WAKAZI USO KWA USO NA WASHEKESHAJI ELIUD NA KIPOTOSHI BAADA YA KUWAPONDA HAWAJUI KUCHEKESHA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 11 ม.ค. 2024
- #RaisSamia #WaziriMkuu #BungeTanzania #RaisSamia #WaziriMkuu #BungeTanzania #RIPMagufuli #Tanzania255 #Simba #Yanga #Trending #MwanaFA #DiamondPlatnumz #Alikiba #Harmonize #Marioo #Paulah #Kajala #Rayvanny #Jux #Zari #WemaSepetu #Zuchu #Nandy #Billnass #ProfessorJay #Muziki #BongoFleva #HipHop #Komando #PaulMakonda #RomaMkatoliki #NayWaMitego #Burnaboy #Davido #Wizkid #Rema #AyraStarr #TiwaSavage #Amapiano #Mayele #Chama #BASATA #GigyMoney #Darassa #TylerWater #VanessaMdee #Rotimi #WCB #KondeGang #KingsMusicRecords #OmmyDimpoz #HajiManara #MooDewji #PaulMakonda #VanessaMdee #NasikiaHarufu #Shisha #Mwijaku #BabaLevo #LavaLava
Facebook: / earadio
Twitter: / earadiofm
Subscribes: / @eastafricaradio - บันเทิง
Acha roho mbaya we mkaka wenzako wanapambana ili wapate ridhiki zao waishi nafamilia zao Ilawewe unaponda loo unajiona unajua Sana au muheshimu mungu wakzi minnaumia kwasababu wakaka wa watu wanategemewa na familia
Makavu live
Wanyakyusa sio wanafiki
Safii sanaaa
Awa wanyakyusa wana mchana live Jamaa
Eliud genius sana @wakazi kubali bro ulikurupuka
Wakazi mjuaji sana
Wakazi mwenye anaoneka anastrees huyo af anataka utuletee umelekani sisi ayatuusu na umejua kunifuraisha eliud umetumia vzr unyakyusa ujataka kumsemea pembeni
Pigen kaz washkaji zang wakaz ni nan yeye bas akaishi malekani hii ndo bongo land✊️kipo,eliud🙏
apo nimemuelew sana eliud is not just comedian but also ni mtu anatambua nn anaongea lakin wakazi it's seem kama ni kwel alikulupuka. sometimes hizi social media zinataka kufanya mtu atengeneze ka dunia kake kakuweka kilakitu kiwe perfect 100% ni kwel unavyopost kitu atleast think twince kwasab ujumbe haumfukii pekee ake mtu uliyemlenga but inawafikia na wale wasio walengwa wenye thinking ability kubwa (HIVI WAKAZI ANAFANYA KAZI GANI MBONA JINA LAKE AU
Kitu nimekikubali kwa Eliudi huyu jamaa sio mnafiki anakuchana live tu, safi😂
Kwani wakazi ni nani mpaka aseme kitu na kionekane ni sahihi, Mziki Umemshinda Atulize Shanga.
