EXCLUSIVE: MAMA NA MTOTO HAWAJAONANA MIAKA 41,WAKUTANISHWA MOSHI "NILITUMA MALAIKA, NI KILIO"

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 30 ก.ย. 2024

ความคิดเห็น • 375

  • @habibaomarykiponda4036
    @habibaomarykiponda4036 ปีที่แล้ว +2

    Sasa kwann alimuacha mdogo akachukua wakubwa mdogo simuach ht kwa dawa nitamuiba tu

  • @husnaameen9309
    @husnaameen9309 ปีที่แล้ว +10

    Huyu mama alijitoa muhanga dah, Bora tu umeonana nae lakini amama yako ana roho ngum sana

    • @basilisamsaka8469
      @basilisamsaka8469 ปีที่แล้ว

      Inaonekana mama kweli anaroho ngumu hata mwonekano wake kwenye picture hachangamki

  • @marthamungure1777
    @marthamungure1777 ปีที่แล้ว +14

    Huyu mama hakuwa anamuhitaji kwa sababu alikuwa na watoto wengine🤔. Namshangaa alivyomsahau mtoto wake kabisa😢

    • @saynabmohammed6263
      @saynabmohammed6263 ปีที่แล้ว

      Pengine ameona din yke tofaut

    • @marthamungure1777
      @marthamungure1777 ปีที่แล้ว +1

      @@saynabmohammed6263 Alimwacha akiwa mdogo. Hakuna sababu yoyote. Mtoto mdogo hajui dini. Alimtafuta mama alipojua wokovu.

    • @mwitaagness455
      @mwitaagness455 ปีที่แล้ว

      Usishangae miaka 41 ni mingi jamani huez kumkumbuka mtu

    • @marthamungure1777
      @marthamungure1777 ปีที่แล้ว

      @@mwitaagness455 Alikuwa wapi mpaka akafika miaka hiyo??
      Hata baada ya mwaka au miwilu hakutaka kwenda kumwona alipomwacha?

  • @cesilialucas2458
    @cesilialucas2458 ปีที่แล้ว +25

    Mungu ni mwema anajibu kwa wakati sahihi

  • @zawadizawadimussa23
    @zawadizawadimussa23 ปีที่แล้ว +8

    Uyu mama ni mtata hakuwa na uchungu na mwanae

  • @saurasoso1543
    @saurasoso1543 ปีที่แล้ว +17

    Uyo mama mwenyewe Sasa ongea yake tu ana kiburi zarau na roho yake ngumu kinyama mbona haonyeshi kumfurahia mwanae khaa 😂😂😂😢

    • @annehk8185
      @annehk8185 ปีที่แล้ว +2

      anasikitisha kwa kweli yaani hana furaha hata ya kuigiza ile ya kinafiki aibu tupu kwake kama mzazi

    • @fideahyera2599
      @fideahyera2599 ปีที่แล้ว

      Aibu na kujickia mkosaji kwa mwanae

    • @joycemwankusye4872
      @joycemwankusye4872 ปีที่แล้ว +1

      Hata mi huyu mama simuelewi duuu...

    • @namsamson3443
      @namsamson3443 ปีที่แล้ว

      Alafu mtoto anamkumbatia yeye wala, ndugu zake Angel ndio wamefurahia ila huyu mama 😢

    • @lylianvegulla7555
      @lylianvegulla7555 ปีที่แล้ว

      Ni aibu. Watoto wanaPotezaga Baba siyo Mama.

  • @msaphirimagallah5781
    @msaphirimagallah5781 ปีที่แล้ว +2

    Huyu mama asamehewe tu... nawasihii wamama wale hizi roho achaneni nazo! Mnawatesa watoto wenu wasikuwa na hatia...

  • @auntdorah9141
    @auntdorah9141 ปีที่แล้ว +12

    Mungu ni Mungu asiyeshindwa, Mungu azidi kukuinua binti, umeinua imani za watu wengi, nimekupenda sana...na kulikubali hili Neno MUNGU WA YASIYOWEZEKANA...yale tunaona hayawezekani Mungu hufanya njia🙏🙏

    • @hubamwinyi2441
      @hubamwinyi2441 ปีที่แล้ว

      Je huyu mama hakupata ht kujua ndugu za mtu aluyezaa nae au ht wafanyakazi wenzao...licha ya mawasiliano kuwa magumu ila miaka 40 ni mingi mno kutokujua kabisa habari za mwanao. Mtoto sehemu kubwa ni mama, hakuwahi ht kupata mshtuko kuwa kizazi changu hakiwezi kupotea, angetafuta ht bdugy au jirani ili apate kumuona na kujua kuwa mama yeye yupo. Ni huzuni kubwa sana hii...wajukuu utawauma mno wakikua na kujua. Ni ngumu kuunganisha udugu. Mungu tusaidie na utusamehe.

