THE CLASSIC JAY MOE PT 1 EP 2:LANGA ALINILIZA SANA/NAZIZI ALINIPA JINA HILI/BEEF NA ZAHRANI/MAJANI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 26 เม.ย. 2024
  • Sehemu ya pili ya simulizi za Jay Moe katika safari yake ya maisha ya kimuziki hapa anazungumzia mengi ikiwemo namna Nazizi wa Kenya alivompachika jina la Jay Mo,Beef zake na Zahrani na Langa na mengine mengi

ความคิดเห็น • 96

  • @ericktona3638
    @ericktona3638 2 หลายเดือนก่อน +10

    Huyu jamaa ni muandishi haswaa
    1: ukisikiliza alichoandika Mvua na jua utakubaliana na mimi kuwa mle aliumiza kichwa sana
    2: kama unataka demu aisee aliandika kusifia madem kitu ambacho alichotaja mle hadi sasa hizo sehem kuna madem wakali haswa
    3: Maisha ya boarding Aisee mle vitu alivoandika sisi tuliosoma boarding tunajua nini alisema 😂😂 ni ukwel mtupu
    4: Sasa akajaa kuuwa haswa kwenye Story 3 aisee 😂😂🙌
    5: Sikiliza I need Money 😂 vers moja kachapa kingeleza tüpü Afu kimenyoka haswaaaa
    6: Maliza Famous afu uje nitajie mwandishi wako bora wa hip-hop kumpita Super man 😂😂😂
    4:

  • @kennethbenjamin275
    @kennethbenjamin275 2 หลายเดือนก่อน +15

    Wasanii wa zamani wanajuwa kufanya interview wanaongea vzr ,positive kabisa

  • @fazeelshomary8743
    @fazeelshomary8743 2 หลายเดือนก่อน +5

    Mo Tech Mo Fleva…..Best Storyteller best interview 2024, hizo zitakazokuja labda iwe ya Prof J au Majani au Mr. J.

  • @user-xm9wr1lk4t
    @user-xm9wr1lk4t 2 หลายเดือนก่อน +3

    Albums zake zote mbili ninazo ya kwanza ni ulimwengu ndiyo mama na mawazo ya jay moe

  • @shedrackminja7334
    @shedrackminja7334 2 หลายเดือนก่อน +6

    KUVI niaje mwamba kazi nzuri, ombi langu kwako ni uturahisishie na sisi mara moja moja uwe unatag hizo nyimbo unazokuwa unawasikilizisha kweny wasani kweny presentation. Najua nyingi hazitokuwa kweny online platforms cause ni oldies 😂, Ila fanya mambo mwamba KUVI much respect brother 💪🏾.

  • @saveklima4494
    @saveklima4494 หลายเดือนก่อน +1

    Jay moe Mback yard, we ni msanii mahiri sana unajua sana. Unatakiwa kuungana na wasanii wengine kuunda chuo cha rap na historia ya bongo Rap. The Interview iko poa sana. Nawasikiliza toka Hamburg

  • @user-dg7wf6fg2j
    @user-dg7wf6fg2j 2 หลายเดือนก่อน +7

    Jamaa yuko vizuri kwanzia kichwani shukurani kwa jabir kwa kutuletea vichwa

    • @mugadimon3563
      @mugadimon3563 2 หลายเดือนก่อน +1

      Kabisa hawa watu wenye akili ndio wanatakiwa kuhojiwa sio unahoji mtu anaongea upuuzi

  • @NoahMalanga
    @NoahMalanga 2 หลายเดือนก่อน +5

    Jay to the mo, Mo technique, Mo fleva, Mo famous.....Living legend

  • @wilsonrichardmabala6616
    @wilsonrichardmabala6616 2 หลายเดือนก่อน +4

    One of the best interview, jamaa mkali sana sana...

  • @user-xo4re6ip9t
    @user-xo4re6ip9t 2 หลายเดือนก่อน +3

    Jay Moe yuko mbele ya muda sana.

  • @mashakamakoba7955
    @mashakamakoba7955 2 หลายเดือนก่อน +2

    Shule ni jambo la msingi sanaa wasanii walosoma wanajua nini chakuongea na kuandika pia

  • @gRaY_S9N
    @gRaY_S9N 2 หลายเดือนก่อน +1

    Respect sana kwa #Jay #Moe
    Huyu Jamaa ni Talented sana ni mmoja kati ya Good Storyteller. Ishi sana Brother #So #Famous..🙏🏾🙏🏾.
    Endelea Kupeperusha Bendera..🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @erqmusic5973
    @erqmusic5973 2 หลายเดือนก่อน +2

    It's true bro....sisi Kenya J ikiambatana M tayari wewe ni J moe❤

  • @kyambahacharles-mr4zk
    @kyambahacharles-mr4zk 2 หลายเดือนก่อน +4

    Much respect sana kwako brother, ndiyo msanii wa kwanza kwangu kutoa hela yangu ya Pocket money ya shule kununua tape yake ya ulimwengu ndiyo mama Ile ni mshambaaa..., mshikaji noma sana.

