Mama, usicheze na jina la mungu. Uongo ni jambo mbaya sana. Wewe unajaribu kuidanganya nchi nzima . Unaweza kupata laana kubwa. Usifanya mzaha na jina la Mungu. Waziri wa kilimo anapambana na wezi wanao wahangaisha wakulima. Kama umetumwa na hao wezi, basi omba msamaha kwa mola wako.
Anapambana wakati wakati ananyang'anya Haki ya wakulima kushiriki anatengeza miradi ili apate 10%Kwa wakandalasi.Amenyang'anya Maonyesho ya wakulima anaweka yawe ya wizara Nako anataka kupiga Dili kwenye viwanja vya wakulima.(Amka)
@@jofreyfungo1112 Jambo la kusikitisha Ni kwamba Sisi waafrika wengi wetu Ni watu ambao si wazalendo. Tuna wivu Na chuki ndani zetu. Mwanasiasa akijaribu kufanya kazi yake vizuri, anasingiziwa mambo za uongo za kumharibia Jina.
Huyu ana mahangaiko ya maisha yake na nafsi yake ina matundu ,yanayotokana maisha ya dhambi alizotenda , uchungu wa kuzaa hewa hupatikana katika ndoto baada ya kurudi kulala wakati jua limechomoza 😊
Mama uza sura upate foroaz wakutosha vta vipo urus na kongo we huja pigana vta mama ugesema unapata majaribu ya shetani sio vita ungekua unavita na wanadam basi we utakua upo ktk kundi la shetanie
Maneno ya Imani huwa Yana puuzwa lakini mwisho wake ni huu Nuhu aliambiwa na mungu atengeneze safina watu wenye nguvu na dharau wakambeza sana lakini kilichotokea nisikwambie Mimi Bali jifunze.wote waliangamia
Mmhh sasa unasema Wew Ni Angel Mara kiumbe Zaidi sasa mume wako ana wasiwasi wakati umesema Ni Angry😃😃ila yote Kwa yote Mungu wangu WA mbinguni atukuzwe
---Taifa linaombewa na viongozi 12:42 wa dini kila siku pamoja na viongozi wake hivyo tunaamini kuwa uchaguzi ujao utakuwa huru na wa amani. Nchi haiwezi kuongozwa kwa watu kuoteshwa matukio au kusema ni maagizo ya mungu kwani maagizo ya mwenyenzi nungu yako kwenye vitabu vya dini ie Bibilia na misaafu pamoja na machapisho mengine .
Jamila Neno tu kuhusu kutosuka nywele limekuwia gumu mie nikupimeje kukuamini?1Pt.3:3 na 1Tim.2:9.Ukilitii Neno la Mungu ni rahisi kukutumia kwa ajili ya watu wake.
Sio tatizo lako bali nitatozo la kutojua Mungu ni wanamna gani mungu akujie wewe kabisa aongee mambo ya wizara kwanza muogope Mungu wacha kumfanya kama kitu cha mchezo
Kuna uharibifu mkubwa unakuja . Na kudharau maadili yetu MUNGU hatanyamaza, wengi watasema nipo kwa ajili ya MUNGU nataka niwaambie watatokea manabii wa uongo haya ni madogo katika unabii yanakuja makubwa mno
MUNGU gani Binaadam ??😂😂😂 😅😅😅😅, acha kumchezea MUNGU. Japokuwa inawezekana unataka kutufikishia ujumbe wenye maana lkn usichanganye na fikra za kumshirikisha MUNGU.
Pmja n ni ninyi mnaopinga huyu dada angalieni vizuri arusha kila siku mauaji kwani hamjiuliziii kwaninn mwanmke huyu aiseee haya acheni kudharauu jambo
Amen, ila sasa ndg yng sauti ya Mwenyezi MUNGU huwa hai-hitaji nguvu nyingi sana kufika mahala pake, neno moja tu latosha na kuponya nafsi zetu, maana hilo neno ni takatifu, wala halihitaji maelezo ya ziada kujipambanua.
Uhuru wa kuongea,uhuru wa wana Habari,uhuru wa kujieleza,uhuru wa kuongea lolote utakalo ili mladi usivunje sheria za Nchi,uhuru wa kutoa Mao ni Malaika jamila ametoa maoni yake 😂😂😂
Hebu wacha wazimu wewe Bibi. Mungu atakuaibisha wewe kwa karibu na Ulimwengu utashuhudiya. Zanzibar kila miaka mitano inamwqgika damu na hakuna kichaa yoyote alitumwa na Mungu kusema maneno kama unayo yasema wewe. Na unasema uwongo pia Mungu atakuonesha very soon.