    • @magrethpastory4311
      @magrethpastory4311 ปีที่แล้ว

      Mungu ashindwi yeye ni muweza wa yote.Hongera kwa ulilofanya kumtafuta mama ,hakuna kama mama

  • @halimamohammed7863
    @halimamohammed7863 ปีที่แล้ว +15

    Mama mwenywe mbna hana raha na mtto wke 🙄🤔

  • @gretagonga2966
    @gretagonga2966 ปีที่แล้ว +25

    Jamani I know this lady, alikua jirani yangu.
    She is just a sweet soul.
    She has a strong faith jamani.
    Mama B nimefurahi kukuona tena sweetheart ❤️

    • @zahrababygarl1568
      @zahrababygarl1568 ปีที่แล้ว

      Anakaa dar sehemu gani

    • @dianamsuya4854
      @dianamsuya4854 ปีที่แล้ว

      I know her too ...ni m2livu na mchamungu mno dadaangu

  • @basilisamsaka8469
    @basilisamsaka8469 ปีที่แล้ว +1

    Siqezi kuachia mtu mtoto wangu hata km niko na Hali gani we!

  • @blandinamwarabu5025
    @blandinamwarabu5025 ปีที่แล้ว +3

    Mama mbona amkumbatii mtoto jamani huyu mama
    Amesema neno moja eti nilimwacha mtoto akae na baba yake kwa kuwa nina wengine. Lo hatausifanye juhudi ya kujua yuko wapi.

  • @saidasimba9979
    @saidasimba9979 ปีที่แล้ว +5

    Ila uwezo wa kila mtu kumtafuta mwezie ilikua inawezekana kabisa sema hawakutaka

  • @ifadatalizam8607
    @ifadatalizam8607 ปีที่แล้ว +9

    Huyo mama wala haoneshi furaha kakalia kiroho mbaya

    • @mwajumahamisi2006
      @mwajumahamisi2006 ปีที่แล้ว

      Kabisa

    • @salmamlokela1987
      @salmamlokela1987 ปีที่แล้ว

      Mimi nahis kama moyo wake umekufa ganzi sijui amini amin

    • @aminakasim1198
      @aminakasim1198 ปีที่แล้ว

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Astaghafirullah

    • @sifaupindo
      @sifaupindo ปีที่แล้ว

      Kakika, pia atakua Hana mapenzi nae sababu hajamzoea, na mazoea pia yanaongeza upendo

  • @Hillary_Daudi_Mrema
    @Hillary_Daudi_Mrema ปีที่แล้ว +23

    Vitu kama hivi vikitokea huwa vina Ishara nyingi mfano inawezekana Mama ameishi kwa majonzi na amekuwa akimuomba Mungu kabla hajaondoka Duniani akutane tena na Binti yake. Huyu Binti afanye Ibada ya Shukrani pia afanye mpango yeye na Mama yake waende Tabora kumuona Baba yake ili Wazazi hawa waombane Msamaha. Tanzania Imara Kazi Iendelee 🇹🇿🇹🇿

    • @husseinally5550
      @husseinally5550 ปีที่แล้ว

      Kweli kabisa

    • @kadokemarco9966
      @kadokemarco9966 ปีที่แล้ว

      Ni kweli kabisa

    • @mengikiguruwe6750
      @mengikiguruwe6750 ปีที่แล้ว

      Inawekana pia huyu binti alitaka kuonana na mama ili amuoneshe wajukuu na mkwe wake kabla hajatwaliwa; suala la kwenda Tabora si muhimu kwa sasa kwani mzee ana maisha mengine

    • @mercygibson1379
      @mercygibson1379 ปีที่แล้ว

      Glory to Almighty Living God. Amen

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu1403 ปีที่แล้ว +2

    Mama Amejaa Asira Sijajua Kama Anajisikia Vibaya Kwa Kukaa Mbali Na Mtoto Bila Kumsaka Au Bado Yuko Na Asira Wenda Kati Yake Na Mmewe Awakua Na Mawasiliano Mazuli Sasa Bado Amejawa Asira

  • @roseodipo9868
    @roseodipo9868 ปีที่แล้ว +2

    Mmh mama mbona bado ana hasira na ba mtoto sijui nisemeje?kama hana furah kivile🤷🏻‍♀️

  • @lovegodwine7868
    @lovegodwine7868 ปีที่แล้ว +3

    Mama ana roho ngumu , sijui ni hasira daaah🥲🥲

  • @uwinezajohara8362
    @uwinezajohara8362 ปีที่แล้ว +8

    Maman ni maman tu hakukulea ila unatamani umuone .upendo wa mama na mwana ni wakipeke

  • @mkanjimamkanjimamkanjima2043
    @mkanjimamkanjimamkanjima2043 ปีที่แล้ว +4

    Wapo wameru furani wakiona hii vedeo cjuwi wanajiskiaje kwa kweli maana hao wameru ninao wataja watupa mtoto wa miezi 6 kwa baba mpaka sasa huyo mtoto yupo zaidi ya miaka 23 na hawana hata muda wa kutaka kujuwa yupo au la 😊

  • @dorahmushi-we6ts
    @dorahmushi-we6ts ปีที่แล้ว

    Mimi sijaelewa!! Mama miaka yote jamani usimtafute mwanao?!!!!
    Na njia za kumpata zilikua sio ngumu kabisaaa

  • @minamina8024
    @minamina8024 ปีที่แล้ว +5

    Ila uyu mama kauzu sana

  • @MwanaishaShattry
    @MwanaishaShattry 11 หลายเดือนก่อน

    Mama wewe unakosa. Hata kama umemwachia mtoto Baba yake, hukuweza kumtafuta wakati wewe ndiye uliyekwenda labour ukapasuka kumtoa mtoto, umemnyonyesha na kulea utotoni kama ulikuwa na mapemzi na mwanao ulikuwa umtafute tangu utoto wake hadi sasa. Hukua na mapemzi na mtoto. Lakini mtoto ulifanya wajibu wake pia kumtafuta mama yake. Ukiachwa achwa wewe tu jamani usiachwe na mtoto hana kosa.

