICA-o7n 2 หลายเดือนก่อน +3

      😂😂

    • @ShingwaIshad
      @ShingwaIshad 2 หลายเดือนก่อน +2

      Kabisa

    • @johasaeed391
      @johasaeed391 2 หลายเดือนก่อน +1

      Huyo dada anaonekana kabisa toka mwanzo anafanya vuruguu

    • @saumu7760
      @saumu7760 2 หลายเดือนก่อน +4

      Apo umeongea point badala yakudili namwanmke wako unafata mmkemwenzako nonsense

    • @saudajuma898
      @saudajuma898 2 หลายเดือนก่อน +2

      Kweli kabisa

  • @Aluminiumdoctor255
    @Aluminiumdoctor255 หลายเดือนก่อน

    mr. Uk huyo dada anakuharibia anaongea sanaaa

  • @GodlistenStanley
    @GodlistenStanley 2 หลายเดือนก่อน

    Dada mpuuz sana anaujuajisana kwanza uyundoanatakiwa mtuaanzishe ugomvi alafu apigwe

  • @alphoncelaurent9454
    @alphoncelaurent9454 2 หลายเดือนก่อน

    Hii fumanizi imetishaa sana kwani alimfungia nepi yey mwenye kosa ni mme wake sio yeye si alitiwa voko akajaa😂😂😢😢😂😂😂😂

  • @ArafaHassan-b7z
    @ArafaHassan-b7z 2 หลายเดือนก่อน +4

    😂😂😂😂😂😂alikuwa avumilie amalize nje jmn kufany kelel saloon kwa wat jaman au mume nd anauma😂😂

  • @SamweliGeorge-b8z
    @SamweliGeorge-b8z หลายเดือนก่อน

    Mr uk huyo dada anakiherehere sana hafai hiy kz

  • @pendohumphrey6501
    @pendohumphrey6501 2 หลายเดือนก่อน +2

    Mbona mke ni mzuri sana kuliko mchepuko ...men mnakwama wapi

  • @AthumaniSeleimani
    @AthumaniSeleimani 2 หลายเดือนก่อน +1

    Alafu nyie wakina Mr UK hamjitambui kabisa huyo Dada kaonekana kqbisa ni mkorofi palapale njee mgemkata kabisa

  • @hellendaniel3809
    @hellendaniel3809 2 หลายเดือนก่อน +9

    Dada wa Mr Uk umekosa kibali. Da!

  • @FaridaKizenga
    @FaridaKizenga 2 หลายเดือนก่อน +4

    Hata mm hiki kidada sikipenda sana kazid kujishauwa fyuuuu......
    ...

    • @SharifaAytoo
      @SharifaAytoo 2 หลายเดือนก่อน

      Kwan Huwa hasomi comments

  • @NuruZebedayombise-ie5zb
    @NuruZebedayombise-ie5zb หลายเดือนก่อน

    Huyu Dada anaongea sana bichwa baya

  • @ChekaKivia
    @ChekaKivia 2 หลายเดือนก่อน +2

    Kweli mungu hakupi vyote mdada mzr lkn kaibiwa mume 😂 jmn ngoja niskitike kdg wanaume hawa wanatafuta nn jmn kwani

  • @MwanamkasigwaPiason
    @MwanamkasigwaPiason หลายเดือนก่อน

    Chamsingi usalama wawatu na malizao mengine yote sawa

  • @veronicangwale7159
    @veronicangwale7159 2 หลายเดือนก่อน

    Huyu dada hapendez anaharib kipindiiii

  • @NatashaKidamangu
    @NatashaKidamangu หลายเดือนก่อน

    Mm sijapenda utaharibu mpaka lin wanaume hawaridhik kabisa

  • @OmbeniMwalupindi
    @OmbeniMwalupindi หลายเดือนก่อน

    Huyo mdada mlomwingiza hum mr uk.anaongea mno mpak anaboa.wewe tu na kamer man.wadada viherehere

  • @JerindaEzekiel-qq4bu
    @JerindaEzekiel-qq4bu 2 หลายเดือนก่อน +1

    Dada umeungana n mr Uky kwel😢, utatolewa miguu asee mwenzako kazoea uyo 😂😂😂

  • @NajmaSeif-d4q
    @NajmaSeif-d4q หลายเดือนก่อน

    Nikweli kabisa saiv awa wanaume sio.wa kupigana na mwanamke mwnzio kisa mwanaume kiupande wangu siwezi

