Kuombea nchi sawa balii chama kiombewe na wanufaika nacho , na kinatawala kama mkoloni, Mungu ni Mungu akipanga kukitoa kinatoka,hata manabii waitwe waungane kukiombea hakitapona 1wafa;19,20....
Niombee upuuzi Gani huyo? Acha wapasuke maana zawadi ya uovu ni uovu. Omba peke Yako!!! Sihitaji mwanasiasa wao na matumbi Yao! Napambania maisha yangu! Kwendraaaa😢😢
Mungu anazitambua mamlaka zote za dunia, zilizo sawa,na zisizo sawa zote ziko chini yake. Lakini zile falme mbaya,amesema niombeni nami nitasikia,nayo yatakua yenu. Kwa hiyo unataka tuiombee mamlaka inayotutesa ili kusudi yazidi kuwa yetu?!
Unabii wako hata kwa akili za kawaida unaweza kukadilia tu sio lazima kusema MUNGU kasema sababu rahisi Alicia madarakani na aliepo ni makamu Tena wakike kwa unabii huu ata Mimi naweza kutengeneza wa kwangu
sheria ni moja tu, kila kilichozeeka mwisho wake ni kifo tu, na acha uongo maana mungu pia huviinua vinyonge badala ya vilivyo vikuu, alafu mbona unafanya siasa hapa kama unatumiwa na ccm, kama mungu anakijua chama hiki kwa nini kiwe na mgogoro, hawa ni inallah rajuin.
CCM ilikuwa bado IENDELEE Kupendwa na Wananchi KAMA tu wangekuwa wanaheshimu Mawazo ya Wananchi juu ya Katiba Mpya na Tume huru ya Uchaguzi Tanzania. Lakini CCM Kinaenda Kuangamia Kwa Kuvunjika Vipande Vipande Kwa Makundi tishio Ndani yake.!
YAANI NIPOTEZE MUDA WANGU KWA AJIRI YA KUOMBEA KITU KISICHO NA FAIDA KWANGU, ZAIDI KINANIUMIZA TU!, SI NI BORA NIOMBE KWA AJIRI YA CONGO AU SOMALIA AU SUDANI NA NCHI NYINGI ZENYE VITA.
Acheni wehu hakuna chochote kitakachotokea mtabaki hivyo hivyo wazee wa maokoto mnatafuta njia za maokoto uchaguzi utapita bila mtikisiko wowote mwaka huu hampati chochote wehu nyie kula chuma hicho mbwa nyie
Acha kipasuke na kuchanika chanika vipande mnipe niwaifazie nitawapa 2030
Mpuuzi huyu tukiombee chama kinapasuka ovyooo
HEEEH HAKIKA HUYO ANA ROHO WA MUNGU. UNABII AMEOTOTA SI KW KUTISHA. AMEN. TUSIDHARAU.
i see God live
Acha kumzingizia Mungu eti amesema!
Very good pastor where together God bless you .
Always Tanzania kuna matatizo kwenye chama tawala
Mungu isaidie nchi ya Tanzania
CCM ni Chama ovu. Wacha waangamie.
Kuombea nchi sawa balii chama kiombewe na wanufaika nacho , na kinatawala kama mkoloni, Mungu ni Mungu akipanga kukitoa kinatoka,hata manabii waitwe waungane kukiombea hakitapona 1wafa;19,20....
Amen mtumishi wa mungu wametuongoza v8zuri mpaka waraabu wameinhia kutuelemisha mambo ya bandari
Ama Mungu amekuwa mwema kwetu..kwa kuinua serious generation of young prophetic men for His own Glory.
Mungu hana upendeleo na Mungu ni wa haki... tunataka haki na si mapènzi ya mtu. Mpasuko kama hawatendi haki ni juu yao. Kila mtu na ajitetee
Mpasuko huo hautafichika tena Kama walivyozoea Kuwaficha Wapiga Kura na Wananchi wengi wa Tanzania..!
upumbavu huu kuliko niombee chama tawala kikigawanyika bora ninyeee mpaka Dar, CCM IFE NIFANYE SHEREHE
Tujue kuwa wanalazimisha kuongoza. 2020 ulikuwa uchaguzi wa mwendazake peke yake.
Watu watafanya sherehe kwa sababu wamechoka kuwaogoza
Amen 🙏🏾 prophet of God
Ni kweli ss atuombi kwa sababu ya hao mshetani! Achana na Huo Uouuzi!