  • @hildahtemu
    @hildahtemu ปีที่แล้ว

    Hello Clouds naomba muanzishe na ya kukutana na baba japo ni ngumu lakin tutawashukulu❤

  • @tumainiezekia5873
    @tumainiezekia5873 ปีที่แล้ว

    Mapito wanayo pitia akinamam weng nimagum simlaumu huyu mam kupotezan huwez jua ilikuwaje

  • @mamylnkuzi8482
    @mamylnkuzi8482 ปีที่แล้ว

    HAKIKA MUNGU NI MKUU.TUWAOMBEE WANANDOA WASITANGANE WALEE FAMILIA ZAOO

  • @charlesmugisha6529
    @charlesmugisha6529 ปีที่แล้ว +5

    Maskini🙏🙏🙏 hongera Sana kwa kumpata mama ako mzazi kweli una fraha kubwa moyoni.

  • @dominamsonge3088
    @dominamsonge3088 ปีที่แล้ว +14

    Huyu mama anaonekana hasira ya mwenza wake aliihamishia kwa mtoto maana kama vile bado anahadira jamani. Mungu atusaidie wamama

    • @justinalyimo7966
      @justinalyimo7966 ปีที่แล้ว

      Kahsmishiaje Sasa wakat baba alitaka mwanae

    • @sebastianmwantuge5597
      @sebastianmwantuge5597 ปีที่แล้ว +4

      Una psychology kali sana,hata mimi nimegundua hilo

    • @itanzaniaAS
      @itanzaniaAS ปีที่แล้ว +2

      Yani pia naona HUYU mama hajafurahi

    • @memoryngambi7570
      @memoryngambi7570 ปีที่แล้ว +1

      Unamaanisha yupo kama bibi Ester yaani wa kwenye CD ya teke la mama,umenifurahusha ndugu yangu.

    • @itanzaniaAS
      @itanzaniaAS ปีที่แล้ว

      @@memoryngambi7570 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @lilianjoseh
    @lilianjoseh ปีที่แล้ว

    Mbona huyo mama hakutia juhudi za kumtafuta mtoto surely.

  • @marselinarweyemamu4034
    @marselinarweyemamu4034 ปีที่แล้ว +28

    Kwa mtazamo mama haukuwa na mapenzi ya mwanao.kiukweli haiwezekan we miaka yote usimtafute mtoto

    • @rahmaidd1246
      @rahmaidd1246 ปีที่แล้ว +1

      unajuaje wewe

    • @sifasanga7866
      @sifasanga7866 ปีที่แล้ว +1

      Mimi ukweli nimeingia leba siwezi kuacha mtoto wangu Mdogo bila kumfuatilia

    • @lifeinmiddleeast8179
      @lifeinmiddleeast8179 ปีที่แล้ว +2

      Sahihi angalia hata uongeaji wake amerilux Sana

    • @ChristianDondo
      @ChristianDondo ปีที่แล้ว +3

      Kumbukeni mawasiliano ya miaka 40 iliyopita yalivokuwa, mtu akihama mkoa asiporudi yeye alipokuacha na ww ukawepo ngumu kuonana

    • @hamedhabsi2752
      @hamedhabsi2752 ปีที่แล้ว

      Kwa mtazamo wangu Mimi Mtoto ndie atafutae wazazi wake. Yeye kafika Hadi umri huo wa karibu miaka 43 kutoka na stori iliyozungumza happy kua wametengana wakati akiwa na umri wa miaka miwili. Kea Nini hajamuuliza babake kuhusu Mamake?

  • @floraflora5717
    @floraflora5717 6 หลายเดือนก่อน

    Inavyo onekana uyu mama sio poa kwake ajapenda afu anasema anaelekea kuwa mubibi wakati kishazeeka unamuachachia mwanaume mtoto wako eti yupo mikono salama duh dada pole sana pia onger

  • @TatuTatu-f1v
    @TatuTatu-f1v ปีที่แล้ว

    Huna adabu nilifikiriya umetekwa kumbe unakwenda na zako miaka yote

  • @ashurakodd1589
    @ashurakodd1589 ปีที่แล้ว

    Sasa mlitaka apige mayowe ya kinafki ama anaonekana huo ukimya alishaathirika kisaikolg kama unamwelewa mimi nimemwelewa kwa sababu nimeyapitia kama sio Mungu da! Ilikuwa ni hatar ya wangu kunisahau kwa ajili ya mjinga mmoja

