HOTUBA YA RAIS DKT MAGUFULI BAADA YA KUPOKEA TAARIFA YA UCHUNGUZI WA MCHANGA WA DHAHABU

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 23 พ.ค. 2017
  • HOTUBA YA RAIS DKT MAGUFULI BAADA YA KUPOKEA TAARIFA YA UCHUNGUZI WA MCHANGA WA DHAHABU 24 MAY 2017

ความคิดเห็น • 113

  • @marianmartin7483
    @marianmartin7483 ปีที่แล้ว +8

    Lala salama baba, vita ulivipigana😭😭😭😭😭😭 nikikuona machozi yanatililika. Mwenyezi MUNGU akupe makao salama huko uliko. Raha ya milele umpe e bwana, na mwanga wa milele umwangizie apumzike kwa amani Amina. Roho za waamini wapate rehema kwa MUNGU, wapumzike kwa amani, AMINA.

    • @onelovetz7935
      @onelovetz7935 ปีที่แล้ว

      Uko Kama Mimi kilip mbili tu machozi yananilega

  • @mathewben6833
    @mathewben6833 3 ปีที่แล้ว +7

    Kuna wakati hua siamini kama rais niliyemkubali nikamchagua hayupo tena duniani,daaah! YAHWEH is great.Pumzika kwa amani JPM hakika me binafsi kwa jitihada zako nakukumbuka

  • @frans_dede
    @frans_dede 3 ปีที่แล้ว +6

    Mungu akupe pumziko la milele Raic we2 mpendwa Dr. JPM tutaendelea kulia mpak mwak 20100

  • @alfredlucas972
    @alfredlucas972 2 ปีที่แล้ว +5

    Mungu akupe wepesi katika pumziko lako la milele rais wetu wa wanyonge

  • @motelalasem6755
    @motelalasem6755 3 ปีที่แล้ว +10

    Upumzike salama namungu akusamehe makosa yako yote nakulilia kwauwazi na uzalendo kwa nchi yetu inaumasana,

  • @peterkabigi
    @peterkabigi 7 ปีที่แล้ว +8

    Kwa hili kila raia mwenye nia njema na nchi atakuunga mkono.Hongera saana Rais.

    • @pizzaboy3640
      @pizzaboy3640 2 ปีที่แล้ว

      HUWA cwezi kujizuia kabisa MACHOZI yanavyo nimwagika nikisikiliza hotuba ya huyu mwanajeshi kamanda rais aliye jitolea mhanga kwa ajili ya Taifa letu hakika wewe ni SHUJAA japo umelala RIP J P M

  • @yusuphwella9651
    @yusuphwella9651 3 ปีที่แล้ว +5

    Chuma hicho, najickia faraja sana japo kwa muda wake mfupi impact yake ni kubwa sana, naifananisha na super sub iliyoingia ikapiga hatrick na kuchukua point tatu,

  • @ismailkipalanga2812
    @ismailkipalanga2812 3 ปีที่แล้ว +5

    Kila nisikilizapo hii hotuba, bado naamini kuna siku utarudi tena kuja kuwa hata mshauri tuu. RIP mzalendo wa kweli

  • @davidcharles5674
    @davidcharles5674 7 ปีที่แล้ว +5

    this is what I was asking leaving myself with unanswered qns. why were we not talking of natural minerals as OUR MAJOR SOURCES OF INCOME .... WHY WERE WE DEPENDING ON TBL, TCC...? THANX OUR PRESIDENT YOU KEEP ON ,,, WE TZ WER SUPPOSSED TO BE DONORS

  • @hajiissa9200
    @hajiissa9200 7 ปีที่แล้ว +6

    hongera sana rais wangu mpendwa .ninakupongeza sana kwa kuwanyoosha hao wanaojiita wajanja . namuomba allah akulinde na akupe umri mlefu wenye mafanikio

  • @mbokaandbahatitv8509
    @mbokaandbahatitv8509 7 ปีที่แล้ว +9

    Wewe ni rais wangu, siku zote nitakuheshimu, Mungu akutunze daima.

