Profesa Safari aelezea sababu ya kujitenga na siasa, asema "Siwezi kuwa chawa, najitoa kafala"

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 6 พ.ค. 2024
  • Dar es Salaam. Mtaalamu na mbobezi wa masuala ya sheria, Profesa Abdallah Safari amefichua siri ya kujiweka kando na shughuli za kisiasa badala yake ameamua kukitumia ipasavyo kipawa chake cha utunzi wa vitabu.
    Profesa Safari aliyewahi kuwa kada na mshauri wa masuala muhimu ya kisheria wa Chama cha Wananchi (CUF), anasema akijitosa katika siasa hivi sasa atajitoa kafala, ndio maana amejiondoa huko akidai hakuna watu makini.
    Mwanazuoni huyo ameeleza hayo wakati wa mahojiano wa maalum na Mwananchi Digital lililotaka kujua masuala mbalimbali yanayomhusu katika nyanja za siasa, taaluma ya sheria na uandishi wa vitabu.

ความคิดเห็น • 86

  • @DiwaniMwafongo
    @DiwaniMwafongo หลายเดือนก่อน +2

    Asante sana Prof. Prof wa kweli sio maprof Chawa akina Kitila Mkumbo, maprof. Njaa!!

  • @hajimbaruku9537
    @hajimbaruku9537 หลายเดือนก่อน +2

    Nimevutiwa sana na interview hii, sana, sana, Professa Safari nampenda sana, ana madini mengi mno kichwani kwa sababu anasoma sana vitabu, kila ninapoona mahojiano yake lazima nimsikilize, sasa naomba kitabu chake cha Safari ya Uwakili kikitoka mtujulishe jamani, wa kwanza kukinunua ni mimi

  • @innocentmleli1196
    @innocentmleli1196 หลายเดือนก่อน +3

    Umewaambia ukweli

  • @kindysuleiman5935
    @kindysuleiman5935 หลายเดือนก่อน +1

    Professor nakukubali unazungumza kweli mungu atawalani ccm

  • @ramadhanmwandambotuntufye5972
    @ramadhanmwandambotuntufye5972 หลายเดือนก่อน +1

    Allah akupe mwisho mwema profesa, safari nakuelewa sana, haya masomi ya siku hizi yamesoma lakini hayajaelimika, ni mafisadi, waoga , waongo , wafia tumbo, misomi mingi ya kileo haijitambui, hata hao watenda haki wa zama hizi wameoza, wanatoa haki kwa wenye Hela.

  • @TumainiMchomvu-zv3sv
    @TumainiMchomvu-zv3sv หลายเดือนก่อน +3

    Daa umeongea fact sana

  • @bodyaman
    @bodyaman หลายเดือนก่อน +4

    Ingependeza kama mamlaka zingekuweka kwenye kamati ya Kumshauri Raisi katika masuala ya kisheria na mikataba naimani ungetufaa zaidi

    • @DiwaniMwafongo
      @DiwaniMwafongo หลายเดือนก่อน

      Kwani kamati ya " halmashauzi" kuu ya Chawa aliyokuwa nayo haimtoshi?
      Naogopa kusema nchi hii haijawahi kupata Raisi wa sisi wachawi " mvaa" barakashia/ mtandio ambae SI "mdebwedo"!!

    • @benedictmrisho1800
      @benedictmrisho1800 หลายเดือนก่อน

      Mamlaka ipi wakati Rais ndio mamlaka yenyewe?

    • @DiwaniMwafongo
      @DiwaniMwafongo หลายเดือนก่อน

      @@benedictmrisho1800 , ndio maana tunataka katiba mpya. Ni nchi zetu silizojaa wajinga na wabumbavu ambazo zimempa mamlaka mtumishi wao!!

  • @user-rq4fq4pw4y
    @user-rq4fq4pw4y หลายเดือนก่อน

    Prof nakukubali sana na nadhani napenda niishi maisha kama yako

  • @vickytorry100
    @vickytorry100 หลายเดือนก่อน

    Profesa Safari inabidi ujitokeze ulisaidie Taifa, wewe ni mkweli sana ulivyokuwa mwanasiasa nilikufuatilia ‘you are unique’ hata nafasi ya urais inakufaa🙏🏾

