NILIENDA ZANZIBAR KUSAKA MZUNGU | NILIJIFANYA YATIMA | WAZUNGU WATAKUTUMIA WAKUACHIE UKIMWI
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 23 ก.ค. 2023
- Ameeleza namna ambavyo kuoa mzungu ilikua ni ndoto yake na namna alivyoipambania na kufanikisha.
Alijifanya mtoto yatima ili tu apate nafasi ya kua na wazungu.
Alifunga safari mpaka Zanzibar kusaka mzungu na mwisho ndoto yake ilizaa matunda.
Thank you Patric Wache for allowing this to be online
Ni vizuri sana kuweka mipaka katika maisha. Tena ni muhimu. Je unakaa sehemu gani. Usiniambie unakaa rubulana. Sababu sipapendi mimi napenda vijijini.
Uyu kijana ni comedy nimecheka sana ameniongezea siku😀😀😀
😁😁🥰
anachekesha pia naona kwenye account yake ya insta yeye na mzungu wake
Ebwana nzuri sana dada yetu Asante kwa kazi nzuri...
Hallo, kujana wangu nimefurahi sana kusikia uko Slovenia. Mimi nimeshawahi kutembelea huko mara nyingi sanaa. Na napenda sanaa wine yao, na masoseji. Huwa nafikia hapo Maribo. Kunafamilia hapo . Nimeshaenda kule baharini PIRANI, POTOROZIE. NA I AZALIKA. YAANI WEWE UNAKAA NCHI NZURI JAPO NI MBALI SANA.
Huyu kijana n honesty and absolute ameeleweka 🤣🤣🤣huyu nia comedian
Yani yuko amazing
@@OfficialDatingAssistancenitakutafuta niko 🇺🇸
Hongera sana kaka kwa kufunguka ,wewe kiboko 😂😂😂 nimependa kuna sehemu umesema "sikuwa muaminifu, NIKAACHIKA" Hili neno wengi wanasema mwanamke tu, wakati hii inahusu wote tu.
He is amazing 🥰😁
Nimefurahi sana ,God bless you broo
🙏🙏
Patrick uko vzr na very focused, hongera
Yani broo umeongeya kweli tu wazanzibar tuko ivooo❤❤❤
Uko vzr kaka mungu awatangulie katika ndoa yenu
Safi sana mwamba pambana Jenga heshima ya TZ
Hizo sheria za zanj Uwe na cheti cha ndoa Hao ni wabaguzi wao ndo wanzinzi no 1. Hiyo znj niya kitalii nawatalii wanapenda kuona culture.
Umejenga tanga kaka umeupiga mwingiiiiii❤❤❤❤❤❤❤❤ yaani una akiri saaaana
Hongera Kaka waslovenia ni wanawake wasafi watunza nyumba na wenye wivu kupindukia
habibt shena nimependa sana hii storry kijana mdogo lakili katulia akili yake mungu ambarik
Shena your interviews are very interesting loving your channel❤❤❤
Nimependa full interview inafundisha sana maisha,pia source wako anajieleza vizuri sana.
Hongera msambaa mwenzangu
Dada uko vizur Sana kweny interview
Hongera Sana ndugu Yangu Msambaa mwenzetu
Kaka Patrick hongera sana nimekuelewa
Yani katoa bonge la darasa
Asante sana nimefurahi sana naming nipo Paje nimefurahi asna
🥰🥰
Namimi ni je huko
Mimi pia
Nilikuwa nasikia Wazungu wanakuja Afrika kutafuta wanaume kumbe kweli...kumbe pia kuna watu Afrika nao wanaenda sehemu kusaka Wazungu..,tunajifunza na hii mitandao ya kijamii...kila la kheri
Woooowww nimependa interview ya kaka...congratulations ❤
He is amazing
Nimefaidika sana shukran kakangu
Yaaani nimecheka sana story nzuri sana , kaka yangu wakitanga umefunguka haswaa.
Beautiful story haki imenigusa❤love from 🇰🇪🇰🇪
Shukran 🙏
@@OfficialDatingAssistance q
@@OfficialDatingAssistance.....Reka huyu😂
Nimekusikiliza sana ila nimeona ww hapo upo kimaslai Zaid maana ww hapo ulimtafuta mzungu unataka utajilike ondoa hiyo
@@OfficialDatingAssistancedada naomba mawasiliano ya huyu Patrick kama akiridhia, nataka kwenda kufanya kazi huko Ulaya au America
hongera kaka kwa kusema ukweli
Malengo ni zaidi ya utumwa tuishi HUMO
Nimependa sana Patrick alichosema amefunguka real, niongee kitu kwa vijana mzungu nilazima akuone mara kwa mara
Interviews kaliii sana🔥🔥🔥🔥
Uko vzur Patrick ww ni mpambanaji proud zanzibar and Tanzanians as well
Safi sana Kaka maisha yapo hivyo
Ya interview 🔥🔥
Hongera sana Kaka.
