"MKE wa MTU HAURUHUSIWI KUVAA KIJORA na PAJAMA USIKU -UNA AKILI UNAMPA MUME CHIPSI?" -MALKIA MWEUSI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 24 ส.ค. 2024
  • "MKE wa MTU HAURUHUSIWI KUVAA KIJORA na PAJAMA USIKU -UNA AKILI UNAMPA MUME CHIPSI?" -MALKIA MWEUSI....
    #KATIKATIYAKOKO #KATIKATIYAKOKO #KATIKATIYAKOKO #KATIKATIYAKOKO #KATIKATIYAKOKO #KATIKATIYAKOKO #KATIKATIYAKOKO #KATIKATIYAKOKO #KATIKATIYAKOKO #KATIKATIYAKOKO #KATIKATIYAKOKO #KATIKATIYAKOKO
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

ความคิดเห็น • 59

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  8 หลายเดือนก่อน +3

    JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u...

    • @LeilaShah-ib4td
      @LeilaShah-ib4td 6 หลายเดือนก่อน

      Wengine Usk chai hawapendi,

    • @LeilaShah-ib4td
      @LeilaShah-ib4td 6 หลายเดือนก่อน

      Nipe no yako tafadhaki najambo langu nikujuze

  • @madawakemikali776
    @madawakemikali776 8 หลายเดือนก่อน +14

    Habiba usiongee ukamaliza my dear....wanaume ni binadamu walioumbwa kivingine....chunga ndimi zako dada....sema hapo uko kazini kwahiyo kama unafunda funda tuuu....my dear fanya uchunguzi wako vizuri....unaweza sana kufanya yote ila mwanaume akiamua lake ni lake....stop contradicting yrself.

    • @SaumuSaumukhamisi
      @SaumuSaumukhamisi 7 หลายเดือนก่อน +2

      Sahii apo anajip iman ty keshapgw naktu kizit ila xwajua wakion kamera😅😅nyma sas ya kamera kivumb

    • @zainabusona5901
      @zainabusona5901 7 หลายเดือนก่อน

      Mwanamume huyuuuuuu mmmh

    • @user-pi5hd9wr2j
      @user-pi5hd9wr2j 7 หลายเดือนก่อน

      Amuulize fahivany 😂😂😂😂😂😂

    • @user-pi5hd9wr2j
      @user-pi5hd9wr2j 7 หลายเดือนก่อน

      Amuulize fahivany 😂😂😂😂😂😂

    • @SalamaAlly-dt6mc
      @SalamaAlly-dt6mc 4 หลายเดือนก่อน +1

      Sa uyo fayvany kaolewa Ana ndoa gan??

  • @user-vg2sh8pb3y
    @user-vg2sh8pb3y 7 หลายเดือนก่อน +2

    Nimekipenda sana iki kipindi mubarikiwe sana kina mama

  • @rahmasuleiman9334
    @rahmasuleiman9334 8 หลายเดือนก่อน +2

    Weweeeeee wawili wawili ndo penzi la kweli mambo ya kupeana zamu nooooo 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @MwanaishaHemed-xi6rj
    @MwanaishaHemed-xi6rj 7 หลายเดือนก่อน

    Asante kipenzi ❤ elimu nzuri wanaume ni muhimu kwenye Maisha yetu atakama unapesa mambo mazito ❤️😘

  • @zennahmtoto1867
    @zennahmtoto1867 8 หลายเดือนก่อน +4

    Habibaa wee usiongee ukanaliza ww mwanaume sio ndugu yako ww...unamlia kiapo binadamu mwenzio na umesahau Moyo wamtu ni kichaka ujuwi anachowaza Wala kufanya usijifanye wee mjuajii snaa au mtakatifuu sana

  • @ummusalim9165
    @ummusalim9165 6 หลายเดือนก่อน +2

    Wee malikia mweusi chunga kauli zako hizo 😂 mume hachepuki amekua nani yeye weweeeee haya

  • @user-bc3lh5ss6c
    @user-bc3lh5ss6c หลายเดือนก่อน

    Wajina nimekupenda na ma j❤❤❤❤❤

  • @busnaoman9981
    @busnaoman9981 8 หลายเดือนก่อน +1

    😂😂😂ila habibaa kijoraa kimefanyajee😂😂😂

  • @AnethCliford-tm2dx
    @AnethCliford-tm2dx 7 หลายเดือนก่อน +1

    Mmh huyu anajimaliza sana😂😂😂😂😂

  • @rahmasuleiman9334
    @rahmasuleiman9334 8 หลายเดือนก่อน +2

    Umeongea mambo mengi mazuri ya kuelimisha ❤❤big up saaana

  • @aishaarusha894
    @aishaarusha894 8 หลายเดือนก่อน +2

    Wapeni sifa tu awo wanaume wajazeni mabichwa tu msifanye mwanamke mtumwa wa mapezi

  • @rainesmulokozi543
    @rainesmulokozi543 7 หลายเดือนก่อน +1

    Uloyaongea ya kweli, lkn kwa eti mmeo hachepuki, mh! Hao viumbe waone kama walivyo hivo, siku moja atakuumbua dada haya.