  • @salumjumaruhaga2513
    @salumjumaruhaga2513 หลายเดือนก่อน +1

    Safi sana shekh uamuzi mzuri sana

  • @johngibson3089
    @johngibson3089 หลายเดือนก่อน +1

    Asante Professor Safari

  • @petroyohana1126
    @petroyohana1126 หลายเดือนก่อน +1

    Well said Prof 👏

  • @mboneamalaki5674
    @mboneamalaki5674 หลายเดือนก่อน +1

    You inspired me Prof

  • @hasaabdi7199
    @hasaabdi7199 หลายเดือนก่อน +1

    Allah anakupenda siasa mchezo mchafu

  • @albertkamala6843
    @albertkamala6843 หลายเดือนก่อน +1

    Mafanikio ya nchi..tazama wanaohusika kutoa haki!
    Nikiwaangalia Majaji hawa wa sasa hv!
    Majaji stadi
    Luis makame, khawa Lugakingira, Barnabas Samata.
    Sheria itatakiwa itekeleze haki..kanuni zisizuie haki kutendeka!
    Polisi na Mahakama vinara wa rushwa!
    Sijivunii majaji..wanafunzi wangu! Wameniangusha! Mawakili wako sawa!

  • @webstersinje7712
    @webstersinje7712 หลายเดือนก่อน +1

    Laiti katiba ingeruhusu ugombea binafsi,naamini kungekuwa na uhuru zaidi wa mawazo,,huu ugombea hadi kutumia mwamvuli wa vyama ndio chanzo cha kufinya uhuru wa mawazo na mitazamo,maana unaongea kwa "handbreak" unawaza wenzangu watanifikiriaje au chama changu hakitaki kabisa kusikia aina hii ya mawazo,Binafsi nimekuwa kwenye fikira hizo miaka mingi nyuma....Kunta...Kinte.

  • @wahurumasibale6155
    @wahurumasibale6155 หลายเดือนก่อน

    Heshima kwako Prof.

  • @adammbuba7230
    @adammbuba7230 หลายเดือนก่อน

    Prof kama prof
    Kwa kweli uko bomba

  • @adamlyanda9450
    @adamlyanda9450 หลายเดือนก่อน

    Asante professa

  • @murubonabaptistmbstudentce7293
    @murubonabaptistmbstudentce7293 หลายเดือนก่อน +2

    Mwalimu ukijitenga na wala rushwa kwa kukaa kimya inamanisha nini?

  • @kyaro5945
    @kyaro5945 หลายเดือนก่อน +1

    FUNCTIONALIST Prof. Safari umewaambia. Mmbunge alipwe m18 na Medical Dr alipwe 3 m. Haiwezekani

  • @gordonausubisye8074
    @gordonausubisye8074 หลายเดือนก่อน

    Kwa kweli profesor Safari wewe mtu mwenye Madini sana sijui watawala hawakuonii wewe mtu mhim sana katika Nchi hii kweli mkweli hahitajiki sijui kwa nini

  • @husseinmtima6106
    @husseinmtima6106 หลายเดือนก่อน

    Napenda anavyozungumza yaani ana relax

  • @frankphiri9132
    @frankphiri9132 หลายเดือนก่อน +1

    Si uanzishe chsko nawanao au wataingia kwa kufuata itikadi zako usitudanganye mtawala yeyote lzm jpite ktk vitisho hapo umefeli Prof kaa kimyaaaaaaa

  • @patrinraura1397
    @patrinraura1397 หลายเดือนก่อน

    Mhe. Tukushukuru kwa kutumia Kipawa chako Mungu alichokujalia Kuandika Vitabu kusaidia Kada ya Elimu na hasa ngazi za chini

  • @khalidhaibe9492
    @khalidhaibe9492 หลายเดือนก่อน +1

    Lafudhi adhimu ya kiswahili toka kwa Prof Safari

  • @RBMBAKARI-bv6wn
    @RBMBAKARI-bv6wn หลายเดือนก่อน

    Ukiipenda dini hutakua muongo utakukalia mbali sana ndio maana watu wachamungu sana hawataki siasa

  • @JosephuSwai
    @JosephuSwai หลายเดือนก่อน +1

    Wewe ni tatizo prof

  • @rasnchimbi
    @rasnchimbi หลายเดือนก่อน +1

    Malalamiko na malaumu na references kibao za wakoloni kutoka kichwani kwa prof.🤣🤣

  • @benedictmrisho1800
    @benedictmrisho1800 หลายเดือนก่อน

    Magazeti yanaandika mambo yasiyo na ukweli mf kusifu sifu bila ukweli na habari zisizotafitiwa vizuri ( investigative journalism). Mwandishi anaandika mtuhumiwa wa kulawiti mtoto akamatwa afikishwa mahakamani. Story inaishia hapo haendi kufuatilia mwenendo wa kesi hadi mwisho.