honestly nimeelewa sana sana❤❤
🥰🥰
Mashalla brother
🥰
Nimependa jinsi unavyo jieleza hongera sana wewe ni shujaa 💪💪🙏
Shuja WA kusaka mzungu 😢
Kijana kafunguka kwakweli mwenye maskio na askie kaka sio mchoyo katoa mbinu zote alizotumia kupata mzungu na ushauri katoa sasa kazi kwetu wananzengo kujiongeza tu asante sana shena kwa kijana Patrick kumleta leo katupa nondo za kweli😂
Yani kaka katoa nondo na nondo
Hahaha dia nitumie ling
😅😅😅😅
Iman yavunja mlima aisee,
Real storh hixi zangu ukitaka kitu ukipigania kwa kweli
Sana
Mashallah, mtanga mwenzangu.
He is amazing
Huju jamaa namjuwa vizur sana tena sana alikuwa nungwi
❤❤hongera sana
🙏🙏
Hiyo kali ati beach ⛱️ boy kaletwa hotel hapa tushaletewa mwizi bora tuwafukuze wote
Good story teller🎉
Mimi kuishi Unguja siwezi najua nitafilisika kwa sababu kila kitu ghali. Nikiwa Tanzania naenda zangu Pemba kupumzika. Mimi nilipata mwanamke kwenye date site nimepata, nimemfuwata Indonesia na wazee wake wakanipokea na mpaka leo tupo pamoja na tuna mpango wa kwenda kuishi Pemba in sha Allah
MashaAllah
Nakukaribisha kwenye kipindi 🙏
+4367764790884
@@OfficialDatingAssistance ahsante sana
😮@@OfficialDatingAssistance
@@OfficialDatingAssistance😮😮
Kwakweli Patrick unasema ukweli mtupu mimi nilisha mwambia mumewangu sitaki marafiki wengi wanapenda mtu anguke wamcheke
Jmn mbavu zangu mimi patrick we noma.
Hawa wazungu watatoa watu rohooo jaman mhhh mungu awasaidie wadogo zetu
Asante Sana
Nimefurahi umeongea ukweli japo wapo ambao hawatokuelewa kabisa ❤️
Hongra sana
Patrick ukija bongo unitafute mimi niko kilwa Dreams beach tunaweza kupeana mawazo ya kujenga Jamii zetu
Hakika nipenda Sana interview yako
Ni kweli kbs, watu weusi sisi furaha yetu ni kuona mwenzio anaharibikiwa,ni tabia mbaya sana, na ukiweka mipaka wanakuona unaringa
Ni bora wakuone hivyo aisee. Piga chini, watu wengi majanga bongo. Ishi kivyako
Dada asante nakufuatilia sana
🙏🙏
Hongeakk
Hongeeeaa
Mgosi kafunguka kikubwa kwenye maisha ni kuwa na malengo kila kitu kinawezekana
😂😂😂😂
kiukweli kijana ni mkweli sana kajua kupambana mungu amsaidie mtanga tanga raha
Nakubari
Naishi Marekani. Watoto wangu Baba yao anatoka Slovenia. Nimewahi kutembea mara mbili. Watoto wanaenda kwao mara nyingi tu. Baba yao amefika Kagera na kuzunguka kijijini. Slovenians wanapenda sana Africa. Wa Slovenian wana roho nzuri sana. Wanaishi Radovljica. Nikiena nitakutafuta. Baba yao ndo amerudi Marekani. Nitakutafuta.
Karibu sana kwenye kipindi pia utupatie elimu ya Slovenia na Marekani +4367764790884
Kaka kafunguka vizuri kabisa
Mnooo
Patrick mungu skufungulie milango
Kwahiyo Zanzibar ukiwa na binti wa kizungu bakora ila mzungu akienda na binti wa kiafrica hakuna shida. Hatari sana. sema kwenye kusuka na kuvaa mahereni kwa mtoto wa kiume naunga mkono hoja hata vitabu vitakatifu vinazuia
Hello, namuomba Patric anitafutie wanunu wa Mkonge mm niko Tanga
Kaka una Vision nene bado ndoa changa na Mungu anaona moyo wako na una hekima sana. Siku za mwanadamu hazifanani mtajaliwa mali na watoto wa kutosha. Point noted Africa tuna roho za koroshoooo!!!