  • @georgemathew9326
    @georgemathew9326 หลายเดือนก่อน

    Broh naomba kuonana na wewe Jay Moe

  • @ninjaisma7983
    @ninjaisma7983 2 หลายเดือนก่อน +3

    Interview bors kabisa mzee jabir kuvichaka....naomba mum mumlete noorah babastyles inshaallah ❤️

  • @nehemia397
    @nehemia397 2 หลายเดือนก่อน +3

    mzee safi sana unajua kumuacha mtu aongoe inakua safi sana ..

  • @kherisalum6304
    @kherisalum6304 2 หลายเดือนก่อน +5

    Huyu jamaa Ana consistency ya ajabu hajawahi kushuka Kama marapper wengine wa Bongo ✌️✌️

  • @leonardcharles3169
    @leonardcharles3169 2 หลายเดือนก่อน +5

    Wanamziki wa kizazi Cha kati wanatakiwa kujifunza sana kutoka Kwa jay Moe, hususani Nidhamu

    • @KuviFacts
      @KuviFacts  2 หลายเดือนก่อน +1

      Sahihi kabisa

  • @Lg4343
    @Lg4343 2 หลายเดือนก่อน +2

    Daah respect sana Faza huyu Jamaa namkubali sana natamani nije nimuone live aise nimpe salamu

  • @pewaabagenge
    @pewaabagenge หลายเดือนก่อน

    Nimependa hii podcast JayMo, big up Naz.

  • @ndesafanamfala5800
    @ndesafanamfala5800 2 หลายเดือนก่อน +7

    Jmore Ukipenda Mbakiaji Ww ni Moja ya Washika kipaza Wenye kuogopwa ktk Hip hop ya bongo ni full package Nyota Yako siyo Mchezo Wajina Juma kiloboto analijua Hilo ww sooo...More Tec

    • @nicholausmbilinyi3587
      @nicholausmbilinyi3587 2 หลายเดือนก่อน +2

      Nadhani Jay Moe hana nyota kali..maana kwa uwezo wake!alipaswa awe na heshima kubwa zaidi ya hii aliyonayo

    • @ndesafanamfala5800
      @ndesafanamfala5800 2 หลายเดือนก่อน +1

      Kipindi Jmore anaingia ktk game Nature alikuwa Wamoto Majina Yao ya yanafanana Michano tofauti radha Kila Mmoja anayo kukawa na battle ya chini Kwa chini Juma yupi anatokea pande zp

    • @simonmwakifuna1287
      @simonmwakifuna1287 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@nicholausmbilinyi3587kabisa mkuu

    • @amonijajila1218
      @amonijajila1218 2 หลายเดือนก่อน +1

      Live kabisa

  • @kibisionlinetv
    @kibisionlinetv 2 หลายเดือนก่อน +1

    Nafatilia sanaaa sijawahi comment ila jamaaa yuko vizuri

  • @ngomenyikani8475
    @ngomenyikani8475 2 หลายเดือนก่อน +1

    Madini yakitema tutafanya docuseries 1 day

  • @salumjumah5648
    @salumjumah5648 2 หลายเดือนก่อน +2

    Story 3 tofauti mzee wa kuvi iguse

  • @peterjohn8405
    @peterjohn8405 2 หลายเดือนก่อน +1

    Hongera kwake jay Mo kwa kuendelea kujiweka vizuri.

  • @antonyyohana6148
    @antonyyohana6148 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mwana yupo mbele ya mda sana so Namkubari sana iyo Bishooo Enz izo ilikuwa noma so much Respect Buddha.

  • @deopogbajr1304
    @deopogbajr1304 2 หลายเดือนก่อน

    Anko jay moe unatema madini ki professor alaf juu suit chin moccasin, umepoa kiutu uzima kabisa yani salute ankol.

  • @kennethbenjamin275
    @kennethbenjamin275 2 หลายเดือนก่อน +1

    Wasanii wa sahv empty head kbs

  • @nsajigwajuliusmwakatobe
    @nsajigwajuliusmwakatobe 2 หลายเดือนก่อน

    Jay moo yupo vizur kwa upande reall hip pop

  • @chandengao8795
    @chandengao8795 2 หลายเดือนก่อน +3

    Akina mo walisoma music wengine katika mchakato wa maisha wengine walipata kipwampwam Cha mziki hawajui wengine walofanya mziki kabla yake.
    Nadhan haja ipo ya kuwatumia hawa watu kwenye kuunda kozi za muziki kwenye vyuo mbalimbali nchini
    Maneno yake ukiyachunguza yapo juu ya wakati

    • @hiphopoldschoolkalama1405
      @hiphopoldschoolkalama1405 2 หลายเดือนก่อน

      Jamaa wamesoma. Hawa wa sasa ni balaa tupu.