  • @MrKhatibu
    @MrKhatibu หลายเดือนก่อน

    Lakini tuseme ukweli hapo kwenye watu wenye mvuto wa kuwa convinced watu

  • @yahayamjenga1996
    @yahayamjenga1996 หลายเดือนก่อน +1

    Critics nyingi hapa ni kwa kuwa kavaa kanzu and smart hakuna reasons za msingi hasa za critics za wachangiaji. Angevaa suti na tai huyu angeshangiliwa 😂

    • @aidanaiken8147
      @aidanaiken8147 หลายเดือนก่อน

      Acha udini ww, Prof Safari tunamkubali kabla hatujajua dini yake

  • @angelanaftael7965
    @angelanaftael7965 หลายเดือนก่อน +1

    You can't bring revolution in single handed...tafakari...

  • @evelina9621
    @evelina9621 หลายเดือนก่อน

    Tuokoe
    Baba.safari.jina.zuri.binafsi.nakupenda.uwe.kiongozi.wetu.karama.yako.itumie.watu.wwafurahi

  • @francisboydmwakyusa230
    @francisboydmwakyusa230 หลายเดือนก่อน

    Hakika wewe ni Mkweli, nikikumbuka swali la Ukabila na Ukanda ulivyo wauliza CDM wkt wanakutaka ujiunge nao, swali hilo kuwauliza watu wanaojinasibu na hiyo sifa ilikua kama umeanzisha vita.

  • @boneventuremweya3673
    @boneventuremweya3673 หลายเดือนก่อน

    Paza sauti tujue ukweli unaodhani ndo ukweli kujifungia ni ubinafsi

  • @mzeekidevu9688
    @mzeekidevu9688 หลายเดือนก่อน

    Wewe unataka mtelemko suka chama chaji tulione onesha msimamo wako watu tukuunge mkono

  • @amohammed3390
    @amohammed3390 หลายเดือนก่อน

    Sasahivi magazeti free kwenye train na buses😂

  • @michaelbachubira7197
    @michaelbachubira7197 หลายเดือนก่อน

    Sasa kyoma unatua haje elimu ulio nayo unaacha nini kwa vizazi vijavyo

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 หลายเดือนก่อน

    Sheikh hayupo siriaz huyo wasomi wetu wanazingua

  • @kakorejrboyz6447
    @kakorejrboyz6447 หลายเดือนก่อน

    VITU DUNIANI
    AMBAVYO VINASABABISHA MTU UWE MBAGUZI NA KUDHINDWA KUTEKELEZA UTAALAMU WAKO KUISAIDIA JAMII NI DINI NA SIASA.
    AMINI MANENO YANGU KAMA HUUAMINI FANYA UTAFITI

  • @angelsblackboard8008
    @angelsblackboard8008 หลายเดือนก่อน

    Kafala ndio mdudu gani?

  • @othumanomari1589
    @othumanomari1589 หลายเดือนก่อน +2

    Msomigani unakua muoga

  • @evelina9621
    @evelina9621 หลายเดือนก่อน

    Bado.tunakuhitaji.uongoze.tanzania.uwezo.unao.usiogope.mungu.atakulinda

  • @msabahaali758
    @msabahaali758 หลายเดือนก่อน

    prof, uo ni uoga akina Maalim seif wamepambna mpka wamekufa hawakujali chochote mpka wamekufa

  • @mahadhikawia3610
    @mahadhikawia3610 หลายเดือนก่อน

    Ndio maana wabunge wa darasa la 7 ,hawaishi kuwakashifu maProfessaa ,jeuri ya pesa ! Mbunge 18 m , professor na Doctor na wahandisi 3m .

    • @benedictmrisho1800
      @benedictmrisho1800 หลายเดือนก่อน

      Tatizo la kukabizi nchi wanasiasa waliochoka maisha ya taaluma kuiongoza nchi. Mtu ni daktari wa binadamu anaacha anaenda kuwa msihasa kwa sababu tu siasa inalipa.

    • @benedictmrisho1800
      @benedictmrisho1800 หลายเดือนก่อน

      Hongera Prof umechaguz fungu bora.

  • @gilbertkalanda9354
    @gilbertkalanda9354 หลายเดือนก่อน +1

    Sema Hawa Hawa Maprof. Wakiafrika uwa wana kakiburi Fulani sanaa afu mafanikio zero

  • @ambokileasheengai1140
    @ambokileasheengai1140 หลายเดือนก่อน

    Mzee wa legallize majani

  • @hamzakimaro3764
    @hamzakimaro3764 หลายเดือนก่อน +4

    Umekosea kaka,yule alikuwa CHE GUAVARA!!