Ameen kwake
Patrick umenivunja mbavu umeweza kuniongezea siku sio kwa coz hiyo ya matusi😂😂
Brothers Slovenia is an opportunity ,patoo anaimbiwa nyimbo....😅😅😅 kama Tanga vile 😊
😂😂
Kweli kaka
🔥
Shina ningependa kupata mawasiliono yake mimi pia na hotel napokea watalia tunaweza kufanya jambo ambayo inatwa kilwa dreams beach resort
Kumbe kweli wanavyosemaga ukitengeneza mwili wazungu wa kike wanakupenda heeee makubwaa
😁kila siku ni kujifunza
Zamani
@@OfficialDatingAssistance hakika na Asante dada tunajufunza kweli
Si dhani kama ni sahihi kuingilia taratibu na mila za nchi husika wachie wenyeji wahoji wenye tamaduni zake
Yani huyu kaka ana chekesha jaman 😂
Na anaongea ukweli juu 😁
Mbona kama wifi kalamba upawa jamaaniii😅😅
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
👏👏👏👏👏
Habari, Mimi namuomba Patric anitafutie wanunuzi wa Mkonge Mimi nipo Tanga
❤❤❤❤❤😂😂😂🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Jamani huyu kijana kanifurahisha sana
He is super amazing
Nimefurahi kumuona Patrick namuonaga sana Tiktok😂
Kwakeli umepata Wewe Ni kijana mwenye. Akili muhimu umempenda kakupenda
Mmm😂 umenichekesha we kaka umefunguka sana😂😂
Kweli kabisa wabongo tunapenda kuona aliyefanikiwa kaanguka
Mtihani mkubwa
Hatupendani
Kaka nimekufaham sana Mimi nipo bwenuu wewe umeongea ukweli walio wengi ambao wanawazungu tamaa sana malengo hamuna mwishowasiku wanhalibikiwa wanpoachwanawake wanachanganyikiws hawataki kuniwekeza nahamimi nilikuwa namutaka kwasabu huku najiendereza nakazi yanu jipushi kwanza ndoupushiwe usisubilikupewa bolaulikuwa unajishugulisha ukijazanziba kwamalengounatusua uswemulevimwizi kama ulivyosma mwaminifu Asante nipo Zanzibar bwenuu kwamyaka 24
Mimi nipo bwenuu myaka 24
Namimi nipo bwejuu
Kiufupi patrick waache leo uneongea ukweli mno 🇬🇷🇬🇷🇬🇷🇹🇿
Huyu jamaa maelezo yake siyaelewagi,kwenye mahojiano mengine anasema kaishia la Saba na anasema alikutana na demu wake Zanzibar kwenye biashara za utalii
Haya ndio mahojiano yake sasa ya safari nzima ya mahusiano.. 🥰🥰 katufungukia
@@OfficialDatingAssistancemm sielewagi nishafatilia akiwa anahojiwa sasa hapa anasema kingine
Kuuza culture ni utalii
Ndy
Alikuwa anauza kacha, hiyo haihitaji elimu kubwa
Watanzania wengi wakishafika ulaya wanajidai, majisifu mengi mno na hawana msaada wowote isipokua kujidai na wengine wanawasababisha watu kufungwa. Pia tuache tabia ya kuwasifia wazungu ni wabaguzi sana. Apo alipo patrick hana mdomo anakokotwa na kulelewa tu na msichana (yeye mwenyewe anapenda shortcut asiwaseme vijana wa tanzania buana na Africa kwa ujumla.
Upendo wa wazazi wako ni wa msingi sana ndio maana upo hapo ulipo
Gigolo master from Tanga
Nimecheka jamani..🤣🤣🤣
😂😂
Mungu ni wa ajabu sana unachokipenda ndicho anachokusogezea mfano ww unataka kununuwa Noah voks sasa kila unapopita njiani utakutana na noah voksi hivo yaani ndo maana uliona wazungu wanakutaka taka tu ni kitu ulichopenda
Well said
Uaminifu upo sahihi
Na mm n mtanzania pleas niunganshe jina langu naitwa yusuph samwel hapa nmetmia simu ya shangaz yangu pleas niunganshe au unipe utaratibu dada Yang ahsante
Hi dada I would like to sheer my story with you guys I am from Zanzibar and now living to Europe poland
Please contact me WhatsApp +4367764790884
😂😂😂😂😂😂daaah nimefulahishwa nahuyu bro 😅😅
Kupeana nafasi umeongea vyema.sie wenngine tunapitia hilo nimependa kipindi chako.
❤❤❤❤
naomba app ya kupata mzungu
Tinder
Mzungu ako jikoni anakuskia vizuri
Huyu Kaka anahekimasana na nimuelewa Yani nimependa haki
Kweli kaka watu wengi hawaelewi hilo
Kumbuka kuwa utamaduni c jambo la muungano
Mbona izo sheria zilikuepo wakati wa karume kaka na ilikua kunywa pombe ilikua uwe na cheti. Nashauri tujifunzeni historia za kujua chimbuko la nchi zetu za kiafrika. tusiongee tu sometimes. Europe kuna vitabu vingi vya historia ya Tanzania
Muong pat unakunbuk michezo yako uliyo kua unatufundisha kucheza ili tupate zangu tena unaenda kifuwa wazi na pensi tu Ila umetoboa ndugu YANGU hongera
❤❤❤❤❤❤❤