Ndo nani kwani😂
Wakazi anabowa
Wakazi we ni kengeee
Eliudi umeongea vizuri
WAKAZI MJUVIIII ANAJIKUTA ANAJUA KILA KITU NA YEYE NI FAILURE HANA KITU CHOCHOTE SUCCESSFUL KELELE NYINGIIIII
Daaah Eluid Amekasirika sana na imemuuma sana hii kitu
Asa wakaz ni msanii anaimba vinini nayeye mbn mm sijawahi kumwelewa
Wakazi anaushamba sana anajikuta anajua kila kitu
Sanaaaa anajiona yeye ndo kila kitu MAREKANI yote anaijua yeye pmj na sheria zake 😂😂
Hiyo ndiyo raha ya Mnyakyusa hapendi unafiki ukikosea anakuchana hapohapo bila kupepesa macho. Huyo Wakazi anajifanya mjuaji sana hapo amekamatika 😀😀😀
Nmekaa na wanyaki sana...wakarimu sana,halafu hawapindishi maelezo...anakupa kavu
@@andrewmmbaga1665asanteeee
Yaan sahihi sana ukitaka kukaa na mnyakyusa ukawa hupendi ukweli utapata shida. Hawaogopi nani na nani ni UKWELI tuuuuu
Wakazi marecani imemwalibu, yeye anaweza akaisi wamalekani wanachekesha afu nikaenda mm nikanza kulala usingizi
Eliud mwamba sana haogop mtu kwenye ukweli anakupa makavu hata kama upo hapo😂😂
Wanyakyusa ndo tulivyo 😂😂
Mjuaji sana
eliud nilimwona toka akiwa na like 10 nanilimwona natuedfon tweupe😂
Wakazi kila kitu marekani....afu anajua kila kitu duniani hapa.😂😂😂
Wakazi naona anajaribu kuponyoka mikononi mwa Eliud😅😅
Wakazi unaboa hata nimeshindwa kukupa sikio mpaka mwisho
wanyakyusa huwa hawafichi kitu ni watu wa makavu hapo hapo...eliudi kaiva😂
Sanaaaaa big up wanyakyusa
🔥
Huyoo star,s stoke tuuu NBC iendelee
Huyu dada nna mahaba nae nampenda sana jmn
Just coz u been to the states don't mean u know everything
Wanyakyusa huwa hawana shobo za kishamba hata uwe nani ukizingua anakuchana tu big up ghwakukajha elihuti kwanzawWakazi ndo nani eti?
sema eliudi anaconfidence
DAAAH WANAUME MUNGU ANAKUPA BAHATI TUNACHEZEA UYO DEMU BADO MBICHI JAMANI TUACHE UJINGA WANAUM
wakazi yupo sawa ,lakini watu wanachelewa kumuelewa kwa sababu wachekeshaji wengi shule hakuna, uchekeshaji unahitaji akili kubwa sana ,
Naam! Ni vile tu watu waliamua kuchagua upande wakumupinga..
Wew unafanya nini?
Eliud fanyeni kazi kwenye hii dunia siyo kilamtu atapenda unacho kifanya
Pigeni kazi mpuuzieni maana kwenda marekani sio yeye wa kwanza kila kitu anataka kufananisha na marekani
Hahaha hicho si ni kiini cha yai home boy🔥🔥🔥😆😆😆🤣🤣🤣🤣
Kwaza uyo wakazi Ndio namsikia leo ni nani jamani 🤔🤔
Hata mi ,ndo nani
Sema Eliud ana SHOMBO sana😅😅😅😅
Kusema ukweli ndo shombo
Eliud 🤣🤣 haogopi yupo na confidence ya kwenda (kwenye maswali)😂
Kabisa yupo vzr
Wanyakyusa hatuogopi
Nakubali sana wanangu sanaa daaah ahahhahahahha Kipotoshi daaah
Waisa wameandamana,lazima wakupe ukweli wako,umekamatika wakazi
Yaan hawalazi damu
wakazi elimu umetoa✊
Huyo naye kila kitu anajua toa na zako basi kenge wewe
Eliud amempa za uso jamaa 😅😅😅
Me nishabiki wa Roma wakazi wakazi Gani
Wakazi wakazigani snich uyo
😂😂😂kwelu kabisa yani wale mammonta na vilanja walikuaga wanaona km washayapatia maisha walikua wanajua wakifika nje watakuwa hivyohivyo ila namkumbukua mmoja nampenda sana yule mdada jmn alikua akiambia kagua vidumu vya maji km vimeja anakagua anajua kabisa kidumu chako hakina majia hata robo kidumu hayafiki na anakausha hasemi
wakazi ana akili uyo
Hajui hata anachoongea,kweli ni mshamba, tu,
eliudi kamkanda vizuri😅😅😅😅😅
Wakazi we Ni Nan Kwan..? tuliza Wenge
Huyu wakazi ndiyo nani? Anafanya nini cha zaidi kwrenye sanaa ya bongo?na ana mafanikio gani ktk nchi yetu?
