KUNA SIRI GANI? HILI NI FUMBO
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 2 ม.ค. 2024
- #HaleluyaTv #ProphetRolinga #OmegaMinistriesChurchofAllNations #OCOAN
Kuendelea kupata Shuhuda mbalimbali na Maneno zaidi, tufuatilie kupitia mitandao yetu ya kijamii:-
Haleluya APP : play.google.com/store/apps/de...
Facebook : / prophetrolinga
Instagram : / prophetrolinga
TH-cam : / haleluyatv
Audiomack : audiomack.com/prophetrolinga
Tusibeze maneno ya wachundaji,tumuweke Mungu wetu kwenye kila hatu tupingayo,Yarabii,tusamehe na utulinde Walinde viongozi wetu na nchi yatu,Afrika, na dunia yote Amen.
AMOSI 3
7 HAKIKA BWANA MUNGU HATAFANYA NENO LO LOTE, BILA KUWAFUNULIA WATUMISHI WAKE MANABII SIRI YAKE.
AMEN❤❤❤
The only nabii president ambaye alitumwa na Mungu ni Magufuli. Nabii ahana heshima kwaho…love and respect from Congo🇨🇩
"KWAO" siyo "KWAHO"
Amina
@@emmanuelnhyamamanwele1697😂😂😂😂😂
Imani yako imekuponya enenda zako usitende dhambi tena mungu anazungumza na waliyo wake sasa hama huamini shauli yako
huyu jamaa ni nabii kweliii
Awamu ya 4 ni 🔥🔥🔥🔥. Kwa mwamba atapoteza kumbukumbu 😮😮😮😮😮😮😮😮😮
Watuwengi wanasema mengi kusu Manabii wa Mungu kitu ambacho sio sahihi,
Kazi ya nabii ni kufikisha ujumbe baada ya kufikisha ujumbe au kutoa unabii huwa kuna maelekezo yanayofwata, na maelekezo huwa n kwaajili ya wahusika waliotolewa unabii , ivyo basi wasipo fwata maelekezo pengine kutakua na badiliko au lisiwepo,
Kumbukeni habari ya yona
Alitumwa kweemda ninawi kuwaambia watu watubu mana wasipo tubu wataangamizwa walipotubu hawakuangamizwa,
Ivyo kueni makini sana msijikwae
This is man of God, nadhani wamesha tangza mzee Mwinyi ni mgonjwa....tuheshmu na kutii saut ya Mungu
Yes, halafu inaonekana hii mambo ya lowasa ndo yamefanya kuwe kimya!
Subiri wazike tutapata habari
Wow God is awesome 🎉❤
Brother Rolinga, Mzee Mwinyi kwenye miaka aliyonayo hata akifa atakuwa anapumzika , wanafamilia wakihuzunika ni hali ya kawaida tu ya kibinadamu, lakini kwa umri aliotunukiwa mzee wetu mpaka sasa wanafamilia hata likitokea lakutokea watapaswa kusherehekea zawadi umri mrefu aliwapatia Mungu kupitia Mzee Ruksa.
Barikiwa, neema zaidi kwako.
Analijua hilo ndio maana anasema ameoneshwa,vichwa mchunga wapande imani ikitokea😂😂😂😂
Kaka msiba wowote unauma kwa wafiwa ....ila kama hujafiwa wewe sema kapumzika
When God servant speak forth the wise listen
Thanks Jesus 🎉
Kwakuwa unampenda Sanaa au,niwewe sasa unayesema ivo.. we mwache mungu afanya yake bwana weee,!
Very interesting topic
Mimi ni muislam lkn huyu Rev namkubali ila waislam hutabiribmpaka miaka atakayokufa mtubkwa umri gani dishangai na ninachokijua ndani ya ccm kwa sasa utabiri wa mama ni sawa kabisa she knows na ndo maana teuzi zake za ndani ya chama kwa sasa hawasikilizi wale watu tena amesha gundua mikakati yao vizuri tusiseme mengi lkn hongera sana Rev
Hata Kwa jpm alitabiri kabla ya tukio.🙏🙏🙏
Thank you Jesus for Revelation
Hapo nimeelewa kitu mungu anataka atubadilishie kiongozi wa ich 2025
Mungu ibaliki Tanzania 🇹🇿🇹🇿🙏🙏🙏
Ninyi watu ni wasomi ila hamna akili bogaz kbsa
Na iwe hivyo in Jesus name
e@@hafidhwajina6718acha iwe
Nakukubali nabii jah akubless
Funga bila kula uende mbinguni
Umri wa kiongozi wa pili ni mkubwa sana, hivyo ni sawa tu kupumzika😊
Huyo akifa ni sawa mzee
NI KWELI.