  • @sophiaazizingaiwa3857
    @sophiaazizingaiwa3857 2 หลายเดือนก่อน +1

    Muendelezo jaman.....mana mchepuko unajiamini hatar😂😂😂

  • @mwanaidimunga9099
    @mwanaidimunga9099 2 หลายเดือนก่อน

    Ila wanaume jaman hicho kidada chenyewe kibayaaa

  • @PendoLeonardi
    @PendoLeonardi หลายเดือนก่อน

    Ila hii mbaya sana kuharibu mahusiano ya watu jamni😢

  • @JohaynaKhamis-sv3yg
    @JohaynaKhamis-sv3yg 2 หลายเดือนก่อน

    Hahaha wew mdad hujamkuta mtu weny hasira ungepigwa kipigo

  • @YuyuMp-d8y
    @YuyuMp-d8y 2 หลายเดือนก่อน

    Uyo dada awe mwandishi wa habaria maana ana mdomo sana

  • @FunnyBubbles-jb1mk
    @FunnyBubbles-jb1mk 2 หลายเดือนก่อน

    Tena anaongea kinafikiii nafikiiiii tyu afuuu anaongea sn anaharib

  • @annajoseph9955
    @annajoseph9955 2 หลายเดือนก่อน

    Huyo dada anaharibu kipindi hapan aiseee mtoeee

  • @RachelRacheltemba
    @RachelRacheltemba 2 หลายเดือนก่อน +3

    Kiherehere ndiyo maana ukapasuliwa komwe 😂😂😂😂😂

    • @denishaule6314
      @denishaule6314 2 หลายเดือนก่อน

      Not good atakuja jua tu mbeleni…

  • @MurtadhaJawahir
    @MurtadhaJawahir 2 หลายเดือนก่อน

    we utakuja kupigwa wew ....chokoza watanga tu

  • @veronicangwale7159
    @veronicangwale7159 2 หลายเดือนก่อน

    Wachonganishiiiii nyieeeee😊😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅

  • @kuruthumukamando829
    @kuruthumukamando829 2 หลายเดือนก่อน

    Na maangamizi yakafanyika

  • @dianamahuvi
    @dianamahuvi หลายเดือนก่อน

    mtoe huyo dada ana mapepe sana hatujazoea makelele

  • @paulkelvin362
    @paulkelvin362 2 หลายเดือนก่อน +6

    Jitahid dada.. punguza maneno yasiyo ya ziadaa yakizidi yanaharibu next tym utazid kuimarika zaid na zaid

