WAKAZI USO KWA USO NA WASHEKESHAJI ELIUD NA KIPOTOSHI BAADA YA KUWAPONDA HAWAJUI KUCHEKESHA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 11 ม.ค. 2024
  • #RaisSamia #WaziriMkuu #BungeTanzania #RaisSamia #WaziriMkuu #BungeTanzania #RIPMagufuli #Tanzania255 #Simba #Yanga #Trending #MwanaFA #DiamondPlatnumz #Alikiba #Harmonize #Marioo #Paulah #Kajala #Rayvanny #Jux #Zari #WemaSepetu #Zuchu #Nandy #Billnass #ProfessorJay #Muziki #BongoFleva #HipHop #Komando #PaulMakonda #RomaMkatoliki #NayWaMitego #Burnaboy #Davido #Wizkid #Rema #AyraStarr #TiwaSavage #Amapiano #Mayele #Chama #BASATA #GigyMoney #Darassa #TylerWater #VanessaMdee #Rotimi #WCB #KondeGang #KingsMusicRecords #OmmyDimpoz #HajiManara #MooDewji #PaulMakonda #VanessaMdee #NasikiaHarufu #Shisha #Mwijaku #BabaLevo #LavaLava
    Facebook: / earadio
    Twitter: / earadiofm
    Subscribes: / @eastafricaradio
  • บันเทิง

ความคิดเห็น • 174

  • @RebecaAdam-js6ox
    @RebecaAdam-js6ox หลายเดือนก่อน +1

    Acha roho mbaya we mkaka wenzako wanapambana ili wapate ridhiki zao waishi nafamilia zao Ilawewe unaponda loo unajiona unajua Sana au muheshimu mungu wakzi minnaumia kwasababu wakaka wa watu wanategemewa na familia

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 5 หลายเดือนก่อน +7

    Makavu live
    Wanyakyusa sio wanafiki
    Safii sanaaa

  • @SmartVicenzo
    @SmartVicenzo 24 วันที่ผ่านมา +1

    Awa wanyakyusa wana mchana live Jamaa

  • @finetinah9784
    @finetinah9784 5 หลายเดือนก่อน +7

    Eliud genius sana @wakazi kubali bro ulikurupuka

    • @mdachiog5211
      @mdachiog5211 5 หลายเดือนก่อน

      Wakazi mjuaji sana

  • @amisasadock6857
    @amisasadock6857 5 หลายเดือนก่อน +4

    Wakazi mwenye anaoneka anastrees huyo af anataka utuletee umelekani sisi ayatuusu na umejua kunifuraisha eliud umetumia vzr unyakyusa ujataka kumsemea pembeni

  • @user-bd3zh2tn6u
    @user-bd3zh2tn6u 5 หลายเดือนก่อน +3

    Pigen kaz washkaji zang wakaz ni nan yeye bas akaishi malekani hii ndo bongo land✊️kipo,eliud🙏

  • @kinzupdate752
    @kinzupdate752 5 หลายเดือนก่อน +5

    apo nimemuelew sana eliud is not just comedian but also ni mtu anatambua nn anaongea lakin wakazi it's seem kama ni kwel alikulupuka. sometimes hizi social media zinataka kufanya mtu atengeneze ka dunia kake kakuweka kilakitu kiwe perfect 100% ni kwel unavyopost kitu atleast think twince kwasab ujumbe haumfukii pekee ake mtu uliyemlenga but inawafikia na wale wasio walengwa wenye thinking ability kubwa (HIVI WAKAZI ANAFANYA KAZI GANI MBONA JINA LAKE AU

  • @officialngalya3062
    @officialngalya3062 5 หลายเดือนก่อน +5

    Kitu nimekikubali kwa Eliudi huyu jamaa sio mnafiki anakuchana live tu, safi😂

  • @user-vk5nb4uz6h
    @user-vk5nb4uz6h 5 หลายเดือนก่อน +5

    Kwani wakazi ni nani mpaka aseme kitu na kionekane ni sahihi, Mziki Umemshinda Atulize Shanga.

