NILIENDA ZANZIBAR KUSAKA MZUNGU | NILIJIFANYA YATIMA | WAZUNGU WATAKUTUMIA WAKUACHIE UKIMWI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 23 ก.ค. 2023
  • Ameeleza namna ambavyo kuoa mzungu ilikua ni ndoto yake na namna alivyoipambania na kufanikisha.
    Alijifanya mtoto yatima ili tu apate nafasi ya kua na wazungu.
    Alifunga safari mpaka Zanzibar kusaka mzungu na mwisho ndoto yake ilizaa matunda.
    Thank you Patric Wache for allowing this to be online

ความคิดเห็น • 306

  • @valenakomba9218
    @valenakomba9218 8 หลายเดือนก่อน +3

    Ni vizuri sana kuweka mipaka katika maisha. Tena ni muhimu. Je unakaa sehemu gani. Usiniambie unakaa rubulana. Sababu sipapendi mimi napenda vijijini.

  • @dayana5513story
    @dayana5513story 11 หลายเดือนก่อน +9

    Uyu kijana ni comedy nimecheka sana ameniongezea siku😀😀😀

  • @edwardfaraji1133
    @edwardfaraji1133 8 หลายเดือนก่อน +1

    Ebwana nzuri sana dada yetu Asante kwa kazi nzuri...

  • @valenakomba9218
    @valenakomba9218 8 หลายเดือนก่อน +4

    Hallo, kujana wangu nimefurahi sana kusikia uko Slovenia. Mimi nimeshawahi kutembelea huko mara nyingi sanaa. Na napenda sanaa wine yao, na masoseji. Huwa nafikia hapo Maribo. Kunafamilia hapo . Nimeshaenda kule baharini PIRANI, POTOROZIE. NA I AZALIKA. YAANI WEWE UNAKAA NCHI NZURI JAPO NI MBALI SANA.

  • @Joe_kabye
    @Joe_kabye 11 หลายเดือนก่อน +10

    Huyu kijana n honesty and absolute ameeleweka 🤣🤣🤣huyu nia comedian

  • @homeandaway2811
    @homeandaway2811 11 หลายเดือนก่อน +11

    Hongera sana kaka kwa kufunguka ,wewe kiboko 😂😂😂 nimependa kuna sehemu umesema "sikuwa muaminifu, NIKAACHIKA" Hili neno wengi wanasema mwanamke tu, wakati hii inahusu wote tu.

  • @emelecianafrancis5655
    @emelecianafrancis5655 11 หลายเดือนก่อน +6

    Nimefurahi sana ,God bless you broo

  • @jonasmpita2206
    @jonasmpita2206 2 หลายเดือนก่อน +1

    Patrick uko vzr na very focused, hongera

  • @Aishamohd-tu5fj
    @Aishamohd-tu5fj 6 หลายเดือนก่อน +2

    Yani broo umeongeya kweli tu wazanzibar tuko ivooo❤❤❤

  • @Judy-dy4zt
    @Judy-dy4zt 8 หลายเดือนก่อน +1

    Uko vzr kaka mungu awatangulie katika ndoa yenu

  • @hassanmataula7063
    @hassanmataula7063 10 หลายเดือนก่อน +1

    Safi sana mwamba pambana Jenga heshima ya TZ

  • @jamlaashiri372
    @jamlaashiri372 2 หลายเดือนก่อน +1

    Hizo sheria za zanj Uwe na cheti cha ndoa Hao ni wabaguzi wao ndo wanzinzi no 1. Hiyo znj niya kitalii nawatalii wanapenda kuona culture.

  • @ilakozasembumende1975
    @ilakozasembumende1975 9 หลายเดือนก่อน +2

    Umejenga tanga kaka umeupiga mwingiiiiii❤❤❤❤❤❤❤❤ yaani una akiri saaaana

  • @saidabdillahi8107
    @saidabdillahi8107 11 หลายเดือนก่อน +1

    Hongera Kaka waslovenia ni wanawake wasafi watunza nyumba na wenye wivu kupindukia

  • @amneriyami2409
    @amneriyami2409 8 หลายเดือนก่อน +2

    habibt shena nimependa sana hii storry kijana mdogo lakili katulia akili yake mungu ambarik

  • @naturelle1097
    @naturelle1097 7 หลายเดือนก่อน +1

    Shena your interviews are very interesting loving your channel❤❤❤

  • @azizastationary6383
    @azizastationary6383 11 หลายเดือนก่อน +3

    Nimependa full interview inafundisha sana maisha,pia source wako anajieleza vizuri sana.