  • @sabrinamchipu7657
    @sabrinamchipu7657 ปีที่แล้ว

    Ila bibi mmh mbona kama hajaelewa vizuri kweli mtoto wako humuoni kipindi chote icho mpaka amekutafuta mwenyewe mama apo ukosea sana wewe mama ndo ulitakiwa kujua mwao yuko wapi na mwanao anaishi vipi ata kama baba alikua na uwezo na nanimlezi pia lakini si kwakumuacha mwanao iyvo

  • @jamilajamal1584
    @jamilajamal1584 ปีที่แล้ว +40

    Huyu mama mmmmh roho ngumu 🥲dada ww ni kupe hongera sana👏🏽👏🏽👏🏽

    • @lifeinmiddleeast8179
      @lifeinmiddleeast8179 ปีที่แล้ว +1

      😂😂 kabisa mama roho ngum mi hata nigombane Vipi na Mzee siwez Acha watt wangu isitoshe Baba angle ni Baba mzuri mdada anahekima

    • @zurrychannel235
      @zurrychannel235 ปีที่แล้ว +1

      Nilijua mimi tu ndio nimeliona ilo😃😃🤔

    • @darajalakidatukilomgi2362
      @darajalakidatukilomgi2362 ปีที่แล้ว +1

      Usiwe mwepesi kulaumu mpaka ukiona Mama kamuachia mtoto Baba mengi yalihusika

    • @maajabumaridadi8756
      @maajabumaridadi8756 ปีที่แล้ว +2

      Ana roho ngumu sana yn sijui anachinja ng'ombe. Ila huyu dada anamjua sana Mungu ndy maana ana furaha na amani yn kasahau yote.

    • @aminamakobola7386
      @aminamakobola7386 ปีที่แล้ว

      Hongera Sana angel

  • @angle3600
    @angle3600 3 หลายเดือนก่อน

    Maombi yananguvu,na anajibu na wakati wake,mimi ninaushuda wa maombi

  • @rehemangowi-zk6qu
    @rehemangowi-zk6qu ปีที่แล้ว +2

    Jamani huyu mama mbn anashangaza mbn haonyeshi kumfurahiyi mwanae ,majibu ya mkato ,,kama haikuwa muhimu mtoto kumtafuta khaaaa😂😂😂😂😢

    • @salummbunga4167
      @salummbunga4167 ปีที่แล้ว +1

      Alilia Sana siku ya sherehe so hii sio mara ya kwanza

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu1403 ปีที่แล้ว +1

    Mama Na Mtoto Wote Watata Miaka41 Eti Usisake Mama Mzazi Kweli Jamani Du Wote Wakosefu C Mama Wala Mtoto Wote Wakosefu

    • @sifatiiman
      @sifatiiman ปีที่แล้ว

      mama ndio alitakiwa kumtafuta mtoto mtoto toka anamiaka 2 unaakili wewe?

  • @muta-news2786
    @muta-news2786 ปีที่แล้ว +28

    Ndugu zangu wapendwa,hizi story za kuachwa na mama kwa baba ukiwa mtoto mdogo zisikie kwa jiran isikupate eiseee. Mimi mwenyewe niliachwa nikiwa na miaka minne ila naisi mpaka Leo hii maumivu ayajawahi kuisha rohoni.
    Nimefurahi wamekutana ila lazima ukweli tuseme,wanawake wengi uwa wanaogopa kuogopa na watoto wa mwisho au wadogo Sana kuogopa usumbufu wa maisha.maana mtoto wa miaka 2 uwezi kumuacha kwa baba yake na kuondoka na watoto wakubwa iyo Nini Sasa.
    Of course mm siwez kudanganya hii kitu uwa inanisumbua akili Sana mpaka naisi ivi au nilikuwa sipendwi na mzazi wangu au tatizo ilikuwa Nini mpaka akaniacha na kuondoka na watoto wakubwa na kuniacha mm mdogo kiasi kile.
    But anyway tupendane tu na maisha yaendelee ndugu zangu.
    Ila tujifunze kitu wazazi tunawaumiza watoto kuwatupa wakiwa wadogo kiasi kile.but kitu Cha kumshukur mungu imenifundisha kuheshimu mke wangu na kuwapenda watoto wangu sitaman ata second kuishi mbali nao au mama yao kunitelekezea watoto km ulivyo kuwa kwangu.
    Kuna mda inanipa moyo wa uvumilivu Sana kwenye familia yangu.Nimeipenda hii story japo imeniumiza maana nimekumbuka mbali Sana.naisi tuna la kujifunza kwenye Aya maisha.

    • @sagboison6297
      @sagboison6297 ปีที่แล้ว +2

      Pole sana

    • @ramadhanideu6444
      @ramadhanideu6444 ปีที่แล้ว +1

      Pole bro mwenyez mungu mtukufu awajaalie mema ww na familia yko

    • @ebonybhoke5321
      @ebonybhoke5321 ปีที่แล้ว +2

      Pole sana kaka,Hongera Mungu amekuwa familia yako

    • @pudensianamhasi5364
      @pudensianamhasi5364 ปีที่แล้ว

      Pole sana,pole mnoo,samehe tu

    • @farhatomar78
      @farhatomar78 ปีที่แล้ว

      Pole kaka Mungu ndo mpangaj wa yote

  • @SelemanMuhamed-ir5zl
    @SelemanMuhamed-ir5zl ปีที่แล้ว

    MUNGU NI MWEMA SANA. KILA KITU KINA WAKATI WAKE JAMANI. MAMA YANGU NAYE HIVYOHIVYO ALIACHWA NA MAMA YAKE AKIWA NA MIAKA 3 NA AKUFANIKIWA KUKUTANA NA MAMA YAKE . LAKINI KATIKA KUMUOMBA MUNGU NA KUMTAFUTA. 2022 AMEFANIKIWA KUMPATA MAMA YAKE AKIWA AMEZEEKA HUKO KIJIJINI MOSHI.

