THE CLASSIC JAY MOE : MAISHA YA JAY MOE KABLA YA WATEULE/WABAKIAJI/MWANZO WA WATEULE/USHINDANI/PFUNK

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 26 เม.ย. 2024
  • Jay Moe anatajwa kama moja ya MC wa Hiphop bora kabisa wa muda wote sio tu Tanzania bali Africa ya Mashariki,uwezo wake wa kiuandishi na mitambao umemfanya abaki kwenye chart kwa zaidi ya miaka 24 sasa,hii ni sehemu ya kwanzaya maongezi yetu ambayo anabainisha safari yake katika hatua za awali kabisa.

ความคิดเห็น • 105

  • @amoskagika8884
    @amoskagika8884 2 หลายเดือนก่อน +4

    Zamani wazazi wengi walikuwa wanawaleta watoto wao kusoma Mbeya kutoka mikoa mbalimbali kwa sababu miaka hiyo kulikuwa na shule nyingi nzuri na walimu wazuri sana kuanzia private Mpaka government schools. Hapo unaongelea shule Kama Sangu, Meta, Irambo, Iyunga, Rungwe, Lutengano, nk. Huko kote vimepita Vichwa kibao akina Jay Moe, Jaffarai, Marehemu Cpwaa, Mchizi Mox, Prof Jay, Edo Kumwembe, Joseph Kabila na wengine wengi. Mbeya the Green City🔥🔥🔥

  • @Yegon254
    @Yegon254 2 หลายเดือนก่อน +10

    Huyu naweza msikiliza siku nzima, story teller

  • @qserick7799
    @qserick7799 2 หลายเดือนก่อน +6

    Daaaah jay Moe ada madini sana and he is the best story teller,big up brother

  • @makantaafrika
    @makantaafrika 2 หลายเดือนก่อน +3

    Hii ndiyo tunaamisha tunaposema MADE IN GREEN CITY 💪🏿

  • @obbymweucy4424
    @obbymweucy4424 2 หลายเดือนก่อน +12

    Mchopanga ni bonge Moja la story teller....salute sana moe✌️✌️

    • @CoachHafidh
      @CoachHafidh 2 หลายเดือนก่อน +1

      Agreed 💯%

    • @arafuminpetro9625
      @arafuminpetro9625 หลายเดือนก่อน

      Hakika...utamsikiliza penda usipende

  • @thomasshello8138
    @thomasshello8138 2 หลายเดือนก่อน +3

    Bonge moja la show, Mo is the best

  • @simas.a1003
    @simas.a1003 2 หลายเดือนก่อน +1

    Asanteni the classic, huyu jamaa nlikua namsubiri kwa Ham sana. R.I.P albart mangwear mchizi wake daa!

  • @Don_mountana
    @Don_mountana 2 หลายเดือนก่อน +1

    Unaleta akili mkubwa sana kwenye show big up sana na jay moe ni moja ya msanii wangu pendwa sana i wish to sit one table with legend mo

  • @eddiemohamed9003
    @eddiemohamed9003 หลายเดือนก่อน

    BEST INTERVIEW, BIG UP SO FAMOUS JAY MOE

  • @godfreykiama1930
    @godfreykiama1930 2 หลายเดือนก่อน +3

    return of supermen..!!

  • @trendingfootshorts
    @trendingfootshorts 2 หลายเดือนก่อน +3

    Super Men.... Hii nimeisubir sana

  • @MackameHassani
    @MackameHassani 2 หลายเดือนก่อน +4

    Interview ilikuwa tamu sanaaa tamu mnoo, acha arudi tuu next weak. Darasa tosha hilii.

  • @sadiqadam7971
    @sadiqadam7971 2 หลายเดือนก่อน +2

    My brother my cousin Jay Moe ✊🏾

  • @Eustacengweshemi
    @Eustacengweshemi 2 หลายเดือนก่อน

    Nimependa appearannce ya Jaymoe ,kiheshima sanaa sanaa. Safi sanaa. Hii story vijana wajifunze music ulipotoka kwa kupambaniwa na watu. Heshima kwao.