  • @batulimohamed6088
    @batulimohamed6088 11 หลายเดือนก่อน +2

    Hongera msambaa mwenzangu

  • @mylisheacademictv4290
    @mylisheacademictv4290 11 หลายเดือนก่อน +3

    Dada uko vizur Sana kweny interview

  • @AmnaAmna1-xs3rx
    @AmnaAmna1-xs3rx 2 หลายเดือนก่อน +1

    Hongera Sana ndugu Yangu Msambaa mwenzetu

  • @ecramarajabu7330
    @ecramarajabu7330 11 หลายเดือนก่อน +3

    Kaka Patrick hongera sana nimekuelewa

  • @judithsalvatory2892
    @judithsalvatory2892 11 หลายเดือนก่อน +7

    Asante sana nimefurahi sana naming nipo Paje nimefurahi asna

  • @asiaminja3556
    @asiaminja3556 9 หลายเดือนก่อน +8

    Nilikuwa nasikia Wazungu wanakuja Afrika kutafuta wanaume kumbe kweli...kumbe pia kuna watu Afrika nao wanaenda sehemu kusaka Wazungu..,tunajifunza na hii mitandao ya kijamii...kila la kheri

  • @typicalgamertrevor5086
    @typicalgamertrevor5086 3 หลายเดือนก่อน +1

    Woooowww nimependa interview ya kaka...congratulations ❤

  • @ayah844
    @ayah844 7 หลายเดือนก่อน

    Nimefaidika sana shukran kakangu

  • @beatricemortensen8533
    @beatricemortensen8533 11 หลายเดือนก่อน +2

    Yaaani nimecheka sana story nzuri sana , kaka yangu wakitanga umefunguka haswaa.

  • @trizereve3386
    @trizereve3386 10 หลายเดือนก่อน +6

    Beautiful story haki imenigusa❤love from 🇰🇪🇰🇪

    • @OfficialDatingAssistance
      @OfficialDatingAssistance  10 หลายเดือนก่อน

      Shukran 🙏

    • @janemugoya1316
      @janemugoya1316 9 หลายเดือนก่อน

      @@OfficialDatingAssistance q

    • @pillykinabo8722
      @pillykinabo8722 9 หลายเดือนก่อน

      ​@@OfficialDatingAssistance.....Reka huyu😂

    • @JescaMwagama-oc9yt
      @JescaMwagama-oc9yt 8 หลายเดือนก่อน

      Nimekusikiliza sana ila nimeona ww hapo upo kimaslai Zaid maana ww hapo ulimtafuta mzungu unataka utajilike ondoa hiyo

    • @silasgerrychannel225
      @silasgerrychannel225 7 หลายเดือนก่อน

      ​@@OfficialDatingAssistancedada naomba mawasiliano ya huyu Patrick kama akiridhia, nataka kwenda kufanya kazi huko Ulaya au America

  • @brijidalawrence1097
    @brijidalawrence1097 11 หลายเดือนก่อน

    hongera kaka kwa kusema ukweli

  • @hamisihassankengejr4375
    @hamisihassankengejr4375 10 หลายเดือนก่อน +1

    Malengo ni zaidi ya utumwa tuishi HUMO
    Nimependa sana Patrick alichosema amefunguka real, niongee kitu kwa vijana mzungu nilazima akuone mara kwa mara

  • @MAISHAYACROATIA
    @MAISHAYACROATIA 11 หลายเดือนก่อน +3

    Interviews kaliii sana🔥🔥🔥🔥

  • @fatimambaruku1833
    @fatimambaruku1833 11 หลายเดือนก่อน +1

    Uko vzur Patrick ww ni mpambanaji proud zanzibar and Tanzanians as well

  • @sarafinasangajenga1378
    @sarafinasangajenga1378 8 หลายเดือนก่อน +1

    Safi sana Kaka maisha yapo hivyo

  • @barakamazigo4840
    @barakamazigo4840 5 หลายเดือนก่อน +1

    Ya interview 🔥🔥

  • @geraldgeofrey1916
    @geraldgeofrey1916 10 หลายเดือนก่อน

    Hongera sana Kaka.