  • @SmartVicenzo
    @SmartVicenzo 24 วันที่ผ่านมา +1

    Wakazi anabowa

  • @jeremiasilla3586
    @jeremiasilla3586 25 วันที่ผ่านมา

    Wakazi we ni kengeee

  • @jastinarts
    @jastinarts 5 หลายเดือนก่อน +5

    Eliudi umeongea vizuri

  • @meshackngaboss1236
    @meshackngaboss1236 5 หลายเดือนก่อน +5

    WAKAZI MJUVIIII ANAJIKUTA ANAJUA KILA KITU NA YEYE NI FAILURE HANA KITU CHOCHOTE SUCCESSFUL KELELE NYINGIIIII

  • @saeedmagoda9651
    @saeedmagoda9651 5 หลายเดือนก่อน +9

    Daaah Eluid Amekasirika sana na imemuuma sana hii kitu

  • @jamaliselemani850
    @jamaliselemani850 5 หลายเดือนก่อน +3

    Asa wakaz ni msanii anaimba vinini nayeye mbn mm sijawahi kumwelewa

  • @Commentsplus
    @Commentsplus 5 หลายเดือนก่อน +10

    Wakazi anaushamba sana anajikuta anajua kila kitu

    • @rogersiddy
      @rogersiddy 5 หลายเดือนก่อน +1

      Sanaaaa anajiona yeye ndo kila kitu MAREKANI yote anaijua yeye pmj na sheria zake 😂😂

  • @prospermwambeje5007
    @prospermwambeje5007 5 หลายเดือนก่อน +5

    Hiyo ndiyo raha ya Mnyakyusa hapendi unafiki ukikosea anakuchana hapohapo bila kupepesa macho. Huyo Wakazi anajifanya mjuaji sana hapo amekamatika 😀😀😀

    • @andrewmmbaga1665
      @andrewmmbaga1665 4 หลายเดือนก่อน

      Nmekaa na wanyaki sana...wakarimu sana,halafu hawapindishi maelezo...anakupa kavu

    • @HappyMwaigwisya
      @HappyMwaigwisya 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@andrewmmbaga1665asanteeee

    • @HappyMwaigwisya
      @HappyMwaigwisya 2 หลายเดือนก่อน

      Yaan sahihi sana ukitaka kukaa na mnyakyusa ukawa hupendi ukweli utapata shida. Hawaogopi nani na nani ni UKWELI tuuuuu

  • @tonoboymwatonokaaa2862
    @tonoboymwatonokaaa2862 5 หลายเดือนก่อน +5

    Wakazi marecani imemwalibu, yeye anaweza akaisi wamalekani wanachekesha afu nikaenda mm nikanza kulala usingizi

  • @user-ss7ko2hc5n
    @user-ss7ko2hc5n 5 หลายเดือนก่อน +5

    Eliud mwamba sana haogop mtu kwenye ukweli anakupa makavu hata kama upo hapo😂😂

    • @bahatirobert1009
      @bahatirobert1009 หลายเดือนก่อน

      Wanyakyusa ndo tulivyo 😂😂

  • @mohdmohd8428
    @mohdmohd8428 5 หลายเดือนก่อน +3

    Mjuaji sana

  • @adozenaziz8362
    @adozenaziz8362 5 หลายเดือนก่อน +16

    eliud nilimwona toka akiwa na like 10 nanilimwona natuedfon tweupe😂

  • @moviekaa
    @moviekaa 5 หลายเดือนก่อน +4

    Wakazi kila kitu marekani....afu anajua kila kitu duniani hapa.😂😂😂

  • @afisamipango005
    @afisamipango005 5 หลายเดือนก่อน +13

    Wakazi naona anajaribu kuponyoka mikononi mwa Eliud😅😅

  • @Commentsplus
    @Commentsplus 5 หลายเดือนก่อน +7

    Wakazi unaboa hata nimeshindwa kukupa sikio mpaka mwisho

  • @joeandres9744
    @joeandres9744 5 หลายเดือนก่อน +5

    wanyakyusa huwa hawafichi kitu ni watu wa makavu hapo hapo...eliudi kaiva😂

    • @HappyMwaigwisya
      @HappyMwaigwisya 2 หลายเดือนก่อน

      Sanaaaaa big up wanyakyusa

  • @kesphaanyitike7751
    @kesphaanyitike7751 5 หลายเดือนก่อน +1

    🔥

  • @JosephmasanjaShilinde-jv9rh
    @JosephmasanjaShilinde-jv9rh 5 หลายเดือนก่อน +1

    Huyoo star,s stoke tuuu NBC iendelee

  • @bongorecaps3558
    @bongorecaps3558 5 หลายเดือนก่อน +2

    Huyu dada nna mahaba nae nampenda sana jmn

  • @dostovan5142
    @dostovan5142 5 หลายเดือนก่อน +3

    Just coz u been to the states don't mean u know everything

  • @kyalagwamaka1550
    @kyalagwamaka1550 4 หลายเดือนก่อน

    Wanyakyusa huwa hawana shobo za kishamba hata uwe nani ukizingua anakuchana tu big up ghwakukajha elihuti kwanzawWakazi ndo nani eti?