  • @milamila8653
    @milamila8653 6 หลายเดือนก่อน

    Mambo mazito ❤❤❤❤❤❤👌👌👌👌👌👌👌

  • @jumaamsuya5
    @jumaamsuya5 4 หลายเดือนก่อน

    Palepost ujengewe sanam😂😂

  • @matatamwaipopo-rp4vz
    @matatamwaipopo-rp4vz 8 หลายเดือนก่อน

    Mpo vizuri

  • @SafiyaaaSofi-uy3nk
    @SafiyaaaSofi-uy3nk 6 หลายเดือนก่อน

    asateeee bikugwi mm ni kama ww naapa mume wagu hatoki abadani Nampa still zotee mpaka a naliya mm niliye huwa a naliya yy haloooooooo❤

  • @Official83640
    @Official83640 8 หลายเดือนก่อน +3

    Yaani huyu mama JJ nilikuwa namuona mtu mwenye busara zake kumbe ndy wale wale watafuta jina mitandaoni wamama wa Kigoma dini zimewakaa sana huyu Kigoma gani anaevunja sheria za mafunzo ya unyago jaman unyago ni siri ya wanawake sio hivi 🚮

    • @tabithawaithira1202
      @tabithawaithira1202 7 หลายเดือนก่อน +1

      Niko Kenya,nafurahi juu ya mafunzo, kwetu hakuna mafunzo

    • @Official83640
      @Official83640 7 หลายเดือนก่อน

      @@tabithawaithira1202 🤣🤣

  • @ameeranassor1619
    @ameeranassor1619 6 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂 lol pengine mumewe anaowa akiiacha kila siku kama haji manara, hatumjui tu

  • @MwanaishaHemed-xi6rj
    @MwanaishaHemed-xi6rj 7 หลายเดือนก่อน

    Mambo mazito 👌❤😘

  • @rahmatsumo3274
    @rahmatsumo3274 17 วันที่ผ่านมา

    Weeee habiba wewe usiseme kumaliza mwanaume ni mwanamume tu kwanza mwanamke mwenye kumlilia mumewe kiapo eti achepuki usije ukaletewa watoto wa mumeo tu

  • @lenakassian-pr3dy
    @lenakassian-pr3dy 8 หลายเดือนก่อน +1

    Sawa mnatuelekeza lakn sio ka hivi mala shanga ooo kitambaa kumfuta mume jmn huo unyango upo mseme tuu utandawazi akuna familia au mzazi ambae amfunzi mwanae akiwa ame barehe au kuingia kwenye ndoa acheni hizo mambo bwana kuna watu wana kaa ndani kama wazaramo ata miaka kumi una wekwa ndani uo mwezi chamtoto lakin unakuta mtu ana tabia yake tu ya hovyoo.... Mnako elekea tuta waita (msungo) kwann mnatoa maana nnje

  • @Hawa-es9kn
    @Hawa-es9kn 8 หลายเดือนก่อน +1

    Hahahaha I like it

  • @asmahassan851
    @asmahassan851 6 หลายเดือนก่อน +1

    Habiba usiseme ukamaliza. Mm mume wangu pia nilimlilia kiapo kama ulivyo kula ww nilipo ambiwa kuwa nimchepuko niliamini mwanamume simwenzako. Ni mtu mwanzo si mtu mwisho.