  • @queengee4154
    @queengee4154 11 หลายเดือนก่อน +2

    honestly nimeelewa sana sana❤❤

  • @haarithomar755
    @haarithomar755 11 หลายเดือนก่อน +2

    Mashalla brother

  • @stellaprotazibashaijaban-gq4mb
    @stellaprotazibashaijaban-gq4mb 11 หลายเดือนก่อน

    Nimependa jinsi unavyo jieleza hongera sana wewe ni shujaa 💪💪🙏

    • @Mina.15
      @Mina.15 10 หลายเดือนก่อน

      Shuja WA kusaka mzungu 😢

  • @upendowakwelinaamani1060
    @upendowakwelinaamani1060 11 หลายเดือนก่อน +12

    Kijana kafunguka kwakweli mwenye maskio na askie kaka sio mchoyo katoa mbinu zote alizotumia kupata mzungu na ushauri katoa sasa kazi kwetu wananzengo kujiongeza tu asante sana shena kwa kijana Patrick kumleta leo katupa nondo za kweli😂

  • @mwitaagness455
    @mwitaagness455 10 หลายเดือนก่อน +1

    Iman yavunja mlima aisee,

  • @dn.n4983
    @dn.n4983 11 หลายเดือนก่อน +5

    Real storh hixi zangu ukitaka kitu ukipigania kwa kweli

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 11 หลายเดือนก่อน +1

    Mashallah, mtanga mwenzangu.

  • @user-jq7dd6jo3y
    @user-jq7dd6jo3y 7 หลายเดือนก่อน

    Huju jamaa namjuwa vizur sana tena sana alikuwa nungwi

  • @talhiyaibrahim1074
    @talhiyaibrahim1074 11 หลายเดือนก่อน +3

    ❤❤hongera sana

  • @utaani1
    @utaani1 5 หลายเดือนก่อน +2

    Hiyo kali ati beach ⛱️ boy kaletwa hotel hapa tushaletewa mwizi bora tuwafukuze wote

  • @user-hi1xf3je6l
    @user-hi1xf3je6l 3 วันที่ผ่านมา

    Good story teller🎉

  • @utaani1
    @utaani1 5 หลายเดือนก่อน +2

    Mimi kuishi Unguja siwezi najua nitafilisika kwa sababu kila kitu ghali. Nikiwa Tanzania naenda zangu Pemba kupumzika. Mimi nilipata mwanamke kwenye date site nimepata, nimemfuwata Indonesia na wazee wake wakanipokea na mpaka leo tupo pamoja na tuna mpango wa kwenda kuishi Pemba in sha Allah

    • @OfficialDatingAssistance
      @OfficialDatingAssistance  5 หลายเดือนก่อน

      MashaAllah
      Nakukaribisha kwenye kipindi 🙏
      +4367764790884

    • @utaani1
      @utaani1 5 หลายเดือนก่อน

      @@OfficialDatingAssistance ahsante sana

    • @zalfazalfa7810
      @zalfazalfa7810 2 หลายเดือนก่อน

      😮​@@OfficialDatingAssistance

    • @zalfazalfa7810
      @zalfazalfa7810 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@OfficialDatingAssistance😮😮

  • @ashuramdee344
    @ashuramdee344 8 หลายเดือนก่อน +2

    Kwakweli Patrick unasema ukweli mtupu mimi nilisha mwambia mumewangu sitaki marafiki wengi wanapenda mtu anguke wamcheke

  • @verombwambo3703
    @verombwambo3703 8 หลายเดือนก่อน

    Jmn mbavu zangu mimi patrick we noma.

  • @peterkaale6977
    @peterkaale6977 8 หลายเดือนก่อน +1

    Hawa wazungu watatoa watu rohooo jaman mhhh mungu awasaidie wadogo zetu

  • @user-vm5yf8cs2r
    @user-vm5yf8cs2r 2 หลายเดือนก่อน

    Asante Sana

  • @annamussa185
    @annamussa185 10 หลายเดือนก่อน

    Nimefurahi umeongea ukweli japo wapo ambao hawatokuelewa kabisa ❤️

  • @abdulsama8428
    @abdulsama8428 6 หลายเดือนก่อน

    Hongra sana

  • @kilwadreamsbeachresort9319
    @kilwadreamsbeachresort9319 27 วันที่ผ่านมา

    Patrick ukija bongo unitafute mimi niko kilwa Dreams beach tunaweza kupeana mawazo ya kujenga Jamii zetu
    Hakika nipenda Sana interview yako