  • @tatulalia8211
    @tatulalia8211 ปีที่แล้ว +3

    That's truth Dad but RIP God bless you for your jobs

  • @munaahmed8499
    @munaahmed8499 3 ปีที่แล้ว +4

    Allah akulinde na kila shari rais wetu utuongoze kwa ufanisi kam unavyotuongoza insha Allah🤲

  • @fettysalum8290
    @fettysalum8290 7 ปีที่แล้ว +2

    Mungu akupe uhai zaid rais wa Tz uendelee kufanya mema kwetu wa tz

  • @charlesmugisha6529
    @charlesmugisha6529 ปีที่แล้ว +2

    😭😭😭😭😭😭😭🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿 tumepoteza mtu muhimu Sana ktk nchi yetu🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @offblogmedia
    @offblogmedia ปีที่แล้ว +2

    Come take your chair father, we miss you already!! ( And, you knew it)

  • @rozinajumbe4237
    @rozinajumbe4237 ปีที่แล้ว +2

    Tunakukumbuka Baba ! Tumebaki wakiwa Baba wanyang'anyi wanatafuna urithi wa nchi yetu

  • @Lex_review
    @Lex_review 7 ปีที่แล้ว +9

    one day they will value your presidency

  • @alfredjustinian9753
    @alfredjustinian9753 3 ปีที่แล้ว +1

    Daah tutakkumbuka mzee aisehe lkn nmemuona proffeser anashangaa kwelikweli aisehe

  • @kelvinchadulaga310
    @kelvinchadulaga310 2 ปีที่แล้ว +3

    RIP mwamba wa african

  • @MeshackAminieli
    @MeshackAminieli 25 วันที่ผ่านมา

    Mungu ana makusudi na watanzania maskini ndo maana akafanya hivyo shukrani kwa yesu kristo

  • @lgatura
    @lgatura 3 ปีที่แล้ว +4

    Kila ninapo skiza hotuba ya Rais Magufuli , huwa si amini eti hayupo tena nasi , aisee ina uma sana , Sema mambo ya Mungu hayana Makosa , Pumzika kwa amani Rais wetu kipenzi, Mungu akupe pumziko la amani .. RIP

  • @geopolitics94
    @geopolitics94 3 ปีที่แล้ว +10

    Rest in Peace our beloved President 🇹🇿❤️

  • @heridadia9634
    @heridadia9634 3 ปีที่แล้ว +3

    R.i.p JPM 😭😭

  • @Dantaata
    @Dantaata ปีที่แล้ว +1

    hatuna la kufanya baba tangu siku umeondoka hadi leo tunaumia,, m/mungu asikuache baba yetu kipenzi

  • @adelaidaruta2930
    @adelaidaruta2930 2 ปีที่แล้ว

    Mwenyezi Mungu akuruhusu kutoka huko uliko uzidi kulipigania Taifa hili kama ulivyo lipigania ukiwa duniani mimi nitakukumbuka daima

  • @manstiko5890
    @manstiko5890 ปีที่แล้ว +1

    Rest in paradise chuma tutakukumbuka daima

  • @abdallahmngoi8538
    @abdallahmngoi8538 7 ปีที่แล้ว +1

    mwishimiwa endelea kuchapakazi safi sana

  • @ISSAMITWE-iq1bo
    @ISSAMITWE-iq1bo 9 หลายเดือนก่อน

    sintamsahau hayati magufuri ktk maisha yangu yote.mungu mpumzishe kwa aman amin.

