UGUMU WA MAISHA NA NJAA ZILIVYONIANDAMA BAADA YA KUTOKA CHUO

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 5 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น • 82

  • @OfficialDatingAssistance
    @OfficialDatingAssistance  14 วันที่ผ่านมา +7

    TikTok Msamy: www.tiktok.com/@msamywaseattle
    +1(253) 961 0608
    Video ya Lastborn:
    th-cam.com/users/liveJAx3VDhcu8w?si=CTW36oPb2Qdzofum

  • @rhobyanderberg1101
    @rhobyanderberg1101 10 วันที่ผ่านมา +3

    Maisha ni kupambana kwa kweli. Big up kaka

  • @jennytugara9470
    @jennytugara9470 14 วันที่ผ่านมา +5

    Kaka mpambanaji your story is admirable vijana wengi wajifunze toka kwako Mungu huwa anakupitisha kwenye majaribu to success na wewe ulikuwa njiani tu na mpk hapo ulipofikia ni safari ya maisha. Huna moyo wa kukata tamaa Mungu akubariki na familia yako🙏🏾🙏🏾🙏🏾

    • @Rukia-z6u
      @Rukia-z6u 14 วันที่ผ่านมา +1

      Inshallah kheri @Msamy Mungu Akubariki Sana wee mtu Safi Sana...labda Mungu amekuleta uko kama daraj LA kusaidia watu.

  • @blessjo1678
    @blessjo1678 7 วันที่ผ่านมา +1

    Mungu akubariki sana Kwa kujitoa wengi hukaa kimyaa au hutoza Hela kubwa, God bless you

  • @anitakidola3820
    @anitakidola3820 10 วันที่ผ่านมา +1

    Kwa uaminifu wako... Mungu atakuinua zaidi na zaidii. Hongera sana kaka.

  • @edwardobreymarunda496
    @edwardobreymarunda496 9 วันที่ผ่านมา +1

    Asee....
    Hahahaha The Best Interview very touching. Haya ndio maisha wanaoishi vijana wengi.

  • @tumaininmlilwansi8636
    @tumaininmlilwansi8636 10 วันที่ผ่านมา +4

    Asee, I've been watching mostly of your interview sister , BUT THIS ONE. Oh my GOD,Its more than really.. ASante sana Brother for being very honest and open kwenye Talk hii, nimependa.(Kuna mahali nimecheka siyo poa)😂😂 Hope I will get in touch with you soon, Blessings.

  • @marykatunzi2613
    @marykatunzi2613 14 วันที่ผ่านมา +4

    Asante sana kwa safari ngumu ya maisha yako. Mungu ni mwema ameona magumu uliyopitia. Ubarikiwe sana na familia yako. Niliwatch clip ya mke wako na ilikuwa inasikitisha sana.

  • @shabanaishajumanne9385
    @shabanaishajumanne9385 6 วันที่ผ่านมา

    Alhamdulillah MashaAllah hii story imenibamba sana akiih I wish namih siku moja ita happen niende USA big up bro hakuna mazur yapatikanayo kwa urahisi ✊✊

  • @eddacharles6573
    @eddacharles6573 3 วันที่ผ่านมา

    Yaani huyu Msami nimecheka sana aki 😂😂.Mzee Yusuf abarikiwe kwa kukufuturisha na Mungu ambariki sana bi mkubwa wako!

  • @ELIEZERNDARO
    @ELIEZERNDARO 13 วันที่ผ่านมา +1

    Daah Msami wanao tunalisongesha Mazimbu ESM nimefurahi sana Ume ni inspire sana Mr🎉

  • @IANMWEMEZI
    @IANMWEMEZI 14 วันที่ผ่านมา +8

    Nimejifunza vingi interview nzuri sana naona sister sas hiv umekuja na ubunifu wa kimavazi au ilitokea ghafla tu😀 kama ni ghafla take note on next sessions it’s gonna add some values on your sessions. Good work hongera msamy umepambana👏🏽

  • @RealtorZanzibar
    @RealtorZanzibar 10 วันที่ผ่านมา +1

    Story yake imenilizaa sana mama amepambana mkumbuke mama Jamani ❤

  • @mussapaul2052
    @mussapaul2052 11 วันที่ผ่านมา +3

    Yani kuna muda huwa nimekata tamaa kwenye hustles zangu, ila kuna story nikisikia hapa huwa naamka kupambana.
    ❤❤ much.