  • @annatemu4488
    @annatemu4488 7 หลายเดือนก่อน +1

    Ni kweli kbs, watu weusi sisi furaha yetu ni kuona mwenzio anaharibikiwa,ni tabia mbaya sana, na ukiweka mipaka wanakuona unaringa

    • @simonrusigwa3024
      @simonrusigwa3024 2 หลายเดือนก่อน

      Ni bora wakuone hivyo aisee. Piga chini, watu wengi majanga bongo. Ishi kivyako

  • @tecratzmwakyambomwakyambo7243
    @tecratzmwakyambomwakyambo7243 11 หลายเดือนก่อน +4

    Dada asante nakufuatilia sana

  • @user-ym6hw2ks8x
    @user-ym6hw2ks8x 4 หลายเดือนก่อน

    Hongeakk

  • @user-ym6hw2ks8x
    @user-ym6hw2ks8x 4 หลายเดือนก่อน

    Hongeeeaa

  • @Salumchiwili2023
    @Salumchiwili2023 11 หลายเดือนก่อน +4

    Mgosi kafunguka kikubwa kwenye maisha ni kuwa na malengo kila kitu kinawezekana

    • @naturelle1097
      @naturelle1097 7 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂

  • @amneriyami2409
    @amneriyami2409 8 หลายเดือนก่อน +1

    kiukweli kijana ni mkweli sana kajua kupambana mungu amsaidie mtanga tanga raha

  • @YatimawaUlaya
    @YatimawaUlaya 8 หลายเดือนก่อน

    Nakubari

  • @agnettakamugisha4984
    @agnettakamugisha4984 3 หลายเดือนก่อน

    Naishi Marekani. Watoto wangu Baba yao anatoka Slovenia. Nimewahi kutembea mara mbili. Watoto wanaenda kwao mara nyingi tu. Baba yao amefika Kagera na kuzunguka kijijini. Slovenians wanapenda sana Africa. Wa Slovenian wana roho nzuri sana. Wanaishi Radovljica. Nikiena nitakutafuta. Baba yao ndo amerudi Marekani. Nitakutafuta.

    • @OfficialDatingAssistance
      @OfficialDatingAssistance  3 หลายเดือนก่อน

      Karibu sana kwenye kipindi pia utupatie elimu ya Slovenia na Marekani +4367764790884

  • @miryamjohn4995
    @miryamjohn4995 11 หลายเดือนก่อน +2

    Kaka kafunguka vizuri kabisa

  • @ellawiik1048
    @ellawiik1048 2 หลายเดือนก่อน

    Patrick mungu skufungulie milango

  • @jonasmpita2206
    @jonasmpita2206 2 หลายเดือนก่อน

    Kwahiyo Zanzibar ukiwa na binti wa kizungu bakora ila mzungu akienda na binti wa kiafrica hakuna shida. Hatari sana. sema kwenye kusuka na kuvaa mahereni kwa mtoto wa kiume naunga mkono hoja hata vitabu vitakatifu vinazuia

  • @idrisabakar1076
    @idrisabakar1076 7 หลายเดือนก่อน

    Hello, namuomba Patric anitafutie wanunu wa Mkonge mm niko Tanga

  • @jennytugara9470
    @jennytugara9470 10 หลายเดือนก่อน +3

    Kaka una Vision nene bado ndoa changa na Mungu anaona moyo wako na una hekima sana. Siku za mwanadamu hazifanani mtajaliwa mali na watoto wa kutosha. Point noted Africa tuna roho za koroshoooo!!!

  • @neemasalema1546
    @neemasalema1546 หลายเดือนก่อน +1

    Patrick umenivunja mbavu umeweza kuniongezea siku sio kwa coz hiyo ya matusi😂😂

  • @pendoclement6672
    @pendoclement6672 11 หลายเดือนก่อน +2

    Brothers Slovenia is an opportunity ,patoo anaimbiwa nyimbo....😅😅😅 kama Tanga vile 😊

  • @sospeteralex378
    @sospeteralex378 11 หลายเดือนก่อน +3

    Kweli kaka

  • @kilwadreamsbeachresort9319
    @kilwadreamsbeachresort9319 27 วันที่ผ่านมา

    Shina ningependa kupata mawasiliono yake mimi pia na hotel napokea watalia tunaweza kufanya jambo ambayo inatwa kilwa dreams beach resort