  • @januaryevarist2093
    @januaryevarist2093 2 หลายเดือนก่อน

    Hii is miss you Dr jonh

  • @georgegeorge9688
    @georgegeorge9688 ปีที่แล้ว

    Akika ulikuwa .nguli wa uongozi, kazi yako ni ilikuwa nzuli sana,

  • @denismsanzya7145
    @denismsanzya7145 ปีที่แล้ว +1

    Upumzike kwa amani kaka yetu

  • @karimmveyange280
    @karimmveyange280 ปีที่แล้ว

    Hakuna atakeye kufikia kwa uadilifu wako na uzalendo na ubingwa wa ufufuaji uchumi bila kuomba omba mikopo.Hata wafanye vipi,tayari uliwaumbua.Tunawaona 0 tu . Haupo kimwili lakini Roho yako ipo na inaona hali ilivyo hii leo.Mungu atalipa hapahapa ktk ardhi na wote watashuhudia

  • @kaundasutikaunda7769
    @kaundasutikaunda7769 3 ปีที่แล้ว +4

    Jembedali wetu JPM ulisema tutakukumbuka kweli tumeanza maana uku Prof Muhongo hataki tena Bwawa la umeme la Rufuji ambalo ilikuwa ndoto ya Mwl Nyerere na ndio ukombozi wetu. Nakumbuka Mzee Mengi aliwai sema prof Muhongo ni Muongo...RIP Mengi.
    Alafu Ndugai anataka kuwaleta wachina na ule mradi wenye masharti ya ajabu ajabu. Ambapo tayari tunajua Sri Lanka wanatesena na mradi wa namna hii.😭😭😭
    Ila hata kama haya yatakwama ss vijana tayari umetuonesha njia siku moja tutakuja kuyafufua kama wewe ulivyo fufua iliyokuwa ndoto ya Mwl Nyerere.
    RIP NYERERE NA JPM 💪🏿🙏🏿

  • @danielimeshack3712
    @danielimeshack3712 7 ปีที่แล้ว +2

    nakupenda rais wangu 2020 ukishinda badili katiba uongoze mpaka utakopochukuliwa na mwenyezi mungu inauma sana lisu kachukua rushwa ya wazungu anabwatuka ovyoo piga kazi baba

  • @johnmalembo6464
    @johnmalembo6464 2 ปีที่แล้ว

    Hii hotuba Ni ya kulikomboa taifa kwa vizazi vyote....tupate wapi Rais Kama JPM Tena.. éee Mwenyezi Mungu tubariki na kutuokoa Watoto wa Tz

  • @sethmotto4513
    @sethmotto4513 2 ปีที่แล้ว

    Maisha Ndivyo Yalivyo!Kazi iendelee!

  • @mrishoselemani7521
    @mrishoselemani7521 7 ปีที่แล้ว +1

    MWENYEZI MUNGU AKULINDE

  • @kamuchidyblez2136
    @kamuchidyblez2136 ปีที่แล้ว +1

    Daaa ulale salama aisee kaz yake mola haina makosa

  • @farajastudioandstationery5798
    @farajastudioandstationery5798 3 ปีที่แล้ว +1

    Nimemis Hii sauti kiukweli...!

  • @avitimushi1541
    @avitimushi1541 7 ปีที่แล้ว +6

    The president and his TUME have walked the walk after the talk. Viva President Magufuli. Viva Tanzania

  • @abushirikijaji4014
    @abushirikijaji4014 2 ปีที่แล้ว

    Ewe mngu tunakuomba umuweke mahala pema peponi rais wetu mpendwa natunakuomba uturudishiye rais ajae awe mkweli kama mpendwa wetu magufuli

  • @konzerasokoni1773
    @konzerasokoni1773 2 ปีที่แล้ว

    Natamani siku zirudi nyuma ufufuke ungetawala milele... Wengi washakuelewa lakin ndo ivo too late

  • @kakamau0384
    @kakamau0384 ปีที่แล้ว

    Hivi huyu jamaa alikuwa na kasoro gani jamani katika Nchi hii lkn!!?? 😭 Tutakukumbuka baba

  • @mgeni1233
    @mgeni1233 ปีที่แล้ว

    Alikuwa mkweli na ukiwa mkweli jua maisha yako mafupi

  • @jonasjaphetthomas6434
    @jonasjaphetthomas6434 2 ปีที่แล้ว

    We ndo rais sasa tunayemtaka watanzania walobaki woteni .....Watajua wenyewe wapo kundi gan siwapendi sijui kwanini!