Ww mama jitambuwe usimchezee mungu umetumwa na shetani .kwani makonda alichaguliwa na wananchi si aliteuliwa na raisi .kikwete je mama je. Mawaziri wake vipi .kikwete je.
Uyo mungu wako mbona afanyi mwenyewe to akamaliza mambo 😀😀😀🤣🤣🤣wewe ni kizazi cha Ibrahim na umezaliwa Chikongola Mtwara uyo ibrahim anaijua kweli Mtwara 🤣😅😂 Naona na mimi ntaanza kuwa nabii haraka sana
We muongo mng awez ongea n wew manabii baadh hawaiuw n hadh km hiyo ach uong huko munatak madrk nchii ss n muend t si ktk mitandao kl kanisa ss n sias ty
Mungu akaache kuchukizwa na kugeuzana jambo ambalo alighalakisha umma akakasilishwe na mimea mama akatumwa apeleke upepo kwa watu watakiwawo na watu wake tuwache kumchezea Mungu jamani.
Alhamdulillah ghala nighimatil islam.... Hii mambo ya Kufunuliwa eti ni MALAIKA, SIJUI ROHO MTAKATIFU na kutuletea Habari za KUTUMWA NA MUNGU, sijui kuona MAGOROFA MBINGUNI.... Huyu mama alee tu wanae aachane na hizi ndoto za ALINACHA.
Katumwa na vibaraka umeona wapi selikali ikakubalika na watu wote mungu hayupo kwenye selikali zisizo na dini Tanzania hatutaki viongozi vibaraka wapinzani wote hao vibaraka
Yani ulivyosema tu umeona umbo kama la mwanaume na ukamuuliza ww ni nani akasema yey ni MUNGU, hapo tu ndo niuongo wa mchna peupe mungu afanani na kitu chochote
Sasa ndio kipindi cha kumrejea Mwenyezi Mungu maana tumekua tukisikia malaika wa mbinguni , kumbe tulidanganywa malaika tunao hapahapa juu ya uso wa ardhi na siyeye tu yeye na wanae.
Maono yapogo ila usijiite malaika wala kutokewa na mwanaume fimbo hata ramli zakishirikina zinamaono ila utekelezaji ni wa mungu na wale vijana wa arusha pale hamna waizi msibague watu nchi sio yenu Waizi wapo arusha tena manyamera kweli Na bad waanafanya yao hao waizi ila sio vilevitoto vinajiita vididu yapo madudu sasa
Weee mama ni wa dini gani?? Hivi Mungu katika watu wooote wa Tz, akutokee wewe. Na huyo nikikuangalia umetumwa kabsaaaa. Wewe umechaguliwa na Mungu mtu kuharibia wengine. Umelipwa na mtu usimdanganyie Mungu.
Labda atakua yule mungu mtu wa kenya aliejiita mungu itakua kakujia huyo kukwambia yaani hata biblia yenu inakanusha kua mungu hafananishwi na mtu isaya 41 1
Watanzania mbona mnaoombea nchi yenu laana siku zimepita huyo hamor kamwita Allah ni mwanamke astaghafiruallah leo kaja sheetani mwingine mwingi mungu kamfananinsha na mwanaume na nyote ni waislam hujamila na hamor rudieni kwa Allah Allah hafananishishwa na kitu chochote hana mfano wwt huyo ni shetan kakaa kwenye vichwa vyenu
Unatuchanganya mama ww unawezaje kujua huyo ni Mungu au ni Shetani? Maana hata Shetani huwa anajigeuza kuwa Mungu yaani ww hapo unahubiri siasa acha kutuaminisha vitu vya uwongo na hisia zako
Mama, usicheze na jina la mungu. Uongo ni jambo mbaya sana. Wewe unajaribu kuidanganya nchi nzima . Unaweza kupata laana kubwa. Usifanya mzaha na jina la Mungu. Waziri wa kilimo anapambana na wezi wanao wahangaisha wakulima. Kama umetumwa na hao wezi, basi omba msamaha kwa mola wako.