  • @saphinamarwa8360
    @saphinamarwa8360 2 วันที่ผ่านมา

    Such a touching story, kweli wew na mkeo mmepambana sana hongereni Kwa uvumilivu, especially Kwa mkeo , mwingine angeshaondoka Kwa maisha hayo

  • @MariamJumanne-ri1mc
    @MariamJumanne-ri1mc 12 วันที่ผ่านมา +1

    Story ya Msami ni nzuri sana hongera sana kwa Last born

  • @NuriyahJuma
    @NuriyahJuma 8 วันที่ผ่านมา +1

    Best interview

  • @maryamitasso3036
    @maryamitasso3036 11 วันที่ผ่านมา +1

    Mashaalla nimependa sana hongera sana musami

  • @KissMtea
    @KissMtea 11 วันที่ผ่านมา +2

    Very inspiring wow wow🙌🏼

  • @MadinaMalk-yd6kp
    @MadinaMalk-yd6kp 8 วันที่ผ่านมา +1

    Nice interview 🥰🥰🥰

  • @SifatyAlly
    @SifatyAlly 13 วันที่ผ่านมา +3

    Nime kupenda bule
    Maisha yako kama yangu niliyo pitiya tanzania ilaa sasa alhamdulillah ilaa allah ndo mjuzi

  • @cynthiaAndrew-ww5rh
    @cynthiaAndrew-ww5rh 14 วันที่ผ่านมา +2

    Duuuhh kweli hii safari ya maisha, hongereni , pamoja na yote bado mpo.

  • @HERO-l1i8d
    @HERO-l1i8d 7 วันที่ผ่านมา +1

    NICE INTERVIEW

  • @selemanikhalfani7251
    @selemanikhalfani7251 14 วันที่ผ่านมา +3

    Kka mkubwa umetisha Sana izo ndio nondo na bi mkubwa habarikiwe sn

  • @JimmyMbobo
    @JimmyMbobo 13 วันที่ผ่านมา +1

    Hongera sana mr msami ntajoin kwa training

  • @LeylatVlogs
    @LeylatVlogs 10 วันที่ผ่านมา +3

    Nimejifunza mengi saana hapa na story ya michakato yako inafanana sana na Yangu struggling na nimekubali hakuna kukata tamaa dunia hii,mradi afya ipo uzima upo na kutoka kama vile ambavo dini yetu inatufunza mguu wa kutoka siku zote una baraka zake,tokeni mlipozaliwa baraka mtaziona

  • @SAFIAFOMAR
    @SAFIAFOMAR 13 วันที่ผ่านมา +2

    Naona watu wa Chanika tumetajwa😂😂😂. Hongera kwa struggle brother. Degree in Tanzania zinatusaidia kukua kiakili na jinsi ya kupambana upite wapi ufanikiwe na sio ajira. Mie pia I have degree in computer science engineering but nimeamua kufanya biashara maana hizo kazi hazipo

  • @MeckitilidaTushabe-or9hu
    @MeckitilidaTushabe-or9hu 6 วันที่ผ่านมา +1

    Kwenye hii story ya huyu kaka nimejifunza vitu vingi mojawapo nikutokuta tamaaa jaman