  • @aisharamadhani1948
    @aisharamadhani1948 11 หลายเดือนก่อน +5

    Kumbe kweli wanavyosemaga ukitengeneza mwili wazungu wa kike wanakupenda heeee makubwaa

  • @jakuabdull34
    @jakuabdull34 6 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Si dhani kama ni sahihi kuingilia taratibu na mila za nchi husika wachie wenyeji wahoji wenye tamaduni zake

  • @lissamugondo3369
    @lissamugondo3369 11 หลายเดือนก่อน +7

    Yani huyu kaka ana chekesha jaman 😂

  • @neemajulius6403
    @neemajulius6403 10 หลายเดือนก่อน

    👏👏👏👏👏

  • @idrisabakar1076
    @idrisabakar1076 7 หลายเดือนก่อน

    Habari, Mimi namuomba Patric anitafutie wanunuzi wa Mkonge Mimi nipo Tanga

    • @ELIZABETH-uz6dv
      @ELIZABETH-uz6dv หลายเดือนก่อน

      ❤❤❤❤❤😂😂😂🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @ecramarajabu7330
    @ecramarajabu7330 11 หลายเดือนก่อน +3

    Jamani huyu kijana kanifurahisha sana

  • @joycenshala1310
    @joycenshala1310 8 หลายเดือนก่อน

    Nimefurahi kumuona Patrick namuonaga sana Tiktok😂

  • @user-vm5yf8cs2r
    @user-vm5yf8cs2r 2 หลายเดือนก่อน

    Kwakeli umepata Wewe Ni kijana mwenye. Akili muhimu umempenda kakupenda

  • @jenyyusuph4973
    @jenyyusuph4973 11 หลายเดือนก่อน

    Mmm😂 umenichekesha we kaka umefunguka sana😂😂

  • @mamab8900
    @mamab8900 11 หลายเดือนก่อน +4

    Kweli kabisa wabongo tunapenda kuona aliyefanikiwa kaanguka

    • @OfficialDatingAssistance
      @OfficialDatingAssistance  11 หลายเดือนก่อน

      Mtihani mkubwa

    • @angelalyimo2862
      @angelalyimo2862 10 หลายเดือนก่อน

      Hatupendani

    • @user-qx4jy6fz2c
      @user-qx4jy6fz2c 9 หลายเดือนก่อน

      Kaka nimekufaham sana Mimi nipo bwenuu wewe umeongea ukweli walio wengi ambao wanawazungu tamaa sana malengo hamuna mwishowasiku wanhalibikiwa wanpoachwanawake wanachanganyikiws hawataki kuniwekeza nahamimi nilikuwa namutaka kwasabu huku najiendereza nakazi yanu jipushi kwanza ndoupushiwe usisubilikupewa bolaulikuwa unajishugulisha ukijazanziba kwamalengounatusua uswemulevimwizi kama ulivyosma mwaminifu Asante nipo Zanzibar bwenuu kwamyaka 24

    • @user-qx4jy6fz2c
      @user-qx4jy6fz2c 9 หลายเดือนก่อน

      Mimi nipo bwenuu myaka 24

    • @user-qx4jy6fz2c
      @user-qx4jy6fz2c 9 หลายเดือนก่อน

      Namimi nipo bwejuu

  • @chalemofaraji8797
    @chalemofaraji8797 6 หลายเดือนก่อน

    Kiufupi patrick waache leo uneongea ukweli mno 🇬🇷🇬🇷🇬🇷🇹🇿

  • @jamesassanga8581
    @jamesassanga8581 11 หลายเดือนก่อน +4

    Huyu jamaa maelezo yake siyaelewagi,kwenye mahojiano mengine anasema kaishia la Saba na anasema alikutana na demu wake Zanzibar kwenye biashara za utalii

    • @OfficialDatingAssistance
      @OfficialDatingAssistance  11 หลายเดือนก่อน +1

      Haya ndio mahojiano yake sasa ya safari nzima ya mahusiano.. 🥰🥰 katufungukia

    • @pendo8082
      @pendo8082 11 หลายเดือนก่อน

      ​@@OfficialDatingAssistancemm sielewagi nishafatilia akiwa anahojiwa sasa hapa anasema kingine