Anapambana wakati wakati ananyang'anya Haki ya wakulima kushiriki anatengeza miradi ili apate 10%Kwa wakandalasi.Amenyang'anya Maonyesho ya wakulima anaweka yawe ya wizara Nako anataka kupiga Dili kwenye viwanja vya wakulima.(Amka)
@@jofreyfungo1112 Jambo la kusikitisha Ni kwamba Sisi waafrika wengi wetu Ni watu ambao si wazalendo. Tuna wivu Na chuki ndani zetu. Mwanasiasa akijaribu kufanya kazi yake vizuri, anasingiziwa mambo za uongo za kumharibia Jina.
Mimi hata sipingi zaidi sana na muomba Mungu atuhepushe na yaliyo mabaya na uliyoyazungunza hata sikatai kwa sababu na jua kazi ya Mungu
Ucipomtii mungu shetani atakupa kazi mungu hawez kukupa maono kama hayo mungu anatoa maono ya utume ulimwenguni
UKIWA MTU WA KUTII SAUTI YA MUNGU BASI UTASHUHUDIA MENGI SANA!!SAUTI HII NI YA WENYE IMANI TU
Kabisa kabisa!!
Umenena ni vile tu hofu ya Mungu inakufanya ushuhudie au lah kama ni uongo atajua mwenyewe
Duh! Tulikuwa na mfalme zumaridi, Sasa huyu ni malaika mwenye watoto. God heal this generation
😂😂😂😂😂nimecheka kwa saut
Huyu ana mahangaiko ya maisha yake na nafsi yake ina matundu ,yanayotokana maisha ya dhambi alizotenda , uchungu wa kuzaa hewa hupatikana katika ndoto baada ya kurudi kulala wakati jua limechomoza 😊
Uwiii😅😅😅
Mmm
Mama uza sura upate foroaz wakutosha vta vipo urus na kongo we huja pigana vta mama ugesema unapata majaribu ya shetani sio vita ungekua unavita na wanadam basi we utakua upo ktk kundi la shetanie
Uzuri wa hii Nchi bana Hufi kwa Msongo Mawazo
Ukiona Umezongwa tu Weka Bando lako kisha ingia Yu tube
😂😂😂😂😂😂 lakini utakufa kwa njaa .
Hakuna sehemu yoyote kwenye biblia inasema sauti ya watu ni sauti ya Mungu hii ni kauli ya kifalsafa
Hawezi kua raisi January yeye na Baba Yake wakafunge
Kuhusu Makonda hapo umechemka unabii wako
Apelekwe Milembe hospital akapimwe akili.It is a bunch of nonsense of the highest level.
Mbona kila mtu anampinga huyu dada..what if she is right na yote anayoongelea yanatokea
Unabii unapimwa kwa neno la Mungu hapo hakuna neno la Mungu mwanzo mwisho ni porojo
Maneno ya Imani huwa Yana puuzwa lakini mwisho wake ni huu Nuhu aliambiwa na mungu atengeneze safina watu wenye nguvu na dharau wakambeza sana lakini kilichotokea nisikwambie Mimi Bali jifunze.wote waliangamia
Ww ni wa maana Sana Mungu atakutumia Sana kwa kuwa umekubali na kutii mema yanakuja barikiwa sana
Hata jiwe kuu la pembeni waashi walilikataa! Pengine ni ujumbe wa Mungu kweli
😂😂😂😂
Timiza wajibu wako uliotumwa na mungu atakayebeza atakutana na adhabu ya mung
amina mama Mungu aendelee kutenda
Yani wakristo wepesi sn kudangqnywa
Mmhh sasa unasema Wew Ni Angel Mara kiumbe Zaidi sasa mume wako ana wasiwasi wakati umesema Ni Angry😃😃ila yote Kwa yote Mungu wangu WA mbinguni atukuzwe
---Taifa linaombewa na viongozi 12:42 wa dini kila siku pamoja na viongozi wake hivyo tunaamini kuwa uchaguzi ujao utakuwa huru na wa amani. Nchi haiwezi kuongozwa kwa watu kuoteshwa matukio au kusema ni maagizo ya mungu kwani maagizo ya mwenyenzi nungu yako kwenye vitabu vya dini ie Bibilia na misaafu pamoja na machapisho mengine .