  • @neemaloy889
    @neemaloy889 ปีที่แล้ว +5

    Maombi Yana nguvu Sana Dada hongera kwa kumtanguliza MUNGU

  • @NextoHunter-rm3cs
    @NextoHunter-rm3cs ปีที่แล้ว +19

    Dada unaimani kubw sana na mungu

  • @katalayshemndolwa3146
    @katalayshemndolwa3146 ปีที่แล้ว

    Sasaivi magamba ni chuo cha sheria kinaitwa sekuko

  • @Ibrahimkipala
    @Ibrahimkipala 3 หลายเดือนก่อน

    Namtafuta baba yangu nataka namba ya hawa.wanae.kutanisha.na wazazi wetu

  • @edsonnelson4464
    @edsonnelson4464 ปีที่แล้ว +30

    Mbona kama mama hajafurahi kama ambavyo tulitegemea au anaumwa?

    • @marie-laurene.
      @marie-laurene. ปีที่แล้ว

      Mama zetu wana hekima nyingi, na mamaangu ni ivo tu , huwezi juwa anafuraha ao apana.😊😊😊

    • @gracemadondola7331
      @gracemadondola7331 ปีที่แล้ว +3

      Miaka 41; ming sana mma anaona kawaida tu

    • @annehk8185
      @annehk8185 ปีที่แล้ว +4

      @@marie-laurene. kwa hiyo hiyo ndiyo hekima jamani😂😂yaani mama haonyeshi upendo roho ngumu hivyo unasema hekima??basi Mungu awaponye mama zetu na sisi wamama wadogo

    • @dayana5513story
      @dayana5513story ปีที่แล้ว

      Aunty yang pia kapotea kirudi tz lazima nimutafute

    • @lwxgle002
      @lwxgle002 ปีที่แล้ว

      Sidhani kama hajafurahi...Itakuwa Mixed Feelings...huzuni siku aliyoondoka...furaha siku waliyokutana...au labda bado anaprocess...

  • @mariambaruti9748
    @mariambaruti9748 ปีที่แล้ว

    Huyu mama Wala alikuwa Hana habari na mtoto miaka arobaini anaroho mbaya ni kabila la wapare wasangi, kwanza anasura ya kichawi pumbavu sanaaa

  • @aloycemwakatala2796
    @aloycemwakatala2796 ปีที่แล้ว

    Hakuna upendo hapo ndiyo maana kila mmoja hana furaha sana na mwenzake.

  • @sarahgaula2220
    @sarahgaula2220 ปีที่แล้ว +5

    Ila huyu mama mmmmh 41 yrs

  • @ashurakodd1589
    @ashurakodd1589 ปีที่แล้ว

    Mnaongea tu kwa vile hayajawakuta

  • @samwa9496
    @samwa9496 ปีที่แล้ว

    WANYIRAMBA WENGI OVYO KABISA

  • @mariamgodfrey53
    @mariamgodfrey53 ปีที่แล้ว +1

    Ila huyu mama kiboko kabisa.

  • @evankya1955
    @evankya1955 ปีที่แล้ว +1

    kuacha mtoto wangu na kufunga milango ya kumuona tena for 40yrs jamani hiyo ni roho ya namna gani? i feel for Angel

  • @brytonypeter5348
    @brytonypeter5348 ปีที่แล้ว +1

    Mm nilitelekezwa na baba yangu nikiwa na miez mpaka Sasa Nina miaka 25 nimefanya jitihada za kumtafuta mitandao mpaka nikampata ila kiuhalisia waalimu Wana tabia ya kukimbia watoto alihama kikaz akahama mazima

  • @GetrudeRashid-be8bs
    @GetrudeRashid-be8bs 3 หลายเดือนก่อน

    Napenda kuwapongeza walezi wahuyu dd,,mmemlea vzr sn,,anamjua Mungu,, waooooooo hongeren walezi wote,pokeen maua yen🎉🎉🎉,,mama yak mh