  • @annamarychristopher1675
    @annamarychristopher1675 2 หลายเดือนก่อน

    sema eliudi anaconfidence

  • @user-tx5pn3jd4e
    @user-tx5pn3jd4e 5 หลายเดือนก่อน +2

    DAAAH WANAUME MUNGU ANAKUPA BAHATI TUNACHEZEA UYO DEMU BADO MBICHI JAMANI TUACHE UJINGA WANAUM

  • @kwisa4899
    @kwisa4899 5 หลายเดือนก่อน +1

    wakazi yupo sawa ,lakini watu wanachelewa kumuelewa kwa sababu wachekeshaji wengi shule hakuna, uchekeshaji unahitaji akili kubwa sana ,

    • @njoroboihastla
      @njoroboihastla 5 หลายเดือนก่อน

      Naam! Ni vile tu watu waliamua kuchagua upande wakumupinga..

    • @gwamakawilliam5895
      @gwamakawilliam5895 5 หลายเดือนก่อน

      Wew unafanya nini?

  • @user-qn4hs2jz1m
    @user-qn4hs2jz1m 5 หลายเดือนก่อน +1

    Eliud fanyeni kazi kwenye hii dunia siyo kilamtu atapenda unacho kifanya

  • @mgayamgaya
    @mgayamgaya 5 หลายเดือนก่อน +2

    Pigeni kazi mpuuzieni maana kwenda marekani sio yeye wa kwanza kila kitu anataka kufananisha na marekani

  • @rogerslwitiko3915
    @rogerslwitiko3915 5 หลายเดือนก่อน +4

    Hahaha hicho si ni kiini cha yai home boy🔥🔥🔥😆😆😆🤣🤣🤣🤣

  • @zaunamoody7311
    @zaunamoody7311 5 หลายเดือนก่อน +2

    Kwaza uyo wakazi Ndio namsikia leo ni nani jamani 🤔🤔

  • @fadhilsalum2143
    @fadhilsalum2143 5 หลายเดือนก่อน +5

    Sema Eliud ana SHOMBO sana😅😅😅😅

  • @PhyinaElias-mu4wf
    @PhyinaElias-mu4wf 5 หลายเดือนก่อน +4

    Eliud 🤣🤣 haogopi yupo na confidence ya kwenda (kwenye maswali)😂

  • @mrenjoyfootball8403
    @mrenjoyfootball8403 5 หลายเดือนก่อน +2

    Nakubali sana wanangu sanaa daaah ahahhahahahha Kipotoshi daaah

  • @jessicamwasandube944
    @jessicamwasandube944 5 หลายเดือนก่อน +4

    Waisa wameandamana,lazima wakupe ukweli wako,umekamatika wakazi

  • @samwelsalon6590
    @samwelsalon6590 5 หลายเดือนก่อน

    wakazi elimu umetoa✊

  • @amedeuskimario8895
    @amedeuskimario8895 5 หลายเดือนก่อน +2

    Huyo naye kila kitu anajua toa na zako basi kenge wewe

  • @user-ub1pq4dp1v
    @user-ub1pq4dp1v 5 หลายเดือนก่อน +2

    Eliud amempa za uso jamaa 😅😅😅

  • @user-zh5pb9tx2m
    @user-zh5pb9tx2m 5 หลายเดือนก่อน +1

    Me nishabiki wa Roma wakazi wakazi Gani

  • @ChoraKisiki-zz3ut
    @ChoraKisiki-zz3ut 4 หลายเดือนก่อน +1

    Wakazi wakazigani snich uyo

  • @pikanaauntzuu1466
    @pikanaauntzuu1466 5 หลายเดือนก่อน +1

    😂😂😂kwelu kabisa yani wale mammonta na vilanja walikuaga wanaona km washayapatia maisha walikua wanajua wakifika nje watakuwa hivyohivyo ila namkumbukua mmoja nampenda sana yule mdada jmn alikua akiambia kagua vidumu vya maji km vimeja anakagua anajua kabisa kidumu chako hakina majia hata robo kidumu hayafiki na anakausha hasemi

  • @user-dm7br6sl1i
    @user-dm7br6sl1i 5 หลายเดือนก่อน +1

    wakazi ana akili uyo

  • @user-mr2ow1yi3g
    @user-mr2ow1yi3g 5 หลายเดือนก่อน +1

    Hajui hata anachoongea,kweli ni mshamba, tu,

  • @BenLeeBl
    @BenLeeBl 5 หลายเดือนก่อน +1

    eliudi kamkanda vizuri😅😅😅😅😅

  • @PanchoValentino-wh7wt
    @PanchoValentino-wh7wt 5 หลายเดือนก่อน +2

    Wakazi we Ni Nan Kwan..? tuliza Wenge

  • @godfreymwamaso2424
    @godfreymwamaso2424 5 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu wakazi ndiyo nani? Anafanya nini cha zaidi kwrenye sanaa ya bongo?na ana mafanikio gani ktk nchi yetu?