    • @KASOLEKA
      @KASOLEKA หลายเดือนก่อน

      Binafsi sijaelewa hii ya Karl Marx!!!

    • @FahadAbubakari
      @FahadAbubakari หลายเดือนก่อน

      Kakosea nini sasa

    • @petersipano6335
      @petersipano6335 หลายเดือนก่อน

      Nimefuatilia vizuri, kauli yake ya ameirekebisha kwa kumtaja Che Guevara badava ya Karl Marx, umeenda haraka...

    • @kanoleausi4204
      @kanoleausi4204 หลายเดือนก่อน

      Wewe ndio umekosea sio CHE GUAVARA ni Che Guevara!😂

    • @FahadAbubakari
      @FahadAbubakari หลายเดือนก่อน

      @@kanoleausi4204 ndio nini sasa

  • @denisadrian9765
    @denisadrian9765 หลายเดือนก่อน

    madini tupu aisee 😂

  • @Salisalum
    @Salisalum หลายเดือนก่อน

    Kweli anazingua. Atajitoa kafara gani? Uoga tu.

    • @athumanfuko199
      @athumanfuko199 หลายเดือนก่อน

      Nimemkubari huwezi ukaingia sehemu unaona kabisa watu hawataki mabadiliko sahihi

    • @gangan4618
      @gangan4618 หลายเดือนก่อน +1

      Muoga kweli kweli wewe prof., basi wewe ni chawa tu wa Ma-CCM, Ukiona mtu Prof. Anasema eti hana chama au mwana dini mwenye umaarufu anasema hana Chama huyo huyo kajificha tu ni CHAWA WA SIRI WA ÇCM na anahofu ya maisha yake kushambuliwa na manyang'au Ma-CCM... yaan wanafiki wa namna hii wasubiri moto tu siku ya KIHAMA.

  • @JosephatMushi-ne9hn
    @JosephatMushi-ne9hn หลายเดือนก่อน

    Uwezi soma gazeti au kitabu, Barabara zenyewe Mbovu, mashimo Kila sehemu, ni kula Mshindi tu na kuchimba dawa

  • @kibbysaidi7813
    @kibbysaidi7813 หลายเดือนก่อน +3

    Sijakuelewa kikweli.... yaani professor kwako kuna mambo mawili tu... ukweli na ugomvi??? Kwanini unadhani ni bora ubaki na ukweli wako kuliko kuueleza na kujitoa kafara? Basi ukweli wako una faida gani kwa watanzania?? To me you are weak and very selfish

    • @--------GEO_SPORT_EARTH_EA
      @--------GEO_SPORT_EARTH_EA หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂hivi umeelewa kweli wewe ....
      Aiseee mbali watuuu kujua kusoma tanzania ila ujinga upo pale pale

    • @kibbysaidi7813
      @kibbysaidi7813 หลายเดือนก่อน

      @@--------GEO_SPORT_EARTH_EA kama ww umeelewa na bado ukasema mm ndio sijaelewa basi nisingependa kuwa kama ww. Nakubali nina ujinga wangu lakini bora hivyo kuliko niwe na werevu wako

  • @mgungulem3187
    @mgungulem3187 หลายเดือนก่อน

    Ukiendelea kukaa pembeni, utafaidi matunda ya wajinga siku ya iddi tuu😂

  • @KimanguShemwaliko-ht2jr
    @KimanguShemwaliko-ht2jr หลายเดือนก่อน +1

    Kwa maana wewe hutaki kutetea haki.wewe nimbinafsi

    • @ibrahimsaad617
      @ibrahimsaad617 หลายเดือนก่อน

      Yaani wwe umesoma kweli

    • @gangan4618
      @gangan4618 หลายเดือนก่อน

      Mwoga professional kama tu, askofu mkuu kkt.

  • @sylvanuskavindi2756
    @sylvanuskavindi2756 หลายเดือนก่อน

    Huyo mtu ana akili sana, akiwa CUF alimsumbua sana Lipumba hana hamu naye.
    Alihamia CHADEMA ikiwa serious wakati ule kabla chama hakijashikiliwa na madalali rasmi.
    Walipoanza ukigeugeu akaamua kukaa zake kando na siasa.

  • @gilbertkalanda9354
    @gilbertkalanda9354 หลายเดือนก่อน +1

    Sema Hawa Hawa Maprof. Wakiafrika uwa wana kakiburi Fulani sanaa afu mafanikio zero

    • @mpondaambrose2231
      @mpondaambrose2231 หลายเดือนก่อน

      Amesema ukwel nan yuko serious kupeleka taifa mbele tume staki hatumove kabisa hatutaki ukwel