  • @barakamwansele5040
    @barakamwansele5040 2 หลายเดือนก่อน +2

    My best story teller

  • @zaharamlau8817
    @zaharamlau8817 2 หลายเดือนก่อน +2

    J mo kumbe ni fun 😂😂😂😂😂😂 Nime enjoy sana hii kitu ya leooo. Mbakiajii😅😅😅😅

  • @Manyesha6290
    @Manyesha6290 2 หลายเดือนก่อน +1

    Appreciation Kwa jay more

  • @makantaafrika
    @makantaafrika 2 หลายเดือนก่อน +1

    Kudadekiiii 😂😂 Sheiza na Jay Moe 🔥🔥🔥🔥

  • @josephlyakurwa
    @josephlyakurwa 2 หลายเดือนก่อน +1

    More technics, more flavour, hatari fire 🔥

  • @barakamwansele5040
    @barakamwansele5040 2 หลายเดือนก่อน +2

    My role model mbakiaji

  • @SalimSalim-bv3wb
    @SalimSalim-bv3wb 2 หลายเดือนก่อน

    Eh Jay moe ni story teller mzuri sana

  • @JamesPaulo-oz7tb
    @JamesPaulo-oz7tb 2 หลายเดือนก่อน +6

    Hiii show napishana nayo sana ikiwa live kwa radio mara nyingi naikuta huku

    • @KuviFacts
      @KuviFacts  2 หลายเดือนก่อน +3

      Jumamosi inaanza saa 8 mchana mkuu hadi 11 jioni

    • @DicksonBiseko-mx9mx
      @DicksonBiseko-mx9mx 2 หลายเดือนก่อน

      mr kuvi

  • @martinmwambembe6943
    @martinmwambembe6943 2 หลายเดือนก่อน +1

    Kuvichaka yani umemleta mtu sahii sana❤❤

  • @MichaelAnthonyGuni
    @MichaelAnthonyGuni 2 หลายเดือนก่อน +1

    one of the best MC in this industry

  • @drisakamwakitalima1937
    @drisakamwakitalima1937 2 หลายเดือนก่อน +1

    Juma mchopanga, nakukubali brother

  • @BebaKulwa
    @BebaKulwa 2 หลายเดือนก่อน +4

    Kuvichaka ......nakubali sana mzee....tutafutie Mr.Sahani D knob.....

    • @jumazahoro3537
      @jumazahoro3537 2 หลายเดือนก่อน +1

      Nenda show ya bongo project katoka d knob last week ,next week anahojiwa biz man

    • @joelasu2984
      @joelasu2984 2 หลายเดือนก่อน +1

      D knob kaokokaa, sidhan kama atakubali😢

    • @amandusmark3060
      @amandusmark3060 หลายเดือนก่อน

      D tayari.

  • @yayananajota5838
    @yayananajota5838 2 หลายเดือนก่อน

    Always best👊 jy more🇫🇯🇹🇿

  • @gnmbi
    @gnmbi 2 หลายเดือนก่อน +6

    Mchopanga azeeki

  • @Kitaautange
    @Kitaautange 2 หลายเดือนก่อน

    Bonge la interview Jabir🔥🔥Mchopanga ma story kali kali

  • @godlistenmuro9313
    @godlistenmuro9313 2 หลายเดือนก่อน

    One of my best story teller rappers ever n ever 🎉🎉🎉🎉

  • @kenanimwakanemela483
    @kenanimwakanemela483 2 หลายเดือนก่อน +1

    J mo brain in the house

  • @ronaldissack3338
    @ronaldissack3338 2 หลายเดือนก่อน

    Mo technics🔥🔥🔥🔥🔥
    Story 3

  • @edsonniwagira9569
    @edsonniwagira9569 2 หลายเดือนก่อน

    Noma

  • @Abuukhatibu
    @Abuukhatibu 2 หลายเดือนก่อน +2

    🔥🔥🔥👊

  • @makantaafrika
    @makantaafrika 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mchopanga 🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @JacksonOchieng-dt7xo
    @JacksonOchieng-dt7xo 2 หลายเดือนก่อน

    Big up sana Jay

  • @johnrichard5482
    @johnrichard5482 หลายเดือนก่อน

    #Jamoe Ni Miongoni mwa wa Simuliaji Wazuri Sana🙌🙌🙌

  • @gambajunior138
    @gambajunior138 หลายเดือนก่อน

    One of my idol

  • @thomasgunje7640
    @thomasgunje7640 2 หลายเดือนก่อน +2

    SO FAMOUS

  • @abuubaqr5808
    @abuubaqr5808 2 หลายเดือนก่อน +1

    Top 5 dead or alive, mo technix

  • @BoNoBo_Tlm
    @BoNoBo_Tlm 2 หลายเดือนก่อน +1

    Best interview,hongereni sana

    • @KuviFacts
      @KuviFacts  2 หลายเดือนก่อน +1

      Shukran sana

  • @amoskagika8884
    @amoskagika8884 2 หลายเดือนก่อน +2

    Sasa Jabir next time muulize Jay Moe kuhusu shule ya Irambo maana aliisagia sana kunguni kwenye ule wimbo wa maisha ya boarding. Kwanini alisema ukimpeleka mtoto shule Kama Irambo lazima tu atafeli? Na je haikumletea shida kwa walimu wake na viongozi wake wa shule aliyosoma kwamba jamaa kasoma hapa Afu anaikandia shule yetu? NB toka alivyoimba vile ile shule haijawahi tena kurudi kwenye track😂😂😂😂😂