Saau hizo zawadi wanazokupa alafu unatuambia tuombe!!
Nataka CCM iondoke madarakani, hiki chama kinatupa umaskini.
Thank you 🙏🏾 Jesus
Niombee upuuzi Gani huyo? Acha wapasuke maana zawadi ya uovu ni uovu. Omba peke Yako!!! Sihitaji mwanasiasa wao na matumbi Yao! Napambania maisha yangu! Kwendraaaa😢😢
Wachungaji ombeeni hao CCM waondoke tumewachoka mno
Mungu atusaidie
Mungu anazitambua mamlaka zote za dunia, zilizo sawa,na zisizo sawa zote ziko chini yake. Lakini zile falme mbaya,amesema niombeni nami nitasikia,nayo yatakua yenu. Kwa hiyo unataka tuiombee mamlaka inayotutesa ili kusudi yazidi kuwa yetu?!
ACha. Babeli iwaoate tumewachoka
Ipasuke ht wafe wanavaa kijana siombei ccm Bora niombee ht watoto wa shule na magonjwa
🙏🙏🙏🙏🙏
Usituchoshe bwana huna mengine ya kuombea
True true true true Daddy
Yaaaaani Mungu akae mbinguni aseme mukiombeee CCM 😅😅😅😅😅😅😅
Hakuna Papa
Sisiemu na ife.
Acheni uongo
Manabii wa kupalilia rushwa kutoka ccm waongo na wanafiki hawaendi kinyume na ccm
🇹🇿🇹🇿🔥🔥🇹🇿🇹🇿
Ccm basi kifike mwisho kabisa tumeshawachoka
Acha wagawanyike watajua wenyewe
Unabii wako hata kwa akili za kawaida unaweza kukadilia tu sio lazima kusema MUNGU kasema sababu rahisi Alicia madarakani na aliepo ni makamu Tena wakike kwa unabii huu ata Mimi naweza kutengeneza wa kwangu
Huyu Nabii ni mpenzi wa CCM,Kama Mungu kakupa unabii mbona unafafanua?
sheria ni moja tu, kila kilichozeeka mwisho wake ni kifo tu, na acha uongo maana mungu pia huviinua vinyonge badala ya vilivyo vikuu, alafu mbona unafanya siasa hapa kama unatumiwa na ccm, kama mungu anakijua chama hiki kwa nini kiwe na mgogoro, hawa ni inallah rajuin.
CCM ilikuwa bado IENDELEE Kupendwa na Wananchi KAMA tu wangekuwa wanaheshimu Mawazo ya Wananchi juu ya Katiba Mpya na Tume huru ya Uchaguzi Tanzania.
Lakini CCM Kinaenda Kuangamia Kwa Kuvunjika Vipande Vipande Kwa Makundi tishio Ndani yake.!
KANISA HILI LIKO WAPI JAMANI?.
MAKONGO JUU - MTAA WA SOLA, DAR ES SALAAM
Ubia na wawekezaji unaipotezea Radha CCM kwa wananchi mfumo huu fursa za kiuchumi zinaondolewa mikononi mwa umma wanapewa wachache wenye mitaji
YAANI NIPOTEZE MUDA WANGU KWA AJIRI YA KUOMBEA KITU KISICHO NA FAIDA KWANGU, ZAIDI KINANIUMIZA TU!, SI NI BORA NIOMBE KWA AJIRI YA CONGO AU SOMALIA AU SUDANI NA NCHI NYINGI ZENYE VITA.
Acheni wehu hakuna chochote kitakachotokea mtabaki hivyo hivyo wazee wa maokoto mnatafuta njia za maokoto uchaguzi utapita bila mtikisiko wowote mwaka huu hampati chochote wehu nyie kula chuma hicho mbwa nyie
Pastor achana na upuuzi huo hatuipendi Ccm chama hiki kimetuumiza sana mpaka sasa tunazidiwa na Kenya kiuchumi sababu ya viongozi wa Ccm
KIMEKUUMIZA WEWE MTUMISHI ANAONGEA HABARI ZA KITAIFA, WEWE
UNALETA HABARI ZAKO BINAFSI, KAMA MCHAGA WALIO SHEREKEA KIFO CHA
MAGUFULI.
Bora niombee mavi kuliko kuliombea ccm
MAKONGO JUU MTAA WA SOLA KANISA NAHITAJI KUFIKA, LITANIFAA SANA.