    • @paulchaula2583
      @paulchaula2583 2 หลายเดือนก่อน

      Watu n walimu was mziki Ila sio Wana mziki no content kabisa kumbe wapo watu wenye content na wanaishi nao

  • @VisualsByEnokaOti
    @VisualsByEnokaOti 2 หลายเดือนก่อน

    Nimesubiri kwa muda kusikiliza wale jamaa toka SOLID GROUND FAMILY walitoa wimbo kwa jina Asubuhi, Mchana na Usiku

  • @frankkilemile2980
    @frankkilemile2980 2 หลายเดือนก่อน +1

    Tunaomba tuletee huyu mwamba na nusu Crazy King GK mtu hatareee sana ewe mr Kuv Fact🙏

    • @boniphace1
      @boniphace1 2 หลายเดือนก่อน

      Crazy GK hatari kabisa

  • @user-kq2lx6zo9d
    @user-kq2lx6zo9d 2 หลายเดือนก่อน

    Napenda kumuita MO Technic

  • @BabuuWakitaa-pb6gr
    @BabuuWakitaa-pb6gr 2 หลายเดือนก่อน +2

    Brother fanya kutuletea DIZASTA VINA tulishe ubongo kk please

  • @abuubaqr5808
    @abuubaqr5808 2 หลายเดือนก่อน

    Trueeeee, we grew up listening to jay, story tatu was huge back n made major impacts on our lives

  • @razackkasanga5288
    @razackkasanga5288 2 หลายเดือนก่อน +2

    Jay Moe 🎉🎉

  • @nyotamy3678
    @nyotamy3678 2 หลายเดือนก่อน +1

    🙌🏾

  • @barakamalanga4977
    @barakamalanga4977 2 หลายเดือนก่อน

    Nakukubali tangu zaman big up mbakiaji

  • @lucaspius1048
    @lucaspius1048 2 หลายเดือนก่อน

    Big up to jaymoe, nakumbuka album yake ya kwanza ilikua moja ya album zangu kali kabisa ambazo niliwahi kumiliki wakati huo.

  • @mshangaf1726
    @mshangaf1726 2 หลายเดือนก่อน

    hizo brand za nguo hajapronounce vizuri exept paul smith

  • @expeditormkoka3609
    @expeditormkoka3609 2 หลายเดือนก่อน +1

    moe hatari sana akuchoshi story zimenyooka

  • @mpaligwajunior7835
    @mpaligwajunior7835 หลายเดือนก่อน

    Mo teckinic Mo fravel 💥💥

  • @Yegon254
    @Yegon254 2 หลายเดือนก่อน

    I am eagerly waiting for part 2

  • @leonardmavulla675
    @leonardmavulla675 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mo majakumu haipatiakani Ktk platform za music na mtoto wa mjini Remix pure one black ft Ay nazitafuta sana

    • @rashidikinywaki
      @rashidikinywaki 2 หลายเดือนก่อน

      Zinapatikana hizo chimbo mzee

  • @abdalamhamed3586
    @abdalamhamed3586 2 หลายเดือนก่อน

    Make sure jumamos J moe anatokea

  • @abdalamhamed3586
    @abdalamhamed3586 2 หลายเดือนก่อน

    Interview yeee

  • @Abbasbakarsth
    @Abbasbakarsth 2 หลายเดือนก่อน

    Kaka angu kabisa ww... nakubal sana

  • @drisakamwakitalima1937
    @drisakamwakitalima1937 2 หลายเดือนก่อน +3

    Buana Jabiri tuletee king crazy Gk

    • @sonnyr1899
      @sonnyr1899 2 หลายเดือนก่อน +1

      Nasikia eti yupo kwenye msongo wa mawazo na anatumia sembe sana ila ni tetesi zipo tu.
      Ila ni legend sana

    • @KuviFacts
      @KuviFacts  2 หลายเดือนก่อน +1

      Hayuko tayari yeye mwenyewe mana nmimualika hafiki

    • @sonnyr1899
      @sonnyr1899 2 หลายเดือนก่อน +1

      Inshallah ipo siku atakubali kuja

    • @nyemondagalla608
      @nyemondagalla608 2 หลายเดือนก่อน +1

      Siku akikubali basi itakuwa poa sana

  • @muddymassah8998
    @muddymassah8998 2 หลายเดือนก่อน

    Mshikaji ni mshambaaa kumbe ni mbabaishajiii

  • @stephenmwita5857
    @stephenmwita5857 2 หลายเดือนก่อน

    The interview was lit,Jaymoe kept it real

  • @Mtamaduni14
    @Mtamaduni14 2 หลายเดือนก่อน

    Best interview best Mcee much love from kenya nmekua shabiki wa jay mo toka wayback