  • @mossesramadhani501
    @mossesramadhani501 2 หลายเดือนก่อน

    Huyo mtangazaji mpya ni radio inayo tembea

  • @Diyankurze
    @Diyankurze 2 หลายเดือนก่อน +1

    iyo mikofi mizito hvyo😂😂😂 nywele zote part 2 ameng'olewa

  • @NiwemugiziBatalingaya
    @NiwemugiziBatalingaya 2 หลายเดือนก่อน +28

    Nimesoma comments itoshe kusema mdada hajakubalika😂

    • @sadickabassi2176
      @sadickabassi2176 2 หลายเดือนก่อน +3

      Duuuuh kwel aise

    • @albamwanja4304
      @albamwanja4304 2 หลายเดือนก่อน

      Hatari kabisaa😂😂😂😂😂

    • @marcelline9393
      @marcelline9393 2 หลายเดือนก่อน +1

      Hata mi nimejikuta napata ukakasi wa kumalizia video sasa😂

    • @irenemakoba528
      @irenemakoba528 2 หลายเดือนก่อน

      To much tok tatizoo😂😂 hata ni mwandishi anatakiwa abalance kuongea

    • @NiwemugiziBatalingaya
      @NiwemugiziBatalingaya 2 หลายเดือนก่อน +1

      @@marcelline9393 na hapo ni mgeni wa kipindi sasa😂

  • @rosemaryignatius6182
    @rosemaryignatius6182 2 หลายเดือนก่อน

    Basi aongee ata point hana anaongea anapitiliza kila kitu anajua yeye 😮😂

  • @MataifaJuma
    @MataifaJuma 2 หลายเดือนก่อน

    Ila kiukwer .umakin unatakiw maan .wat wanawez uana aisee

  • @queenmichael5319
    @queenmichael5319 2 หลายเดือนก่อน +1

    Baadaye mume atarudi na mizawadi kumuomba msamaha baby side.😂😂😂😂 Wanaume

  • @zaiogy5787
    @zaiogy5787 2 หลายเดือนก่อน

    Kitakachowakuta na nizaidi yaa

  • @ZaynabYussuf
    @ZaynabYussuf 2 หลายเดือนก่อน

    Kanazarau kijanajik enyew kabaysaa😅

  • @AnnababeMathius
    @AnnababeMathius 2 หลายเดือนก่อน

    Huyo dada anaharibu kaz tushakuzoea mr uky ukiwa na kiredio tuu😂

  • @VictoriaValence-t6p
    @VictoriaValence-t6p หลายเดือนก่อน

    Uyo dada anaboa anaongea sana

  • @She-m3p
    @She-m3p 2 หลายเดือนก่อน

    Hiki kidada na kidomo chake cha juu cheusi tii, kihere here,..mr uky toa mbwa hii

  • @PaulinePaul-t4l
    @PaulinePaul-t4l 2 หลายเดือนก่อน

    Ila uyu dada anaongea sana mpka mb zinaisha haraka😂😂😂 kanakera

  • @rockmillprinco6205
    @rockmillprinco6205 2 หลายเดือนก่อน

    MR UK content zako zinaharibiwa na huyu Manzi, mteme tu akaendele kuuza majeans 🙌🙌

  • @GwantwaSamson
    @GwantwaSamson 2 หลายเดือนก่อน

    huyu dem anaongea sana

  • @ZulekhaMohamed-st2vu
    @ZulekhaMohamed-st2vu 2 หลายเดือนก่อน +1

    Daaah huyo dada anaharibu kabisa jaman duuh mbea mpka anaboa

  • @DoreenOmmy-gw3op
    @DoreenOmmy-gw3op 2 หลายเดือนก่อน

    😀😀😀 iv nanyie wadada WA elf 2000 tunajikutaga nani mbona mwenzennu naogopa

  • @DicksonNicholaus-k4c
    @DicksonNicholaus-k4c 2 หลายเดือนก่อน

    Aseee anakera huyu dada sasa anajitekenya nn asee

  • @donlinechanell4760
    @donlinechanell4760 2 หลายเดือนก่อน +1

    Huyo anaesokwa mbna anauso mbaya hvo😂😂

  • @arafajuma4128
    @arafajuma4128 2 หลายเดือนก่อน

    Uyu mtangazaji mwanamke anakiherehere uyu

  • @EsterMsangi-vn7es
    @EsterMsangi-vn7es 2 หลายเดือนก่อน

    Kweli hili lidada linakera sio poah

  • @Juliety-v3o
    @Juliety-v3o 2 หลายเดือนก่อน

    Prices mwenyewe anavyojib sura yake yenyewe imekomaa cjui ni mpare uyo

  • @ModestusMsolid
    @ModestusMsolid 2 หลายเดือนก่อน

    Dada anajitahid kwa kiwango chake

  • @BeatriceKweka-r4o
    @BeatriceKweka-r4o 2 หลายเดือนก่อน +1

    Fanya kipindi mwenyewe huyu dada anaharibuu anaboaa ,,😢😢

  • @fathiyahmuzney7367
    @fathiyahmuzney7367 2 หลายเดือนก่อน

    Kiherehere kikizid kinaboa we dada punguza kiherehere 😂😂

  • @QueenAssenga
    @QueenAssenga 2 หลายเดือนก่อน

    Kaka uky kuwa unatembea mwenyewe

  • @MarthaDanieljohn
    @MarthaDanieljohn หลายเดือนก่อน

    Huyu dada anajifanya ndo anamuelekeza sana mr uky yan kaharibu sana hii challenge ndo maana imeboma😢😢 Mr uky huyu dada ndo ameleta gundu hadi mmekula kibondo😅😅😅