  • @arostoyaoo7098
    @arostoyaoo7098 5 หลายเดือนก่อน

    safi wakazi kashauri wasanii wote wa tz mziki,uchekeshaji,uigizaji n.k

    • @deusmbuge5740
      @deusmbuge5740 5 หลายเดือนก่อน +1

      Yeye mbona kuimba hawezi

    • @gwamakawilliam5895
      @gwamakawilliam5895 5 หลายเดือนก่อน

      Kashauri nini wakati na yeye mwanamziki, na mbna kazi zake hazitembei

  • @brightontheogenes5093
    @brightontheogenes5093 5 หลายเดือนก่อน +4

    mwanangu ananichekesha na suti yake ya njano😅😅😅

    • @Geeze905
      @Geeze905 4 หลายเดือนก่อน

      Mie nashangaa mpaka sasa hivi kampuni ya Rangi ya Sadolin hawajamfanya Balozi wao, aseeee😂😂😂😂😂😂

  • @yohanamussa4134
    @yohanamussa4134 4 หลายเดือนก่อน

    Simjui huyu jamaa

  • @shearbytz
    @shearbytz 5 หลายเดือนก่อน

    Washekeshaji 😮

  • @user-eb3hf1lm9e
    @user-eb3hf1lm9e 4 หลายเดือนก่อน

    Shida ya wakazi ni kuvunga anajua kila kitu

  • @sammasika3627
    @sammasika3627 5 หลายเดือนก่อน +1

    Wakaz we choko

  • @kingswebe3251
    @kingswebe3251 4 หลายเดือนก่อน

    Niseme ukweli nimemfahamu wakazi leo hii kupitia eliud

  • @robertsimfukwe1097
    @robertsimfukwe1097 5 หลายเดือนก่อน

    Wakazi hajawahi kuwa naakili timamu na uwezo wake wakunifimilia ni mdogo sana expore yake haina positive impact kwenye industry nfio maana mwenyewe hawezi kujisimamia mpaka atembee na upepo wawenzake

  • @gwamakawilliam5895
    @gwamakawilliam5895 5 หลายเดือนก่อน +1

    Kwani huyo wakazi ndo anafanyaga nini nchi hii?

  • @pikanaauntzuu1466
    @pikanaauntzuu1466 5 หลายเดือนก่อน

    Hapo kwenye kujipata hapo Joel nanauka anasema student A wanafanya kazi kwa student C kwasbabu student C walipofeli walichagua kitu cha kufanya na wale student A waliendelea kukomaa shuleni

  • @kafungorajab5897
    @kafungorajab5897 5 หลายเดือนก่อน +3

    Leo wakazi kayatimba😂

  • @nyotamy3678
    @nyotamy3678 5 หลายเดือนก่อน +1

    Sasa mmeshindwaje kumuacha kipotoshi aongee mmemkatisha?

  • @lwitikomayele5819
    @lwitikomayele5819 5 หลายเดือนก่อน +1

    "Mafanikio sio lazima aprove wakazi"

  • @user-eu3ed2uy6b
    @user-eu3ed2uy6b 4 หลายเดือนก่อน

    Uo n uongoooo bwanaaaa,,,, mkojaniiii howw

  • @kimbwapulekig8126
    @kimbwapulekig8126 5 หลายเดือนก่อน

    wakaz hajuaji kitu huyoo

  • @Khalidniya380
    @Khalidniya380 5 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu wakazi anaboa sana bwege kabisa

  • @nasibugunda7927
    @nasibugunda7927 4 หลายเดือนก่อน

    kusema hawajui kuchekesha wakati hao ndo wanaotuchekesha unatukosea

  • @BenLeeBl
    @BenLeeBl 5 หลายเดือนก่อน +2

    huyu tangu aende marekan kila kitu marekani

  • @isaacknjuguna6398
    @isaacknjuguna6398 2 หลายเดือนก่อน

    Mtu wenye matunda hupigwa mawe..waisa pigeni kazi uyo jamaa hajielew Kwan lazma acheke yeye

  • @ninjaisma7983
    @ninjaisma7983 5 หลายเดือนก่อน +1

    Cheka tu ninoma zaidi ya hawa watu baki

  • @castorymakwanda4344
    @castorymakwanda4344 5 หลายเดือนก่อน

    Naona mkono uliteleza badala ya wachekeshaji imeandikwa washekeshaji

  • @Commentsplus
    @Commentsplus 5 หลายเดือนก่อน

    Wakazi acaha ujuaji

  • @FucianeBulemo-nd4wc
    @FucianeBulemo-nd4wc 5 หลายเดือนก่อน

    Huyo wakazi hana uwezo wa kuzuia riziki ya mtu.