    • @mariam-xt3de
      @mariam-xt3de 4 หลายเดือนก่อน

      wakwangu hatachakula hapangiwi mezani anaheshima na Mimi nanapendwa sana nahatoki nyuma nilifanyia vimbwanga nikaona dawa nikuonesha sina muda nae mwanaume ukimpenda sana anakuzarau sana 😂😂😂😂😂😂

  • @TinaMwasekaga
    @TinaMwasekaga 5 วันที่ผ่านมา

    Bee😅

  • @BarbaraPatience-qt9cc
    @BarbaraPatience-qt9cc 2 หลายเดือนก่อน

    Habiba mwanamume akitaka reverse inakuaje? Maana hawa wana adabu

  • @Davidtambatamba
    @Davidtambatamba 5 หลายเดือนก่อน

    Kipindi neuro Sanaa❤

  • @madamNellah
    @madamNellah 3 หลายเดือนก่อน

    Jomon natamn awe kungwi wangu

  • @latifaaqudaidy9397
    @latifaaqudaidy9397 6 หลายเดือนก่อน

    Nitamtafutaa mumeo habibaa😂

  • @SanuraMwinyi
    @SanuraMwinyi 5 หลายเดือนก่อน

    Watikana wapi mpenz nataka umueke mwanangu

  • @user-nh9fl5tv9u
    @user-nh9fl5tv9u 5 หลายเดือนก่อน

    Bisoma sona bb

  • @RahmaNassir-pc5ku
    @RahmaNassir-pc5ku 8 หลายเดือนก่อน

    Mbona mambo ya ndani mnayatoa peupee hivi sikuhizi making with wa michongo mpoje??? Kama kweli ni mwali mwalikwa huwezi jitoa kwenye mitandao na hizo ndundu waziii inaoneshs ndio wale masomo wa mitaani hivi munafikiria hapo munawafundisha wanandoa tu??? Hata watoto wadogo wasio elewa tayali mumesha waharibu watajaribu mambo kabla ya wakati

  • @user-om5jt8sc9o
    @user-om5jt8sc9o 7 หลายเดือนก่อน

    M naomb namba za habiba

  • @salunarashid6202
    @salunarashid6202 8 หลายเดือนก่อน

    🙄🙄🙄🙄🙄

  • @RahmaNassir-pc5ku
    @RahmaNassir-pc5ku 8 หลายเดือนก่อน

    Kwanza mwanamke unaye jiheshimu huwezi jianika kwenye mitandao na kuongea maneno magumu ambayo anapaswa kuelezwa binti anaye jiandaa na ndoa yaani hapo mnaonekana vituko tu aibu tupu

    • @Njeriii536
      @Njeriii536 8 หลายเดือนก่อน

      Wewe ndio kituko acha ushamba sikuhz dunia ipo kiganjan nacho lazima ww usikilize

    • @hasinaalrahbi6681
      @hasinaalrahbi6681 8 หลายเดือนก่อน

      Mhhhhh habiba mwanaume haaminiki kabisa.hapo utakuta anamtu wala hujuwi. Usimkatalie utajuta kwa nini ulitowa hayo maneno.tutakusikia tu mitandaoni

    • @kutailass6671
      @kutailass6671 8 หลายเดือนก่อน

      ​@@Njeriii536mwanamke kujiheshim, sasa heshima ya mwanamke iko wapi hapo? Mnaropoka tu et dunia kiganjani haya endeleen kuganjika 🤔

    • @naimajuma647
      @naimajuma647 7 หลายเดือนก่อน

      Ata makungwi wenyew wanaachika sembuse mwanafunzi😅

  • @user-vg2sh8pb3y
    @user-vg2sh8pb3y 7 หลายเดือนก่อน

    Mbona huyu mama Habiba nikama yule mama wa kwenye shilingi alicheza kwa jina la bi Pamela? Au mm sjui kufananisha

    • @user-sv6zy3hc8o
      @user-sv6zy3hc8o 6 หลายเดือนก่อน

      Sio yeye ila wanafanana

  • @shabanipanya1033
    @shabanipanya1033 8 หลายเดือนก่อน

    Huyu habiba bado tu hajarudi kwao congo hakuna mtanzania sura imekomaa kama hiyo

    • @Njeriii536
      @Njeriii536 8 หลายเดือนก่อน +3

      Roho mbaya tu chefuuuu

    • @user-pp8qb3bb9r
      @user-pp8qb3bb9r 8 หลายเดือนก่อน +2

      Subuaanallah mola ndie amemuumba ww

    • @zennahmtoto1867
      @zennahmtoto1867 8 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂

    • @AsanathHabibu-kx4np
      @AsanathHabibu-kx4np 7 หลายเดือนก่อน

      Ila we dada ety sura imekomaa

    • @mariam-xt3de
      @mariam-xt3de 4 หลายเดือนก่อน

      alafu hao walugulu wa na wamakonde
      mekomaa kama jiwe niwatu wakutoka Congo wemshinzi sana kama huna lakuandika Bora ukae ukae kimya 😂😂😂😂