KUNA SIRI.
Usaniii mmmh
Amen
Ww uwe wa kwanza kufa
Tuombe sana kwaajili ya inchi yetu hakika hapo kunasiri nzito sanaa Mungu tusaidie na utufumbue kwenye hili giza 😢😢😢
Aminaaa
Rest In Peace Mzee Mwinyi
Yesu alisema msiponikubali mimi basi zikubalini kazi zangu
Mmmh imeendana kwkwl
Naona Rais mwingine wa kikatiba 2025 kinabii.... Mungu atusaidie
Kwakweli
Imeisha hiyoooooooo basi
Ni kweli
Mmmh hii ni hatari sana😊😊😊
Balaaaa
Sizani Kama nisahihi sana kutokusimama ns lile mungu alilokuonyesha na kulitangaza na kuamua kuogopa mamlaka ya nchi na si mamlaka ya mbinguni
lakini si umesikia? yasije yakatokea ukasema hukusikia. Ni muda wa kumuomba sana Mungu ili yasitokee sio muda wa kulaumu wanaosema maono waliyopewa kana kwamba ni waongo. Kama umesikia jambo baya litakalo ipata nchi wewe omba
Anamanisha kupinduliwa
Niombee Nabii nina mengi mwanao
Onanyoka wariva pangana wamemuua mwenzao
Mwaka 2024/2025 Ni miaka ya chaguzi mbalimbali Tanzania hivyo chama kikubwa Kama CCM misukosuko nijambo la kawaida kabisa. Musimtie Mama hofu mwacheni achape Kazi.
Mabadiliko
Awamu ya 6 atapi❤
Tumeelewa nabii Mungu aendelee kukutumia kwa ajili yetu
HAKUNA UNABII UTAKAOTOKA KWA MUNGU USIWE NA MAJIBU NA HAKUNA UJUMBE MUNGU ATAUSHUSHA KWA NABII WAKE HALAFU UWE NUSU ETI NABII ANASEMA MENGINE SIONGEI MAANA YAKE SIO SAUTI YA MUNGU ILIYOMPA UNABII NA UNABII HUWA UNAKUJA KWA MAMBO YAJAYO ILI YAFANYIWE MAREKEBISHO PALE PANAPOHITAJIKA
Kweli mtumishi mungu haji bila kuonyesha njia
Sio kweli unabii unakuja ili palekebishwe, kuna nabii zikija lazima litokee, pia hekima ni muhimu sana unapopewa unabii toka kwa Mungu, sio kila nabii unaiongea hadhalani.
mnasomaga bibilia? nabii Isaya alipeleka ujumbe kwa Ezekia kwamba atakufa hakupewa jibu lingine na alipotoa ujumbe aliondoka. Ezekia akaomba akamlilia Mungu Mungu akamponya
cha ajabu ni nini apoo! yeye kapewa Ujumbe wahusika wakisikia waombe
Tumeshaelewa mtumishi tunasubir tu tamko......
Ndugu zangu ni bora ukanyamaza kuliko kuandika utumbo heri utumie wahuni wenzio text mungu endelea kumtumia mtumishi wako na mpe moyo wa Iman
Upuuzi 😊😊😊
Kwa umri alionao huyo wa awamu ya pili anaombewa Nini kama ni miaka ya kuishi kavuka hata Ile tuliyopewa na Mungu Sasa munataka Aishi milele? Wapo watoto yatima na wajane na masikini hao ndo waombewe sio mtu ana tisini na Kenda munamuombea Nini kama ana zambi atubu Kwa Mungu Ili apumnzike. Salaama
😂😂😂 hili jamaa janja sana kinaenda na upepo, saa 7mchana jua litakuwa kali wakati kila mtu anajua kuwa muda huo jua huwa kal
Yes indeed Daddy
Ndg zangu watu hawahitaji mambo ya hizo orodha za watawala wa nchi .
Wanataka kusikia Yesu anawasaidiaje na matatizo waliyonayo .
Watumishi wengi wakishapata tu MAFANIKIO basi wanaliacha kusudi .