  • @ambokileasheengai1140
    @ambokileasheengai1140 หลายเดือนก่อน

    Duh Karl Luis,,,Longtime aise mtaa wa samora avenue,,,,Sugu Alikuwa anakuja sana kwa bro Heri,,Shekhe,,,,enzi hizo nauza simu na vinyago pale,,,wajanja wote leo tuko abroad.......kumbukumbu hiyo

  • @MaryamRajab-vb6sx
    @MaryamRajab-vb6sx 2 หลายเดือนก่อน

    The story teller himself mo the classic

  • @fazeelshomary8743
    @fazeelshomary8743 2 หลายเดือนก่อน

    Best Interview 2024

  • @yvesyveldinhomzee.5682
    @yvesyveldinhomzee.5682 2 หลายเดือนก่อน

    LEGEND 🤟

  • @astonchiba5037
    @astonchiba5037 2 หลายเดือนก่อน +1

    Moho mbakiaji🔥🔥💪

    • @daddyarfaksadi
      @daddyarfaksadi 2 หลายเดือนก่อน

      moe mbakiaji😊😊

  • @evanceburton4364
    @evanceburton4364 2 หลายเดือนก่อน +3

    Ukimsikiliza Jay moe kuna namna wanaongea sawa na p funk

    • @johnmwandu2116
      @johnmwandu2116 2 หลายเดือนก่อน +2

      Kumbe na ww umelionaaa, sema nilikuwa naitafuta, kwamba anaongea km nani vile huyuuu, umenisaidia

    • @johnrichard5482
      @johnrichard5482 หลายเดือนก่อน

      Kweli Kabisa.. P funk na Jamoe Wakiongea Wana sound the Same...✍️

  • @shithyomar3828
    @shithyomar3828 2 หลายเดือนก่อน

    Juma big up nimefurahi huyu jamaa nilimkubali tangu tupo makumbusho primary salute where is jafari jafarai

    • @mabudaissere2295
      @mabudaissere2295 2 หลายเดือนก่อน

      Jafarai yupo mikocheni Tmj kuna kituo cha oil com,yeye ana car wash.

  • @salumjumah5648
    @salumjumah5648 2 หลายเดือนก่อน +2

    Anko MO

  • @ngomenyikani8475
    @ngomenyikani8475 2 หลายเดือนก่อน

    Moe 🙏

  • @patrickmwakasungu7121
    @patrickmwakasungu7121 2 หลายเดือนก่อน +1

    💪

  • @miltonemusumbah2544
    @miltonemusumbah2544 2 หลายเดือนก่อน

    Tumemsubiri sana hyu

  • @amoskagika8884
    @amoskagika8884 2 หลายเดือนก่อน

    Kuna namna hawa wasanii wa HipHop wanakuonesha ni namna gani hawa jamaa wana IQ kubwa sana, unamsikiliza mwanzo mwisho huchoki, kuanzia watazamaji mpaka watangazaji wanainjoi. Ni mwendo wa kuburudika, kujifunza, na kuongeza maarifa❤

  • @hiphopoldschoolkalama1405
    @hiphopoldschoolkalama1405 2 หลายเดือนก่อน +1

    Dah, bado narudia, artists wa Bongo wa zamani walikua wamesoma. Wa sasa ni ziii.

  • @beatusmajumbi7125
    @beatusmajumbi7125 2 หลายเดือนก่อน +4

    J MORE,MORE FLAVER, jamaa uwa anakaa kimya akirudi anakaa kwenye nafasi yake na anaenea,

    • @josephlyakurwa
      @josephlyakurwa 2 หลายเดือนก่อน

      Umeiweka kikubwa sana hii 😊

  • @husseinwemmar6217
    @husseinwemmar6217 2 หลายเดือนก่อน +1

    Jay Mo mbona unaongea kama P Funk majani au kwasababu mmekaa sana pale Bongo records

  • @sokastreet
    @sokastreet 2 หลายเดือนก่อน

    So famous

  • @Jabali_Media
    @Jabali_Media หลายเดือนก่อน

    Superman

  • @MrishoMussa-bx8ws
    @MrishoMussa-bx8ws 2 หลายเดือนก่อน +3

    Mo saluti xana kk

  • @shithyomar3828
    @shithyomar3828 2 หลายเดือนก่อน +1

    Tuwekeeni namba ya mchopangà nipo nje ya tz tumepoteana tangu makumbusho primary

  • @nicksoncharles-kx3gr
    @nicksoncharles-kx3gr 2 หลายเดือนก่อน +2

    Damme pind liko moto Sana

    • @KuviFacts
      @KuviFacts  2 หลายเดือนก่อน +1

      Mzuka sana kaka

  • @alexmsigara4329
    @alexmsigara4329 2 หลายเดือนก่อน

    Daaah amenikumbusha way back hiyo rehearsal ya Pool side na talent show ya Mambo Club.