  • @godfreykwejah
    @godfreykwejah ปีที่แล้ว

    Kwa kweli utaendelea kuishi mioyoni mwetu, na akili zetu bado zinakuenzi!

  • @georgegeorge9688
    @georgegeorge9688 ปีที่แล้ว

    Sawa bac ninaumia sana nikifikiri

  • @ramadhanndemeye6932
    @ramadhanndemeye6932 7 ปีที่แล้ว +2

    lema uko wapi? mbona husemi?

    • @dct4lif
      @dct4lif 7 ปีที่แล้ว +2

      Tundu Lisu tayari ashaongea ujinga kama kawaida yake

  • @kikosikaziupdate
    @kikosikaziupdate ปีที่แล้ว

    Tutakukumbuka daima

  • @georgegeorge9688
    @georgegeorge9688 ปีที่แล้ว

    Mzee uko sawa Tanzania tuna watu wa ajabu sana, uwatunawafikiria hatupati majibu,

  • @georgegeorge9688
    @georgegeorge9688 ปีที่แล้ว

    Mzalendo wetu, leo tunaubiriwa neno uzalendo, najiuliza sipati jibu, Magufuli uko wapi? Kama nchi inaitaji wazaleno!!

  • @johnnestory9970
    @johnnestory9970 ปีที่แล้ว

    JPM utakumbukwa daima,kwa mazuri mengi uloyafanya kwa watanzania wengi!

  • @moshykimario7601
    @moshykimario7601 2 ปีที่แล้ว

    The life time president

  • @yohanabiby3581
    @yohanabiby3581 ปีที่แล้ว +1

    Yohana E Biby

  • @tgeofrey
    @tgeofrey 7 ปีที่แล้ว +1

    Kimenuka Shamba la Bibi

  • @nuhunyambulapi5320
    @nuhunyambulapi5320 2 ปีที่แล้ว

    We missed you today Mwamba

    • @arjunelly540
      @arjunelly540 2 ปีที่แล้ว

      😭😭😭😭😭Inauma jamn

  • @JacobAlexander-sc1oh
    @JacobAlexander-sc1oh 4 หลายเดือนก่อน

    sna la kusema kizuri hakidumu

  • @liverpoolfootballclub9985
    @liverpoolfootballclub9985 ปีที่แล้ว +3

    This guy was a legend

  • @dmstephano8643
    @dmstephano8643 6 ปีที่แล้ว

    Jamen

  • @Joseph-lu4yj
    @Joseph-lu4yj 2 ปีที่แล้ว

    Ikulu haina hizi video kweli ? including mkataba wa bandarui ya bwagamoyo ?