  • @AbisinaRashidi-wg5jt
    @AbisinaRashidi-wg5jt 3 หลายเดือนก่อน

    Uyo mama Hana Raha jamani du sijawai ona hacheki

  • @delfinamosha2861
    @delfinamosha2861 ปีที่แล้ว

    Wanawake wa kipare wana roho ngumu sana

  • @aronmtui597
    @aronmtui597 ปีที่แล้ว +5

    Na kwanini baba alikuwa hakupeleki kwa mama

  • @blandinamwarabu5025
    @blandinamwarabu5025 ปีที่แล้ว +1

    Wewe mama mbona hukufanya juhudi ya kumtafuta mwanao

  • @marymanoni5536
    @marymanoni5536 ปีที่แล้ว

    Mmefanana SEMA ww wamjini

  • @baghabaghaingwengwe1750
    @baghabaghaingwengwe1750 ปีที่แล้ว +1

    Ni kweli wanacho kifanya clous Fm ni huduma ya Mungu

  • @yasmine937-so4mi
    @yasmine937-so4mi ปีที่แล้ว +13

    Kuna wamama wanaroho mbaya miaka 40 hujui mwanao anaishi vipi looo huyu mama anaonekana anaroho ngumu kweli ata ongea yake kwanza anaona aibu looh😂😂😂
    Ahsante mama angu kwakutukuza watto zako nitakupe daima❤❤❤

    • @matridamwalyoyo1735
      @matridamwalyoyo1735 ปีที่แล้ว +1

      Yani huyu mama Hana hata aibu

    • @michaelchristopher2452
      @michaelchristopher2452 ปีที่แล้ว +1

      Bi mkubwa samahani lkn wew ni mtu mbad sana

    • @narlt229
      @narlt229 ปีที่แล้ว

      ​@@michaelchristopher2452 😂😂

    • @maajabumaridadi8756
      @maajabumaridadi8756 ปีที่แล้ว +1

      Huyu mama ana roho ngumu kwa sababu angekuwa na nia ya kumtafuta mwanae angeweza kwan mzazi mwenzie alikuwa ni mtumishi wa serikali ni rahisi sana. Na baba wa huyu Angel ni mtu mzuri inaelekea maana angekuwa nunda angemwambia labda mama ake alikufa siku nyingi lakini hajamficha kitu. Huyu baba akapewa maua yake.

  • @hidayaswai3119
    @hidayaswai3119 ปีที่แล้ว +2

    Yesu nilijua movie. Big up sweet heart kumpata mama.

  • @esterkiyabo1329
    @esterkiyabo1329 ปีที่แล้ว +2

    Mmmhh! Wewe mama! Muda wooote miaka 40?

  • @mrsmumewangu4907
    @mrsmumewangu4907 ปีที่แล้ว +1

    Nilichogundua mama Amna hapa eti nilijua yupo kwa baba yk atakua salama mzima kweli ww mqwanao hata umuache kwa bilionea kumtafuta muhi dah we dada unamoyo Sana Kama mm mwenye roho ya kinyama sizani Kama ningekutafuta thubutuuuuui

  • @nasseralhabsi1483
    @nasseralhabsi1483 ปีที่แล้ว +7

    Kwa kweli wanafanana hasa. Huyu kweli ni mama yake.

    • @RehemabakariAbdalah
      @RehemabakariAbdalah ปีที่แล้ว

      Huyu mama ana roho ngumu mtoto wako wa miaka miwili unmuacha baba kweli umesema ilimuacha huyu ikaondoka wengine kwanini usiwaache hao wakubwa ikaondoka mauti mdogo?wewe mama noma

  • @lydiahbhoke2284
    @lydiahbhoke2284 ปีที่แล้ว +2

    Najifunza kuendelea kuwapenda wanangu sana sana Mimi ni wa maana sana kwao

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 ปีที่แล้ว +28

    MUNGU WA MAMBO YASIO WEZEKENA 🙏🏿AMEN AMEN MAMA HUYU ❣️

  • @ngowibeatrice1701
    @ngowibeatrice1701 ปีที่แล้ว +4

    Katika hii dunia mama ni kila kitu

  • @shamzone388
    @shamzone388 ปีที่แล้ว +2

    Hakuna kama mama kwa kweli
    Hongera dear

  • @abdulkaleemmbarak6670
    @abdulkaleemmbarak6670 4 หลายเดือนก่อน

    Tenda wema wende zako. Mama ametoa pongezi Kwa binti yake na clouds TV akamuacha mzazi mwenzake alie kuza.Baba nakupa hongera Kwa kukuza binti yako jazza yako iko Kwa mungu.

  • @lovenessfrancis5547
    @lovenessfrancis5547 ปีที่แล้ว

    Dah!mama komando professional ps but matendo commando jmn miaka 2-40 hujui Hali ya mwanao dah!! hongera dada nimekupenda bure

  • @nururaymond5
    @nururaymond5 ปีที่แล้ว +10

    Hawajafanana hataaaaa!!!!Ila binti ana Mungu ndani yake Walezi wake pongezi kwenu

  • @NaomiMshana-lj4tc
    @NaomiMshana-lj4tc 3 หลายเดือนก่อน

    Barikiwa sana dada enjo

  • @Aiuoex
    @Aiuoex ปีที่แล้ว

    Myaka 41 ans !!! Non et Non Mmmmmm apana apana

  • @fathatsaid367
    @fathatsaid367 ปีที่แล้ว +2

    Mtt anahaja na mama ila mama sielewi duu Allah atutie imani

  • @NehemiaKimaro-bf5lx
    @NehemiaKimaro-bf5lx ปีที่แล้ว

    NANI KAMA MAMA

  • @frankbella4271
    @frankbella4271 ปีที่แล้ว +1

    Mungu wa mbinguni hashindwi

  • @halimaabdul4805
    @halimaabdul4805 ปีที่แล้ว +3

    huyu mama noma duu

  • @salminasalim5630
    @salminasalim5630 ปีที่แล้ว +5

    Pole kwa kutopata mapenzi ya mama udogoni na hongera kumpata mama yako ukubwani ingalau uweze kuonja mapenzi yake MMUNGU awalinde and continue to cement your relationship