Simtetei na wala sio mshirika wake ila kuna kitu naomba uelewe, Kusudi kuu Ni injili ihubiriwe lakini ndani yake kila mtu ameitwa tofauti na mwingine kufikisha kusudi kuu, thats why kuna huduma kuu tano zote hukenga kusudi moja kutimia,, zaidi ya hayo kila mtu ana karama yake hatufanani, hata sare za shule fulani nitofauti na ingine, japo zote lengo kuu ni kupata elimu. Kuna mambo mengi zaidi ya kuyajua kuhusu Mungu, so usihukumu kwa haraka hivyo
Huyu jamaa simfahamu huyo mtumish, lakin najaribu tu kuwaza saut, sasa kwanini kitabu cha wafalme kiliandikwa ktk biblia?!
Ulishaenda kanisani kwake ukaona haubili anayowausu waumni wake na maisha Yao? Yeye kama ni Prophet atawaambia kile Mungu alichomuonyesha na wakati huohuo atahubili na kufundisha neno. Unajua Ibadan zake zina masaa mangapi?
2 wathesalonike 2:1-12 jamani emu tumuombe MUNGU atupe ROHO MTAKATIFU na ufahamu pia,sabu imekuwa tamthilia episodi ya ya kwanza tunasubiria ya pili(UNABII)
NABII anatakiwa aseme so afiche jambo inamaana,YEREMIA 15:19
Mtume maliyabwana
imetokea
mungu awe yupo nawe milele
Na yesu alituonyesha ishara izo tu basi bila kutupa mwanga mbele kunanini alitupa mikono ivyo tu basi? naamini Mungu yupo ila ilo ndo Swali langu tu
What God planned will happen, God wants to rule the world from Tanzania. Isaiah 19. What was planned was opted and will be.
Mmmmmm!!!
Acha kumdanganya watanzania
Hawa ndio manabii wa ungo wapo wengi Sana ila yote ya hayo ni njaa tu ndani ya bibilia imeandikwa watakuja manabii wa ungo na haijaandika kutokea tena manabii wengne sasa sijui Huyu anafata bibilia gani na hao wanaomfata wanafata bibilia gani
Manabii wapo,angalia kwenye kamusi maana ya neno nabii
We baki tu na unabii wa uwongo.. You should have a discernment spirit to guide you whelther you are in the right or wrong direction. Mungu akusaidie sana na uwe makini unapo toa comment. Jeremiah 1:5
Biblia gani ilisema hapakuwa na manabii tena, haiaandikwa Kama vijana watatabili na wazee wataota ndoto? Si mtaalamu wa biblia kihivyo lakini nilishawahi kukuana na Hilo neno acha uongo
Ni kwel kabisaaa uwiiii
si mzee Mwinyi keshajizeekea jamani alaf kwann watu wengine wanapata magonjwa wanakufa ila viongozi tudhani kana kwamba wasife?? We are all humans and death is part of us all...mtumishi Mungu akufunulie siri zake za ufalme maana wengine wanamsingizia Mungu
Jamaa liongo kweli yani, 😂
Kadanganya nn?
Au ht humfuatilii mambo
Maana kuna ambayo yashatimia ,Wiki 2 zilizopita
Sadaka zinawaaibisha watu aisee
Yametimia
Ulimwengu wa roho unanguvu nyingi sana sema wanaojaji hawajui.mtume wa mungu je unaundugu wwte bukoba?
Mimi kuna maombi mazito nafanya na kila alichoongea ni kama kwelii. Nilisikitika sana baada ya Rais Magufuli kutuacha. Nilisikitika sana. HAYATI RAIS MAGUFULI angeipeleka Tanzania Mbali sana aisee..
Ila maombi siachii. Lazima malipo ni hapahapa Duniani. Mtu ataikimbia...
Ystawashinda IshaAllah"
@@rayyahinay-hp7jf mbona sijakuelewa?
Mtumishi weee kiboko uko sahihi
Ukisikia Mtu ansema huko mbele siendelei,yanatosha ukute labda nayeye hajui,
Anajua, ila anaogopa kusema, hata yesu alikimbia pale alipotaka kupigwa mawe, ije kua mtume mdogo kama huyu.
@@martinisadru😅😅😅😅😅😅🙌🙌🙌🙌 nimekuelewa kka
Wanadamu wanapaswa kulinda ufalme wao kwa kufuata ufalme wao
HUYO BORA APOTEZE KUMBUKUMBU.MAANA ANAIYUMBISHA NCHI YETU.
😂😂😂😂
Una mwanasheria kka 😅😅😅😅😅😅😅
Ila matapeli hawa😂😂😂
Matapel wakati unabii umetimia awamu ya pili ameshafarik
Upuuz mtupu
Awamu ya 7 ni MAKONDA...