  • @daudikapange9203
    @daudikapange9203 ปีที่แล้ว

    😢

  • @lameckmulokozi4685
    @lameckmulokozi4685 2 ปีที่แล้ว

    Tutakuenzi baba lala kwa hamn

  • @ramadhanndemeye6932
    @ramadhanndemeye6932 7 ปีที่แล้ว +2

    nchii ina wajinga wengi kazi yao kupiga kelele bungeni

  • @lindambilinyi6253
    @lindambilinyi6253 3 ปีที่แล้ว +1

    Mbabe kaenda na ubabe wake haaaaaa

  • @paulcosmas8031
    @paulcosmas8031 ปีที่แล้ว

    Pumzika kwa aman baba

  • @halajanyerere3512
    @halajanyerere3512 2 ปีที่แล้ว

    Jpm rest in peace

  • @bizzosela6186
    @bizzosela6186 3 ปีที่แล้ว

    😭😭😭

  • @blackmartin2395
    @blackmartin2395 ปีที่แล้ว

    😭😭😭😭😭 kwel tulipoteza

  • @susannaikuni8595
    @susannaikuni8595 ปีที่แล้ว

    Shujaa hutasahao lika milele lala salama

  • @mudhihirugara8845
    @mudhihirugara8845 4 หลายเดือนก่อน

    Jeembehiro bwana pumzika salama

  • @elipidiuskweyamba1394
    @elipidiuskweyamba1394 ปีที่แล้ว

    RIP

  • @sadamkuntukumu3672
    @sadamkuntukumu3672 ปีที่แล้ว

    Kwanin samia suluhu afanyi hivi

  • @elishebawerema7155
    @elishebawerema7155 2 ปีที่แล้ว

    😭😭😭😭😭

  • @MeshackAminieli
    @MeshackAminieli 25 วันที่ผ่านมา

    Ata saaulika alikuwa kichwa cha taifa

  • @paulkapele2797
    @paulkapele2797 ปีที่แล้ว

    Mahubiri,ya,moses,Maghembe,t,ag

  • @adammrisho1990
    @adammrisho1990 10 หลายเดือนก่อน

    Mpl

  • @vandamemaress1350
    @vandamemaress1350 4 ปีที่แล้ว

    Og

  • @maluhismadila9593
    @maluhismadila9593 ปีที่แล้ว

    Pumzika kwa amani bd tunakukumbuka baba

  • @allykingu1752
    @allykingu1752 3 ปีที่แล้ว

    Jembe toka chato?

  • @veromakoe5017
    @veromakoe5017 ปีที่แล้ว

    Mm

  • @hermanisaay1904
    @hermanisaay1904 2 ปีที่แล้ว

    Itv

  • @clementmentusela171
    @clementmentusela171 ปีที่แล้ว

    In

  • @clausemanuel9891
    @clausemanuel9891 7 ปีที่แล้ว

    daaah

  • @innocentmalingumu1541
    @innocentmalingumu1541 ปีที่แล้ว

    Pumuzika xalamal rais

  • @emmanuelshilinde2512
    @emmanuelshilinde2512 ปีที่แล้ว

    JPM

  • @ramadhanndemeye6932
    @ramadhanndemeye6932 7 ปีที่แล้ว

    je hicho chombo kina uzwa bei gani?

    • @zawadix9574
      @zawadix9574 7 ปีที่แล้ว

      Ramadhan Ndemeye I love this man true Patriot...... Tanzanians are cursed how can we be so stupid and dumb

  • @isackkubimba819
    @isackkubimba819 ปีที่แล้ว

    Dodoma

  • @kefamwakipesile275
    @kefamwakipesile275 3 ปีที่แล้ว +1

    bado unadumu ata hujafa baba wa pili wa taifa

  • @user-vh2pe9lu1v
    @user-vh2pe9lu1v 11 หลายเดือนก่อน

    😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😅😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😅😊😊😊😅😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😅😊😊😊😊😊😊😊😊😅😊😊😊😊😅😊😊😊😊😊😅😊😊😊😊😊😅😅😅😅😊😊😊😊😅😊😅😅😊😊😅😊😊😊😅😅😅😅😅😅😊😊😊😅😊😅😊😊😊😊😊😊😊😊😊😅😊😊😅😊😊😅😊😊😊😊😊😊😊😅😊😊😊😊😊😊😊😅😊😅😊😊

  • @bumsnyagenda9639
    @bumsnyagenda9639 3 ปีที่แล้ว +1

    Kwa nchi za kiafrica hata hawakuelewi hata Kama ni wasomi watakuona unawabana tu maana wenyewe wanasema hili bara la wajinga
    Ila upo sahihi mzee

  • @yohanabiby3581
    @yohanabiby3581 ปีที่แล้ว +1

    Yohana E Biby

  • @nicholaus6859
    @nicholaus6859 ปีที่แล้ว

    Tuta kukumbuka baba