    • @KuviFacts
      @KuviFacts  2 หลายเดือนก่อน

      🙌🏾

  • @nassoloabdala8836
    @nassoloabdala8836 2 หลายเดือนก่อน

    Dah ai no fim me deixou

  • @REVOLUTIONARYLYRICS
    @REVOLUTIONARYLYRICS 2 หลายเดือนก่อน

    Nazizi First Lady wa Rap

  • @surveyexpeditorstanzania429
    @surveyexpeditorstanzania429 2 หลายเดือนก่อน

    This is definitely one of the best interview ever! Kuvi unajua sana kutafuta info asee. Jay Moe smart sana!

    • @KuviFacts
      @KuviFacts  2 หลายเดือนก่อน

      Shukran sana

  • @makantaafrika
    @makantaafrika 2 หลายเดือนก่อน +1

    Lugombo hakujuaga kama huo wimbo alikuwepo Jay Moe 😂😂

    • @KuviFacts
      @KuviFacts  2 หลายเดือนก่อน

      Upi huo?

  • @bernardmunuo2137
    @bernardmunuo2137 หลายเดือนก่อน

    2pac wa bongo

  • @kennedymwagambo7197
    @kennedymwagambo7197 2 หลายเดือนก่อน

    Mo Techniques !

  • @msavageisco5897
    @msavageisco5897 2 หลายเดือนก่อน

    🚀🚀🚀

  • @ZakayoReuben-ow9tz
    @ZakayoReuben-ow9tz 2 หลายเดือนก่อน

    Comment ya kwanza kabisa

  • @shukranisibale1739
    @shukranisibale1739 2 หลายเดือนก่อน

    Mark 2 B aka Simba dah

  • @Hauleshabby
    @Hauleshabby 2 หลายเดือนก่อน

    Jay moo nuksii

  • @mbwizax87
    @mbwizax87 2 หลายเดือนก่อน

    Ulimwengu ndio mama na ile album ya Mangwair mpaka leo ukisikiliza ni km simetoka leo

  • @georgerogath374
    @georgerogath374 2 หลายเดือนก่อน

    🙌

  • @tozzaalexandar4905
    @tozzaalexandar4905 2 หลายเดือนก่อน

    Bab kubwa moe

  • @BabuuWakitaa-pb6gr
    @BabuuWakitaa-pb6gr 2 หลายเดือนก่อน

    Moo mwamba ....

  • @Jabali_Media
    @Jabali_Media หลายเดือนก่อน

    JIPANGE

  • @ramamsukuma
    @ramamsukuma 2 หลายเดือนก่อน

    mbona huja mhoji kuhusu baba levo Ile inshu mpaka akaingilia moni au atarejea Tena?

  • @uwezokinahi7870
    @uwezokinahi7870 2 หลายเดือนก่อน

    Tuletee Dizasta vina

  • @zaharamlau8817
    @zaharamlau8817 2 หลายเดือนก่อน

    J to the Mo😂😂😂😂😂😂

  • @blessedtabatasengelight
    @blessedtabatasengelight 2 หลายเดือนก่อน +1

    KUVI umemwacha Jmo atiririke na content alizo jipanga nazo sana,uja mchimbua kindaki ndaki...alikutanaje na FA na ingekuwa Vp?Vip ngwea walikutana vp?alikuwa mkali ndio ila nani ali mfanya aone kama awezi alipo ingia kwenye gem?

    • @KuviFacts
      @KuviFacts  2 หลายเดือนก่อน +1

      Ww hapo una maswali yako ambayo si mbaya ukiandika hapa nkakuulizia ,pili tutakua na Part 2 hadi 3 if possible ana vitu vingi,tatu ukimkatisha anaweza akasahau alichotaka ku adress mwenyewe kwanza kabla ya maswali yetu pia wapo ambao uki
      Katisha wanapiga kelele hapa hapa 😀

  • @FadhiliKato
    @FadhiliKato 2 หลายเดือนก่อน

    Tmu na nusu motek

  • @user-kq2lx6zo9d
    @user-kq2lx6zo9d 2 หลายเดือนก่อน

    Huyu bro ni mtu na nusu

  • @MohamedAhmed-yi7qz
    @MohamedAhmed-yi7qz 2 หลายเดือนก่อน

    kuweka you tube na watu kuskiza sasa mbona mnakata sehemu ya mziki ya mtu anayehojiwa

    • @KuviFacts
      @KuviFacts  2 หลายเดือนก่อน

      Nyimbo kasikikize kwenye account yao mkuu ,hapa zina hakimiliki hatuwezi kutumia boss

  • @richzebest2029
    @richzebest2029 2 หลายเดือนก่อน

    Mbona umekata kipande cha langa na jmo...bongo miyeyusho sana