  • @vero57
    @vero57 12 วันที่ผ่านมา +1

    Aisee kijana umepambana sana safi sana ,

  • @MohammadUmrZavallah
    @MohammadUmrZavallah 12 วันที่ผ่านมา +1

    Big Up big Up big Up from Mohammad zavallah Cape town

  • @roseeuphrase3853
    @roseeuphrase3853 14 วันที่ผ่านมา +4

    Leo mimi niwa kwanza kwa mara ya kwanza 🎉🎉❤❤

  • @nassibhassanali5082
    @nassibhassanali5082 13 วันที่ผ่านมา +1

    Pia nimefurah sanaaa hii interview

  • @roseeuphrase3853
    @roseeuphrase3853 14 วันที่ผ่านมา +3

    Kipindi kizuri sana 🎉🎉🎉❤

  • @nassibhassanali5082
    @nassibhassanali5082 13 วันที่ผ่านมา +1

    Nkuungu mimi ni Bodda kaka karibu na chama

  • @Judy-dy4zt
    @Judy-dy4zt 13 วันที่ผ่านมา +1

    Mwenyezi Mungu awatangulie daima 🙏🙏🙏🙏🙏

  • @HijaMaulidi
    @HijaMaulidi 14 วันที่ผ่านมา +14

    Nimekuwa addicted na vipindi vyako Kuna vitu nimevijua kupitia kwako 🎉

    • @OfficialDatingAssistance
      @OfficialDatingAssistance  14 วันที่ผ่านมา

      Shukran sana 🙏🙏
      Please share na wengine pia

    • @sophiakassim6784
      @sophiakassim6784 13 วันที่ผ่านมา

      Tupo wengi naamini ipo siku nami ntafika huko na kuja hapa kutoa ushuhuda wangu maana nna mengi katika hii safari yangu ya maisha wallahi

  • @roseeuphrase3853
    @roseeuphrase3853 14 วันที่ผ่านมา +4

    Greetings from UK 🇬🇧 to you all guys 👦 😀 🎉🎉❤❤

    • @OfficialDatingAssistance
      @OfficialDatingAssistance  14 วันที่ผ่านมา +1

      Thanks, karibu sana kwa kipindi +4367764790884

    • @roseeuphrase3853
      @roseeuphrase3853 14 วันที่ผ่านมา

      @@OfficialDatingAssistance
      Asante sana mwanangu ninashukuru sana. 🤲👏🧡

  • @WarialangaNdossi-x6m
    @WarialangaNdossi-x6m 13 วันที่ผ่านมา +1

    Naomba sana sana, mpendwa wangu,kweli nataka nije marekani

  • @AshaKimolo-t2o
    @AshaKimolo-t2o 14 วันที่ผ่านมา +3

    Mwanakondoa mwenzangu

  • @janefridajumbe9668
    @janefridajumbe9668 14 วันที่ผ่านมา +4

    Geography darasa la tano kilimo cha Mahindi Marekani.

  • @SamiraMakame-w9c
    @SamiraMakame-w9c 14 วันที่ผ่านมา +1

    Big up mzee yussuf

  • @Joliegal834
    @Joliegal834 11 วันที่ผ่านมา +1

    Hongera msami

  • @mkengamchome110
    @mkengamchome110 6 วันที่ผ่านมา

    Kitu nilichogundua ukiwa na mtoto akili inachaji mara tano kuliko kawaida yake😅😅

  • @salumsalum8866
    @salumsalum8866 14 วันที่ผ่านมา +2

    sam si ndio mume wa yule dada uliomuoji apo ndio kamvuta mkewe

  • @cynthiaAndrew-ww5rh
    @cynthiaAndrew-ww5rh 13 วันที่ผ่านมา +2

    Hapo kwenye ulinzi , last born bwana

    • @neemaseiler1122
      @neemaseiler1122 10 วันที่ผ่านมา +1

      Aah hapa mie nilicheka sana,na bro alishachoka akamtolea nje😅

  • @jessicamwasandube944
    @jessicamwasandube944 14 วันที่ผ่านมา +1

    😂😂😂maisha bongo,daaah😢😢

  • @FatimaAli-of4gh
    @FatimaAli-of4gh 14 วันที่ผ่านมา +2

    Maisha ya pweke ndugu zangu ni nchi zote za urope huku Uingereza watu mara kwa mara wanapata depression tena wa Tz ni hatari sana hizi nchi