    • @KuviFacts
      @KuviFacts  2 หลายเดือนก่อน

      Haha mzee umepambana sana 🙌🏾

  • @Jabali_Media
    @Jabali_Media หลายเดือนก่อน

    Naaam 😅 moo technic

  • @Eustacengweshemi
    @Eustacengweshemi 2 หลายเดือนก่อน

    Kwenye talk kama hizi za bongo flavour nammis sana Gardner G Habash. RIP bro, mchango wako mkubwa sana.Mike Mhagama kumbe ndio alitambulisha jina la bongo flavour? nimejifunza, kipindi kizuri sana.

  • @marcowelano2245
    @marcowelano2245 หลายเดือนก่อน

    aisee sina deni

  • @alloycemillinga1673
    @alloycemillinga1673 2 หลายเดือนก่อน +1

    Natamani kumjua Uyo Shalonz namsikia mala YA pili Leo, mwenye anamjua

    • @KuviFacts
      @KuviFacts  2 หลายเดือนก่อน

      Shyrose Bhanji andika hivyo instagram utamfahamu ni mwanasaisa kwa sasa

  • @allysudi4429
    @allysudi4429 2 หลายเดือนก่อน +2

    Bro unaongea kama unarap... HIP HOP 4LIFE.

  • @dostovan5142
    @dostovan5142 2 หลายเดือนก่อน

    Top 3 dead or alive

  • @lusungumkolla6672
    @lusungumkolla6672 2 หลายเดือนก่อน +1

    Pop corn zije

  • @Chemba67
    @Chemba67 2 หลายเดือนก่อน +1

    Kuvi bwana eti Inspector anaonekana kama msomali kipindi hicho ......alafu umekauka kau hata kucheka.....🤣🤣

    • @KuviFacts
      @KuviFacts  2 หลายเดือนก่อน +1

      Hahaha noma bro

  • @wilbroadgrarcian1259
    @wilbroadgrarcian1259 2 หลายเดือนก่อน

    Inabidi tupige kura ipi ni the classic bora 😅

  • @iddbahati5245
    @iddbahati5245 2 หลายเดือนก่อน +3

    Guys who is evid??

  • @johnmwandu2116
    @johnmwandu2116 2 หลายเดือนก่อน

    Oyaaaa, hii kuubwa sana, tupange sasa top3, ni ipi kali ya ya interview ya MASANJA, MWANA FALSAFA, JAY TO THE MOE😂

  • @user-dj5wb1lc1q
    @user-dj5wb1lc1q 2 หลายเดือนก่อน

    Ekeni maji wakuuu!! Vp studio 🎙 mnakosa ata mji??

    • @KuviFacts
      @KuviFacts  2 หลายเดือนก่อน +1

      Maji yanakua nje hiyo studio haitakiwa kuna na chakula,maji ama kimimimika chocchote na ukiingia navyo ni uvunjifu wa sheria za studio

    • @johnmwandu2116
      @johnmwandu2116 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@KuviFactsAhsanteeee Leo umenipa jibu

  • @nyemondagalla608
    @nyemondagalla608 2 หลายเดือนก่อน

    Mchopange nakupongeza kwa ukweli wako.

  • @ndogoroedson199
    @ndogoroedson199 2 หลายเดือนก่อน

    Tambulisheni lugha yetu! Achaneni na kiswanglishi cha kuunga unga ninyi

    • @KuviFacts
      @KuviFacts  2 หลายเดือนก่อน

      Sawa mkubwa tusamehe sana tumekosea mkubwa 😀

    • @elinamilyatuu7337
      @elinamilyatuu7337 2 หลายเดือนก่อน +2

      English haiepukiki punguza ushauri

  • @lucaskomba7125
    @lucaskomba7125 2 หลายเดือนก่อน

    Bonge ya madini

  • @goodlucktemu3149
    @goodlucktemu3149 2 หลายเดือนก่อน

    interview ina thamani kubwa zaidi za dhahabu.

    • @KuviFacts
      @KuviFacts  2 หลายเดือนก่อน

      🙏🏾

  • @user-rc6ww6rx7n
    @user-rc6ww6rx7n 2 หลายเดือนก่อน

    Msanii wng bora wa mda wt namkubali sn hy jamaa ukimpa collaboration ujipange