    • @jacqueisaac8155
      @jacqueisaac8155 11 หลายเดือนก่อน

      Kuuza culture ni utalii

    • @sarah-hy7gz
      @sarah-hy7gz 10 หลายเดือนก่อน

      Ndy

    • @soleotanzania2015
      @soleotanzania2015 7 หลายเดือนก่อน

      Alikuwa anauza kacha, hiyo haihitaji elimu kubwa

  • @rahimahamad1016
    @rahimahamad1016 2 หลายเดือนก่อน

    Watanzania wengi wakishafika ulaya wanajidai, majisifu mengi mno na hawana msaada wowote isipokua kujidai na wengine wanawasababisha watu kufungwa. Pia tuache tabia ya kuwasifia wazungu ni wabaguzi sana. Apo alipo patrick hana mdomo anakokotwa na kulelewa tu na msichana (yeye mwenyewe anapenda shortcut asiwaseme vijana wa tanzania buana na Africa kwa ujumla.

  • @joycejackson2320
    @joycejackson2320 10 หลายเดือนก่อน +1

    Upendo wa wazazi wako ni wa msingi sana ndio maana upo hapo ulipo

  • @nahyialetomia9284
    @nahyialetomia9284 6 หลายเดือนก่อน

    Gigolo master from Tanga

  • @aikandosa
    @aikandosa 11 หลายเดือนก่อน +5

    Nimecheka jamani..🤣🤣🤣

  • @KhadijaAbdallah-kn3ii
    @KhadijaAbdallah-kn3ii 10 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu ni wa ajabu sana unachokipenda ndicho anachokusogezea mfano ww unataka kununuwa Noah voks sasa kila unapopita njiani utakutana na noah voksi hivo yaani ndo maana uliona wazungu wanakutaka taka tu ni kitu ulichopenda

  • @FrolaNdozi-bd2wg
    @FrolaNdozi-bd2wg 9 หลายเดือนก่อน

    Na mm n mtanzania pleas niunganshe jina langu naitwa yusuph samwel hapa nmetmia simu ya shangaz yangu pleas niunganshe au unipe utaratibu dada Yang ahsante

  • @franek6477
    @franek6477 7 หลายเดือนก่อน +1

    Hi dada I would like to sheer my story with you guys I am from Zanzibar and now living to Europe poland

  • @doreenniver6643
    @doreenniver6643 9 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂😂😂😂daaah nimefulahishwa nahuyu bro 😅😅

  • @mohamedimohamedi58
    @mohamedimohamedi58 10 หลายเดือนก่อน +1

    Kupeana nafasi umeongea vyema.sie wenngine tunapitia hilo nimependa kipindi chako.

  • @AmnaAmna1-xs3rx
    @AmnaAmna1-xs3rx 2 หลายเดือนก่อน

    ❤❤❤❤

  • @mauasama43
    @mauasama43 10 หลายเดือนก่อน +3

    naomba app ya kupata mzungu

  • @Mina.15
    @Mina.15 10 หลายเดือนก่อน

    Mzungu ako jikoni anakuskia vizuri

  • @BellaBella-mv4uw
    @BellaBella-mv4uw หลายเดือนก่อน +1

    Huyu Kaka anahekimasana na nimuelewa Yani nimependa haki

  • @hassankhamis344
    @hassankhamis344 3 หลายเดือนก่อน

    Kweli kaka watu wengi hawaelewi hilo

  • @jakuabdull34
    @jakuabdull34 6 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Kumbuka kuwa utamaduni c jambo la muungano

  • @rahimahamad1016
    @rahimahamad1016 2 หลายเดือนก่อน

    Mbona izo sheria zilikuepo wakati wa karume kaka na ilikua kunywa pombe ilikua uwe na cheti. Nashauri tujifunzeni historia za kujua chimbuko la nchi zetu za kiafrika. tusiongee tu sometimes. Europe kuna vitabu vingi vya historia ya Tanzania

  • @TamimYunus-pi7oj
    @TamimYunus-pi7oj 8 หลายเดือนก่อน

    Muong pat unakunbuk michezo yako uliyo kua unatufundisha kucheza ili tupate zangu tena unaenda kifuwa wazi na pensi tu Ila umetoboa ndugu YANGU hongera

  • @user-sn3gh7bg9y
    @user-sn3gh7bg9y 8 หลายเดือนก่อน

    ❤❤❤❤❤❤❤