    • @auntdorah9141
      @auntdorah9141 ปีที่แล้ว +3

      Nikwambie kitu ndugu, sio wamama wote wenye mapenzi kwa watoto wao, kuna mtoto analelewa na mama mzazi lkn mitihani anayopitia! Na kuna mtoto analelewa na mama wa kambo ukiambiwa sio mama yake huta amini! Tunategemeana na moyo wa mtu.
      Japo mama ni mama

    • @auntdorah9141
      @auntdorah9141 ปีที่แล้ว +1

      Nikwambie kitu ndugu, sio wamama wote wenye mapenzi kwa watoto wao, kuna mtoto analelewa na mama mzazi lkn mitihani anayopitia! Na kuna mtoto analelewa na mama wa kambo ukiambiwa sio mama yake huta amini! Tunategemeana na moyo wa mtu.
      Japo mama ni mama

    • @lifeinmiddleeast8179
      @lifeinmiddleeast8179 ปีที่แล้ว

      😢😢mi nilikaa 7yrs bila mama na alivyorudi hakukaa akafa

  • @IrakozeJuliette-so1iu
    @IrakozeJuliette-so1iu ปีที่แล้ว +1

    MUNGU mukubwa

  • @aloycebabene6239
    @aloycebabene6239 ปีที่แล้ว +15

    Hata anavyoongea huyu mama ana moyo mgumu sana.

    • @aishaulengesabry9672
      @aishaulengesabry9672 ปีที่แล้ว +1

      Yaani dah. Sijui Mwanamke mwenzetu anakumbuka nini jamani. Hadi umtupe mwanao miaka yote hiyo

    • @annehk8185
      @annehk8185 ปีที่แล้ว +2

      @@aishaulengesabry9672 labda anakumbuka aliyoyapitia akamtoa mtoto kwa baba maana hana furaha kwa kweli Mungu amsaidie asamehe

    • @evertheobald1811
      @evertheobald1811 ปีที่แล้ว

      Huyu mama mzazi ni changamoto

  • @salamasefu5494
    @salamasefu5494 ปีที่แล้ว +3

    Mama muda wote hukumtafuta mtto wko jamani.

    • @samwa9496
      @samwa9496 ปีที่แล้ว

      Angemtafuta wapi naye hakujua njia ya kumpata,

  • @Aiuoex
    @Aiuoex ปีที่แล้ว

    Uyu Maman siyo Maman muzuli ila dada Yangu Maman ni Maman tu njo Mungu amekupa ila kwa bingine Mmmmmmm ana roho ya Jiwe njo wa kwanza nasikia hana upendo wa mutoto !! Myaka kama iyo yote!! Apana sija kubali mimi

  • @jamilajamila4572
    @jamilajamila4572 ปีที่แล้ว +15

    Uyu mama ana roho ngumu sana miaka yote iyo umekaa hujui mtoto wako yupo sehem gani du

    • @waimani5550
      @waimani5550 ปีที่แล้ว

      Nazani ndio sababu ya Mungu aliamua kumtenganisha na mtoto wake, vinginevyo binti angekuwa kama mama yake

    • @blandinamwarabu5025
      @blandinamwarabu5025 ปีที่แล้ว

      Yaani jamani

  • @lilianmsafiri5392
    @lilianmsafiri5392 ปีที่แล้ว +1

    Ongera saaana dada

  • @leokamil6284
    @leokamil6284 ปีที่แล้ว +12

    Mama samahani ila unaroho ngumu sana mtoto wa miaka miwili?

    • @MwajumaOmar-sg1ob
      @MwajumaOmar-sg1ob ปีที่แล้ว +1

      Hata mimi niliachwa namamaangu nikiwa namiaka 2 nikajakumpata nikiwa namiaka 19 yote nichangamoto zawazazi wakitibuana mmoja anasusa matokeoyaje ndohayo

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 ปีที่แล้ว

      @@MwajumaOmar-sg1ob Pole sana

    • @rahmaidd1246
      @rahmaidd1246 ปีที่แล้ว

      Ulisikiliza historia wewe

    • @MwajumaOmar-sg1ob
      @MwajumaOmar-sg1ob ปีที่แล้ว +1

      @@leokamil6284 Asante dear ila inauma yaani changamoto zawazazi anaeumia nimtoto mama aliniacha katika umri huo na hakujaaliwa kupata mtoto mwingine hukokwingine lakini hata kuwaza kua niliacha mtoto mdogo huko mtu yupo bize namaisha mengine na istoshe nikalelewa nababu mzaa baba lakini ndiovo hata nilivoenda kumtafuta ajabu hakunijua japo tumefanana kiasi flani ila kwakua hakutalajia kuniona ukizingatia kwa umri aliniacha ila mama nimama nilishagamsamehe baada yakunihadithia changamoto alizopitia kipindi yupo baba