Kaime mama milembe ipo wazi km vilevi acha umekuwa nani wewe upewe wahhai na mungu???? Au ndio ulikuwa na yule kwy maghofa maleefu sn???😅😅😅😅😅
Hahahaha mungu anakazi nyingi co kukaa kujadil viongoz huyu anafaa huyu hafai bila shaka umetumwa
Jamila Neno tu kuhusu kutosuka nywele limekuwia gumu mie nikupimeje kukuamini?1Pt.3:3 na 1Tim.2:9.Ukilitii Neno la Mungu ni rahisi kukutumia kwa ajili ya watu wake.
Uliabza vizuri ila kukiita wew maraika hapo mama,sio sawa kwa msingi wa maandiko matakatifu
Sio kila anae vuta bangi ni mwendawazimu 😂😂😂😂😂😂😂😂
Huyo bila Shaka katumwa na peoples power
Hata wewe uliyeandika sms hii utakuwa umetumwa na ccm
Hahahahaha
Sio tatizo lako bali nitatozo la kutojua Mungu ni wanamna gani mungu akujie wewe kabisa aongee mambo ya wizara kwanza muogope Mungu wacha kumfanya kama kitu cha mchezo
Kuna uharibifu mkubwa unakuja . Na kudharau maadili yetu MUNGU hatanyamaza, wengi watasema nipo kwa ajili ya MUNGU nataka niwaambie watatokea manabii wa uongo haya ni madogo katika unabii yanakuja makubwa mno
Huu ujumbe ni wa Mungu kweli
Hii nchi ina wahuni wengi poleeee
MUNGU gani Binaadam ??😂😂😂 😅😅😅😅, acha kumchezea MUNGU. Japokuwa inawezekana unataka kutufikishia ujumbe wenye maana lkn usichanganye na fikra za kumshirikisha MUNGU.
Amen Woman of God
Mungu hanaga maneno mengi ivo!Acha kutuuzia mbuzi kwenye gunia! Acha Arusha ipae kimataifa ww acha makonda ainyooshe iwe kama uraya! Makonda oyeeeeee
Oyeeeee
Oyeeeeee, Arusha ng'araaaa
Amina
Pmja n ni ninyi mnaopinga huyu dada angalieni vizuri arusha kila siku mauaji kwani hamjiuliziii kwaninn mwanmke huyu aiseee haya acheni kudharauu jambo
Huyu mama ni chizi tayari😅😅
Mungu akusamehe tu
You cant joke...with this name...
Cheka Leo kesho Italian, bora kukaa kimya!!
😂😂😂😂
Yesu akasema nitakapo kuja nitaiona Imani kweli
Hata wakati wa Nuhu watu walimdhihaki,wakamkejeri nakumtukana,lakini mwisho wake wote mnafahamu kilichotokea
Je mungu hakukwambia wamasai wanateseka mama awahulumie au tusimchangue kwa kua ata mungu hajamchagua huu ni kuvizia uteuzi make
😂😂😂😂😂😂
Kwailo bado anafikiria
Kuwa makini rafiki yangu
Na yeye alikwambia kingereza ? .
Mpuuzi kweli mitume wenyewe hawakumuona mungu ww unasema umemuona 😂😂😂😂💔 endelea kuwadanganya hao hao wapuuzi wenzako
Hata Mwenyezi Mungu hapa nahisi Kaangua kicheko😂 Nahisi huyo Mungu uliyongea Nae ni Wa chuga Ngarenaro
Ukweli kabisa
Hahahahaha ,ni kwa nini watu wanakuwa na mawazo ya ajabu duniani hapa .
Unashangaa NI siku za mwisho shetani anawachanganya watu.
Wewe tahila upo wapi?
Nimeelewa leo kwann magufuli alibana midomo ya watu wenye midomo mirefu ka ma hii yan kama magufuli angekuepo huyu mama angekua ardhin chini ya udongo
Amen, ila sasa ndg yng sauti ya Mwenyezi MUNGU huwa hai-hitaji nguvu nyingi sana kufika mahala pake, neno moja tu latosha na kuponya nafsi zetu, maana hilo neno ni takatifu, wala halihitaji maelezo ya ziada kujipambanua.
Acheni utoto nyie wakristo kwann mnadanganyika fasta ivo
UNAJUA UKIACHA BANGE NDOTO FLANI FLANI ZINAKUJIA,,USIJALI UTAKUA SAWA TU
Mungu anamwambia nenda kaonge na media😂😂😂😂😂😂😂😂bongo bongo kuhama itakua shida sana
Ok.