safi wakazi kashauri wasanii wote wa tz mziki,uchekeshaji,uigizaji n.k
Yeye mbona kuimba hawezi
Kashauri nini wakati na yeye mwanamziki, na mbna kazi zake hazitembei
mwanangu ananichekesha na suti yake ya njano😅😅😅
Mie nashangaa mpaka sasa hivi kampuni ya Rangi ya Sadolin hawajamfanya Balozi wao, aseeee😂😂😂😂😂😂
Simjui huyu jamaa
Washekeshaji 😮
Shida ya wakazi ni kuvunga anajua kila kitu
Wakaz we choko
Niseme ukweli nimemfahamu wakazi leo hii kupitia eliud
Wakazi hajawahi kuwa naakili timamu na uwezo wake wakunifimilia ni mdogo sana expore yake haina positive impact kwenye industry nfio maana mwenyewe hawezi kujisimamia mpaka atembee na upepo wawenzake
Kwani huyo wakazi ndo anafanyaga nini nchi hii?
😅😂
Hapo kwenye kujipata hapo Joel nanauka anasema student A wanafanya kazi kwa student C kwasbabu student C walipofeli walichagua kitu cha kufanya na wale student A waliendelea kukomaa shuleni
Leo wakazi kayatimba😂
Sasa mmeshindwaje kumuacha kipotoshi aongee mmemkatisha?
"Mafanikio sio lazima aprove wakazi"
Uo n uongoooo bwanaaaa,,,, mkojaniiii howw
wakaz hajuaji kitu huyoo
Huyu wakazi anaboa sana bwege kabisa
kusema hawajui kuchekesha wakati hao ndo wanaotuchekesha unatukosea
huyu tangu aende marekan kila kitu marekani
Mshamba huyu mbuzi
Hahahah
Mtu wenye matunda hupigwa mawe..waisa pigeni kazi uyo jamaa hajielew Kwan lazma acheke yeye
Cheka tu ninoma zaidi ya hawa watu baki
Naona mkono uliteleza badala ya wachekeshaji imeandikwa washekeshaji
Wakazi acaha ujuaji
Huyo wakazi hana uwezo wa kuzuia riziki ya mtu.
Nafasi gan anayo uyu wakaz
Wakazi huna kazi Mana hata mziki wako hamna kitu😂😂😂
Wakazi hana kazi ,mwambie abadilishe kofia hiyo
Eliud ni moto na Question ni hatarii
Sio kla mckchji unaweza kumechi nae ,
Opposite na IKULU😅😅😅
Wakazii Wakiiii😂😂😂
Rich anacheka tuu😂😂😂
Kwa hiyo Wakazi anajua kila kitu sasa 🤔
Ww fala siulikuwa mwanamuziki raper ulifanya nini acha usenge acha watu wapambane maisha
W kwenye kofia yake inastand for “wack” ! Wakazi hanaga issue ni ujuaji tu ambao hauna msingi.
Eliud vs yombo hapo vp
Kipaji juhudi na bahati
Wakazi kajifanya mzungu eti
Hamna baya comedians huko huko marekeni mtaenda
Wakazi umetwangwa nakitu kizito na Eliudi
Eti wakazi maneno mengiii ujuaji mwingii for nothing kwenda Marekani nini sisi ndugu zetu wako Abroad miaka kibao na wana uraia wa huko hawana kelele
wakazi bwege tu wewe binadamu gani mjuaji wa kila kitu😅
Kwani uyu jamaa ninani 😢
Wakazi😢😢mjuaji sanaa 😢😢😢
Huyu mpumbavu wakazi anajiona anaakili nyingi wakati chengu2 kilakitu anatanguliza wivu2 walayeye hanaliwalo
Anataka tu, nayeye ku treend
huyu wakazi zamani alikua na akili sahv maviii tu🤣🤣🤣🤣
Ebuu chekesha ww wakaz tuone
Uzuri tunakukubali eliud,akafie mbele huko
Kil kitu anajitia anajua