  • @nassibhassanali5082
    @nassibhassanali5082 13 วันที่ผ่านมา +1

    Oy story tamu saaaana yaan

  • @nahyialetomia9284
    @nahyialetomia9284 14 วันที่ผ่านมา +1

    Generous and kind to all

  • @ivankadaudi8161
    @ivankadaudi8161 14 วันที่ผ่านมา +2

    Maisha kila mtu nimeamini anastory yake dah

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 14 วันที่ผ่านมา +4

    NAKUMBUKA SECONDARY MOJA TUU ILIKUWA PALE RUVU. ( RUVU SECONDARY) HIYO ILIJENGWA CHINI MUUNGANO NA WACUBA. NA SASA HIVI WAMEIBADILISHA WAIFANYA SHULE YA WATOTO WATUKUTU. YAANI UNAWEXA KUAMONI HIYO?. TANZANIA HIYOO.

  • @WarialangaNdossi-x6m
    @WarialangaNdossi-x6m 13 วันที่ผ่านมา

    Naomba sana mwanangu naomba aje mwanangu

  • @nashnene6326
    @nashnene6326 10 วันที่ผ่านมา

    Shena naomba link ya clip ya yule kaka alisafiri kwenda US kupitia boda la mwitu to mwitu from south Africa, Brazil, Ecuador hadi kufika huko na kuna episodes sikuziona naomba link nimetafuta sana siioni tena ile interview

  • @PureSoul-rf4xd
    @PureSoul-rf4xd 14 วันที่ผ่านมา +3

    😊mimi nimeona wearing black only

  • @Mr_Mukrim
    @Mr_Mukrim 14 วันที่ผ่านมา +1

    🔥🔥🔥🇺🇸🇺🇸

  • @meshofatma1033
    @meshofatma1033 14 วันที่ผ่านมา

    Mie pia wa kwanza yeeeeeeeeeeeeee❤

  • @mayisarakarire7104
    @mayisarakarire7104 13 วันที่ผ่านมา

    ❤❤❤

  • @roseeuphrase3853
    @roseeuphrase3853 14 วันที่ผ่านมา +1

    ❤❤❤❤🎉🎉

  • @MishiMarcus
    @MishiMarcus 14 วันที่ผ่านมา

    🔥🔥🔥🔥🔥

  • @milkaboaz1244
    @milkaboaz1244 12 วันที่ผ่านมา

    Hii story imenigusa sana

  • @SuleimanNassor-b8n
    @SuleimanNassor-b8n 10 วันที่ผ่านมา

    Natamani kufika nchi za ulaya ila sijuwi nianze wapi

  • @maryamomar2034
    @maryamomar2034 14 วันที่ผ่านมา

    Sikuhizi nakosa live jamani

  • @MohammedDaudIsmail
    @MohammedDaudIsmail 9 วันที่ผ่านมา

    Hi

  • @dianamdesa
    @dianamdesa 11 วันที่ผ่านมา

    Aisee story ya huyu kaka n sawa kabisa na ya kwangu duh..

  • @WarialangaNdossi-x6m
    @WarialangaNdossi-x6m 13 วันที่ผ่านมา

    Naomba na mimi nitafutie mpendwa wangu ya kulea wazee

  • @minaayoze
    @minaayoze 13 วันที่ผ่านมา

    nakubal san kak

  • @debbiethomas9825
    @debbiethomas9825 13 วันที่ผ่านมา

    HALAFU MUNGU ASIKUBARIKI SIKU MOJA..... DUNIA ITASIMAMA🤦‍♀️ ATAFUTAE ATAPATA.... ME HUAMINI HIVO

  • @ghaosalsalum
    @ghaosalsalum 12 วันที่ผ่านมา

    Maisha mzunguruko watu wana hasoo

  • @sophiarwehumbiza209
    @sophiarwehumbiza209 14 วันที่ผ่านมา +1

    ASANTE MSAMI ASANTE SHENA MUNGU AWABARIKI