AMEN MUNGU ATUSAIDIE
Sijakupata anaejua kuwawe nimagugu au nimbegunjema ni mungu
Uhuru wa kuongea,uhuru wa wana Habari,uhuru wa kujieleza,uhuru wa kuongea lolote utakalo ili mladi usivunje sheria za Nchi,uhuru wa kutoa Mao ni Malaika jamila ametoa maoni yake 😂😂😂
Mungu amemtaja na makamba😂😂😂😂😂😂😂😂 huyu mama jaman apimwe akili haraka sana Ebu tuwambie mungu kuhusu chadema 😂
Hebu wacha wazimu wewe Bibi. Mungu atakuaibisha wewe kwa karibu na Ulimwengu utashuhudiya. Zanzibar kila miaka mitano inamwqgika damu na hakuna kichaa yoyote alitumwa na Mungu kusema maneno kama unayo yasema wewe. Na unasema uwongo pia Mungu atakuonesha very soon.
Siku za mwisho,tuzipime Roho.Ufunuo WA YOHANA.Maono ya Geography kabisa haya
USIMZINGIZIYE MUNGU NJE YA NENO LAKO, UMECHUKIZEA WEWE NA WANASIASA WENZAKO, USIMZINGIZIYE MUNGU WEWE.
Ww mama jitambuwe usimchezee mungu umetumwa na shetani .kwani makonda alichaguliwa na wananchi si aliteuliwa na raisi .kikwete je mama je. Mawaziri wake vipi .kikwete je.
Wewe bi mkubwa acha njaa zitakuponzaa😂😂😂
Hey we go😂😂😂😂😂 eti ni malakla Aise bongo sihami kabisa
Uyo mungu wako mbona afanyi mwenyewe to akamaliza mambo 😀😀😀🤣🤣🤣wewe ni kizazi cha Ibrahim na umezaliwa Chikongola Mtwara uyo ibrahim anaijua kweli Mtwara 🤣😅😂 Naona na mimi ntaanza kuwa nabii haraka sana
We muongo mng awez ongea n wew manabii baadh hawaiuw n hadh km hiyo ach uong huko munatak madrk nchii ss n muend t si ktk mitandao kl kanisa ss n sias ty
Kwanza Mungu akija hawezi kuja kukuongelesha kwa masaa yote. Dada Mungu ajakuambia sasa nani atakua mkuu wa mkoa wa Arusha. 😅😮😢
Amen
Mungu akaache kuchukizwa na kugeuzana jambo ambalo alighalakisha umma akakasilishwe na mimea mama akatumwa apeleke upepo kwa watu watakiwawo na watu wake tuwache kumchezea Mungu jamani.
Alhamdulillah ghala nighimatil islam....
Hii mambo ya Kufunuliwa eti ni MALAIKA, SIJUI ROHO MTAKATIFU na kutuletea Habari za KUTUMWA NA MUNGU, sijui kuona MAGOROFA MBINGUNI....
Huyu mama alee tu wanae aachane na hizi ndoto za ALINACHA.
Hawa nao kila siku MUNGU wao anawafunua na kuwavisha vazi jipya. Hahahahahhahahaba
Ninyi mnaopinga hayaaaa ya huyu dada hamjitmbui na msipende kupuuza kila kitu Jamn huyu dada sio mwehu
Katumwa na vibaraka umeona wapi selikali ikakubalika na watu wote mungu hayupo kwenye selikali zisizo na dini Tanzania hatutaki viongozi vibaraka wapinzani wote hao vibaraka
Usitukane nii kweli watu wanakufa hospitali za serikali hwana pesa umaskini ni hateri
Tangu mwendazake aende tunaonamengi namungu akituwekahai tutaona vibweka zaidi😢😢😢😂
Yani ulivyosema tu umeona umbo kama la mwanaume na ukamuuliza ww ni nani akasema yey ni MUNGU, hapo tu ndo niuongo wa mchna peupe mungu afanani na kitu chochote
Hii ndio tanzani sasa kwrli kila mtu yupo anajuwa mungu sana ila kivyangu mimi sisrmi kitu ilaa mmmh hii kama vile watu bana
Nimekusikiliza sana mama nimegundua kwamba maneno hayo yanatoka kingine hata wewe unajua kwamba yanatoka kungine
Tumesha sahau utanganyika wewe mama wewe 😂😂😂
Kwanza umesuka na kichwa wazi
Kuna nyakati itafika manabii wa uongo watakuwepo nyakat yenyew ndo haya ya naendelea
😂😂😂😂😂😂😂😂uwi jaman acheni kufuru kujiita malaika huku mnaziniana kilasiku
Mmm pepo shindwa
Nyiye wa Tanzania Bara Hamwishi vituko. Lakini mnawafurahisha walonuna 😂😂😂 na story zenu.