Mtumishi acha kutisha wanadam ukiona kitu omba kimya kimya kifo pia Ni mpango was Mungu,Yan ukiongea hivo watu wanakuwa wanahofu
Kwaiyo hapo anatisha
Mkalimani jamani!
Hapo kwenye vitendo au basi.... Nimekuelewa 😂😂
Hapo ni -------- muramura ndani ya CCM 🤔🤔🤔🤔🤔🤔
Umeelewa nini .jibu kma umekamatwa na watu wasiojulikana 😄😄😄😄😄😄
Nimejua hapo, atapindiliwa asipoo mtii Munguu😅😅😅
Hili lijamaa linajigamba na liuongo lake
😢
kuna mabo hayatakiwi kuendelea ili makusudi ya mungu yapate kutimia
Mzee mwinyi age go, anything can happen
HUYO NI MTU MZIMAA. HAITAKUWA AJABU SANA.
Leo nimekubali baada ya kuona maono yako awamu ya pili imesha potea. Maumini tusiwe wakaidi juu ya haya. Mungu atusaidie
No one know tomorrow even me
Audhubillah huyo mungu wenu yuko tofauti mnamuona nyie tu sisi hatujawahi muona wallahi Ww muongo😂😂😂😂😂😂😂
Kikwete anaonekana mgojwa
Kubuke wanakataa himani zakweri yesu wana amini eti mutumemuhamad mwarabu koko
Tena hao mbwa wenzio umewakusanya na kuwaaminisha
Acha kudanganya watu ww mpuuzi ww nabii gani hujui idadi ya nywele zako kichwani ziko ngap ukajue mipango ya mungu mbwa ww
Hakuna jipya chini ya jua, watu kama nyie hamtaisha Hadi kiama, utakufa wewe, atainuka mwengine kama wewe, na hata wewe! Upon kama wale, walowasema mitume kwa chuki, na hutajitambua, kwa kua upon kifungoni.
Ambo aya yanapatika kwenye taasisi ya ukiristo tu
Mpubavu sana,nyoko yako,na ww unakufa lini
Sasa matusi ya nini ndg yangu?
He kima ni bora kuliko …….
Imetokea tayari endeleeni kuponda mie nawaomba tu mjue kuwa Mungu hadhihakiwi
Huyu nabii akitabiri lazima iwe
Hivi kwa nini Tanzania tunaandamwa sana na majanga,je mungu ametuchukia Tanzania,Kama taifa tumite mungu
Kwa upande wa awamu ya 6 kuna vitu ilivikataa vya awam ya 5 mungu ni wa haki
UPUUZI MTUPU:
Mimi ni muislamu ila nakubali utabiri wako maana naona unayo tabiri yanatokea
Mbona Mambo yote umeonyeshwa ni mabaya kwani haujaoneshwa mazuri au hakuna mazuri kabisa 😅
😂
Unabii hauhubiriwi kanisani
Rolinga Nakuita mara 3 muache augue bwana
Duuu
Hawa manabii kama waganga wa kienyeji Tu wanaenda Na upepo Mzee Hassan umri umeenda maradhi ya uzee yanamwandama akienda muda umefika utabiri miyeyusho ukienda Kwa mganga wa kienyeji akikuuliza umeoa ukamjibu ujaoa umesha MPa jibu la matatizo yako atakwambia acha zinaa utafanikiwa
Mchungaji utaishia kuwadanganya kondoo wako tu kama ni kweli tupe taarifa na wale waliokufa wanahali gani?😂😂😂
Tapeli mkubwa
Huyu jamaa sijui anatumia uchawi wa nchi gani au naijeria??😂
Huwezi kumuamini nabii mpaka MUNGU akujaaliye roho ya kinabii ndani yako..ndiyo utamwamini nabii
Nikama vile ili uuamini uongo ni lazima roho ya uongo ikae ndani yako
Kilichotamkwa kimetamkwa na tuliojaaliwa kusikia tumesikia..
Kwamba ni cha kweli au si cha kweli, muda utatuambia...
Ulipotolewa unabii wa kifo cha Jpm walikuwepo wapingaji wakapinga kwa maneno ya dharau, yalipotimia tu haohao wakageuka na kulaumu eti kama ulijua kifo kitatokea mbona hukumuombea asife...yaani watz ni buree kabisa.
Wanafamilia mumeambiwa muombe, sasa zembeeni mulie kilio cha kusaga meno
MUNGU ambariki nabii wake
The woman will soon go