  • @user-ov7ge3ci6f
    @user-ov7ge3ci6f 5 หลายเดือนก่อน

    Nafasi gan anayo uyu wakaz

  • @mdachiog5211
    @mdachiog5211 5 หลายเดือนก่อน +1

    Wakazi huna kazi Mana hata mziki wako hamna kitu😂😂😂

  • @godfreyamyinga5759
    @godfreyamyinga5759 5 หลายเดือนก่อน

    Wakazi hana kazi ,mwambie abadilishe kofia hiyo

  • @bandit3779
    @bandit3779 5 หลายเดือนก่อน +2

    Eliud ni moto na Question ni hatarii

  • @user-ov7ge3ci6f
    @user-ov7ge3ci6f 5 หลายเดือนก่อน +2

    Sio kla mckchji unaweza kumechi nae ,

  • @eaglenotorious2527
    @eaglenotorious2527 5 หลายเดือนก่อน +2

    Opposite na IKULU😅😅😅

  • @semenitheclassic
    @semenitheclassic 5 หลายเดือนก่อน

    Wakazii Wakiiii😂😂😂

  • @njoroboihastla
    @njoroboihastla 5 หลายเดือนก่อน

    Rich anacheka tuu😂😂😂

  • @benancejohn1198
    @benancejohn1198 5 หลายเดือนก่อน

    Kwa hiyo Wakazi anajua kila kitu sasa 🤔

  • @khalidmdotta3843
    @khalidmdotta3843 3 หลายเดือนก่อน

    Ww fala siulikuwa mwanamuziki raper ulifanya nini acha usenge acha watu wapambane maisha

  • @ikabako2454
    @ikabako2454 5 หลายเดือนก่อน

    W kwenye kofia yake inastand for “wack” ! Wakazi hanaga issue ni ujuaji tu ambao hauna msingi.

  • @bakarikayugwa3295
    @bakarikayugwa3295 5 หลายเดือนก่อน

    Eliud vs yombo hapo vp

  • @fizzozimba
    @fizzozimba 4 หลายเดือนก่อน

    Kipaji juhudi na bahati

  • @patrickpatrick6386
    @patrickpatrick6386 5 หลายเดือนก่อน +1

    Wakazi kajifanya mzungu eti

  • @ministererickluhanga810
    @ministererickluhanga810 5 หลายเดือนก่อน

    Hamna baya comedians huko huko marekeni mtaenda

  • @mwansasu
    @mwansasu 5 หลายเดือนก่อน

    Wakazi umetwangwa nakitu kizito na Eliudi

  • @godfreymwamaso2424
    @godfreymwamaso2424 5 หลายเดือนก่อน

    Eti wakazi maneno mengiii ujuaji mwingii for nothing kwenda Marekani nini sisi ndugu zetu wako Abroad miaka kibao na wana uraia wa huko hawana kelele

  • @law93king
    @law93king 5 หลายเดือนก่อน +2

    wakazi bwege tu wewe binadamu gani mjuaji wa kila kitu😅

  • @Zillionking627
    @Zillionking627 5 หลายเดือนก่อน +1

    Kwani uyu jamaa ninani 😢

    • @Zillionking627
      @Zillionking627 5 หลายเดือนก่อน

      Wakazi😢😢mjuaji sanaa 😢😢😢

  • @mozasalum8742
    @mozasalum8742 5 หลายเดือนก่อน

    Huyu mpumbavu wakazi anajiona anaakili nyingi wakati chengu2 kilakitu anatanguliza wivu2 walayeye hanaliwalo

  • @user-mr2ow1yi3g
    @user-mr2ow1yi3g 5 หลายเดือนก่อน

    Anataka tu, nayeye ku treend

  • @patrickedward937
    @patrickedward937 4 หลายเดือนก่อน

    huyu wakazi zamani alikua na akili sahv maviii tu🤣🤣🤣🤣

  • @user-ov7ge3ci6f
    @user-ov7ge3ci6f 5 หลายเดือนก่อน +1

    Ebuu chekesha ww wakaz tuone

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 5 หลายเดือนก่อน

    Uzuri tunakukubali eliud,akafie mbele huko

  • @donlinechanell4760
    @donlinechanell4760 5 หลายเดือนก่อน

    Kil kitu anajitia anajua