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 ปีที่แล้ว

      @@MwajumaOmar-sg1ob Pole sana sana Mungu akujaalie katika maisha yako

  • @ngowibeatrice1701
    @ngowibeatrice1701 ปีที่แล้ว +1

    Machozi yamenitoka

  • @EdithaMosha
    @EdithaMosha 3 หลายเดือนก่อน

    Mama roho ngumu amegawa mtoto na kumsahau kabisa miaka yote inaima Dada Imani yako kwa Mungu ni kubwa ubarikiwe kabisa mm hana mapenzi na mtoto kabisa

  • @Mommy4147
    @Mommy4147 ปีที่แล้ว

    Mungu yumwema jmn tumregeshee sifa na utukufu 😭😭😭🙏🙏🙏

  • @rerisamba
    @rerisamba ปีที่แล้ว +1

    Saa nzingine watu wanakua na siri utapata hakusema kama aliwachanga mtoto mahali

  • @nurdinmfamau3493
    @nurdinmfamau3493 ปีที่แล้ว

    Vipo Vitu Vingi Vya Kujifunza Ikiwemo Wazazi Kutowashirikisha Watoto Juu Yamatatizo Namagomvi Yenu Yoyote. Kwasababu Mtoto Hana Mama Mwingine Namtoto Hana Baba Mwingine

  • @Neema935
    @Neema935 6 หลายเดือนก่อน

    Huyu mama , moyoni mwake, hamna furaha, sijuwi anakumbuka alicho fanyiwa na mwenza wake. Hongera sana dada.

  • @mamachris6811
    @mamachris6811 ปีที่แล้ว +1

    Dada anajua kujieleza,( anatiririka kama Mtangazaji)
    Conguraturations 🎉

    • @sifatiiman
      @sifatiiman ปีที่แล้ว +2

      yuko vizuri kama mimi tu

  • @marthajohn9120
    @marthajohn9120 ปีที่แล้ว +3

    Hongera sana my dear kwa kuwa na imani kubwa sana

  • @sifamugwaneza8774
    @sifamugwaneza8774 ปีที่แล้ว +2

    Maskini mpaka machozi yamentoka😥 me mwenyew simjui baba yangu mpaka leo na yupo Mama yangu alikataa kumunionesha kbs😭😭

    • @sebastiankatalle2732
      @sebastiankatalle2732 ปีที่แล้ว

      Pole sana sifa.nipe namba yko tushauriane jambo

    • @memoryngambi7570
      @memoryngambi7570 ปีที่แล้ว

      Mungu mwema naamini ipo siku mutaonana usichoke kuomba.

    • @leahhassan5033
      @leahhassan5033 ปีที่แล้ว

      Anakunyima haki zako za msingi yeye kama anguzuiwa kumuona baba yakoe angejisikiaje wazazi huwa tunakosea sana muda mwingine magomvi ya wazazi hayamuhusu mtoto kiasi cha kuzuia kumuona baba yake sijui wanafanya hivyo ili kukomoa lkn kwa nini hawa wababa nao huwa hawajui kwamba kuna sehemu ana mtoto au ndio wale ukifanikiwa anajileta kuja kutumia vilivyochumwa kwa sbb baba mwenye mapenzi na watoto wake huwa haachii damu yake ipotee kizeme mimi nisingemtafuta huyo baba na wala sihitaji kumjua kwa sbb haoni umuhimu wangu mpk nianze kumtafuta ningekuwa wewe wala nisingehangaika

    • @farhatomar78
      @farhatomar78 ปีที่แล้ว

      Pole mpenz

  • @dppd4219
    @dppd4219 ปีที่แล้ว

    Ila kuna wamama wana roho ngumu hivi unawezaje kuishi bila kujua mtt wako ujui anaendeleaje hataka unauhakia analelewa mm siwezi kwakweri

  • @dicksonkilupa2258
    @dicksonkilupa2258 ปีที่แล้ว +1

    HONGERA KWA KUMPATA MAMA, USHAURI WANGU USIHOJI CHOCHOTE KWAO KWAMBA NI SABABU GANI ZILIFANYA WASIKULEE PAMOJA. MAMBO YA NDOA TUNAYAJUA SISI WENYE NAYO.

  • @maimunamsakamali9152
    @maimunamsakamali9152 ปีที่แล้ว +1

    Hongera bibi sahili Kwa kumpata mwanao

  • @mamachris6811
    @mamachris6811 ปีที่แล้ว

    Uchungu wa mwana aujuwaye ni mzazi
    Kuna Mama (wa kichagga) alienda kuiba watoto wake Zambia,waliondoka na baba yao

  • @hildahtemu
    @hildahtemu ปีที่แล้ว

    Nafrah sana mama angu yupo....mungu ahsante kwa ili ❤pia naiman baba yangu nawe utakuepo na wish nikuone ...mimi ni mzima na wishi nawe nataman nikuone baba ata sekunde moja❤....daaah sijui ntampata wapi mana najina moja tu nalolijua....Temu❤