IFIE IMANI YAKO ACHANA NA IMANI YA WATU WENGINE USHAURI TU😢😢
Sasa ndio kipindi cha kumrejea Mwenyezi Mungu maana tumekua tukisikia malaika wa mbinguni , kumbe tulidanganywa malaika tunao hapahapa juu ya uso wa ardhi na siyeye tu yeye na wanae.
Huyu mama ingefaa apigwe fimbo hadharani maana anachezea ujumbe wa Mungu ameota ndoto za mchana
Hata Mimi NIna Jambo langu natafuta wandishi wa habari Niko kasulu vijijini huo ni unyaynyasaji
Mmmmmmh mama MUOGOPE MUNGU
Maono yapogo ila usijiite malaika wala kutokewa na mwanaume fimbo hata ramli zakishirikina zinamaono ila utekelezaji ni wa mungu na wale vijana wa arusha pale hamna waizi msibague watu nchi sio yenu
Waizi wapo arusha tena manyamera kweli
Na bad waanafanya yao hao waizi ila sio vilevitoto vinajiita vididu yapo madudu sasa
Umeota mwenyewe bila shahidi, huyo Mungu hatupi tu shahidi yako? Janja janjaaaaa tu
Maskini tayari huyu she need help
Wewe sio maraika hakuna maraika anaitwa Jamila
Mungu anasema magufuli aliyemua ni Nani
Acha ushirikina na mchawi
Anamchezea MUNGU. We subiri kitakachompata. MUNGU na wizara wapi na wapi. Huyu anakichaa.
Umetumwa wewe mama!!
Chunguzeni mtakuta ametoka kwenye vyama vya ushirika kama kiongozi maana waziri amewavuruga sana mafisadi naona wameanza kuigiza
Dah
Weee mama ni wa dini gani?? Hivi Mungu katika watu wooote wa Tz, akutokee wewe. Na huyo nikikuangalia umetumwa kabsaaaa. Wewe umechaguliwa na Mungu mtu kuharibia wengine. Umelipwa na mtu usimdanganyie Mungu.
mimi wa 1 nakwambia nakaidi huo ujumbe wa mungu. Kwasababu mungu wako ni shetani. Na wewe tunajua kama unawashwa
Labda atakua yule mungu mtu wa kenya aliejiita mungu itakua kakujia huyo kukwambia yaani hata biblia yenu inakanusha kua mungu hafananishwi na mtu isaya 41 1
Siku hizi kila mtu nabii wa miungu ya kabila na mizimu ya kwao ww nikichaa ndio inaaza hivo ama mwambie mzee akushughulikie usiku maana kuna tatizo
Unachanganya mambo sasa.
Ukitoa ujumbe wa Mungu usitoe yaliyo yako.
Sasa yote yanapuuzwa!
Mungu wangu Dunia mwisho kua na aibu bas we mama Malaika anazaa kweli mmmmmmm
Watanzania mbona mnaoombea nchi yenu laana siku zimepita huyo hamor kamwita Allah ni mwanamke astaghafiruallah leo kaja sheetani mwingine mwingi mungu kamfananinsha na mwanaume na nyote ni waislam hujamila na hamor rudieni kwa Allah
Allah hafananishishwa na kitu chochote hana mfano wwt huyo ni shetan kakaa kwenye vichwa vyenu
Huyu mama anashida kwani anasema ameota Leo hasubuhi huku anasema mme wake alitaka kuuwawa hapo nyuma huoni kuwa anashida
Siasa bhana
Umeoteshwa siasa peke yake?
Siku za mwisho kutakuwa na manabii wa uwongo je tutajuaje kama wew ni sahihi
Unatuchanganya mama ww unawezaje kujua huyo ni Mungu au ni Shetani? Maana hata Shetani huwa anajigeuza kuwa Mungu yaani ww hapo unahubiri siasa acha kutuaminisha vitu vya uwongo na hisia zako
Watu kufa hata mm niliota